MWANAHERI WA JUAKALI AMCHAMBA MANGE KIMAMBI KUACHWA NA MUMEWE/MIMI MZURI SANA/WANAONIITA SHANGAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • MWANAHERI WA JUAKALI AMCHAMBA MANGE KIMAMBI KUACHWA NA MUMEWE/MIMI MZURI SANA/WANAONIITA SHANGAZI MWANAHERI AFUNGUKA KUCHUKIWA KISA JUAKALI/SIJATENGENEZA SHAPE/SIJIBU DM ZA KUTONGOZWA/BIASHARA #MWANAHERI #MWANAHERIWAJUAKALI #carrymastorytv #MWANAHERIMANGE #MWANAHERIKIMAMBI #carrymastorytv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 34

  • @dubai8594
    @dubai8594 14 дней назад +3

    NIMEMPENDA SANA HUYU DADA ANAJIAMINI SANA
    KUJIAMINI UZURI SANA

  • @nevermgawe2802
    @nevermgawe2802 12 дней назад

    👏👏👏na Mimi sinto acha kukupenda

  • @user-oq2wp8oh1f
    @user-oq2wp8oh1f 14 дней назад +1

    Me nampenda sanaa

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 13 дней назад

    Jamani hata nyanya ukijisugulia tu usoni basi nzuri

  • @MorejayTz
    @MorejayTz 13 дней назад

    Mbona mwanaeri mzuri san jamani me nampenda sioni kasoro yake ata moja acheni unafiki wale mnao leta unafiwenu tena nisisikie jambo lolote baya kuusu mwanaeri nitachamba Vibaya mno

  • @MorejayTz
    @MorejayTz 13 дней назад +1

    Nimependa nimependa nimependa nimependa nimependa mpaka nimependa tena mwanaeri unaweza ujawai kuniangusha mungu akupe maisha marefu zaidi na zaidi naomba unitafute dada yangu kipenzi

  • @NageMsuya
    @NageMsuya 14 дней назад +1

    Madam simba kama Madam cimba. Hujawah kushndwa achana nao wakuda wenye midomo yao ilokosa chakutafuna.

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki 14 дней назад

    Hong era maneno kuntu.
    Ila tupe mafuta yako.tupendeze ka.a wwe wooo.wemzuri

  • @Lulucut
    @Lulucut 14 дней назад

    Wakwanza like hapa

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 14 дней назад +1

    Mpe IMELDA MTEMA hizo sabuni akatumie apendeze ..

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 13 дней назад +2

      Nae anapendeza pia au unahisi kujichubua ndio urembo basi imelda mtema rangi ninzuri anajiamini

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 13 дней назад

      @@ukhtyrayyan7884 kwani wapi wamesema hiyo sabuni inachubua ??

    • @MorejayTz
      @MorejayTz 13 дней назад

      Kwakweli

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 14 дней назад +5

    😂😂😂😂wamakonde wazuli bwana alfu tunajikubali

    • @EvaWaziri-so3gi
      @EvaWaziri-so3gi 14 дней назад +1

      Umeonaa eee akuna wa kunyata

    • @rahmaoman470
      @rahmaoman470 14 дней назад

      @@EvaWaziri-so3gi ndio ndio dada

    • @htx1873
      @htx1873 14 дней назад

      I agree, sisi Ni visu , Mimi mwenyewe nime mix na Makonde . Najikubali sanaaaaaaaa

    • @estherminnahboaz6956
      @estherminnahboaz6956 14 дней назад +2

      Acha kudanganya jamii wamakonde wazurii??? Kuanzia lini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @htx1873
      @htx1873 14 дней назад

      @@estherminnahboaz6956 You don’t know NOTHING ABOUT WAMAKONDO you need to know there is an area in Lindi kuna wamakonde wengi wamechanganya Arabs and Makonde kaawaangali walivyokua wazuri . NENDA MIKINDANI KAONE NDIO UTAELEWA, usiropoke Vitu hujui bogus kabisa wewe , kuna wamakonde pure na mixer , WOTE WAZURIIIII
      NENDA KAJIONEE NENDA MIKINDANI NA KILWA UKAJIFUNZE MENGI USIYO YAJUA

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo 14 дней назад

    ❤❤

  • @ikentertainment3145
    @ikentertainment3145 14 дней назад

    Okay she is not that big of a star to rants like this 😂😂

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 14 дней назад

    Hiyo sabuni inapatikana wapi?

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 14 дней назад +1

    Tatizo sio mashavu ila appearance yako huwezi kujiita mzurii hata wakawaida pia haupo 😂😂😂😂😂 yani wakawaida ni kama kina aunty ila wewe ni mbaya unaejikubali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-zd2vv6px5m
      @user-zd2vv6px5m 14 дней назад +2

      Km mbaya kamuumbe wew

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 13 дней назад +6

      Naubaya hana nahasi anajikubali na anajiamini

    • @Channelque890
      @Channelque890 13 дней назад +1

      😄😂😂😂😂😂wivu sasa kilo

    • @user-bt6zu9hw1e
      @user-bt6zu9hw1e 13 дней назад +1

      Wala sio mbaya uyu dada kwakweli

    • @aminaabdalla9949
      @aminaabdalla9949 10 дней назад +1

      hawakumuona love wajua kali akijisifu yy nimzuri kuliko wote kwahiyo kila mwanamke ujivunia umbosura shape hakuna mwanamke usema mimi mbaya hatahuyu nimzuri tu