SAKATA LA USHOGA NA HAKI KWA WANAUME LAIBUKA BUNGENI, MBUNGE AMCHARARUA VIKALI WAZIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Комментарии • 453

  • @aggymonyela3775
    @aggymonyela3775 14 дней назад +26

    Shida imekuwa kubwa sasa hivi. Maneno mengi ni ya kujikombakomba tu Asante sana Madame JESCA Mungu akutetee.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 14 дней назад +19

    Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa sana sana sana

  • @JacksonMwalimu-se7fj
    @JacksonMwalimu-se7fj 11 дней назад +3

    Asante mamangu, uku kwetu Kenya 🇰🇪 ata mikopo atupewi sisi wanaume, utaskia kenya wimen, wimen rep, ata ukuenda kuomba kazi na mwanamke atapewa yeye, imebaki tu kuolewa na wanawake

  • @sanestar6942
    @sanestar6942 14 дней назад +8

    Hadi nimeskia kusisimka, inaonekana haya sio maneno ya kawaida, yana nguvu ya Mungu ndani yake. Hongera sana Mama Jesca.

  • @jafarimpawa8237
    @jafarimpawa8237 15 дней назад +23

    Creative arguments, hongera sana mama yangu mama Samia akiona inafaa akupe wizara hii

  • @Salviiboy
    @Salviiboy 13 дней назад +8

    Uyu mama aliyeongea mungu amtizame na ampetie mema zaidi

  • @claudemofi3193
    @claudemofi3193 14 дней назад +6

    Asante sana mama yangu kwakulitambua hilo sababu wanaume wananyanyasika sana naawana pakukimbilia na dhani wewe ndo ungelipashwa kuwa kiongozi mku wa nchi ya
    Tanzania

  • @ombenezekiel6254
    @ombenezekiel6254 13 дней назад +4

    MH: Mungu akubariki Sana yalikua maombi yangu sana namshukuru MUNGU amekutumia kusema hilo

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 14 дней назад +7

    Mama Samia huyu Mbunge naomba aongezewe Mshahara tafadahli

  • @EligiusRichardGoldenboy
    @EligiusRichardGoldenboy 15 дней назад +15

    Unachosema nikweli Mungu kakutumia Vyema

  • @nyassa2607
    @nyassa2607 15 дней назад +18

    Hongera sana mbunge, wewe ndo mama wa bunge , Hili jamaume la wapi mbona hata sijalielewa , hovyo kabisa. watoto wakiume wanahalibiwa sana wabunge wakina mama lipigieni kelele sana kuwalinda watoto wote bila kuchagua jinsia

  • @binismail2029
    @binismail2029 15 дней назад +10

    Duuh mama umezungunza point kiasi ya kwsmba Talents kama hawa wanahitajika Sana ktk bunge

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 14 дней назад +8

    Toka nimesikia bunge hii ndiyo mada ya maana kwa Tanzania

  • @EliudKatamba-qu7fg
    @EliudKatamba-qu7fg 15 дней назад +14

    Wakipatikana wabunge kumi kama huyu mama haki ya mungu tutafika pazur

    • @CholoFaizaan
      @CholoFaizaan 15 дней назад

      Ufike wapi? Unapotaka kufika hawa wabunge nihatari kuliko hao wanaowaongelea

  • @jeromepantaleo8356
    @jeromepantaleo8356 14 дней назад +10

    Mbunge ana madini sana,big Up

  • @user-lc8mp2lj3k
    @user-lc8mp2lj3k 14 дней назад +9

    Dada yangu umeeleweka vizuri sana. Shida ya mawaziri wengi, hawana hofu ya Mungu ndani yao.Nchi inahitaji toba ya magano ya kuzimu

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 12 дней назад +1

      You are very right! Inch inahitaji toba, Tuliunganishwa na kuzimu tangu kipindi Cha Uhuru, ndo Mana tunapelekwa km Kondoo😭😭😭 9:57

  • @festodaud1781
    @festodaud1781 14 дней назад +6

    mama Mungu akulinde sn na akupe marifa zaid

  • @user-du7jm2wl5b
    @user-du7jm2wl5b 14 дней назад +3

    Ninavyompendaga Jessca Yeye mkishamaliza yeye anakwenda Extra miles!👏👏👏

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 15 дней назад +3

    Hongera mama umesema kweli.
    Na huyu kigwangala ndiyo Mwisho wa kuingia bungeni tena awamu hii

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 14 дней назад +3

    Mh mbunge umeongea point wanaume tulikua tume koswa utetezi bugeni. Ongera sana Mh.

  • @salumumchaga9717
    @salumumchaga9717 13 дней назад +1

    Umegusa kero ya kila mtu lazima kuwe na strong voice ahsante sana mama mungu akulinde kwa kugusa kiini cha maumivu makali kwa wanaume

  • @technicallytips255
    @technicallytips255 13 дней назад +1

    Mbunge wetu hoyee🎉🎉, Mungu akupe maoni zaidi.

  • @simonmushi7468
    @simonmushi7468 15 дней назад +13

    Hongera sana Madame Mbunge nimekuelewa sana Wewe ni Voice of Voiceless

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 15 дней назад +5

    Safi kbsa mbunge una maono vzr unaonambali sana bora ungekiwa samia

  • @antonigabriel-010yes
    @antonigabriel-010yes 14 дней назад +3

    Umeongea hoja ila si kwenye hii serikali inayofuata utaratibu wa Dunia, chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @user-ko5co3bk9f
      @user-ko5co3bk9f 12 дней назад

      Kabisa kaka,, mpango wa dunia ni kuhiaribu siyo kujenga, Wala si uopo was Mungu

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko2952 15 дней назад +27

    Huyo Mwanaume hajielewi kabisa, Yaan tunasemewa na Mwanamke lenyewe linapiga. HOVYO kabisa

    • @mafiask575
      @mafiask575 15 дней назад +3

      Huyu akaangaliwe vizuri.. pengine nae ni miongoni wa wanao suppoti ushoga

    • @misangasaidih8764
      @misangasaidih8764 14 дней назад +1

      Hahaha! Et Daktari. Tatizo la elimu za kuhonga

    • @MrNuurofficial
      @MrNuurofficial 14 дней назад +1

      Tumia akili apo akiongea mwanaum hawez kusikilizw sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 14 дней назад

      ​@@misangasaidih8764yani kamchana hatari😂😂

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahm 13 дней назад +1

    Mashallah umeupiga mwingi mola akubariki

  • @TumainTinabu
    @TumainTinabu 23 часа назад

    Great love ❤️ to mamaa mungu akupe maisha marefu sana

  • @AllyAmri-mz3js
    @AllyAmri-mz3js 13 дней назад +1

    Allah akuongoze

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue 14 дней назад +3

    Mama upo vizuri sana

  • @livingmunisi5963
    @livingmunisi5963 13 дней назад +1

    Mungu akulinde madam jeska

  • @ezekielbkuyeko5241
    @ezekielbkuyeko5241 15 дней назад +4

    Daaah safi sana, "WE NEED A STRONG VOICE "

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 15 дней назад +3

    Hongera sana mbunge mama kunywa soda nakuja kulipa

  • @Alex.RAlistides
    @Alex.RAlistides 14 дней назад +2

    Kilichonifrahisha nikuona mwanamke ndiye anatutetea wanaume .very nice

    • @RynoFiree
      @RynoFiree 14 дней назад

      Kumesha haribika Sana single moms wanazidi kujazana mtaani, ko mwanamke ameliona hilo

  • @Salviiboy
    @Salviiboy 13 дней назад

    Swala lipo ivi nyakati zimefika za binadamu wasio na mungu kutengeneza njia zakumweneza shetani kwa nguvuuu

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 14 дней назад +3

    Dunia ya magharibi inahubiri kutetea haki za wanawake na kumpa nguvu mwanamke ili kuwashusha wanaume kifikra na kiuchumi hasa kwa bara la Afrika.
    Lengo kubwa ni kufanya bara la Africa kukubali ushoga na kupoteza nguvu ya wanaume ambao watasimama kidete dhidi ya bara la Africa.

    • @user-cy5zv5fb9l
      @user-cy5zv5fb9l 14 дней назад

      Nimekukubari Sana you are awared person unasema kweli

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 12 дней назад

    Mmmmm tupoooo shetani ashindwe Kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai MUNGU Tusaidie

  • @BabuEdie
    @BabuEdie 15 дней назад +7

    Haya ni matokeo ya kukubali kila mpango anaokuja nao mzungu na kuacha tamaduni zetu

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 15 дней назад

      Acha ujinga unashindwa na mwanamke anatoa point wanaume mpo mpotu

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 12 дней назад

    Uyu mbunge angestahili apewe huo uwadhifa wa icho kitengo barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa barikiwa

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 12 дней назад

    Your so smart,, apewe ulinziiii huyuu mbungeee

  • @user-eh3zy7rr8o
    @user-eh3zy7rr8o 11 дней назад

    Uyu Mama Ako na Madini mengi mno kichwani. Kigwanala Kayakanyaga

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 14 дней назад

    Kwa Mara ya kwanza nimesikia mtu akitoa hoja bungeni hongera Sana 😂😂

  • @reallyistheanswer6287
    @reallyistheanswer6287 14 дней назад

    Nimekukubali sana maana kama tukiegemea upande mmoja tunazidi kuharibu siyo kutengeneza

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 15 дней назад +3

    Aliwahi kuongea Ndungai, kuwa mtoto wa kiume amesahaulika

  • @StevenMasunga-fd7xf
    @StevenMasunga-fd7xf 13 дней назад

    Kuna mijanaume humo yapo yapo tu, mpk kaibuka mama kutetea wanaume big up Sana jesca

  • @mihayombawala8361
    @mihayombawala8361 15 дней назад

    Mama Mungu akulinde na akupe ujasiri zaidi, nilngekuwa mwananchi wa jimboni kwako hakika kura yangu ungepata 2025 utarudi Bungeni.

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 14 дней назад

    Dah nimempenda san huyu mama kwel tunawamama wanatutetea Bungen jmn Mungu akubarik sana mama.piga kaz

  • @samwelmwita1915
    @samwelmwita1915 10 дней назад

    Mama umetisha ubarikiwe sana napenda nioe binti yako

  • @AbdulMalingisa
    @AbdulMalingisa 13 дней назад

    Ubalikiwe sana tena ubalikiwe mama yetu ulinzi upewe mama yangu mwenyenzi mungu

  • @Anza_tz
    @Anza_tz 14 дней назад

    Mama kaongea kwa umakini sanaaaa.....Mungu akubariki mnoo

  • @ggcrank6264
    @ggcrank6264 14 дней назад

    Wew mwanamke uko smart sana umebarikiwa keep it up

  • @meryLeonard-is8ry
    @meryLeonard-is8ry 14 дней назад

    Bigup mama umesema na asante sana umetusemea uendelee kuongoza ktk jimbo lako

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella 14 дней назад

    Big up mbunge....watoto wa kiume wasiachwe nyuma

  • @augustinokomba4363
    @augustinokomba4363 14 дней назад +1

    Yaani wanaume wenyewe hutujitambui kiasi hiki mpaka wanawake wanaamua kututetea. Eti wanaume nao siku hizi wamekua feminists, what a wrong turn!

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 14 дней назад

    Hongera sana Mh mbunge hongera sana mama

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 13 дней назад

    Safi sana Mama hongera umesema vema

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 14 дней назад +1

    Mimi nimependa hapo alipocheka na kusema halafu Daktari kwa dharau sana 😂😂😂

  • @bahatiandrew5047
    @bahatiandrew5047 12 дней назад

    Mbunge wa wapi huyu,, bonge la malkia🙌🙌🙌

  • @user-mi8kj1bl6s
    @user-mi8kj1bl6s 11 дней назад

    Hongera Sana mbunge MUNGU akulinde

  • @samamfaume8251
    @samamfaume8251 13 дней назад

    Mungu akulinde sana mama congole kwako❤❤❤

  • @JumaHeri-hn2bw
    @JumaHeri-hn2bw 14 дней назад

    Wizara hii ingekufaa sana mama akuonebasi

  • @nursalammedia3317
    @nursalammedia3317 11 дней назад

    Mashaallah mashaallah umenena shida masikio hayasikii

  • @imanbwanaa
    @imanbwanaa 14 дней назад

    I love you mama unapenda taifa pia unahofu ya mungu may God bless u❤❤❤❤

  • @GodfreyNgatunga-ps6pb
    @GodfreyNgatunga-ps6pb 7 дней назад

    Wanaume mmekaa tu humo bungeni mpaka mama ameamua kufunguka asante.mama

  • @JafaryChamungwana
    @JafaryChamungwana 12 дней назад

    daaaa yan mpk nimejisikia vibaya hongera sana my sister

  • @samsonyuves7923
    @samsonyuves7923 11 дней назад

    Nimekupenda bureeee❤❤❤❤❤

  • @piusdamian594
    @piusdamian594 9 дней назад +1

    Mama wa kweli

  • @EbenezerRajabuMwamengo-pq5ev
    @EbenezerRajabuMwamengo-pq5ev 14 дней назад

    Hongeraaaaa sanaaaaa unahoja za upako

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 14 дней назад

    Daah.Safiii sana na hongeraa sana Mhe Jesca. Umeuipiga mwingii

  • @wilsondomisian5899
    @wilsondomisian5899 14 дней назад

    Nimekupenda zaid

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 13 дней назад

    Mungu akupe maisha marefu yenye hekima

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 15 дней назад +2

    Kumbuken huyu jesca ni Dr siyo mchezo

  • @barakayohana5685
    @barakayohana5685 11 дней назад

    Mungu akubariki sanaaa

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 12 дней назад

    Safi mama na ni wadhaifu Sana wanaume

  • @faithmwailunga6954
    @faithmwailunga6954 12 дней назад

    Wewe ni jembe Mhe. Mungu akubariki kuliona hilo

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 12 дней назад

    Namuona mbunge wangu
    Simai apo nyuma ana konga roho❤❤😂

  • @user-es6lq1bv1j
    @user-es6lq1bv1j 15 дней назад

    Asante xn mama hakika ww ndiye mbunge mwenye maono! Kuna wanaume wamekaa humo tu hata hawaon na wao wanapiga makofi tu hawaon kuwa wanaume wametengwa,na wananyanyaswa na wanawake kisa tu mwanamke kapewa haki zote! Hapo usawa wa kijinsia uko wapi?

  • @HappinessMgonja-dt3wg
    @HappinessMgonja-dt3wg 13 дней назад

    Roho wa Bwana yu juu yko mheshimiwa Mbunge

  • @NelsonShirima-nm5im
    @NelsonShirima-nm5im 12 дней назад +1

    Umeongea point mbunge watt walelew na pande mbili lakin watoto wa kiume wakiachwa kulelewa na wanawake tu ni rahis sana baadae kushindwa kujisimamia peke yao, inahitajika strong voice ili wawe hodar zaid

  • @geraldmanyogoto1358
    @geraldmanyogoto1358 14 дней назад

    Hongera sana. Si tuu unafaa kuwa waziri wa wizara hiyo, nadhani hata ubenge unatakiwa uchukulie kwenye jimbo la huyo mwanaume asiyejiua shida ilivyo!

  • @ahmadiabrahamani8702
    @ahmadiabrahamani8702 11 дней назад

    Hongera mama ra mama

  • @user-pd7bw6bd7c
    @user-pd7bw6bd7c 14 дней назад

    Umeongea vizuri mama mpaka nimeshindwa kula

  • @Laizer3
    @Laizer3 14 дней назад +1

    Mwafrika anatawaliwa kwa sababu hawezi kujitawala .sasa mambo kama hayo ya ushoga msishangaee.tukitaka maadili inabidi maamuzi magum yatumike.

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 12 дней назад

    Mungu akubariki Sana uishi myaka Mingi

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 13 дней назад

    Ahsante sana mama Mungu azidi kukupa maono zaidi

  • @user-mi8kj1bl6s
    @user-mi8kj1bl6s 11 дней назад

    Safi Sana mitano tena

  • @redgabriel4998
    @redgabriel4998 15 дней назад

    ❤❤❤❤chukua mauwa yako mama na unapotokea nawaomba wananchiwako akurudishe tena bungen

  • @Polycarp-do8kd
    @Polycarp-do8kd 14 дней назад

    Mama Mungu akubariki sana , akuzidishe katika mema uyatakayo

  • @malakidamson
    @malakidamson 14 дней назад

    mama ajengewe sanamu pale KATAVI hongela mama dar hayo majinga

  • @abuuirtifaahaamid3310
    @abuuirtifaahaamid3310 15 дней назад +4

    Well said

  • @RoseSam-zy4yc
    @RoseSam-zy4yc 13 дней назад

    Hongera mama💗💗💗💗

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 12 дней назад

    Dah huyu Mama kaongea point Allah amjaze Kheri

  • @patrickcharles7294
    @patrickcharles7294 14 дней назад

    Asante sana mungu akutangulie mh hoja imeeleweka

  • @bakarsharif6658
    @bakarsharif6658 13 дней назад

    Mambo yakusikitishaa kbx kwenye nchi yetuu kupinga matendo maovuu naukatili nikwajamii nzima siyo kwa m2 mmojaa mmojaaa

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru 13 дней назад

    Hongera mama hilo janaume ni shoga

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t 15 дней назад

    Mama yangu kipeenzi mungu akupe umri mrefu fanya kazi mungu atakuripa

  • @MariamHamad-zd5ch
    @MariamHamad-zd5ch 15 дней назад

    Hongera sana, umeongea ukweli mtupu, hii ndio aina ya viongozi tunaohitaj

  • @deogratiasnelson7381
    @deogratiasnelson7381 10 дней назад

    Asante mama umenena maana ishakua hatariii

  • @user-dv2jz3oy6f
    @user-dv2jz3oy6f 14 дней назад

    Uyu mbungee nampa mauwa yakee 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @user-rh7un2mh1q
    @user-rh7un2mh1q 14 дней назад

    Dah safi saaana yaani umeongea ukweli kabisa inasikitisha kama kuna wanaume wanaunga mkono mambo hayo na kuyafungia macho mambo muhim.. hivi kweli mwanaume hatambuliki umuhim wake kweli!!! Watu wa magharib hawatatulia mpaka watimize ndoto zao mbovu..