AHMED ALLY ATEMA NYONGO AANIKA UKWELI WOTE, SAKATA LA KIBU DENNIS, WAMEMLISHA MANENO BENCHIKHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024

Комментарии • 174

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 15 дней назад +9

    Naomba sana ujumbe huu uwafikie viongozi wa Simba, Mgunda ni mwalimu anayeweza kutufikisha mbali sana sijui kwa nini huwa hamtaki kumpa timu moja kwa moja, ni kwa sababu sio mzungu au ni kwa sababu ni Mtanzania? Mgunda ana mipango mizuri sana anaposhika timu, utaona vitu tofauti lakini vyenye kuleta mabadiliko chanya kabisa. Utaona anawapa nafasi wachezaji wote na utaona wanavyoonyesha ubora, nadhani kila mmoja anaona jinsi wachezaji kama Edwin Balua, Karabaka, Kazi na wengine wanavyoonyesha uwezo wao. Mimi naamini unapowapa nafasi wachezaji wote kwa nyakati za kutosha unapata kuwajua vema zaidi huku wachezaji vinara wakipata nafasi ya kupumzika na kukusanya nguvu upya.

  • @EmmanuelChilumba-ou4py
    @EmmanuelChilumba-ou4py 11 дней назад +1

    Kochi Juma Mgunda Ana sailolojia kubwa sana ukocha hana matatizo ya timu ni yetu si mtu fulani turekebishe twende mbele na si kukaribisha lawama sizizo na tija. Ahsante.

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 15 дней назад +7

    Semaji la Hidaya Fc

  • @johnmahundi1870
    @johnmahundi1870 14 дней назад +2

    Daa aly ongea yake ananifurahisha sana

  • @DuduBoysSilvester
    @DuduBoysSilvester 14 дней назад +3

    Hahahahahahahahahhahaha Saiz Ukweli Utasemwa Na Mafuta Na Maji Vitajitenga2 Ilove You Young African Sports Club Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @daudimjungu4114
    @daudimjungu4114 15 дней назад +8

    Hii kwel machine ya kuongea 😀😀

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis 14 дней назад +2

    Daah huyu Jamaa ana akil kichiz.... Anafanya kila kitu ili kufanya watu tufurah, sas mambo ya kifurushi😂😂🎉

  • @user-oc2rw5ns4m
    @user-oc2rw5ns4m 15 дней назад +1

    Anatufaa sana mgunda ebu viongozi acha kutapatapa mpe nafas gadiora mnene

  • @eliangikundimlay3084
    @eliangikundimlay3084 14 дней назад +3

    Leo u meongea

  • @DuduBoysSilvester
    @DuduBoysSilvester 14 дней назад +2

    Mda Mwingne Maneno Ya Busala Hata Kwenye Media

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 15 дней назад +2

    Kwani kila msimu Chama anasajiliwa upya.

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 15 дней назад +2

    Hakika utopolo wanabebwa sana

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 15 дней назад +1

    Ni kweli Mtibwa Shughuli yao imeisha hakuna namna.

  • @user-qm8vm9hd5x
    @user-qm8vm9hd5x 9 дней назад

    Hivi anayebebaga kibegi anajitambua kweli, kweli kolo ni kolo tuuuhh

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 15 дней назад +1

    Leo Ahmed ameongea vizuri kuhusu ubingwa , kweli ubingwa kwa simba ni mgumu kweli ,

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 15 дней назад +3

    Kwa maelezo ya leo ndo utagundua kua Ahmed yupo simba kikaz😊

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 12 дней назад

    Yanga anabebwa huo ndo ukweli

  • @righitkileo
    @righitkileo 9 дней назад

    Du nqunda pole baba litimu.likibuma ndo wanakutafuta .Aibu kubwa kwao

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 15 дней назад +2

    Tatizo viongozi wa wana rohoo mbaya wanaona mugunda,atapata Hella, punguzeni rohooo mbaya,

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi 15 дней назад +1

    Kama point wanajinyakulia😂😂😂😂 hawaendi kuchukua point ni kuzinyakua🙌🏾🙌🏾😅😅

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 12 дней назад

    Jamaa ana mambo ya kitoto toto sana

  • @haridimnimbo7377
    @haridimnimbo7377 15 дней назад +1

    Sa kifurushi chanini apo Ahmed baba!

  • @jaffaryhamiddy8939
    @jaffaryhamiddy8939 12 дней назад

    MO DEWJI aachie team yet hatumtaki tunataka wawekezaji wapya mtu kazi yk kulalama t eti naingia hasara mshenzi kweli yul mpumbavu mbn hatoki km anapata hasara sasa

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 15 дней назад +3

    Yaan kama ni kweli Kibu anawaringia Simba basi hana akili. Nini alichonacho cha thamani. Yaana mchezaji wa foward line ya timu kama Simba, halafu ana goli moja tu so far katika mechi 22!!! He is not a footballer material worth that much

    • @AtkaAhmad
      @AtkaAhmad 14 дней назад

      Yaani Fred ni bonge la mchezaji ye kama anaenda aende tu Hana msaada wowote

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 13 дней назад

    Huyu anajitoa akili , kudanganya kila siku sio easy

  • @user-qm8vm9hd5x
    @user-qm8vm9hd5x 12 дней назад

    Kibu yanga tulimhitaji muda mrefu sana, atatufaa sana pale yanga uzuri eng uwa unatuzingatia maoni yetu

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 14 дней назад

    Mpeni timu Kocha Juma Mgunda. Acheni siasa nyingi

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 10 дней назад

    😀😀😀😀😀😀😀 Huyu Jama Bhana 😀😀😀😀😀😀

  • @user-nz1ur2xd7m
    @user-nz1ur2xd7m 13 дней назад

    Yanga wanabebwa na wew nenda ukabebweeeer

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 11 дней назад

    Kibu Denis asifanye haraka kutoka Simba, Simba imempaisha na itazidi kumpaisha zaidi.

  • @SeifuOmar-rq7us
    @SeifuOmar-rq7us 13 дней назад

    Huyu jamaa kageuka comedy naon😅😅😅

  • @kassongokittapa7762
    @kassongokittapa7762 13 дней назад

    Msije mkabakisha MAMLUKI

  • @yustergeofrey578
    @yustergeofrey578 15 дней назад +1

    Simba kubwa kuliko achana na wabebwaji hao.

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 14 дней назад

    Alikimbia sababu alijisifu sana akaangulia kichapo mpuuzi uyo

  • @user-ef2zr4un2u
    @user-ef2zr4un2u 10 дней назад

    Tatizo la Simba midomo hapa Kuna mgunda mtandaoni Kuna ibenge kazi mnayo

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 15 дней назад

    Akishawatuliza hamumtaki tena.wapuuzi kweli.

  • @user-je7gr4jv8o
    @user-je7gr4jv8o 15 дней назад

    Chama,kibu,saido, hao ata mkiachana nao amna shida mgunda ametuonesha kwamba waliopo nao wanaweza

  • @johnkimaro7350
    @johnkimaro7350 14 дней назад

    Sasa km mgunda mnajuwa ni mzr kwnn mnahangaika na makocha wa nje asilimia 90 ya washabik na wanachama tunamtaka mgunda awe kocha wa timu yetu hebu eleweni bas

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso 15 дней назад +1

    Semaji kamaliza propaganda za utopolo kuhusu kibu D🎉

  • @helmanmhanga4905
    @helmanmhanga4905 14 дней назад

    Dada wa kushoto mzuri

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 15 дней назад

    Ukweli Chama ni hakuna kitu kwa sasa sijaona

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j 13 дней назад

    Penda sana semaji langu

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 15 дней назад +1

    Hahaha eti ameyatimbaa 😂😂😂

  • @frededward7678
    @frededward7678 9 дней назад

    😂😂ameyatimba

  • @juliusmwakatage7182
    @juliusmwakatage7182 14 дней назад

    Mohammed Dewji anatakiwa afanye maamuzi kutunusuru simba

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 15 дней назад

    Mazungumzo is waiting outside😂😂😂

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 15 дней назад

    😂😂😂😂daaaa huyuu jmaa bada anajua kuwaliza mashbiki

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t 14 дней назад +3

    Utopolo ni aibu mnawapigisha wachezaji wa costal unioni kadi nyekundu za uongo mpaka zinafutwa hayoooooo maongo

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 14 дней назад

    Kocha wa kiwango cha juu mbona amewakimbiaa

  • @user-xl2iz6qe9w
    @user-xl2iz6qe9w 15 дней назад

    Ameyatimba😂😂😂

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 14 дней назад

    Tundaman yuwapii anagoja simba imfunge Yanga ndio aonekanee

  • @yohanampamba601
    @yohanampamba601 15 дней назад +3

    Semaji la viwango vya dunia!!

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 14 дней назад

      Dunia ipi makolo kazikutiana ujinga tu😅😮😢😅😮😢😅😮😢😮😢😮😢😮

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr 14 дней назад

      Msemaji wa majuha

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 15 дней назад

    👊✌️👍.

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 15 дней назад

    Mimi ninachojua.mpira wa Tanzania umeingiliwa na siasa.kama Simba misimu minne walikuwa mabingwa.tusubilie nao yanga wachukue nfululizo Maranne kwahiyo Simba kaeni kwakutulia.sasa nizamu ya yanga.

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. 14 дней назад

    simba tawi la Yanga.

  • @onetechnology-ix3tu
    @onetechnology-ix3tu 13 дней назад

    jamaa sikuizi havai jezi kabisa

  • @madenge731
    @madenge731 15 дней назад +1

    Daaahh Ahmed Ally amekonda sana kisa SIMBA, kumamake hivi hawa wachezaji na viongozi wa SIMBA hamuoni watu tulivyopoteza nuru na afya. Kumanyoko zenu 😏😏😏😏

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 15 дней назад

    Ukiachana na kimbunga hidaya kuna kimbunga MANGUNGU kinakuja kabla ya mwezi JUNE

  • @PHILIPOSANGA-mq5ij
    @PHILIPOSANGA-mq5ij 12 дней назад

    vongoi wa simba tunaomba tuitengeneze timu yetu msimu ujao ,timu inapofanya vibaya tunaoumia ni mashibiki wa simba duniani kote.tunataka tuchukue makombe yetu yote kama misimu minne iliyopita.

  • @user-nz1ur2xd7m
    @user-nz1ur2xd7m 13 дней назад

    Achaaa uongoo WWE timu yako ya wazee weew level yako mashujaaa na mtibwaa

  • @noahemanuel7015
    @noahemanuel7015 14 дней назад

    Mwacheni kibu aende sioni umuhimu anacheza kulingana na siku

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 14 дней назад

    Msemaji aache kuficha mmb y muhimu kw klabu,itakufa ase!

  • @onesmongenzi3471
    @onesmongenzi3471 15 дней назад

    Kibu Denis ni galasa tuachane naye

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 15 дней назад +1

    Huyu anateseka sana kuwaaminisha washabiki wa Simba bajaji inapaa usiku

  • @rashadkipingu5109
    @rashadkipingu5109 15 дней назад +2

    Tumewafunga midomo leo

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 15 дней назад

      Mmejifunga wenyewe 😂😂😂 maana ndiyo mnateseka

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 15 дней назад

    Kirusi

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 14 дней назад +3

    Katika watu wanaonimalizia bando ni huyu Semaji la Simba.🎉🎉🎉

  • @user-gc9wy6qp2m
    @user-gc9wy6qp2m 15 дней назад

    Ahamed Aly anakatwa2 soondoke smba

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 15 дней назад

    Kibonde kawaida yake kufungwa

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 15 дней назад

    Juma ngondae 😂😂😂 kama alivyosema manara

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 15 дней назад

    ila ahmed anajua kuchonga ngenga,,khaa

    • @geraldndosi2083
      @geraldndosi2083 13 дней назад

      😂😂😂mimi yanga ila ukwel namkubal

  • @donatusmlowe7378
    @donatusmlowe7378 15 дней назад

    Duuuu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 15 дней назад +2

    Yanga wanabebwa sana

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 15 дней назад

      Wamebebwa na makolo yametuchangia point 6 goli 7

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 15 дней назад

      We dunduka tulian

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 15 дней назад

      Waliofuta kadi nyekundu wamewapa ujeuri wa kuongea. Ukweli ni kwamba kadi ni halali. Wakati purukushani za Lawi na Ki zinaanza hakukuwa na mchezaji yeyote zaidi ya golikipa. Wale wachezaji wengine walitokea katikati ya uwanja na kukimbilia golini kwao ili kuzuia kufungwa kama Ki angempita Lawi. Kwa hiyo Lawi alikuwa mtu wa mwisho na kadi nyekundu ilikuwa halali kwake.
      Walioifuta ni kwa mapenzi yao tu.

    • @sosomacharles9920
      @sosomacharles9920 15 дней назад

      Na nyinyi c mbebwe mbwa ww.

    • @JuliusMahinya-wl7mq
      @JuliusMahinya-wl7mq 15 дней назад +1

      Simba ana point 50, Yanga ana point 62
      Simba ana michezo 7 mkononi sawa na point 21 za kushinda, Yanga ana michezo 6 mkononi sawa na point 18 za kushinda
      Tuchulie Kila timu imeshinda mechi zake
      Tofauti itakuwa point 9, katika hizo point 9
      Simba kachangia point 6, natimu zingine zote unazojua zimechangia point 3 za Hilo gap
      Unataka kuaminisha watu kuwa wanasimba ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Lage?😊😊😊😊

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi4181 15 дней назад

    Kifurushi

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 15 дней назад +1

    Benchika popote anapokwenda anaenda na wasaidizi wake hata kuuguza ameenda kuuguza na wasaidizi wake, duuh!

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 14 дней назад +1

      Tumia akili. Unaambiwa yeye ndiye aliajiriwa siyo wasaidizi wake sasa wangebaki wakiwa hawana mkataba na Simba? Mbona wabongo vichwa vigumu sana?

  • @user-gn8hi4xt1h
    @user-gn8hi4xt1h 15 дней назад +1

    uyo boya ana ubili injili au

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 14 дней назад +1

      KWANI AKIMALIZA ANADAI SADAKA??? AU

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 15 дней назад +13

    Yanga wanabebwa kila siku hamsemi wanabebwa kila siku kadi nyekundu za uongo zinafutwa Kila siku kwa timu pinzani kuwadhohofisha

    • @lameckmwita6287
      @lameckmwita6287 15 дней назад +7

      Yanga amebebwa na Simba mfano ukitoa points 06 ambazo Simba amempatia Yanga utajikuta gape linabaki point 3 tu ambalo mpaka Sasa bingwa asingeweza kutabiriwa kirahis rahisi mpaka iishe.

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 15 дней назад

      Umemjibu vizuri huyo bwege​@@lameckmwita6287

    • @JobJohnson-gp1qz
      @JobJohnson-gp1qz 15 дней назад +2

      Acha uxhabiki ww utajifunza lini mpila

    • @rubenikambio1718
      @rubenikambio1718 15 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @ArafaMkomwele-vi2hp
      @ArafaMkomwele-vi2hp 15 дней назад

      Mimi nishauri jambo TFF kama wamegundua kuwa KADI nyekundu hiyo siyo sahihi basi watende haki kwa meçhi husika ikifutwa na pointi zifutwe kàbisa sio kufuta kadi point zikabaki huo ni uonevu kwa timu husika

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 15 дней назад

    Mechi 2 ukifungwa mtasema mgunda afai

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 15 дней назад +1

    😅😅😅hii furaha ya leo mechi itakayokuja mtaanza kulia na kusema mgunda afai mnatafuta kocha😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 14 дней назад +1

      TUKILIYA TUPE NDOGO TU 😂😂😂😂😂

  • @silvanussallu952
    @silvanussallu952 15 дней назад

    Rudi Gurtendof the best coach

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 15 дней назад +1

    Huyu jamaa anajitekenya mwenyewe anacheka mwenyewe kwahiyo leo Benchikha mwenye CV zake amekua sio lolote

  • @yassinaraduud
    @yassinaraduud 15 дней назад

    Endelea kuvaa shart nyeup simb washinde😂😂

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 15 дней назад

    Umejitokeza pole ndugu mpaka mwli umepungua umekuwa kama kijana aliyedarasani anamawazo ya mitihani mda wote

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 15 дней назад +1

    Jamaaa huwa anaimba

    • @Mrisho-lj7wy
      @Mrisho-lj7wy 15 дней назад +1

      Wewe itikia chorus kama yeye anaimba. Usi yabanebane mavi kama yana kuuma mwisho utatoka nayo kwenye kidole cha kati.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 14 дней назад +1

      NA MKEO ANAITIKIYA

  • @fistonmakopa598
    @fistonmakopa598 14 дней назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 15 дней назад

    Ally Ahmed anajua kuyabembeleza mashabiki ya makolo,saizi ni kimyaaaa🤣🤣🤣🤣

  • @TawasiruHatibu
    @TawasiruHatibu 14 дней назад

    😂😂😢

  • @user-io2rj2yp5d
    @user-io2rj2yp5d 15 дней назад

    Leo wamecheka kesho wanalia😂

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur 15 дней назад

    😂😂😂😂😂 kwanza nicheke

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 15 дней назад

    Kama mazungumzo yamegonga mwamba twambieni sisi washabiki tutachangia

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 15 дней назад

    Mashine gani ya kuongea mpaka ushinde,mbona ulivyopigwa na Yanga umepotea mpaka uliposhinda kombe la kuchaguliana ndo umeongea.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 15 дней назад

    Chama kibu waende tu kama Chama tumechoka yeye nani kwenye Simba Simba nikubwa kuliko Chama au kibu Ila ishauli Kuna wachezaji kama wa Tano wasepe

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 15 дней назад

    NAHII MECHI MMENUNUA TFF WAYAFUTE MAGOLI YOTE YA LEO MMEPANGA MATOKEO

  • @rabanmwanambesi1482
    @rabanmwanambesi1482 15 дней назад +1

    Lijamaaa liongo hiri😂

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp 15 дней назад

    Kama mlisha chafuka nyinyi niwachafu bado hamja nawa Wala kuoga

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 15 дней назад

    Midunduka akili zao ni za kidunduka dunduka --- mlishindwa Ku close gap LA points mbili kukiwa na michezo 25 halafu eti linajichetua kuwa mta close gap ktk mechi saba " kama si udunduka ni nini " mtaziba gap kwa timu gani,Yanga? --- ndoto za abunuasi.

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 14 дней назад

    Nikweli ubingwa bas kwenu 😂😂😂

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 15 дней назад

    Ubingwa ni mgumu 😂😂😂copy ☎️

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 15 дней назад

    Taja hiyo nasafi mbona unabwajabwaja🤣🤣🤣🤣

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko1002 14 дней назад

    Si awe anaongea vzr mbona uyu jamaa kama ashakua choko 😅😅😅😂 Yan hakuna malinda tena hapa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 14 дней назад +1

      TUNDU LAKO LA MKUNDU HILOOOOOOOO HILOOOOOOO 😂😂😂😂 KAFIRWE.