DIAMOND Amchana BARNABA Zuchu Ameniacha kama Mke wako Alivyokuacha Tu "Poleee"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 46

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 23 дня назад +6

    Hawa ndo wanao itwa kioo cha jamii💔💔💔laana tu llaah.

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 23 дня назад +5

    Jamani jamani hivi nyinyi wasanii mnaifundisha nini jamii, au kuna sheria kuwa kuwa msanii ni kutoka hadharan bila nguo?
    Viongozi wa nchi na usanii Tanzania inaeelekea wapi? Halafu tutawalaumu watoto wa siku hizi?
    Eee Mungu tulindie Tanzania yetu hii ni tabia mbaya

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 23 дня назад +9

    Kufanya collabo sio shidaa , wala naya asingechukia tatizo ni mavazi ya yammi hata ingkua ni mm hapna😂😂

    • @maryaugustino8716
      @maryaugustino8716 23 дня назад

      Halafu tako mfupa na kimwili chote mfupa yaani huyu yammi akikamatwa mijeledi inamuhusu

  • @HadijaMwarimo
    @HadijaMwarimo 18 дней назад +1

    jamani tujue kwamba akhera si mbali inatungoja 😮

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 23 дня назад +5

    Nanyie mnaojiita basata mnafanya nn?

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 23 дня назад +3

    Hawo wababa hawajatulia . Niwamapepe 😂😂😂

  • @sophiajumbale1322
    @sophiajumbale1322 22 дня назад +1

    Ila yammy wamoto😂,hadi mama mkwe anapagawa hio noma hio😅😅😅

  • @KismartSaid
    @KismartSaid 19 дней назад

    Ukome

  • @samiakalab2774
    @samiakalab2774 20 дней назад

    Anapenda kukaa uch ,

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 23 дня назад +2

    Mshenzi sana huyu malaya basata hawaioni hii wamfungie mbwa huyu

  • @TrilllionTheGhost
    @TrilllionTheGhost 23 дня назад +2

    Bora Barnaba amuoe yami tu

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 23 дня назад

    Yaan mpaka mtoto ana busu kabisa..aaah hapa barnaba lazima atakuwa kashaweka hapa😂

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 23 дня назад

    Mwenyenzimungu atakuhukumu vibay mschn

  • @geraldgwaje8967
    @geraldgwaje8967 23 дня назад

    Mi nimependa sana Yammy aolewe kwakweli na Barnabas

  • @ron_kelvinson1983
    @ron_kelvinson1983 23 дня назад +2

    Bonge la wimbooooo barnaba fundiiiiiii aseeee

  • @user-zk5hy7hu4u
    @user-zk5hy7hu4u 20 дней назад +1

    Tatizo sio collabo tatizo nimavazi aliyovaa Yammy 🥱🥱🥱🥱

  • @AnnasMnyasi
    @AnnasMnyasi 23 дня назад

    Yn kwa hapo hat mm ningpgn

  • @JasmineZubery
    @JasmineZubery 21 день назад

    Tatz co kumxhik jaman tatz mavaz hap

  • @user-pu6tf6ft6i
    @user-pu6tf6ft6i 23 дня назад +1

    Huyu mdada akili ana atakama nimsanii ndio kuvaa uchi hivi jaman mbingu watu wataiona wachache ana wazazi atakama nimsanii

  • @samiakalab2774
    @samiakalab2774 20 дней назад

    Tatizo vaz la linaukakas😅😅

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 23 дня назад

    Mtoto simpendi huyu kumamaae mtt hana adabu anspenda kwenda uchi sijui ndio anaona ustar mshenzi sana huyu yammy

  • @user-ki3oz4yp1p
    @user-ki3oz4yp1p 21 день назад

    Jaman shida nihayo mavaz na mikao mapenz yanauma haki

  • @user-dh5ex2in6e
    @user-dh5ex2in6e 20 дней назад

    Tatizo saiv wanawake kuvaa uchi ndo wameona kazi jamn jarb kuwamnavaa vizur mjiheshimu mtu mwenyw huna shepu

  • @BenMahende
    @BenMahende 21 день назад

    Hata Mimi nani kwa izo picha mmmm! Ni ngumu kukubali kama mtu kweli yupo serious na anaheshimu ndoa

  • @safikiza3444
    @safikiza3444 23 дня назад

    Imeendaiyo 😅😂

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 23 дня назад

    😂😂😂😂yani raya kanichekesha na hio msg yake

  • @user-cf9ii6qk5h
    @user-cf9ii6qk5h 16 дней назад

    Unapoolewa na msanij upo tear kukabiliana Kila kitu iyo ni kazi yake raya my dear piga moyo konde tudi kwa mumeo pia mpka unaolewa unajuwa kazi yake na unajuwa changamoto zake auche gubu dada

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo 23 дня назад +1

    Kwan nyie wanawake hamjui kazi zawanaume zenu hahaha

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er 22 дня назад

    Basata iko wapi hapo au ndio washa ongwa

  • @barakakoi5976
    @barakakoi5976 23 дня назад +5

    Huyu dada avae vzuri sio hiv kwan hana wazaz huyu mwana dada walai wasanii wabongo wakike mnatuboo namavaz yenu smue uchi tayari watu waone

  • @user-ig3wo3td2x
    @user-ig3wo3td2x 19 дней назад

    Hili vazi noma Yamini jamani ila Ngoma tunaisubiria kwa hamu sio Kila siku TU mond na zuchu tumeeachoka na kiki zao

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 21 день назад

    Inchi inao tokeya .kibunga ni hiyo tz kuna mambo mengi ya kiupumbavo

  • @farahali6041
    @farahali6041 23 дня назад +3

    Uyu yammi afungiwe nae pia amezidi humumuoni

    • @ladooladoo1285
      @ladooladoo1285 23 дня назад

      Yaani utasema mwandawazimu mwezi mchanga maana hata huyo kichaa hujifunga japo matambara na viraka
      Jamani mnatuharibia utamaduni wetu na watoto wetu, ikiwa nyinyi ndo kioo cha jamii basi tutaangamia

  • @victoriakapele8682
    @victoriakapele8682 21 день назад

    Sasa wewe dai kwani zuchu ulikuwa umemuona????

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 23 дня назад

    Domo sasa la yammi lilivyo sambaa utafikiri ngiri. Linakaa uchi huku linajua fika kufanya vile sio utu kwa mume wa mtu. Nimelichukia hili toto

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan 23 дня назад

    Jieshimu yammy huo niuhuni

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 22 дня назад

    Mbona huyu hamjamfungia mbona kavaa uchu ingekuwa zuchu hapo midomo km chuchunge na kumfungia mngemfungia

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 23 дня назад

    na atachanganyikiwa sn huyo raha, balnaba kambadilisha yeye kuwa muislam, mangapi asiyoyaona, yule ni mwanamuziki

  • @ldmfromkenya6273
    @ldmfromkenya6273 23 дня назад

    Ila yammi amezidi aki hiyo ni nn ss aki kisha eti ni mtoto wa kisilamu kwelo😏😏😏😏

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 23 дня назад

    Mbn phina 😂kwny nyimbo yake ya ti ti ti kavaa ujinga na watu awasemi wanajisemexha tu et hit songi wkt saraphina kavaa ujinga na amsemi😂😂😂

    • @arya-star53
      @arya-star53 21 день назад

      Kavaa ndio lkn hajashoot na mume wa mtu, Yan hapo wote wamekosea Barnaba kushika yammi vile na yami kuvaa vile huku anashikwa na mume wa mtu

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z 21 день назад

      Ttz n mavaz nd yameleta maneno wasanii wanakumbatia watu Sana kumbka shilole alipokuwa ameolewa na ochebe ali dance jukwaan na mshikaji mmoja adi aibu lkn tuliona kitu cha kawaida sbb alikuwa kavaa pow lkn yammi na phina wanavaa vby bhn