SAKATA LA FREMU KUVUNJWA MIKOCHENI, WATOTO WA MMILIKI NA MLINZI WASIMULIA ILIVYOKUWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024

Комментарии • 70

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 9 часов назад +15

    Ili lilikuwa linamuitaji mh waziri Jerry slaa mama umemtuo yule jamaa hizi ndo mambo zake angetatua dk 2

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 8 часов назад +3

    Tanzania wizara ya ardhi ina walaji rushwa sana watu wanadhulumiwa maeneo kiholela

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 14 часов назад +4

    Raisi Huwa anakurupuka sana kwenye teuzi zake! Alimuhamisha Jerry Slaa kwenye wizara ya ardhi kimakosa
    Amempeleka wizara ambayo hana Cha kufanya huko

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 11 часов назад +1

      Yani yule alikua jembe hapa panamfaa

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 10 часов назад +1

      Huko serekalini wakubwa wengi wamedhulumu maeneo ya watu Yule Alaa Alianza kuchimbua makabur Hadi Kuna majengo ya Chama 10:05

    • @swalehaltooq5233
      @swalehaltooq5233 9 часов назад

      Kweli kabisa

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 8 часов назад

      Loh kumbe kahamishwa huyu mama watz nae anafeli vibaya sana

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 6 часов назад

      Kamweka deo kwani mnaona anafanya nini tena jeri kimyaaa

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 6 часов назад +1

    Wazee wenzangu,tutafute vifo vyema.Mtu una mke wako bahati mbaya au nzuri mkeo katangulia mbele ,tafadhali tuwe na subira.Unaenda kuparamia kuoa,utaishia kuleta balaa kwenye familia yako.Hawa akina mama wametuzaa ,lkn ni wasaidizi wakubwa wa shetani.Unaambiwa mwanamke mzuri ni mama yako tu.!!

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Час назад

      Shida ya cc wanawake kila anaye ingia anaangalia maslahi ya watoto wake shida inaanzia hapo

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 6 часов назад +1

    KWANI KAMERA HAMNA HAPO. SI ANGALIENI HAPO CAMERA KIBAO.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 13 часов назад +4

    Unavunjaje duka la mtu mali zake siko ndani serikali ya ajabu sana

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 10 часов назад

      Kila kitu serikali....Sasa nikuulize Iyo serikali Unayoisema ndo iliwatuma Wakavunje saa 9 Usiku. Mambo mengine ni ni Miamko ya Watu tu..

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 8 часов назад

      Rishwa imetawala

    • @modenhosouza5925
      @modenhosouza5925 6 часов назад

      Serikali ipi?? Tz mna serikali?

    • @daslamonline4665
      @daslamonline4665 10 минут назад

      Sio serikali ni wahuni flani tu

  • @GervasMalimi
    @GervasMalimi 44 минуты назад

    Mama kwajili ya hii kesi tunakuomba tuludishie jeri silaha amalixe dk 5 hili

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 6 часов назад +1

    Mkiambiwa Kuna Maandamano,mnasema ni ya chadema na Mbowe,mmekalia uoga na unafiki,na bado,mnachezea ccm.

    • @eltonngenda
      @eltonngenda 5 часов назад +1

      Siku nyinginr usisahau kutumia Akili

    • @hamisimkoma7380
      @hamisimkoma7380 Час назад

      Msalaba na hili tukio linahusiana nn

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 16 часов назад +2

    Anzeni na wizara ya Ardhi mtaona ujinga uliofanyika

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 13 часов назад +2

    Tanzania 🇹🇿 finish nchi ya ajabu sijawahi kuona raisi anasuguana visimi tu

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 10 часов назад

      🥱🥱🤭🫢

    • @AthanaseKiyoja
      @AthanaseKiyoja 5 часов назад

      @@mr.yahzadochuno7914 Ngenda hii akili ndiyo imemtengeneza baba yako na akisha akamuoa mama yako,ndiyo Leo upo Kama mzigo.

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 часа назад

      Una maana gani mkuu ?

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Час назад

    Dah mama mama mama wakamboooo!

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 3 часа назад

    Watoto wa matajiri wanajua kujenga hoja napia Elimu ipo nzuri mno kichwani

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 16 часов назад +2

    Tatizo lipo ardhi wabaya wanaendeleza vyao kuna vitu vya ovyo ajabu

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Час назад

    PALIKUWA NA FREM KABLA YA JOAN KWA NJIA HIYO HIYO YA UWEKEZAJI . YALIVUNJWA PIA. KUNA KITI HAKIKO SAWA

  • @andrewfernandess8898
    @andrewfernandess8898 8 часов назад

    Mama wa kambo tatizo namjua anamsainisha mumewe documents wakati mmewe aoni kabisa maftaha

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Час назад

    Joan una hela kwa nini usinunue ardhi. Style ya kuwekeza kwenye kiwanja cha mtu mwingine kwa sura nyingine ina utapeli pia. Wanawekeza kidogo wanavyonza kodi. Hata kabla Joan palikuwa na maduka kwa uwekezaji wa miaka mingi ambayo yalivunjwa pia. Joan ametapeliwa kwa kujua au kutokujua.

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 6 часов назад +1

    Mama wakambo ndo fala

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 9 часов назад +1

    Maduka makubwa kama hayo mnawekaje mlinzi ambae hana bunduki

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 8 часов назад +1

    Hao mabaunsa wapelekwe kwa p.didy akawapake mafuta 1000

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 13 часов назад +1

    Ata ao mabausa wakamatwe wawekwe selo wakae Kama mwaka mmoja au miwili ili kukomesha huu upumbavu wa tamaa walio nao.

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 8 часов назад

    Duuuh mama wa kambooooooo 😂😂😂😂😂 ndio kazengua

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 16 часов назад +1

    Iyo kampuni ya ulinzi ni local sna hakuna hata mobile patrol ya gar au panic button ya kubonyeza upate msaada

    • @judithtitomalyeta4000
      @judithtitomalyeta4000 8 часов назад

      Jell wapi jamani wamejiachia tena wahuni wa ardhi mhuuu angekuwepo wasingéfanya ujinga huo

  • @GervasMalimi
    @GervasMalimi 49 минут назад

    Swali bimoja tu mmeuza hamjauza?

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 16 часов назад +1

    Watt wamepangishaa bila kumshilikisha mama Yao wa Mambo pesa mtaitema uyo dd kaingizwa chaka

    • @Ajijji12
      @Ajijji12 15 часов назад +1

      Huyo mama wakambo sikavikuta anauza km nani

    • @ZalkiaBendera
      @ZalkiaBendera 14 часов назад

      Mke ana nguvu jidanganye😂😂

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 10 часов назад

      ​@@ZalkiaBenderasheria inasema mali niya bana na mama

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 8 часов назад

    Mambo ya mirathiiiii hayo watu wanatoanaaaa rohoooooooo ni bora utafute zako ukiangaliaaa vya nyumbani na mko watoto wengi mtatoana roho kila mtu ana akili yake na tabia yake katika watoto 7 ndio maana migogoro na mama wa kambo nae

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 8 часов назад

    Ukiwa na mali watoto hawataki kujituma wanaomba ufe na wao wauane Kwa vitu vidogo mtihani,fanyeni kazi Vijana mpate mali zenu wenyewe

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 8 часов назад

    Mabaunsa wapo kisheria au watu waziri na mahakama

  • @bosssalum1037
    @bosssalum1037 3 часа назад

    Mama wa kambo😂

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 6 часов назад

    Hakuna CCTV hapo

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 часа назад

    Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana

    • @faithsamuel3590
      @faithsamuel3590 2 часа назад

      Umaskini wa akili ndio nimeuona kwako😂😂 May God have mercy on your kids

  • @Gody360
    @Gody360 17 часов назад

    Daaah

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 9 часов назад

    Hii ndo faida ya kupeleka watoto shule

  • @andrewfernandess8898
    @andrewfernandess8898 8 часов назад

    Tatizo liko kwa mama wa kambo namjua

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 16 часов назад

    Ayo kamuojin mm Yao na bab yao

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 13 часов назад

    Jesus lord 💔😭

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 16 часов назад

    Huyo ni nani anazalau mahakama

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 13 часов назад

    achen umasikin mtaishia kuuana kisa pesa za urithi pamvaneni mtafute vyakwenu ndomaan mnaishia kurogana na kugeuzana vichaa tumbafu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 16 часов назад

    Dah hasara jmn

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 17 часов назад

    Ndugu kasababisha mgogoro

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 16 часов назад +3

      Wacha tu hapo kuna ndugu Plus Mama wa Kambo ambae alikuta mali ila nae kaichanganya familia. Kuoa oa nayo ni matatizo matupu

    • @makukamakaveli6581
      @makukamakaveli6581 10 часов назад

      ​@@leokamil6284Sahihi kabisa

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 9 часов назад

    mbona anatoa story badala ya kuonyesha uhalali wao wa umiliki.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 часа назад

    Huwa mimi simuelewi Rais Samia sasa amemtoa Jerry Slaa hiyo wizara na alikuwa anafanya vizuri sana

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 часа назад

    Umasikini wa akili ni kitu kibaya sana yaani mijitu mikubwa badala ya kutafuta mali zao wanagombea Mali za baba Na kama wako 7 mwisho wa siku ni kuuana

    • @GhalibMohammed-u9t
      @GhalibMohammed-u9t Час назад

      Sasa mali za baba zitupwe? Unajua wamepitia nini? We mali zako utatupa?