MAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMI/AKUMBUKE YUPO KWENYE NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • MAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMY ALIVOVAA UTUPU #MAMAKIMBO #BARNABA #yemmi #gigymoney
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 92

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 12 дней назад +5

    Mama kama haya n kweli acha kiherehere na ndoa ya mwanao ww ndo unaharibu kma ni nikiki umeweza 🙌🏾

  • @HappyFania-ry2ch
    @HappyFania-ry2ch 11 дней назад +3

    Mama kimbo Yuko sahihi kabisa❤❤

  • @nanahmekaupbeautifu237
    @nanahmekaupbeautifu237 15 дней назад +8

    Ivi balinaba ana wazazi adi ana pelekeshwa ivo na yeye Kaya kanyaga mwaka huuu kwa uyu mkwe wakimataifa

  • @user-mj6vf4jc5o
    @user-mj6vf4jc5o 15 дней назад +3

    Pole sana mama anamsaidia mwanae, ndio kwimba uko kisasa, yaani hata sijui ni dini gani inayosema watu waimbe uchi wallaah

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 15 дней назад +4

    😂😂😂😂😂et Ile chupiiiii...jamn huyu mama kiboko😂😂😂😂

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 7 часов назад

    Mama waache watoto

  • @babanadia3201
    @babanadia3201 15 дней назад +10

    Mimi Niko na huyu mama kusema kweli sijapenda zile picha

  • @shaymarzumo
    @shaymarzumo 6 дней назад

    Simkaangalie jaman😂😂😂😂
    Sanaa ni usaniiii enh hamjui

  • @allymkumba70
    @allymkumba70 15 дней назад +1

    kazinii kuna kaziii

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h 5 дней назад

    Nikwer mama kimbo hizo nguo wanazotuvalia bwana kiukwer serikali iangalie hili swala la wasanii kuvaa nguo uchi jaman Sio maadili ya nchi yetu jaman

  • @AgnessRobert-wc3rz
    @AgnessRobert-wc3rz 14 дней назад +1

    Wewe mama unamdomo saaaaana unalibu familia

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 15 дней назад +5

    Mamakimbo NAMPENDA 😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
    MSANII TU. KIKI YA SONG HYO

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 12 дней назад +1

    Wakiwndelea Hivi Mbele itakuwa tabu ila mama mkwe msamehe mkweo lkn mavazi ya uchi hatupendi

  • @salcle9702
    @salcle9702 11 дней назад +1

    Acha watoto waishi wanavyo taka usha kula posa tulia😅😅

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 12 дней назад +1

    Sio Barnabas TU wamusic Wote wavae mavazi ya music SIo ya casino

  • @tatusalehe8775
    @tatusalehe8775 13 дней назад +1

    Yaani bongo Raha ukiwa na presha unataka mwenyewe

  • @user-pw6co7zd4p
    @user-pw6co7zd4p 6 дней назад

    Mh! Mtihani tu

  • @KissaMwaifwani
    @KissaMwaifwani 6 дней назад

    Hiyo mume wa mtu mmmh mama punguza mdomo abadilike kwani ulijua kaolewa na shehe tupishe unajidhalilusha

  • @elsywilliams9750
    @elsywilliams9750 3 дня назад

    Sijapendezwa pia mimi...#dharau

  • @raskinamfinangamfinangaras5120
    @raskinamfinangamfinangaras5120 15 дней назад +1

    😂😂😂😂😂make kwanza nicheke hapo badooo msaniii tenaa 🙌

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 15 дней назад +2

    Ni kwl kwakweli ata km ndiyo kz apa kazidisha cz yy anandoa yake, n mwanamke Malaya haangalii km unandoa au vp! n kafanya makusudi kuiyacha chupi n kujiachia km vile Kwa mume w mtu, eti kigezo cha Kazi🤔🤔

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma 10 дней назад

    Mafuriko na tsunami ya mdomnina mauwa fulani nyumbani yanaitwa MOTHER IN LAW TONGUE. 😮

  • @HidayaNgala-uk8tt
    @HidayaNgala-uk8tt 15 дней назад +1

    Raya ajishaue sana atakuja aachike mchana kweupe, na wewe mama Huna kifua hukustaili kuyaleta uku mtandaoni ilitakiwa amkanye nyumbani uko uko

  • @YusuphKaisi-mz3zf
    @YusuphKaisi-mz3zf 6 дней назад

    Barnaba huyu mkwe na mkeo wanakusha max kwetu sisi mashabiki zake wanaaribu brand

  • @vincegelas
    @vincegelas 15 дней назад +1

    Zingatia neno nitashikwa kidogo

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 15 дней назад +1

    Mama mtu wa hvyo kabisa unaingiliaje mapenzi ya watoto ikiwa mume yupo kazin

  • @haikamchaga8251
    @haikamchaga8251 13 дней назад

    Ajali kazini

  • @sumahmvellah7476
    @sumahmvellah7476 14 дней назад

    Mama hayo ni mapenzi ya watu wawili na wenyewe wanapendana ko watayajenga watoto wenyewe

  • @siahnorbert
    @siahnorbert 15 дней назад

    Dah kipele limepata mkunaji😂😂😂😂😂

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 15 дней назад +1

    dereva nishushe hapa nisome comment😂😂😂😂

  • @hilarydismas9144
    @hilarydismas9144 15 дней назад +1

    Hii yote promo ya wimbo ngojeni muone viwers , msisahau pia huyu mama ni msanii

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 11 дней назад

    Mama Acha kuingilia ugomvi wa mwanao unazidi kuuwasha mamaa

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 15 дней назад +1

    Mama bhana eti nitashikwa kidogo😂😂😂 mama kazi zenu ngumu nyote

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 15 дней назад

    Mama kituko hyu,,ansongea mbk mishipa inamsimama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 11 дней назад

    Serikali Wekeni Malufuku Watu Kwenda Bichi Kwasababu Izo Chupi Bichi Zimejaa Wanaangaliana Makalio Kila Siku Za Bichi Wa Tz Waenda Bichi Cha Msingi Bichi Zipigwe Malufuku Kulinda Maadili Ya Watanzania Nazani Itapendeza Sana

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 10 дней назад

    Lakn mama hayo megine hayakuhusu waachie waowanandoa mbona unapaniki sana

  • @ZuberiMlanzi
    @ZuberiMlanzi 10 дней назад

    Ww mbn unayoyafanya hivi .mumeo km una mume basi huyo mume fara kwa vtendo vyako unavyofanya ww mama pia maraya . Banaba ana haki yupo kazini hayupo kimapenzi na huyo bint aliepiga NAE picha na YAMI. BANARBA HAKUNA HAJA YA KUOMBA SAMAHANI KWKO ..NIUNIGA YY YUPO KIKAZI NA YAMI CO MAPENZI.

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 11 дней назад

    Azifutee tenaaaa😂😂😂😂😂 eeeeeeeeeh jamaani kazi imeingia.mmasai.aIfuteeee sitaki kuziona😂😂😂😂😂😂

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 15 дней назад

    Niko na mama

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 11 дней назад

    Una wivu sana ww mama

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 11 дней назад

    Barnaba kazi unayo baba, hiyo familiar uliyooa ni moto wa kuotea mbali

  • @salmahalfani6307
    @salmahalfani6307 15 дней назад

    Huyu mama mwenzangu yeye mwenyewe pia hajiheshim Yuko uchi kwenye mamitandao

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j 11 дней назад

    Kwahio burnaba aache kazi yake akae nyumbani amtazame mkewe😂😂😂 kisha wale nn jamani

  • @neemaafraeli6720
    @neemaafraeli6720 13 дней назад

    Huyo dada yey aliambiwa avae hivo😢

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 15 дней назад

    Mmemsilimisha alaf mnasema, we mama mapenz atar vip kuhusu zuch ni sawa mond kumkumbatia x

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 15 дней назад

    njooooni jamani mama kimbo hukuuuu ,,,,mama mkweee kaja juuuuuu

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 15 дней назад

    Lkn mama utamponza mwanao aachike wkt mnajua wazi ni msanii

  • @user-rg8wh4rw3b
    @user-rg8wh4rw3b 15 дней назад

    Mama acha ujinga iyo kazi apo wapo kakazi acheni mawazo potofu

  • @HusseinMuhamed-qe1yp
    @HusseinMuhamed-qe1yp 10 дней назад

    huyu mama mkwe mngese Sana kumamako

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 11 дней назад

    Zile Kiki Hata Uyu Mmama Anajua Kila Kitu Isipokua Ndio Njia Ya Kuifazi Kiki

  • @shaymarzumo
    @shaymarzumo 6 дней назад

    KIKI

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 15 дней назад

    Maninaaaaa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 15 дней назад

    Eti mkono upo kwenye chupi uwiiiii Lakin ukumbuke uyo Ni mwanamuzik kuwa mpole

  • @nanahmekaupbeautifu237
    @nanahmekaupbeautifu237 15 дней назад

    Heeee bado nafasi 3 apo mama punguza maneno unajizima data

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 11 дней назад

    Kama mm ukichukuw binti yako sifati naleta mwingn mamae nion sas

  • @abuibra
    @abuibra 15 дней назад

    Unataka ashikwe vipi?!!kwani ilikua kwa nguvu?si anakuletea pesa,vipi mama kwani wewe hujui wanafanya nini,hio kazi ya Ibilisi ndivyo ilivyo msijifanye hamjui.

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 15 дней назад

    WEWE MAMA KIMBO O BALNABA SI KABADILI DINI LABDA ANATAKA KUMUOA MKE WA PILI

  • @HafsaShayo-iv5xh
    @HafsaShayo-iv5xh 12 дней назад

    Kwa style hiyo huyo raya wako ataolewa mbinguni ili asikosewe

  • @SalmaKenyatta
    @SalmaKenyatta 15 дней назад

    chezea mma kimbo wa buza kwa lulenge aka kwa mpalangeeeeeeeeeee piga keleleeeeeeeeeeee weeeeeeeee patamu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 15 дней назад

    Wakati mnamuozesha binti yako ulijua barnaba nimuuza bagia au mkaanga mihogo,simlielewa kama nimwanamuziki tena bongo flever namkweo kakosea ungemuita nyumbani kumuonya sio hadharan kama hivi ....

  • @dorahbenard1837
    @dorahbenard1837 15 дней назад

    Hiv kiuno ni gari za kwenda wap?? Et jmn😅😅😅😅

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 15 дней назад

    Hovyoooo

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 15 дней назад

    Mbona mwanao anavaa uchi uchii tu acha watoto wawatu kwaiyo mmeolewa ww na mwanao mana cyo kwa hasira izo

  • @lainessmwombeki7919
    @lainessmwombeki7919 11 дней назад

    Kwan barnaba kaoa mama na mtoto

  • @DeoMosha-xw2lr
    @DeoMosha-xw2lr 15 дней назад

    Hapa hakuna mkwe dah

  • @vailethymbwambo584
    @vailethymbwambo584 15 дней назад +1

    Shida ni Ile chupi jaman😅😅😅

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 11 дней назад

      Chupiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 11 дней назад

    Hiyo makeup sasa 😂😂

  • @salmaasaidi9343
    @salmaasaidi9343 15 дней назад

    Kiki😹😹😹

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 15 дней назад

    Ila kweli pich gan zile eti Mume wamtu. Hiv yammi hana wazazi mbon anapenda kuvaa uchi

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 15 дней назад

    Hahaha😂😂😂😂😂😂

  • @nanahmekaupbeautifu237
    @nanahmekaupbeautifu237 15 дней назад

    Chupi ya yamimi jamani 😂😂😂😂😂😂 imealibu ndoa ya wato

  • @abby-xf5ow
    @abby-xf5ow 9 дней назад

    Yani huyu mama alivyo komalia kama kaolewa yeye khaaaa

    • @abby-xf5ow
      @abby-xf5ow 9 дней назад

      Wewe mama koma ndoa ya mwanao...waache wenyewe wataelewana tuuu .....umeshupa

    • @abby-xf5ow
      @abby-xf5ow 9 дней назад

      Au unamtaka huyo barnaba mbona kukomaaa

    • @abby-xf5ow
      @abby-xf5ow 9 дней назад

      Khaaaa

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 15 дней назад +2

    Mtu mzima ovyooo 😂😂😂 unavyotaja iyooo chupi

  • @setumakililo7115
    @setumakililo7115 15 дней назад

    😅😅😅 chupi

  • @annathomas-wy8yt
    @annathomas-wy8yt 15 дней назад

    Barnaba wazazi wako wakowapi?

  • @user-vg8ok3vc9n
    @user-vg8ok3vc9n 11 дней назад

    Sawa defender

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 11 дней назад

    We mamkwe unawivu ultaka ushikwe wewe!

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 15 дней назад

    😂😂 hili mama si lilikuwa linachamba watu mwanae kaolewa sasa dawa zimeisha unazani uchawi unadumu hehhehehhe😂

  • @HidayaNgala-uk8tt
    @HidayaNgala-uk8tt 15 дней назад

    Msimpelekeshe mtoto WA watu na ana tabu uyo mama

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 14 дней назад

    Kope kama fagio alafu mnatafuta heshima kwendraaaaaa mnauislaamu gani ?hamkujua kama anaolewa na msanihii

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 15 дней назад

    Hapo ndio utakua ubaki kua muhamedi, au ubaki na barnaba.yetu macho.ndoa Haina hata muda Mambo hazalani.utajua hujui

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 15 дней назад +2

    😂😂😂😂 ii ananikumbusha ile Interview ya Millardayo na shabikiwa wa yanga wakulia lia eti amefukuzwa eti aende ashabikie yanga 😅😅😅

  • @angelabanzi8253
    @angelabanzi8253 15 дней назад +1

    Pole mama,kikubwa huyo Barnaba awe na mipaka