MWANAHERI WA JUAKALI AMCHAMBA MANGE KIMAMBI KUACHWA NA MUMEWE/MIMI MZURI SANA/WANAONIITA SHANGAZI
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- MWANAHERI WA JUAKALI AMCHAMBA MANGE KIMAMBI KUACHWA NA MUMEWE/MIMI MZURI SANA/WANAONIITA SHANGAZI MWANAHERI AFUNGUKA KUCHUKIWA KISA JUAKALI/SIJATENGENEZA SHAPE/SIJIBU DM ZA KUTONGOZWA/BIASHARA #MWANAHERI #MWANAHERIWAJUAKALI #carrymastorytv #MWANAHERIMANGE #MWANAHERIKIMAMBI #carrymastorytv
- Развлечения
NIMEMPENDA SANA HUYU DADA ANAJIAMINI SANA
KUJIAMINI UZURI SANA
👏👏👏na Mimi sinto acha kukupenda
Me nampenda sanaa
Jamani hata nyanya ukijisugulia tu usoni basi nzuri
Mbona mwanaeri mzuri san jamani me nampenda sioni kasoro yake ata moja acheni unafiki wale mnao leta unafiwenu tena nisisikie jambo lolote baya kuusu mwanaeri nitachamba Vibaya mno
Nimependa nimependa nimependa nimependa nimependa mpaka nimependa tena mwanaeri unaweza ujawai kuniangusha mungu akupe maisha marefu zaidi na zaidi naomba unitafute dada yangu kipenzi
Madam simba kama Madam cimba. Hujawah kushndwa achana nao wakuda wenye midomo yao ilokosa chakutafuna.
Hong era maneno kuntu.
Ila tupe mafuta yako.tupendeze ka.a wwe wooo.wemzuri
Wakwanza like hapa
Mpe IMELDA MTEMA hizo sabuni akatumie apendeze ..
Nae anapendeza pia au unahisi kujichubua ndio urembo basi imelda mtema rangi ninzuri anajiamini
@@ukhtyrayyan7884 kwani wapi wamesema hiyo sabuni inachubua ??
Kwakweli
😂😂😂😂wamakonde wazuli bwana alfu tunajikubali
Umeonaa eee akuna wa kunyata
@@EvaWaziri-so3gi ndio ndio dada
I agree, sisi Ni visu , Mimi mwenyewe nime mix na Makonde . Najikubali sanaaaaaaaa
Acha kudanganya jamii wamakonde wazurii??? Kuanzia lini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@estherminnahboaz6956 You don’t know NOTHING ABOUT WAMAKONDO you need to know there is an area in Lindi kuna wamakonde wengi wamechanganya Arabs and Makonde kaawaangali walivyokua wazuri . NENDA MIKINDANI KAONE NDIO UTAELEWA, usiropoke Vitu hujui bogus kabisa wewe , kuna wamakonde pure na mixer , WOTE WAZURIIIII
NENDA KAJIONEE NENDA MIKINDANI NA KILWA UKAJIFUNZE MENGI USIYO YAJUA
❤❤
Okay she is not that big of a star to rants like this 😂😂
Hiyo sabuni inapatikana wapi?
maelezo huyasikii ndugu?
Njoo nikuizie
Tatizo sio mashavu ila appearance yako huwezi kujiita mzurii hata wakawaida pia haupo 😂😂😂😂😂 yani wakawaida ni kama kina aunty ila wewe ni mbaya unaejikubali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Km mbaya kamuumbe wew
Naubaya hana nahasi anajikubali na anajiamini
😄😂😂😂😂😂wivu sasa kilo
Wala sio mbaya uyu dada kwakweli
hawakumuona love wajua kali akijisifu yy nimzuri kuliko wote kwahiyo kila mwanamke ujivunia umbosura shape hakuna mwanamke usema mimi mbaya hatahuyu nimzuri tu