Mm ni Simba ila nawashukuru sana Yanga ,wanatutia hasira sana ,sisi hata nafasi ya pili hamna 😢,bs tuu ,inauma sana .Nina miaka arobain ckumbuki ni lin Simba alikuwa nafasi ya tutu rigi kuu😢, bs tuu acha tuufe viongoz wasio jua mpira wametufikisha apa
Simba imewahi kunusurika mara kadhaa kushuka daraja, Yanga ilihusika kuwaokoa mara mbili, Ni yanga pekee ambayo haijawahi kushuka nje ya nafasi ya tatu
Swali Kwa wana usalama hasa polisi mandamano ya aina hii huwa yana Kibali maalum? Manake idadi hii ya watu ni hatariiii sanaaaa Kwa usalama wa watu wetu
Mm ni Simba ila nawashukuru sana Yanga ,wanatutia hasira sana ,sisi hata nafasi ya pili hamna 😢,bs tuu ,inauma sana .Nina miaka arobain ckumbuki ni lin Simba alikuwa nafasi ya tutu rigi kuu😢, bs tuu acha tuufe viongoz wasio jua mpira wametufikisha apa
Simba imewahi kunusurika mara kadhaa kushuka daraja, Yanga ilihusika kuwaokoa mara mbili, Ni yanga pekee ambayo haijawahi kushuka nje ya nafasi ya tatu
pole mtani sema viongoz wenu duuu
@@timcee2670 😂😂😂😂😂
Mimi ni yanga ila hongereni sana Wana simba kwa kuonesha uwana michezo na ungwana . Safi sana
Asanteeni sana shukrani
nakubali sn watt wajangwan pongez kwen😊
Safi sana jirani zetu wanasimba mliopepea bendera zenu michezo ni uungwana
Na Bado mtaumiza tu vichwa mpaka 2030
Hii nimzuri mnatutengenezea viongozi wajierewe maana wamefanya simba nishambalao
Hongera Tim ya wananchi wenye roho mbaya wajifungie ndani nchi imezizima
😅😅😅😅hapa hta ukijfungia ndan kwa hzo kelel utaangalia 2 hkuna cha kujifngia ushauli 2 watoke waangalie😂
Naipenda yanga yangu sio na mbambamba
Naipenda sana yanga
Hongereni wananchi
Mumetisha
Yaani viongozi wote wa Simba wamekimbia
Ongera mtani🙏🙏
Wananchiiiiii💛💚💛💚💛💚
Hiiiiii yanga siami gooo
Shabiki anaehama timu yake kwa kufanya vibaya si shabiki...shabiki wa ukweli ni yule anaeikubali timu yake nyakati zote!!!
💚💚💚💚
Michezooo siuwaaduiii
Naasiookubalii
Kushindwaaa bas
Huyooo
Siiimshindaaan
Swali Kwa wana usalama hasa polisi mandamano ya aina hii huwa yana Kibali maalum? Manake idadi hii ya watu ni hatariiii sanaaaa Kwa usalama wa watu wetu
Mangungu Oyeeeeeer....................
😂😂😂nafasi ya tatu oyeeee😂😂
Aiseee Kuna watu wanateseka sana jamani Yanga rahaaaaaaaa nyie
Ni kuwakeraaa tu mpk waseme😂😂😂
Hapo bado
Kweli hii timu ya wananchi
😁
Mbona mnakuwa wachokoz mnatufata mpaka mlangoni duuu
YOTE MIPANGO YA MUNGU
Mpaka waseme
YANGA yangu...Uumwaka tumetishaaaaaaaaaa
Kujikusanyia uchovu tu,
Unateseka ukiwa wapi koloooo?!!! Poleeeee we😂😂
Wakereniiiiiiiii
haw ni watuuuu du
Wananch!!!!!!!!!!
Hiyo ndo yanga ya wana. Nchi
Sasa basi hii ni mahaba zaidi ya mahaba
Hapo atuja chukua kombe la Africa
Tukichukua hilo siku linakuja Tanzania Airport patajaa njano na kijani na nyeusi 😂😂😂😂
Wasiwaumize kichwa malimbukeni Hao. Simba nguvu 1
😂😂😂ulimbuken wakta hata nafas ya pili huioni pole kolo 😂😂
4:56 4:56
4:56 4:56
4:56 4:56
4:56 4:56
Ubigwa wa kununua baadhi ya timu kwa kishingizio cha ufadhili.
Hivi unateseka ukiwa wapi ndugu kolobwanji
Ilifungwa Mara mbili ulinunuliwa na wewe ulitugawiya point 6 mwenyewe
Naona na timu lako bovu nalo tulilinua bwanji kolo ulibwanji😅😅😅😅
Kuna Watu wanaona ni karaha lkn hii ina ukuza MPIRA wetu wa TANZANIA,,maana SIMBA nao hawatakubali kila Mwaka YANGA kuwazomeaa