Naomba sana ujumbe huu uwafikie viongozi wa Simba, Mgunda ni mwalimu anayeweza kutufikisha mbali sana sijui kwa nini huwa hamtaki kumpa timu moja kwa moja, ni kwa sababu sio mzungu au ni kwa sababu ni Mtanzania? Mgunda ana mipango mizuri sana anaposhika timu, utaona vitu tofauti lakini vyenye kuleta mabadiliko chanya kabisa. Utaona anawapa nafasi wachezaji wote na utaona wanavyoonyesha ubora, nadhani kila mmoja anaona jinsi wachezaji kama Edwin Balua, Karabaka, Kazi na wengine wanavyoonyesha uwezo wao. Mimi naamini unapowapa nafasi wachezaji wote kwa nyakati za kutosha unapata kuwajua vema zaidi huku wachezaji vinara wakipata nafasi ya kupumzika na kukusanya nguvu upya.
Kochi Juma Mgunda Ana sailolojia kubwa sana ukocha hana matatizo ya timu ni yetu si mtu fulani turekebishe twende mbele na si kukaribisha lawama sizizo na tija. Ahsante.
Hahahahahahahahahhahaha Saiz Ukweli Utasemwa Na Mafuta Na Maji Vitajitenga2 Ilove You Young African Sports Club Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
MO DEWJI aachie team yet hatumtaki tunataka wawekezaji wapya mtu kazi yk kulalama t eti naingia hasara mshenzi kweli yul mpumbavu mbn hatoki km anapata hasara sasa
Yaan kama ni kweli Kibu anawaringia Simba basi hana akili. Nini alichonacho cha thamani. Yaana mchezaji wa foward line ya timu kama Simba, halafu ana goli moja tu so far katika mechi 22!!! He is not a footballer material worth that much
Sasa km mgunda mnajuwa ni mzr kwnn mnahangaika na makocha wa nje asilimia 90 ya washabik na wanachama tunamtaka mgunda awe kocha wa timu yetu hebu eleweni bas
Mimi ninachojua.mpira wa Tanzania umeingiliwa na siasa.kama Simba misimu minne walikuwa mabingwa.tusubilie nao yanga wachukue nfululizo Maranne kwahiyo Simba kaeni kwakutulia.sasa nizamu ya yanga.
Daaahh Ahmed Ally amekonda sana kisa SIMBA, kumamake hivi hawa wachezaji na viongozi wa SIMBA hamuoni watu tulivyopoteza nuru na afya. Kumanyoko zenu 😏😏😏😏
vongoi wa simba tunaomba tuitengeneze timu yetu msimu ujao ,timu inapofanya vibaya tunaoumia ni mashibiki wa simba duniani kote.tunataka tuchukue makombe yetu yote kama misimu minne iliyopita.
Waliofuta kadi nyekundu wamewapa ujeuri wa kuongea. Ukweli ni kwamba kadi ni halali. Wakati purukushani za Lawi na Ki zinaanza hakukuwa na mchezaji yeyote zaidi ya golikipa. Wale wachezaji wengine walitokea katikati ya uwanja na kukimbilia golini kwao ili kuzuia kufungwa kama Ki angempita Lawi. Kwa hiyo Lawi alikuwa mtu wa mwisho na kadi nyekundu ilikuwa halali kwake. Walioifuta ni kwa mapenzi yao tu.
Simba ana point 50, Yanga ana point 62 Simba ana michezo 7 mkononi sawa na point 21 za kushinda, Yanga ana michezo 6 mkononi sawa na point 18 za kushinda Tuchulie Kila timu imeshinda mechi zake Tofauti itakuwa point 9, katika hizo point 9 Simba kachangia point 6, natimu zingine zote unazojua zimechangia point 3 za Hilo gap Unataka kuaminisha watu kuwa wanasimba ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Lage?😊😊😊😊
Yanga amebebwa na Simba mfano ukitoa points 06 ambazo Simba amempatia Yanga utajikuta gape linabaki point 3 tu ambalo mpaka Sasa bingwa asingeweza kutabiriwa kirahis rahisi mpaka iishe.
Mimi nishauri jambo TFF kama wamegundua kuwa KADI nyekundu hiyo siyo sahihi basi watende haki kwa meçhi husika ikifutwa na pointi zifutwe kàbisa sio kufuta kadi point zikabaki huo ni uonevu kwa timu husika
Midunduka akili zao ni za kidunduka dunduka --- mlishindwa Ku close gap LA points mbili kukiwa na michezo 25 halafu eti linajichetua kuwa mta close gap ktk mechi saba " kama si udunduka ni nini " mtaziba gap kwa timu gani,Yanga? --- ndoto za abunuasi.
Naomba sana ujumbe huu uwafikie viongozi wa Simba, Mgunda ni mwalimu anayeweza kutufikisha mbali sana sijui kwa nini huwa hamtaki kumpa timu moja kwa moja, ni kwa sababu sio mzungu au ni kwa sababu ni Mtanzania? Mgunda ana mipango mizuri sana anaposhika timu, utaona vitu tofauti lakini vyenye kuleta mabadiliko chanya kabisa. Utaona anawapa nafasi wachezaji wote na utaona wanavyoonyesha ubora, nadhani kila mmoja anaona jinsi wachezaji kama Edwin Balua, Karabaka, Kazi na wengine wanavyoonyesha uwezo wao. Mimi naamini unapowapa nafasi wachezaji wote kwa nyakati za kutosha unapata kuwajua vema zaidi huku wachezaji vinara wakipata nafasi ya kupumzika na kukusanya nguvu upya.
Kochi Juma Mgunda Ana sailolojia kubwa sana ukocha hana matatizo ya timu ni yetu si mtu fulani turekebishe twende mbele na si kukaribisha lawama sizizo na tija. Ahsante.
Semaji la Hidaya Fc
Siyo kama semaji la mama j? Fc.
@@dalalfundikila507 😊😊😊😊
Daa aly ongea yake ananifurahisha sana
Hahahahahahahahahhahaha Saiz Ukweli Utasemwa Na Mafuta Na Maji Vitajitenga2 Ilove You Young African Sports Club Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Hii kwel machine ya kuongea 😀😀
Daah huyu Jamaa ana akil kichiz.... Anafanya kila kitu ili kufanya watu tufurah, sas mambo ya kifurushi😂😂🎉
Anatufaa sana mgunda ebu viongozi acha kutapatapa mpe nafas gadiora mnene
Leo u meongea
Mda Mwingne Maneno Ya Busala Hata Kwenye Media
Kwani kila msimu Chama anasajiliwa upya.
Hakika utopolo wanabebwa sana
Ni kweli Mtibwa Shughuli yao imeisha hakuna namna.
Hivi anayebebaga kibegi anajitambua kweli, kweli kolo ni kolo tuuuhh
Leo Ahmed ameongea vizuri kuhusu ubingwa , kweli ubingwa kwa simba ni mgumu kweli ,
Kwa maelezo ya leo ndo utagundua kua Ahmed yupo simba kikaz😊
Na Manara je
Yanga anabebwa huo ndo ukweli
Du nqunda pole baba litimu.likibuma ndo wanakutafuta .Aibu kubwa kwao
Tatizo viongozi wa wana rohoo mbaya wanaona mugunda,atapata Hella, punguzeni rohooo mbaya,
Kama point wanajinyakulia😂😂😂😂 hawaendi kuchukua point ni kuzinyakua🙌🏾🙌🏾😅😅
Jamaa ana mambo ya kitoto toto sana
Sa kifurushi chanini apo Ahmed baba!
MO DEWJI aachie team yet hatumtaki tunataka wawekezaji wapya mtu kazi yk kulalama t eti naingia hasara mshenzi kweli yul mpumbavu mbn hatoki km anapata hasara sasa
Yaan kama ni kweli Kibu anawaringia Simba basi hana akili. Nini alichonacho cha thamani. Yaana mchezaji wa foward line ya timu kama Simba, halafu ana goli moja tu so far katika mechi 22!!! He is not a footballer material worth that much
Yaani Fred ni bonge la mchezaji ye kama anaenda aende tu Hana msaada wowote
Huyu anajitoa akili , kudanganya kila siku sio easy
Kibu yanga tulimhitaji muda mrefu sana, atatufaa sana pale yanga uzuri eng uwa unatuzingatia maoni yetu
Mpeni timu Kocha Juma Mgunda. Acheni siasa nyingi
😀😀😀😀😀😀😀 Huyu Jama Bhana 😀😀😀😀😀😀
Yanga wanabebwa na wew nenda ukabebweeeer
Kibu Denis asifanye haraka kutoka Simba, Simba imempaisha na itazidi kumpaisha zaidi.
Huyu jamaa kageuka comedy naon😅😅😅
Msije mkabakisha MAMLUKI
Simba kubwa kuliko achana na wabebwaji hao.
Alikimbia sababu alijisifu sana akaangulia kichapo mpuuzi uyo
Tatizo la Simba midomo hapa Kuna mgunda mtandaoni Kuna ibenge kazi mnayo
Akishawatuliza hamumtaki tena.wapuuzi kweli.
Chama,kibu,saido, hao ata mkiachana nao amna shida mgunda ametuonesha kwamba waliopo nao wanaweza
Sasa km mgunda mnajuwa ni mzr kwnn mnahangaika na makocha wa nje asilimia 90 ya washabik na wanachama tunamtaka mgunda awe kocha wa timu yetu hebu eleweni bas
Semaji kamaliza propaganda za utopolo kuhusu kibu D🎉
Dada wa kushoto mzuri
Ukweli Chama ni hakuna kitu kwa sasa sijaona
Penda sana semaji langu
Hahaha eti ameyatimbaa 😂😂😂
😂😂ameyatimba
Mohammed Dewji anatakiwa afanye maamuzi kutunusuru simba
Mazungumzo is waiting outside😂😂😂
😂😂😂😂daaaa huyuu jmaa bada anajua kuwaliza mashbiki
Utopolo ni aibu mnawapigisha wachezaji wa costal unioni kadi nyekundu za uongo mpaka zinafutwa hayoooooo maongo
Kocha wa kiwango cha juu mbona amewakimbiaa
Ameyatimba😂😂😂
Tundaman yuwapii anagoja simba imfunge Yanga ndio aonekanee
Semaji la viwango vya dunia!!
Dunia ipi makolo kazikutiana ujinga tu😅😮😢😅😮😢😅😮😢😮😢😮😢😮
Msemaji wa majuha
👊✌️👍.
Mimi ninachojua.mpira wa Tanzania umeingiliwa na siasa.kama Simba misimu minne walikuwa mabingwa.tusubilie nao yanga wachukue nfululizo Maranne kwahiyo Simba kaeni kwakutulia.sasa nizamu ya yanga.
simba tawi la Yanga.
jamaa sikuizi havai jezi kabisa
Daaahh Ahmed Ally amekonda sana kisa SIMBA, kumamake hivi hawa wachezaji na viongozi wa SIMBA hamuoni watu tulivyopoteza nuru na afya. Kumanyoko zenu 😏😏😏😏
Matusi ya nini sasa
Ukiachana na kimbunga hidaya kuna kimbunga MANGUNGU kinakuja kabla ya mwezi JUNE
vongoi wa simba tunaomba tuitengeneze timu yetu msimu ujao ,timu inapofanya vibaya tunaoumia ni mashibiki wa simba duniani kote.tunataka tuchukue makombe yetu yote kama misimu minne iliyopita.
Achaaa uongoo WWE timu yako ya wazee weew level yako mashujaaa na mtibwaa
Mwacheni kibu aende sioni umuhimu anacheza kulingana na siku
Msemaji aache kuficha mmb y muhimu kw klabu,itakufa ase!
Kibu Denis ni galasa tuachane naye
Huyu anateseka sana kuwaaminisha washabiki wa Simba bajaji inapaa usiku
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Tumewafunga midomo leo
Mmejifunga wenyewe 😂😂😂 maana ndiyo mnateseka
Kirusi
Katika watu wanaonimalizia bando ni huyu Semaji la Simba.🎉🎉🎉
Haujalazimishwa ku klik sasa anakumalizia bando ki vipi
Ahamed Aly anakatwa2 soondoke smba
Kibonde kawaida yake kufungwa
Juma ngondae 😂😂😂 kama alivyosema manara
ila ahmed anajua kuchonga ngenga,,khaa
😂😂😂mimi yanga ila ukwel namkubal
Duuuu
Yanga wanabebwa sana
Wamebebwa na makolo yametuchangia point 6 goli 7
We dunduka tulian
Waliofuta kadi nyekundu wamewapa ujeuri wa kuongea. Ukweli ni kwamba kadi ni halali. Wakati purukushani za Lawi na Ki zinaanza hakukuwa na mchezaji yeyote zaidi ya golikipa. Wale wachezaji wengine walitokea katikati ya uwanja na kukimbilia golini kwao ili kuzuia kufungwa kama Ki angempita Lawi. Kwa hiyo Lawi alikuwa mtu wa mwisho na kadi nyekundu ilikuwa halali kwake.
Walioifuta ni kwa mapenzi yao tu.
Na nyinyi c mbebwe mbwa ww.
Simba ana point 50, Yanga ana point 62
Simba ana michezo 7 mkononi sawa na point 21 za kushinda, Yanga ana michezo 6 mkononi sawa na point 18 za kushinda
Tuchulie Kila timu imeshinda mechi zake
Tofauti itakuwa point 9, katika hizo point 9
Simba kachangia point 6, natimu zingine zote unazojua zimechangia point 3 za Hilo gap
Unataka kuaminisha watu kuwa wanasimba ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Lage?😊😊😊😊
Kifurushi
Benchika popote anapokwenda anaenda na wasaidizi wake hata kuuguza ameenda kuuguza na wasaidizi wake, duuh!
Tumia akili. Unaambiwa yeye ndiye aliajiriwa siyo wasaidizi wake sasa wangebaki wakiwa hawana mkataba na Simba? Mbona wabongo vichwa vigumu sana?
uyo boya ana ubili injili au
KWANI AKIMALIZA ANADAI SADAKA??? AU
Yanga wanabebwa kila siku hamsemi wanabebwa kila siku kadi nyekundu za uongo zinafutwa Kila siku kwa timu pinzani kuwadhohofisha
Yanga amebebwa na Simba mfano ukitoa points 06 ambazo Simba amempatia Yanga utajikuta gape linabaki point 3 tu ambalo mpaka Sasa bingwa asingeweza kutabiriwa kirahis rahisi mpaka iishe.
Umemjibu vizuri huyo bwege@@lameckmwita6287
Acha uxhabiki ww utajifunza lini mpila
😂😂😂😂😂😂
Mimi nishauri jambo TFF kama wamegundua kuwa KADI nyekundu hiyo siyo sahihi basi watende haki kwa meçhi husika ikifutwa na pointi zifutwe kàbisa sio kufuta kadi point zikabaki huo ni uonevu kwa timu husika
Mechi 2 ukifungwa mtasema mgunda afai
😅😅😅hii furaha ya leo mechi itakayokuja mtaanza kulia na kusema mgunda afai mnatafuta kocha😂😂
TUKILIYA TUPE NDOGO TU 😂😂😂😂😂
Rudi Gurtendof the best coach
Huyu jamaa anajitekenya mwenyewe anacheka mwenyewe kwahiyo leo Benchikha mwenye CV zake amekua sio lolote
Endelea kuvaa shart nyeup simb washinde😂😂
Umejitokeza pole ndugu mpaka mwli umepungua umekuwa kama kijana aliyedarasani anamawazo ya mitihani mda wote
Jamaaa huwa anaimba
Wewe itikia chorus kama yeye anaimba. Usi yabanebane mavi kama yana kuuma mwisho utatoka nayo kwenye kidole cha kati.
NA MKEO ANAITIKIYA
😂😂😂😂😂😂
Ally Ahmed anajua kuyabembeleza mashabiki ya makolo,saizi ni kimyaaaa🤣🤣🤣🤣
Mashabiki ndio wajinga
😂😂😢
Leo wamecheka kesho wanalia😂
😂😂😂😂😂 kwanza nicheke
Kama mazungumzo yamegonga mwamba twambieni sisi washabiki tutachangia
Mashine gani ya kuongea mpaka ushinde,mbona ulivyopigwa na Yanga umepotea mpaka uliposhinda kombe la kuchaguliana ndo umeongea.
Chama kibu waende tu kama Chama tumechoka yeye nani kwenye Simba Simba nikubwa kuliko Chama au kibu Ila ishauli Kuna wachezaji kama wa Tano wasepe
NAHII MECHI MMENUNUA TFF WAYAFUTE MAGOLI YOTE YA LEO MMEPANGA MATOKEO
Lijamaaa liongo hiri😂
Mkweli wewe
Kama mlisha chafuka nyinyi niwachafu bado hamja nawa Wala kuoga
Midunduka akili zao ni za kidunduka dunduka --- mlishindwa Ku close gap LA points mbili kukiwa na michezo 25 halafu eti linajichetua kuwa mta close gap ktk mechi saba " kama si udunduka ni nini " mtaziba gap kwa timu gani,Yanga? --- ndoto za abunuasi.
Nikweli ubingwa bas kwenu 😂😂😂
Ubingwa ni mgumu 😂😂😂copy ☎️
Taja hiyo nasafi mbona unabwajabwaja🤣🤣🤣🤣
Si awe anaongea vzr mbona uyu jamaa kama ashakua choko 😅😅😅😂 Yan hakuna malinda tena hapa
TUNDU LAKO LA MKUNDU HILOOOOOOOO HILOOOOOOO 😂😂😂😂 KAFIRWE.