KIGOGO AFICHUA | MWENDOKASI BONGO FULL KIYOYOZI, KAHAWA
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- DAR ES SALAAM: MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), Dk Athumani Kihamia amesema wapo mbioni kuleta mabasi ya kisasa zenye huduma bora na za kisasa ambayo yatahusika katika safari ndefu na za moja kwa moja kwa gharama za tofauti na ilivyozoeleka.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
So sad.. Dailynews inaandika headline isiyo endana na habari yenyewe. Kigogo afichua? Mwendokasi Bongo full kiyoyozi? Na cover photo ambayo siyo part ya story 😢😢😢
Ziara ya nn na mradi wamesha uuza...mbwembwe tu...
Kwa hiyo tofauti ya operation between mbagala na gongo la mboto ni mwezi moja tu
Hamna mpango eti “tumewaongezea muda mpaka March “ yaani miezi 10 !
Hiz siasa hiz eti 98.9%...
YOTE MNATAKA KURA TU ,