MAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMI/AKUMBUKE YUPO KWENYE NDOA
HTML-код
- Опубликовано: 1 май 2024
- MAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMY ALIVOVAA UTUPU #MAMAKIMBO #BARNABA #yemmi #gigymoney
- Развлечения
Mama kama haya n kweli acha kiherehere na ndoa ya mwanao ww ndo unaharibu kma ni nikiki umeweza 🙌🏾
Mama kimbo Yuko sahihi kabisa❤❤
Ivi balinaba ana wazazi adi ana pelekeshwa ivo na yeye Kaya kanyaga mwaka huuu kwa uyu mkwe wakimataifa
Pole sana mama anamsaidia mwanae, ndio kwimba uko kisasa, yaani hata sijui ni dini gani inayosema watu waimbe uchi wallaah
😂😂😂😂😂et Ile chupiiiii...jamn huyu mama kiboko😂😂😂😂
Mama waache watoto
Mimi Niko na huyu mama kusema kweli sijapenda zile picha
Simkaangalie jaman😂😂😂😂
Sanaa ni usaniiii enh hamjui
kazinii kuna kaziii
Nikwer mama kimbo hizo nguo wanazotuvalia bwana kiukwer serikali iangalie hili swala la wasanii kuvaa nguo uchi jaman Sio maadili ya nchi yetu jaman
Wewe mama unamdomo saaaaana unalibu familia
Mamakimbo NAMPENDA 😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
MSANII TU. KIKI YA SONG HYO
Wakiwndelea Hivi Mbele itakuwa tabu ila mama mkwe msamehe mkweo lkn mavazi ya uchi hatupendi
Acha watoto waishi wanavyo taka usha kula posa tulia😅😅
Sio Barnabas TU wamusic Wote wavae mavazi ya music SIo ya casino
Yaani bongo Raha ukiwa na presha unataka mwenyewe
Mh! Mtihani tu
Hiyo mume wa mtu mmmh mama punguza mdomo abadilike kwani ulijua kaolewa na shehe tupishe unajidhalilusha
Sijapendezwa pia mimi...#dharau
😂😂😂😂😂make kwanza nicheke hapo badooo msaniii tenaa 🙌
Ni kwl kwakweli ata km ndiyo kz apa kazidisha cz yy anandoa yake, n mwanamke Malaya haangalii km unandoa au vp! n kafanya makusudi kuiyacha chupi n kujiachia km vile Kwa mume w mtu, eti kigezo cha Kazi🤔🤔
Mafuriko na tsunami ya mdomnina mauwa fulani nyumbani yanaitwa MOTHER IN LAW TONGUE. 😮
Raya ajishaue sana atakuja aachike mchana kweupe, na wewe mama Huna kifua hukustaili kuyaleta uku mtandaoni ilitakiwa amkanye nyumbani uko uko
Barnaba huyu mkwe na mkeo wanakusha max kwetu sisi mashabiki zake wanaaribu brand
Zingatia neno nitashikwa kidogo
Mama mtu wa hvyo kabisa unaingiliaje mapenzi ya watoto ikiwa mume yupo kazin
Ajali kazini
Mama hayo ni mapenzi ya watu wawili na wenyewe wanapendana ko watayajenga watoto wenyewe
Dah kipele limepata mkunaji😂😂😂😂😂
dereva nishushe hapa nisome comment😂😂😂😂
Hii yote promo ya wimbo ngojeni muone viwers , msisahau pia huyu mama ni msanii
Mama Acha kuingilia ugomvi wa mwanao unazidi kuuwasha mamaa
Mama bhana eti nitashikwa kidogo😂😂😂 mama kazi zenu ngumu nyote
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mama kituko hyu,,ansongea mbk mishipa inamsimama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Serikali Wekeni Malufuku Watu Kwenda Bichi Kwasababu Izo Chupi Bichi Zimejaa Wanaangaliana Makalio Kila Siku Za Bichi Wa Tz Waenda Bichi Cha Msingi Bichi Zipigwe Malufuku Kulinda Maadili Ya Watanzania Nazani Itapendeza Sana
Lakn mama hayo megine hayakuhusu waachie waowanandoa mbona unapaniki sana
Ww mbn unayoyafanya hivi .mumeo km una mume basi huyo mume fara kwa vtendo vyako unavyofanya ww mama pia maraya . Banaba ana haki yupo kazini hayupo kimapenzi na huyo bint aliepiga NAE picha na YAMI. BANARBA HAKUNA HAJA YA KUOMBA SAMAHANI KWKO ..NIUNIGA YY YUPO KIKAZI NA YAMI CO MAPENZI.
Azifutee tenaaaa😂😂😂😂😂 eeeeeeeeeh jamaani kazi imeingia.mmasai.aIfuteeee sitaki kuziona😂😂😂😂😂😂
Niko na mama
Una wivu sana ww mama
Barnaba kazi unayo baba, hiyo familiar uliyooa ni moto wa kuotea mbali
Huyu mama mwenzangu yeye mwenyewe pia hajiheshim Yuko uchi kwenye mamitandao
Kwahio burnaba aache kazi yake akae nyumbani amtazame mkewe😂😂😂 kisha wale nn jamani
Huyo dada yey aliambiwa avae hivo😢
Mmemsilimisha alaf mnasema, we mama mapenz atar vip kuhusu zuch ni sawa mond kumkumbatia x
njooooni jamani mama kimbo hukuuuu ,,,,mama mkweee kaja juuuuuu
Lkn mama utamponza mwanao aachike wkt mnajua wazi ni msanii
Mama acha ujinga iyo kazi apo wapo kakazi acheni mawazo potofu
huyu mama mkwe mngese Sana kumamako
Zile Kiki Hata Uyu Mmama Anajua Kila Kitu Isipokua Ndio Njia Ya Kuifazi Kiki
KIKI
Maninaaaaa
Eti mkono upo kwenye chupi uwiiiii Lakin ukumbuke uyo Ni mwanamuzik kuwa mpole
Heeee bado nafasi 3 apo mama punguza maneno unajizima data
Kama mm ukichukuw binti yako sifati naleta mwingn mamae nion sas
Unataka ashikwe vipi?!!kwani ilikua kwa nguvu?si anakuletea pesa,vipi mama kwani wewe hujui wanafanya nini,hio kazi ya Ibilisi ndivyo ilivyo msijifanye hamjui.
WEWE MAMA KIMBO O BALNABA SI KABADILI DINI LABDA ANATAKA KUMUOA MKE WA PILI
Kwa style hiyo huyo raya wako ataolewa mbinguni ili asikosewe
chezea mma kimbo wa buza kwa lulenge aka kwa mpalangeeeeeeeeeee piga keleleeeeeeeeeeee weeeeeeeee patamu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakati mnamuozesha binti yako ulijua barnaba nimuuza bagia au mkaanga mihogo,simlielewa kama nimwanamuziki tena bongo flever namkweo kakosea ungemuita nyumbani kumuonya sio hadharan kama hivi ....
Hiv kiuno ni gari za kwenda wap?? Et jmn😅😅😅😅
Hovyoooo
Mbona mwanao anavaa uchi uchii tu acha watoto wawatu kwaiyo mmeolewa ww na mwanao mana cyo kwa hasira izo
Kwan barnaba kaoa mama na mtoto
Hapa hakuna mkwe dah
Shida ni Ile chupi jaman😅😅😅
Chupiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo makeup sasa 😂😂
Kiki😹😹😹
Ila kweli pich gan zile eti Mume wamtu. Hiv yammi hana wazazi mbon anapenda kuvaa uchi
Niko.p1 naww
Hahaha😂😂😂😂😂😂
Chupi ya yamimi jamani 😂😂😂😂😂😂 imealibu ndoa ya wato
😂😂chipi lefu sana ttzo😂😂
Yani huyu mama alivyo komalia kama kaolewa yeye khaaaa
Wewe mama koma ndoa ya mwanao...waache wenyewe wataelewana tuuu .....umeshupa
Au unamtaka huyo barnaba mbona kukomaaa
Khaaaa
Mtu mzima ovyooo 😂😂😂 unavyotaja iyooo chupi
😅😅😅 chupi
Barnaba wazazi wako wakowapi?
Sawa defender
We mamkwe unawivu ultaka ushikwe wewe!
😂😂 hili mama si lilikuwa linachamba watu mwanae kaolewa sasa dawa zimeisha unazani uchawi unadumu hehhehehhe😂
Msimpelekeshe mtoto WA watu na ana tabu uyo mama
Kope kama fagio alafu mnatafuta heshima kwendraaaaaa mnauislaamu gani ?hamkujua kama anaolewa na msanihii
Hapo ndio utakua ubaki kua muhamedi, au ubaki na barnaba.yetu macho.ndoa Haina hata muda Mambo hazalani.utajua hujui
😂😂😂😂 ii ananikumbusha ile Interview ya Millardayo na shabikiwa wa yanga wakulia lia eti amefukuzwa eti aende ashabikie yanga 😅😅😅
Pole mama,kikubwa huyo Barnaba awe na mipaka