MKE WA MASOUD KIPANYA AFUNGUKA KUHUSU KUACHIKA/SIJAWAHI MVUNJIA HESHIMA/KUHUSU WAKE WANNE NIMEKUBALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024
  • MKE WA MASOUD KIPANYA ATOA UFAFANUZI KUHUSU NDOA YAKE; PIA KUHUSU VIDEO ALIYOJIREKODI AKIWA ANALIA INSATAGRAM.
    #carrymastorytv #masoudkipanya
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 32

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 22 дня назад

    Pole yako mwanamke ukiachwa achika songa mbele na maisha yako mapya usijidhalilishe ingawa unaumia lakini unatakiwa umuamini na kumuomba Mungu atakufungulia njia nyengine ya maisha

  • @wardawarda6535
    @wardawarda6535 24 дня назад +3

    Ukiachwa kula ushibe ,kunywa maji mengi sana,jipende pendeza basi 😄 🤣 😂

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 23 дня назад +3

    Niwaambie tu labda hamjui tu mume sio jukumu lake kumtakia mkewe happy mother's day hiyo ni kazi ya mtoto yule ni mkewe sio mamaake na ni hivyo hivyo kwa mke yule sio babaake ni mumewe

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 24 дня назад +1

    Mwizi ww

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 24 дня назад +2

    😂😂😂 labda aniache huyu wasasa maana mtoto wa mamamkwe anajua mpk anajua tena ilk hapo nyma sikuona chakuniliza kbs

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 23 дня назад +1

    Mmmh kama ana mashauzi flani hivi

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 24 дня назад +3

    mnao olewa wake wanne mnawezaje yaani nikae wiki nzima sijafanywa nasubilia bwana amalize zamu kwa wenzangu khaa siwezi 1

    • @AinekishaNyakato
      @AinekishaNyakato 22 дня назад +1

      Alokwambia hadi zamu ikwishe nani huyo mume atakua hana nguvu za kiume ududu wake dhaifu, mnaolewa wa nne na mna pigwa miti hadi mnamkimbia yaan mnafanya leo sio zamu yangu nenda huko kwa mwenye zamu yake wewe hujakutana na marijali mwanaume asili kabisa Acha na hao wapiga punyeto😂

    • @MagrethMallya-we8ui
      @MagrethMallya-we8ui 22 дня назад

      Hahahaaa❤

    • @user-ib2uf3uk2d
      @user-ib2uf3uk2d 20 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @hatibbaraka3956
      @hatibbaraka3956 19 дней назад

      Dada yangu kwenye sheria hautakiwi tena kua na choice ni kuitekeleza tu,ila uzuri wa ndoa hasa basi musaidiane na hata kama utakua peke yako kama mwanamme hasa mzima ana afya yake,basi hautopumzika utataka uende ukatembee kwenu kwanza.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 23 дня назад

    Huna nyota ya mitandao dada ungebakia kwenye kupiga ramli labda pangekuingiza mjini

  • @ceomom2213
    @ceomom2213 17 дней назад

    Mbona kama ana frustrations fulani? Yeye ndio ana matatizo na anahitaji msaada. Kwani lazima kujibu watu? Yeye kama alitaka watu wasiwe na maswali angeeleza sababu ya yeye kulia na kama alitaka kila mtu awe na simulizi yake basi asijibu. Si amesoma mass communication iweje hajui tumia alichosoma kwenye real life.

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 23 дня назад +2

    Dada anaonekana mswahili sn

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 22 дня назад

    Mnanichekeshaga sn kwani ni hao wanaume tu wanajeuri ya kuoa wake 4? Kwa hiyo hao wake wa4 watashindwa kuchepuka? Mwanaume ucjifariji kwamba ni ww unamiliki tu,wanawake nao wanachepuka vxuri kwa hiyo jibaba kaa kwa ku2lia.

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 24 дня назад +1

    Mimi mwenyewe nilivo achwa nimelia mpaka nikapata homa😢😢

    • @Polyn.123
      @Polyn.123 24 дня назад

      Hi

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 24 дня назад

      Pole jamani ,si mwisho wa Dunia huwezi jua umeepushwa na nn ,Mungu atakupa heri nyingine

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 24 дня назад +2

      Pole my.inawezekana uliepushwa na bomb la nuclear.

    • @janifajani8875
      @janifajani8875 24 дня назад +1

      Mm nalia adi sasa adi naitaji ushahur bwana kaniacha kaenda kuolewa na mama mtumzima yani huyo mama ndokajilipia baruwa na mahar yani nime vurugwa hapa

    • @janifajani8875
      @janifajani8875 24 дня назад +2

      Kweli dada mm nalia familia ina nicheka atar basi nime wa bock familia zima😂😂😂 nilivo vurugwa na huyu mbwa wamama mkwe

  • @Official83640
    @Official83640 24 дня назад +2

    Kwani huyu ndy mke mdogo wa mwisho 4 au?

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 24 дня назад

      yes

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 24 дня назад +1

      wa pili nadhani

    • @user-td3ss6nk2d
      @user-td3ss6nk2d 21 день назад +1

      😂😂😂😂 huyu ana tatizo la AFYA YA AKILI uwaga hayuko sawa.....tahira tahira tu.

    • @Official83640
      @Official83640 20 дней назад

      @@user-td3ss6nk2d Mmhh sio vizuri hivyo 😏

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 18 дней назад

      Sura hana apo ndio make up yupo hivyo ata mimi mzee naonekana kijana tatizo uswahili mwingi