ZUCHU ASHINDWA KUJIZUIA AKIELEZEA BUSU ALILOMCHAPA DIAMOND WAKIAGANA AIRPORT!
HTML-код
- Опубликовано: 19 июл 2023
- ZUCHU ASHINDWA KUJIZUIA AKIELEZEA BUSU ALILOMCHAPA DIAMOND WAKIAGANA AIRPORT!
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Waumize vichwaaa ZUCHU ❤❤
Kajinunulia sema acha awaumize
Leo wakwanza nawaombeni like zangu musiniangushe
Aiseee kweli tusililie uzuri tulilie bahati
Weee
Ndio hivyo wangu bahati ndio kila kitu uzuri hata mdoli anao
Boss akibakia kuwa boss inapendeza sanaa.. 🇰🇪🇰🇪 let me mind my own business..🤸
Sura ziiiito. Kuimba unajua. Mungu hakunyimi vyote. Na hivyo vinguo Mungu anakuona Zuchina.
Acha wivu wewe
Sura nzito kwanini tusiseme
I LOVE u zuc
Zuuh like Vile tu unatuchocha😂😂😂
Kapotea
Pamoja na kupewa hizo piwa gold utaachwa tu aliachwa zari na tanasha na uzur wao itakuwa wewe wewe ni wa kawaida mno ni vile tu una bahat umepata bahat tu ambayo ss wengine hatuzipat ivo acha sifa tulia
My dear kama diamond hakuowe kupata bwana mwingine nazani utamununua kwa super market.
Wewe zuchu
Mshana anashangaa
Jisheshimu kuvaa uchi ushajisahau kuwa muislam hasara tupu
Kaanza sifa shaur zake, mwanzo alikuwa kimyaa ikawa inapendeza sanaa
Nkbl zuchuu staaa
Chefuuu😏 we endelea kupigwa matukio ukiwa umekaa paleee
Acha wivu kafue chupi 😂😂😂
😅😅😅 jibu a mwana ukome
Usha tuchosha Bora ungekaaga kimyaa ka mwanzo muonekano mzuri huna kanyago hpo
Kamekomaa sana
Yani kinajidai kusom quran kumbe hamna kitu tumuogope mungu jaman duuuh
Kifua hana makalio mbamba sura ndousiseme
Huyu zuuh sjui anatuonaje sisi etyi rafiki iyo kwiyo
kwani ww ni mtoto hadi upasuliwe kila kitu mwenye macho hambiwi taxama
Ndio maana zu unaibiwa funguka
Uranyemejee😂😂😂
Umalaya imezidi ati Rafiki yako kituu gani
Akanako nika jinga www unaitaji kuumizwa kwa uzuru gn misuzi
Acha wivu kojoa ulale
Ila huyu Zuchu jamani mmmh Acha nipite tu
bora upite huyawezi ya zuxhu sana sana utateseka tu
@@wahidamaulid9527😂😂😂 ❤❤
@@wahidamaulid9527umeonaee bora apite kuleee😅😅
Pita kuleee
Tuzingatie alichosema hapa zuchu, kwanza kasema ananunuliwa accessories zote na chibu,so hapa tushajua amelewa kwenye haya mazawadi. Chapili anavozidi kusema eti nilimkiss rafiki yangu, hivi hajui maneno yanaumba?anavyozidi kusema eti rafiki basi chibu nae anam treat kama rafiki.🤦🏾♀️. Chatatu vitendo vya mtu ndo jinsi anavyokuona moyoni mwake. Kwa mfano tumchukulie Rotimi nae msanii kama nasibu lakini huoni akimfanyia Vanessa ujinga, na huko Atlanta kuna wanawake bomba kuliko Vanessa lakini rotimi anampenda na kumuheshimu Vanessa. Ubaya kwa zuchu sasahivi yupo kwenye mapenzi na mtu maarufu na mwenye viela, kwahiyo anaona bora apewe stress na mtu mwenye ela kuliko na mtu asie na ela. Daaah!!!! Zuchu anahitaji maombi jamani🥹
Swadakta Tena ya nguvu
Mbona munakuwa kama vile mnaogopa kumuuliza maswali? Munaogopa musifukuzwe?
Yan uyu ami girl smkblg at kdg
Why do I feel that she just planned to lie
No she hasn’t she actually revealed A LOT. try to watch the whole show. Myself I was shocked the things she said❤
Duh kwa Mungu hakuna mtu mwenye Sura mbaya ,but deaaaaammm 👎
Go look at yourself in the mirror
AKISHAZAA KWISHA,,,,AKAULIZE
wivu
@@antonywilliama2868 sio wewe ndo una wivu na coment yangu? Shule,,,shule
yote ni maua
Anastahmili shida sababu ana shida ata amfumanie kitandani kwake kwenye nyumba yke zuchu bac hamuachi duhh huyu ni zombi
Wataachana tu 😂😂
kwani ww unaumia nn roho mbaya tu
SAA NYINGINE NAJILIULIZA, HIVI MAKAFIKIRI WANAPATIKANA KTK DINI GANI? AU KAFIRI NI NANI??
Mimi ndio nimekuumbeni nyinyi nyoooote... Wengine ni WAISLAMU na wengine ni MAKAFIRI. (Qur an)
Kiki tu za mjini hamna lokote ni acting tu😅
Watu mna wivu
@@theresiamwandara7990sio wivu ni true it's a business for social media wa continue kupata views na kuongelea nothing else.
Wajinga nyie