Baba Mzazi wa GARDNER Aongea kwa Uchungu Akimuaga Mtoto wake mbele ya Umati

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 34

  • @elizabethruwa8889
    @elizabethruwa8889 12 дней назад +10

    Baba jasiri sana mungu akupe faraja

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 12 дней назад +9

    Mzee Gabriel shabash Mungu akupe faraja akuzidishie Amani,umetupa somo kubwa la maisha🙏

    • @MonikaSaimoni
      @MonikaSaimoni 12 дней назад

      Kweli kabisa ❤❤❤❤ nimempenda bule baba

    • @user-bx1eo2wc4h
      @user-bx1eo2wc4h 11 дней назад

      😂

    • @milley7185
      @milley7185 11 дней назад

      Hii Kauli aliiongea gadner mwaka 2000 2001 akitoa shukrani kwa mzee habash ..kila neno uliloongea aliongea yeye ...miaka hiyo kweli anaishi ndani ya mioyo yenu.

  • @raheltimothydoday8990
    @raheltimothydoday8990 12 дней назад +9

    Maneno mazuri kutoka kwa baba. Mungu akupe faraja

  • @JaydanOfficial
    @JaydanOfficial 12 дней назад +4

    Polee sanaa Mungu amulaze mahali pema peponi

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 12 дней назад +4

    Baba pole sana na hongera kwa ushawishi wako

  • @mariakisinda-pe7us
    @mariakisinda-pe7us 12 дней назад +3

    Poleni sana wazazi na ndugu wengindine

  • @user-rr8cw8yl5o
    @user-rr8cw8yl5o 12 дней назад +3

    Hahahahaha baba hongera sana na hiyo salam ya kiislam imetosha mwenyezi Mungu akupe nguvu na subra

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b 12 дней назад +3

    Babaa anaulia.lkn yupo na ngumi mashallah mungu akupe nguvu zaid

  • @user-mj7rg8tu4f
    @user-mj7rg8tu4f 11 дней назад +1

    Poleni baba G
    Injili ya Bwana Yesu isonge mbele

  • @FranceMarkHipolit
    @FranceMarkHipolit 7 дней назад

    Baba jasiri sana....tunawaombea kwa kipindi hiki kigumu katika familia

  • @joachimsamwel812
    @joachimsamwel812 12 дней назад +3

    Mungu wape wepesi.

  • @milley7185
    @milley7185 12 дней назад +7

    😂😂😂😂😂😂😂 gadner anacheka mbinguni baba yake anapiga harambee ya Kanisa watu Kwenda mbinguni...hatari ila yuko vizuri😊

  • @BlandinaMassawe
    @BlandinaMassawe 4 дня назад

    Mchaga amesoma ramani wasanii toeni sadaka hamtoki bure😂😂😂

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 12 дней назад +3

    Baba Anaujasir san , MUNGU akupe nguvu

  • @dazuujuma778
    @dazuujuma778 12 дней назад +4

    😂😂😂😂 pole baba Mungu akawe mfariji wako

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 12 дней назад +5

    Hao ndio wachaga.wakiona watu wamjini.wanahakikisha mpka wakiondoka wameacha pesa ndefu.hivyo ndivyo wachaga wanafanya.sio ss makabila yetu tunazika tu nakuondoka

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 12 дней назад +2

    Gardner kachukua sauti kwa mzee

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 12 дней назад

    Baba yuko vzr

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 12 дней назад +1

    Baba wa mjini raha sana😂

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 12 дней назад +1

    Baba eti mm nikijimzee 😅😅

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 12 дней назад +1

    Mzee anajielewa

  • @MagnusWoisso
    @MagnusWoisso 12 дней назад

    Alale mahal pemah!🕊️🙏🏼🕊️

  • @masoromashauri1256
    @masoromashauri1256 11 дней назад

    Hakuna kitu kinauma kama kumzika mwana😢😢😢

  • @ZuhuraKazembe
    @ZuhuraKazembe 11 дней назад

    Jamani mbona mtoto wa pili hamumpi pole zaidi ya careen au yy hana taarifa

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 12 дней назад +1

    Ameiin

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t 12 дней назад +2

    Baba jasiri sana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 10 дней назад

    Okay😢

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 12 дней назад +1

    Mashallah babaetu🇰🇪