MREMBO HUYU AFUNGUKA KUHUSU KIPIGO KWENYE NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 39

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Год назад +12

    Afadhali leo hamjatuletea wale wapumbavu, huyu dada wa leo akili yke n smart

  • @zainabungarama3962
    @zainabungarama3962 Год назад +12

    Da mwanaheri umeongea point 😍 nimependa

  • @mzhsk1386
    @mzhsk1386 Год назад +10

    Yes napenda ulivyo smart kwenye maongezi

  • @muslimqueen5314
    @muslimqueen5314 Год назад +6

    Walahi uyu nimemkubali point zake zimenigusa sana

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +6

    Ni kweli nandomaana imekuwachangamoto kwenye malezi

  • @Bise270
    @Bise270 Год назад +10

    Dada mrembo na anajitambua hadi raha.

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Год назад +1

    Swadakta nikweli dada yani napenda kauliyako nzuri Sana Ongera sana 👏👏👏

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Год назад +1

    Mwanaheri hongera kwa kauli nzuri na upole wa kuongea

  • @dannylinguist15
    @dannylinguist15 Год назад +7

    Madam Simba ❤️❤️

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 Год назад

    Mumy umeongea n'a hekima sana mwenyezi Mungu aku jalie akupe haja ya moyo wako,،🙌🙌💞💞

  • @faridabady237
    @faridabady237 Год назад +1

    Nakupenda Sana mwanakher

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 Год назад +1

    Nimependa mumeo how smart he is

  • @saratanzania4331
    @saratanzania4331 Год назад +2

    I love mwanaheri

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +1

    Manshallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Год назад

    asante mamiii SEMA halafu SEMA tena

  • @rachelmbeyu4385
    @rachelmbeyu4385 Год назад +1

    Mrs simba wa jua kali. And joyce wa kapuni

  • @upendomtweve7830
    @upendomtweve7830 Год назад +1

    Penye kufundishwa gari mweee

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 Год назад

    Na ukipigwa Mala moja ujue Ata rudia tena.bora kuondoka kwani huna miguu na mikono ili uji tafutie Uta kuwa mzigo mbaka lini

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Год назад +2

    Nakupenda Mwanakheri😘❤️

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад +5

    Mrembo umeongea kwa hekima sana

  • @user-ti1bu3qd2b
    @user-ti1bu3qd2b 9 месяцев назад

    Tuma uu

  • @sarafinasanga9251
    @sarafinasanga9251 Год назад

    Madam Simba km madam simba

  • @tbwayjunior8947
    @tbwayjunior8947 Год назад

    Mkizingua tunawabutua tu, mtu kakufumania live hivi unataka afanye nn #akuue kabisa asikupige.

  • @t.jmusic5989
    @t.jmusic5989 Год назад

    naomba dada unipe conekshen nahitaji kufanya kipindi na wewe ninastor na fundisho kwa watoto wakike plz .diva .

  • @lilianilimbe4508
    @lilianilimbe4508 Год назад

    Unamsemesha nger ulimsomesha wewe mwana heli

  • @muniraally6066
    @muniraally6066 Год назад +1

    Naon sura yellow shat yellow au macho yngu 🙄

  • @blastermkama7579
    @blastermkama7579 Год назад +3

    Nyie ndio wadada wenyekiburi na nyie acheni kuzarau wanaume muwe na hekima kwa waume wenu ili msipigwe maana mnamidomo

    • @fatmarashid8163
      @fatmarashid8163 Год назад +5

      Akikudharau muacha mkabidhi talaka zake aende.haina haja ya kupiga mtu mzima

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Год назад +5

      Umpige kwani ulimzaa? Unamny'any'ania wa nini, kwani hujaona mwanamke mwengine.

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 Год назад

      😂😂😂

    • @rehemamkalawa3801
      @rehemamkalawa3801 Год назад

      @@salmahalfani6307 😂😂 umenishinda tabia

    • @salmasaid7058
      @salmasaid7058 Год назад

      We mpuuz kweli we n mzazi wake

  • @marylwanalo6115
    @marylwanalo6115 Год назад

    Mwanaume baye anampoga mwanaamke yeyote no mpumbavu a real idiot.!

  • @user-ti1bu3qd2b
    @user-ti1bu3qd2b 9 месяцев назад

    Ggyyyyyyyy