Nampenda Sana Magufuli ila anatuangusha kule Mara vijijini kwa mfano kule Shirati hajawahi kufika wananchi wanashida ya maji ,wananchi wamesahaulika na kule ndipo kuna hospitali kubwa ya wilaya iliyo na shule kubwa pia ya Nursing kwakweli hapo amatusahau.
Kaa na jamii ya Mara wambie wasikosee mwaka huu kama mnataka maendeleo,ivi alete maendeleo wakati viongozi mliowachagua walikimbia colona wakatoka bungeni baada ya kupambana kupigania wananchi wao wenyewe wakakimbia pia kitu kingine kila kukicha wanamtukana Rais hata ingekuwa mm ningewasahau nisingewaletea maendeleo,kwahiyo akili kichwani mwenu ni ushauri tu!
Mbona tundu la choo haliogea luga yake singida?wapinzani aibu mmesha shindwa zamani hata ulaya tunawacheka kwa miemko yote lisu halio kuwanayo huku ulaya tumemchoka
Waandishi wa habari mnaotokana na makabila ya kusini kanda ya ziwa na kati na mashariki na magharibi mnashindwa wapi kutofautisha R & L? #Kuchalaza ndio nini?
@@presseg.6362 wamekusanywa kuongezea vichwa ccm hamna chama hapo kishakufa mama Maria Nyerere aliwaambia siku ile ukweli na uwazi mlimleta kwa nguvu na kumlazimisha aongee jana wanafunzi wameamriwa wabadili nguo waende mkutano yani kifo cha mende
ZINGATIA HAYA ILI KUPUNGUZA KASI YA UZEE NA KUZEEKA BILA MAGONJWA MENGI. Lishe bora ni muhimu sana. Tumia Lishe bora, lishe inayopendekezwa ni ambayo huusishwa na ulaji wa kiwango kidogo cha nyama na kuku, maziwa, divai kidogo na utumiaji wa mafuta ya mzeituni, ulaji mkubwa wa mboga mboga, nafaka matunda na samaki. Lishe hii imeonyesha kupunguza hatari ya kupatwa na matatizo ya kiakili kama vile ugonjwa wa Alzheimer. zingatia wakati wa kulala na kuamka, ni muhimu kwa kazi zinazofanywa na ubongo, mfano, kutoa uchafu kutoka akilini ambao umejikusanyika siku nzima. Wakati tunapolala nafasi katika mshipa ya akili huongezeka na kuimarisha ufanyakazi wa ubongo. Pia kupunguza kalori (mafuta) kunaweza kupunguza kasi ya kuzeeka. Mazoezi ya mara kwa mara pia ni muhimu katika kupunguza athari za kuzeeka. Utafiti unaonesha kwamba mazoezi ya viungo yana jukumu muhimu katika ubongo kufanya kazi vizuri na pia kunapunguza kasi ya kupungua kwa ubongo na kuimarisha utendaji kazi wake. Kwa upande mwingine, imethibititshwa kwamba watu wenye kiwango cha juu cha elimu au ambao wanadumisha shughuli za kitaaluma - kama kusoma au kupata ujuzi fulani - uwezekano wa wao kuzeeka vibaya uko chini sana. Punguza kiwango cha pombe unachokunywa Huku ikiwa kunywa kiwango kikubwa cha pombe kunaweza kuhatarisha utendaji kazi wa akili Jiepushe na kuvuta sigara Uvutaji singara bila shaka ni tabia ambayo inastahili kuepukwa, kwasababu inahusishwa na kuongeza kasi ya kuzeeka kwa ubongo na matatizo ya kiakili Yote hayo yanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwa mishipa ya ubongo na kuongeza kasi ya kuzeeka. Yaani, unahitajika kupata lishe bora, lala usingizi saa za kutosha zinazohitajika, epuka kunywa pombe kupindukia, usivute sigara na pia epuka kuwa na msongo wa mawazo na fanya mazoezi kiasi. Je unahitaji kuzeeka bila kuwa na magonjwa mengi pia kuzeeka bila kupoteza kumbukumbu na kuwa na afya ya macho Tutafte kwa msaada zaidi 0758112592
Kila kabila wakianza kuongea Lugha yao ndio mwanzo wa mgawanyiko, kama watu wote wanaelewa kiswahili Kwann kitumike kilugha, Mwalimu Nyerere alikemea Mambo yanayopelekea kutugawa, kwabahati mbaya kunawatu wanadhani kila anachofanya Mh. Ni sawa lkn wako kimihemko zaidi ya uhalisia.
Ukiwa Single Hakuna Mtu Anayekutafuta Wala Kukupenda Ila Ukiwa Kwenye Mahusiano Yenye Furaha Sasa Hapo Ndo Vishetani Vinajileta. 😁
Wwt
Dr kiLa sehem nakuona una comment iv iv
@@lukaliwakukodiwa1617 kwani kuna tatizo
@@kingfocustzog amna tatz shee wang
Yaan kilichobaki ccm ni kuhamacshana tu tukapige kura wala tucrudie nguvu nyingi tuko wengi sana na ushindi lazm
Hahahahh balaa saan
Na tuna akili sana
Nampenda Sana Magufuli ila anatuangusha kule Mara vijijini kwa mfano kule Shirati hajawahi kufika wananchi wanashida ya maji ,wananchi wamesahaulika na kule ndipo kuna hospitali kubwa ya wilaya iliyo na shule kubwa pia ya Nursing kwakweli hapo amatusahau.
Chama gan kinatawala huko km n upinzan majibu unayo
@@shedrackjacob6038 mimi nashindwa kuelewa kwanini watu wang'anganie kitu hapocho hakiwapi maendeleo yeyote badala ya kufata nyuki wale asali😆😆
Kaa na jamii ya Mara wambie wasikosee mwaka huu kama mnataka maendeleo,ivi alete maendeleo wakati viongozi mliowachagua walikimbia colona wakatoka bungeni baada ya kupambana kupigania wananchi wao wenyewe wakakimbia pia kitu kingine kila kukicha wanamtukana Rais hata ingekuwa mm ningewasahau nisingewaletea maendeleo,kwahiyo akili kichwani mwenu ni ushauri tu!
Tatizo Ni wabunge, ndio hawapeleki taarifa
@@nuruelmada9570 kwa kweli wabunge wanaumiza wananchi mpaka huruma ukiona vibibi vinaangaika hata misaada hamna kama hakuna serikali
Msukuma nakupendaga sana😄😄
Napenda sana kisukuma ndooo maana hata rais wangu nipo nae begakwabega
Baba tupo pamoja sana
Mungu akulaze mahali oema peponi Magufuli
Mpeni kura anawapenda saana
Achakuongea kikabila tutafanya nchi ye2 iwe kama kenya
Mbona tundu la choo haliogea luga yake singida?wapinzani aibu mmesha shindwa zamani hata ulaya tunawacheka kwa miemko yote lisu halio kuwanayo huku ulaya tumemchoka
Tundu shoga lile
Hata mikoa mingine hajui lugha
Haki wanachadema ni mambumbubu wa mwishooo. ...😅😅😅
Mwabheja saaaana ngosha
Waandishi wa habari mnaotokana na makabila ya kusini kanda ya ziwa na kati na mashariki na magharibi mnashindwa wapi kutofautisha R & L? #Kuchalaza ndio nini?
😀😁😀😁😂
Safi sana msukuma
Taarifa ya habari ya saa mbili uck
Msukuma ni machine 👍👍👍 shuleni dalasa la Saba
Maishani Ana degree
Msukuma we noma bungeni ongera sana
Msukuma ni jembe sana 😂
❤❤❤❤❤
Mnaleta malugha yenu huo ndo ukabila tunaosema ongea kiswahili yatoshaa full stop
Apo yuko kwny hyo kanda uo sio ukabila hzo ni njia tu za kuwafurahisha wananch wa hyo kand ili apte kura
Utaelewa tuu
Mtaelewaa tuuuu 😅😅😅😅
Utaelewa
1:30
Yani ccm hamna aibu mnakusanya wanafunzi
Kwani wanafunzi siyo watanzania!? Nyie chadema msipoongea kuna tatizo gani, mbona kila mnapata tuu kasoro!! Sijui mkoje asee
@@presseg.6362 wanafunzi sio wapiga kura mnasomba wanafunzi kurudi nyumbani mnawatelekeza acheni siasa imewashinda
Kwani hawapaswi kumwona Rais wako!?
@@presseg.6362 wamekusanywa kuongezea vichwa ccm hamna chama hapo kishakufa mama Maria Nyerere aliwaambia siku ile ukweli na uwazi mlimleta kwa nguvu na kumlazimisha aongee jana wanafunzi wameamriwa wabadili nguo waende mkutano yani kifo cha mende
Wapiga kura wapo sana sana subiri28oct ndiyo utajua pole sana endeleeni kujifariji chadomo
Tumeshashinda hdi Hapo
Kanyaga Twende baba.
Kilugha huwa hakiruhusiwi kwenye kampeni
Aliyekwambiaga nani?
Tanzania ni nchi huru na ina makabila.
@@ammaherman3391 nikweli wengine hawajui kiswahil kwa ufasaha wakat ni watanzania wanahaki ya kujua kinachoongelewa
Wakalimami wapo, hii huchochoea ukabila kitu Nyerere alijitahidi kutomekeza
Kwa hiyo
@@maatumkadhi1760 your very bright
Duu wanafunzi kama wote du inakela watoto wa shule tume mpo wapi
Ukambila umeanza kuomba kula? Situtagawanyika mw, nyelele fufuka ujione ukabila ulivo tamalaki kwa wagombea?
ZINGATIA HAYA ILI KUPUNGUZA KASI YA UZEE NA KUZEEKA BILA MAGONJWA MENGI.
Lishe bora ni muhimu sana.
Tumia Lishe bora, lishe inayopendekezwa ni ambayo huusishwa na ulaji wa kiwango kidogo cha nyama na kuku, maziwa, divai kidogo na utumiaji wa mafuta ya mzeituni, ulaji mkubwa wa mboga mboga, nafaka matunda na samaki.
Lishe hii imeonyesha kupunguza hatari ya kupatwa na matatizo ya kiakili kama vile ugonjwa wa Alzheimer.
zingatia wakati wa kulala na kuamka,
ni muhimu kwa kazi zinazofanywa na ubongo, mfano, kutoa uchafu kutoka akilini ambao umejikusanyika siku nzima.
Wakati tunapolala nafasi katika mshipa ya akili huongezeka na kuimarisha ufanyakazi wa ubongo.
Pia kupunguza kalori (mafuta) kunaweza kupunguza kasi ya kuzeeka.
Mazoezi ya mara kwa mara pia ni muhimu katika kupunguza athari za kuzeeka.
Utafiti unaonesha kwamba mazoezi ya viungo yana jukumu muhimu katika ubongo kufanya kazi vizuri na pia kunapunguza kasi ya kupungua kwa ubongo na kuimarisha utendaji kazi wake.
Kwa upande mwingine, imethibititshwa kwamba watu wenye kiwango cha juu cha elimu au ambao wanadumisha shughuli za kitaaluma - kama kusoma au kupata ujuzi fulani - uwezekano wa wao kuzeeka vibaya uko chini sana.
Punguza kiwango cha pombe unachokunywa
Huku ikiwa kunywa kiwango kikubwa cha pombe kunaweza kuhatarisha utendaji kazi wa akili
Jiepushe na kuvuta sigara
Uvutaji singara bila shaka ni tabia ambayo inastahili kuepukwa, kwasababu inahusishwa na kuongeza kasi ya kuzeeka kwa ubongo na matatizo ya kiakili
Yote hayo yanaweza kusababisha uharibifu mkubwa kwa mishipa ya ubongo na kuongeza kasi ya kuzeeka.
Yaani, unahitajika kupata lishe bora, lala usingizi saa za kutosha zinazohitajika, epuka kunywa pombe kupindukia, usivute sigara na pia epuka kuwa na msongo wa mawazo na fanya mazoezi kiasi.
Je unahitaji kuzeeka bila kuwa na magonjwa mengi pia kuzeeka bila kupoteza kumbukumbu na kuwa na afya ya macho
Tutafte kwa msaada zaidi
0758112592
Unaundug na magufulu nin mbon unapita njia kam za magufuli at kuongea jmn mung akulinde
Vilugha kwenye kampeni vimekatazwa why huu ukabila?
Kwani lisu alipokua kwao singida alikua akiongea kizaramo??
Vimekatazwa na nani,?hata mimi ningeongea kwetu,unajua mwananchi anapenda ukiongea naye kilugha??anaona haulingii cheo chako,usiwe mshamba
Kila kabila wakianza kuongea Lugha yao ndio mwanzo wa mgawanyiko, kama watu wote wanaelewa kiswahili Kwann kitumike kilugha, Mwalimu Nyerere alikemea Mambo yanayopelekea kutugawa, kwabahati mbaya kunawatu wanadhani kila anachofanya Mh. Ni sawa lkn wako kimihemko zaidi ya uhalisia.
huyu vp
Saf san
Hawa watu wanaeneza kisukuma tu
@hassan ...kwani hujui kama hiyo lugha baada ya kiswahili ndio hiyo kwa ukubwa na ukikaa usukumani lazima ukiongee utake usitake.
Safi kabisaaaa napenda
Wewe ulitaka aongee lugha ya baba yako akiwa kanda ya zinaa?mnawewesekaa tulieni tulieni....
watu wivu tyu
Viruga no
Why ni muhimu wananchi wanapenda kiongozi asiyejidai
JPM siyo mkataaa kwao ...kama huyo raia Wenu wa uberligi
8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiii8iiiiii8iiiiii8i8i8ii8iiiii8ii8888i8iiii8i88iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii8iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Lomute mbario
Hivi ndivyo Bill Gates alivyoweza kupata mafanikio ni lahisi sana ila akili nyingi
ruclips.net/video/LHV8Lmxh1Rw/видео.html
Kama rahisi mbona ww bado unatafuta subscribers. Si ufanikiwe na ww basi kama rahisi.
@@ammaherman3391 achana nae mshamba huyo
Tundu ziiiiiiiiiiiiiiiiii magu oyeeeeeeeeedeeeeeeeeeeeeee