Wewe toka ulipolia mimi nimekuacha nilikuwa nawewe sana brother mpira ni starehe sasa unapolia hiyo ni vitaungeshuka daraja wewe ungekuwaje si ungejiua
Maneno kuongea ni rahisi sana ,kazi vitendo, hebu wana simba mpeni huyu bwana nafasi ya mwenyekiti alafu tuone atafanyaje dawa ni hiyo tu . Domo kaya bila vitendo halitofaa
Viongozi wa simba watupishe kiukweli ila haya mambo ya gb64 yalipaswa yafanywe na matawi yote tz lakini matawi wapokimya wapumbavu sana sasa kunamaana gani ya kuwa na matawi na wanachama
Gb64 nilikua nakuona ni mtu mwenye busara na akili timamu kumbe sivyo unaakili za mitandaoni mtu mzima hovyo unayo ongea wala hayafanani na uso wako habu waulize man united leo wako wapi waulize kaizer chief leo wako wapi wakati simba anashinda miaka 4 yanga walikua wapi mpira hauko hivyo
Halafu inabidi ujiulize wakati Simba wanabeba ubingwa mara 4 Yanga walikua na hali gani kiuchumi kama klabu na currently Yanga anabeba ubingwa mbele ya Simba wakiwa na hali gani? Coz kipindi kile Simba alikuwa na Mo halafu Yanga walikua wanabeba bakuli kuchangishana na hawajawahi kugombania na timu nafasi ya pili lakini saiv Yanga Wana mdhamini na Simba Wana mwekezaji je nn sababu ya Simba kukaa vibaya
Wewe.usitumie kigezo Cha kaiza chifu haya kwani kaiza chifu haja chukua club bingwa afrika wewe ushachukua acha ujinga mo kaiyua simba nayeye ndio kirusi kwasasa pale
WALE WOTE WATATU YAANI MAYELE BANGALA PAMOJA NA DJUMA WALIKUWA NA MKATABA WA MWAKA YANGA ACHA KUJITIA UJINGA WEWE TAALUMA YAKO MWALIMU NA WALIMU HAWANA TABIA YA KUSEMA UONGO
Eti Mungu atawauliza kuhusu mashabiki wa Simba Yaani Mungu aulize Kweli kuhusu wa Simba ili iweje Sasa Eti kwanini mnawaacha watu wa Simba wanakufa Kwani Hao watu wasimba itakua wamemufa Kwa jihadi kwaajili ya Mungu au kwaajili ya makolo Pumbavu zako we
Hili jamaa kumbe liongo aisee.Bangala alihojiwa kabisa akasema ana asilimia chache za kuendelea Yanga kwa sababu anaangalia Hela.Djuma aliandika barua ya kuomba kuondoka baadae akaghairi Yanga wakaona usitutingishe sepa.hayo mambo ya sijui nani ni mchezaji wa mtu binafsi ni upuuzi tu
Huyu alikuwa kwenye kamati ya mapambiooo 😂😂😂 ila baadaa ya kukatwa posho na katibu mzaramu ..... Ametoka amegeuka upande wa bothoo maana alikuwa ni Ubuntu huyu kama akina kisugu
Wanawagawa mashabiki wa simba unaongea kisa umebaguliwa haupati posho unaumia sana sio kwasababu ya simba nikwasababu nawew siku hizi haupati posho huo ndio ukwer
Kumbeee kweri mnapewagaaa juisss duuu
Fanya mazoezi baba jobe hakuweki benchi😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🙌
Kkukjjyú kk kkkuj 9:40 ukkykukki
@@ceciliadaudi1632
Upo sawa kabisa
GB64 anza Mazoezi unapata namba Simba
Fitina ndo asili ya simba
pole sana kamanda
Huyu xaxa ndo anafaa kuwa msemaji wa simba sio Ahmed Ally anawadanganya💛💚💛💚💚💛💚😂😂😂😂😂😂
Ndugu Ahmed Ally chawa wa viongozi sio msemaji
Safi sana tupiganie timu yetu zidi ya mabeberu waliojificha kwenye kinvuli cha mpira.
Kaka pamoja sana viongoz wanajali matumbo yao
Wamefurai viongozi
DUH...! yamekuwa hayo tenaaaa!
Jmaa kaongea kwa hisia san
Huku makazin hatuna hata rahaaa kitaaa ndo usiseme kwenye daladala ndo mamaaaaa yaaan mashabiki wa simba tunatamani
bado hajasema ! namtasema! yaani mpaka msemee ! yaani apo baado, mmmmh!"
@@user-iz3hs8jl5p vina muda bac haya mambo ni yamsim tunateseka lkn hatupitish bakuli la mchanga🤣nahata ukisema nikama ujasema
Ukweli unauma
Mtani upo sawa tena sana! Vumilia ndio ukubwa huo pia yanga waliyapitia hayo
Acheni mungu awafatilie wanaofanya mema sio mokolo
Unasemaga kweli gb , na msema kweli siku zote hutengwa na kushambuliwa
GB 64,unaongea kweli kaka
Kaka tusemee bana watu tumepata ata mishutuko ya motoo ukuu ahaa,😅😅
Huyu jamaa ameongea mpk nimejisikia huzuni ingawa me ni yanga 🔰🔰🔰 mtani hatujamzoea hizi kina Mangungu na try again waiache Simba🥲
Umesema km mimi gb64
Uposahihi mwanangu
Hiv wewe GB64 ukipewa Simba utaipeleka wapi unavyo sema uachiewe Simba Yako unahela ww mbwa😥😥😥😥😥
Wewe toka ulipolia mimi nimekuacha nilikuwa nawewe sana brother mpira ni starehe sasa unapolia hiyo ni vitaungeshuka daraja wewe ungekuwaje si ungejiua
Maneno kuongea ni rahisi sana ,kazi vitendo, hebu wana simba mpeni huyu bwana nafasi ya mwenyekiti alafu tuone atafanyaje dawa ni hiyo tu . Domo kaya bila vitendo halitofaa
Ww boya sana huyo bencikh Hana Lolo nae
Yupo sahihi mwamba!
msipo achana ma MO mtaendelea kuteseka mpeni kigwangala
Kigwangala mpe mama yako amtombe ataweza lakini kuendesha Simba hawezi kulipa hata mishahara ya mwezi mmoja
@@laninjeje8290auna akili ww msenge barid maswala ya wazazi unayaleta vp apa shoga ww ww mpe mo akufile
mmefika mbali sana mungu hausiki na mpira nyie pelekeni rambirambi kule congo ito ni laana
Huyu ana high convincing power, akiitetea simba unakubali, akiiponda utampigia makofi
Sifa ya mtu muongo muongo ..... Huyu anabadili uongo kuwa ukwel .... Na ukwel kuwa uongo ila sisi tunapiga humu tu humu tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kweli aiseeeeeee
Saf kaka
Aliyekuja kuiharibu Simba ni mangungu na try again na ndo mgogoro ulianzia hapo timu kuyumba, mangungu na try again waonendoke Simba.
huna baya kak GB 64 nakuongeza cheo GB 1000
Hao watawala watoke
Hao Dem mazulia wanapatikaña wapi
Story nzuri Kwa GB ni kuitusi Simba
Fanya mazoez mzee uliokoe chama
Mo ni jinamizi linaloitafuna simba
Viongozi wa simba watupishe kiukweli ila haya mambo ya gb64 yalipaswa yafanywe na matawi yote tz lakini matawi wapokimya wapumbavu sana sasa kunamaana gani ya kuwa na matawi na wanachama
Gb64 nilikua nakuona ni mtu mwenye busara na akili timamu kumbe sivyo unaakili za mitandaoni mtu mzima hovyo unayo ongea wala hayafanani na uso wako habu waulize man united leo wako wapi waulize kaizer chief leo wako wapi wakati simba anashinda miaka 4 yanga walikua wapi mpira hauko hivyo
UNAFANANISHA MAN U NA SIMBA KWEL JUZI KACHUKUA KOMBE MBELE YA MAN CITY UHESHIMU MPIRA
Halafu inabidi ujiulize wakati Simba wanabeba ubingwa mara 4 Yanga walikua na hali gani kiuchumi kama klabu na currently Yanga anabeba ubingwa mbele ya Simba wakiwa na hali gani? Coz kipindi kile Simba alikuwa na Mo halafu Yanga walikua wanabeba bakuli kuchangishana na hawajawahi kugombania na timu nafasi ya pili lakini saiv Yanga Wana mdhamini na Simba Wana mwekezaji je nn sababu ya Simba kukaa vibaya
UNA MAANISHA TUSISEME TUKAE KIMYAA USITULETEE MIFANO YAKO YA KIPUUZI PUUZI HAPA
Wewe.usitumie kigezo Cha kaiza chifu haya kwani kaiza chifu haja chukua club bingwa afrika wewe ushachukua acha ujinga mo kaiyua simba nayeye ndio kirusi kwasasa pale
😂😂😂😂😂kwahiyo unataka mo aondoke simba kuna mtu mwingine unamfahamu anataka kuwekeza simba?@@user-yb9cl6fr6l
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duh, yaani machungu haya pia ingetumiaka kudai katiba mpya ni dakika sifuri ndani ya wk ingepatikana
Gb Mtani punguza kdogo watakuweka ndani tena
Hacha aendelee
Huyu shabiki wa kweli Simba tatizo siyo makocha Simba
Msiseme tumechhoka kwamaneno,inatakiwa muendena petroli majumbani kwahao viongozi alafu muone kama hawataiacha Simba.hao viongozimikunduyao lengolao kkuishushaSimba..hao wapo upande wayanga kwahiyo mukiwaachia hao viongozi yanga watabeba miaka20 ijayo.😊
Tatizo unongea sana
Akikamwa wa kudili nao tunawajua ndo tutawaonyesha kuwa tunauchungu na timu yetu
Toa nyongo baba ila jera tema mate chini
WALE WOTE WATATU YAANI MAYELE BANGALA PAMOJA NA DJUMA WALIKUWA NA MKATABA WA MWAKA YANGA ACHA KUJITIA UJINGA WEWE TAALUMA YAKO MWALIMU NA WALIMU HAWANA TABIA YA KUSEMA UONGO
kaka nakuuliza huyo mwanajeshi ni timu?
Acha kichaa ukipewe wewe hiyo timu utaweza au maneno uongo majungu simba yenu una timu yako wewe nani upigiwe simu
Simu ulichangiwa Simba wakuachie utawalipa nini wachezaji? Eti Mo akuachie timu halafu unasema unauchungu unauchungu gani wewe.
GB 64 ni njaa sana ndo maana anaropoka ropoka kila mitandaoni, tafuta hela brother acha kuomba ombamba kwa watu
Kaomba kwa nan tatizo mkiambiwa ukweli mnanuna tulia dawa ikuingie
😂😂😂😂 Kanichekesha eti haya hutaki kula vumbi haya ita maiki tuambie simba yetu inaendaje hamtaki
Eti Mungu atawauliza kuhusu mashabiki wa Simba
Yaani Mungu aulize Kweli kuhusu wa Simba ili iweje Sasa
Eti kwanini mnawaacha watu wa Simba wanakufa
Kwani Hao watu wasimba itakua wamemufa Kwa jihadi kwaajili ya Mungu au kwaajili ya makolo
Pumbavu zako we
Kolo leo nanyi mnatukana 🤣🤣🤣🤣
Bado hujasema
Huyu kesho kolo wanamrudisha lokap
Chawa huyo wa UTO!
Nakukubabaliii sana mwamba unaongea ukweliii haujawai pindiii nimekukuballl
Uyu farah
Hili jamaa kumbe liongo aisee.Bangala alihojiwa kabisa akasema ana asilimia chache za kuendelea Yanga kwa sababu anaangalia Hela.Djuma aliandika barua ya kuomba kuondoka baadae akaghairi Yanga wakaona usitutingishe sepa.hayo mambo ya sijui nani ni mchezaji wa mtu binafsi ni upuuzi tu
Hili ni Ubuntu apo apo Bothoo
Leo atakua upande wa Ubuntu kesho atakua bothooo .......
Mzaramo umesikia na tumbo tumbo lako umeombewa upate ajali
Kama walikuwa wachezaji wa watu kwanini Yanga walimuuza mayele.
Mayele kauzwa?
@@Official83640😂😂😂 we unahic kafanyaje??? Au na wewe ni ubuntuuu
@@mwanangusana Nimeuliza swali nahitaji kujibiwa sio kutoa maneno mengi
@@Official83640ingia transmarket utaona mayele kauzwa na yanga tena utaona hadi bei ....
Wewe usiharibu umaarufu wa timu yetu wewe. Kupana na kushuka Kwa Simba ni kawaida kimchezo. Kulaumu si vizuri tuijenge timu yetu
Kumbe mzaramo na mziwada wanasafirishwaga😂😂
Pass millions
Doctor Moo
Aggy Simba
Mwakitalima
Mzee wA salute
Kisugu
Wanapewa posho kulipiwa ticket za uwanjani na kupewa jez za Bure za msimu mzima
Huyu alikuwa kwenye kamati ya mapambiooo 😂😂😂 ila baadaa ya kukatwa posho na katibu mzaramu ..... Ametoka amegeuka upande wa bothoo maana alikuwa ni Ubuntu huyu kama akina kisugu
@@jaffjeff6912kamati ya Ubuntu ao katibu wake ni mzaramoo chini ya mwenyekiti pass milioni makamo mwenyekiti Kisugu
Wee jamaaa Tako kwelii kwani wee nanii mbona unajiona Kila kitu unajua afu kumbuka furaha haidumu hata huzuni pia haidumu
Wewe ndio unashida
USITULETEE MAMBO YA HUZUNI NA FURAHA HATUPO MATANGANI WALA HARUSINI LAZIMA TUONGEE.
😂😂😂😂
Bado Hamjasema na Mpaka Mtasema
Ukikamatwa unakua mnyooongee,Mangungu anakusikiliza tu, ngoja awatume wajomba😂😂😂
😅😅
😛😛😛😛😛😛😋😋😋😋😋😋🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa adi 230🤣🤣🤣🤣
kiukweli simba mmepotea
Ila jamaaa anaongea ukweli
Hamia yanga wewe mamluki 0:35
Nenda yanga kenge wewe mdomo tu mpenzi gani wa simba huyooooooo
hatutaki mamli sisi nyie vp mboma kama mna2shskixia mashabiki wenu ha2wataki
Tabuuu leeee😂😂😂😂
Huna lolote naweee
Kwani huyu jamaa yupo upande gani?
Either buntuu or bothoo ila ni ao ao akina dunduka ........
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwelikabisa.yanga.anapenyeza.helampaka.gb.64.kweli.sasa.huyumusonda.na.fred.nani.bora?leounasifia.wachezajiwa.yanga.unadharau.wa.simba.we.yakwakotimu.unavyosematimu.ciyaviongozi.kwani.weyakwako.chawa.mpumbavu.kabsa.wewe.unaakili.mlaunga.mkubwa.we
Yani hata ulichokiandika ukirudia kukisoma huwezi kuelewa🤣🤣🤣🤣hata urudie mara mia unaweza SEMA trekta linalima
Mpira sio mdomo wewe MB 64
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ww wakele tu watakuweka ndani tena
Acha ushoga weweeeeeee
Huyu mtu ana hasira kwa simba kufanya vibaya... amenyooka kama rula
Unawachokoza Viongozi wako kwa kumtegemea Mwalimu?
VIONGOZI WA SIMBA SIO VIONGOZI WAKE MWACHE ASEME.
Wanawagawa mashabiki wa simba unaongea kisa umebaguliwa haupati posho unaumia sana sio kwasababu ya simba nikwasababu nawew siku hizi haupati posho huo ndio ukwer
Kwani si ubadirishe timu kwanini ung'ang'anie Simba?? acha kupayuka payuka ndugu
Huyu nae keshakuwa kirusi tu
Wewe simpenzi arsnal miaka hajachukua kombe ushawsikia kuipenda mancity acha ushamba uo
MSITULETEE MIFANO YA KISHAMBA SHAMBA.
Huna lolote wewe, ni Chawa tuu, kusema timu yako na kusifia timu nyingine!
GB 64 Amelsewa sifa Sasa na anakoelekea si kuzuri
KWANI WEWE USHAPAJUWA WAPI ANAPOELEKEA???
Acha hivo wewe yanga nini?
watanzania tuna upeo mdogo
Ujinga wako usituletee .
GB ww nimjinga sana si mshabiki
Gb 64 nakuelewa sana
Huyu Ni mpumbavu. Kulikoni asitoke Simba kwani si babake Wala mamake
😂😂😂😂
Mjinga wewe mbona unatoa povu sana ,uondoke ww ,tuachie simba yetu