🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июл 2023
  • 🔴#LIVE: RAYA THE BAWSE AFUNGUKA - "BARNABA AMEANGALIA VIGEZO KUNICHAGUA MIMI, SIJAMLOGA"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 193

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 22 дня назад +3

    Raya umenifurahisha unawapenda wakwe zako, Mungu akubariki.

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n 7 месяцев назад +3

    Wow Raya ni mwanamke bomba ❤❤❤❤alafu anajiamini nampenda adi basiii😘😘😘😘

  • @liliansangali2156
    @liliansangali2156 10 месяцев назад +7

    Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 10 месяцев назад +3

    Hongera ranya uko vizur sana my dear unajielewa mashallah ❤❤

  • @user-ns4oj9cw1j
    @user-ns4oj9cw1j 10 месяцев назад +2

    Banalba ni mtaratibu,,asahau Utu,,angekuwa Msanii mwingine angemtupa mbali sana

  • @zamzamkabogota7510
    @zamzamkabogota7510 9 месяцев назад +2

    Kwanza mrembo mwenyw@Raya Mungu akutunzie ndoa yako mwaya

  • @salsashmomy
    @salsashmomy 10 месяцев назад +2

    Interview 😅😅😅pambeeee raya MashaAllah hongera Sana ❤❤❤❤❤❤nimeinjoi haichoshi kuisikilizaa

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 22 дня назад +1

    Huna mdogo wako nimpe mtoto wangu, lakini itabidi awe Mkristo wa kiukweli. Kama kweli unafanya kama unavyoongea hongera mwanangu raya.

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 10 месяцев назад +4

    Dida jua Raya mtt wa kitanga so full malav'dave❤ ujavyo ndivyo tukupokeavyo

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 10 месяцев назад +4

    MashaaAllah RAYA ❤ Hongera Dada AKILI KUBWA 🎉 Eti Hajuwi Kupika 😂😂😂😂

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo 10 месяцев назад +19

    Nampenda sana uyu dada mvumilivu mno nataman Mungu anipe moyo kama wa uyu dada katk mahusiano yangu nampenda kwa meng mpk saut yake we ni mwanamke na nusu

    • @TonkariJobeSonya-yq3xq
      @TonkariJobeSonya-yq3xq 10 месяцев назад +1

      Mwenyezi Mungu akupe moyo thabiti sawa na hitaji la moyo wako.........

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 10 месяцев назад +9

    Ogopeni Allah kuishi na mume bila ndoa wanawake wa kiislamu wacheni zinaa lakini alhamdulillah umefunga halal

  • @lonicamagupa3416
    @lonicamagupa3416 10 месяцев назад +3

    Raya Hana ubaya jamani mbona ni Binti mzuri tuu❤❤❤❤ uzuri wa raya ukweri ana busara Sana msikieni tuu anavyojibu 🥰🥰

  • @anunuyahya8708
    @anunuyahya8708 10 месяцев назад

    Ma shaa allah Raya...Allah awalindeni na husda zawaja ...unamadini love❤❤

  • @abialusekelo-nr8kf
    @abialusekelo-nr8kf 10 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥wapi pete ya ndoa🔥🔥🔥🔥🔥tamba Ray

  • @Semenhahemed-lf5om
    @Semenhahemed-lf5om 10 месяцев назад +1

    Ndio wewe ndio wewe Raya kwake uliyoipata namba kwa Barnaba mshipa haukutwangwi Raya ❤❤❤

  • @neemamrisho7500
    @neemamrisho7500 10 месяцев назад +2

    Huyu dada mtangazaji nampenda ana nogesha interview 😁😁

  • @rehemasalum1987
    @rehemasalum1987 8 месяцев назад

    Akili mingi ❤️🥰🥰❤️

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 8 месяцев назад

    Love boss raya

  • @linahkweka5492
    @linahkweka5492 10 месяцев назад +1

    Raya mvumilivu pia anahekima nakupendaa❤

  • @salomeraymond2051
    @salomeraymond2051 10 месяцев назад +2

    Mama yako raya kama mama yangu jamniii❤️

  • @irenemwewe3566
    @irenemwewe3566 10 месяцев назад +3

    Yaani hii mke wangu ya Barnabas,,imejua kunikosha,,yaani nimeirudia hapo hapo mara kibao

  • @chany9950
    @chany9950 9 месяцев назад

    Nampenda sana laya jmn😘😘😘

  • @elizabethemanuel2027
    @elizabethemanuel2027 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana dada

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh898 10 месяцев назад +2

    Interview nzuri hii💞

  • @mwanajumaraso4637
    @mwanajumaraso4637 10 месяцев назад +1

    Kila la kheir katika ndoa yko sister

  • @aminajumanne3292
    @aminajumanne3292 10 месяцев назад +2

    Dada anajielewa sanaa had rahaaa❤❤❤❤❤

  • @user-hk2ry7op4u
    @user-hk2ry7op4u 10 месяцев назад

    Nakupenda sana raya

  • @nailaty
    @nailaty 10 месяцев назад +3

    Mwanaume anaruhusiwa kuoa mke zaid ya mmoja ikiwa ana uwezo wa kiafya kifedha na awe anauweza uadilifu sio mke akiwa na matatizo

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 10 месяцев назад +3

    Nakupenda raya na hongera sana kwa ndoa allah awasimamie mdumu zaid mpate watto wema

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 10 месяцев назад +1

    Raya wewe Ni Mpole Sanaa jamani uko vizuri kila la kheri karibu kwenye Chama

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 10 месяцев назад +2

    Mara ya kwanza Nimecomment 😂😂😂 Nmekipenda kipindi

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 10 месяцев назад

    mashaallh 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 didaaaa nimecheka wallah big up Raya the boss

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 10 месяцев назад +7

    DIDA UMEPATWA NA BUTWAAA 😂. MTOTO MDOGO KONKI ❤

  • @khamisjina8833
    @khamisjina8833 10 месяцев назад +3

    Sheria ya kiislamu haijasema hivyo Raya. Quran imesema wanaume waowe wanawake wawili, watatu , wanne na kama mwanamume atakuwa hana uadilifi basi mmoja anatosha. Na hekma yake ni kuwastiri wanawake mana ni wengi kiidadi kuliko wanaume na hiii pia inahekima ya kukuza nasabu(ukoo) na kuondosha uzalilishaji wa wanawake na watoto na mengine mengi.
    Ni haramu kuongeza au kupunguza katika dini tusipojuwa turudi darasani kwanza.

  • @kikiyene5685
    @kikiyene5685 10 месяцев назад +1

    Akili kubwa huyu Raya🎉

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 10 месяцев назад +4

    Mashaallah 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @paulmwambije1077
    @paulmwambije1077 10 месяцев назад +2

    Boss wenu mondi ajifunze atafute mke mzuri kama Raya (mtoto wa mama kimbo).. Raya ana sifa zote za kuwa mke

  • @hopesesilius6104
    @hopesesilius6104 10 месяцев назад

    Hongera mwanangu

  • @lydi791
    @lydi791 10 месяцев назад +3

    Mungu akulingiye ndoa yako kwamana yote unaongeya maneno yanayo stahili kuwa Muke materiel

  • @upendojoseph7912
    @upendojoseph7912 10 месяцев назад +6

    Mimi ni mwanamke ila raya nimempenda,

  • @ZainabuWaziri-vw3bp
    @ZainabuWaziri-vw3bp 10 месяцев назад

    Mashallah

  • @abubakarimunga
    @abubakarimunga 10 месяцев назад +3

    Huyu dada Anauwezo mkubwa sana. Ameongea mambo makubwa mnooo. Najihisi ni mtu anaweza kuwasaidia wanawake kujua umuhimu wa kulinda familia zao.

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 10 месяцев назад +2

    Me sijaelewa kuanzana mahusiano 2016 mpaka 2023 ni miaka 9 au miaka saba au me ndio sijaelewa

    • @user-uo6bo3ph6g
      @user-uo6bo3ph6g 10 месяцев назад +1

      😂😂😂😂hesabu imempita kushoto

    • @zenachuo2963
      @zenachuo2963 10 месяцев назад

      Hahhahhhhh mimwenyewe imebidi nihesabu

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 10 месяцев назад

      Alianza naye akiwa bado na mama Steve

  • @user-yi8ut7jt6y
    @user-yi8ut7jt6y 10 месяцев назад +2

    si kweli mwanamme anaruhusiwa kuoa wake wa3 hadi wa4.hata kama ww wa kwanza unazaa kama utitiri ..kuoa wake mpaka wa4 ni sheria kwa wanaume wa kiislam .msipoteze watu kuwaaminisha eti mpka mwanamke uwe huna kizazi ..cjui huwezi kufanya mapenzi..au cjui unaumwa c kweli.

    • @arafakitta2223
      @arafakitta2223 6 месяцев назад

      Hiyo sheria kama uliambiwa lazima😏

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 17 дней назад

      Kuoa wanawake wanne suna kwa mwanaume mwenye uwezo wa kiafya na uwezo wa kuwahudumia wake zake kwa uadilifu

  • @ZakhiaWaheedy-uv8cy
    @ZakhiaWaheedy-uv8cy 10 месяцев назад +2

    Nimekupenda bule kipenz unaongea vzur sana taratbu wanaokusema wivu tu hongera sana na ndoa yako enderea kumpenda tu mumeo

  • @user-rr9dj5rm3x
    @user-rr9dj5rm3x 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 10 месяцев назад

    Ila kubali ulianza na barnaba akiwa na mama Steven

  • @hawaomary8486
    @hawaomary8486 10 месяцев назад

    Raya yupo km mm jmn mungu alinde ndoa yk

  • @elizabethemanuel2027
    @elizabethemanuel2027 9 месяцев назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 9 месяцев назад

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Alaamdulirai Hasiallah waneema wakiil Il🥰VE Y🥰U S🥰 M Familien Besti Familien ❤❤❤

  • @rahimarahima8962
    @rahimarahima8962 10 месяцев назад +2

    Nakunyoa

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 17 дней назад

    Kanaongea vzr

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 10 месяцев назад

    Raya nakupenda dada ❤❤❤❤❤

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 17 дней назад +1

    Hahaha huyu Dida

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c 10 месяцев назад

    Nimekupenda sn ❤️❤️❤️❤️❤️na nimependa meno yako raya kama kijitoto 🙏🙏🙏🙏

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 10 месяцев назад

    Sheria za kislam hamzijui jaman msiziongelee mkitaka kufajamu jambo la kislam waulize waliowazid elimu

  • @husnahusney
    @husnahusney 10 месяцев назад +1

    Watanga kama wazazibar wanakua na somo zao wa kuwafunda

  • @AsiaPanduka-eh2uh
    @AsiaPanduka-eh2uh 10 месяцев назад +2

    Dini hata kama huna tatizo sisi wanawake tupo wengi kuliko wanaume hivyo kama anauwezo, inaruhusiwa hata kama mkewe hana kasoro yoyote

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 10 месяцев назад +3

    hawa ndio wameishi kwa shida na raha sio wale eti miezi miwili kwa shida n raha dulla na naira

  • @patrisiamakolonja
    @patrisiamakolonja 10 месяцев назад +2

    Mwambie uyo alovaa jezi ya simba anywe soda ntakuja kulipa

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 10 месяцев назад +2

    Sasa Muslim huyu kweli maana kavaa kamvaa yesu😢😢😢 msalaba

    • @womanofsteel1402
      @womanofsteel1402 10 месяцев назад +1

      Sio kila msalaba unaouona unamwakilisha Yesu,,

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 10 месяцев назад

      Mungu wetu mmoja jmn dahaaaaa 🙌🙌🙌

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 месяцев назад +1

      ​@@janetdundul3858sisi mungu wete hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anaefanana nae na yesu sio mungu ni mjumbe wake

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 17 дней назад

      Nyie c mnasemaga yesu mungu ni mungu yupi wa kwetu sote na nyinyi wakiristo​@@janetdundul3858

  • @IreneIsack-qp9ns
    @IreneIsack-qp9ns 10 месяцев назад +1

    Raha Jamani

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 10 месяцев назад +1

    Uongo mbona mama yKo aliolewa mke wapili jamani acheni kututanganya nasheria hiyo haipo

  • @rizikisaleh3133
    @rizikisaleh3133 10 месяцев назад +1

    misaraba yann

  • @user-ie5on4xy9o
    @user-ie5on4xy9o 9 месяцев назад

    Ver brigt upstears

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 10 месяцев назад +1

    Zile ahadi za muende Paris mara Zanzibar!! Zmeisha ama 🤔 ilikuwa n nogesha sherehe tu!

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 10 месяцев назад

    Didaaaa! Endelea kubinuka sarakasi

  • @shanaharuna217
    @shanaharuna217 10 месяцев назад +1

    Mashallah🎉🎉🎉 chukua maua yako❤❤❤

  • @user-xk6st3zn6e
    @user-xk6st3zn6e 10 месяцев назад +2

    Yuko vizur

  • @fortunathajohn9745
    @fortunathajohn9745 9 месяцев назад +1

    Binti mwenye akili 100 percent unajielewa huna shoo off

  • @saumuhaji8244
    @saumuhaji8244 10 месяцев назад

    iiiiiiiiii🙊

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 10 месяцев назад +2

    Sauti ya Raya vp unatatizo LA sauti. Au unakuwaga unapiga kelele Sana hadi sauti inaisha

  • @MwamvitaAlly-zs4oy
    @MwamvitaAlly-zs4oy 9 месяцев назад

    My una confidence ya hatat

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 10 месяцев назад +1

    Haipo sheria hiyo imeandikwa wapi mwanaume akiamua ameamua

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 10 месяцев назад

    Didaaaa unanivunja mbavuuuuu😂😂😂😂

  • @rayasaid4099
    @rayasaid4099 9 месяцев назад

    Kwani huyu Raya muislamu jamni mbona kavaa kidani cha msalaba jamanii jamani nyieee tumuogopeni Allah

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 10 месяцев назад +2

    Mpk raha umefundwa sn sn

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 10 месяцев назад +6

    Mkufu wa msalaba inna lillahi wainna inna lillahi rajiun

    • @agathaabogast4598
      @agathaabogast4598 10 месяцев назад +1

      Kwani unaua acha ushamba ayo mapambo nyoooooko

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 10 месяцев назад

      😅😅😅

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 17 дней назад

      Acha ujinga urembo msalaba bac aende kanisani​@@agathaabogast4598

  • @cheka480
    @cheka480 10 месяцев назад +2

    Anachokisema mdogoangu ni sahihi kabisa. ila usivae misalaba u r a muslim woman. Huwa tunaambiwa watu wa Tanga tunaroga haturogi ni how we handle our husband.

    • @vaikaayagadiel520
      @vaikaayagadiel520 10 месяцев назад +2

      Sio misalaba yote ni ya Yesu, mingine ya jambazi aliyesulubishwa na Yesu. Mwache avae huo ni wa jambazi

  • @SafiyaaaSofi-uy3nk
    @SafiyaaaSofi-uy3nk 7 месяцев назад

    Raya natamaini nijuwe namba yako nikuletee udi uone udi wa omani

  • @hanialsaadi7394
    @hanialsaadi7394 10 месяцев назад +1

    Hapo kwenye kuongeza mke mmetudanganya et mpk mwanamke awe namatatizo siyo kweli😜😜😜

  • @user-gb8tl5tk9u
    @user-gb8tl5tk9u 10 месяцев назад +1

    Dida jamani 😂😂😂

  • @lydi791
    @lydi791 10 месяцев назад +1

    Uyu Dada anakili nyingi sana

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 10 месяцев назад

    Juma upunguzage umbeya

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g 10 месяцев назад +2

    Ila hiki kipindi jmn😅😅😅😅😅😅😅

  • @Sppah697
    @Sppah697 10 месяцев назад

    Raya mwenyewe mdura mkubwa mbayaaaa

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 10 месяцев назад

    Naauliza musalaba wanini shingoni jaman sikuhizi wasilamu wavamusalaba mwezimungu anawaona kwani dada dida kwani huyo Raya musalaba wanini ??

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 10 месяцев назад +1

    dida unanichekeaha ujue😂😂

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 10 месяцев назад

    Dida unanichekeshaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 10 месяцев назад +3

    izo nywele za juma nilijua pepkon zilizoungua

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 10 месяцев назад

      😂🤣

    • @till...m2585
      @till...m2585 10 месяцев назад

      😅😅😅😅

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah jamani watu😂😂😂😂✋️✋️✋️

    • @MariaRichard-dd4vh
      @MariaRichard-dd4vh 10 месяцев назад

      😂😂😂😂Jamani

    • @JawahirSaid
      @JawahirSaid 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 10 месяцев назад +1

    Sasa huyo kamsilimisha Barnabas lakini yeye anavaa misaraba ndio vp hivyo.

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi 17 дней назад

    Huo masala unafanya nn shingon wakati ww ni muislam

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 10 месяцев назад

    Jaman nimecheka 🤣🤣

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 10 месяцев назад

    Samahn kma nitakuwa nimekosa wadau mbona raya ni Muslim ☪️ mbn kavaa cheni ya chapa ya ms7 kifuani....

  • @reyone6870
    @reyone6870 10 месяцев назад

    😅😅

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 10 месяцев назад

    Dida Mungu anakuona😅😅😅

  • @Mima-theboss
    @Mima-theboss 10 месяцев назад +1

    Ila dida 😂😂😂mbona vichwa kama panga😂😂😂🙌

  • @JanethJoshua-rs1ze
    @JanethJoshua-rs1ze 10 месяцев назад +1

    Vichwa kama pangaa😂😂😂😂😂😂😂