LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2024
- LADY JAYDEE/ CAREEN NA WAFANYAKAZI WENZAKE WAKIAGA MWILI MARA YA MWISHO KWENDA KUZIKWA/WANAKIJIJI MWILI WA GADNER YAWASILI NYUMBANI KWAKE KWA MAZIKO ALIPOZALIWA ROMBO/VIONGOZI NA MASTAA WALIFIKA KINACHO ENDELEA MSIBANI NYUMBANI KWA GADNER HABASHI/MASTAA NA NDUNGU WALIOFIKA MSIBANI #GADNER #MSIBAWAGADNER #MSIBAWAGADNEHABASH #NYUMBANIKWAGADNER #MWILIWAGADNERKIKE;LELWA #KIKELELWA
- Развлечения
Dada wa Gadna ana ujasiri wa kimungu kabisa ndani yake...pole sana Dr pole familia pole mdogo wangu careen....Mungu awe faraja kwenu
Caren mdogo wang pole sn mungu akutie nguv kipig hiki kingm...mm trh kama yaleo baba yang alipoteza maisha nakuomba uwe karibu namungu hakuna litakaloshindikana
Mungu pekee analiweza hili ndani yenu....polen sana sana baba na familia nzima😭😭😭😭😭🤲🙏🙏🙏🙏
Pumzika Kwa amani brother G
Poleni sana familia
Nenda Salama Garden
Ameen
Duh aisee inauma sana hapo Sasa ndo pananishindaga ni pagumu sana mungu saidi Hawa wafiwa uwatetere pole pole wammalinzie hiyo ngwe salama mungu awatie nguvu
Kuondokewa kugumu mungu akawe faraja ya kwel kwenu
Tena anaonekana mjamzito careen pole sana Mungu akupe nguvu zaidi
Alikua mubaba wake 😢
Baba yake mzazi@@user-el6ec5qh6q
Faraja ya Mungu iwe kwenu wapendwa wetu inauma jamani
Mungu wape stahamara wafiwa😢
Jamani uyu dada mungu akutie nguvu
Nikimwangalia careen anavyojikaza namwonea huruma mno wamwache alie atoe uchungu😢😢😢
@@ninayamat8213 kabisa
😢😢😢😢
Gumu kupokea R.I.P
R,i,p Captain G Habash
😭😭😭😭💔💔
Sauti ipo chini sana
😭😭😭😭😭😊
😢😢😢
😭😭😭😭😭
Unajua tusichokijua bidamu hayo mauwa hayasaidii chochote kwenye hiyo nyakati ngumu sana kwa binadamu... Mungu atupe mwisho mwema
Unadhani kuna ambae hajui hicho unachosema tusichokijua
Kwaiyo tukusaidiaje mzee!
Sasa Maua yamefanyaje Tena
Sasa Maua yamefanyaje tena
Roho mbaya tu wewe..msiba ni utamaduni
Nimeangalia kwa umakini😢😢sana huu msiba umejaa wanafki kibao ila yote kwa yote kila nafsi itaonja umauti😢😢
Huu ni msiba hakuna haja ya kuongelea waliofika eti kuna wanafiki wewe umewajuaje kama sio mmoja wao? Mungu hapendi tabia ya kufikiria wengine vibaya.
kila mtu ataabusiwa kwa dini yake muslim christ tuacheni mizozo ya dini
Na iyo mimbo yao sasa mtu kafariki ila wa christ ni hatari ALLAH atuongoze tufe hali yakuwa ni wa islam
Hivi nyinyi wakristo waliwakoseaga nini,mbona mnahangaika nao sana? Unafwatilia vya nini yaani ili ukosoe,au utukane imani za wengine. Hebu punguzeni obsession.......a.k.a shobo
kila mtu abudu achokiamini nyie waislam mnamatatizo gani? kujiona dini yenu ndio muhim kuliko wakristo hee mmezidi jamani
Acheni kukashifu dini
Yaan utafikiri wao wamekamilika khaa wanakera sanaa
Yan hao watu wanaona wenyewe ndio wanadini peke Yao wanaamin mungu ni wao peke Yao jaman mungu tunaemwabudu ni mmoja sa cjui kwann wanapenda kutukashifu wakristo yn mi nakelekwa sana