GB64 ASHINDWA KUJIZUIA ASHANGILIA PARADE LA YANGA LIVE/ SIMBA LAZIMA TUKUBALI YANGA IMETUACHA MBALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #BATTLETV

Комментарии • 136

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 4 месяца назад +13

    Kumbeee kweri mnapewagaaa juisss duuu

  • @RAMADHANAllykibanga
    @RAMADHANAllykibanga 4 месяца назад +6

    Upo sawa kabisa

  • @SmartDavies-zn6lb
    @SmartDavies-zn6lb 4 месяца назад +14

    Fanya mazoezi baba jobe hakuweki benchi😂😂

  • @JofreyNoel
    @JofreyNoel 4 месяца назад +2

    pole sana kamanda

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад

    Kaka pamoja sana viongoz wanajali matumbo yao

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 4 месяца назад

    Safi sana tupiganie timu yetu zidi ya mabeberu waliojificha kwenye kinvuli cha mpira.

  • @humphreyleodgar9434
    @humphreyleodgar9434 4 месяца назад +5

    GB64 anza Mazoezi unapata namba Simba

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni 4 месяца назад +3

    Fitina ndo asili ya simba

  • @SalehChico-dw3ei
    @SalehChico-dw3ei 3 месяца назад

    Acheni mungu awafatilie wanaofanya mema sio mokolo

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 4 месяца назад +2

    Huyu xaxa ndo anafaa kuwa msemaji wa simba sio Ahmed Ally anawadanganya💛💚💛💚💚💛💚😂😂😂😂😂😂

    • @allysaidi-uy9rm
      @allysaidi-uy9rm 4 месяца назад

      Ndugu Ahmed Ally chawa wa viongozi sio msemaji

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 4 месяца назад +1

    DUH...! yamekuwa hayo tenaaaa!

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 4 месяца назад +1

    Huku makazin hatuna hata rahaaa kitaaa ndo usiseme kwenye daladala ndo mamaaaaa yaaan mashabiki wa simba tunatamani

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад

      bado hajasema ! namtasema! yaani mpaka msemee ! yaani apo baado, mmmmh!"

    • @nuruosward8161
      @nuruosward8161 4 месяца назад

      @@DoreenMlay-e8g vina muda bac haya mambo ni yamsim tunateseka lkn hatupitish bakuli la mchanga🤣nahata ukisema nikama ujasema

  • @vivathebest5300
    @vivathebest5300 3 месяца назад

    Huyu jamaa ameongea mpk nimejisikia huzuni ingawa me ni yanga 🔰🔰🔰 mtani hatujamzoea hizi kina Mangungu na try again waiache Simba🥲

  • @Dulastz
    @Dulastz 4 месяца назад +3

    Jmaa kaongea kwa hisia san

  • @Official_mhengatz01
    @Official_mhengatz01 4 месяца назад

    Hiv wewe GB64 ukipewa Simba utaipeleka wapi unavyo sema uachiewe Simba Yako unahela ww mbwa😥😥😥😥😥

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 4 месяца назад +2

    Ukweli unauma

  • @allysaidi-uy9rm
    @allysaidi-uy9rm 4 месяца назад

    Mtani upo sawa tena sana! Vumilia ndio ukubwa huo pia yanga waliyapitia hayo

  • @oseasimpasa-bj5ds
    @oseasimpasa-bj5ds 3 месяца назад

    Wamefurai viongozi

  • @KhalifaIjabariro
    @KhalifaIjabariro 4 месяца назад +1

    Kaka tusemee bana watu tumepata ata mishutuko ya motoo ukuu ahaa,😅😅

  • @AbdallahMaulid-oc7gx
    @AbdallahMaulid-oc7gx 4 месяца назад

    Uposahihi mwanangu

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 4 месяца назад +4

    Huyu ana high convincing power, akiitetea simba unakubali, akiiponda utampigia makofi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      Sifa ya mtu muongo muongo ..... Huyu anabadili uongo kuwa ukwel .... Na ukwel kuwa uongo ila sisi tunapiga humu tu humu tu

    • @kibasamohamedi8029
      @kibasamohamedi8029 4 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kweli aiseeeeeee

  • @SaidCannal
    @SaidCannal 4 месяца назад +1

    Maneno kuongea ni rahisi sana ,kazi vitendo, hebu wana simba mpeni huyu bwana nafasi ya mwenyekiti alafu tuone atafanyaje dawa ni hiyo tu . Domo kaya bila vitendo halitofaa

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 3 месяца назад

    Fanya mazoez mzee uliokoe chama

  • @MichoMpambalyoto
    @MichoMpambalyoto 3 месяца назад

    huna baya kak GB 64 nakuongeza cheo GB 1000

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 4 месяца назад +1

    Wewe toka ulipolia mimi nimekuacha nilikuwa nawewe sana brother mpira ni starehe sasa unapolia hiyo ni vitaungeshuka daraja wewe ungekuwaje si ungejiua

  • @oscarfrancis2464
    @oscarfrancis2464 4 месяца назад +4

    Unasemaga kweli gb , na msema kweli siku zote hutengwa na kushambuliwa

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 4 месяца назад +3

    Umesema km mimi gb64

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 4 месяца назад +3

    Ukikamatwa unakua mnyooongee,Mangungu anakusikiliza tu, ngoja awatume wajomba😂😂😂

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 4 месяца назад +2

    GB 64,unaongea kweli kaka

  • @Kimjongun4996
    @Kimjongun4996 4 месяца назад

    Aliyekuja kuiharibu Simba ni mangungu na try again na ndo mgogoro ulianzia hapo timu kuyumba, mangungu na try again waonendoke Simba.

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 4 месяца назад

    mmefika mbali sana mungu hausiki na mpira nyie pelekeni rambirambi kule congo ito ni laana

  • @MohdMwigongo-s2k
    @MohdMwigongo-s2k 4 месяца назад

    Ww boya sana huyo bencikh Hana Lolo nae

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад

    Gb 64 nakuelewa sana

  • @AugustineokochaKifrebe-yd7cw
    @AugustineokochaKifrebe-yd7cw 4 месяца назад

    Yupo sahihi mwamba!

  • @KemiChilstopher
    @KemiChilstopher 4 месяца назад +1

    Hao watawala watoke

  • @farajahiyob7398
    @farajahiyob7398 4 месяца назад

    Duh, yaani machungu haya pia ingetumiaka kudai katiba mpya ni dakika sifuri ndani ya wk ingepatikana

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 4 месяца назад +4

    msipo achana ma MO mtaendelea kuteseka mpeni kigwangala

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 4 месяца назад

      Kigwangala mpe mama yako amtombe ataweza lakini kuendesha Simba hawezi kulipa hata mishahara ya mwezi mmoja

    • @OmaryZuberi-o3b
      @OmaryZuberi-o3b 4 месяца назад

      ​@@laninjeje8290auna akili ww msenge barid maswala ya wazazi unayaleta vp apa shoga ww ww mpe mo akufile

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 4 месяца назад

    Viongozi wa simba watupishe kiukweli ila haya mambo ya gb64 yalipaswa yafanywe na matawi yote tz lakini matawi wapokimya wapumbavu sana sasa kunamaana gani ya kuwa na matawi na wanachama

  • @mwalimuchristian3273
    @mwalimuchristian3273 4 месяца назад +1

    Story nzuri Kwa GB ni kuitusi Simba

  • @abdallahmesso7732
    @abdallahmesso7732 4 месяца назад

    Acha kichaa ukipewe wewe hiyo timu utaweza au maneno uongo majungu simba yenu una timu yako wewe nani upigiwe simu

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 4 месяца назад

    Mo ni jinamizi linaloitafuna simba

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 4 месяца назад

    WALE WOTE WATATU YAANI MAYELE BANGALA PAMOJA NA DJUMA WALIKUWA NA MKATABA WA MWAKA YANGA ACHA KUJITIA UJINGA WEWE TAALUMA YAKO MWALIMU NA WALIMU HAWANA TABIA YA KUSEMA UONGO

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 4 месяца назад +2

    Msiseme tumechhoka kwamaneno,inatakiwa muendena petroli majumbani kwahao viongozi alafu muone kama hawataiacha Simba.hao viongozimikunduyao lengolao kkuishushaSimba..hao wapo upande wayanga kwahiyo mukiwaachia hao viongozi yanga watabeba miaka20 ijayo.😊

  • @allyrembo6714
    @allyrembo6714 4 месяца назад +3

    Gb64 nilikua nakuona ni mtu mwenye busara na akili timamu kumbe sivyo unaakili za mitandaoni mtu mzima hovyo unayo ongea wala hayafanani na uso wako habu waulize man united leo wako wapi waulize kaizer chief leo wako wapi wakati simba anashinda miaka 4 yanga walikua wapi mpira hauko hivyo

    • @shaksylight1115
      @shaksylight1115 4 месяца назад

      UNAFANANISHA MAN U NA SIMBA KWEL JUZI KACHUKUA KOMBE MBELE YA MAN CITY UHESHIMU MPIRA

    • @estonsaimon6671
      @estonsaimon6671 4 месяца назад +1

      Halafu inabidi ujiulize wakati Simba wanabeba ubingwa mara 4 Yanga walikua na hali gani kiuchumi kama klabu na currently Yanga anabeba ubingwa mbele ya Simba wakiwa na hali gani? Coz kipindi kile Simba alikuwa na Mo halafu Yanga walikua wanabeba bakuli kuchangishana na hawajawahi kugombania na timu nafasi ya pili lakini saiv Yanga Wana mdhamini na Simba Wana mwekezaji je nn sababu ya Simba kukaa vibaya

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      UNA MAANISHA TUSISEME TUKAE KIMYAA USITULETEE MIFANO YAKO YA KIPUUZI PUUZI HAPA

    • @SalehSalum-b3y
      @SalehSalum-b3y 4 месяца назад +1

      Wewe.usitumie kigezo Cha kaiza chifu haya kwani kaiza chifu haja chukua club bingwa afrika wewe ushachukua acha ujinga mo kaiyua simba nayeye ndio kirusi kwasasa pale

    • @azammaganga9101
      @azammaganga9101 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂kwahiyo unataka mo aondoke simba kuna mtu mwingine unamfahamu anataka kuwekeza simba?​@@SalehSalum-b3y

  • @athumansaidi7663
    @athumansaidi7663 4 месяца назад

    Saf kaka

  • @samwelbatholomew3209
    @samwelbatholomew3209 4 месяца назад

    Toa nyongo baba ila jera tema mate chini

  • @GodfreyNefary-mq5gr
    @GodfreyNefary-mq5gr 4 месяца назад

    Akikamwa wa kudili nao tunawajua ndo tutawaonyesha kuwa tunauchungu na timu yetu

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 4 месяца назад

    Huyu Ni mpumbavu. Kulikoni asitoke Simba kwani si babake Wala mamake

  • @JitihadaMasimba-ng5mv
    @JitihadaMasimba-ng5mv 4 месяца назад +1

    Gb Mtani punguza kdogo watakuweka ndani tena

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 4 месяца назад

    😂😂😂😂 Kanichekesha eti haya hutaki kula vumbi haya ita maiki tuambie simba yetu inaendaje hamtaki

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 4 месяца назад

    GB 64 ni njaa sana ndo maana anaropoka ropoka kila mitandaoni, tafuta hela brother acha kuomba ombamba kwa watu

    • @OmaryZuberi-o3b
      @OmaryZuberi-o3b 4 месяца назад

      Kaomba kwa nan tatizo mkiambiwa ukweli mnanuna tulia dawa ikuingie

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 4 месяца назад

    Kolo leo nanyi mnatukana 🤣🤣🤣🤣

  • @stephanongosela7089
    @stephanongosela7089 4 месяца назад

    Tatizo unongea sana

  • @MohamediHussein-o9b
    @MohamediHussein-o9b 4 месяца назад

    Eti Mungu atawauliza kuhusu mashabiki wa Simba
    Yaani Mungu aulize Kweli kuhusu wa Simba ili iweje Sasa
    Eti kwanini mnawaacha watu wa Simba wanakufa
    Kwani Hao watu wasimba itakua wamemufa Kwa jihadi kwaajili ya Mungu au kwaajili ya makolo
    Pumbavu zako we

  • @hajially4527
    @hajially4527 4 месяца назад

    Huyu kesho kolo wanamrudisha lokap

  • @anthonylusuva6039
    @anthonylusuva6039 4 месяца назад

    Simu ulichangiwa Simba wakuachie utawalipa nini wachezaji? Eti Mo akuachie timu halafu unasema unauchungu unauchungu gani wewe.

  • @ignatiomatimba3554
    @ignatiomatimba3554 4 месяца назад

    Wewe usiharibu umaarufu wa timu yetu wewe. Kupana na kushuka Kwa Simba ni kawaida kimchezo. Kulaumu si vizuri tuijenge timu yetu

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KassimMohammed-u5x
    @KassimMohammed-u5x 4 месяца назад

    Bado hujasema

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 4 месяца назад

    😛😛😛😛😛😛😋😋😋😋😋😋🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa adi 230🤣🤣🤣🤣

  • @mshua337
    @mshua337 4 месяца назад

    Hili jamaa kumbe liongo aisee.Bangala alihojiwa kabisa akasema ana asilimia chache za kuendelea Yanga kwa sababu anaangalia Hela.Djuma aliandika barua ya kuomba kuondoka baadae akaghairi Yanga wakaona usitutingishe sepa.hayo mambo ya sijui nani ni mchezaji wa mtu binafsi ni upuuzi tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      Hili ni Ubuntu apo apo Bothoo
      Leo atakua upande wa Ubuntu kesho atakua bothooo .......

  • @johntulio2644
    @johntulio2644 4 месяца назад

    Huna lolote wewe, ni Chawa tuu, kusema timu yako na kusifia timu nyingine!

  • @PeleChamgenzi
    @PeleChamgenzi 4 месяца назад +2

    Wee jamaaa Tako kwelii kwani wee nanii mbona unajiona Kila kitu unajua afu kumbuka furaha haidumu hata huzuni pia haidumu

    • @husseinmillinga
      @husseinmillinga 4 месяца назад +1

      Wewe ndio unashida

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      USITULETEE MAMBO YA HUZUNI NA FURAHA HATUPO MATANGANI WALA HARUSINI LAZIMA TUONGEE.

  • @kalifumuleonard68
    @kalifumuleonard68 4 месяца назад

    Chawa huyo wa UTO!

  • @WilsonMwambonek
    @WilsonMwambonek 4 месяца назад

    Nakukubabaliii sana mwamba unaongea ukweliii haujawai pindiii nimekukuballl

  • @johnmgoroba379
    @johnmgoroba379 4 месяца назад

    kaka nakuuliza huyo mwanajeshi ni timu?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад +1

    Kumbe mzaramo na mziwada wanasafirishwaga😂😂

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 4 месяца назад +1

      Pass millions
      Doctor Moo
      Aggy Simba
      Mwakitalima
      Mzee wA salute
      Kisugu
      Wanapewa posho kulipiwa ticket za uwanjani na kupewa jez za Bure za msimu mzima

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      Huyu alikuwa kwenye kamati ya mapambiooo 😂😂😂 ila baadaa ya kukatwa posho na katibu mzaramu ..... Ametoka amegeuka upande wa bothoo maana alikuwa ni Ubuntu huyu kama akina kisugu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      ​@@jaffjeff6912kamati ya Ubuntu ao katibu wake ni mzaramoo chini ya mwenyekiti pass milioni makamo mwenyekiti Kisugu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 месяца назад +1

    Kama walikuwa wachezaji wa watu kwanini Yanga walimuuza mayele.

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 4 месяца назад

      Mayele kauzwa?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      ​@@OfficialA83640😂😂😂 we unahic kafanyaje??? Au na wewe ni ubuntuuu

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 4 месяца назад

      @@mwanangusana Nimeuliza swali nahitaji kujibiwa sio kutoa maneno mengi

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn 4 месяца назад

      ​@@OfficialA83640ingia transmarket utaona mayele kauzwa na yanga tena utaona hadi bei ....

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 месяца назад +1

    Bado Hamjasema na Mpaka Mtasema

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 4 месяца назад

    Mzaramo umesikia na tumbo tumbo lako umeombewa upate ajali

  • @PatrickMbilinyi-bm2yt
    @PatrickMbilinyi-bm2yt 4 месяца назад

    Hamia yanga wewe mamluki 0:35

  • @samwelipetro3097
    @samwelipetro3097 4 месяца назад

    Ila jamaaa anaongea ukweli

  • @ezekielmlay8219
    @ezekielmlay8219 4 месяца назад

    Nenda yanga kenge wewe mdomo tu mpenzi gani wa simba huyooooooo

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад

      hatutaki mamli sisi nyie vp mboma kama mna2shskixia mashabiki wenu ha2wataki

  • @JofreyNoel
    @JofreyNoel 4 месяца назад

    kiukweli simba mmepotea

  • @MohdMwigongo-s2k
    @MohdMwigongo-s2k 4 месяца назад

    Huna lolote naweee

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 4 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @LeonardMasalu-ns5km
    @LeonardMasalu-ns5km 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @VailethMlowe-zf3bs
    @VailethMlowe-zf3bs 4 месяца назад

    😅😅

  • @erastocyprian3555
    @erastocyprian3555 4 месяца назад +1

    Tabuuu leeee😂😂😂😂

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 4 месяца назад

    Uyu farah

  • @hashimhassanimassawe8366
    @hashimhassanimassawe8366 4 месяца назад

    Kwelikabisa.yanga.anapenyeza.helampaka.gb.64.kweli.sasa.huyumusonda.na.fred.nani.bora?leounasifia.wachezajiwa.yanga.unadharau.wa.simba.we.yakwakotimu.unavyosematimu.ciyaviongozi.kwani.weyakwako.chawa.mpumbavu.kabsa.wewe.unaakili.mlaunga.mkubwa.we

    • @benardpeter3562
      @benardpeter3562 4 месяца назад

      Yani hata ulichokiandika ukirudia kukisoma huwezi kuelewa🤣🤣🤣🤣hata urudie mara mia unaweza SEMA trekta linalima

  • @HASHIMUMKUNDA-pz1wd
    @HASHIMUMKUNDA-pz1wd 4 месяца назад

    Kwani huyu jamaa yupo upande gani?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +1

      Either buntuu or bothoo ila ni ao ao akina dunduka ........

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 4 месяца назад

    Ww wakele tu watakuweka ndani tena

  • @MichaelMipawa-vx5om
    @MichaelMipawa-vx5om 4 месяца назад

    Acha ushoga weweeeeeee

  • @JosephDamasimushy
    @JosephDamasimushy 4 месяца назад

    Mpira sio mdomo wewe MB 64

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 4 месяца назад +1

    Unawachokoza Viongozi wako kwa kumtegemea Mwalimu?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      VIONGOZI WA SIMBA SIO VIONGOZI WAKE MWACHE ASEME.

  • @MaendeleoMohammed
    @MaendeleoMohammed 4 месяца назад

    Wanawagawa mashabiki wa simba unaongea kisa umebaguliwa haupati posho unaumia sana sio kwasababu ya simba nikwasababu nawew siku hizi haupati posho huo ndio ukwer

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 месяца назад

    Huyu mtu ana hasira kwa simba kufanya vibaya... amenyooka kama rula

  • @show...002
    @show...002 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FodiGereji01
    @FodiGereji01 4 месяца назад

    Wewe simpenzi arsnal miaka hajachukua kombe ushawsikia kuipenda mancity acha ushamba uo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      MSITULETEE MIFANO YA KISHAMBA SHAMBA.

  • @AbbasPuyaga
    @AbbasPuyaga 4 месяца назад

    Kwani si ubadirishe timu kwanini ung'ang'anie Simba?? acha kupayuka payuka ndugu

  • @mwalimuchristian3273
    @mwalimuchristian3273 4 месяца назад

    GB 64 Amelsewa sifa Sasa na anakoelekea si kuzuri

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      KWANI WEWE USHAPAJUWA WAPI ANAPOELEKEA???

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 4 месяца назад

    Mjinga wewe mbona unatoa povu sana ,uondoke ww ,tuachie simba yetu

  • @EmanuelBayo-i8b
    @EmanuelBayo-i8b 4 месяца назад

    Acha hivo wewe yanga nini?

    • @JofreyNoel
      @JofreyNoel 4 месяца назад

      watanzania tuna upeo mdogo

  • @binomar8524
    @binomar8524 4 месяца назад

    GB ww nimjinga sana si mshabiki

  • @SamsonSele
    @SamsonSele 4 месяца назад

    😂

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 месяца назад

    Ujinga wako usituletee .

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 месяца назад +2

    Huyu shabiki wa kweli Simba tatizo siyo makocha Simba

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 4 месяца назад

    Hao Dem mazulia wanapatikaña wapi