BOSS wa KIWANDA KIPYA cha MAGARI KIGAMBONI MBELE ya RAIS SAMIA - ''MAGARI 150 TUSHATENGENEZA''....
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- BOSS wa KIWANDA KIPYA cha MAGARI KIGAMBONI MBELE ya RAIS SAMIA - ''MAGARI 150 TUSHATENGENEZA''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Public speaking is an art.
Upo sawa kabisa
Mama samia naomba watanzania wapate kazi kwenye hicho kiwanda 80% 20% iwe ya mwanye kiwanda
Kazi iendelee
Safi sana viwanda ndy uchumi
Kuongeza ushuru wa magari kutoka nje ya nchi ili kulinda assembly plant ni wazo baya. Hiki kiwanda hakitengenezi magari, bali kinaunganisha magari kutoka nchi nyingine. Mkurugenzi atofautishe kutengeneza na kuunganisha. Mbili hii habari ya kulinda viwanda vya ndani ndiyo chanzo cha kupunguza ubunifu na ushindani. Ndiyo maana viwanda vyetu vya sukari vimebweteka.
upo sawa
Ninampango wa kuanzisha kiwanda cha ndege 2025
Tractors za kilimo au za semi?
Nani kama mama
Nabei isiwe kubwa kwa watanzania kwasababu kimondani ya Tanzania
Mama yupo vizuri
Namkubali mama samia ww ukitaka kufungua biashara yy ruksa muhim watanzania wapate ajira
Ni viwanda vya utengenezaji gari au karakana za kuunganinisha magari?
Yaani kufungua karakana ya kuunganisha mahari ndio unamshauri rais apandishe ushuru kwa mahari yanayotoka nje ya tanzania...yaani una force watu kununua hiyo takataka mu ayounganisha wajanja wajanja?
Bas mtupatie ajira sisi wahanga wa ajira
Hajui kiswahili vizuri ndio maana ameongea kwa ufupi
Anajua kiswahili ni mtu wa Tanga Ngamian
Wajua tena meza kuu tena mbele ya Rais.
Nimemsikiliza huyu mtoa taarifa,, Campuni ilisajiliwa tareh 20 mwezi wa apriili,hajataja mwaka.
Kiwanda kilianza kujengwa lini hajataja mwaka kilipo anza ametaja mwaka kipipo kamilika, hotuba ina matobo matobo sijui kwa faida ya nani.
Kuna watu wapumbavu uvumbuzi wa kiwanda cha mtu binafsi watu wanavaa full suti ya ccm mpka kofia
viwanda kama hivi vinatakiwa kodi ifutwe kabisa
Alafu taifa litajiongozaje bila mapato ?
Huna akili wewe😊
😮😮😮😮😮😮Mungu akujalie usishike uongozi wowote serikalini...
@@onetwoem1808kabisa maana ichi ita kuwa dample
Sio kiwanda cha magari,
Sema kiwanda cha kuunganisha magari.
Maana ukisema kiwanda cha magari, una maanisha wanaanza process ya kwanza adi mwisho ambacho kitu sio kweli.
mtanisameh pikipiki si inakuja kuunganishwa hapa mm naona kama ni garege iliochangamka
Angetafuta mtu wa kumsaidia kuongea
Wawekezaji kibao maendoleo ya nchi yakochini sasa huoniuwekezaji au utoloshajiwamalizanchi? Balabala mbovu madalasa mabovu hosptali madawa Hakuna flay ova nizlezle za mjomba jpm Hakuna hata1klichoongezeka tangu jpm atutoke sanasana vimepungua jpm alikuwA anaiendesha miladiyote nakuanzisha mipya kz yakusifiana ujinga
Jamaaa kuongea pumba tupu shusha bei ww cio uwombe ushuru uzidi au wambie wakupunguzie kodi
uyu jamaa kumbe ni kenge tena omba kiwanda kifutiwe ushuru