Baba Mzazi wa GARDNER Aongea kwa Uchungu Akimuaga Mtoto wake mbele ya Umati
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - Развлечения
Baba jasiri sana mungu akupe faraja
Mzee Gabriel shabash Mungu akupe faraja akuzidishie Amani,umetupa somo kubwa la maisha🙏
Kweli kabisa ❤❤❤❤ nimempenda bule baba
😂
Hii Kauli aliiongea gadner mwaka 2000 2001 akitoa shukrani kwa mzee habash ..kila neno uliloongea aliongea yeye ...miaka hiyo kweli anaishi ndani ya mioyo yenu.
Maneno mazuri kutoka kwa baba. Mungu akupe faraja
Polee sanaa Mungu amulaze mahali pema peponi
Baba pole sana na hongera kwa ushawishi wako
Poleni sana wazazi na ndugu wengindine
Hahahahaha baba hongera sana na hiyo salam ya kiislam imetosha mwenyezi Mungu akupe nguvu na subra
Babaa anaulia.lkn yupo na ngumi mashallah mungu akupe nguvu zaid
Poleni baba G
Injili ya Bwana Yesu isonge mbele
Baba jasiri sana....tunawaombea kwa kipindi hiki kigumu katika familia
Mungu wape wepesi.
😂😂😂😂😂😂😂 gadner anacheka mbinguni baba yake anapiga harambee ya Kanisa watu Kwenda mbinguni...hatari ila yuko vizuri😊
😂😂😂😂😂
Mchaga amesoma ramani wasanii toeni sadaka hamtoki bure😂😂😂
Baba Anaujasir san , MUNGU akupe nguvu
😂😂😂😂 pole baba Mungu akawe mfariji wako
Mbona umecheka😭😭😭
Hao ndio wachaga.wakiona watu wamjini.wanahakikisha mpka wakiondoka wameacha pesa ndefu.hivyo ndivyo wachaga wanafanya.sio ss makabila yetu tunazika tu nakuondoka
Wachaga
Gardner kachukua sauti kwa mzee
Baba yuko vzr
Baba wa mjini raha sana😂
Baba eti mm nikijimzee 😅😅
Mzee anajielewa
Alale mahal pemah!🕊️🙏🏼🕊️
Hakuna kitu kinauma kama kumzika mwana😢😢😢
Jamani mbona mtoto wa pili hamumpi pole zaidi ya careen au yy hana taarifa
Ameiin
Baba jasiri sana
Okay😢
Mashallah babaetu🇰🇪