MAISHA YA NJE TUKIWA SAFARI ZA BIASHARA/TUCHEKE KIDOGO
HTML-код
- Опубликовано: 14 авг 2023
- I looveee cooking for my husband, do you have any idea ya vyakula simple ninavyoweza kupika kwa haraka? Kindly share na mm through whatsapp
0783840811 and i will share on my page na alonifundisha with full video, asantee🙏🏻 #makeuptutorial
Usisahau kuSUBSCRIBE na Kuweka Notification ON Kwa Video Nyingi Zijazo🙌🏾.
Unaweza Kutufatilia katika Mitandao ya Kijamii Kwa Kubonyeza LINK Zifuatazo.
INSTAGRAM @tiffany_store_tz
LINK: tiffany_store_t...
TIKTOK @tiffany_store_tz
LINK: vm.tiktok.com/ZMNDeHnxe/
Kwa Mahitaji yote yanayohusiana na Masuala ya Urembo Unaweza Kuwasiliana nasi kama ifuatavyo.
CALL/WHATSAPP
+255783840811
LOCATION : Sinza Kamanyola , Shekilango Road
GOOGLE MAP : Tiffany Store , Shekilango Road - Хобби
Maashallah hongera
Nawapenda Sana jaman❤❤
Masha Allah 😊😊😊
Mie nawapenda sna jmn Mr&mrs❤😊
Hapa hapa you tube mfatilie shunna kitchen... Anafundisha vizuri saana ma shaa Allah💕
Mashaaallah
Pole dear.mwanamke lake jiko jitahid ujue mapish
Utajua inshaallah jitahidi
Mashallah ni kweli chapati ya kwanza huwa hivo
Napenda mekapu na kupika vyote najuwa
Mna maishaa doooh
😅😅😅😅😅😅 nawapenda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Conteiner za kupaki vyakula kwa fridge ni muhimu,fridge inaharibu hotpot shogangu,ushakuw staa mpnz...tunataka tuone mpangilio mzur kwa fridge...sekta zingine uko vzur snaa ila hapo tu dr
Sikiliza vzuri tangu mwanzo utaelewa
Kama chapat za kaji za mwanzo ndo zinasumbuwa
Raha sana mume ambae bora ale lkn anakupa moyo unakuwa na jitihada
Hahahah nifundishe makeup na mm nikufundishe mahanjumati 😂😂😂
Chapati ya kwnza inakuaga na kisiran sjui ndo mapozi disappointed kma zote🤣🤣🤣🤣
Na aura Yake mbayaaa😂
Your good wife material maaaashaallah
Kumbe anapenda mekapu kana mimi