Ukweli Kuhusu NABII MALISA kutelekeza MKE na MTOTO/Aliyekuwa MKEWE AUMBULIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Комментарии • 22

  • @Triphonia-e9w
    @Triphonia-e9w Год назад +1

    Anahitajika maombi sana huyo mama. Hajielewi. But IPO siku Mungu atamfungua ufahamu wake

  • @TaraSybil-d8h
    @TaraSybil-d8h Год назад +2

    Huyu baba ni maneno yake hayaeleweki, ni uongo mtupu . Sikiliza vizuri utaona malisa anasafishwa tu

  • @jeniphermwani1867
    @jeniphermwani1867 Год назад

    Muda ni shaidi mwaminifu sana tutulie tutapata majibu sahihi ndizi na maganda tuta yajua

  • @neemafidelis8406
    @neemafidelis8406 Год назад

    Ila yule dada hawez kuiba perfume bna ata kama simjui,unaonekana kabisa unaeleza uongo ili kujitetea

  • @godwinmwasamila5337
    @godwinmwasamila5337 Год назад +1

    Wewe njaa tu

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 11 месяцев назад

    Mm namlaumu mke wa malisa kukubali kudanganywa na mama yake mpk kwenda kwa waganga kutafuta mtoto, na alionywa. Zaidi ya mara 3. Sasa alichokitafuta ndio amekipata unawezaje kwenda kwa mganga wakati wewe ni mke wa mtumishi!;,..

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 Год назад

    Mbona unakomalia sana Mtumishi?...acha mambo ya wanandoa wayamalize wenyewe, Nina uhakika hufahamu walikutana wapi? Kwa Nini waliamua kukaa pamoja n.k, hata hayo uliyoelezwa yote kuna uwezekano mkubwa ni uongo mtupu.

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Wew baba katafutee helaa achaa mambo ya kikee hatukuerewii

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Wewe nipepo mtimwemaa upigwa mawee

  • @fredyngilangwa
    @fredyngilangwa Год назад

    Nashukuru maombiyako wakati umekuja makambako Mimi nipomafinga

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg Год назад

    Kesi hapa inatokea wapi. Walikutana wenyewe wewe hukuwepo,wacha wamalizane wenyewe.

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati Год назад

    Mpenzi wake au mke wake

  • @jmwaka9316
    @jmwaka9316 Год назад +1

    Haki pesa imebeba ina nguvu. Pesa inaondoa haki hata kwa wanaojiita wanadini wa kibongo movie. Yaani huyu kanisani kwakwe sikanyagi.

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Wew umee tumwaa

  • @godwinmwasamila5337
    @godwinmwasamila5337 Год назад

    Sema malisa alihama nyumbani kwake kuhamia kwa mshirika wake na wakazaa nje pia malisa na lisa ni mke na mume mpz wake why?

  • @lucianagodson437
    @lucianagodson437 Год назад

    Yaaaan kiukweli unamshawishi mtu kutoa talaka badala ya kuwapatanisha???

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Год назад +1

    Mnafki mkubwa umepewa maokoto

  • @Notfesto
    @Notfesto 5 месяцев назад

    Msimchafue mtumishi wa mingu

  • @pauljohn1411
    @pauljohn1411 Год назад

    Msemaji wa Malisa..why kalileta public

  • @happinessdanielm
    @happinessdanielm 11 месяцев назад

    Malisa gani mnaemuongelea msichafue majina ya manabii

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Acheni kutafuta kiki za kijingaa kwa kuwapondaa watumishi wa mungu