DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOTINGA PAMOJA KWENYE UZINDUZI WA ALBUM YA BARNABA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOTINGA PAMOJA KWENYE UZINDUZI WA ALBUM YA BARNABA...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 108

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 Год назад +4

    Nawapenda nikiwaona mond na zu hura nawaona mbali sana ❤️

  • @bokele
    @bokele 2 года назад +19

    Nimependa alicho kifanya Diamond, Adabu mbele kwanza, safi sana Big

  • @queenlizzyplatnumz4942
    @queenlizzyplatnumz4942 2 года назад +6

    Nawapenda Hawa watu jmn💙💙

    • @yustayusuph9101
      @yustayusuph9101 2 года назад

      Haunishindi mimi walai, nawapenda mpaka naumwa

  • @estheramisiofficiel8304
    @estheramisiofficiel8304 2 года назад +5

    Mimi mpaka nawalota diamond kamuowe zuu nampenda sana mpaka mume wangu anauliza uyo zuchu ni nani

  • @lillianatieno5362
    @lillianatieno5362 2 года назад +1

    Dah! Suti ya diamond jamaani looking smart and sharp🙏🏻❤❤

  • @topistawanjiku8279
    @topistawanjiku8279 2 года назад +5

    Zuchu my best 👌 👍 😍 🥰

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 года назад +2

    Subhana Allah Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab wanaume wana jistiri na wanawake wana kaaa uchi. Mwenye Enzi Mungu atustiri na atu hidi sisi pamoja na wao na jamii Islam. Allahumma Ameen yaarabil Aalamiin

    • @maureendzame1200
      @maureendzame1200 2 года назад

      Kwani ulionapi show ikafanywa na buibui?😏tafuta mawaidhi uangalie basi jamani😎

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 2 года назад

      @@maureendzame1200 kwani uki fanya show lazima ukae uchi mbona wanaume wana jistiri

  • @lee81721
    @lee81721 2 года назад +6

    Zuchu should hire an image consultant to teach her how to graze the red carpet.
    Wanatembea tu fwaaaa kwa red carpet,kusimama fwaaaa .Yaani kila kitu fwaaaa

    • @nurseboastine9036
      @nurseboastine9036 2 года назад

      Atleast some one has seen this..buy i guess she is always uncomfortable while with simba

    • @athumaniamiri880
      @athumaniamiri880 2 года назад

      Aahaaaa🤣🤣🤣

    • @nurseboastine9036
      @nurseboastine9036 2 года назад

      She is superstar,very confident akiimba but akiwa na simba,anachezesha vidole na mguu kama ka 16yrs old..ni aibu ya kuwa na mpenzi boss ama.look at there video in france,anacheza mguu kwa aibu hadi naaibika kwa niaba yake.ma si hate speech..nakapemda zuchu sana,.look at simba very confident..

    • @nurseboastine9036
      @nurseboastine9036 2 года назад

      How old is she?

    • @cedo.director
      @cedo.director 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @CHIROJACKSON2
    @CHIROJACKSON2 2 года назад +2

    Amazing 😍😍

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +6

    Kelele 50 kwa zuchu

  • @paskaliangoto2849
    @paskaliangoto2849 2 года назад +1

    Nawapenda bureeee miee zuuu na Simbaa

  • @deohcivilian
    @deohcivilian 2 года назад +1

    👏👏👏maqin diamond

  • @swagztv6754
    @swagztv6754 2 года назад +4

    Heshima ya Bigg n hatr sn💥♥️

  • @lulumalima1739
    @lulumalima1739 2 года назад

    Mumependezaaa Saba you couple beautiful

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад

    Oyoooo Zuchu na Dai kama mmasai kuvaa shuka!

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +2

    🔥❤️🔥

  • @محمدعبدالله-ل4ز1ع
    @محمدعبدالله-ل4ز1ع 2 года назад +2

    اوووووووو والله مشتاقين والله ي فنان مفصل تسلم ياغالي ربنا يخليك لينا يارب

    • @sharlharl5890
      @sharlharl5890 2 года назад

      Hii ni lugha gani jamani tutaelewaje ulichokinena🤣

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 года назад

      😂😂😂😂😂🕌

  • @azizamohammed583
    @azizamohammed583 Год назад

    zuchuuuuu 🔥🔥🔥

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 2 года назад +1

    Ammy girl leo umewaka

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 года назад +9

    Zuchu is looking beautiful and hot

  • @nassoursalum7982
    @nassoursalum7982 2 года назад

    Kapendeza kavaaa kigauni cha elfu 2

  • @amanihussein6148
    @amanihussein6148 2 года назад +1

    Wabongo mbona huwa wanafki sana

  • @telesiakaovera4381
    @telesiakaovera4381 2 года назад +2

    Huyo zuchu alisema eye muisilamu hatangazi pombe sasa mbona kanavaaa uchi

    • @issazambiko6489
      @issazambiko6489 2 года назад +1

      Sasa uchi ni pombe mbona ww unazini lakini mwingine ufanyi

  • @arafaomari1832
    @arafaomari1832 2 года назад +2

    Hiyo ya zuchu

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 2 года назад +3

    DIAMOND YUWAJUA KUWACHEZEA AKILI 😂 AAH HUYU KIBOKO

  • @fedsonmagoti9258
    @fedsonmagoti9258 2 года назад

    I appreciate

  • @edwinekatundu6844
    @edwinekatundu6844 2 года назад +5

    Kumbe zuchu kazur hiv,ana shape zur hv,mamaeee😲😲

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 2 года назад

      Gym inalipa kabisa sana shape inakaa vizuri 🥰

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 2 года назад

    Big up

  • @plumbingandtilesservce5271
    @plumbingandtilesservce5271 2 года назад

    Mda wote Jana shika vifole

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 2 года назад

    Mlisema tanasha ana vaha uchwi SASA zuchu anava Madera

  • @teddylameck3355
    @teddylameck3355 2 года назад

    Daimond zinga la msanii ila ajui kuvaa dah

    • @naomi8860
      @naomi8860 2 года назад +1

      As if unajuwa ku vaa wewe

  • @Atotibabe
    @Atotibabe 2 года назад

    Haiya..zuchu

  • @taustaus2737
    @taustaus2737 2 года назад +4

    Naona zuchu mambo sio mabaya kishep kinaanza kujileta taratibu zamani ulikua hatanyuma hugeuki kuonyesha shep .shep shikamoo

  • @bienfaitamani7833
    @bienfaitamani7833 2 года назад +1

    💐🥰

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 2 года назад

    Mond upande wa kuongea hajui yni hujui kuongea vzrii

  • @melkiadgangai994
    @melkiadgangai994 2 года назад +3

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤

  • @salmasowafynilsson6715
    @salmasowafynilsson6715 2 года назад

    Diamond kwaviyoto yote Tz uka come out with those ☹️🙄

  • @thekennedy2002
    @thekennedy2002 2 года назад +1

    Iyo trousers👖 diamond jomoni😅

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 года назад

    Mke wa diamond huyo

  • @bintmwadarashi5177
    @bintmwadarashi5177 2 года назад +1

    Diamond arudi kwa wema sepetu tu

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 2 года назад +5

    Zuchu hajapendezaaaa🤪

    • @lillianndinda8046
      @lillianndinda8046 2 года назад +1

      Anayevalisha zuchu, afutwe kazi

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 2 года назад

      @@lillianndinda8046 sikachagua mwnyew mshonaj ana kosa nn

    • @lillianndinda8046
      @lillianndinda8046 2 года назад

      Mwimbaji mkubwa huyo tunamtambua huku kenya,she should be stunning heaven any time any hour,,anyway all the best for her,twampenda

  • @davidoscooper237
    @davidoscooper237 2 года назад

    Kama mmasai kuvaa shujaa😁😁😁😁😁😁

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan3620 2 года назад +5

    Kanajishaua ako kazuchu kabaya

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 года назад +1

    Fashion ndo zimetubeba kwa kweli hiyo nguo ya nanii ndo ikoje sasa jmn

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 года назад +1

    Nchi matamasha kila sikuuu ehh

  • @sadkazinbaya9791
    @sadkazinbaya9791 2 года назад +1

    BARNABA amesema yeye anafanya kazi na ZIKI siyo Diamond amempeleka BARNABA kusaini MKATABA na ZIKI siyo kweli acheni uongo nyinyi WCB

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 2 года назад +2

    Uyu ndio yule zuchu alikataa dili la pombe kisa muislam 😂😂 binadamu wana mambo ww ungekula tu helaa usilamu usilamu huo mavazi hayo 😂😂😂 sheikh ungekulaa helaaa ww kuni tu huna lolote

    • @bimkubwaali1605
      @bimkubwaali1605 2 года назад

      mpuuzi huyuuu anajifanya muislamu anavaaa uchi wa mnyama

    • @mrssaidaisha4736
      @mrssaidaisha4736 2 года назад

      Pombe ime imeharamishwa
      Mavazi ni ma swala ya ngine
      Well done zushi

    • @jei_Ibrahim
      @jei_Ibrahim 2 года назад

      @@mrssaidaisha4736 mavazi hayo pia yame haramishwa ewh aisha ww kwio

    • @OlgaAmboulou
      @OlgaAmboulou 5 месяцев назад

      ​​​@@bimkubwaali1605t
      Et pourquoi tu insulte les gens la nudité est interdit mais Les insultent sont permis espèce 4:46 d'hypocrite😂

  • @luwagobakari8809
    @luwagobakari8809 2 года назад

    💯💯

  • @kulway4669
    @kulway4669 2 года назад

    ho

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 2 года назад +1

    Haja design hamisa hii sut Maana huko chn ingetengenezwa veeereee 🤣🤣

  • @jafarisaidi9528
    @jafarisaidi9528 2 года назад

    Muone Hugo boy chibu

  • @agneskalayu4648
    @agneskalayu4648 2 года назад

    Huyo atakuacha tu ni fisi am sure he's sick too

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 года назад +1

    Ila zuchu mbaya jaman khaaa dia Rudi south Afrika aiseee.. hapo🤷

  • @Dnt4kwtm
    @Dnt4kwtm 2 года назад +4

    They keep denying that they have a thing going on🙄🙄🙄🙄 so childish

    • @ellyemily4234
      @ellyemily4234 2 года назад +1

      Maisha ni yao wewe ishi yako ...

    • @Dnt4kwtm
      @Dnt4kwtm 2 года назад

      @@ellyemily4234 na nimekuadress saa ngapi falaski? Get the heck out of my comment b!tćh

  • @manifestationmastermindset6518
    @manifestationmastermindset6518 2 года назад +1

    Hatutak kutangaza pombe pombe haram😄😃🤣

  • @byaombealoys5967
    @byaombealoys5967 2 года назад

    Diamomd mwaribifu,,, sasa ivi ameshindwa nakuowa hata kutambulisha mausiano yake hadharani amebaki kutoka na mtoto wa watu kiivyo ..

  • @mrpresidentmsafi2685
    @mrpresidentmsafi2685 2 года назад

    Poa kaka

  • @mwamvuachiko2396
    @mwamvuachiko2396 2 года назад

    Mdogowangu kila lakheri fanyaunachoona kinafaa inshot dadaako nawapenda ote zari mama watoto Zuchu pia wewe muislam na alrujaru owa ote

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 2 года назад

      Dai hawezi kumuoa zari anamtumia

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 2 года назад

      Kama ni muislam wa kweli na anaamin sheria za kiislam hana mtoto ata mmoja

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 2 года назад +2

    👍🔥👍🔥👍🔥🔥🔥

  • @محمدعبدالله-ل4ز1ع
    @محمدعبدالله-ل4ز1ع 2 года назад +2

    ضايمون نمبر وان