MSIGWA ACHAFUKWA, AMVAA MBOWE, ADAI ANAIVURUGA CHADEMA, MNYIKA NA KIGAILA WAGAWANYIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #TANZANIA: Peter Msigwa achafukwa, amvaa Mbowe, adai Mnyika na Kigaila wamegawanyika kisa Mwenyekiti wao.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 133

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад +5

    Njaaaa kalii

  • @ramadhanimntambo6053
    @ramadhanimntambo6053 Месяц назад +7

    Wasaliti wa wananchi ni wengi mno,eti mchungaji,kula ulichopewa lakini hali ngumu ya maisha ya waTanzania itawahukumu sana tu,laana kubwa unaimwaga kwa kizazi chako tu.

  • @noekenny3771
    @noekenny3771 Месяц назад +9

    Msigwa kwisha habari yako.
    Siasa imesha kushinda
    Nenda kalime nyanya

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Месяц назад +9

    Msigwa mchungaji mnafiki, miaka hiyo yote umekuwa Chadema, uliposhindwa uchaguzi ukakurupuka. Umejiandaa kwenda kuuza mali zetu na mamako.

    • @jdanny497
      @jdanny497 Месяц назад +2

      Pumbavu kabisa msingwa hata useme vipi hatuhami chadema

  • @oscarmnyawami6667
    @oscarmnyawami6667 Месяц назад +2

    Aaah kumbe sababu huna kazi....njaaaa!!!

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m Месяц назад +3

    Ama kweli siasa ni unafiki mtupu,leo msigwa anaweza kuongea haya😅

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Месяц назад +2

    Msigwa ongelea hali ngumu ya maisha achana na chadema baba lao

  • @isaacndashuka5959
    @isaacndashuka5959 Месяц назад +4

    Msigwa kuna jambo alituambia msukuma kuwa ulikuwa unalipwa na ccm.sasa nimeamini

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Месяц назад +1

      Kumbe ilikuwa kweli makamanda alikuwa analipwa kweli

  • @tiberymbossa4294
    @tiberymbossa4294 Месяц назад +3

    Njaa mbaya

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад +3

    Mbowe yuko vizuri tuna mpenda

  • @oscarmnyawami6667
    @oscarmnyawami6667 Месяц назад +2

    Brother tatizo Ni kukosa uenyekiti na Mbowe au Ni Chadema potea safari ndo imeanza....

  • @samwelmwanga254
    @samwelmwanga254 Месяц назад +4

    Hiyo sasa inasaidia nini?😊

  • @PinelMlay
    @PinelMlay Месяц назад

    Ooooooooyaaaa Msigwa

  • @benolduka
    @benolduka Месяц назад +2

    Msigwa Huna aibu, utachukiwa sana, una uso wa kufa, haya ongea ya ukohamia achana na ulikotoka. Sahau ubunge hupati tena

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Месяц назад +4

    Msigwa unajiumbua, ndo hivyo umekwisha. Onyesha vyeti tuone km Samia atakupa Uwaziri. Njaa tu.

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад +3

    Bandari wamasai na vikokotoo naomba uongelee mzee tupe kauli yako juu ya bandari zetu

  • @andrewlwanga2157
    @andrewlwanga2157 Месяц назад +2

    Huna points Msigwa, toa vyeti tuone kwanza

  • @uswegemwakalobo6220
    @uswegemwakalobo6220 Месяц назад

    Umeeleweka sana mchungaji

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Месяц назад +6

    Haka kamepewa kazi ya kuitukana chadema nafikiri kanatetea ugali

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +1

      Ndio badala aongee shida za watanzania kakazana kutukana alikotoka mpuuzi kweli

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад +1

      Inamana wee Kazi uliyopewa ni kuitukana tu Chadema si ndo manake?

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Месяц назад +3

    Mch Kuwa makini, Mungu anakuona, wewe ni njaa tu hauna lolote pita hivi na FISIEMU Yako.

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Месяц назад +4

    Nipeni kipaza msigwa asimame kulia mm kushoto nachukua jimbo LA iringa

  • @paull8659
    @paull8659 Месяц назад +3

    Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Месяц назад +2

    Authority ikishapotea, huwa hairudi. Kama jana ulisema vingine na leo ukasema vingine, sio rahisi ukaaminika tena.

  • @oscarmnyawami6667
    @oscarmnyawami6667 Месяц назад +1

    Umejimaliza kubali usikubali kwishaaaaa

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +2

    Ongea nini utatufanyia Watanzania hali mbaya ya nchi kila kona sio utembelee kik ya mipasho na kumchamba Mbowe wakati lamaana zaidi huna la kuongea

  • @uswegemwakalobo6220
    @uswegemwakalobo6220 Месяц назад

    Nomekuelewa sana Mchungaji 😂😂😂

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Месяц назад +1

    Mchungaji msigwa!!....what goes around comes around!..,unajisikiliza kweli?..kweli siasa mchezo mchafu...

  • @AbdulJamal-xp4pn
    @AbdulJamal-xp4pn Месяц назад +1

    Nivizuri utupe sera ya chama chako kweli lowasa atabaki kua mwanasiasa bora kwangu wa karne

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Месяц назад +2

    We mjinga unatumiwa kupiga kampeni na uchaguzi ukiisha utarudi nyumbani kulima mihogo,hutaambulia hata ujumbe wa nyumba 10

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 Месяц назад

      Wapi?
      Mwenzio kaandaliwa Mkoa ila ataanzia Wilaya mara baada ya kukamilisha kazi hii. 2025 atapewa Mkoa.
      ... Ukiwa karibu na Ua Waridi, ...

    • @ElishaOisso
      @ElishaOisso Месяц назад

      @@pirminmatumizi5464 akipewa hata utendaji wa kijiji atanikuta ofisini

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад +1

    Hatutaweza kuijenga nchi kwa kuongozwa na akili ndogo kwa maneno ya Nape labda haiwezekani ila usije ukashangaa ukajikuta ukifunga mdomo

  • @majutoomari7445
    @majutoomari7445 Месяц назад +1

    Magari yametumika kusomba watu kuwaleta kwenye mkutano halafu hawawapi chakula watu wa watu

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад +1

    Maamuzi uliyoyachukua ni maamuzi magumu kweli umepewa pesa ameshindwa uchaguzi na sugu umehama

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад +1

    Jamani msigwa ww ni mnafki mpk nimekupenda

  • @leonardmao3311
    @leonardmao3311 Месяц назад

    Acha ujinga needs katubu Dhabi hiyo. Mungu akusamehe mjinga

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Месяц назад

    Ongea ya CCM umeshanunuliwa umejivua nguo

  • @user-lu9ln4bd8b
    @user-lu9ln4bd8b Месяц назад +1

    Njaa mbaya , imepanda kichwani huyu siyo Bure

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад +1

    Sasa mbona unawapiga wenzako mawe acha unafki

  • @eliasmariwa1087
    @eliasmariwa1087 Месяц назад +1

    Kama kulikuwa na uozo miaka yote ulisubiri kutoka huko sema njaa imekushinda ukaamua kuondoka chadema

    • @user-rn9og1rk3l
      @user-rn9og1rk3l Месяц назад +1

      Alafu akaondoka baada ya kushindwa uchaguzi
      Huko south Africa anakotaja alienda kuuza mitumba hana vyeti hapo

  • @CharlesWaite-wl6ns
    @CharlesWaite-wl6ns Месяц назад +2

    Hauna lolote

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Месяц назад

    Daaah

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko 29 дней назад

    Bila shaka hata sili za mke sijui kama ziko salama!!? Pili waumini wako wanavyokuangalia na kukusikiliza wanajifunza nini kwako pumbavu sana

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Месяц назад +1

    Nonsense

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Месяц назад

    Msimgwa mpumbavu awe na heshima

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer Месяц назад

    Meno mchungaji uufute kuwa Jina lako.. Uko na njaa.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Месяц назад

    Huyu ni shetani hafai kuwa kiongozi kabisaaa

  • @bicorugina1452
    @bicorugina1452 Месяц назад

    Kaz unayo pol sana ukipitia comments utapata jibu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Месяц назад

    >KAULI YA KUJENGA NYUMBA MOJA NI KINYUME KABISA NA HALI HALISI!
    >TAASISI ZINAZOPAMBANIA MISINGI YA HAKI NI TOFAUTI KABISA NA ZINAZOKINZANA NA MISINGI YA HAKI.

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Huyu fala

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 Месяц назад

    Magufuri angelikuwepo angelijionea nduguyake karudi nyumbani kumenoga

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Месяц назад

    Naona mauzauza...🙄🙄🙄🙄🙄

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Месяц назад

    Chadema mtulie 2 hio ndio siasa lzn msemwe tujue ambayo hatujawahi kusimuliwa....

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Msukuma Alishatuambia Kila kitu juu yako tunajua Msigwa unalipa Hela za Ccm ulizokula, maana mpango uliotegemewa wakutumika Ukiwa Ndani ya Chadema umeshindikana

  • @jumadawa1968
    @jumadawa1968 Месяц назад +2

    Weka hakiba nya maneno utakapo shindwa ulundi

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад

    Kwa maisha haya mzee sizani kama vijana wenye akili timamu wanaweza kukusikiliza wewe Laurent Bagbo

  • @joanmutabihirwa5254
    @joanmutabihirwa5254 Месяц назад

    Msigwa sasa tunakunyangaya Uchungaji wewe ni mchumia tumbo tu, Unawaachia lahana kizazichako nakushauli Murudie Mungu wako na utubu kweli

  • @oscarmnyawami6667
    @oscarmnyawami6667 Месяц назад

    Kumbuka ukitapika usiridie matapishi yako,vipo ungepata uenyekiti haya ungeropoka?

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Месяц назад

    Chama chenu??? ...

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 Месяц назад

    Hivi huyu angeshinda uenyekiti wa Kanda angeyasema yote Haya kwa jazba?

  • @user-qu8qt2gr3h
    @user-qu8qt2gr3h Месяц назад

    Malaya mkubwa usingeshindwa uchaguzi ungeomdoka

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Месяц назад +2

    Najiuliza kwanini hamtukani tundu lissu

    • @LeticiaCharles-hi2wf
      @LeticiaCharles-hi2wf Месяц назад +1

      Huo ni Moto hawezi

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад +1

      Kwanini usijiulize kwanini aongei shida za wananchi

    • @samuelmakara
      @samuelmakara Месяц назад

      Katumwa na master wake. Alietamani siku zote amchafue akashindwa akapatikana ile zamani inaitwa his masters voice

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x Месяц назад

      @@samuelmakara nachojua walikua marafiki

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 Месяц назад

      Hana ubavu wa kumtukana mwamba, Tundu A. Lisu..🤣🤣🤣🤣

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Месяц назад

    Tulia foundation vipi kuhusu hii

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад

    Taahiraa

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад

    Sema una agenda gani achana na chadema umeshatoka huko na wewe ulikuwa sehemu ya hayo unayosema je unadhani huko uliko utabadilisha lolote jibu ni hapana zaidi sana ni kulamba viatu saa hii huwezi tena umeshanunuliwa hivyo useme umelipwa bei gani

  • @dulasaid2581
    @dulasaid2581 Месяц назад

    Haki oliyokua unapigania teyari umeipata?

  • @rwezimulastephen3713
    @rwezimulastephen3713 Месяц назад

    Mtu mfupi na mawazo ya ovyo

  • @user-lu9ln4bd8b
    @user-lu9ln4bd8b Месяц назад

    Hivi kweli huyu ni mch, au,

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад

    Hebu mwambie mwenyekiti wako wa chama taifa apunguze matumizi mabaya fedha za uma

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Месяц назад

      Mwambie wewe au Msigwa ndiye msemaji wako?

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад

    Cccm wanatumianini mbona huyu alikua mtu kabisa Sasa hivi amekua fala kabisa

    • @samuelmakara
      @samuelmakara Месяц назад

      😢😢😢😢😢😅😅😅 hujuagi. Peleleza kila alieenda huko 😮😂😂😂

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Месяц назад

    usijifanye mfitinishaji wewe ya chadema yanakubusu nini

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад

    Kwa maisha haya mzee sizani kama vijana wenye akili timamu wanaweza kukusikiliza wewe Laurent Bagbo tuambie ile misitu yetu na bandari itakuaje? Bado utazipigania au na wewe uko na hisa huko

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Месяц назад

    Poyoyo ndio watafanyia kazi hayo maneno

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Месяц назад

    Nadi sera ya chama walicho kuhonga na kukununua acha chuki hazita kusaidia, wewe ni tapeli kama matapeli wengine wa ccm, wewe huna hadhi ya kujibiwa na viongozi wa chadema cc wenyewe wananchi tutakujibu na kukupa fact, njaa yako imetoka tumboni ikahamia kichwani, hovyo kabisa.

  • @KabujeFulaha
    @KabujeFulaha Месяц назад

    Njaa msigwa

  • @eliasmariwa1087
    @eliasmariwa1087 Месяц назад

    Ungepata uwenyekiti wa kanda ya Nyasa ungetoka chadema?

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Месяц назад

    Utasifia sana theni ukalale

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Месяц назад

    Mbona unatumia nguvu sana kujitetea kwa kuhama kwako.Hivi huko CCM hakuna mapungufu unayoyazungumza dhidi ya mbowe? Subiri ila.omba tu wakupe nafasi fulani ya upendeleo la sivyo kesho utayarudia hayohayo tena dhidi ya ccm.

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Месяц назад

    Huna huja majungu to toa huja zako

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад

    Uroho wa kukosa uongoz

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад

    Chadema hatuwezi kuwapa hii nchi wapumbav sana hao chadema

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Ccm ndo wapumbavu wanaotumia Kodi zetu kuwahonga akina Msigwa wakikosa Vyeo Chadema wahamie Ccm

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Месяц назад

    Jamani uongozi wa Kanda umekushinda huna lolote

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo Месяц назад

    𝑈𝑗𝑖𝑡𝑎𝑡ℎ𝑖𝑛𝑖

  • @user-el1eh6xn6w
    @user-el1eh6xn6w Месяц назад

    Msigwa tumejitambua wadanganye wajinga wenzako

  • @tiberymbossa4294
    @tiberymbossa4294 Месяц назад

    Wale watu walipofika Kisimani, wakakutana na Yesu, walisema tumeamini siyo kwasababu wewe ulisema ila sababu sisi wenyewe tumemuona tumeamini.
    Sisi tunaujua uovu na tunaujua lipi jema.

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Месяц назад

    Mwenyekit wako akikosea ndiyo unahama? Mageuzi makubwa ya Nchi hii yatafanywa na nani kama umeungana na wanaohitaji kuoingwa?

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад

    Acha kutudanganya njaa inakusumbua

  • @leonardmao3311
    @leonardmao3311 Месяц назад

    Were ni mpumbavu sana mbwa wa kuchinjwa. Taamaa imekupeleka huko, hupati cheo hata upige kelele mj9nga sana hufai hata kuitwa mchungaji. Mjinga sana.

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Месяц назад

    Wanaohamia cdm sio Malaya ,sio wajinga,sio wapumbavu nyinyi mnaomtukana msigwa kutoka cdm hamjuiyanayofanyika ndani ya cdm siku mkigundua mtampiga mawe huyo mbowe wenu

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Huyu Msigwa Mla Rushwa mkubwa Nani hajui? Amekosa Cheo kisa Rushwa aliopewa na Ccm, Msukuma alishasema Mchungaji Msigwa mpenda vyeo ameamua kutumia Nguvu kubwa saana kuhalalisha Rushwa aliopewa na Ccm anajisumbua Bure kutuaminisha hayo, amshauri Rais basi arudishe Bandari zetu, Hataivo hakuna mwenye akili Timamu atamuelewa Msigwa mpenda vyeo huyu amekosa Uenyekiti anajifanya kuhama Hana lolote, Anamuonea tu Mbowe Mstaaarabu hajui kujibu vijembe

  • @samuelmakara1475
    @samuelmakara1475 Месяц назад

    Kama kuna makundi wewe si umeshaondoka

  • @aloycejames4862
    @aloycejames4862 Месяц назад

    Huyu Kwa sasa hatumi akili

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Месяц назад

    Yote hayo kushindwa

  • @jacoblongo6814
    @jacoblongo6814 Месяц назад

    Acha kutaja biblia wewe ni tapeli tu mnafiki

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Месяц назад

    Ukatafakari baada ya kupewa gari na mshiko

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Месяц назад

    Umeisha wewe huna jipya

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Месяц назад

    Hii yote njaa, imewasaliti wenzake kwa kiwango kikubwa mnooooooooo. Usaliti huo sio kwa Chadema tu bali ni kwa wa Tanzania wote wanaoteseka na maisha. Ila wewe subiri upate unaibu waziri ili mkundu wako ufunge maana kwa sasa mkundu unatoa.mavi tu.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Месяц назад

    Kuna.mbwa.wana.kuliko.msigwa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад

    Bee ludesi bee! Msigwa umefilisika, wewe ni mchungaji feki uliyepoteza maadili na dira kwa tamaa huku na kule sawa na wale wanasiasa malaya malaya tu! Historia yake ya kuingia TLP,NCCR,hatimaye CDM ni njaa tupu! Ulingoja nini cdm miaka yote?! Hizo unazoongea ni uongo,na pumba tupu hata utoke povu tutakupuuza....

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Amekazana kumshambulia Mbowe wawatu hajui kujibu Vijembe

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Месяц назад

    Njaaaambwa ww

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Месяц назад

    Matako yako huna lolote pita hivi Pumba Mwanzo Mwisho...

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q Месяц назад

    Mtoto cliziki msigwa unatamaaa ya madaraka mbowe ananyota ya kupendwa wewe vizia kuteuliwa lakini kuchaguliwa haukubaliki

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Месяц назад

    Huyu ni jibwa tena Koko la mtaani

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад

    Watoto wako hawàtakubali kula matapshi ya CCM nenda peke yako