TAZAMA MUSUKUMA ALIVYOCHALAZA KISUKUMA MBELE YA RAIS MAGUFULI JIMBONI KWAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2020

Комментарии • 90

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog 3 года назад +19

    Ukiwa Single Hakuna Mtu Anayekutafuta Wala Kukupenda Ila Ukiwa Kwenye Mahusiano Yenye Furaha Sasa Hapo Ndo Vishetani Vinajileta. 😁

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 3 года назад +11

    Yaan kilichobaki ccm ni kuhamacshana tu tukapige kura wala tucrudie nguvu nyingi tuko wengi sana na ushindi lazm

  • @josephinewangwe9064
    @josephinewangwe9064 3 года назад +9

    Nampenda Sana Magufuli ila anatuangusha kule Mara vijijini kwa mfano kule Shirati hajawahi kufika wananchi wanashida ya maji ,wananchi wamesahaulika na kule ndipo kuna hospitali kubwa ya wilaya iliyo na shule kubwa pia ya Nursing kwakweli hapo amatusahau.

    • @shedrackjacob6038
      @shedrackjacob6038 3 года назад +3

      Chama gan kinatawala huko km n upinzan majibu unayo

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 3 года назад +1

      @@shedrackjacob6038 mimi nashindwa kuelewa kwanini watu wang'anganie kitu hapocho hakiwapi maendeleo yeyote badala ya kufata nyuki wale asali😆😆

    • @onesmokabia80
      @onesmokabia80 3 года назад +1

      Kaa na jamii ya Mara wambie wasikosee mwaka huu kama mnataka maendeleo,ivi alete maendeleo wakati viongozi mliowachagua walikimbia colona wakatoka bungeni baada ya kupambana kupigania wananchi wao wenyewe wakakimbia pia kitu kingine kila kukicha wanamtukana Rais hata ingekuwa mm ningewasahau nisingewaletea maendeleo,kwahiyo akili kichwani mwenu ni ushauri tu!

    • @nuruelmada9570
      @nuruelmada9570 3 года назад +1

      Tatizo Ni wabunge, ndio hawapeleki taarifa

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 3 года назад

      @@nuruelmada9570 kwa kweli wabunge wanaumiza wananchi mpaka huruma ukiona vibibi vinaangaika hata misaada hamna kama hakuna serikali

  • @priscalameck8700
    @priscalameck8700 3 года назад +15

    Msukuma nakupendaga sana😄😄

  • @festondenga4253
    @festondenga4253 3 года назад +5

    Napenda sana kisukuma ndooo maana hata rais wangu nipo nae begakwabega

  • @amiramir-tx1my
    @amiramir-tx1my 3 года назад +6

    Baba tupo pamoja sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад

    Mungu akulaze mahali oema peponi Magufuli

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 3 года назад +4

    Mpeni kura anawapenda saana

  • @zesootv6726
    @zesootv6726 3 года назад +3

    Achakuongea kikabila tutafanya nchi ye2 iwe kama kenya

  • @deborahbenny458
    @deborahbenny458 3 года назад +6

    Mbona tundu la choo haliogea luga yake singida?wapinzani aibu mmesha shindwa zamani hata ulaya tunawacheka kwa miemko yote lisu halio kuwanayo huku ulaya tumemchoka

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 3 года назад +4

    Mwabheja saaaana ngosha

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 года назад +4

    Waandishi wa habari mnaotokana na makabila ya kusini kanda ya ziwa na kati na mashariki na magharibi mnashindwa wapi kutofautisha R & L? #Kuchalaza ndio nini?

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 3 года назад +4

    Safi sana msukuma

  • @majabamagashi2466
    @majabamagashi2466 3 года назад +3

    Taarifa ya habari ya saa mbili uck

  • @georgeisdory9998
    @georgeisdory9998 3 года назад

    Msukuma ni machine 👍👍👍 shuleni dalasa la Saba
    Maishani Ana degree

  • @user-mu7fi2id3i
    @user-mu7fi2id3i 3 месяца назад

    Msukuma we noma bungeni ongera sana

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 года назад +6

    Msukuma ni jembe sana 😂

  • @aginesmashakaMashaka
    @aginesmashakaMashaka 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 3 года назад +3

    Mnaleta malugha yenu huo ndo ukabila tunaosema ongea kiswahili yatoshaa full stop

  • @SwaleheSekiondo
    @SwaleheSekiondo Месяц назад

    1:30

  • @bossibratvonline5431
    @bossibratvonline5431 3 года назад +5

    Yani ccm hamna aibu mnakusanya wanafunzi

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 3 года назад +2

      Kwani wanafunzi siyo watanzania!? Nyie chadema msipoongea kuna tatizo gani, mbona kila mnapata tuu kasoro!! Sijui mkoje asee

    • @bossibratvonline5431
      @bossibratvonline5431 3 года назад

      @@presseg.6362 wanafunzi sio wapiga kura mnasomba wanafunzi kurudi nyumbani mnawatelekeza acheni siasa imewashinda

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 3 года назад +2

      Kwani hawapaswi kumwona Rais wako!?

    • @bossibratvonline5431
      @bossibratvonline5431 3 года назад

      @@presseg.6362 wamekusanywa kuongezea vichwa ccm hamna chama hapo kishakufa mama Maria Nyerere aliwaambia siku ile ukweli na uwazi mlimleta kwa nguvu na kumlazimisha aongee jana wanafunzi wameamriwa wabadili nguo waende mkutano yani kifo cha mende

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 3 года назад +1

      Wapiga kura wapo sana sana subiri28oct ndiyo utajua pole sana endeleeni kujifariji chadomo

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 3 года назад

    Tumeshashinda hdi Hapo

  • @evakaijage4823
    @evakaijage4823 3 года назад

    Kanyaga Twende baba.

  • @walterkissima7364
    @walterkissima7364 3 года назад +3

    Kilugha huwa hakiruhusiwi kwenye kampeni

    • @ammaherman3391
      @ammaherman3391 3 года назад +4

      Aliyekwambiaga nani?
      Tanzania ni nchi huru na ina makabila.

    • @maatumkadhi1760
      @maatumkadhi1760 3 года назад +3

      @@ammaherman3391 nikweli wengine hawajui kiswahil kwa ufasaha wakat ni watanzania wanahaki ya kujua kinachoongelewa

    • @walterkissima7364
      @walterkissima7364 3 года назад

      Wakalimami wapo, hii huchochoea ukabila kitu Nyerere alijitahidi kutomekeza

    • @paschalmichael9744
      @paschalmichael9744 3 года назад

      Kwa hiyo

    • @josephinewangwe9064
      @josephinewangwe9064 3 года назад

      @@maatumkadhi1760 your very bright

  • @edwardchokala2425
    @edwardchokala2425 3 года назад

    Duu wanafunzi kama wote du inakela watoto wa shule tume mpo wapi

  • @edwardchokala2425
    @edwardchokala2425 3 года назад

    Ukambila umeanza kuomba kula? Situtagawanyika mw, nyelele fufuka ujione ukabila ulivo tamalaki kwa wagombea?

  • @rosesanga6163
    @rosesanga6163 3 года назад +1

    ZINGATIA HAYA ILI KUPUNGUZA KASI YA UZEE NA KUZEEKA BILA MAGONJWA MENGI.
    Lishe bora ni muhimu sana.
    Tumia Lishe bora, lishe inayopendekezwa ni ambayo huusishwa na ulaji wa kiwango kidogo cha nyama na kuku, maziwa, divai kidogo na utumiaji wa mafuta ya mzeituni, ulaji mkubwa wa mboga mboga, nafaka matunda na samaki.
    Lishe hii imeonyesha kupunguza hatari ya kupatwa na matatizo ya kiakili kama vile ugonjwa wa Alzheimer.
    zingatia wakati wa kulala na kuamka,
    ni muhimu kwa kazi zinazofanywa na ubongo, mfano, kutoa uchafu kutoka akilini ambao umejikusanyika siku nzima.
    Wakati tunapolala nafasi katika mshipa ya akili huongezeka na kuimarisha ufanyakazi wa ubongo.
    Pia kupunguza kalori (mafuta) kunaweza kupunguza kasi ya kuzeeka.
    Mazoezi ya mara kwa mara pia ni muhimu katika kupunguza athari za kuzeeka.
    Utafiti unaonesha kwamba mazoezi ya viungo yana jukumu muhimu katika ubongo kufanya kazi vizuri na pia kunapunguza kasi ya kupungua kwa ubongo na kuimarisha utendaji kazi wake.
    Kwa upande mwingine, imethibititshwa kwamba watu wenye kiwango cha juu cha elimu au ambao wanadumisha shughuli za kitaaluma - kama kusoma au kupata ujuzi fulani - uwezekano wa wao kuzeeka vibaya uko chini sana.
    Punguza kiwango cha pombe unachokunywa
    Huku ikiwa kunywa kiwango kikubwa cha pombe kunaweza kuhatarisha utendaji kazi wa akili
    Jiepushe na kuvuta sigara
    Uvutaji singara bila shaka ni tabia ambayo inastahili kuepukwa, kwasababu inahusishwa na kuongeza kasi ya kuzeeka kwa ubongo na matatizo ya kiakili
    Yote hayo yanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwa mishipa ya ubongo na kuongeza kasi ya kuzeeka.
    Yaani, unahitajika kupata lishe bora, lala usingizi saa za kutosha zinazohitajika, epuka kunywa pombe kupindukia, usivute sigara na pia epuka kuwa na msongo wa mawazo na fanya mazoezi kiasi.
    Je unahitaji kuzeeka bila kuwa na magonjwa mengi pia kuzeeka bila kupoteza kumbukumbu na kuwa na afya ya macho
    Tutafte kwa msaada zaidi
    0758112592

  • @NaomySinkonde
    @NaomySinkonde Месяц назад

    Unaundug na magufulu nin mbon unapita njia kam za magufuli at kuongea jmn mung akulinde

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 3 года назад +3

    Vilugha kwenye kampeni vimekatazwa why huu ukabila?

    • @dicksonsheja251
      @dicksonsheja251 3 года назад +1

      Kwani lisu alipokua kwao singida alikua akiongea kizaramo??

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 3 года назад

      Vimekatazwa na nani,?hata mimi ningeongea kwetu,unajua mwananchi anapenda ukiongea naye kilugha??anaona haulingii cheo chako,usiwe mshamba

    • @solemba595
      @solemba595 3 года назад

      Kila kabila wakianza kuongea Lugha yao ndio mwanzo wa mgawanyiko, kama watu wote wanaelewa kiswahili Kwann kitumike kilugha, Mwalimu Nyerere alikemea Mambo yanayopelekea kutugawa, kwabahati mbaya kunawatu wanadhani kila anachofanya Mh. Ni sawa lkn wako kimihemko zaidi ya uhalisia.

    • @dtherockguy9003
      @dtherockguy9003 3 года назад

      huyu vp

  • @user-ww6kf5pi2f
    @user-ww6kf5pi2f 2 месяца назад

    Saf san

  • @hasanainkhalid5367
    @hasanainkhalid5367 3 года назад +3

    Hawa watu wanaeneza kisukuma tu

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 3 года назад +1

      @hassan ...kwani hujui kama hiyo lugha baada ya kiswahili ndio hiyo kwa ukubwa na ukikaa usukumani lazima ukiongee utake usitake.

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 3 года назад

      Safi kabisaaaa napenda

    • @julianamasunga700
      @julianamasunga700 3 года назад

      Wewe ulitaka aongee lugha ya baba yako akiwa kanda ya zinaa?mnawewesekaa tulieni tulieni....

    • @dtherockguy9003
      @dtherockguy9003 3 года назад

      watu wivu tyu

  • @mwakaloboambele5161
    @mwakaloboambele5161 3 года назад +1

    Viruga no

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 3 года назад

      Why ni muhimu wananchi wanapenda kiongozi asiyejidai

    • @julianamasunga700
      @julianamasunga700 3 года назад

      JPM siyo mkataaa kwao ...kama huyo raia Wenu wa uberligi

  • @bhokechacha4403
    @bhokechacha4403 3 года назад

    8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiii8iiiiii8iiiiii8i8i8ii8iiiii8ii8888i8iiii8i88iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @LomutelekishonMbario
    @LomutelekishonMbario 2 месяца назад

    Lomute mbario

  • @CyimSky
    @CyimSky 3 года назад

    Hivi ndivyo Bill Gates alivyoweza kupata mafanikio ni lahisi sana ila akili nyingi
    ruclips.net/video/LHV8Lmxh1Rw/видео.html

    • @ammaherman3391
      @ammaherman3391 3 года назад +2

      Kama rahisi mbona ww bado unatafuta subscribers. Si ufanikiwe na ww basi kama rahisi.

    • @nabiiwakwanza6164
      @nabiiwakwanza6164 3 года назад +1

      @@ammaherman3391 achana nae mshamba huyo

    • @rehemaali8242
      @rehemaali8242 3 года назад +1

      Tundu ziiiiiiiiiiiiiiiiii magu oyeeeeeeeeedeeeeeeeeeeeeee