Mama hadija kopa jitaid umwambie zuchu asivae uchi ajalibu kujistili. Japo anaimba bongo freva. Sisi waislma tutaenda kulizwa kwa mungu kuhusu watoto wetu malezi na stalaa mama.
Mama Zuchu mlee na umpe mawazo mazuri Zuchu Maana kwako ni mtoto Zuchu hodari na mwenye jitahada Ana THAMANI Ichunge na ajichunge ili thamani yake isifujike
Mbona mama mrembo kuliko mwana. Mmmmmm jamani shikamoo makeup. Zuchu kuonekana mzee kuliko mama yake. Mama mashalllah. Duh mwanae ajiweke vizuri.la sivyo zuchu zuuuuuu.
Jamani mbn mnamchamba huyu mama .nyie kama mnamjua mwenyezi MUNGU na nyie kama mnamuona huyu mama mkosefu BASI MUOMBEENI KWA MUNGU.MAMY ADIJA MUNGU AKUPE UHAI NA MAISHA MAREFU DUNIANI WEWE NA FAMILIA YAKO
@@deborahmwakatoga7192 yaani nyinyi mnakuwaga hamwelewi mtu anaposema huyu analaana nikwamba nibaada yakumuona anaenda kinyume namagizo yamungu namungu kashasema ukimuona mtu akifanya hivi huyu yuko ktk laana ndomaana uko unawasikia watu wanaojua sheria wanasema huyu analaana ila tu mtu haruhusiwi kumwambia mtu kuwa mungu akulaani
@@mahadybaclessaduuuzuchumak2378 post yakitu ndo inayoshawishi mtu kwangalia kitu kwenye post kiliandikwa chingine tumekuja kuyakuta mengine sasa tukishayakuta lazima tukumbushane
Yote tisa kumi zuchu anaimba sauti mashaalla lakini angevaa nguwo ya stara angependeza sanaaa simhukumu wala siingili maisha ya mtu ilaa ni mtoto wakiisilamu angeji hifadhi mama hadija angempa kielelezo na maadili ya dini najuwa kila mtu na amali yake ya zuchu ni hatari 🖕tuogope mungu hu nimwisho wa duniya
TID I simply love your style and mama kopa looking so beautiful she has not aged😍😍👍
Mama hadija kopa jitaid umwambie zuchu asivae uchi ajalibu kujistili. Japo anaimba bongo freva. Sisi waislma tutaenda kulizwa kwa mungu kuhusu watoto wetu malezi na stalaa mama.
Waona haya kuona tv nyimbo ukiwa na wakwe zako wanao
Ama kweli Dunia inakwenda kinyumenyume mtoto amepotea njia ya mwenyeezi mungu mama mzazi unazidi kumuombea mungu apotee huko huko kweli Dunia tamu
😆😆😆😆
Dunia inamajambo meeengi...🤔
Wewe ni mnafiki
Yeye mwenyewe kapotea
Wa alla Hana sauti nzur inachujwa tu nandy ndo kiboko yake
Duuh! Mtoto wa nyoka ni nyoka . nyoka hazai mjusi hata siku moja.ila pole mama huo ni mtihani kuna maisha baada ya haya
HahAaaa
Tena huyu anajuwa kila kitu ila dunia tu kaiweka mbele
Mama Zuchu mlee na umpe mawazo mazuri Zuchu Maana kwako ni mtoto Zuchu hodari na mwenye jitahada Ana THAMANI Ichunge na ajichunge ili thamani yake isifujike
Mbona mama mrembo kuliko mwana. Mmmmmm jamani shikamoo makeup. Zuchu kuonekana mzee kuliko mama yake. Mama mashalllah. Duh mwanae ajiweke vizuri.la sivyo zuchu zuuuuuu.
Huyu mama si make up ni mzuri wa Asili Haswaaaaaaa
@@nururaymond5 hahaha
Kwamungu pia ukaseme hivyo hivyo shauri zako unampotosha mtt huyo
Jamani mbn mnamchamba huyu mama .nyie kama mnamjua mwenyezi MUNGU na nyie kama mnamuona huyu mama mkosefu BASI MUOMBEENI KWA MUNGU.MAMY ADIJA MUNGU AKUPE UHAI NA MAISHA MAREFU DUNIANI WEWE NA FAMILIA YAKO
Mashallah ❤❤❤
Hongela yako mond kwa mama zuchu
Asante Bi Khadija...😍
Hongera mama shujas
Tld wallah yuwafaa kua comedy yani uwa yuwanikosha huyu kaka.mama adija kopa mashaallah umependeza
Atari sana adijakopa mamalamamazuchu love you
Wee taila una mwambia et wimbo wacheche zuchu ama shikwa panako,,ame kujibu mxiki uja lizika kabisa yani
Mama zuchu wacha
MOTO WA JAHANNAM UNACHEKELEA NA MAKURUMBEMBE KAMA HAYA!
Umbeya wewe nimtu mzima Sana makanye mwanao kutembea uchi.na maneno itokayo kinyani nikama choo ya uswahilini
Love you mama ❤
Inalilahi!!!!
Nimekuja kuona mamake zuchu akimkanya Diamond kumshika Zuchu😂cheiiii !!!!!🏃
hata mie ila sijaona nlichokifata🤣
🤣🤣🤣🤣
TID ana usela wa kizamani
Mimi nataka kufanya mziki na Diamond ya uchanguzi ya hapa kwetu Kenya ila mimi sijahirekodi but ningependa tukafanye kolabu
Masha allah
Mtu mzima ovyo umepigwa laana wewe na Allah S.W.
Unamuhumuku wewe nani haunamamlaka ya kutoa neno LOLOTE kwa binadamu mwenzio jichunguze wewe kwanza
@@deborahmwakatoga7192 yaani nyinyi mnakuwaga hamwelewi mtu anaposema huyu analaana nikwamba nibaada yakumuona anaenda kinyume namagizo yamungu namungu kashasema ukimuona mtu akifanya hivi huyu yuko ktk laana ndomaana uko unawasikia watu wanaojua sheria wanasema huyu analaana ila tu mtu haruhusiwi kumwambia mtu kuwa mungu akulaani
@Najma Said assalam alaykum dada najma nishawambia maana kauli hiyo naisikiaga nawatu wengi sana
Kama kapigwa raana unaangalia nn nawe utakua makuz
@@mahadybaclessaduuuzuchumak2378 post yakitu ndo inayoshawishi mtu kwangalia kitu kwenye post kiliandikwa chingine tumekuja kuyakuta mengine sasa tukishayakuta lazima tukumbushane
Amina 🙏🙏🙏🙏
Msimeshe bint wako asiendelee mambo ya kwimba dunia Maputo tu
Mkumbukeni Mungu siku za ujana wenu kabura hazijaja siku zikizo mbaya kwenu.
I think the mother is high and i don't trust this WCB 😏😏😏
Nakubali.....
Mkwe wa Diamond huyo
Kopa ifike mahali utubu, usiendekeze dunia
Oyaaa
Pendeza sana Kopa
Yaani sifa hizi ingelikuwa anahagaika kuitafuta pepo
Mama turia huu mziki wakisasa kushikwa kawaida tu
mzur nakupenda mama
Tobah kumbe watu hawalali kwa dunia tu.Allah tuongowe cc waja wako ni mtihani huu
Wacha ashikwe anajitakia
Mungu akuongese kipaji ubarikiwe
Hujawaona wakuombea nn kaka Mambo hayo niyakuusisha mungu kweli ?? Anapiga mziki watu wanaendelea kulewa ndo unamuombea ??? Ogopa mungu
Hivi unawezaje kuwa na ufahari juu ya mwenendo wa mwanao??? Unadiriki kumshukuru Allah kwa mziki??? Ni haraam na umtoe ktk dhambi
Zuchu anaimba nn hata sielewi.....bongo fleva....zouk...zijui nn simuelew mara kama taarab
Kama mamaake
NI mzuri sana
Ndio maana Killer alisema KWA HADIJA NIMPE KOPA ILE TARATIIIBU
Imekaa kitalam kwl
Maskini mamauyo hee ipo cku utayaacha yoote hayo utataman ufunuliwe uwenuke umkataze zuchu asiimbe yaalaitani jahannam inakusubiri kama hutobadilika
Usimwambie jahannam inamsubiri. Muombee kwa Allah,
Kelel. Kwa. Mamalakeee
Mbona mm hyo tamsithili siijhi
Huyu mama hazeeki
WE WACHA UJINGA NENDA KAFANYE IBADA WEE WAZIDI KUPOTEA HIYO SISIFA PUMBAVU WEEE
Anajiona kama mtoto
Zuchu hatari
Mpooo mzuri
Mama zuchu nimmalaya sana
😳😳😳😳😁😁😁🤭🤭
umalaya wake uko wap?
🤔🤔wew
Kichwa kizur hiki...
♥️♥️mama zuchu
A
Pamoja
Dayna miss you Sana
Bi Khadija mashahallah Kama unamiaka 18
Pendeza. Sana. Mamaake
Pendeza sana
we mama mtu hujielew na uyo mtoto pia hujitambuw
Pambana mama penye ridhiki hapakosi fitina zuchu mpe mama yako sifa kubwaa mungu aendelee kumweka dunia I
🙏😃🙏
Haya kina machungu
Mama
Studio hio kwiyooo 😂😂😂
Anakesha na music halali how 🤔
Hiyonisili
Nani kagundua kuwa huyu mjinga kalewa?
Ndio kalewa doooh
@@asiakinia9344 Poa
Yupi kalewa?
Kalewa😞
Amn.kitu
qali san
Mama zuch mambo
Hay
T.I.D baaaana
🙏😂🙏🙏🙏
We'll,
Taarab na sio Talaab wewe mtangazaji, unarudia rudia taalab kwanini???
Mtangazi kiaz
Kwa uwongo wa heading nime unsubscribe
Poa
Really nice 👌 😍💋 💝💖❤️
Yote tisa kumi zuchu anaimba sauti mashaalla lakini angevaa nguwo ya stara angependeza sanaaa simhukumu wala siingili maisha ya mtu ilaa ni mtoto wakiisilamu angeji hifadhi mama hadija angempa kielelezo na maadili ya dini najuwa kila mtu na amali yake ya zuchu ni hatari 🖕tuogope mungu hu nimwisho wa duniya
Eiiiish my mum ile siku atanisifu hivi weuh zuchu you so lucky☺️
Wow!! Ukweli kabsa ,zuchu is so lucky
Ukopow Sana kopa umependeza mnoooooo