Wanawake Mungu anawaona, niliwa kulazimishwa na mke wangu, akisema nikamwache kanisani, huku akijua kuwa kanisa haliachanishi ndoa Tena akinisumbua sana
Kwahyo wew nimtumishi wa Mungu 😢 unaongea utumbo sana nakama Malisa anafanya uovu mbona watu wanafunguliwa kwenye kanisa lake kwa upeo wangu kama mtumishi au mtu yeyote mweny Mungu akifanya maovu, Mungu awezi kuwa ndani yke ata hivyo na watu wasingefunguliwa.
Upeo wa mdogo hata shetani anaiga miujiza kaka sio Kila nabii akiponya mtu anakuwa mtumishi wa Mungu Kuna waganga wa kienyeji wanajiita manabii na malisa yumo ndani.Ndio maana umewaambia utawatambua Kwa matunda yao
Ivi bado kuna watu wanaenda kwenye kanisa la uyo baba 😂😂😂😂kah kweli binadamu tumekosa utu wala akili yani mtu mpaka anatia hasira 😢 ivi unajiita mtumishi wa Mungu kisha unakuja kwenye media kuongea vitu kama hivi
Hakuna mtu ajuae ukweli ,there is something behind hapa wanajua wao wanandoa.... Mpaka mwanamke amefikia kuanika mambo hadharani basi ujue kuna tatizo mahali ,all in all Mungu aingilie kati kwa wanandoa wote but njia ya muongo ni fupi
Najaribu kufikilia mke wa mtumishi mkubwa Lisa kaiba pafumu ya mtumishi mwingine wa hapo kanisani na kesi ipo ostabey polisi dah!!! Pole dada Lisa uliotungiwa ni mengi lkn Mungu pekee ndio tumaini lako.
Mnaacha kutafuta hela mnashindana na mlikotoka. Wanawake -always handle with care wanafanyaga maamuz yao wakati mwngne kwa kuongozwa na hisia. Muhurumien mpeni anachotaka apite hivi otherwise mtachafua jina la kanisa na utumish wake. Kingne elewen huduma hiz Za kiroho zna vita sana pigeni kaz achaneni na kesi.
Nilichokiona hapo huyo Lisa kapata kiburi kisa anatoka na kiongozi mkubwa serikalini. Kuna baadhi ya waimbaji wa kike wakubwa ndoa zao zimevunjika kisa vigogo wa serikalini wengine ndoa ziliyumba baada ya vikao vingi ndiyo zikatengamaa. #Mungu_Aturehemu
I wish SNS msirushe vitu hivi. Haya maisha ya ndoa yana changamoto sana. Ukirudi nyuma utakuta hata dada zako na shangazi zako wanapitia hayo. Sasa suala kuyarusha haya yanasaidia nini?
Jamaa kanyoosha sana, story balanced, wanawake muache mihemko ya kishamba japo ndio mmeumbwa hivyo. Huyo dada ni mshamba sana kama alichoongea na kunacho semwa hapa ni kweli . Akafie mbali
Sheria ilikuwepo kabla yakuja Imani lkin sasa hayupo chini ya Sheria basi hapo yalibid maombi t Kwan kama anaweza kuiludisha ndoa lilizo vunjka kwann yake anakubali ivunjke
Ninawahurumia kondoo wa hili kanisa sijui watakuwa na hali gani kutokana na mgogoro huu wa wazazi wao hawa wa kiroho.Tuwaombee ili jaribu hili liishe ili shetani aaibike na kazi ya Mungu iendelee
@@garruwsuntilibreaththislif3681 hata kama asinge chukua upande kiongoz wa dini msuluhishi huwez kuja kumwaga vitu vya watu hewani hivi.. kibusara alipaswa kuwaacha wayamwage wenyewe. Hana ethics mwamba 😅
Mwanamke akitaka talaka yake ni haki yake kabisa .Kama hampendi mume wake.kwa Dini y kislam kwenye kitabu kitakatifu Quaran iko sura nzima inazungumzia kuhusu Talaka
Ukisoma school of cancelling hurusiwi kufunua mambo ya, washauliwa wako public... Wanaoruhusiwa kuweka undani wao ni wauhusika wenyewe..... HUYU SIYO MSHAURI KABISA... Akutakiwa kuweka kesi ya pufyum.... Huyu aliitwa kumsikiliza Lisa akamgeuka Lisa
Mtumishi wa MUNGU kazingua ndio Mana Mambo yanguu nyeti binafsi Bora nipige goti nimwambie MUNGU watumishi wamekosa HEKIMA hili Swala lilipaswa liwe mchungaji Huyo Malisa na mkewe kuwekana sawa na kama kulimaliza ni kwa HEKIMA sio mchungaji kuachia maisha ya MTU kama hiviiii Sio sawaaa hapa ndio yale yaliyo tabiliwa kuzidi kwa technology 🎯🎯🎯🎯
Malisa songa mbele mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe. Na ukiwa na kusudi la Mungu ndani yako hata mke anaweza kutumiwa na shetani ili auwe kilicho ndani yako.
Ndoa z kikristo azifagi broo Tena uyo ety n nabii Apo mmoja wao afee kwanz mwngne ndio aoe so n uongo na upuuz kwenda uko ety ndoa mtu kapewa talaka ya kikristo 😔uliskia wap sio kwel 🙌mnatufundisha nn sisi
Mi ninachomshauliwa mwanamke ni mapenzi yameisha mali si kitu tafuta upya utapata mali si kitu hauzikwi nayo mtafute Mungu atakupa kila kitu. Mapenzi yameisha. Usije ukatengana na mungu wako kisa kuachana
Ushauri wangu kwa kusikia leo kwanza majina ya lizza sijui lissa ni ya kukaa nayo mbali sana hawafai kwa umalaya pili mchungaji malisa achana kabisaa na huyu mtu anaitwa lizza km ndoa imevunjwa asikusumbue huyu kinyago oa mke mwingine kabisaa nikuambie tuu ulioa pepo la ngono halifai
Wanawake wamwogopeni Mungu tu. Izi kesi za ubakaji zimekua fimbo kwa Wanaume wengi haswa wanawake wanapo amua kubadilika . Mimi hapa nilipewa kesi ya ubakaji na mke wangu kisa miradi tuliyo fungua na meneja mmoja wa benki. Malisa akubali yaishe kwa usalama wake na angalie watoto wake . Mke ukuzaliwa nae ni mtoto wa mwenzio siyo wako. Watoto wako ndiyo wakwako. Wanawake wengi ni tatizo haswa kukiwa na mwongozazi kwa picha. Ndiyo maana niliamu kukaa mbali nao. Wengi ni zaidi ya shetani na mashetani. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda. Amen.
Mimi ni mwanamke , na kesi kama hizi kweeeeli zimekuwepo hasa pale mwanamke anapopata pedeshee , na kwakuwa tumemeonekana kuwa tinanyanyaswa basi tunatumia njia hiyo kuwachapia watoto wa watu wa kiume , tukasahau na sisi tuna watoto wa kiume ,na hiii tabia imekuwapo sana .
HUO SIO UTUMISHI WA MUNGU WALA UTAALAMU WA USHAURI NI KUCHAFUA TU WATU NA KUWATAKIA MABAYA MUNGU ATUPIGANIE SISI WATUMISHI WA MUNGU TUNAPITIA MENGI SANA
Mmmmh hiiyo ni hatari Malisa angekaa na mkewe watatue hilitatizo lakini watu wapembeni watawaharibia kila kitu hatajulikana yupi mkosaji wayamalize bwana wasameheyane
Kama kweli Lisa aliitaka talaka kwa nini hakuhudhuria mahakamani?Nyie waongo wakubwa.Eti Prophet 😅.Nyie ni wapigaji tu,mnatumia matatizo ya watu kupata sadaka.
Kwahiyo wewe unamfahamu huyo kijana Malisa kuliko mkewe? Umeonesha upendeleo kwa kuegemea upande mmoja. Pia umeonesha uliingizwa kwenye sakata hili ki-mkakati na ndiyo maana binti wa watu kakosa Imani na wewe. Wewe umesema wametengana miaka 3 iliyopita lakini Malisa mwenyewe akiwa wasafi TV amesema wameachana miaka 5 iliyopita! Mshauri gani ambae anaweza kuja hadharani kutoa Siri za mteja wako kwa kumhukumu? Jiungeni teteaneni lakini Mungu wetu aonae sirini hataniwi, kwa wakati wake atatenda.
Walio kwenye ndoa wana majibu yao, na wenye akili timamu wanajua mpatanishi kwenda kwenye media anatafuta nini,na wanamajibu je ni mpatanishi au vinginevyo.
Askofu Malisa ameshindwa kutatua mgogoro wa Ndoa yake hadi unaletwa hadhalani hivi? Pesa mwana malevi,Haya ndio matokeo ya sadaka za kujimaliza wametajirika sasa wanagombania mgao.
Kwanza wewe ni nani mshenga ,msimamizi wa ndoa ,au msemaji wa ndoa hiyo na kwa nini sasa jambo la ndoa ya watu lizungumziwe kwenye media wakati wewe sio muhusika wewe ni muhuni kama wahuni wengine toka hapa
Mimi naamini nikweli kwasababu malisa alikuja arusha miaka 10 iliyo pita akasema tuchukuwe bahasa, na kuna bahasa za lk 5,3,2,1 na elf50 nilikuwa namasha yachting nikatowa nilicho fanikiwa hakuna sitakaaa nisahau matapeli sana hao manabiiii
Ukitaka kujua level ya Ignorance ya wanawake wa kitanzania soma comments zao humu. Mshaurini huyo dada na sio mihemuko kama anahitaji haki anapaswa kwenda kwenye vyombo vya sheria. Wenzie leo wapo sahihi wameenda kwenye ngazi ya sheria na wamepata haki yao. Kwa sasa hawa ndio wana haki. The rest is kelele na ujinga wa hawa wadada wa kitanzania
Tueleweni kitu hapa mtumish au mhubiri muongo mwizi wa Sadaka mdanganyifu mwisho wake huwa unafka tu huyu malisa anajiita prophet hapa hamna kitu mwisho wake umekarbia taratibu tu mambo yatakuwa bayana
Wanawake Mungu anawaona, niliwa kulazimishwa na mke wangu, akisema nikamwache kanisani, huku akijua kuwa kanisa haliachanishi ndoa Tena akinisumbua sana
Moja kwa moja wewe mbaba ndiye unavunja ndoa ya Hao watu,wewe ni mtu mbaya sana, Acha kumfundisha kazi Waziri Gwajima,
Yaan hilo tmbo nakuombea sana Mungu akuponye
Dunia imeisha hekima ya kibinadam inaangamiza wanadamu .YESU anakhitaji wewe mnenaji
Ivi uyu anajielewa kweliii 😂😂😂😂 aseeh kwel bora ujiombee mwenyew
Yesu Kristo alituambia tutawatambua kwa matunda yao na pia tuache magugu na ngano vimee pamoja Yesu atakuja kubagua ngano na magugu
Manabii njaa kali sana. Mmeanza kurap kwenye media baada ya kumuasi Mungu.
Hakuna Mungu kwako wala kwa Malisa! Mlinganieni Mungu nawwomba
Mbona unamlaumu huyu kaka wakati anaongea very straight, pia ni kawaida kumchagua mtu unayemuamini kufuatilia TALAKA yako.
Tobaaaaaa anayejiita mtumishi wa Mungu anazidi kuharibu, kujiaibisha
Kwahyo wew nimtumishi wa Mungu 😢 unaongea utumbo sana nakama Malisa anafanya uovu mbona watu wanafunguliwa kwenye kanisa lake kwa upeo wangu kama mtumishi au mtu yeyote mweny Mungu akifanya maovu, Mungu awezi kuwa ndani yke ata hivyo na watu wasingefunguliwa.
Upeo wa mdogo hata shetani anaiga miujiza kaka sio Kila nabii akiponya mtu anakuwa mtumishi wa Mungu Kuna waganga wa kienyeji wanajiita manabii na malisa yumo ndani.Ndio maana umewaambia utawatambua Kwa matunda yao
Goshhh Yani hii Dunia ina Mambo.. I'm floating here.. there's lisa n there's malissa.. uuuweeeeh tz iko na Mambo..
Wanawake wa kileo wanafikirisha sana na sisi vijana tunayo kazi kubwa sana
Ivi bado kuna watu wanaenda kwenye kanisa la uyo baba 😂😂😂😂kah kweli binadamu tumekosa utu wala akili yani mtu mpaka anatia hasira 😢 ivi unajiita mtumishi wa Mungu kisha unakuja kwenye media kuongea vitu kama hivi
Mwisho mba ya Kwa Huduma ya Mungu, Watu Wa Mwamini Nani waende Kwa Nani Kama Watumishi ni hivyo ,tumeangamiza wengi Kwa Namna hii
Mungu atusaidie sana
HUWA NASEMA MBINGUNI KILA MTU ATAKWENDA PEKE YAKE MAMBO YA NDOA NI YAHAP DUNIANI TU .NDIO MAANA WA ASEMA MWILI MMOJA SIO ROHO MOJA😊
HIZO TARATIBU ZA KIMILA ZA KUISHI NA KUZAA NA MWANAMKE MWINGINE HALI NDOA OG IKIWA KWENYE MGOGORO WA MIAKA MITATU. MWILI ULIMSHINDA MTUMISHI🤗
Hivi kma mungu anaweza kumkomboa mtu!? Alishijdwa vipi kumuokoa Nabii!?
Hakuna mtu ajuae ukweli ,there is something behind hapa wanajua wao wanandoa....
Mpaka mwanamke amefikia kuanika mambo hadharani basi ujue kuna tatizo mahali ,all in all Mungu aingilie kati kwa wanandoa wote but njia ya muongo ni fupi
Mungu turehemu! Mungu nifundishe kunyamaza!
Najaribu kufikilia mke wa mtumishi mkubwa Lisa kaiba pafumu ya mtumishi mwingine wa hapo kanisani na kesi ipo ostabey polisi dah!!! Pole dada Lisa uliotungiwa ni mengi lkn Mungu pekee ndio tumaini lako.
Mnaacha kutafuta hela mnashindana na mlikotoka. Wanawake -always handle with care wanafanyaga maamuz yao wakati mwngne kwa kuongozwa na hisia.
Muhurumien mpeni anachotaka apite hivi otherwise mtachafua jina la kanisa na utumish wake.
Kingne elewen huduma hiz Za kiroho zna vita sana pigeni kaz achaneni na kesi.
Nilichokiona hapo huyo Lisa kapata kiburi kisa anatoka na kiongozi mkubwa serikalini.
Kuna baadhi ya waimbaji wa kike wakubwa ndoa zao zimevunjika kisa vigogo wa serikalini wengine ndoa ziliyumba baada ya vikao vingi ndiyo zikatengamaa.
#Mungu_Aturehemu
Hatareeee 😢
Dunia imeisha YESU tusaidie
😂😂😂Makubwaaa chawa Wamtumishi
I wish SNS msirushe vitu hivi. Haya maisha ya ndoa yana changamoto sana. Ukirudi nyuma utakuta hata dada zako na shangazi zako wanapitia hayo. Sasa suala kuyarusha haya yanasaidia nini?
Mbona naongea kama mwijaku au baba levo😀😀
Jamaa kanyoosha sana, story balanced, wanawake muache mihemko ya kishamba japo ndio mmeumbwa hivyo. Huyo dada ni mshamba sana kama alichoongea na kunacho semwa hapa ni kweli . Akafie mbali
Tena akafie mbali kusikojulikana
Jaman Mambo ya ndani anayajua Lisa Sasa mkichangia kwa kumtukana anajua mungu mwenyewe
Sikweli uyu mbaba katumwa
Takataka wewe
Huyo na bii wako malaya
Sheria ilikuwepo kabla yakuja Imani lkin sasa hayupo chini ya Sheria basi hapo yalibid maombi t Kwan kama anaweza kuiludisha ndoa lilizo vunjka kwann yake anakubali ivunjke
Ninawahurumia kondoo wa hili kanisa sijui watakuwa na hali gani kutokana na mgogoro huu wa wazazi wao hawa wa kiroho.Tuwaombee ili jaribu hili liishe ili shetani aaibike na kazi ya Mungu iendelee
Huu ujinga mmeutowa wapi. Kama talaka ilitoka jwa nini isihodhoreshwe na mali walizomgaiwia. Huyu baba si mtumishi mzuri
Duh ila wachungaji wa sikuizi wana tetea adi upuuzi 😢😢😢. Yani muongo mkubwa na ka base upande mmoja ata roho yake ina mshuhudia 😢😢😢🙌🏻🙌🏻
Wewe ndio muongo kweri kweri kwann umetoa hukumu moja kwa moja na ukaamini kuwa ame base upande mmoja
@@garruwsuntilibreaththislif3681 hata kama asinge chukua upande kiongoz wa dini msuluhishi huwez kuja kumwaga vitu vya watu hewani hivi.. kibusara alipaswa kuwaacha wayamwage wenyewe. Hana ethics mwamba 😅
Kama angekuwa ni mtumishi wa Mungu angewaita na sio kuja kuongea ovyo Kama yeye ni mtu mzima anajikanyagakanyaga tu😅
@@garruwsuntilibreaththislif3681
Tushaona msg zenu za grupu nje mitandaoni mumtete mzee wenu😅😅
@@YothamBraitonkweli
Pole Kaka Malisa Nnachojua mm una Mungu moyoni majibu atakupa tu. Hii kama ya Mbasha 😢😢😢
Kamuachamke wake sababua azai
Mwanamke akitaka talaka yake ni haki yake kabisa .Kama hampendi mume wake.kwa Dini y kislam kwenye kitabu kitakatifu Quaran iko sura nzima inazungumzia kuhusu Talaka
Mngefanya maombi kwanxa,hiyo itakuwa ni vita,wa2 wa2 tofauti walisemaga kwa malisa wapo waxee wa kanisa wanaishi gamboshi,huenda wanaharibu ndoa yake.
Ukisoma school of cancelling hurusiwi kufunua mambo ya, washauliwa wako public... Wanaoruhusiwa kuweka undani wao ni wauhusika wenyewe..... HUYU SIYO MSHAURI KABISA... Akutakiwa kuweka kesi ya pufyum.... Huyu aliitwa kumsikiliza Lisa akamgeuka Lisa
Eti apostle mbona huongei ukweli???
Hilo limwanamke lizinzi mke mlakondoo jueni Mungu yupo mtapata shida Sana
Yaani wanaume wa nchi hii wameamua kuwa hivi eeh Mungu wangu linda uzao wa tumbo la mwanamke!!!kitu gani hichi 😊
Ameen
Dada naomba nitafute. Dr. Boniphace
Hakika.Mungu atuponyee
Kwann unamchafua mwenzio chanzo wanajua wao na Mungu Haina haja ya kumchafua wenyewe wapo kimya lakini wewe unamchafua dada wawatu siyo vzur
Kwa haraka haraka hapo alikuwa anamtaka😅😅 mwangali ndevu zake😅
Nilicho kiona hapa huyu bro anajaribu ku mdifendi huyo mume wa lisa...
Nikama ametumwa kuzima moto....bro hujengi unaharibu cv za watu..
Inaonekana jamaa upo hapa kumkandamiza huyo dada ukweli huyo dada anao na wew bro humjui huyo dada kaka anavyo mjua mume wake,acha ushabiki wa kidunia hauto kusaidia mno
Mtumishi wa MUNGU kazingua ndio Mana Mambo yanguu nyeti binafsi Bora nipige goti nimwambie MUNGU watumishi wamekosa HEKIMA hili Swala lilipaswa liwe mchungaji Huyo Malisa na mkewe kuwekana sawa na kama kulimaliza ni kwa HEKIMA sio mchungaji kuachia maisha ya MTU kama hiviiii
Sio sawaaa hapa ndio yale yaliyo tabiliwa kuzidi kwa technology 🎯🎯🎯🎯
Kazi ya Mungu inahitaji MOYO
Ni wito haswaaa
Ni kweli haswaa
Ya Mungu tumuachie yeye. Na ya Kaisali tumpe kaisali. Imeniuma kwakweli kuachana s vzr
Malisa songa mbele mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe. Na ukiwa na kusudi la Mungu ndani yako hata mke anaweza kutumiwa na shetani ili auwe kilicho ndani yako.
Ndoa z kikristo azifagi broo Tena uyo ety n nabii Apo mmoja wao afee kwanz mwngne ndio aoe so n uongo na upuuz kwenda uko ety ndoa mtu kapewa talaka ya kikristo 😔uliskia wap sio kwel 🙌mnatufundisha nn sisi
Haya mashetani na matapeli makubwa mtujuta mbwa nyinyi matapeli makubwa.Mungu anawaona .
Hawa wachungaji wanakuwaga na mapito jamani tuwaombee sana
Kabisa kipenzi sio kuwalaumu nikuwaombea nao wanawindwa na ibilis jamani
Ata ivyo unamzalilisha adi pafium yawizi mnaitaja apo wakati uo pafium bei Gani?
Mtajua wenyewe bhana
Kwa kweli..
Duh utapeli sio poa hukumu zote zilipatikana kata huyo lisa alifika? Na hukumu inatolewa bila mgawanyo wa mali? Huyu jamaa ni noma
Hakuna kitu kibaya kama unafki 😮😮😮
Mi ninachomshauliwa mwanamke ni mapenzi yameisha mali si kitu tafuta upya utapata mali si kitu hauzikwi nayo mtafute Mungu atakupa kila kitu. Mapenzi yameisha. Usije ukatengana na mungu wako kisa kuachana
Hakuna ukweli hapa!
Forensic seers tulishaona, mnachokitafuta ni kufanya defamation tu
Nchi ya dar es salaam e! 😯😯😯😂😂😂
Uongo ukizidi labda😂😂😂
😂😂😂😂😂 unajua ukiongea kitu cha uwongo ndo shida Lisa anahistory huyu kapewa gazet asome😊
Ushauri wangu kwa kusikia leo kwanza majina ya lizza sijui lissa ni ya kukaa nayo mbali sana hawafai kwa umalaya pili mchungaji malisa achana kabisaa na huyu mtu anaitwa lizza km ndoa imevunjwa asikusumbue huyu kinyago oa mke mwingine kabisaa nikuambie tuu ulioa pepo la ngono halifai
😂😂😂
Wanawake wamwogopeni Mungu tu. Izi kesi za ubakaji zimekua fimbo kwa Wanaume wengi haswa wanawake wanapo amua kubadilika . Mimi hapa nilipewa kesi ya ubakaji na mke wangu kisa miradi tuliyo fungua na meneja mmoja wa benki. Malisa akubali yaishe kwa usalama wake na angalie watoto wake . Mke ukuzaliwa nae ni mtoto wa mwenzio siyo wako. Watoto wako ndiyo wakwako. Wanawake wengi ni tatizo haswa kukiwa na mwongozazi kwa picha. Ndiyo maana niliamu kukaa mbali nao. Wengi ni zaidi ya shetani na mashetani. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani kamanda. Amen.
Watoto ni wa mdogo wake Lissa ....waliwachukua kuwalea baada ya mdogo wake kufariki
Yaani baadhi ya wanawake wanastahili kwenda jehanamu,wamejaa wivu,roho mbaya wapumbavu sana
Mimi ni mwanamke , na kesi kama hizi kweeeeli zimekuwepo hasa pale mwanamke anapopata pedeshee , na kwakuwa tumemeonekana kuwa tinanyanyaswa basi tunatumia njia hiyo kuwachapia watoto wa watu wa kiume , tukasahau na sisi tuna watoto wa kiume ,na hiii tabia imekuwapo sana .
Kweli kabixa
Mmmh ndoa hizi
Ongea YAKO unayejiita mtumishi wa mungu iko wazi umesetiwa na upande wa malisa
Lisa hana akili anamwambia mpaka mange maneno ya ndani😅 mwanamke si mtu wa kumuamini,
Nikijua nimesikia yote kumbe Bado ee Mungu baba nifundishe kunyamaza
Huyu siyo mtumishi wa Mungu kabisaa
Kwahio wagawane kanisa 😂😂😂😂
Hamna imani apo bali taamaa tupu ya kidunia wakowapi wakristo wa zamani jamani ?😮
HUO SIO UTUMISHI WA MUNGU WALA UTAALAMU WA USHAURI NI KUCHAFUA TU WATU NA KUWATAKIA MABAYA MUNGU ATUPIGANIE SISI WATUMISHI WA MUNGU TUNAPITIA MENGI SANA
Mmmmh hiiyo ni hatari Malisa angekaa na mkewe watatue hilitatizo lakini watu wapembeni watawaharibia kila kitu hatajulikana yupi mkosaji wayamalize bwana wasameheyane
Wewe baba muogope Mungu
Kama kweli Lisa aliitaka talaka kwa nini hakuhudhuria mahakamani?Nyie waongo wakubwa.Eti Prophet 😅.Nyie ni wapigaji tu,mnatumia matatizo ya watu kupata sadaka.
😂😂😂sijakuelewa kabisa nani aliwaona hao askari wa entapol wakifanya uho ukaguzi😅😅😅😅😅nimecheka kwa nguvu asksri ulienda kuwaita wewe😂😂😂😂
Wewe ushapewa sadaka so Mwishi huujui
Mungu ndo mwamuzi wa mwisho siku si nyingi atatoa majibu , tutajua mwema nani au mbaya nani
Wewe waombee mtu wa Mungu Leo kwao kesho kwako!
Kwahiyo wewe unamfahamu huyo kijana Malisa kuliko mkewe?
Umeonesha upendeleo kwa kuegemea upande mmoja.
Pia umeonesha uliingizwa kwenye sakata hili ki-mkakati na ndiyo maana binti wa watu kakosa Imani na wewe.
Wewe umesema wametengana miaka 3 iliyopita lakini Malisa mwenyewe akiwa wasafi TV amesema wameachana miaka 5 iliyopita!
Mshauri gani ambae anaweza kuja hadharani kutoa Siri za mteja wako kwa kumhukumu?
Jiungeni teteaneni lakini Mungu wetu aonae sirini hataniwi, kwa wakati wake atatenda.
Wanawake Sasa hivi silaha Yao ni kuwachafua watu kwamba wanaingiliwa kinyume Cha maumbile.
Walio kwenye ndoa wana majibu yao, na wenye akili timamu wanajua mpatanishi kwenda kwenye media anatafuta nini,na wanamajibu je ni mpatanishi au vinginevyo.
Msijiite watumishi wa Mungu nyinyi hamuwezi kumtumikia Mungu kamwe ni njaa tu zinawasumhua
Kwani wewe ninani sisi tunataka kumsikia mke sio wewe lazima utamtetea mwanaume mwezako kwendaaaaaaaaaa
Askofu Malisa ameshindwa kutatua mgogoro wa Ndoa yake hadi unaletwa hadhalani hivi? Pesa mwana malevi,Haya ndio matokeo ya sadaka za kujimaliza wametajirika sasa wanagombania mgao.
Kwanza wewe ni nani mshenga ,msimamizi wa ndoa ,au msemaji wa ndoa hiyo na kwa nini sasa jambo la ndoa ya watu lizungumziwe kwenye media wakati wewe sio muhusika wewe ni muhuni kama wahuni wengine toka hapa
Kama ni huyo mtumishi haina haja ya kumsema waombeni tuu Mungu ndio jibu lao huyu akaye pembeni haeleweki
Mimi naamini nikweli kwasababu malisa alikuja arusha miaka 10 iliyo pita akasema tuchukuwe bahasa, na kuna bahasa za lk 5,3,2,1 na elf50 nilikuwa namasha yachting nikatowa nilicho fanikiwa hakuna sitakaaa nisahau matapeli sana hao manabiiii
Sina hakika kama huyu nimtumishi wa Mungu
Ukitaka kujua level ya Ignorance ya wanawake wa kitanzania soma comments zao humu. Mshaurini huyo dada na sio mihemuko kama anahitaji haki anapaswa kwenda kwenye vyombo vya sheria. Wenzie leo wapo sahihi wameenda kwenye ngazi ya sheria na wamepata haki yao. Kwa sasa hawa ndio wana haki. The rest is kelele na ujinga wa hawa wadada wa kitanzania
Umeona yani full mihemko me najiuliza kaenda kwa mange kufanya nn sheria sizipo 😂😂
Malisa anahonga mahakama
We mtet3 mla sadaka lait Lisa angekuwa mbaya angembwa tangia analala jalalan lazima aumie kuongea
Sure
Kwahyo akatae nyumba na baadae akaibe perfyum hiyo bei gani.......mnajificha kwenye kichaka cha kanisa ili kutenda uhuni
HAUJASEMA WALICHUMA NINI KTK NDOA YAO.KAZI YAKO ILIKWISHA WACHA SERIKALI IFANYE KAZI YAKE SASS
Tueleweni kitu hapa mtumish au mhubiri muongo mwizi wa Sadaka mdanganyifu mwisho wake huwa unafka tu huyu malisa anajiita prophet hapa hamna kitu mwisho wake umekarbia taratibu tu mambo yatakuwa bayana
Yaan hata me naweza nikawa kama malisa. Kuna kenge mnafanikiwa bila kujua mmefanikiwa vipi
Wewe umjui malisa mkewe ndo anamjua vizuri
Huyu mbona ni kama chawaa jamani
Ukweli askofu hatakiwi kuwa mtu asiye na lawama na mawaa Sasa kanisa ligawanywe Kwa sababu yatamaa ya sadaka za watu
Ndo maana yesu alisema huwezi kutumikia mabwana wawili Mali mke watoto na KAZI ya mungu ona Sasa yanayotokea aibu tupu
Siku zote shetani hutumia watu dhaifu kuangusha huduma za mungu ,Nahis pia huyo lisa alitumiwa .
Huyu baba simtu mzuri
Kwnn unafatilia ww hayo yotee nia yko nnn 😂😂😂😂umefanikiwaa😅😅😅😅
Me mke wangu nimemtoa bar na tunapendana na nina aman nae! Kikubwa ukombozi
Huyo mama kadanganywa sababu ya hizo Mali walizochuma na malisa ili wagawane
Toka pepo
Mbona msuluhishi ni kama amechagua upande😅?
Huyo dada kapata bwana mtombaji mzuri.haya makanisa niyakuchoma Moto
Yaan hata mtengeneze uongo sis tupo pmj na lisa hyo malisa kwa muonekano n mlev na mvuta bang
Ushawahi kusikia ananuka pombe?
Ndio