ALI KAMWE & AZIZI KI WAFANYA VURUGU MSIMBAZI MAKAO MAKUU YA SIMBA ,

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 56

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 22 дня назад +7

    Mm ni Simba ila nawashukuru sana Yanga ,wanatutia hasira sana ,sisi hata nafasi ya pili hamna 😢,bs tuu ,inauma sana .Nina miaka arobain ckumbuki ni lin Simba alikuwa nafasi ya tutu rigi kuu😢, bs tuu acha tuufe viongoz wasio jua mpira wametufikisha apa

    • @timcee2670
      @timcee2670 22 дня назад +1

      Simba imewahi kunusurika mara kadhaa kushuka daraja, Yanga ilihusika kuwaokoa mara mbili, Ni yanga pekee ambayo haijawahi kushuka nje ya nafasi ya tatu

    • @hasanimohamedi279
      @hasanimohamedi279 21 день назад

      pole mtani sema viongoz wenu duuu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 21 день назад

      @@timcee2670 😂😂😂😂😂

  • @user-no7eg7ux3j
    @user-no7eg7ux3j 22 дня назад +3

    Mimi ni yanga ila hongereni sana Wana simba kwa kuonesha uwana michezo na ungwana . Safi sana

  • @DemamaSarah
    @DemamaSarah 20 дней назад

    nakubali sn watt wajangwan pongez kwen😊

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 22 дня назад

    Safi sana jirani zetu wanasimba mliopepea bendera zenu michezo ni uungwana

  • @jacksonmakundi5956
    @jacksonmakundi5956 21 день назад +1

    Na Bado mtaumiza tu vichwa mpaka 2030

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 22 дня назад +1

    Hii nimzuri mnatutengenezea viongozi wajierewe maana wamefanya simba nishambalao

  • @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt
    @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt 22 дня назад

    Hongera Tim ya wananchi wenye roho mbaya wajifungie ndani nchi imezizima

    • @DerickEdward-jj2tv
      @DerickEdward-jj2tv 22 дня назад

      😅😅😅😅hapa hta ukijfungia ndan kwa hzo kelel utaangalia 2 hkuna cha kujifngia ushauli 2 watoke waangalie😂

  • @BenithaSalvatory
    @BenithaSalvatory 22 дня назад

    Naipenda yanga yangu sio na mbambamba

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama 22 дня назад

    Naipenda sana yanga

  • @user-ip8oo4tg8d
    @user-ip8oo4tg8d 22 дня назад

    Hongereni wananchi

  • @abubakarijoseph-hv6xy
    @abubakarijoseph-hv6xy 22 дня назад

    Mumetisha

  • @OmbeniMbuma
    @OmbeniMbuma 21 день назад

    Yaani viongozi wote wa Simba wamekimbia

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 22 дня назад

    Ongera mtani🙏🙏

  • @benbenson7314
    @benbenson7314 22 дня назад

    Wananchiiiiii💛💚💛💚💛💚

  • @hamisimbena326
    @hamisimbena326 22 дня назад +1

    Hiiiiii yanga siami gooo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 21 день назад

      Shabiki anaehama timu yake kwa kufanya vibaya si shabiki...shabiki wa ukweli ni yule anaeikubali timu yake nyakati zote!!!

  • @iddihamisi1519
    @iddihamisi1519 22 дня назад

    💚💚💚💚

  • @WilisonDonad-fe1vq
    @WilisonDonad-fe1vq 22 дня назад

    Michezooo siuwaaduiii
    Naasiookubalii
    Kushindwaaa bas
    Huyooo
    Siiimshindaaan

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 21 день назад

    Swali Kwa wana usalama hasa polisi mandamano ya aina hii huwa yana Kibali maalum? Manake idadi hii ya watu ni hatariiii sanaaaa Kwa usalama wa watu wetu

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 22 дня назад

    Mangungu Oyeeeeeer....................

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 22 дня назад

    Aiseee Kuna watu wanateseka sana jamani Yanga rahaaaaaaaa nyie

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 22 дня назад

    Ni kuwakeraaa tu mpk waseme😂😂😂

  • @WatuShazi
    @WatuShazi 22 дня назад

    Hapo bado

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 22 дня назад

    Kweli hii timu ya wananchi

  • @OmbeniMbuma
    @OmbeniMbuma 21 день назад

    😁

  • @mashakasaidi969
    @mashakasaidi969 21 день назад

    Mbona mnakuwa wachokoz mnatufata mpaka mlangoni duuu

  • @user-ch5tq6lo2b
    @user-ch5tq6lo2b 21 день назад

    YOTE MIPANGO YA MUNGU

  • @soozeymerick31
    @soozeymerick31 22 дня назад

    Mpaka waseme

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 21 день назад

    YANGA yangu...Uumwaka tumetishaaaaaaaaaa

  • @anjelitajohn
    @anjelitajohn 22 дня назад +1

    Kujikusanyia uchovu tu,

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 21 день назад

      Unateseka ukiwa wapi koloooo?!!! Poleeeee we😂😂

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 22 дня назад

    Wakereniiiiiiiii

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 21 день назад

    haw ni watuuuu du

  • @abubakarijoseph-hv6xy
    @abubakarijoseph-hv6xy 22 дня назад

    Wananch!!!!!!!!!!

  • @MikolaiChagule-mt3ic
    @MikolaiChagule-mt3ic 21 день назад

    Hiyo ndo yanga ya wana. Nchi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 21 день назад

    Sasa basi hii ni mahaba zaidi ya mahaba

  • @stephanSandika
    @stephanSandika 22 дня назад

    Hapo atuja chukua kombe la Africa

    • @ntulikimaro7332
      @ntulikimaro7332 22 дня назад +1

      Tukichukua hilo siku linakuja Tanzania Airport patajaa njano na kijani na nyeusi 😂😂😂😂

  • @HenedAidha
    @HenedAidha 22 дня назад +1

    Wasiwaumize kichwa malimbukeni Hao. Simba nguvu 1

  • @sadih5333
    @sadih5333 21 день назад

    Ubigwa wa kununua baadhi ya timu kwa kishingizio cha ufadhili.

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 21 день назад

      Hivi unateseka ukiwa wapi ndugu kolobwanji

    • @chrisshassan2025
      @chrisshassan2025 21 день назад

      Ilifungwa Mara mbili ulinunuliwa na wewe ulitugawiya point 6 mwenyewe

    • @maryaugustino8716
      @maryaugustino8716 21 день назад

      Naona na timu lako bovu nalo tulilinua bwanji kolo ulibwanji😅😅😅😅

  • @MkaliWagoka-bz6im
    @MkaliWagoka-bz6im 21 день назад

    Kuna Watu wanaona ni karaha lkn hii ina ukuza MPIRA wetu wa TANZANIA,,maana SIMBA nao hawatakubali kila Mwaka YANGA kuwazomeaa