As TANZANIANS we will continue make peace keeping by settle on the table and discus between two sides. Hususani kwa majirani zetu....!! SAFI sana Mama umeupiga mwingi
Dah kaka Ww unaweza kwanza hukua mchoyo umetumia lugha zote mbili ili kwa yule asiejua kingereza nayeye apate kuelewa kweli Ww umeiva muandish anatakiwa awe hvyo sio walewasio jiongeza great for good job my brother peace on you
Mwenyezi Mungu atujalie Daima hakika huu ni wakati wetu Afrika huu ni wakati Tusihofu tumtangulize Mwenyezi Mungu tusimame tuwe pamoja kweli si kwa maneno na tusiwaogope hao sio Mungu tumuogope Mwenyezi Mungu ninawapongeza woote
Ninafurahi kiswahili kuzungumzwa nje, lakini tukubali kutorasimisha kiingereza, lugha ya dunia kibiashara na kimahusiano tulifanya makosa, Tanzania imekuwa kisiwa kwa sababu ya language barrier hii, tumewanyima watu wetu uwezo wa kuziendea fursa za kimataifa
@@emmanuelmlowe-ew7gx kasema ukweli ndugu zetu wanataka kushirikiana na wenzao wa nj'e lakin lugha kikwazo tunajikuta hata yale mazao ambayo tungepata soko kupitia wenyeji wa huko inashindikana kutokana na kutokuweza kuzungumza ana kwa ana
Ukiwa ndani ya bongo nivigum kulifaham jambo hilo ila ukitoka ndo utajua kuwa kunaulazima wa kuisoma lugha ya kiingereza hao wegeni wakija bongo asilimia kubwa ya wa tz huwa tunawaonyesha tu tabasam lakin mazungumzo hakuna mnatabasabiana kila anapopita mwusho wa siku anaondoka bila kuzungumza na watu aliowatembelea sasa hapo furusa ziko wapi zaid ya hivyo vichenji vidogo alivyowaachia serikali
@@emmanuelmlowe-ew7gx Umepinga wazo lake kwa ufupi Sana direct wewe ndo nimegundua hujawah kutoka nje ya mipaka na hapa ulipo mizunguko yako inakukutanisha na watu wale wale,ipo siku utaelewa anachomaanisha! Hii Kama umepita shule kwa walio soma kitambo kidogo,shule ya msingi somo la English ndo lilijitegemea miaka 7 yote,ukianza form one unakutana na masomo yote kingereza,kiswahili kinajitegemea..hv hujui waga tunafaulu kwa nusura ya Mwenyezi Mungu tu!!
MAMA umeupiga mwingi sanaaa. Presha ilitaka kupanda ila imeshuka kiwango sahihi kwa kutumia KISWAHILI, nimefurahia saaanaaa Rais wangu, endelea kukuza na kuendeleza LUGHA yetu, ndio tunu yetu.
Hakuna kinacho kuswa hapa yaani unawambia watu waongee kiswahili angali huku unawandikia English kwenye makaratasi yasheria na vinginevyo hospitali ukienda unashindwa kusomabpahali kwasababu imeandikwa kwa English umeikuza ama siyokweli hatuipendi lugha yetu
Kitu kikubwa kikiondolewa ambacho ni selfishness na corruption, hakuna bara lita kuwa na nguvu kama Africa, nafikiri kila mtu anaona baraka tulizonazo but tatizo kubwa liko hapo tu,wengi wao viongozi wananunulika sana kuhujumu Africa.
Wewe ungeenda ukajibu hayo maswali basi kama kukaa tu Nchini ni sifa,Wewe unadhani Rais hasipo fanya ziara katika Mataifa ya Nje hata umeme utawauzia wakina nani bila kuwatangazia?Mazao tunayoyalima,mipunga na kila kitu tutawauzia wakina nani?Ziara ya Rais ni lazima kikatiba na ni muhimu katika kujenga mausiano kati yetu na Mataifa mengine.Rais ni kiongozi mkubwa hawezi kuzidiwa na wafanyabiashara binafsi wanatembea katika Mataifa mbalimbali kutafuta fulsa za kibiashara sembuse Rais,shida ya watu wengi afya ya akili ni tatizo kubwa,mtu anakaa tu kisha anakurupuka kukoment vitu bila hata kufikiria vizuri au hata kuisoma katiba na kuona kama Kiongozi kakosea au kapatia kinyume chake ni lawama.
Hii hydro power kweli tutapata ukombozi kamili wa umeme! kumbuka mabwawa hutegemea mvua, je tumefanya ahadi na Mungu katika hili? Nashauri wataalamu wetu waendelee kuumiza vichwa katika hili suala la umeme, au mumesahau kile kipindi cha ukame wakati wa Mkapa?
Hivi CHANNEL AFRIKA SWAHILI SERVICE bado ipo ? I kept listening to it 30 years ago when I was young boy sending my letters to to it and posting back to me cards pens , stickers etc.
Ila mama anajitahid Sana kiukwel tuachen chuki za kijinga,anajitahid Sana anawazid ata wanaume .kwanza hateterek ametulia
Tangu tupate uhuru 1961 adi leo hatujawezaga kutatua tatizo la umeme😰😥😥😥😥😥😥😥 God is watching You all tanzanian politicians. SHAME ON US😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥
Wewe hatutaki maswali magumu kwa mama yetu, asante mama
Mama amenifrahisha kwelii amejibu kwa ukakamavu wa Hali yajuu Sana Amiri jeshi mkuu wetu Viva Viva mama vivaaa
Sawa mama umewajibu vizuri congratulations 🎉
Mama unatuwakilisha vema kabisa…❤️🇹🇿🙏🏾🤝
Asante rais Mama Samia. Kwa kuongea kiswahili. Tunatakiwa kudumisha kiswahili kama wachina, warusi na wengine wanavyodumisha lugha zao big up
Uchumi ndo unatuangusha ili lugha yako iwe strong lazima uwe strong
@@nuranzubail8134mbona wachina Lugha yao cyo strong but uchumumi wao strong sana??
Mama piga kiswahili mpaka waelewe kwamba kiswahili ndio lugha yetu.
Kiswahili kitamu sana, kinastahili kuwa lugha ya AFRIKA!
Kwasababu kina maneno mengi ya kiarabu
❤❤UMEONGEA VIZURI SANA TUNAFANYA PEACE KEEPING BAINA YA HAO MAGAIDI KWA MAZUNGUMZO SIYO KUPIGANA.VIZURI MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kupiga mwingi anapga mama ila Sasa kiswahili hapa kwetu enyewe haitumiki kama inavyo sitahili
As TANZANIANS we will continue make peace keeping by settle on the table and discus between two sides. Hususani kwa majirani zetu....!! SAFI sana Mama umeupiga mwingi
Mama anajua, tena anajua kwelikweli.
Dah kaka Ww unaweza kwanza hukua mchoyo umetumia lugha zote mbili ili kwa yule asiejua kingereza nayeye apate kuelewa kweli Ww umeiva muandish anatakiwa awe hvyo sio walewasio jiongeza great for good job my brother peace on you
Duuh mama anaakili nzuri huyu ni balaa
Well responding madame president
Mama kwenye maswali ya essay sidhani kama kunamwalimu ulimuachia marks. Naona umejibu mpaka vyaziada
Nani kama Mama❤..
MUNGU NI FUNDI KWA KWELI MAMA SAMIA NI ZAWADI YA WATANZANIA WOTE TUNAKUELEWA MAMA
Africa now has realise,no one wants to help it rather than it self ..we need to colaborate with ones who respect us..
Exactly…
Ila Mama shupavu sana anajitahid kila eneo sio maendeleo,demokrasia,katiba ,diplomasia, nk nk tumpe moyo tusimkatishe tamaa
Msifanye mazungumzo na magaidi
excellent mama you re very smart in every aspect of leadership Tanzanians are proud of you
🔥nacheka mafosa unasikia kiswahili naona unamwangalia sana mama yetu
MAMAAAAAAA MAMAAAAAAA!!!
MITANO TENAAAA
Hongera Mama kazi iendelee
Safi sana Bimkubwa, wachape Kiswahili mpaka wa bloo.hongera Rais wetu.
Umeme ndiyo shida, kuna mgao kila siku. No solutions
mama, wewe ni maktaba hai
Mama huyo 💯💯💪
How can EAC solve the DRC conflict, while one member State supports M23?
That’s what i understood too,do you think it’s not possible?!
Exactly,That one member is a parasite in this EAC..
Mwenyezi Mungu atujalie Daima hakika huu ni wakati wetu Afrika huu ni wakati Tusihofu tumtangulize Mwenyezi Mungu tusimame tuwe pamoja kweli si kwa maneno na tusiwaogope hao sio Mungu tumuogope Mwenyezi Mungu ninawapongeza woote
Kweli kabisa.
POWERFUL, BRILIIANTLY AND VERY INFORMED ALL ISSUES - BIGUP
Mama samia ongera sana mama yetu tunafurahi sana mama samia
Kiswahili ni lugha tamu sanaaaa. Najivunia kuwa mtanzania
Mama wahanja ww noma haya kila la kher
Ninafurahi kiswahili kuzungumzwa nje, lakini tukubali kutorasimisha kiingereza, lugha ya dunia kibiashara na kimahusiano tulifanya makosa, Tanzania imekuwa kisiwa kwa sababu ya language barrier hii, tumewanyima watu wetu uwezo wa kuziendea fursa za kimataifa
Kabisa brother
Mawazovfinyu
@@emmanuelmlowe-ew7gx kasema ukweli ndugu zetu wanataka kushirikiana na wenzao wa nj'e lakin lugha kikwazo tunajikuta hata yale mazao ambayo tungepata soko kupitia wenyeji wa huko inashindikana kutokana na kutokuweza kuzungumza ana kwa ana
Ukiwa ndani ya bongo nivigum kulifaham jambo hilo ila ukitoka ndo utajua kuwa kunaulazima wa kuisoma lugha ya kiingereza hao wegeni wakija bongo asilimia kubwa ya wa tz huwa tunawaonyesha tu tabasam lakin mazungumzo hakuna mnatabasabiana kila anapopita mwusho wa siku anaondoka bila kuzungumza na watu aliowatembelea sasa hapo furusa ziko wapi zaid ya hivyo vichenji vidogo alivyowaachia serikali
@@emmanuelmlowe-ew7gx Umepinga wazo lake kwa ufupi Sana direct wewe ndo nimegundua hujawah kutoka nje ya mipaka na hapa ulipo mizunguko yako inakukutanisha na watu wale wale,ipo siku utaelewa anachomaanisha! Hii Kama umepita shule kwa walio soma kitambo kidogo,shule ya msingi somo la English ndo lilijitegemea miaka 7 yote,ukianza form one unakutana na masomo yote kingereza,kiswahili kinajitegemea..hv hujui waga tunafaulu kwa nusura ya Mwenyezi Mungu tu!!
I love u with more rezon
MAMA umeupiga mwingi sanaaa. Presha ilitaka kupanda ila imeshuka kiwango sahihi kwa kutumia KISWAHILI, nimefurahia saaanaaa Rais wangu, endelea kukuza na kuendeleza LUGHA yetu, ndio tunu yetu.
Pole sana kwa presha ila isishuke sanaaaa kaka kwa faida ya wengine
Hakuna kinacho kuswa hapa yaani unawambia watu waongee kiswahili angali huku unawandikia English kwenye makaratasi yasheria na vinginevyo hospitali ukienda unashindwa kusomabpahali kwasababu imeandikwa kwa English umeikuza ama siyokweli hatuipendi lugha yetu
Kwanza tudumishe Muungano wa mataifa ya Afrika Mashariki. Halafu jumuiya lilo hilo itaendelea na mahusiano mwafaka katika SADC.
Sijamuelewa
Kitu kikubwa kikiondolewa ambacho ni selfishness na corruption, hakuna bara lita kuwa na nguvu kama Africa, nafikiri kila mtu anaona baraka tulizonazo but tatizo kubwa liko hapo tu,wengi wao viongozi wananunulika sana kuhujumu Africa.
Nawapata nikiwa mozambiki maputo
Tanzania tunateseka na Giza wewe unaenda kura Bata sauzi tu amakwelihuku ndoo kuupiga mwingi
Wewe ungeenda ukajibu hayo maswali basi kama kukaa tu Nchini ni sifa,Wewe unadhani Rais hasipo fanya ziara katika Mataifa ya Nje hata umeme utawauzia wakina nani bila kuwatangazia?Mazao tunayoyalima,mipunga na kila kitu tutawauzia wakina nani?Ziara ya Rais ni lazima kikatiba na ni muhimu katika kujenga mausiano kati yetu na Mataifa mengine.Rais ni kiongozi mkubwa hawezi kuzidiwa na wafanyabiashara binafsi wanatembea katika Mataifa mbalimbali kutafuta fulsa za kibiashara sembuse Rais,shida ya watu wengi afya ya akili ni tatizo kubwa,mtu anakaa tu kisha anakurupuka kukoment vitu bila hata kufikiria vizuri au hata kuisoma katiba na kuona kama Kiongozi kakosea au kapatia kinyume chake ni lawama.
Hii hydro power kweli tutapata ukombozi kamili wa umeme! kumbuka mabwawa hutegemea mvua, je tumefanya ahadi na Mungu katika hili? Nashauri wataalamu wetu waendelee kuumiza vichwa katika hili suala la umeme, au mumesahau kile kipindi cha ukame wakati wa Mkapa?
Sawa nitalishughulikia😊
sisi wajibu wetu tushaufanya mengine tumuachie mungu maswala ya ukame sijui nn sisi miundombinu iendelee tu.
Tujitahidi kupanda miti mungu anamsaidia anayejisaidia 😅😅😅
Hakuna Nchi ilio ongozwa na female ikasonga mbele.
Kheri ishallah baraka tele, hongera sana Raisi wetu mpendwa ❤
Nice
SAMIA IS EXCELLENT
Mama yupo juu yao sanaa
I proud of you my President,❤👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Hivi CHANNEL AFRIKA SWAHILI SERVICE bado ipo ?
I kept listening to it 30 years ago when I was young boy sending my letters to to it and posting back to me cards pens , stickers etc.
Rama kaduah na swanlish
Thank you mama God bless you
Good Qn
Nampenda (admire) Rais wetu, Dr Samia
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Safi mama🦅🙏🏿🥰🇹🇿
𝗏𝖾𝗋𝗒 𝖻𝗋𝗂𝗅𝗅𝗂𝖺𝗇𝗍 𝗆𝖺𝖽𝖺𝗆 𝗉𝗋𝖾𝗌𝗂𝖽𝖾𝗇𝗍
una akili we mama, barikiwa sn
Tunakamilisha lin jmn
Viva mama🙏🏻🙏🏻🙏🏻
hongera
Swali nzuri saaana
Mafosa naye kasikia na kuelewa Big up
😂😂😅
uchawa tu wa wakoloni..na ole ajichanganye akubali mambo ya usodomy
👁️👁️
Nimefulahi sana kuongea kiswahili
Lahi
Mama unazura wakat nch haina umeme
Sisi tunao
Wewe kichaa sio bure
@@allymahiyo2464 Wewe ni Kiongozi wa Vichaa na wapumbavu wote.
We mwanamke endelea kuzurura
Watu kama nyinyi hampaswi hata kujibiwa kwasababu ni washamba saanaaa
Salute sana Mama umetulia majibu yako ni bora sana Inshaala Mwenyezi Mungu akutangulie.
@@mkude ..Huyu ni zaidi ya Mshamba..!!