LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2024
  • LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI MWILI WA GADNER YAWASILI NYUMBANI KWAKE KWA MAZIKO ALIPOZALIWA ROMBO/VIONGOZI NA MASTAA WALIFIKA KINACHO ENDELEA MSIBANI NYUMBANI KWA GADNER HABASHI/MASTAA NA NDUNGU WALIOFIKA MSIBANI #GADNER #MSIBAWAGADNER #MSIBAWAGADNEHABASH #NYUMBANIKWAGADNER #MWILIWAGADNERKIKE;LELWA #KIKELELWA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 43

  • @HellenLyimo-tz6yg
    @HellenLyimo-tz6yg 12 дней назад +6

    Dada wa Gadna ana ujasiri wa kimungu kabisa ndani yake...pole sana Dr pole familia pole mdogo wangu careen....Mungu awe faraja kwenu

  • @LeticiaManugwa-ii9tf
    @LeticiaManugwa-ii9tf 12 дней назад +4

    Caren mdogo wang pole sn mungu akutie nguv kipig hiki kingm...mm trh kama yaleo baba yang alipoteza maisha nakuomba uwe karibu namungu hakuna litakaloshindikana

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk 12 дней назад +2

    Mungu pekee analiweza hili ndani yenu....polen sana sana baba na familia nzima😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏

  • @felixmkude393
    @felixmkude393 12 дней назад +1

    Pumzika Kwa amani brother G

  • @mohamedabdallah4857
    @mohamedabdallah4857 12 дней назад +1

    Poleni sana familia

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 12 дней назад +1

    Nenda Salama Garden

  • @user-ui6hw6vt7l
    @user-ui6hw6vt7l 12 дней назад

    Ameen

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 12 дней назад

    Duh aisee inauma sana hapo Sasa ndo pananishindaga ni pagumu sana mungu saidi Hawa wafiwa uwatetere pole pole wammalinzie hiyo ngwe salama mungu awatie nguvu

  • @irynemahimbo663
    @irynemahimbo663 12 дней назад

    Kuondokewa kugumu mungu akawe faraja ya kwel kwenu

  • @AshuraMaulid
    @AshuraMaulid 12 дней назад

    Tena anaonekana mjamzito careen pole sana Mungu akupe nguvu zaidi

    • @user-el6ec5qh6q
      @user-el6ec5qh6q 12 дней назад

      Alikua mubaba wake 😢

    • @irhamseif
      @irhamseif 12 дней назад

      Baba yake mzazi​@@user-el6ec5qh6q

  • @neemasifael
    @neemasifael 12 дней назад +1

    Faraja ya Mungu iwe kwenu wapendwa wetu inauma jamani

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb 12 дней назад

    Mungu wape stahamara wafiwa😢

  • @linahmlay8512
    @linahmlay8512 12 дней назад

    Jamani uyu dada mungu akutie nguvu

    • @ninayamat8213
      @ninayamat8213 12 дней назад +1

      Nikimwangalia careen anavyojikaza namwonea huruma mno wamwache alie atoe uchungu😢😢😢

    • @linahmlay8512
      @linahmlay8512 4 дня назад

      @@ninayamat8213 kabisa

  • @Njeriii536
    @Njeriii536 12 дней назад

    😢😢😢😢

  • @pendojoseph9428
    @pendojoseph9428 12 дней назад +1

    Gumu kupokea R.I.P

  • @edithafrancis847
    @edithafrancis847 12 дней назад

    R,i,p Captain G Habash

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 12 дней назад

    😭😭😭😭💔💔

  • @edithafrancis847
    @edithafrancis847 12 дней назад

    Sauti ipo chini sana

  • @anisaanisa2614
    @anisaanisa2614 12 дней назад

    😭😭😭😭😭😊

  • @remyjuma1115
    @remyjuma1115 12 дней назад

    😢😢😢

  • @user-is3uf8dy3q
    @user-is3uf8dy3q 12 дней назад

    😭😭😭😭😭

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 12 дней назад +4

    Unajua tusichokijua bidamu hayo mauwa hayasaidii chochote kwenye hiyo nyakati ngumu sana kwa binadamu... Mungu atupe mwisho mwema

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 12 дней назад +1

    Nimeangalia kwa umakini😢😢sana huu msiba umejaa wanafki kibao ila yote kwa yote kila nafsi itaonja umauti😢😢

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 11 дней назад

      Huu ni msiba hakuna haja ya kuongelea waliofika eti kuna wanafiki wewe umewajuaje kama sio mmoja wao? Mungu hapendi tabia ya kufikiria wengine vibaya.

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 12 дней назад

    kila mtu ataabusiwa kwa dini yake muslim christ tuacheni mizozo ya dini

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 12 дней назад +3

    Na iyo mimbo yao sasa mtu kafariki ila wa christ ni hatari ALLAH atuongoze tufe hali yakuwa ni wa islam

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 12 дней назад +3

      Hivi nyinyi wakristo waliwakoseaga nini,mbona mnahangaika nao sana? Unafwatilia vya nini yaani ili ukosoe,au utukane imani za wengine. Hebu punguzeni obsession.......a.k.a shobo

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 12 дней назад +1

      kila mtu abudu achokiamini nyie waislam mnamatatizo gani? kujiona dini yenu ndio muhim kuliko wakristo hee mmezidi jamani

    • @user-rv2gb1ym9d
      @user-rv2gb1ym9d 12 дней назад

      Acheni kukashifu dini

    • @erickmajengo1861
      @erickmajengo1861 12 дней назад +1

      Yaan utafikiri wao wamekamilika khaa wanakera sanaa

    • @user-dz8uy1ow3x
      @user-dz8uy1ow3x 11 дней назад

      Yan hao watu wanaona wenyewe ndio wanadini peke Yao wanaamin mungu ni wao peke Yao jaman mungu tunaemwabudu ni mmoja sa cjui kwann wanapenda kutukashifu wakristo yn mi nakelekwa sana