SWALI GUMU ALILOULIZWA RAIS SAMIA IKULU YA SOUTH AFRICA KWA KISWAHILI CHEKI ALIVYOLIPANGUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 101

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Год назад +6

    Ila mama anajitahid Sana kiukwel tuachen chuki za kijinga,anajitahid Sana anawazid ata wanaume .kwanza hateterek ametulia

  • @husseinguga2701
    @husseinguga2701 Год назад +1

    Tangu tupate uhuru 1961 adi leo hatujawezaga kutatua tatizo la umeme😰😥😥😥😥😥😥😥 God is watching You all tanzanian politicians. SHAME ON US😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥

  • @binobino9078
    @binobino9078 Год назад +6

    Wewe hatutaki maswali magumu kwa mama yetu, asante mama

  • @nicksonmremi3412
    @nicksonmremi3412 Год назад +3

    Mama amenifrahisha kwelii amejibu kwa ukakamavu wa Hali yajuu Sana Amiri jeshi mkuu wetu Viva Viva mama vivaaa

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Год назад +5

    Sawa mama umewajibu vizuri congratulations 🎉

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +3

    Mama unatuwakilisha vema kabisa…❤️🇹🇿🙏🏾🤝

  • @ludigomhagama4023
    @ludigomhagama4023 Год назад +8

    Asante rais Mama Samia. Kwa kuongea kiswahili. Tunatakiwa kudumisha kiswahili kama wachina, warusi na wengine wanavyodumisha lugha zao big up

    • @nuranzubail8134
      @nuranzubail8134 Год назад +1

      Uchumi ndo unatuangusha ili lugha yako iwe strong lazima uwe strong

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      @@nuranzubail8134mbona wachina Lugha yao cyo strong but uchumumi wao strong sana??

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola2457 Год назад +1

    Mama piga kiswahili mpaka waelewe kwamba kiswahili ndio lugha yetu.

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Год назад +2

    Kiswahili kitamu sana, kinastahili kuwa lugha ya AFRIKA!

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 Год назад +5

    ❤❤UMEONGEA VIZURI SANA TUNAFANYA PEACE KEEPING BAINA YA HAO MAGAIDI KWA MAZUNGUMZO SIYO KUPIGANA.VIZURI MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @Wakwetujitu
      @Wakwetujitu Год назад

      Kupiga mwingi anapga mama ila Sasa kiswahili hapa kwetu enyewe haitumiki kama inavyo sitahili

  • @abubakaryduma5374
    @abubakaryduma5374 Год назад +3

    As TANZANIANS we will continue make peace keeping by settle on the table and discus between two sides. Hususani kwa majirani zetu....!! SAFI sana Mama umeupiga mwingi

  • @twahirabasi9765
    @twahirabasi9765 Год назад +3

    Mama anajua, tena anajua kwelikweli.

  • @omarbuud-tc4jj
    @omarbuud-tc4jj Год назад

    Dah kaka Ww unaweza kwanza hukua mchoyo umetumia lugha zote mbili ili kwa yule asiejua kingereza nayeye apate kuelewa kweli Ww umeiva muandish anatakiwa awe hvyo sio walewasio jiongeza great for good job my brother peace on you

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Год назад +1

    Duuh mama anaakili nzuri huyu ni balaa

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 Год назад +3

    Well responding madame president

  • @saidmrisho9339
    @saidmrisho9339 Год назад

    Mama kwenye maswali ya essay sidhani kama kunamwalimu ulimuachia marks. Naona umejibu mpaka vyaziada

  • @daynessmsigala6636
    @daynessmsigala6636 Год назад +3

    Nani kama Mama❤..

  • @emmanuelmwakyusa8206
    @emmanuelmwakyusa8206 Год назад

    MUNGU NI FUNDI KWA KWELI MAMA SAMIA NI ZAWADI YA WATANZANIA WOTE TUNAKUELEWA MAMA

  • @ahmadkazema1055
    @ahmadkazema1055 Год назад +3

    Africa now has realise,no one wants to help it rather than it self ..we need to colaborate with ones who respect us..

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 Год назад +1

    Ila Mama shupavu sana anajitahid kila eneo sio maendeleo,demokrasia,katiba ,diplomasia, nk nk tumpe moyo tusimkatishe tamaa

  • @AdrianoGwamaka-xh3uy
    @AdrianoGwamaka-xh3uy Год назад

    Msifanye mazungumzo na magaidi

  • @emmanuelmwakyusa8206
    @emmanuelmwakyusa8206 Год назад +1

    excellent mama you re very smart in every aspect of leadership Tanzanians are proud of you

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +2

    🔥nacheka mafosa unasikia kiswahili naona unamwangalia sana mama yetu

  • @salummnyumba4340
    @salummnyumba4340 Год назад +1

    MAMAAAAAAA MAMAAAAAAA!!!
    MITANO TENAAAA

  • @issashebe11
    @issashebe11 Год назад +2

    Hongera Mama kazi iendelee

  • @rashidsalum4689
    @rashidsalum4689 Год назад +5

    Safi sana Bimkubwa, wachape Kiswahili mpaka wa bloo.hongera Rais wetu.

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Год назад +1

    Umeme ndiyo shida, kuna mgao kila siku. No solutions

  • @SAMUELWERE-q7v
    @SAMUELWERE-q7v 4 месяца назад

    mama, wewe ni maktaba hai

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau1586 Год назад +2

    Mama huyo 💯💯💪

  • @godfredmbanyi5389
    @godfredmbanyi5389 Год назад +2

    How can EAC solve the DRC conflict, while one member State supports M23?

    • @underratedspirit
      @underratedspirit Год назад

      That’s what i understood too,do you think it’s not possible?!

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      Exactly,That one member is a parasite in this EAC..

  • @muddyso1953
    @muddyso1953 Год назад +1

    Mwenyezi Mungu atujalie Daima hakika huu ni wakati wetu Afrika huu ni wakati Tusihofu tumtangulize Mwenyezi Mungu tusimame tuwe pamoja kweli si kwa maneno na tusiwaogope hao sio Mungu tumuogope Mwenyezi Mungu ninawapongeza woote

  • @maynshoo3924
    @maynshoo3924 Год назад +5

    POWERFUL, BRILIIANTLY AND VERY INFORMED ALL ISSUES - BIGUP

  • @mathayoyohana479
    @mathayoyohana479 Год назад +1

    Mama samia ongera sana mama yetu tunafurahi sana mama samia

  • @shedycheyo4140
    @shedycheyo4140 Год назад

    Kiswahili ni lugha tamu sanaaaa. Najivunia kuwa mtanzania

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 Год назад +1

    Mama wahanja ww noma haya kila la kher

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 Год назад +5

    Ninafurahi kiswahili kuzungumzwa nje, lakini tukubali kutorasimisha kiingereza, lugha ya dunia kibiashara na kimahusiano tulifanya makosa, Tanzania imekuwa kisiwa kwa sababu ya language barrier hii, tumewanyima watu wetu uwezo wa kuziendea fursa za kimataifa

    • @officialtaslima5409
      @officialtaslima5409 Год назад

      Kabisa brother

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

      Mawazovfinyu

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Год назад

      @@emmanuelmlowe-ew7gx kasema ukweli ndugu zetu wanataka kushirikiana na wenzao wa nj'e lakin lugha kikwazo tunajikuta hata yale mazao ambayo tungepata soko kupitia wenyeji wa huko inashindikana kutokana na kutokuweza kuzungumza ana kwa ana

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Год назад

      Ukiwa ndani ya bongo nivigum kulifaham jambo hilo ila ukitoka ndo utajua kuwa kunaulazima wa kuisoma lugha ya kiingereza hao wegeni wakija bongo asilimia kubwa ya wa tz huwa tunawaonyesha tu tabasam lakin mazungumzo hakuna mnatabasabiana kila anapopita mwusho wa siku anaondoka bila kuzungumza na watu aliowatembelea sasa hapo furusa ziko wapi zaid ya hivyo vichenji vidogo alivyowaachia serikali

    • @officialtaslima5409
      @officialtaslima5409 Год назад

      @@emmanuelmlowe-ew7gx Umepinga wazo lake kwa ufupi Sana direct wewe ndo nimegundua hujawah kutoka nje ya mipaka na hapa ulipo mizunguko yako inakukutanisha na watu wale wale,ipo siku utaelewa anachomaanisha! Hii Kama umepita shule kwa walio soma kitambo kidogo,shule ya msingi somo la English ndo lilijitegemea miaka 7 yote,ukianza form one unakutana na masomo yote kingereza,kiswahili kinajitegemea..hv hujui waga tunafaulu kwa nusura ya Mwenyezi Mungu tu!!

  • @komanyomaduhu6123
    @komanyomaduhu6123 Год назад

    I love u with more rezon

  • @KenediSwai-jd8cg
    @KenediSwai-jd8cg Год назад +2

    MAMA umeupiga mwingi sanaaa. Presha ilitaka kupanda ila imeshuka kiwango sahihi kwa kutumia KISWAHILI, nimefurahia saaanaaa Rais wangu, endelea kukuza na kuendeleza LUGHA yetu, ndio tunu yetu.

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Год назад

      Pole sana kwa presha ila isishuke sanaaaa kaka kwa faida ya wengine

    • @Wakwetujitu
      @Wakwetujitu Год назад

      Hakuna kinacho kuswa hapa yaani unawambia watu waongee kiswahili angali huku unawandikia English kwenye makaratasi yasheria na vinginevyo hospitali ukienda unashindwa kusomabpahali kwasababu imeandikwa kwa English umeikuza ama siyokweli hatuipendi lugha yetu

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Год назад

    Kwanza tudumishe Muungano wa mataifa ya Afrika Mashariki. Halafu jumuiya lilo hilo itaendelea na mahusiano mwafaka katika SADC.

  • @teddydeo8460
    @teddydeo8460 Год назад

    Sijamuelewa

  • @alvinbenito5243
    @alvinbenito5243 Год назад

    Kitu kikubwa kikiondolewa ambacho ni selfishness na corruption, hakuna bara lita kuwa na nguvu kama Africa, nafikiri kila mtu anaona baraka tulizonazo but tatizo kubwa liko hapo tu,wengi wao viongozi wananunulika sana kuhujumu Africa.

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Год назад +1

    Nawapata nikiwa mozambiki maputo

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 Год назад +1

    Tanzania tunateseka na Giza wewe unaenda kura Bata sauzi tu amakwelihuku ndoo kuupiga mwingi

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 Год назад

      Wewe ungeenda ukajibu hayo maswali basi kama kukaa tu Nchini ni sifa,Wewe unadhani Rais hasipo fanya ziara katika Mataifa ya Nje hata umeme utawauzia wakina nani bila kuwatangazia?Mazao tunayoyalima,mipunga na kila kitu tutawauzia wakina nani?Ziara ya Rais ni lazima kikatiba na ni muhimu katika kujenga mausiano kati yetu na Mataifa mengine.Rais ni kiongozi mkubwa hawezi kuzidiwa na wafanyabiashara binafsi wanatembea katika Mataifa mbalimbali kutafuta fulsa za kibiashara sembuse Rais,shida ya watu wengi afya ya akili ni tatizo kubwa,mtu anakaa tu kisha anakurupuka kukoment vitu bila hata kufikiria vizuri au hata kuisoma katiba na kuona kama Kiongozi kakosea au kapatia kinyume chake ni lawama.

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 Год назад +2

    Hii hydro power kweli tutapata ukombozi kamili wa umeme! kumbuka mabwawa hutegemea mvua, je tumefanya ahadi na Mungu katika hili? Nashauri wataalamu wetu waendelee kuumiza vichwa katika hili suala la umeme, au mumesahau kile kipindi cha ukame wakati wa Mkapa?

    • @moudys
      @moudys Год назад

      Sawa nitalishughulikia😊

    • @salamamsheh7985
      @salamamsheh7985 Год назад

      sisi wajibu wetu tushaufanya mengine tumuachie mungu maswala ya ukame sijui nn sisi miundombinu iendelee tu.

    • @edwinmbelle4207
      @edwinmbelle4207 Год назад

      Tujitahidi kupanda miti mungu anamsaidia anayejisaidia 😅😅😅

  • @iribagizaalex-mh4rn
    @iribagizaalex-mh4rn Год назад

    Hakuna Nchi ilio ongozwa na female ikasonga mbele.

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Год назад

    Kheri ishallah baraka tele, hongera sana Raisi wetu mpendwa ❤

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Nice

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc6705 Год назад +2

    SAMIA IS EXCELLENT

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 Год назад +1

    Mama yupo juu yao sanaa

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 Год назад

    I proud of you my President,❤👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Год назад

    Hivi CHANNEL AFRIKA SWAHILI SERVICE bado ipo ?
    I kept listening to it 30 years ago when I was young boy sending my letters to to it and posting back to me cards pens , stickers etc.

  • @alihamad6046
    @alihamad6046 Год назад +1

    Rama kaduah na swanlish

  • @mandileykiritokangai3042
    @mandileykiritokangai3042 Год назад +1

    Thank you mama God bless you

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Год назад +1

    Good Qn

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Год назад

    Nampenda (admire) Rais wetu, Dr Samia

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @EagleCrown-pb9qv
    @EagleCrown-pb9qv Год назад

    Safi mama🦅🙏🏿🥰🇹🇿

  • @luganokapologwe4636
    @luganokapologwe4636 Год назад

    𝗏𝖾𝗋𝗒 𝖻𝗋𝗂𝗅𝗅𝗂𝖺𝗇𝗍 𝗆𝖺𝖽𝖺𝗆 𝗉𝗋𝖾𝗌𝗂𝖽𝖾𝗇𝗍

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Год назад

    una akili we mama, barikiwa sn

  • @emmanuelzephania989
    @emmanuelzephania989 Год назад

    Tunakamilisha lin jmn

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад

    Viva mama🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @kapange444
    @kapange444 Год назад

    hongera

  • @oscarkalerhe1260
    @oscarkalerhe1260 Год назад

    Swali nzuri saaana

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад

    Mafosa naye kasikia na kuelewa Big up

  • @isaackibuga178
    @isaackibuga178 Год назад +1

    uchawa tu wa wakoloni..na ole ajichanganye akubali mambo ya usodomy

  • @kakazkanda
    @kakazkanda Год назад

    👁️👁️

  • @saidimponda9037
    @saidimponda9037 Год назад

    Nimefulahi sana kuongea kiswahili

  • @andersontibendelana7800
    @andersontibendelana7800 Год назад +3

    Mama unazura wakat nch haina umeme

  • @zackothman1463
    @zackothman1463 Год назад +3

    We mwanamke endelea kuzurura

    • @mkude
      @mkude Год назад +3

      Watu kama nyinyi hampaswi hata kujibiwa kwasababu ni washamba saanaaa

    • @mackymneney9935
      @mackymneney9935 Год назад

      Salute sana Mama umetulia majibu yako ni bora sana Inshaala Mwenyezi Mungu akutangulie.

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 Год назад

      @@mkude ..Huyu ni zaidi ya Mshamba..!!