WEMA SEPETU,LULU DIVA WALIVYOMFARIJI MALKIA CAREN BAADA YA KIFIWA NA BABA YAKE MZAZI GADNA G HABASHI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 82

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +8

    Hyo miwigi ka MIDOL😢😢😢😢HAMJAPENDEZAAA. NA MIJIWIGI YENU

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia9018 Месяц назад +5

    Jamani wema nalulu wadada wakiisilam kuweni naaibu hamuwezi funika mibichwa yenu nahayo mawigi hamuna haya tena msibani

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Месяц назад +23

    Hao wakristo tuu wamevaa vilemba waone wao na miwigi yao kama mchicha wa bei ya jioni

    • @chaggatv818
      @chaggatv818 Месяц назад

      Et mchicha wa jion😂😂😂😂😂 umenifanya nicheke kwenye msiba ww😂😂😂😂😂

    • @agnessbahamu3931
      @agnessbahamu3931 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Месяц назад +3

      Nmewashangaa aisee hata aibu hawana

    • @fatmaOmmy
      @fatmaOmmy Месяц назад

      😂😂😂wallah wangekusikia mara Moja wangeacha

    • @mwanauwanikhalfan1747
      @mwanauwanikhalfan1747 Месяц назад +1

      Ramadhan imeisha wamerudi kwenye maisha yao ya kawaida

  • @AsiaAlly-ss4fz
    @AsiaAlly-ss4fz Месяц назад +12

    Yani nyinyi wasanii muwe naakalikchwani ndonini ayomanywele yenu mutafkili shumileta mupo msibani mmeenda kutangaza biashala yamanywele yenu

    • @user-hd5ey5yx1n
      @user-hd5ey5yx1n Месяц назад

      Nani?shumiletaa nimecheka sn😂😂😂😂😂😂😂

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад

      Wewe mbona hukuenda huko matangani unaongelea hapa Kwa social media. Ungelikua hapo ukuwafinika nywele

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Месяц назад +3

    Kiukweli Hao masta was kiislam wanatia aibu hâta kutupia kamtandio kaujanjaujanja kichwani wameshindwa ,Wema n'a lulu diva wametia aibu n'a wifi Zao ,ni maonesho

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Месяц назад +1

    Iyoo miwing mhhhhhh mtihanii kwaiyo kweli

  • @Lulucut
    @Lulucut Месяц назад +7

    Ukiskia msiba wa mwenzio utaupakia wanja ndo hii😮

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад +4

    LULU DIVA ANA PUA MBAYAAA KHAAAA😢😢😢😢😢NA HIYI MIJIWIGI YAO WEMA UTASEMA MICHAEL JACKSON

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Месяц назад +10

    Yamekaa kama majini na hayo manyuwele eti Waislam wasio waislam wamejustiri hata kimtandio wametupia kuchwani

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Месяц назад +3

      bora useme kama si waislamu hawa hatari hasaa wanajitowa fahamu na mawigi yao hawana dini tatizo lao

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Месяц назад +1

      Yaani me napata hasira daaah subhaanallaah 😢😢

  • @user-ne6vu7kc5u
    @user-ne6vu7kc5u Месяц назад +1

    Yaani na miwingi hamjapendeza mpo
    Msibani

  • @HildaPatrick-kr1wt
    @HildaPatrick-kr1wt Месяц назад +3

    wameshundwa hata kufunika kichwaa😢

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Месяц назад +11

    Kikubwa mmefika kumfariji careen nywele sio issue

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Месяц назад +1

      Umeona mm siwezi jaji mtu kwakweli mm mwenyewe nanayangu kibao 😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Месяц назад +1

      😭😭😭😭😭 zamani bibi yangu alikuwa akienda msiban anajitanda khanga sasa hawa si wangefunga vimtangio juu ya izo wigi? Ona Nandy alivaa kwa heshima😭😭😭😭

    • @user-lc4yg2hf4g
      @user-lc4yg2hf4g Месяц назад

      Kabisaaa

  • @subiralema
    @subiralema Месяц назад +2

    Juzi mwezi wa ramadhani eti walikuwa wamefunga

  • @HadijaKikoto
    @HadijaKikoto Месяц назад

    Yaan wasani wanapenda kujito ufahamu ili waongerewe mtihani adi msibani kwel😢

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA Месяц назад +2

    Ivi niulize awa mastaa wanaendaga msibani kweli ao kwenda kuonesha wamependeza aje Poleni sana nyinyi Wote mnao jiita masta msiba usikiye kwa mwenzako eti mna enda kufariji mfiwa ao mnaenda mnavingine vyenu 🥹🥹🥹🥹😭😭😭😭😭

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 Месяц назад +1

      Wasipoenda maneno wamekwenda maneno pia mnatakaje?

    • @elizabethdamas-zp9xl
      @elizabethdamas-zp9xl Месяц назад +1

      kwaiyo ulitaka wavae rafu rafu eh bongo jmnn🙌🙌

    • @JudithKigalu-ue3in
      @JudithKigalu-ue3in Месяц назад

      Wewe unatatizo gani ?ulipenda waende uchi bila mavazi ! Shida hipo kwenye watu daaah

  • @Lulucut
    @Lulucut Месяц назад +4

    Nandy mkriso lkn alijistiri kichwa hao waislam sasa 😢

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Месяц назад +1

      Mtihani wallah 😢😢😢

    • @aminacharo412
      @aminacharo412 Месяц назад +1

      Tena alijistiri mwili wote mana ata gauni lake lilikua kubwa vizr na alipendeza acha na hawa waislam wanao ogopa ramadhn ila mwenye kuumba iyo ramadhn hawamuogopi tena ata aibu hawana msiban vichwa wazi 😢😢😢😢😢

  • @user-qd5qp3dd2x
    @user-qd5qp3dd2x Месяц назад +1

    Yaniwema kamasio Muslim yani hatakitambaakichwani miwigitu washindwa hata najoketi yaniwema😢😊

  • @user-vg2uc3hw1v
    @user-vg2uc3hw1v Месяц назад +1

    Vitambaa hamna au ndio mnatuonyesha mawigi

  • @perepetuasenga3875
    @perepetuasenga3875 Месяц назад +1

    Mpaka wanakera jamani msiba mzima ni wao tu!

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais4418 Месяц назад +1

    Kwani nimpaka watuwajue?

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад

    Hawa na manywele yao utadhani waganga wa kufunga mvua 😮

  • @user-vw8ll5mj6m
    @user-vw8ll5mj6m Месяц назад +1

    Wema kichwani umeharibu.dah.liwigi.kama.lichicha.la
    Bei rahisi.aaah.jamani😊

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr Месяц назад

    Bas mngevaa japo kofia kama hamna mitandio

  • @subiralema
    @subiralema Месяц назад

    Ata mjusi akingia uko utamuona kweli 😢😢

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Месяц назад +8

    Sasa msibani vichwa wazi mbona jamani mmesahau kama kuna mauti

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Месяц назад

    Kwer dunia meisha ndo nini iv jamani bada kuvaaa vilemba haaaa

  • @user-fu2xl6wp1e
    @user-fu2xl6wp1e Месяц назад +1

    Misugu ya midole pooiii

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Месяц назад

    Usanii_nikitu_cha_Ajabu

  • @ChikuOmmary-ii2xf
    @ChikuOmmary-ii2xf Месяц назад +1

    Waislam wazima hivyo vichwa wazi msibani

  • @user-sq6sl3tb3j
    @user-sq6sl3tb3j Месяц назад

    Huu ustaa wakijinga sana atakama wakrto wewe muisalaam unaenda msibani kama sokwe atakimtandiooooo upuuuu mkumbwa huuuu

  • @user-iq7gx2ip7d
    @user-iq7gx2ip7d Месяц назад +1

    Kweli ww wema ndo wakufanya ivo ww muislam wakutia wigi msibani kweli ivi ustaa ndoukufanye mpka unapotea ivi jitambuwe wpi unapoelekea huo nimsiba na sio sherehe

    • @catherineshauri6421
      @catherineshauri6421 Месяц назад

      Amevaa wigi kuwapagawisha afadhali mmechelewa kuangalia wigi hamjauona ujauzito safi Wema Kwa ubunifu

  • @user-ql2fi5to7o
    @user-ql2fi5to7o Месяц назад

    😅❤😅

  • @alsam4881
    @alsam4881 Месяц назад

    Wanawake wa kiislamu wamekuja na mawigi yao kama mashetani badala ya kujitanda kichwa, Dah na makucha yao kama majini,hata hawajapenda Mxiiiii,😏😡

  • @shamimulazaro9518
    @shamimulazaro9518 Месяц назад

    Hawa giri hawa hta. Nandy tu ni Kristian lkn alikuwa kichwa amejisitir ila hawa pusi wawil waislam lkn hta haya hawana

  • @JescaJosephati
    @JescaJosephati Месяц назад

    Maskini lulu diva katoa machozi kakumbuka mbari

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 Месяц назад

    Lol

  • @tatungwele2728
    @tatungwele2728 Месяц назад +1

    Mnajiita mastaa mlienda msibani au mlienda kumkejeli mfiwa na miwigi yenu kama majani ya sukuma wiki shenzi kabisa

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Месяц назад +1

    Sasa baibui na kicha wazibna liwigi wapi na wapi jamani mngevaa Madera bas maana hata afe mtu Gani Dunia tumeishikilia tu

  • @sekelamwangomo5458
    @sekelamwangomo5458 Месяц назад

    Zama huwaga anaga makuu