Chief Godlove amfanyia bibi yake surprise, ndiye aliyemlea ‘Alizaliwa na miezi 12 akiwa na meno 2’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 58

  • @princekiwia2216
    @princekiwia2216 День назад +13

    Huyu ana utajiri wowote unashindwa kumjengea ata selfu ya room moja mtu aliye kulea aya maisha yamtandaoni nimeamin nimboyoyo tuu😂😂😂😂😂

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 День назад +1

      Pesa anazo ila za Masharti sana

    • @davisnitu890
      @davisnitu890 День назад

      Tuoneshe wewe kwenu kwanza, kujenga nyumban kwenu siyo lazima ila kujenga kwako ni lazima

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo День назад

      wewe umejengea mama yako Ata Choo???

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 20 часов назад

      hamna kutu ni show off tu😊

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 17 часов назад

      Et jamani me nikajua surprise kamjengea nyumba mpya

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 День назад +3

    Mjengee bibi nyumba nzuri... hiyo sio

  • @SamuelAndrasio
    @SamuelAndrasio День назад +2

    nakukubali sana baba.

  • @HekimaSalama
    @HekimaSalama День назад +3

    Sanaaaa machawaaaaaaaaaaa

  • @Nestoemanuel
    @Nestoemanuel День назад +2

    Hamna tofauti na mazingaumbwe😂😂😂😂shulen

  • @nehemiaambayuu2447
    @nehemiaambayuu2447 День назад +2

    That's good

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 День назад +4

    Ma Babu na ma Bibi wengi hua hawapendi kuhama hata ufanyeje. Wengi hudhani kua ni kukataa kujengea wazazi, kumbe wazee hawa hua na mambo ya kukataa kuhama nyumba ambayo wameishi miaka 50+

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho День назад +3

    Kilo 400 za mchele?? 😯😱Duuh mpaka ataota mpunga kichwani

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 День назад +3

    Bibi anamugopa😂😂

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 День назад +2

    🏠🏫🏫🏰🏰🏰🏫🏫🏘🏘kwanza

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 День назад

    Jenga nyumba nzuri bro...pesa unazodorisha mtandaoni zile nyumba mbovu ivoo duuh!😊😊...mm sina pesa kama ww lkn nakoishi hapafanani na apo kwa bibi ako..

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 День назад

      Pesa za chief sio za kujengea watu bali za kutoa sadaka zingatia alama za nyakati 😂

  • @khamisomar889
    @khamisomar889 День назад

    Never say never

  • @KanotMapesa
    @KanotMapesa День назад +2

    Bibi hana aman kbx

  • @Mtu2011
    @Mtu2011 День назад +1

    Uyo jamaa nim'binafsi anajifikilia yeye mwenyewe ili apate kuongelewa tu.aina aja yakwenda na makamera.

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y День назад +2

    Bibi hamuamini chifu 😂😂😂😂

  • @LucyKanyeghesi-xm9dl
    @LucyKanyeghesi-xm9dl День назад +3

    Mbona kama bibi ana wasiwasi😂

    • @OmieMari-x7d
      @OmieMari-x7d День назад

      Anajua mju kuu wake tapari hatari kwa michezo hatari😂😂

    • @giftmwamalabila
      @giftmwamalabila 6 часов назад

      ​@@OmieMari-x7dhahahahahaha

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 22 часа назад

    PESA ZA MASHARTI NGUMU SANA JAMANI DAAAH 😂😂😂

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 День назад

    Wazeee wengi hawapendi kuhama nyumba zao hataiweje tena ukiwaliisha wanakuwa wakali wao wanapenda kula vizuri na pesa kiduchu za mambo zao

  • @linahtairo1859
    @linahtairo1859 День назад

    Pesa za masharti hatakiwi kufanya maendeleo nyumbani 😂😂

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo День назад +1

    bibi bado anasuka kisasa????

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 18 часов назад

    Pesa ,,za p@k@ ,,,,,hazinaga hasala😁😁😁😁✍️

  • @Kiyama-g8f
    @Kiyama-g8f 8 часов назад

    HOMME KUMECHOKAAA;AU PESA NI MASHARTI HAYO? HATUTAKI BIBI HUYO AUMWE;MAANA HAMKAWIII NINYI HAPO KUFANYA YENU;MAMAE

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh День назад

    Bibi kama haamini,mbona kijana huyo bibi sasa mamako yupoje jamani bibi nywele kama hizo anawaka😂

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 День назад

    Mjengee ata kanyumba

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 День назад +1

    Chakulanacho nikitu chakutangazia ulimwengu tena unampamleziwako

  • @rovisonmashaija3198
    @rovisonmashaija3198 День назад +2

    Niliisi ni surprise ya nyumba sasa magunia ya mkaa ya nn 😅😅

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 День назад +1

      Wazazi wengi wakisha kua hata ufanyeje hawezi kuhama. Mimi nilitaka kumjengea Babu yangu nyumba. Alisema kua yeye anahitaji chakula sio Nyumba. Turidhani ni kutokana na mda, lakini alikataa na kusema kua yeye atafia kwenye nyumba yake na kweli alifia kwenye nyumba yake

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 День назад

      Safi sana ❤​@@barrynzeyimana6270

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 День назад

    Pesa za uchawi inaonekana tu bila kuuliza

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 День назад

    Sasa hivi ni vitu vya kuweka kwa mitandao 😢

  • @tresorkabongo8758
    @tresorkabongo8758 День назад

    Surprise gani sasa na anaishi hapo 🤣🤣na camera za nini sasa mpaka kwa bibi yako

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 День назад +1

    ZINGATIA,BIBI ANAOMBA HAJUI VITU ALIPOVITOA ILA MUNGU NDIO ANAJUA😅

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c День назад

    Mnunulie gas na nyumbani ya kisasa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 День назад

    Watakujibu ni biashara, kama kuna maokoto watafanyaje

  • @KhadijaMasoud-d2z
    @KhadijaMasoud-d2z День назад

    Atumie nishati salama ya gass bwana mkaa vipi atapoteza macho

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 День назад

    SASA HUYU MNATUAMBIA TAJIRI NA KUMNUNULIA VITU BIBIYAKE NI SURPRISE😢

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 День назад

    Unajia SnS you can do better than this bwana. Hivi watu kama huyu mnawapa airtime za nini?Kwahiyo hadithi hii inatufundisha nini? Tuwanunulie bibi zetu majunia ya mkaa? 😂😂 Ni huzuni kwakweli

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 22 часа назад

      Afadhali na wengine mseme, yani SNS sikuhizi wamekosa focus they are all over the place.

    • @zainab8251
      @zainab8251 12 часов назад

      😂😂😂😂

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 День назад

    bibi usiwenashaka uyoni kijanawako mnzuli usiwe nawasiwasinae

  • @Zuuh107
    @Zuuh107 21 час назад

    𝗠𝗺𝗺𝗺𝗵 𝗵𝗮𝘁𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮