Ukweli Kuhusu NABII MALISA kutelekeza MKE na MTOTO/Aliyekuwa MKEWE AUMBULIWA
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Anahitajika maombi sana huyo mama. Hajielewi. But IPO siku Mungu atamfungua ufahamu wake
Huyu baba ni maneno yake hayaeleweki, ni uongo mtupu . Sikiliza vizuri utaona malisa anasafishwa tu
Muda ni shaidi mwaminifu sana tutulie tutapata majibu sahihi ndizi na maganda tuta yajua
Ila yule dada hawez kuiba perfume bna ata kama simjui,unaonekana kabisa unaeleza uongo ili kujitetea
Wewe njaa tu
Mm namlaumu mke wa malisa kukubali kudanganywa na mama yake mpk kwenda kwa waganga kutafuta mtoto, na alionywa. Zaidi ya mara 3. Sasa alichokitafuta ndio amekipata unawezaje kwenda kwa mganga wakati wewe ni mke wa mtumishi!;,..
Mbona unakomalia sana Mtumishi?...acha mambo ya wanandoa wayamalize wenyewe, Nina uhakika hufahamu walikutana wapi? Kwa Nini waliamua kukaa pamoja n.k, hata hayo uliyoelezwa yote kuna uwezekano mkubwa ni uongo mtupu.
Wew baba katafutee helaa achaa mambo ya kikee hatukuerewii
Wewe nipepo mtimwemaa upigwa mawee
Nashukuru maombiyako wakati umekuja makambako Mimi nipomafinga
Kesi hapa inatokea wapi. Walikutana wenyewe wewe hukuwepo,wacha wamalizane wenyewe.
Mpenzi wake au mke wake
Haki pesa imebeba ina nguvu. Pesa inaondoa haki hata kwa wanaojiita wanadini wa kibongo movie. Yaani huyu kanisani kwakwe sikanyagi.
Hata mie
Wew umee tumwaa
Sema malisa alihama nyumbani kwake kuhamia kwa mshirika wake na wakazaa nje pia malisa na lisa ni mke na mume mpz wake why?
Yaaaan kiukweli unamshawishi mtu kutoa talaka badala ya kuwapatanisha???
Mnafki mkubwa umepewa maokoto
Msimchafue mtumishi wa mingu
Msemaji wa Malisa..why kalileta public
Malisa gani mnaemuongelea msichafue majina ya manabii
Acheni kutafuta kiki za kijingaa kwa kuwapondaa watumishi wa mungu