Plan ya mtutsi ni kuitawala Africa mashariki na kati yote. Wakuu wetu wa nchi wanaona kama vile target ni Congo pekee😢😢 no, haipo hivo. Akishaikamata Congo atapata hela nyingi za kupitia madini. Ataliimarisha mno jeshi lake na atahamia kwetu. Viongozi wetu wapo usingizini tu😮😮
Watu waliokuwa wanaufatilia huu mgogoro toka kitambo au watu wanachimba sana ndiyo wanajua ubaya wa Kagame lakin wanaufatilia baada ya mgogoro kulipuka tena mwaka huu hawawezi elewa zaidi watasema Kagame wanamsingizia lakin Kagame ni mshenz lengo nikujifanya kama Israel pale Mashariki ya Kati kutaka nchi zinazomzunguka ziwe zinamskiliza yeye au aweke utawala anaoutaka yeye SASA viongozi wa Africa Mashariki inatakiwa wake macho na huyu jamaa licha yakutumika ila hata yeye anampango yake
Uko sahihi kabisa plani ya kagame na mseveni wakishakamata kongo ataingia tanzania baada hapo wataingia kenya na kumalizia burundi. Wakumbuke mtoto wa mseveni alichokisema .
Subirini mtaona mwisho wa mambo atakapo sababisha vurugu yenyewe Burundi maana ni munafiki mkubwa madini yakongo yatamutokea puani hatutamuchelesha kama inavyomukodolea macho congo😂.
Nakupenda rais Wangu 🔥🔥🔥 huyu mwamba wetu Anajuwa nipale tu warundi tunahitaji kuwa kama wao wakati kipindi wao warikuwa wanajijenga sisi huku kwetu kulikuwa machafuko ndomana hapendi viita irudi kwasababu tushaanza kuinuwa inchi yetu kwahali na Mali na musimamizi ni Rais wetu alafu musimamizi Mkuu ni Mungu 🙏🏾🙏🏾❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
@@BUSHASHASWITCH fanya kazi kaka acha kulalamikia serekali Africa ni bara ambalo bado Lina kuwa pia bado kuna fursa nyingi na maitaji mengi , Africa ni sehemu ambayo mtu mwenye ficra za utajiri anaweza kutengeneza pesa nyingi sana .
Paul Kagame ni kibaraka mkubwa wa Nato na US. Nchi ya Rwanda inajengwa na Mali kutoka DRC je ikiwa wewe utakubali ushenzi uendelee!? M23 ni Jeshi la Rwanda wawatoe na sio hivyo nitarudi jeshini mpaka kieleweke.
@@sundaystanley5322Nyie ni mbwa Koko mnamoka tu!! Simjaribu kumtoa !! Rwanda sio nchi wakuchezea tunajua sehemu tulitoka !! Nyie mbweke mumokeee !! Tuko tayari kwa lolote!!
Kagame anjua kua kwa mwaka anapokea luzuku yake kubwa sana toka kwa mamuluki wa ulaya sasa asjalibu kuiletea tz ujinga tutampga hadi tunamleta yeye dar kwanza 😮😮
Kila muhutu bantu mwene akili timam lazima aelewe wakimalizana na DRC Burundi ni next wakimaliza Burundi Tanzania ni next great lakes region inapashwa kuongozwa na kutawaliwa na ilo kabila kama ilivyo Uganda, Kenya Rwanda mark my words, they don’t believe in equality they believe every bantu people was born to serve them they believe they are chosen people of God
Sisi kama warundi tumesha jipanga vijana wote wakirundi tupotayari kupambana nanyinyi magaidi wakinyarwanda ulizeni somalia alshababu hadi leo wapo wapi hata vicocoroni tumewajia kwahio aceni mbwembwe zakitusi mtaweza kweli hata mkiungana
Kwani wale m23 ni watusi au ni raia wa congo wenye asili ya Rwanda? Kama wamakonde wa mtwara na wamakonde wa msumbiji? au masai wa kenya na masai wa tanzania? Mi nafahamu wale Banyamulenge ni raia wa congo ila asili ni yao ni Rwanda na hii imekuja pale ilipogaiwa Rwanda na uganda na burundi na wazungu wakati wa ukoloni na wale Banyamulenge ikabidi wangukie upande wa congo ama sio BANDUGU.
@lilianeerica3318 don't take it personal they all know what they doin'😂 You need to know first how long and heavy it took to stop genocide against tutsi Paul Kagame cannot tolerate any madness and nonsense comes
Kagame ni kinyago chawakoloni ili asambaratishe east africa ili tusiweze kutumia madini yetu Ila wanatumia zakusema kua wanasaidia ati kabila yawatusi wako kongo ila ninjama waliounda nawazungu ili wazue rabsha afrika mashariki ili mipango yote isimame kama sahii wanaona reli kutoka Tanzania ikipitia burundi ikiingia kongo wanaona wachina wamesha chukua madini ndomana wanaanza kesi zawatusi ili mipango isimame
Na watanzania muwe makini sana tena sana yanayotokea Congo yanahusu EAC hasa wakimaliza Congo Burundi na Tanzania zinafata tafuta interview ya Mutikira akisema mpango wa Tutsi impere alisema kwamba na Lowasa ilikuwa anahusika ile ajali yake sio bahati mbaya
Usichokijuwa ni kwamba, watusi waliingia Congo kama wageni, na baada ya hapo wakaanza kudai urahia wa congo kwa kutumia silaa za moto, kitu ambaocho nikinyume na taratibu ya nchi ya RDC. Kumbuka RDC ina makabila zaidi ya 450 na makabila yote hayo wanaishi kwa amani na upendo isipokuwa kabila hili lililotoka rwanda la watusi. Sasa mjuwe kwamba RUTO KAGAME na MUSEVENI ni watusi na nia yao nikutawala Africa mashariki kupitia misaada ya USA na wamagaribi ndio maana walipanda watusi nchini Congo na Burundi. Kwaiyo watusi wakiweza kutawala Congo basi itakuwa ni raisi sana kutawala mataifa mengine ya Afrika mashariki, ndio maana unaona leo hii burundi na Tanzania wanasaidia Congo kupigana vita hii. Ndugu zangu watanzania msifurahie hii vita maana watusi wakiiweza congo tanzania iko hatarini vibaya mno.
Unaijua Burundi 🇧🇮 hata Africa NZIMA inajua iyo inchi haishezaji wawaashie uwanja na inch yoyote kwa vita njo utaijua Burundi 🇧🇮 hainaga ujinga uliza Somalia 🇸🇴 atakwambia
As a proud Burundian 🇧🇮 I'll stand with my president
Thank you Burundi for standing for the truth and justice
Wanasema kagame wanamsingizia. Ivi kila mtu akusingizie wewe kagame ana shida
Brother sky you have a unique style of story telling
Mm nashaur kagame awekewe vikwazo vya kiuchumi atanyooka tu
Shuja wa Amani bravo Ndayishimiye, eeeh Mungu ilinde Burundi proud of you President 👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Merci Mon president Evariste Ndayishimiye🇨🇩
From 🇧🇮 kagame anatumika na wa zungu
President wa burundi sio kibalaka wawazungu kama paul kagame but us burundians tumeamua kumushugulikia hadi kieeleweke
Si kieleweke mbona hamfanyi kitu !! Rwanda ni Danger
Plan ya mtutsi ni kuitawala Africa mashariki na kati yote. Wakuu wetu wa nchi wanaona kama vile target ni Congo pekee😢😢 no, haipo hivo. Akishaikamata Congo atapata hela nyingi za kupitia madini. Ataliimarisha mno jeshi lake na atahamia kwetu. Viongozi wetu wapo usingizini tu😮😮
Watu waliokuwa wanaufatilia huu mgogoro toka kitambo au watu wanachimba sana ndiyo wanajua ubaya wa Kagame lakin wanaufatilia baada ya mgogoro kulipuka tena mwaka huu hawawezi elewa zaidi watasema Kagame wanamsingizia lakin Kagame ni mshenz lengo nikujifanya kama Israel pale Mashariki ya Kati kutaka nchi zinazomzunguka ziwe zinamskiliza yeye au aweke utawala anaoutaka yeye SASA viongozi wa Africa Mashariki inatakiwa wake macho na huyu jamaa licha yakutumika ila hata yeye anampango yake
Uko sahihi kabisa plani ya kagame na mseveni wakishakamata kongo ataingia tanzania baada hapo wataingia kenya na kumalizia burundi. Wakumbuke mtoto wa mseveni alichokisema .
@@anosiata8242I am so happy to see people who understand the politics that is going on.
Source ni wapi hii habari?
@@ce-08kweli
Alafu Kuna watu wako bize Kusema Kagame wanamsingizia😂😂😂
Huwa wanashangaza sanaa aisee.. 😂😂😂
Yaaani huwa siwaelewi kabisa.!😂😂
He is used to violence ,People just pretending while they know the truth
It just their political way to justify their crimes.
@@Bagi873Is it true that Kagame is who is?
Rahisi Wangu ❤❤🇧🇮🇧🇮🙏🏽🙏🏽
Comédien 😂😂
Raisi Evalist songa mbele
@@IbrahimAmaniAl-Husayn comédien😂😂
@@Evangelical_VoiceTV1 Unachokiongea hukijui!!
🎉🎉🎉🇨🇩 tuko na nyinyi ndugu zetu warundi
Ndahushimye ni chuma kweli kweli afadhali umeongea Baba ✊🏽✊🏽✊🏽
M23 force🫡 from Ethiopian 🇪🇹we support you
Jambo la kufurahisha ni kwamba kuna WATU wa Kongo, Rwanda na Burundi na wote wanatumia lugha ya kiswahili kutoa maoni Yao 🙌
Hilo linadhihisha kwamba kiswahili ni lugha nyepesi, yeyote anaweza kuongea
@@BizindavyiNicolasSi jambo jema Hilo?
Rwanda tusipochukuwa hatua mapema Africa mashariki atakuwa tishio. Nivema kungana tumtoe. Huyu nyoko
Huyo kagome wenu ndio sisi kwa hii incii ya warundi sasa subirini tunasubiri tu mayowe nahapo ndio mtageuka wakimbizi
We Ni mjinga sana
Mmalizeni bas wengine tufurahi
@@hamzasimbar3465mnajuwa Kusema tumeshazoea Nyie Fanyeni kweli Sio kubweka tu
❤❤❤❤❤❤❤❤nilikuwa nasubiri iyi abari kwa hamu asante sana Kaka Bundala🎉🎉🎉
Hongera sana Ndaishimiye
Kagame ni wakala wa nchi za ulaya watu wanapiga hela kupitia huo mzozo na kagame ndio wakala wao
Safi Sana huyu ndo mwanaume anaeongea ukweli bila kuogopa
Viva CONGO viva Burundi viva Tanzania
Kwa Burundi 🇧🇮 hawezi Maana anawajua hawanaga ujinga
Wa kwanza leo
Kagame ni mbaya sana
Yuko sahihi kabisa Ndayishimiye kagame ashimamishwe kabisa 😢
Kama anataka kutawala bara la Africa ameyakanyaga,kagame
Kweli kabisa Mr Ndayishimiye
Namsapoti Rais wa burundi,huyu kagame ashughulikiwe
Mseveni na kagame wana mpango kuitawala eastafrica, ndio maana kuna nchi zimeingizwa eastafrica bila kuja madhara yake
Congo ingekuwa na Raïs kama NDAISHIMIE michezo tunayoshuhudia Nchini Congo isingekuepo.
Subirini mtaona mwisho wa mambo atakapo sababisha vurugu yenyewe Burundi maana ni munafiki mkubwa madini yakongo yatamutokea puani hatutamuchelesha kama inavyomukodolea macho congo😂.
Jamani, mshugulukiye kagame
Yangu macho
Shughulikia Mama Ako kwanza
Maneno ya Rais wa Burundi yaweke akilini kagame hana nia njema na EAST AFRICA
Nakupenda rais Wangu 🔥🔥🔥 huyu mwamba wetu Anajuwa nipale tu warundi tunahitaji kuwa kama wao wakati kipindi wao warikuwa wanajijenga sisi huku kwetu kulikuwa machafuko ndomana hapendi viita irudi kwasababu tushaanza kuinuwa inchi yetu kwahali na Mali na musimamizi ni Rais wetu alafu musimamizi Mkuu ni Mungu 🙏🏾🙏🏾❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
@@BUSHASHASWITCH fanya kazi kaka acha kulalamikia serekali Africa ni bara ambalo bado Lina kuwa pia bado kuna fursa nyingi na maitaji mengi , Africa ni sehemu ambayo mtu mwenye ficra za utajiri anaweza kutengeneza pesa nyingi sana .
@@Onge-shabani1994 Asante ndugu yangu Kwa ushauri Wako namimi Niko kazini kama kawaida Yangu 🙏🏾🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤
..peace in East Africa
Ruto na yeye kampigia Rais wa Ufaransa
Kuna mwingine naye kaenda kukemea
Cheki chuma hicho kinatoa mambo wazi..
Huyu kagame ana shida 😅
Mungu wangu
Paul Kagame ni kibaraka mkubwa wa Nato na US. Nchi ya Rwanda inajengwa na Mali kutoka DRC je ikiwa wewe utakubali ushenzi uendelee!? M23 ni Jeshi la Rwanda wawatoe na sio hivyo nitarudi jeshini mpaka kieleweke.
Una bweka au unamoka kenge we
@@RichardRutembesa-ns1kn Kunitukana haiwezi kukusaidia chochote , nijibu kwa hoja kama huwezi , kojoa ukalale
Kagame adhibitiwe
Muda wake umefika… michezo ya juvenile isije ikajirudia…he has to go down!!!
Ukiona ivi juwa kuna anguko kubwa linakuja kwa dictector fulani anaeishi kwa kunywa damu asa za wa congo. Mwisho wake umewadia
Kabisa,siku zote nimekuwa nikisema kagame ataondolewa rwanda kwa kumuua kabisa
@@sundaystanley5322Nyie ni mbwa Koko mnamoka tu!! Simjaribu kumtoa !! Rwanda sio nchi wakuchezea tunajua sehemu tulitoka !! Nyie mbweke mumokeee !! Tuko tayari kwa lolote!!
❤❤❤🇧🇮🇧🇮
Nimeshiba mihogo ngoja nitafute maji ninywe nilale😂
😅😅😂😂
Hii ndio shda kagame kukaa miaka ming madarakan hujiona wanaweza kufanya lolote hata kama ni jambo baya
Kwa kira mruanda kaagame yuko sahiii
@@Uchukhan_amna kitu kama icho ngoja tuone mwisho wake
Urusi alipewa vikwazo milioni moja na laki tatu ,,,mwaka jana huyu mbwaa kagame east Africa wampe vikwazo milion 5,,,
Aisee pk no tatizo
I think ss mwisho wake unaanza
Naona kinakata kinuke mwaka huu😢
Well explained
Warundi Wapo nyuma ya kagame yeye anaogopa kupinduliwa ,kagame mujanja sio Kama ndayishimiye mujinga hana lolote mwizi mukubwa
Président wa Rwanda anataama mbaya
Kabisa, Kagame anatumika vibaya
@@JoeZeno-q1banatumikia nyie au Sisi!! Jiangalie ni nchi zenu
Kagame anjua kua kwa mwaka anapokea luzuku yake kubwa sana toka kwa mamuluki wa ulaya sasa asjalibu kuiletea tz ujinga tutampga hadi tunamleta yeye dar kwanza 😮😮
Uko sahihi bosi
Rais anayevamia nchi nyingine Kwa kutumia vikundi vya wahasi, huo ni ujambazi. Ni vyema akashughurikiwa haraka
Good job ndahiyeshimie
Tusipo mukambili kagame ata fika ata TZ na kenya
Yeye anataka atawale African zima 😢
He is King 👑 mutajuwa soon 🔜 😇
@@marthanyamurama4129 King huko kwenu Rwanda..mnaroho mbaya sana nyie 😂😂😂...watusi wanaroho ya kinyama alaf wanapenda kumiliki
@ utajijuwa sisi tuko sawa na Mungu anatupenda hamutatufanya kitu hata kidogo 😎
Jichanganyeni na kagame wenu muiguse tz mtachapwa na hamtakaa muisahau tz .
King huku bongo amebaki ni king kiba tu kagame ajalibu kutia ugokowake kwenyempaka wowote wa tz aone madini tunayo na harambi hata vumbi
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏Mungu teteya waliyowako baba inataochaaa
Wa Rundi njo wasawa Yao wananyooshanaga sana
# tumekuchoka kagame tutakuludisha kimbali 1994
Shindwa kwajina la yesu
❤❤❤🎉🎉🎉
❤😂😂😂😂😂😂❤
Kagame apigwe
Sky umenikwaza kwanini uweke picha ya huyo munywa damu zawatu na Ndayishimiye? 😂😮
Kila muhutu bantu mwene akili timam lazima aelewe wakimalizana na DRC Burundi ni next wakimaliza Burundi Tanzania ni next great lakes region inapashwa kuongozwa na kutawaliwa na ilo kabila kama ilivyo Uganda, Kenya Rwanda mark my words, they don’t believe in equality they believe every bantu people was born to serve them they believe they are chosen people of God
🙌🙌🙌🙏
Sisi kama warundi tumesha jipanga vijana wote wakirundi tupotayari kupambana nanyinyi magaidi wakinyarwanda ulizeni somalia alshababu hadi leo wapo wapi hata vicocoroni tumewajia kwahio aceni mbwembwe zakitusi mtaweza kweli hata mkiungana
Bravo my country burundi
Burundi 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 one love
Kaka jifunze kutamfiri nasema m23 ikishinda Burundi, Tanzania na ukanda mzima wa Est africa itakuwa usalama mdogo sana
Ujuwa anae tafasiri ni binadamu ivyo anaweza kupitiwa na neno au kukose kidogo
Our President 🇧🇮🇧🇮
Huyu kagame kuna nchi nashuku zinampa support... nashuku ni China
Chaaah kata tamaa We wamarekani wafaransa waingereza unawaacha unaiwaza china watu wanajishuulisha …
🤸
safi sana rwanda inabidi ipirwe kwasababu nijirani mubaya sana
Kagame mbaya sana
Lazima apigwe
Ulete Mama Ako na mbwa zenu zote tuone kama mtaweza
Kama vp zipigwe,kwani wanaogopa Nini?
Mimi sio politicians but we shall see what will happen later. Siegemei popote maana mimi ni raia tu wa kawaida acha wenye politique zao wapambane
Shwaaaa
Kwani wale m23 ni watusi au ni raia wa congo wenye asili ya Rwanda? Kama wamakonde wa mtwara na wamakonde wa msumbiji? au masai wa kenya na masai wa tanzania? Mi nafahamu wale Banyamulenge ni raia wa congo ila asili ni yao ni Rwanda na hii imekuja pale ilipogaiwa Rwanda na uganda na burundi na wazungu wakati wa ukoloni na wale Banyamulenge ikabidi wangukie upande wa congo ama sio BANDUGU.
Ndayish ni mbwembwe tuu na kuongea saaana Apiganiye nchii yak kwanza😢😢
@@legendnationtv4950 😂😂 na huko kunamapgano yanaendelea kati ya M23 na jeshi la Burundi kutoka Goma kuelekea Bukavu 💥💥🔥🔥
Kwani haipiganii?? Nyie mnadhani kuwa Rais nikitu chepesi unajua kuishi bila msaada wa inje ni kitu Rais sema tu kwasababu hujui😢
@lilianeerica3318 don't take it personal they all know what they doin'😂
You need to know first how long and heavy it took to stop genocide against tutsi Paul Kagame cannot tolerate any madness and nonsense comes
Kagame ni kinyago chawakoloni ili asambaratishe east africa ili tusiweze kutumia madini yetu Ila wanatumia zakusema kua wanasaidia ati kabila yawatusi wako kongo ila ninjama waliounda nawazungu ili wazue rabsha afrika mashariki ili mipango yote isimame kama sahii wanaona reli kutoka Tanzania ikipitia burundi ikiingia kongo wanaona wachina wamesha chukua madini ndomana wanaanza kesi zawatusi ili mipango isimame
Yeye atulie zamu yake inakuja siamejifanya kuwafundisha iterahamwe na FDRL
Kagame na Tanzania atatoka ju njo mango wake
🥰🥰🥰👌👌👌🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇸🇦
😢😢😢😢😢
Wala machina Hana michezo michafu kama hizi za Kagame na M23
Na watanzania muwe makini sana tena sana yanayotokea Congo yanahusu EAC hasa wakimaliza Congo Burundi na Tanzania zinafata tafuta interview ya Mutikira akisema mpango wa Tutsi impere alisema kwamba na Lowasa ilikuwa anahusika ile ajali yake sio bahati mbaya
Lowasa yupi
Waje tu TZ tuchemshe mizinga na vifaru vyetu maana vipo tu stoo vimefungiwa
😂😂😂lowasa yupii
@@SolomonKeke marehemu
@@DevothaChami sister usicheke mambo ni magumu nimesema marehemu mzee lowasa tafuya interview ya Mutikira utasikia mengi
Safi❤❤❤❤
mpango wake kama uko shahihi au mnaonaje guys
Mkiona comments za kumdhihaki hao niwa Rwanda 😅
@@Sidrasidra636 🤣🤣🤣🤣 uko sahihi ndo nagunduwa kama dose hata iwe diazepam ya usingizi haitakamata nakausha 🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yes
Kabisa ❤❤
Hao ndo viongozi wanaostahili
Nyie mafara jamuhuli ya kimataifa inakuhusu nini nyie amuwezi wa nyie amuwezi yani africa wanatia huruma
MBONA KA INCH KADOGO ILA CONGO WANAHANGAIKAN
Kabila mbna aliwapga m23 wakakimbilia rwanda kwanini hawakelekea uganda.
Yeye ndie aliye saini kangame achukuwe Congo
Lazima apige kelele wanaji wake wapo pamoja narais wa Congo, m23 imewatwanga wote,
Usichokijuwa ni kwamba, watusi waliingia Congo kama wageni, na baada ya hapo wakaanza kudai urahia wa congo kwa kutumia silaa za moto, kitu ambaocho nikinyume na taratibu ya nchi ya RDC.
Kumbuka RDC ina makabila zaidi ya 450 na makabila yote hayo wanaishi kwa amani na upendo isipokuwa kabila hili lililotoka rwanda la watusi. Sasa mjuwe kwamba RUTO KAGAME na MUSEVENI ni watusi na nia yao nikutawala Africa mashariki kupitia misaada ya USA na wamagaribi ndio maana walipanda watusi nchini Congo na Burundi.
Kwaiyo watusi wakiweza kutawala Congo basi itakuwa ni raisi sana kutawala mataifa mengine ya Afrika mashariki, ndio maana unaona leo hii burundi na Tanzania wanasaidia Congo kupigana vita hii.
Ndugu zangu watanzania msifurahie hii vita maana watusi wakiiweza congo tanzania iko hatarini vibaya mno.
Sio kweli soma vizuri historia chanzo cha yote hayo ni makoloni yalivyo gawika nisawa na Tanzania kuna masai na kenya kuna masai
Msg zinanichekesha jaman 😂😂😂😂😂
Wewe cheka paka ujinyee
@ZaninkaYasmeen nani kakuambia ukicheka unajinyea
Jinga kwel 😢
@@Nestoemanuel jnga mama Ako alokuzaa mbwa ww msg yang haikuhus sana kila mtu anaandika anavyojisikia na wala cjakutagi wew kuku nikome
Tutamupiga kweri kagame sisi tuli chachoka ..wutumwa
Ss burundi nikama mkoa wa morogorotu nchi inaisha😂😂
Unaijua Burundi 🇧🇮 hata Africa NZIMA inajua iyo inchi haishezaji wawaashie uwanja na inch yoyote kwa vita njo utaijua Burundi 🇧🇮 hainaga ujinga uliza Somalia 🇸🇴 atakwambia
Unazani wepesi blaza usidharau nchi tumshukuru mungu kwa amani ya nchi yetu tanzania
Iv huyu kagame ni nani?
Rais wa Rwanda
Huyu angetupea kwanza mafuta ya gari miaka 3 imeisha burundi akuna petrol akuna chochote 😢😢
😂😂😂😂
@@kabhikachambala3392😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂internet hakuna hali mbaya
True leader
anajuwa anacho kiongeya kumbuka alishaga Wai ku funga mpaka na rwanda
Hadi leo
Mpaka Leo hawaelewani