DIAMOND Amchana BARNABA Zuchu Ameniacha kama Mke wako Alivyokuacha Tu "Poleee"
HTML-код
- Опубликовано: 1 май 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - Развлечения
Hawa ndo wanao itwa kioo cha jamii💔💔💔laana tu llaah.
Jamani jamani hivi nyinyi wasanii mnaifundisha nini jamii, au kuna sheria kuwa kuwa msanii ni kutoka hadharan bila nguo?
Viongozi wa nchi na usanii Tanzania inaeelekea wapi? Halafu tutawalaumu watoto wa siku hizi?
Eee Mungu tulindie Tanzania yetu hii ni tabia mbaya
Kufanya collabo sio shidaa , wala naya asingechukia tatizo ni mavazi ya yammi hata ingkua ni mm hapna😂😂
Halafu tako mfupa na kimwili chote mfupa yaani huyu yammi akikamatwa mijeledi inamuhusu
jamani tujue kwamba akhera si mbali inatungoja 😮
Nanyie mnaojiita basata mnafanya nn?
Hawo wababa hawajatulia . Niwamapepe 😂😂😂
Ila yammy wamoto😂,hadi mama mkwe anapagawa hio noma hio😅😅😅
Ukome
Anapenda kukaa uch ,
Mshenzi sana huyu malaya basata hawaioni hii wamfungie mbwa huyu
Bora Barnaba amuoe yami tu
Yaan mpaka mtoto ana busu kabisa..aaah hapa barnaba lazima atakuwa kashaweka hapa😂
Mwenyenzimungu atakuhukumu vibay mschn
Mi nimependa sana Yammy aolewe kwakweli na Barnabas
Bonge la wimbooooo barnaba fundiiiiiii aseeee
Kabisa🎉🎉🎉🎉
Tatizo sio collabo tatizo nimavazi aliyovaa Yammy 🥱🥱🥱🥱
Yn kwa hapo hat mm ningpgn
Tatz co kumxhik jaman tatz mavaz hap
Huyu mdada akili ana atakama nimsanii ndio kuvaa uchi hivi jaman mbingu watu wataiona wachache ana wazazi atakama nimsanii
Tatizo vaz la linaukakas😅😅
Mtoto simpendi huyu kumamaae mtt hana adabu anspenda kwenda uchi sijui ndio anaona ustar mshenzi sana huyu yammy
Jaman shida nihayo mavaz na mikao mapenz yanauma haki
Tatizo saiv wanawake kuvaa uchi ndo wameona kazi jamn jarb kuwamnavaa vizur mjiheshimu mtu mwenyw huna shepu
Hata Mimi nani kwa izo picha mmmm! Ni ngumu kukubali kama mtu kweli yupo serious na anaheshimu ndoa
Imeendaiyo 😅😂
😂😂😂😂yani raya kanichekesha na hio msg yake
Unapoolewa na msanij upo tear kukabiliana Kila kitu iyo ni kazi yake raya my dear piga moyo konde tudi kwa mumeo pia mpka unaolewa unajuwa kazi yake na unajuwa changamoto zake auche gubu dada
Kwan nyie wanawake hamjui kazi zawanaume zenu hahaha
Basata iko wapi hapo au ndio washa ongwa
Huyu dada avae vzuri sio hiv kwan hana wazaz huyu mwana dada walai wasanii wabongo wakike mnatuboo namavaz yenu smue uchi tayari watu waone
Hili vazi noma Yamini jamani ila Ngoma tunaisubiria kwa hamu sio Kila siku TU mond na zuchu tumeeachoka na kiki zao
Inchi inao tokeya .kibunga ni hiyo tz kuna mambo mengi ya kiupumbavo
Uyu yammi afungiwe nae pia amezidi humumuoni
Yaani utasema mwandawazimu mwezi mchanga maana hata huyo kichaa hujifunga japo matambara na viraka
Jamani mnatuharibia utamaduni wetu na watoto wetu, ikiwa nyinyi ndo kioo cha jamii basi tutaangamia
Sasa wewe dai kwani zuchu ulikuwa umemuona????
Domo sasa la yammi lilivyo sambaa utafikiri ngiri. Linakaa uchi huku linajua fika kufanya vile sio utu kwa mume wa mtu. Nimelichukia hili toto
Jieshimu yammy huo niuhuni
Mbona huyu hamjamfungia mbona kavaa uchu ingekuwa zuchu hapo midomo km chuchunge na kumfungia mngemfungia
na atachanganyikiwa sn huyo raha, balnaba kambadilisha yeye kuwa muislam, mangapi asiyoyaona, yule ni mwanamuziki
Ila yammi amezidi aki hiyo ni nn ss aki kisha eti ni mtoto wa kisilamu kwelo😏😏😏😏
Mbn phina 😂kwny nyimbo yake ya ti ti ti kavaa ujinga na watu awasemi wanajisemexha tu et hit songi wkt saraphina kavaa ujinga na amsemi😂😂😂
Kavaa ndio lkn hajashoot na mume wa mtu, Yan hapo wote wamekosea Barnaba kushika yammi vile na yami kuvaa vile huku anashikwa na mume wa mtu
Ttz n mavaz nd yameleta maneno wasanii wanakumbatia watu Sana kumbka shilole alipokuwa ameolewa na ochebe ali dance jukwaan na mshikaji mmoja adi aibu lkn tuliona kitu cha kawaida sbb alikuwa kavaa pow lkn yammi na phina wanavaa vby bhn