MKE WA MASOUD KIPANYA AFUNGUKA KUHUSU KUACHIKA/SIJAWAHI MVUNJIA HESHIMA/KUHUSU WAKE WANNE NIMEKUBALI
HTML-код
- Опубликовано: 15 май 2024
- MKE WA MASOUD KIPANYA ATOA UFAFANUZI KUHUSU NDOA YAKE; PIA KUHUSU VIDEO ALIYOJIREKODI AKIWA ANALIA INSATAGRAM.
#carrymastorytv #masoudkipanya - Развлечения
Pole yako mwanamke ukiachwa achika songa mbele na maisha yako mapya usijidhalilishe ingawa unaumia lakini unatakiwa umuamini na kumuomba Mungu atakufungulia njia nyengine ya maisha
Ukiachwa kula ushibe ,kunywa maji mengi sana,jipende pendeza basi 😄 🤣 😂
Niwaambie tu labda hamjui tu mume sio jukumu lake kumtakia mkewe happy mother's day hiyo ni kazi ya mtoto yule ni mkewe sio mamaake na ni hivyo hivyo kwa mke yule sio babaake ni mumewe
Mwizi ww
😂😂😂 labda aniache huyu wasasa maana mtoto wa mamamkwe anajua mpk anajua tena ilk hapo nyma sikuona chakuniliza kbs
Mmmh kama ana mashauzi flani hivi
mnao olewa wake wanne mnawezaje yaani nikae wiki nzima sijafanywa nasubilia bwana amalize zamu kwa wenzangu khaa siwezi 1
Alokwambia hadi zamu ikwishe nani huyo mume atakua hana nguvu za kiume ududu wake dhaifu, mnaolewa wa nne na mna pigwa miti hadi mnamkimbia yaan mnafanya leo sio zamu yangu nenda huko kwa mwenye zamu yake wewe hujakutana na marijali mwanaume asili kabisa Acha na hao wapiga punyeto😂
Hahahaaa❤
😂😂😂😂😂
Dada yangu kwenye sheria hautakiwi tena kua na choice ni kuitekeleza tu,ila uzuri wa ndoa hasa basi musaidiane na hata kama utakua peke yako kama mwanamme hasa mzima ana afya yake,basi hautopumzika utataka uende ukatembee kwenu kwanza.
Huna nyota ya mitandao dada ungebakia kwenye kupiga ramli labda pangekuingiza mjini
Mbona kama ana frustrations fulani? Yeye ndio ana matatizo na anahitaji msaada. Kwani lazima kujibu watu? Yeye kama alitaka watu wasiwe na maswali angeeleza sababu ya yeye kulia na kama alitaka kila mtu awe na simulizi yake basi asijibu. Si amesoma mass communication iweje hajui tumia alichosoma kwenye real life.
Dada anaonekana mswahili sn
😂😂 uswahili wa kulazimisha wa bara huyo maneno magumu kama mkate wa juzi
Waswahili ndio wenye Nchi yao hao hahahaah
Mnanichekeshaga sn kwani ni hao wanaume tu wanajeuri ya kuoa wake 4? Kwa hiyo hao wake wa4 watashindwa kuchepuka? Mwanaume ucjifariji kwamba ni ww unamiliki tu,wanawake nao wanachepuka vxuri kwa hiyo jibaba kaa kwa ku2lia.
Mimi mwenyewe nilivo achwa nimelia mpaka nikapata homa😢😢
Hi
Pole jamani ,si mwisho wa Dunia huwezi jua umeepushwa na nn ,Mungu atakupa heri nyingine
Pole my.inawezekana uliepushwa na bomb la nuclear.
Mm nalia adi sasa adi naitaji ushahur bwana kaniacha kaenda kuolewa na mama mtumzima yani huyo mama ndokajilipia baruwa na mahar yani nime vurugwa hapa
Kweli dada mm nalia familia ina nicheka atar basi nime wa bock familia zima😂😂😂 nilivo vurugwa na huyu mbwa wamama mkwe
Kwani huyu ndy mke mdogo wa mwisho 4 au?
yes
wa pili nadhani
😂😂😂😂 huyu ana tatizo la AFYA YA AKILI uwaga hayuko sawa.....tahira tahira tu.
@@user-td3ss6nk2d Mmhh sio vizuri hivyo 😏
Sura hana apo ndio make up yupo hivyo ata mimi mzee naonekana kijana tatizo uswahili mwingi