Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
HTML-код
- Опубликовано: 1 май 2024
- Music Video by Barnaba featuring he one and only Yammi, This is big. (NiBusu) is a sweet sound created by an amazing team. We all know that this was long awaited and it didn’t disappoint. The best Tanzanian vocalist Barnaba along with the beautiful and talented artist from ‘The African Princess Label’ Yammi, has been long overdue. This song is for the lovers and for the ones who can’t keep their hands off eachother.. The two excelling artists have put their work together to create this masterpiece and this is only the beginning of them. Special thanks to Barnaba’s english songwriter who has also written ‘All I Need’ and also been a part of production Rinaaldn for helping this masterpiece come to life, along with the one and only Majorkizy in producing. Video shot Directed by Wayan.
Get it now "NiBusu":ziiki.media/Nibusu-Barnaba
Stream/Download:linktr.ee/barnabaclassic
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/barnabaclassic
Apple Music: / barnaba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
Spotify: open.spotify.com/artist/3ICwB...
Deezer: www.deezer.com/en/artist/5244406
Catch Up With Barnaba on Social Media:
Instagram : / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
Catch Up With Yammi on Social Media:
Instagram: / yammitz
Twitter: / yammi_tz
TikTok: / officialyammi
Facebook: / itsyammitz
RUclips: / @yammitz
+For More Information Booking Yammi:
Contact:yammymanagement@gmail.com
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
©2024 Barnaba.All rights reserved.
#Barnaba #Yammi #Nibusu - Видеоклипы
Kwa tuliokuja kuangalia hii video ili kuona barnaba alivyoshika hicho kiuno cha mtoto yammy like hapa 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Lakini mother in law mwenyewe anazigua...kati yake na msichana wake nani anapaswa kuogea aliyongea...
Hivyo ndivyo mother in law wanaaribu doa za watoto wao kwa kuigilia Mambo yasio wahusu
hahahaaaa niwengi
Yammi you got this❤️📌
Tulio penda verse ya Yammi gonga like tujuan❤❤❤❤
I'm here
Dada ameisha sauti kama beyonce❤❤
Walio Tiririka hapa sababu ya Yammy nipe like zenu....Barnaba u the King.
Nilisema napita mwishowe nimezama...gonga like hapa kama unaupenda huu wimbo.
kama umerudia zaidi ya mara tano gonga like hapa😜😜
❤❤❤ nipitie uku
Mm ndo nimeweka ijirudie tena
Nimeirudia siku nzimaaaa
🎉😊😊😊😊😊😊
Dah hii ngoma ni noma 🎉🎉🎉km umeipenda hii gonga like bc
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri ❤️🎧
❤
👍👍 @@user-fd2lm5uz8v
Naomba like zenu za Kizungu kitamu ya BarnabaClassic 254 Kenya,,, na 255 kwa mandungu zetu na wanadada wetu wa Tanzania kwa hii Ngoma mpya weka hapo like tukisonga.
Kwanini unafurahia kizungu wewe mkenya
Barnaba sio mkeya ni mtanzania
Hii collabo noma sana🥰Sauti zimeendana MashaAllah...likes kwa wingi bas🤣🤣👏
auya ni angushaka chanson makali sana ✌️✌️
Saaaaaana
❤❤
Kama unapenda yammi na barnaba wawe wapenzi gonga like twende sawa😂
Makimbo kuja uku usome hiii comment😅😅😅😅😅
Wa Congolese🇨🇩🇨🇩🇨🇩ambao Wana mpenda Barnaba Barnaba nipini likes
😂😂😂
aya
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
Tupo apa
jifunze kuandika
aliyegundua kuwa mwanetu mopao anapoa sana akiimba ñgeli gonga like hapa twende sawaa...🙌🙌🙌
Kama umekubaliana na mimi kuwa hii ni Bonge la ngoma❤❤❤❤ gonga likes
Japo kuchelewa msini nyime like ...kila hatua ishala❤❤
nyimbo nzuri ila vedio mbaya
❤
@@hanamakamba373 nikweli
uje uchukue na kiss na muhogo wa jang'ombe si likes tu
anaogopa kufanya zaid ya hp siunajua mke wake kakimbia@@hanamakamba373
Oyaaa barnaba nakukubali sana nimeisifia nyimbo mpaka nimewachwa mwenzio nipo single Kwa kusifia Ngoma yako
Weuh!!...the lady's voice 🙌👌
Naomba tu likes zenu kw mara ya kwanza kama unapenda hii NGOMA 🔥 🚬 & 🧯
Ngoma ipo vzr san
ruclips.net/video/66Qq6RjxAjI/видео.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
@@meshacksanga5660 ✊
Mopao🎉🎉🎉
@@mariamhamissi4428 🔥
Always proud of you bro man keep up the good work Burnaba classic, wa Kwanza nipeni like zenu jamani 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Hai bro
ruclips.net/video/DFg8mU1_2E4/видео.htmlsi=kj5hCEvUUkNXW04Q
Akitoka alikiba anae fuata kua King ni huyuuuu barnaba na hii collaboration tunapenda iendelee,mana imekua kali kuwai kutokea .❤
acha uongo na mbwembwe bana🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Nani mwengine 😂 amekuja kuona kiunj Cha Yammy kinacho mpa waswas mke wa barnaba 😂😂😂love from kenya 🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️like apa km wakubali hii song
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyimbo inavideo ngap
Yammi ujawayi kuniangusha kwenye utunzi wako sema kama una mukubali yammi gonga like apa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ila Yammi jamani 🥰 anajua mpaka anakera kila ngoma Hana friendly yeye kwake final tu🙌🥰🥰♥️
Dude likiwa Kali ni Kali Tu,wapi likes za yammy na barnaba❤
Tuliokuja kujihakikishia kama barnaba anajipakulia minyama tujuane kwa like jamani😂😂❤
Kaka umeuwa mnoooo English waaaaaah kutoka uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Mbona picha sio quality au ni tbc ukweli na uhakika
Bonge la Ngoma barnaba umepitia ki legendary zaidi na huyu mtoto yammi anajua balaa....i can't wait to see it ontop trending soon...
SHIKAMOO ..... .. Barnaba yaan kiukwel tuache unafiki hii ni Ngoma ya mwaka
Wale wa kuona barnaba akiendelea kushika vitu laini tunyoonye mikono juu yaani bonge la ngoma 🇹🇿
Ngoma kali imeibwa Kwa utulivu wa hali ya juu kabisa haya ndiyo mambo ninayo yapendaga❤
Kama hii ngoma inakukosha nipe like usiwe mchoyo
kwani umeimba ww🤪🤪
We ndo umetunga au
Ni kama ww ndo umeimba😂😂😂
Tuache wivu 😂😂😂
HONESTLY BARNABA UMENI SUPRISE NA KIINGEREZA ❤
😂😂😂
Anajua mbona 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Barnaba chorus yako imeniharibia whoofer❤❤❤❤iko 🔥🔥💯💯💯🇰🇪
Nimwisikiliza zaidi ya mara tano sijui @barnaba aliwaza nn kuimba Kwa kizungu haki amenikosha mbaya na ukizingatia vina vimekaa mahala paka @yammi🎉🎉🙌🙌
ruclips.net/video/DFg8mU1_2E4/видео.htmlsi=kj5hCEvUUkNXW04Q
Fire fire🔥🔥 nini hiki,mziki mtamu mpaka unausikilizia kwa moyo ebhana eeehh!!!!nasemaje nasemajee ngoma kali sana nani anapinga hilo,🎉🎉 yako chukua #BarnabaFtYammy
Nimesikiliza huu wimbo zaidi ya mara 100❤
Ngoma mpya tamu..piga kazi. Mke atakuelewa. maana ndo fani yako Barnaba Mungu akupe uzima wa milele
Bonge la song kaka!! Huyu sasa ndio barnaba ninaemfahamu hii ngoma lazima iende mjini🤝🤝
Wangapi tume kuja hapa kuangalia barnaba ana vyoshika kiuono like hapa😂
MBNA sjaona kamshika kumbe zile n picha Tu za kuchangamsha views huku yutube😂
Haki ya MUNGU wallah tumepigwa na kitu kizito,kila nikisubiri hiyoo chupi kuiona siioni mpaka mziki umeisha
Khaa mmetuweka busy 😂
😂😂
Ila master jay alishawahi sema wasanii wanaojua kuimba nimeamini hapaaaaaa❤❤❤
Noma sana gonga like from Kenya 🇰🇪 huku #barnabas fun
Give me those like jamani na mpite kwangu,...🙏😍nawapenda
Naona Ndoa ya Barnaba linaenda kuvunjika make wamepewa ya moto 🔥 Yammi
Mmetisha Yammitz mwenye sauti yake bongo ❤
Barnaba wimbo mzur broo upewe maua yako🎉🎉🎉🎉
Bonge moja la hit 🔥🔥
Vocals : 💯
Mziki mzuri unajieleza
Kweli ngoma nzuri like ❤❤❤
Tulokuja kuangalia baada ya uchambuzi wa crown tv NA KuONA HAPO KWENYE KIUNO ALIPOSHIKWA
like zetu tuweke hapa❤🎉
Haka kabint kanaimba sana sweet Melody 🔥hapa kweli mmefanya japo kwako nimezama sijui mbele malizieni
Mopao kuna ujumbe wako kutoka kwa mama mkwe wako.......!
😂😂😂😂😂
Asimpangie kazi mkwe wake lishangax lake litalala njaa
Congratulations broo hii collaboration ni nzuri sana an nikitaman sana kumsikia hichi kitu coz mnaendana sana kwenye mzki
Pambeee❤️❤️❤️❤️🥰🤸sema na yammy kapoapoabwana apo kwenye verse yake ya nibusu apomwishoni alibidi anogeshe vimbwembwe kwa kucheza chezabwana angalia style hata kwa chuzu😂ila mmewezasana jisui nimeangalia malangapivile ila malanyingi nyingituu❤❤❤
🔥🔥kaligoma ila hayu mtoto kwazile picha zio zuri kabisa huyu ni mme wamtu mukilokw usije tafuta mchaw tuna kunpenda mee sijaolea ila nilivo zitazama zile pich nilishituka mno habbty
Uyu yamii kumbe fundi alaaaaah nilikuwa nachukia kama zuchu kumbe huyu kiboko😮
Goma kali sana barnaba fanya promo zakutosha media tour ii goma litaenda sana 🔥🙌
Nimeskia pale Redsan from 254.."namtazama yule pale namtazama Toka zamane" ...hio verse ya legend wetu
Alafu tena umehamuwa kutoshona kwa kizungu unakiweza "Yeah Sir".
Here from Uganda 🇺🇬. I love the song to the extent I translated line by line thanks to the subtitles. 👌🏽 Nibusu 😘😘😅
Wapi wale Qatar, Saudi, Oman, Dubai nawanangu wa Canada hebu gongeni like ❤❤ nyimbo ni🔥🔥🫡🫡
Tupoooo
Uyu yammi wasipo muangalia vizuri wakina zuchu sijui, mtoto anaimba kama hataki Yani lkn napagawa dadek😇, Barnard always ni fundi🎉
Angepata uongozi imara wa kumpush kama Ilivyo zuchu,,Alikuwa internationaly levels
Always lit 🔥 my fvrt artist ❤ uhalisi wa nyimbo 🔥 📛 the feelings so high ❤yammy yummy 😋 😍
i love this combo,,you guys should do more of this❤️
Ukute zote zile zilikua Kiki Ili nyimbo tuje kuangalia kwa wingi .. big up
Jamani this song is my new favourite song😍😍😍♥️♥️♥️❤️❤️❤️big up yammmy Girl
Barnaba noma naomba Nije nikusalimie kidgo Ngoma nairudia rudia hapa sielew
Hapa mke wako lazima awe na wivu bonge la vibes 🎉🎉🎉Mzee baba 😂
Ningeshangaa,!! Nyimbo ivunje ndoa ishindwe kuvunja trending🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 we want wedding now barnaba and yammi 😂😂😂
Ujawai aribu mopao kaka Mutu ya watu❤
Aka toto yammi kumbe kana juwa ❤naka penda ❤
Mkoa wangu niupendao njombe mpo tulioangalia kiuno Cha yami gonga laiki❤ hapo chini
Barnaba will be dripping when he gets inside 😜😜 such a banger 🔥🔥🔥
From USA amani ipo kweli kabisa nime shiba
Unajua mpaka unajua tena 🤗tukupe tu maua yako 🌺🌺🌺
Omg barnaba is my favourite artist for ever❤❤❤nice so...wapi like yake...nineskiza at almost 10×
Nyimbo nzur sana nakama umeitazama vzr nawew umependa
Barnaba wewe ni jini...unaweza kufanya hata Bubu asiyejua kuimba aonekane star...10/10
Unauhakika kwa unacho sema 🧏yammi sio wasawa Yako bwana 😊uliza banaemjua👂
@@MukandoriChella sasa hauoni Yammy kabebwa hapo au hata muziki mzuri haujui?
Wabongo jamanii🔥🔥❤❤more love and support from Kenya 🇰🇪 ❤
njoo..tz tufanyee ngoma yetu
The sweetest song right now in my heart❤ God bless my brother, yu true to this this
Hiii nyimboo imeishaje sijaonaa waloposhikana kiuno ,,na mm nimekujaa kwa lengo hilo
Ngoma tunayo na tuna tamba nayo😃😄🔥🔥🔥🔥😍
😂😂
@@rechalmshana1293 usicheke 😂🤣
@@rechalmshana1293 usicheke 😂🤣
Huu wimbo mtamu haki ntafia madina❤
ngoma kali kiongoz❤i imefika adi tulipo Mozambique 🔥🔥
ngoma kali sema video inaumiza macho mbwembwe nyingi
Unyama ni mwingi sana bro hi ngoma kali sana 🔥 💯
Piga ngoma kwanz Kaka Mapenzi Emergency 👏👏👏
Mziki umeongea,,,much respect burnaba
🎉Nimeisha download kabisa kwa simu yangu nyimbo tamu sana kumuimbia mchumba kama uko single Njoo nikuimbie😂😅
Wuueh kazi nzuri from 254 ❤❤❤
Tulio angalia zaidi ya mar 3 gonga like apa tujuane wote mnaomkibal yammi
Kama kila mtu kasifia hii colabo mm nani nibishe yaani nyimbo ipo 🔥🔥
Kw mtazamo wangu kama barnaba angeanza na iyo verse ya ni busu hadharani then yammi then barnaba ingekaa poa maradufu ata hivyo ngoma ni kali wote ni watunzi wazuri
Wimbo bora sana wa mapenzi kazi nzuri sana.
Eeeh bna eeh ngoma kali km unakubali bc like 👍 zidondoke 🔥🔥🔥
Ngoma Kali Xana Kutoka Kwa Legend Mopaooo X Yammi Kihukwel Wametend Haki Kweny Hili Goma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥
Talk to me boy kamanaota tu anishiakilini ❤🔥🔥🔥🔥
Tuseme ukweli yammy anajua kuimba jamani❤
Chezea kiuno 😂😂 nyimbo imetrand ile mbaya yani n tamu sana ❤❤ nimekuja to kuagalia❤yammy
Good voice nyimbo nzur sana 🔥💯
Barnaba unajua daah
Kama huu mziki umekugusa moyoni like hapa❤