🔴
HTML-код
- Опубликовано: 21 мар 2023
- 🔴#Live: MPAKA HOME KWA MC BALAA, NYUMBA YAKE KAMA MBELE, AMPIGIA SIMU MPENZI WAKE LAIVU....!
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kaka number Colombia 🇨🇴 na Mexico 🇲🇽 na South Africa 🇿🇦 na America ndio inchiii wanamini number kwasababu makundi ya uhalifuuu
Jamani hiyo *26* iwacheni hivyohivyo na sio kwa maelezo ya huyo mshkaj hapo na Kwa vijana wenzangu wa kiTanzania haswa wale manigga ✊🏽 naomba hayo maneno muyapuuze na musiige huo utamaduni ...huyo anaongea tuh lakin... Kwa kimaadili na usalama maisha yenu muwachane na hiyo *26* na muwe makini sana ... Haswa kwa vijana munaokuja South Africa ✌️✍🏾✊🏽. Kwa usalama wa Imani na Maisha yako pia... Musisikilize hayo maneno ya huyo mwamba na mukaiga huo mchezo wa *26*
nyumba ipo vizuri kidogo feni limebowa ni wakati
Ac
pamoja sana father balaaaa walio kuponda kmmke zao mbona wao wanapangisha hawana ata iyo nyumba 😢 waone wambea tu ndo unawasumbuaaaaaa
😂😂😂😂kwahiyo mwenye hiyo nyumba mkitoka hapo mnamlipa hebu acheni kiki
Meneja mbona kaongea vingine msanii kajiongeza apo tumuelewe yupi 😢
Sema mwanangu nimekukubali sana unaongea ukweli
Sikupingi hata kidogo chamalangu
Nomaaa
meneja anasema burget ya nyimboo mil 4 alie imba anasema m 9 hapa walisahau kupangana before😂
Anaakaaa au nyumbani kwake alipojenga
Nyie wasanii mpunguze Kik mkipata matatizo mala ooh uyu kaenda kugulia kwa bibi yake na Hana pesa anaitaji mchango
Wakiumwa huwa inajulikana kila kitu
Huyu managaer kkkk achenibusela tafuten watu wakaz kusogeza mziki wenu mbali hvyo ndio unaniletea manager huyo nakulipa killion2
Hizo ni kiki wazeeee kumamae zenu wasaniii ndo maana sifatilii nyimbo zenu
Hawa machiz kwel et set sofa mxuuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka nakukumbusha ukiingia nyumbani kwa watu ivuege viatu we umezingua broo
Me naomba tisheti ya 26 kipaji
Acheni kiki mkiumwa mnakuja kwetu mnataka msaada
Milioni nne mwengine nane tisa hivi waongo wasanii
Hahahah mm nimecheka pale jamaa kusema madancer kulipwa tibuduma akamwangalia huyo kwaiy hii inaonyesh kuna kitu kimejifiny nyuma yake
Na me naomba nipate hata tisheti ya 26 kipaji
Unyama ni mwing kaka kaua
JAMANI KUMBE UNA MKE NYIE NITAKUFA JAMANI
MC HANA NYUMBA ACHENII UONGOO
Hiii VIDEO YA TAI CHII IPO VZR LKN KWANINI UTUDANGANYE...MAANA MENEJA KASEMA VIDEO IME GHARIMU MILLION (4) WEWE BALAA MCEE UNA TUAMBIA MILLION ( 8)....???????
stop imitating things if he knows what they mean.... 26
Dah? Kumbe mzick unalipa
Et jana mlienda kule 😳😳wakat ni hapohapo meneja anasema 4 million ...ww 9million...how come ww mtangazaj umepewa nguo ionekane mwamb yupo buxy duuu😁😁😁😁
Cjaelewa chochote
MWANAUME JENGA KWAKO,,ACHA KUONYESHA ONYESHA VIJUMBA VYA KUSAIDIWA.
Acha wivu mjomba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ata jenga tuu hakuna alie anza maisha ghafla huwa ni hatua ndogondogo
Kila ktu majaliwa ya Allah
Ww hunaelew sio ya kusaidiwa kua imekua ya kwake hapan kapangishiwa tu Yan Ni saw na kutambaa na vinavyonukia kwa jilani
😅😅😅😅😅unamakasitiko we chizi au
Sasa hiyo ngoma mbona haieleweki imetumia shi ngap sasa m 4 au 8 tisa hiv
Inaitwa lugha gongana kati ya meneja na msanii wake😂
All in all jamaa anajua sana nyimbo zake zinasikilizwa na lika zote haswaaaa ujumbe ndio kishawishi kwake
Meneja kasema milioni 4 msanii anasema milioni 8 nani mkweli😊😊😊
Mapanya road hawa.
Wanatuchangany tu manager kasema m4 yeye m8
Unaingia ndani na viatu kisa mtangazaji
😂😂😂
Acheni uongo mafukara msio jifaham ni bora mue wakweli
Twenty six nyandu toz
Ulizeni 26 maana yake nn wachu tu nyie eti 26 Mtabakwa
na mkubal san dog faita