MREMBO HUYU AFUNGUKA KUHUSU KIPIGO KWENYE NDOA
HTML-код
- Опубликовано: 12 июл 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Afadhali leo hamjatuletea wale wapumbavu, huyu dada wa leo akili yke n smart
Da mwanaheri umeongea point 😍 nimependa
Yes napenda ulivyo smart kwenye maongezi
Walahi uyu nimemkubali point zake zimenigusa sana
Ni kweli nandomaana imekuwachangamoto kwenye malezi
Dada mrembo na anajitambua hadi raha.
Swadakta nikweli dada yani napenda kauliyako nzuri Sana Ongera sana 👏👏👏
Mwanaheri hongera kwa kauli nzuri na upole wa kuongea
Madam Simba ❤️❤️
Mumy umeongea n'a hekima sana mwenyezi Mungu aku jalie akupe haja ya moyo wako,،🙌🙌💞💞
Nakupenda Sana mwanakher
Nimependa mumeo how smart he is
I love mwanaheri
Manshallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
asante mamiii SEMA halafu SEMA tena
Mrs simba wa jua kali. And joyce wa kapuni
Penye kufundishwa gari mweee
Na ukipigwa Mala moja ujue Ata rudia tena.bora kuondoka kwani huna miguu na mikono ili uji tafutie Uta kuwa mzigo mbaka lini
Nakupenda Mwanakheri😘❤️
Nakupenda pia😂😂😂
Mrembo umeongea kwa hekima sana
Tuma uu
Madam Simba km madam simba
Mkizingua tunawabutua tu, mtu kakufumania live hivi unataka afanye nn #akuue kabisa asikupige.
naomba dada unipe conekshen nahitaji kufanya kipindi na wewe ninastor na fundisho kwa watoto wakike plz .diva .
Unamsemesha nger ulimsomesha wewe mwana heli
Naon sura yellow shat yellow au macho yngu 🙄
Ni kweli
Mekapu ya manjano
Nyie ndio wadada wenyekiburi na nyie acheni kuzarau wanaume muwe na hekima kwa waume wenu ili msipigwe maana mnamidomo
Akikudharau muacha mkabidhi talaka zake aende.haina haja ya kupiga mtu mzima
Umpige kwani ulimzaa? Unamny'any'ania wa nini, kwani hujaona mwanamke mwengine.
😂😂😂
@@salmahalfani6307 😂😂 umenishinda tabia
We mpuuz kweli we n mzazi wake
Mwanaume baye anampoga mwanaamke yeyote no mpumbavu a real idiot.!
Ggyyyyyyyy