MAMA ZUCHU AMJIBU DIAMOND KUMSHIKA ZUCHU,,,LAZIMA NIONGEE UKWELI HUU....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 118

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 2 года назад +2

    TID I simply love your style and mama kopa looking so beautiful she has not aged😍😍👍

  • @khadijafaudhi89
    @khadijafaudhi89 3 года назад +11

    Mama hadija kopa jitaid umwambie zuchu asivae uchi ajalibu kujistili. Japo anaimba bongo freva. Sisi waislma tutaenda kulizwa kwa mungu kuhusu watoto wetu malezi na stalaa mama.

    • @saidamoti7120
      @saidamoti7120 3 года назад

      Waona haya kuona tv nyimbo ukiwa na wakwe zako wanao

  • @abdullhamidnanga1267
    @abdullhamidnanga1267 3 года назад +6

    Ama kweli Dunia inakwenda kinyumenyume mtoto amepotea njia ya mwenyeezi mungu mama mzazi unazidi kumuombea mungu apotee huko huko kweli Dunia tamu

  • @monicaisaya6143
    @monicaisaya6143 3 года назад +4

    Wa alla Hana sauti nzur inachujwa tu nandy ndo kiboko yake

  • @rahimuramadhani1781
    @rahimuramadhani1781 3 года назад +5

    Duuh! Mtoto wa nyoka ni nyoka . nyoka hazai mjusi hata siku moja.ila pole mama huo ni mtihani kuna maisha baada ya haya

  • @mohammedsaleh4055
    @mohammedsaleh4055 3 года назад +5

    Mama Zuchu mlee na umpe mawazo mazuri Zuchu Maana kwako ni mtoto Zuchu hodari na mwenye jitahada Ana THAMANI Ichunge na ajichunge ili thamani yake isifujike

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 3 года назад +8

    Mbona mama mrembo kuliko mwana. Mmmmmm jamani shikamoo makeup. Zuchu kuonekana mzee kuliko mama yake. Mama mashalllah. Duh mwanae ajiweke vizuri.la sivyo zuchu zuuuuuu.

    • @nururaymond5
      @nururaymond5 3 года назад +2

      Huyu mama si make up ni mzuri wa Asili Haswaaaaaaa

    • @rufokosi2618
      @rufokosi2618 3 года назад

      @@nururaymond5 hahaha

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 3 года назад +5

    Kwamungu pia ukaseme hivyo hivyo shauri zako unampotosha mtt huyo

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 3 года назад +2

    Jamani mbn mnamchamba huyu mama .nyie kama mnamjua mwenyezi MUNGU na nyie kama mnamuona huyu mama mkosefu BASI MUOMBEENI KWA MUNGU.MAMY ADIJA MUNGU AKUPE UHAI NA MAISHA MAREFU DUNIANI WEWE NA FAMILIA YAKO

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 8 месяцев назад +1

    Mashallah ❤❤❤

  • @kimelajames6122
    @kimelajames6122 3 года назад +1

    Hongela yako mond kwa mama zuchu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 года назад +1

    Asante Bi Khadija...😍

  • @kevinokoth3789
    @kevinokoth3789 2 года назад +1

    Hongera mama shujas

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 3 года назад +4

    Tld wallah yuwafaa kua comedy yani uwa yuwanikosha huyu kaka.mama adija kopa mashaallah umependeza

  • @maliamuluswaga3522
    @maliamuluswaga3522 3 года назад +1

    Atari sana adijakopa mamalamamazuchu love you

  • @jonasjohn1384
    @jonasjohn1384 3 года назад +5

    Wee taila una mwambia et wimbo wacheche zuchu ama shikwa panako,,ame kujibu mxiki uja lizika kabisa yani

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb 6 месяцев назад +1

    Mama zuchu wacha

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 года назад +6

    MOTO WA JAHANNAM UNACHEKELEA NA MAKURUMBEMBE KAMA HAYA!

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb 6 месяцев назад +1

    Umbeya wewe nimtu mzima Sana makanye mwanao kutembea uchi.na maneno itokayo kinyani nikama choo ya uswahilini

  • @aminaaminahmuhammad8838
    @aminaaminahmuhammad8838 2 года назад +1

    Love you mama ❤

  • @minnaaibrahim8994
    @minnaaibrahim8994 3 года назад +4

    Inalilahi!!!!

  • @mercycheptoo4388
    @mercycheptoo4388 3 года назад +12

    Nimekuja kuona mamake zuchu akimkanya Diamond kumshika Zuchu😂cheiiii !!!!!🏃

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 3 года назад +6

    TID ana usela wa kizamani

  • @kevinokoth3789
    @kevinokoth3789 2 года назад +1

    Mimi nataka kufanya mziki na Diamond ya uchanguzi ya hapa kwetu Kenya ila mimi sijahirekodi but ningependa tukafanye kolabu

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад +2

    Masha allah

  • @muhandoomary1882
    @muhandoomary1882 3 года назад +8

    Mtu mzima ovyo umepigwa laana wewe na Allah S.W.

    • @deborahmwakatoga7192
      @deborahmwakatoga7192 3 года назад +2

      Unamuhumuku wewe nani haunamamlaka ya kutoa neno LOLOTE kwa binadamu mwenzio jichunguze wewe kwanza

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      @@deborahmwakatoga7192 yaani nyinyi mnakuwaga hamwelewi mtu anaposema huyu analaana nikwamba nibaada yakumuona anaenda kinyume namagizo yamungu namungu kashasema ukimuona mtu akifanya hivi huyu yuko ktk laana ndomaana uko unawasikia watu wanaojua sheria wanasema huyu analaana ila tu mtu haruhusiwi kumwambia mtu kuwa mungu akulaani

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      @Najma Said assalam alaykum dada najma nishawambia maana kauli hiyo naisikiaga nawatu wengi sana

    • @mahadybaclessaduuuzuchumak2378
      @mahadybaclessaduuuzuchumak2378 3 года назад

      Kama kapigwa raana unaangalia nn nawe utakua makuz

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      @@mahadybaclessaduuuzuchumak2378 post yakitu ndo inayoshawishi mtu kwangalia kitu kwenye post kiliandikwa chingine tumekuja kuyakuta mengine sasa tukishayakuta lazima tukumbushane

  • @xyztotolakenyaabcfromkenya8317
    @xyztotolakenyaabcfromkenya8317 3 года назад +1

    Amina 🙏🙏🙏🙏

  • @DalilaSailm
    @DalilaSailm 6 месяцев назад

    Msimeshe bint wako asiendelee mambo ya kwimba dunia Maputo tu

  • @benardboaz8260
    @benardboaz8260 3 года назад +3

    Mkumbukeni Mungu siku za ujana wenu kabura hazijaja siku zikizo mbaya kwenu.

  • @niemowmiemow2913
    @niemowmiemow2913 3 года назад +4

    I think the mother is high and i don't trust this WCB 😏😏😏

  • @hamzaabui9712
    @hamzaabui9712 3 года назад +2

    Nakubali.....

  • @Salma-um7gv
    @Salma-um7gv Год назад

    Kopa ifike mahali utubu, usiendekeze dunia

  • @djsumu4449
    @djsumu4449 3 года назад +1

    Oyaaa

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 3 года назад +3

    Pendeza sana Kopa

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry5799 3 года назад +1

    Yaani sifa hizi ingelikuwa anahagaika kuitafuta pepo

  • @blackbeauty2952
    @blackbeauty2952 3 года назад +2

    Mama turia huu mziki wakisasa kushikwa kawaida tu

  • @danielyeliasy6146
    @danielyeliasy6146 3 года назад

    mzur nakupenda mama

  • @haithamjuma2472
    @haithamjuma2472 2 года назад +1

    Tobah kumbe watu hawalali kwa dunia tu.Allah tuongowe cc waja wako ni mtihani huu

  • @Atotibabe
    @Atotibabe 2 года назад +1

    Wacha ashikwe anajitakia

  • @joshwasaitoti8811
    @joshwasaitoti8811 3 года назад

    Mungu akuongese kipaji ubarikiwe

    • @abufauzan9417
      @abufauzan9417 3 года назад

      Hujawaona wakuombea nn kaka Mambo hayo niyakuusisha mungu kweli ?? Anapiga mziki watu wanaendelea kulewa ndo unamuombea ??? Ogopa mungu

  • @thuwaybajuma421
    @thuwaybajuma421 3 года назад +1

    Hivi unawezaje kuwa na ufahari juu ya mwenendo wa mwanao??? Unadiriki kumshukuru Allah kwa mziki??? Ni haraam na umtoe ktk dhambi

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 3 года назад +2

    Zuchu anaimba nn hata sielewi.....bongo fleva....zouk...zijui nn simuelew mara kama taarab

  • @luluabu1342
    @luluabu1342 3 года назад

    NI mzuri sana

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 3 года назад +2

    Ndio maana Killer alisema KWA HADIJA NIMPE KOPA ILE TARATIIIBU

  • @yusilymussa3213
    @yusilymussa3213 3 года назад +2

    Imekaa kitalam kwl

  • @mouzaseif1147
    @mouzaseif1147 3 года назад +3

    Maskini mamauyo hee ipo cku utayaacha yoote hayo utataman ufunuliwe uwenuke umkataze zuchu asiimbe yaalaitani jahannam inakusubiri kama hutobadilika

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 года назад

      Usimwambie jahannam inamsubiri. Muombee kwa Allah,

  • @badestboy271
    @badestboy271 3 года назад

    Kelel. Kwa. Mamalakeee

  • @amrisaidi4
    @amrisaidi4 3 года назад +1

    Mbona mm hyo tamsithili siijhi

  • @robertmich8845
    @robertmich8845 3 года назад +2

    Huyu mama hazeeki

  • @hamiarseif7299
    @hamiarseif7299 3 года назад +11

    WE WACHA UJINGA NENDA KAFANYE IBADA WEE WAZIDI KUPOTEA HIYO SISIFA PUMBAVU WEEE

  • @justaribrahim5983
    @justaribrahim5983 3 года назад

    Mpooo mzuri

  • @muhamedsaid4177
    @muhamedsaid4177 3 года назад +2

    Mama zuchu nimmalaya sana

  • @pendombise6014
    @pendombise6014 3 года назад +3

    Kichwa kizur hiki...

  • @wahidasaid7827
    @wahidasaid7827 3 года назад +1

    ♥️♥️mama zuchu

  • @benjaminmhamilawa9847
    @benjaminmhamilawa9847 3 года назад

    Pamoja

  • @anisabakari5298
    @anisabakari5298 3 года назад

    Dayna miss you Sana

  • @salehsalum6593
    @salehsalum6593 3 года назад +5

    Bi Khadija mashahallah Kama unamiaka 18

  • @saidsalmin1248
    @saidsalmin1248 3 года назад +2

    🙏😃🙏

  • @aishasalmin1752
    @aishasalmin1752 3 года назад

    Haya kina machungu

  • @nganzijuma4362
    @nganzijuma4362 3 года назад +3

    Mama

  • @josephkalamazoo7979
    @josephkalamazoo7979 3 года назад +6

    Studio hio kwiyooo 😂😂😂

  • @salmaalbarwani2618
    @salmaalbarwani2618 3 года назад

    Anakesha na music halali how 🤔

  • @chechemanyama2342
    @chechemanyama2342 3 года назад

    Hiyonisili

  • @dadykhalfani9527
    @dadykhalfani9527 3 года назад +3

    Nani kagundua kuwa huyu mjinga kalewa?

  • @witinessnasho5777
    @witinessnasho5777 3 года назад

    Amn.kitu

  • @axhajuma2852
    @axhajuma2852 3 года назад

    qali san

  • @lazaromalando700
    @lazaromalando700 3 года назад

    Mama zuch mambo

  • @rajabumashaka5327
    @rajabumashaka5327 3 года назад

    Hay

  • @dtherockguy9003
    @dtherockguy9003 3 года назад +1

    T.I.D baaaana

  • @ramaibrahim5676
    @ramaibrahim5676 3 года назад +1

    🙏😂🙏🙏🙏

  • @williamsalama2912
    @williamsalama2912 3 года назад

    We'll,

  • @IsraelSaria
    @IsraelSaria 3 года назад +1

    Taarab na sio Talaab wewe mtangazaji, unarudia rudia taalab kwanini???

  • @jumaamzee2041
    @jumaamzee2041 3 года назад +1

    Kwa uwongo wa heading nime unsubscribe

  • @mathiascharles1916
    @mathiascharles1916 3 года назад

    Poa

  • @karlieziemann0018
    @karlieziemann0018 3 года назад +4

    Really nice 👌 😍💋 💝💖❤️

  • @saidamoti7120
    @saidamoti7120 3 года назад +3

    Yote tisa kumi zuchu anaimba sauti mashaalla lakini angevaa nguwo ya stara angependeza sanaaa simhukumu wala siingili maisha ya mtu ilaa ni mtoto wakiisilamu angeji hifadhi mama hadija angempa kielelezo na maadili ya dini najuwa kila mtu na amali yake ya zuchu ni hatari 🖕tuogope mungu hu nimwisho wa duniya

  • @mercycheptoo4388
    @mercycheptoo4388 3 года назад +5

    Eiiiish my mum ile siku atanisifu hivi weuh zuchu you so lucky☺️

  • @anisabakari5298
    @anisabakari5298 3 года назад +1

    Ukopow Sana kopa umependeza mnoooooo