SAKATA LA USHOGA NA HAKI KWA WANAUME LAIBUKA BUNGENI, MBUNGE AMCHARARUA VIKALI WAZIRI
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Shida imekuwa kubwa sasa hivi. Maneno mengi ni ya kujikombakomba tu Asante sana Madame JESCA Mungu akutetee.
Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa sana sana sana
Asante mamangu, uku kwetu Kenya 🇰🇪 ata mikopo atupewi sisi wanaume, utaskia kenya wimen, wimen rep, ata ukuenda kuomba kazi na mwanamke atapewa yeye, imebaki tu kuolewa na wanawake
Hadi nimeskia kusisimka, inaonekana haya sio maneno ya kawaida, yana nguvu ya Mungu ndani yake. Hongera sana Mama Jesca.
Creative arguments, hongera sana mama yangu mama Samia akiona inafaa akupe wizara hii
Uyu mama aliyeongea mungu amtizame na ampetie mema zaidi
Asante sana mama yangu kwakulitambua hilo sababu wanaume wananyanyasika sana naawana pakukimbilia na dhani wewe ndo ungelipashwa kuwa kiongozi mku wa nchi ya
Tanzania
MH: Mungu akubariki Sana yalikua maombi yangu sana namshukuru MUNGU amekutumia kusema hilo
Mama Samia huyu Mbunge naomba aongezewe Mshahara tafadahli
Unachosema nikweli Mungu kakutumia Vyema
Hongera sana mbunge, wewe ndo mama wa bunge , Hili jamaume la wapi mbona hata sijalielewa , hovyo kabisa. watoto wakiume wanahalibiwa sana wabunge wakina mama lipigieni kelele sana kuwalinda watoto wote bila kuchagua jinsia
Duuh mama umezungunza point kiasi ya kwsmba Talents kama hawa wanahitajika Sana ktk bunge
Toka nimesikia bunge hii ndiyo mada ya maana kwa Tanzania
Wakipatikana wabunge kumi kama huyu mama haki ya mungu tutafika pazur
Ufike wapi? Unapotaka kufika hawa wabunge nihatari kuliko hao wanaowaongelea
Mbunge ana madini sana,big Up
Dada yangu umeeleweka vizuri sana. Shida ya mawaziri wengi, hawana hofu ya Mungu ndani yao.Nchi inahitaji toba ya magano ya kuzimu
You are very right! Inch inahitaji toba, Tuliunganishwa na kuzimu tangu kipindi Cha Uhuru, ndo Mana tunapelekwa km Kondoo😭😭😭 9:57
mama Mungu akulinde sn na akupe marifa zaid
Ninavyompendaga Jessca Yeye mkishamaliza yeye anakwenda Extra miles!👏👏👏
Hongera mama umesema kweli.
Na huyu kigwangala ndiyo Mwisho wa kuingia bungeni tena awamu hii
Mh mbunge umeongea point wanaume tulikua tume koswa utetezi bugeni. Ongera sana Mh.
Umegusa kero ya kila mtu lazima kuwe na strong voice ahsante sana mama mungu akulinde kwa kugusa kiini cha maumivu makali kwa wanaume
Mbunge wetu hoyee🎉🎉, Mungu akupe maoni zaidi.
Hongera sana Madame Mbunge nimekuelewa sana Wewe ni Voice of Voiceless
Safi kbsa mbunge una maono vzr unaonambali sana bora ungekiwa samia
Umeongea hoja ila si kwenye hii serikali inayofuata utaratibu wa Dunia, chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kabisa kaka,, mpango wa dunia ni kuhiaribu siyo kujenga, Wala si uopo was Mungu
Huyo Mwanaume hajielewi kabisa, Yaan tunasemewa na Mwanamke lenyewe linapiga. HOVYO kabisa
Huyu akaangaliwe vizuri.. pengine nae ni miongoni wa wanao suppoti ushoga
Hahaha! Et Daktari. Tatizo la elimu za kuhonga
Tumia akili apo akiongea mwanaum hawez kusikilizw sana
@@misangasaidih8764yani kamchana hatari😂😂
Mashallah umeupiga mwingi mola akubariki
Great love ❤️ to mamaa mungu akupe maisha marefu sana
Allah akuongoze
Mama upo vizuri sana
Mungu akulinde madam jeska
Daaah safi sana, "WE NEED A STRONG VOICE "
Hongera sana mbunge mama kunywa soda nakuja kulipa
Kilichonifrahisha nikuona mwanamke ndiye anatutetea wanaume .very nice
Kumesha haribika Sana single moms wanazidi kujazana mtaani, ko mwanamke ameliona hilo
Swala lipo ivi nyakati zimefika za binadamu wasio na mungu kutengeneza njia zakumweneza shetani kwa nguvuuu
Dunia ya magharibi inahubiri kutetea haki za wanawake na kumpa nguvu mwanamke ili kuwashusha wanaume kifikra na kiuchumi hasa kwa bara la Afrika.
Lengo kubwa ni kufanya bara la Africa kukubali ushoga na kupoteza nguvu ya wanaume ambao watasimama kidete dhidi ya bara la Africa.
Nimekukubari Sana you are awared person unasema kweli
Mmmmm tupoooo shetani ashindwe Kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai MUNGU Tusaidie
Haya ni matokeo ya kukubali kila mpango anaokuja nao mzungu na kuacha tamaduni zetu
Acha ujinga unashindwa na mwanamke anatoa point wanaume mpo mpotu
Uyu mbunge angestahili apewe huo uwadhifa wa icho kitengo barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa
Your so smart,, apewe ulinziiii huyuu mbungeee
Uyu Mama Ako na Madini mengi mno kichwani. Kigwanala Kayakanyaga
Kwa Mara ya kwanza nimesikia mtu akitoa hoja bungeni hongera Sana 😂😂
Nimekukubali sana maana kama tukiegemea upande mmoja tunazidi kuharibu siyo kutengeneza
Aliwahi kuongea Ndungai, kuwa mtoto wa kiume amesahaulika
Kuna mijanaume humo yapo yapo tu, mpk kaibuka mama kutetea wanaume big up Sana jesca
Mama Mungu akulinde na akupe ujasiri zaidi, nilngekuwa mwananchi wa jimboni kwako hakika kura yangu ungepata 2025 utarudi Bungeni.
Dah nimempenda san huyu mama kwel tunawamama wanatutetea Bungen jmn Mungu akubarik sana mama.piga kaz
Mama umetisha ubarikiwe sana napenda nioe binti yako
Ubalikiwe sana tena ubalikiwe mama yetu ulinzi upewe mama yangu mwenyenzi mungu
Mama kaongea kwa umakini sanaaaa.....Mungu akubariki mnoo
Wew mwanamke uko smart sana umebarikiwa keep it up
Bigup mama umesema na asante sana umetusemea uendelee kuongoza ktk jimbo lako
Big up mbunge....watoto wa kiume wasiachwe nyuma
Yaani wanaume wenyewe hutujitambui kiasi hiki mpaka wanawake wanaamua kututetea. Eti wanaume nao siku hizi wamekua feminists, what a wrong turn!
Hongera sana Mh mbunge hongera sana mama
Safi sana Mama hongera umesema vema
Mimi nimependa hapo alipocheka na kusema halafu Daktari kwa dharau sana 😂😂😂
Mbunge wa wapi huyu,, bonge la malkia🙌🙌🙌
Hongera Sana mbunge MUNGU akulinde
Mungu akulinde sana mama congole kwako❤❤❤
Wizara hii ingekufaa sana mama akuonebasi
Mashaallah mashaallah umenena shida masikio hayasikii
I love you mama unapenda taifa pia unahofu ya mungu may God bless u❤❤❤❤
Wanaume mmekaa tu humo bungeni mpaka mama ameamua kufunguka asante.mama
daaaa yan mpk nimejisikia vibaya hongera sana my sister
Nimekupenda bureeee❤❤❤❤❤
Mama wa kweli
Hongeraaaaa sanaaaaa unahoja za upako
Daah.Safiii sana na hongeraa sana Mhe Jesca. Umeuipiga mwingii
Nimekupenda zaid
Mungu akupe maisha marefu yenye hekima
Kumbuken huyu jesca ni Dr siyo mchezo
Mungu akubariki sanaaa
Safi mama na ni wadhaifu Sana wanaume
Wewe ni jembe Mhe. Mungu akubariki kuliona hilo
Namuona mbunge wangu
Simai apo nyuma ana konga roho❤❤😂
Asante xn mama hakika ww ndiye mbunge mwenye maono! Kuna wanaume wamekaa humo tu hata hawaon na wao wanapiga makofi tu hawaon kuwa wanaume wametengwa,na wananyanyaswa na wanawake kisa tu mwanamke kapewa haki zote! Hapo usawa wa kijinsia uko wapi?
Roho wa Bwana yu juu yko mheshimiwa Mbunge
Umeongea point mbunge watt walelew na pande mbili lakin watoto wa kiume wakiachwa kulelewa na wanawake tu ni rahis sana baadae kushindwa kujisimamia peke yao, inahitajika strong voice ili wawe hodar zaid
Hongera sana. Si tuu unafaa kuwa waziri wa wizara hiyo, nadhani hata ubenge unatakiwa uchukulie kwenye jimbo la huyo mwanaume asiyejiua shida ilivyo!
Hongera mama ra mama
Umeongea vizuri mama mpaka nimeshindwa kula
Mwafrika anatawaliwa kwa sababu hawezi kujitawala .sasa mambo kama hayo ya ushoga msishangaee.tukitaka maadili inabidi maamuzi magum yatumike.
Mungu akubariki Sana uishi myaka Mingi
Ahsante sana mama Mungu azidi kukupa maono zaidi
Safi Sana mitano tena
❤❤❤❤chukua mauwa yako mama na unapotokea nawaomba wananchiwako akurudishe tena bungen
Mama Mungu akubariki sana , akuzidishe katika mema uyatakayo
mama ajengewe sanamu pale KATAVI hongela mama dar hayo majinga
Well said
Hongera mama💗💗💗💗
Dah huyu Mama kaongea point Allah amjaze Kheri
Asante sana mungu akutangulie mh hoja imeeleweka
Mambo yakusikitishaa kbx kwenye nchi yetuu kupinga matendo maovuu naukatili nikwajamii nzima siyo kwa m2 mmojaa mmojaaa
Hongera mama hilo janaume ni shoga
Mama yangu kipeenzi mungu akupe umri mrefu fanya kazi mungu atakuripa
Hongera sana, umeongea ukweli mtupu, hii ndio aina ya viongozi tunaohitaj
Asante mama umenena maana ishakua hatariii
Uyu mbungee nampa mauwa yakee 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Dah safi saaana yaani umeongea ukweli kabisa inasikitisha kama kuna wanaume wanaunga mkono mambo hayo na kuyafungia macho mambo muhim.. hivi kweli mwanaume hatambuliki umuhim wake kweli!!! Watu wa magharib hawatatulia mpaka watimize ndoto zao mbovu..