XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

Комментарии • 191

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Месяц назад +8

    Pia mama kimbo hana adabu mutu mzima unamwambia mukwe hana adabu kweri barnaba mupole wallah

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 29 дней назад

      Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭

  • @FatmaMohammad-tm9cd
    @FatmaMohammad-tm9cd 26 дней назад +1

    Barnaba mzuri ana heshima sana charming face always

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 Месяц назад +10

    Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Месяц назад +1

      Sawa lakini huyu mama nae anawezaje kuliongelea hili mitandaoni aache kuongea hivyo kwanini wasingeongea nyumbani hata kama amekosea hii siyo sawa

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 Месяц назад +2

      Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge

    • @NasraMudi
      @NasraMudi Месяц назад

      Kabisaa iyooo imeendaaaaaaaa😅😂😂😂

    • @NasraMudi
      @NasraMudi Месяц назад

      ​@@taseleli9181jamani mam mkwe nae anawivu piya duuh

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili Месяц назад

      Hata huyo mkeo anakaaga uchi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +8

    Muacheni aoe mwingine hiyo familia wanachonga sana bora hajapanda mbegu oa mwingine wanawake tunaokubali kazi zako tuoe khaa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Месяц назад +2

    Barnaba utaumiya iyo family watakupelekesha paka utaingiza hakili mama mkwe hana shahuri nzuri kwa mwanaye bro utaumiya

  • @SakinaWanjemu
    @SakinaWanjemu 20 дней назад

    Barnaba anampenda mkewe namke yuko sahihi anatetea ndoa yake chamsingi wamalizetu tofauti zao mungu atasadia watakuwa pamoja ndoa yake

  • @barineokech1196
    @barineokech1196 Месяц назад +12

    Barnaba ameuwa kwa huu wimbo hapa hata hile ya mondi haifiki tue wakweli.

  • @Vokali02
    @Vokali02 Месяц назад +5

    Kizaz sana

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Месяц назад +3

    Achanae mkeo chula ana maajabuu adii mama mkwee utumboo

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад +7

    Nikweli anavyo sema km mtu umempenda lazima wivu uumiye km mwanamke hakuulizi ukae wiki nje halafu hakuulizi hpo kuna namna

  • @user-op3lx5ls4k
    @user-op3lx5ls4k Месяц назад +4

    balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 Месяц назад +1

      Mapenzi haywezi kumsuperseed Mungu

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh Месяц назад +5

    Mama wakwe wengine bana barnaba kayatimba😂😂😂

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 22 дня назад

    Mwanifurahisha wallahi mazugumzo yenu ❤😂

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 22 дня назад

    Hebu sema kweli mtoto amekugusa😂😂😂😂

  • @despinadamian8693
    @despinadamian8693 Месяц назад +2

    Yani hapo mama mkwe na mke wote hawako sawa mambo gani ndoa ya mtu inaongelewa kwenye mitandao kama sijui kitu gani, mama anamuharibu mwanae

  • @veredianavitalisi5785
    @veredianavitalisi5785 27 дней назад

    Umejizalilisha sana bro barinaba daa nilikua nakuelewa sana

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Месяц назад +1

    Mama kimbo kaa kwa utuo Mo kashaseme yy muislam mke wa pili sooooooooon aja

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 25 дней назад

    🤣 🤣 🤣 Mama kimbo😅😅😅

  • @irenemalunda1804
    @irenemalunda1804 Месяц назад

    Aje kwangu, mie nipo kwaajili ake

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Месяц назад +1

    Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.

  • @user-zk3pn1yg2y
    @user-zk3pn1yg2y Месяц назад

    🔥🔥🔥barnaba

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 Месяц назад

    No comment!!

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 23 дня назад

    Ndio muziki Wa kisasa sasa aje kuimba na Dera

  • @user-me1zh9us2u
    @user-me1zh9us2u Месяц назад +1

    mama kasimamisha mishipa ya shingo kama vile barnaba ni mumewe 😮jamani

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 Месяц назад +2

    Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia
    Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Месяц назад +1

    Barnaba ni mjinga sana

  • @SaraKimati
    @SaraKimati Месяц назад

    Sameheaneni maisha yaendelee mi nitafurahi sana kuona mmerudiana kosa sio kosa kosa kurudia kosa

  • @user-vf9sk3ij8s
    @user-vf9sk3ij8s Месяц назад

    Kaz ni Kaz mapenz kazin ni masihar bos watu wanawkeza mam

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 Месяц назад

    Bora asingevaaa 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @FaizahAbdallah
    @FaizahAbdallah 15 дней назад

    Kwalichokifanya sahii au

  • @Lulucut
    @Lulucut Месяц назад +4

    Waongo nyoko hao wana promote wimbo na mama mkwe anamsaport

  • @EagerOrangeJuice-uu2ne
    @EagerOrangeJuice-uu2ne Месяц назад

    Sawa unajua kaka mana ya mapenzi

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Месяц назад +2

    Mchomvu unaakili sana

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 Месяц назад

    Life ya Nandy na Bill itakuwa poa sana❤😊

  • @user-by7jo6dk6r
    @user-by7jo6dk6r Месяц назад

    Banaba.🎉🎉🎉.yupo.vizur

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад +1

    Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu

  • @ChristinaKayela
    @ChristinaKayela 25 дней назад

    Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani

  • @levinatharwekenya5202
    @levinatharwekenya5202 Месяц назад +2

    Yaan mchonvu bwana unanifanya nafurahi sana interview zako kaka

  • @user-sp1up1jt3r
    @user-sp1up1jt3r Месяц назад

    Wasikuzingue muddy unasautiii

  • @OweniEdward
    @OweniEdward Месяц назад

    Unyama mwingi barnaba nakukubari brother

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 29 дней назад

      Unamkubalia nini hajui kuimba anaimba kama analia😁😁😁😁 saiv ndio kaona aje na kiki ya kushika nyonga na vichupi, hamna kitu muhuni tu wa mjini

  • @saidadam6731
    @saidadam6731 Месяц назад

    Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад +1

    Wakikata owa mke mwengine

  • @Nicelovetz
    @Nicelovetz Месяц назад

    Barnaba umenichekesha sana

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Месяц назад

    Looooooooh mama mkwe akutukane pole weeee

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +1

    Akalazimishwa na kubadiri dini mama kimbo waache watoto wapendane

  • @user-co6lt8fq7t
    @user-co6lt8fq7t 20 дней назад

    Unite kitanzi kisa mwanamme ulizaliwanae acha uzi bwana

  • @user-pr5mz5cq9t
    @user-pr5mz5cq9t Месяц назад +4

    Unakuwa na wivu ni mume wako?umembadilisha mtoto wa watu dini haitoshi unamwingilia kwenye kazi.ana wazazi kweli huyo kijana

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Sunaaaaaa! Mtumeeeee!!!!

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 Месяц назад

    Barnaba kayakanyaga hapa ila aliyataka mwenyewe Bora ungebaki kwenye dini yako

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Adamu unasuluhisha au unachongea?

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Месяц назад +1

    Rudi kundini, Yesu anakuita.

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Месяц назад +3

    Kwanza Barnaba kalogwa huyu, yaani kawekwa kwenye chupa

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Месяц назад +2

    Mume wamtu kazini? Nawewe mama mkwe vinakuhusu nini? Waachie wenyewe

  • @user-yv9wi2du3l
    @user-yv9wi2du3l 29 дней назад

    Kwanza unaendana Na yammy kwani nisiri😂😂😂😂😂😂

  • @JuliethMwanga-ut8lc
    @JuliethMwanga-ut8lc Месяц назад

    Ilaaa nyiee Barnabas nzuriii SNA tnaa akichekaa huuu

  • @PendoSilayo-ri4wg
    @PendoSilayo-ri4wg 27 дней назад

    Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini

  • @Mlilapi
    @Mlilapi Месяц назад

    Kwahiyo nandy aliiibiwa 😂😂😂😂😂😂

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 23 дня назад

    Afute nini hiyo nikazi afute nini sasa

  • @user-yt5ki8dk6b
    @user-yt5ki8dk6b 21 день назад

    Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Месяц назад

    Ila kiukweli hatujapenda barnaba kubadili dili huo ni ukweli maana mwanamke anampelekesha kuliko hata 😢

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Месяц назад +1

    Ila Adam mchovu MTu na nusu😅😅😅😅

  • @user-yu6zj3bw1y
    @user-yu6zj3bw1y Месяц назад

    Mama Kimbo wala ana shida

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Месяц назад +1

    We barnaba oa mke anaekuelwa huyo hamfiki mbali

  • @RizyAbel
    @RizyAbel Месяц назад +1

    Mchomvu kamchamba kizungu

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 Месяц назад

    Adamuu, mchokozi sanaaaaa!😅

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад

    Yupo uchi kweli yammi hana adabu kawa malaya ile chupi tu tn km bigin

  • @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh
    @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh Месяц назад

    Ukikataa shika viuno maana una a a maxi jee pesa itakuja aje?

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 Месяц назад

    Sawa mamamkwe uchungu WA nini.

  • @AggyMusoma-wb2kn
    @AggyMusoma-wb2kn Месяц назад

    Barnaba kayatimbaaa mama mkwe anabeba mpaka na wadogooo Zake na mwanaumeee duuuuh mama mkweeeee hatariiii uyu

    • @vannie-gggg
      @vannie-gggg 27 дней назад

      Ni mjanja hataki binti aachwe wanatishia tu

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho Месяц назад

    Yamy ndo hajitambui hapo

  • @kamalibakari4263
    @kamalibakari4263 Месяц назад

    Adam wewe mimi nakuamini sana mshauri dogo mo huyo mwanamke siyo sahihi kwake ni mtungi wa ges huwo

  • @milkaaloyce197
    @milkaaloyce197 Месяц назад

    Barnaba kwani hukuwaona kina Jack

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 Месяц назад +1

    Huyu mama ni shangingi yaani kwanza m2 unajuwa ni msanii unakazi kuingilia ndoa ya mwanao nakukimbilia kwenye media huyu mama mke wa uswahilini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Месяц назад

      Kwa kweli huyu mama kazidi lopolopo

  • @Mlilapi
    @Mlilapi Месяц назад

    Barnaba ajifunze kwa Mr Blue maana sijawahi kumuona babylon busy anafanya ujinga wa aina hiyo maana na blue naye ameowa

  • @reveliancyprzacharia6967
    @reveliancyprzacharia6967 Месяц назад

    Ila adamu akili zake et bora hasingekuwa nayo nguo ya ndan😂😂😂😂

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 Месяц назад

    Barnaba usiende kuomba msamah tafta mke mwingn weka ndani huyo mama kimbo akome

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Месяц назад

    Banarba huyo mama keshapiga hodi kwako muonja chumvi haonji mara moja sasa subiria yajayo utasikia utamu wake 😂😂😂😂

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Месяц назад

    Usifanye hivyo ni dhambi lkn mama kimbo yuwamuoneya

  • @HIDAYASAID-ue1df
    @HIDAYASAID-ue1df Месяц назад

    Doh kwel hii kiki nimegundua

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад

    Mama mkwe anazidisha ogovi raya hajakasirika kaona ni kazi why wewe nikupatanisha suo kugombanisha

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Месяц назад

    Wana promoti wimbo

  • @user-wl4uy7qv7u
    @user-wl4uy7qv7u 16 дней назад

    Humu mnaongea wengi hat amuelewek

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 Месяц назад

    Hivi huyu kijana ana akili sasa anajiua kwa Sababu ya mwanamke 😂😂😂😂 duuh pole sana haya tangulia kaka

  • @NiyogushimaOscar-rd6ur
    @NiyogushimaOscar-rd6ur Месяц назад

    Barnaba nadhani amelogwa kabisa Mimi ningemuachia binti yake nikaoa mwingine

  • @giningionlineTv
    @giningionlineTv 29 дней назад

    Muonekano wake tu unatosha kudhihirisha kuwa ni muhuni sana, na wala hakuna kusilimu kitu hapo amefata PAPA tu na maslahi yake mengine

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Месяц назад

    Wachagga nao bwana? Mkaoe kwenu. Uswahili gani huuu ka!!

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Месяц назад

    Mmmhh ndoa za wasanii ni kama maigizo tu" mama mkwe mwenyewe mmh" kwani kushika kiuno ndo kafanyeje!?

  • @user-ew7zb3jx7t
    @user-ew7zb3jx7t Месяц назад

    Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Месяц назад

      Kubadili dini sio tatizo unajuaje kama angebaki upande ule ule
      haya yasingetokea.

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Месяц назад +1

    Dawa za waganga zinafanya kazi chezea mama Kimbo wewee

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂mambo ya buza Kwa mpalange

  • @ruthchaz4536
    @ruthchaz4536 Месяц назад

    😂😂

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 Месяц назад

    Barnabas angemuoa tu na huyo mkwe wake tukajua 1

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 Месяц назад +1

    Wewe mtangazaji acha kulidhihaki jina Mohamed kama unataja nazi au mapapai sokoni. Acha hiyo mambo zako

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 Месяц назад

    😂😂😂aaah uyo mamkwe mnafki angekua yy angekubal acjishaue bureee yaaan km mie ndo Barnaba cmrejei uyo mwanamke 😂😂😂si kaondoka mwnyw kwake

  • @vanjizzle122
    @vanjizzle122 Месяц назад +5

    Kama umegundua Barnaba Ni Comedian sanaaa Nipe like Zangu😅

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Месяц назад

    Yammi hashuo ss hv yy alipenda yammi alifirahi yammi cn

  • @saniaidrisa3920
    @saniaidrisa3920 Месяц назад

    Hapa nimeini hii ni kiki

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Месяц назад

    Jmn Mchomvu unazngua yaani ma mkwe unaongea nae kama mhuni mwenzio

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 Месяц назад

    Uyo yammy ndo uvaaaji wake achen povuuuu

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 22 дня назад

    😂😂😂😂

  • @iam_sami
    @iam_sami Месяц назад

    Ss mama yy kama nan mpk anaongea ivooo