Ivi niulize awa mastaa wanaendaga msibani kweli ao kwenda kuonesha wamependeza aje Poleni sana nyinyi Wote mnao jiita masta msiba usikiye kwa mwenzako eti mna enda kufariji mfiwa ao mnaenda mnavingine vyenu 🥹🥹🥹🥹😭😭😭😭😭
Tena alijistiri mwili wote mana ata gauni lake lilikua kubwa vizr na alipendeza acha na hawa waislam wanao ogopa ramadhn ila mwenye kuumba iyo ramadhn hawamuogopi tena ata aibu hawana msiban vichwa wazi 😢😢😢😢😢
Hyo miwigi ka MIDOL😢😢😢😢HAMJAPENDEZAAA. NA MIJIWIGI YENU
😂😢😢😢😢😢kabisa
Jamani wema nalulu wadada wakiisilam kuweni naaibu hamuwezi funika mibichwa yenu nahayo mawigi hamuna haya tena msibani
Hao wakristo tuu wamevaa vilemba waone wao na miwigi yao kama mchicha wa bei ya jioni
Et mchicha wa jion😂😂😂😂😂 umenifanya nicheke kwenye msiba ww😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nmewashangaa aisee hata aibu hawana
😂😂😂wallah wangekusikia mara Moja wangeacha
Ramadhan imeisha wamerudi kwenye maisha yao ya kawaida
Yani nyinyi wasanii muwe naakalikchwani ndonini ayomanywele yenu mutafkili shumileta mupo msibani mmeenda kutangaza biashala yamanywele yenu
Nani?shumiletaa nimecheka sn😂😂😂😂😂😂😂
Wewe mbona hukuenda huko matangani unaongelea hapa Kwa social media. Ungelikua hapo ukuwafinika nywele
Kiukweli Hao masta was kiislam wanatia aibu hâta kutupia kamtandio kaujanjaujanja kichwani wameshindwa ,Wema n'a lulu diva wametia aibu n'a wifi Zao ,ni maonesho
Iyoo miwing mhhhhhh mtihanii kwaiyo kweli
Ukiskia msiba wa mwenzio utaupakia wanja ndo hii😮
LULU DIVA ANA PUA MBAYAAA KHAAAA😢😢😢😢😢NA HIYI MIJIWIGI YAO WEMA UTASEMA MICHAEL JACKSON
😂😂😂😂😂😂 yaani bora wangejifunika kidog daah
😂😂😂
Yamekaa kama majini na hayo manyuwele eti Waislam wasio waislam wamejustiri hata kimtandio wametupia kuchwani
bora useme kama si waislamu hawa hatari hasaa wanajitowa fahamu na mawigi yao hawana dini tatizo lao
Yaani me napata hasira daaah subhaanallaah 😢😢
Yaani na miwingi hamjapendeza mpo
Msibani
wameshundwa hata kufunika kichwaa😢
Kikubwa mmefika kumfariji careen nywele sio issue
Umeona mm siwezi jaji mtu kwakweli mm mwenyewe nanayangu kibao 😂😂😂
😭😭😭😭😭 zamani bibi yangu alikuwa akienda msiban anajitanda khanga sasa hawa si wangefunga vimtangio juu ya izo wigi? Ona Nandy alivaa kwa heshima😭😭😭😭
Kabisaaa
Juzi mwezi wa ramadhani eti walikuwa wamefunga
Yaan wasani wanapenda kujito ufahamu ili waongerewe mtihani adi msibani kwel😢
Ivi niulize awa mastaa wanaendaga msibani kweli ao kwenda kuonesha wamependeza aje Poleni sana nyinyi Wote mnao jiita masta msiba usikiye kwa mwenzako eti mna enda kufariji mfiwa ao mnaenda mnavingine vyenu 🥹🥹🥹🥹😭😭😭😭😭
Wasipoenda maneno wamekwenda maneno pia mnatakaje?
kwaiyo ulitaka wavae rafu rafu eh bongo jmnn🙌🙌
Wewe unatatizo gani ?ulipenda waende uchi bila mavazi ! Shida hipo kwenye watu daaah
Nandy mkriso lkn alijistiri kichwa hao waislam sasa 😢
Mtihani wallah 😢😢😢
Tena alijistiri mwili wote mana ata gauni lake lilikua kubwa vizr na alipendeza acha na hawa waislam wanao ogopa ramadhn ila mwenye kuumba iyo ramadhn hawamuogopi tena ata aibu hawana msiban vichwa wazi 😢😢😢😢😢
Yaniwema kamasio Muslim yani hatakitambaakichwani miwigitu washindwa hata najoketi yaniwema😢😊
Vitambaa hamna au ndio mnatuonyesha mawigi
Mpaka wanakera jamani msiba mzima ni wao tu!
Kwani nimpaka watuwajue?
Hawa na manywele yao utadhani waganga wa kufunga mvua 😮
Wema kichwani umeharibu.dah.liwigi.kama.lichicha.la
Bei rahisi.aaah.jamani😊
Bas mngevaa japo kofia kama hamna mitandio
Ata mjusi akingia uko utamuona kweli 😢😢
Sasa msibani vichwa wazi mbona jamani mmesahau kama kuna mauti
Stop judging pple
Sema wewe, wanahisi wanaenda kuimba na kuigiza loh😢
We nae usitulazimishe sisi ni wakristo. Sio waislaam
Kwer dunia meisha ndo nini iv jamani bada kuvaaa vilemba haaaa
Misugu ya midole pooiii
Usanii_nikitu_cha_Ajabu
Waislam wazima hivyo vichwa wazi msibani
Huu ustaa wakijinga sana atakama wakrto wewe muisalaam unaenda msibani kama sokwe atakimtandiooooo upuuuu mkumbwa huuuu
Kweli ww wema ndo wakufanya ivo ww muislam wakutia wigi msibani kweli ivi ustaa ndoukufanye mpka unapotea ivi jitambuwe wpi unapoelekea huo nimsiba na sio sherehe
Amevaa wigi kuwapagawisha afadhali mmechelewa kuangalia wigi hamjauona ujauzito safi Wema Kwa ubunifu
😅❤😅
Wanawake wa kiislamu wamekuja na mawigi yao kama mashetani badala ya kujitanda kichwa, Dah na makucha yao kama majini,hata hawajapenda Mxiiiii,😏😡
Hawa giri hawa hta. Nandy tu ni Kristian lkn alikuwa kichwa amejisitir ila hawa pusi wawil waislam lkn hta haya hawana
Maskini lulu diva katoa machozi kakumbuka mbari
Lol
Mnajiita mastaa mlienda msibani au mlienda kumkejeli mfiwa na miwigi yenu kama majani ya sukuma wiki shenzi kabisa
Sasa baibui na kicha wazibna liwigi wapi na wapi jamani mngevaa Madera bas maana hata afe mtu Gani Dunia tumeishikilia tu
Zama huwaga anaga makuu