DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOTINGA PAMOJA KWENYE UZINDUZI WA ALBUM YA BARNABA...
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- DIAMOND NA ZUCHU WALIVYOTINGA PAMOJA KWENYE UZINDUZI WA ALBUM YA BARNABA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nawapenda nikiwaona mond na zu hura nawaona mbali sana ❤️
Nimependa alicho kifanya Diamond, Adabu mbele kwanza, safi sana Big
Nawapenda Hawa watu jmn💙💙
Haunishindi mimi walai, nawapenda mpaka naumwa
Mimi mpaka nawalota diamond kamuowe zuu nampenda sana mpaka mume wangu anauliza uyo zuchu ni nani
Unanibamba😁
Dah! Suti ya diamond jamaani looking smart and sharp🙏🏻❤❤
Zuchu my best 👌 👍 😍 🥰
Subhana Allah Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab wanaume wana jistiri na wanawake wana kaaa uchi. Mwenye Enzi Mungu atustiri na atu hidi sisi pamoja na wao na jamii Islam. Allahumma Ameen yaarabil Aalamiin
Kwani ulionapi show ikafanywa na buibui?😏tafuta mawaidhi uangalie basi jamani😎
@@maureendzame1200 kwani uki fanya show lazima ukae uchi mbona wanaume wana jistiri
Zuchu should hire an image consultant to teach her how to graze the red carpet.
Wanatembea tu fwaaaa kwa red carpet,kusimama fwaaaa .Yaani kila kitu fwaaaa
Atleast some one has seen this..buy i guess she is always uncomfortable while with simba
Aahaaaa🤣🤣🤣
She is superstar,very confident akiimba but akiwa na simba,anachezesha vidole na mguu kama ka 16yrs old..ni aibu ya kuwa na mpenzi boss ama.look at there video in france,anacheza mguu kwa aibu hadi naaibika kwa niaba yake.ma si hate speech..nakapemda zuchu sana,.look at simba very confident..
How old is she?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Amazing 😍😍
Kelele 50 kwa zuchu
Nawapenda bureeee miee zuuu na Simbaa
👏👏👏maqin diamond
Heshima ya Bigg n hatr sn💥♥️
Mumependezaaa Saba you couple beautiful
Oyoooo Zuchu na Dai kama mmasai kuvaa shuka!
🔥❤️🔥
اوووووووو والله مشتاقين والله ي فنان مفصل تسلم ياغالي ربنا يخليك لينا يارب
Hii ni lugha gani jamani tutaelewaje ulichokinena🤣
😂😂😂😂😂🕌
zuchuuuuu 🔥🔥🔥
Ammy girl leo umewaka
Zuchu is looking beautiful and hot
She looks heater ❤️
Kapendeza kavaaa kigauni cha elfu 2
Wabongo mbona huwa wanafki sana
Huyo zuchu alisema eye muisilamu hatangazi pombe sasa mbona kanavaaa uchi
Sasa uchi ni pombe mbona ww unazini lakini mwingine ufanyi
Hiyo ya zuchu
DIAMOND YUWAJUA KUWACHEZEA AKILI 😂 AAH HUYU KIBOKO
I appreciate
Kumbe zuchu kazur hiv,ana shape zur hv,mamaeee😲😲
Gym inalipa kabisa sana shape inakaa vizuri 🥰
Big up
Mda wote Jana shika vifole
Mlisema tanasha ana vaha uchwi SASA zuchu anava Madera
Daimond zinga la msanii ila ajui kuvaa dah
As if unajuwa ku vaa wewe
Haiya..zuchu
Naona zuchu mambo sio mabaya kishep kinaanza kujileta taratibu zamani ulikua hatanyuma hugeuki kuonyesha shep .shep shikamoo
😂😂😂🥱
Unataka kusemaa....
Damu yake na ya Diamond imepatana.....maji ya Simba yanamtengeneza anone mshangae
💐🥰
Mond upande wa kuongea hajui yni hujui kuongea vzrii
👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤
Diamond kwaviyoto yote Tz uka come out with those ☹️🙄
Iyo trousers👖 diamond jomoni😅
baba wa jeje
Mke wa diamond huyo
Diamond arudi kwa wema sepetu tu
Zuchu hajapendezaaaa🤪
Anayevalisha zuchu, afutwe kazi
@@lillianndinda8046 sikachagua mwnyew mshonaj ana kosa nn
Mwimbaji mkubwa huyo tunamtambua huku kenya,she should be stunning heaven any time any hour,,anyway all the best for her,twampenda
Kama mmasai kuvaa shujaa😁😁😁😁😁😁
Kanajishaua ako kazuchu kabaya
Anajiamin ndo maana amina
Acha wivuuuuuuuuuuuuuuuuuu😠😏😏
Wewe mzuli au shobo lilia baati siyo uzuli
Kwani we mzuri..bas nenda kwa mondi tukuone
Acha wivu
Fashion ndo zimetubeba kwa kweli hiyo nguo ya nanii ndo ikoje sasa jmn
Bora umeona yaan she is like a cheap girl in the club
Exactly
Kama ya kulala vile
Nchi matamasha kila sikuuu ehh
BARNABA amesema yeye anafanya kazi na ZIKI siyo Diamond amempeleka BARNABA kusaini MKATABA na ZIKI siyo kweli acheni uongo nyinyi WCB
Aisee 😀😀
Uyu ndio yule zuchu alikataa dili la pombe kisa muislam 😂😂 binadamu wana mambo ww ungekula tu helaa usilamu usilamu huo mavazi hayo 😂😂😂 sheikh ungekulaa helaaa ww kuni tu huna lolote
mpuuzi huyuuu anajifanya muislamu anavaaa uchi wa mnyama
Pombe ime imeharamishwa
Mavazi ni ma swala ya ngine
Well done zushi
@@mrssaidaisha4736 mavazi hayo pia yame haramishwa ewh aisha ww kwio
@@bimkubwaali1605t
Et pourquoi tu insulte les gens la nudité est interdit mais Les insultent sont permis espèce 4:46 d'hypocrite😂
💯💯
ho
Haja design hamisa hii sut Maana huko chn ingetengenezwa veeereee 🤣🤣
Amepewa zawadi kwa mams Tifa
@@ashurahaji4794 🤣🤣🤣🤣
Muone Hugo boy chibu
Huyo atakuacha tu ni fisi am sure he's sick too
Ila zuchu mbaya jaman khaaa dia Rudi south Afrika aiseee.. hapo🤷
Mpe wewe basi akiwa bongo😅
They keep denying that they have a thing going on🙄🙄🙄🙄 so childish
Maisha ni yao wewe ishi yako ...
@@ellyemily4234 na nimekuadress saa ngapi falaski? Get the heck out of my comment b!tćh
Hatutak kutangaza pombe pombe haram😄😃🤣
Diamomd mwaribifu,,, sasa ivi ameshindwa nakuowa hata kutambulisha mausiano yake hadharani amebaki kutoka na mtoto wa watu kiivyo ..
Poa kaka
Mdogowangu kila lakheri fanyaunachoona kinafaa inshot dadaako nawapenda ote zari mama watoto Zuchu pia wewe muislam na alrujaru owa ote
Dai hawezi kumuoa zari anamtumia
Kama ni muislam wa kweli na anaamin sheria za kiislam hana mtoto ata mmoja
👍🔥👍🔥👍🔥🔥🔥
ضايمون نمبر وان