Wazee wenzangu,tutafute vifo vyema.Mtu una mke wako bahati mbaya au nzuri mkeo katangulia mbele ,tafadhali tuwe na subira.Unaenda kuparamia kuoa,utaishia kuleta balaa kwenye familia yako.Hawa akina mama wametuzaa ,lkn ni wasaidizi wakubwa wa shetani.Unaambiwa mwanamke mzuri ni mama yako tu.!!
Joan una hela kwa nini usinunue ardhi. Style ya kuwekeza kwenye kiwanja cha mtu mwingine kwa sura nyingine ina utapeli pia. Wanawekeza kidogo wanavyonza kodi. Hata kabla Joan palikuwa na maduka kwa uwekezaji wa miaka mingi ambayo yalivunjwa pia. Joan ametapeliwa kwa kujua au kutokujua.
Mambo ya mirathiiiii hayo watu wanatoanaaaa rohoooooooo ni bora utafute zako ukiangaliaaa vya nyumbani na mko watoto wengi mtatoana roho kila mtu ana akili yake na tabia yake katika watoto 7 ndio maana migogoro na mama wa kambo nae
Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana
Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana
Ili lilikuwa linamuitaji mh waziri Jerry slaa mama umemtuo yule jamaa hizi ndo mambo zake angetatua dk 2
Tanzania wizara ya ardhi ina walaji rushwa sana watu wanadhulumiwa maeneo kiholela
Raisi Huwa anakurupuka sana kwenye teuzi zake! Alimuhamisha Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi kimakosa
Amempeleka wizara ambayo hana Cha kufanya huko
Yani yule alikua jembe hapa panamfaa
Huko serekalini wakubwa wengi wamedhulumu maeneo ya watu Yule Alaa Alianza kuchimbua makabur Hadi Kuna majengo ya Chama 10:05
Kweli kabisa
Loh kumbe kahamishwa huyu mama watz nae anafeli vibaya sana
Kamweka deo kwani mnaona anafanya nini tena jeri kimyaaa
Wazee wenzangu,tutafute vifo vyema.Mtu una mke wako bahati mbaya au nzuri mkeo katangulia mbele ,tafadhali tuwe na subira.Unaenda kuparamia kuoa,utaishia kuleta balaa kwenye familia yako.Hawa akina mama wametuzaa ,lkn ni wasaidizi wakubwa wa shetani.Unaambiwa mwanamke mzuri ni mama yako tu.!!
Shida ya cc wanawake kila anaye ingia anaangalia maslahi ya watoto wake shida inaanzia hapo
KWANI KAMERA HAMNA HAPO. SI ANGALIENI HAPO CAMERA KIBAO.
Unavunjaje duka la mtu mali zake siko ndani serikali ya ajabu sana
Kila kitu serikali....Sasa nikuulize Iyo serikali Unayoisema ndo iliwatuma Wakavunje saa 9 Usiku. Mambo mengine ni ni Miamko ya Watu tu..
Rishwa imetawala
Serikali ipi?? Tz mna serikali?
Sio serikali ni wahuni flani tu
Mama kwajili ya hii kesi tunakuomba tuludishie jeri silaha amalixe dk 5 hili
Mkiambiwa Kuna Maandamano,mnasema ni ya chadema na Mbowe,mmekalia uoga na unafiki,na bado,mnachezea ccm.
Siku nyinginr usisahau kutumia Akili
Msalaba na hili tukio linahusiana nn
Anzeni na wizara ya Ardhi mtaona ujinga uliofanyika
Tanzania 🇹🇿 finish nchi ya ajabu sijawahi kuona raisi anasuguana visimi tu
🥱🥱🤭🫢
@@mr.yahzadochuno7914 Ngenda hii akili ndiyo imemtengeneza baba yako na akisha akamuoa mama yako,ndiyo Leo upo Kama mzigo.
Una maana gani mkuu ?
Dah mama mama mama wakamboooo!
Watoto wa matajiri wanajua kujenga hoja napia Elimu ipo nzuri mno kichwani
Tatizo lipo ardhi wabaya wanaendeleza vyao kuna vitu vya ovyo ajabu
PALIKUWA NA FREM KABLA YA JOAN KWA NJIA HIYO HIYO YA UWEKEZAJI . YALIVUNJWA PIA. KUNA KITI HAKIKO SAWA
Mama wa kambo tatizo namjua anamsainisha mumewe documents wakati mmewe aoni kabisa maftaha
Joan una hela kwa nini usinunue ardhi. Style ya kuwekeza kwenye kiwanja cha mtu mwingine kwa sura nyingine ina utapeli pia. Wanawekeza kidogo wanavyonza kodi. Hata kabla Joan palikuwa na maduka kwa uwekezaji wa miaka mingi ambayo yalivunjwa pia. Joan ametapeliwa kwa kujua au kutokujua.
Mama wakambo ndo fala
Maduka makubwa kama hayo mnawekaje mlinzi ambae hana bunduki
Hao mabaunsa wapelekwe kwa p.didy akawapake mafuta 1000
Ata ao mabausa wakamatwe wawekwe selo wakae Kama mwaka mmoja au miwili ili kukomesha huu upumbavu wa tamaa walio nao.
Duuuh mama wa kambooooooo 😂😂😂😂😂 ndio kazengua
Iyo kampuni ya ulinzi ni local sna hakuna hata mobile patrol ya gar au panic button ya kubonyeza upate msaada
Jell wapi jamani wamejiachia tena wahuni wa ardhi mhuuu angekuwepo wasingéfanya ujinga huo
Swali bimoja tu mmeuza hamjauza?
Watt wamepangishaa bila kumshilikisha mama Yao wa Mambo pesa mtaitema uyo dd kaingizwa chaka
Huyo mama wakambo sikavikuta anauza km nani
Mke ana nguvu jidanganye😂😂
@@ZalkiaBenderasheria inasema mali niya bana na mama
Mambo ya mirathiiiii hayo watu wanatoanaaaa rohoooooooo ni bora utafute zako ukiangaliaaa vya nyumbani na mko watoto wengi mtatoana roho kila mtu ana akili yake na tabia yake katika watoto 7 ndio maana migogoro na mama wa kambo nae
Ukiwa na mali watoto hawataki kujituma wanaomba ufe na wao wauane Kwa vitu vidogo mtihani,fanyeni kazi Vijana mpate mali zenu wenyewe
Mabaunsa wapo kisheria au watu waziri na mahakama
Mama wa kambo😂
Hakuna CCTV hapo
Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana
Umaskini wa akili ndio nimeuona kwako😂😂 May God have mercy on your kids
Daaah
Hii ndo faida ya kupeleka watoto shule
Tatizo liko kwa mama wa kambo namjua
Ayo kamuojin mm Yao na bab yao
Jesus lord 💔😭
Huyo ni nani anazalau mahakama
achen umasikin mtaishia kuuana kisa pesa za urithi pamvaneni mtafute vyakwenu ndomaan mnaishia kurogana na kugeuzana vichaa tumbafu
Umeelewa scenario lakin
Dah hasara jmn
Ndugu kasababisha mgogoro
Wacha tu hapo kuna ndugu Plus Mama wa Kambo ambae alikuta mali ila nae kaichanganya familia. Kuoa oa nayo ni matatizo matupu
@@leokamil6284Sahihi kabisa
mbona anatoa story badala ya kuonyesha uhalali wao wa umiliki.
Huwa mimi simuelewi Rais Samia sasa amemtoa Jerry Slaa hiyo wizara na alikuwa anafanya vizuri sana
Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana
Sasa mali za baba zitupwe? Unajua wamepitia nini? We mali zako utatupa?