The new speed of SNS and news coverage is amazing! Huge fan of these updates. More hard conversations to come about Africa's development and global integration. Big fan of DJ Smaa and Brother Sky! You guys go above and beyond. We appreciate it! 🙏🏾
@@mageebwire922 to much speed with bias information he doesn’t want to get true from Congolese people but is all about foreigners opinion fuck sns and the whole team (it’s time for my fella Congolese to boycott this fuckin channel)
@@jeanneandfrancislifestyle1518 munyamulenge is a wrong therm to call yourself mulenge ama minembwe ni fizi territory ya kingdoms Za wa mbembe automatically there’s no king of so called munyamulenge mura abanyarwanda mwaje kuba muri congo nk’imbuzi ababembe bara akira no kubafata neza uno munsi ngo mura bacongomani ukuri kuzoja abona gusa …
Kwauelewa wangu wanyamulenge ni wanyarwanda ambao mababuzao waliishi congo tangu zamani, kwahio makao au inch yao ni congo, maana wazazi wao walizaliwa congo. Mufano ni huku Marekani, hawa weusi wazamani wanaitwa "Black or African American" hata hawajawahi fica African. So Wanyamulenge wana haki ya kuishi Congo.
Mimi ni mkongo, nakubaliana na maneno ya mwalimu Nyerere kuhusu Wanyamulenge. Wanyamulenge ni ndugu zetu, na tungependa hiyo vita iishe na tuendeleeze nchi pamoja. We are all Congolese ❤🇨🇩🙏🏽
DRC aina shida na munyamulenge, Bali M23 ambao ni waasi ambao wamekuja kuvamiya kwa faida ya Rwanda na wazungu, maana sisi myaka yote tumeishi na wanyamulenge hata shule tumesoma nao, Kuna utofauti mkubwa kati ya wanyamulenge na waasi wa M23
Julius Kambarage Nyerere is the father of African independence and Osagyefo Kwame Nkrumah is the father of Pan-Africanism, much respect to these legends
😭😭😭😭 DOCTOR NYERERE KUMBE ULIKUWA UNATUTETEA IVI WANYAMULENGE ? TULIKUWA LABDA HATUJAZALIWA😭 WE LOVE YOU PAPA❤ inanifaa nipende tena wa Tanzania ❤ Rest in peace Hero❤ SKY Thank you big brother for this information you don't know how much it is important for us😭🙏 All nations SAVE MULENGE PLEASE 😭🙏
Aksante sana, I wanted this wonderful documentary of this legendary icon ,African hero and another documentary from Tabo Mbeki has same contents,thank you
Shida n Rwanda kuingilia huo mgogoro tena kwa njia ya mtutu ingekuwa kuingilia kwa lengo la kuwaweka chini pande zote na kueleza km hvyo sawa ila yeye anawaunga mkono kwa bunduki unahis hata ungekuwa wewe ungemuelewa
Ni sawa na Tz ule mgogoro wa Masai kuamishwa kutoka kwenye mbuga kwenda Handeni wangegoma alafu Kenya aanze kuwapa wamasai silaha wapigane na serikali wewe ungewapenda wakenya lazima ungewachukia lakin kama Kenya angekuja na mpango wa kutaka pande zote zikae chini waangalie chakufanya ungemuelewa sasa hicho ndiyo Kagame anachokosea baada aje na namna nzuri ila yeye anakuja na program yakuisaidia bhanyamulenge kwa kuwapa silaha
@BenjaminNickson anahusika kwasababu majeshi ya Rwanda kwanini yaingie Kongo yanafanywa nini au wewe mara ya mwisho umesikia lin waasi toka Kongo wameipiga Rwanda kusema wameenda kuwatafuta hii ni moja yasababu kuwa wanawasaidia na majeshi ya Rwanda yanakuwa nyuma ya M23 kwenye mij wanayopgana
@BenjaminNickson Kunachannel nying Huwa wanarusha Taarifa toka Rwanda,Burundi na Congo nying za kfrench lakin kwa Tz angalia channel ya Radio one Arusha RUclips huwa wanaonyesha wanatasfr kinachozungumzwa
Huyu Baba kweli Mungu alikuwa amemwandaa kwa Africa nzima alikuwa kwa kipekee toka kwa Mungu please listen to him very carefully Baba wa Taifa ❤❤ then for those with best wishes for Africa there is something to learn❤ you will always be remembered Daddy❤🙏 pray for Peace in Jesus Name
Wanaonewa sana, wanawapa majina mabaya kwamba ni wavamizi , but ni watu wanaopigania ardhi yao. Wao walikuwepo hapo kabla ya mipaka ya nchi kuwekwa. Sasahivi wanafukuzwa na uongozi wa kongo ,wakishilikiana na mataifa ya wazungu. Nani aliyetuloga sisi waafrica jamani kufukia hatua yakukataana sisi kwa sisi. Na ndio maana viongozi wa kongo hawataki kukaa chini walete suluhisho. Kwasababu inaonekana kunaushilikiano na mataifa ya nje. Ili waendelee kuiba, Mungu atujalie kutatua huu mzozo
Kagame na wanyamlenge ni mbali mbali wale ni wa Congo asili labda kama kuna watu wanataka kupitia wao kujinufaisha humo mbona Mabotu aliishi nao vizuri na kwanini sasa iwe vita tutafute tatizo lilizojificha
Wanateswa sana wanyamulenge,Yani kutokamukowa kwenda mwengine razima watowenkombe nzima kamasio hivyo wanawauwanakuwaranyama mbichi, daah congo please waigeniwenzenu wa Tanzania mutaishi Kwa amani
Tumekuja kutesekea Kwa inchi jirani juu tulifukuzwa kwetu ati turudi Rwanda tukifika Rwanda ati nyinyi ni wacongo kama mimi nimekaa Kenya myaka Saba juu ya uongozi mbaya ya kwetu but tunalaumu government si raia.
@@Onge-shabani1994hongera sana ndungu, uyo Nyerere kwanza alikuwa ndungu yaho mtusi ata kosa kutatea ndungu zake. Ata wahongea vipi sisi wakongomani tuna juwa Kongo akuna kabila la wanyamulenge, wasema wasi seme Mkongomani yeyote yule mahali popote pale alipo ana lijuwa ilo kwamba, hao mnaho waita wanyamulenge ni wageni kotoka Rwanda yani wakimbizi. Amu wezi badirisha historia yetu ya Kongo ata iweje tupo macho na nyinyi
@@Onge-shabani1994pia afrika hakuna kabila anachokizungumza mwalimu ni kutetea uafrika Wala sio kabila furani mkiendelea na hayo mawazo mtapigana mpaka yesu ataporudi
@ kwa nini aseme banyamulenge ni wakongomani ? Toka wakati ukoloni ulipo ingia Kongo na kuchukuwa madaraka ya inchi mpaka leo Congo DRC hakuna kabila banyamulenge, Congo kuna makabila 450 ila kwenye ayo makabila hakuna kabila banyamulenge, usi fikiriye kwamba kutotambulika banyamulenge kikatiba labda nikuwabanguwa Hapana, hata wakati wa ukoloni hawakutambuwa banyamulenge, pia kumbuka MULUNGE NI MULIMA INAYO PATIKANA UKO KIVU YA KUSINI TARAFANI UVIRA , ambayo ni Mulima ya BAFULIRU
Huu mgogoro unataka kuwa kama wa Israelnna Palestina , na kama hawawataki basi wakate mji wa Goma uwe wa Rwanda ili waungane na ndugu zao wa Rwanda tuone kama wanaweza
Wanyamulenge wana makao yao Congo na tunaishi nao, Bali M23 siyo wanyamulenge na wala Wanyamulenge hawako involved hata kidogo kwenye hili swala mahana wao ni wakongomani Bali M23 ni waasi wa Rwanda ambao wanaungwa mkono na wazungu kwa mazumuni ya kupora madini Congo kwa njiya haramu
Wewe umezaliwa juzi nitafute nikupee history wewe wajua hakuna congo hii ni majina wamewekwa na wakoloni na wakija wametupata tukitawala Africa Kwa Karne nyingi tu Sasa wewe kitu umekosa nikujua history ya afrika na falme zake wewe unajua falme zote za Africa wanzilish ni hao hima wewe unajua hima wanapatikana karib afrika yote
Kagame aligombana na tainzania kisa et dili za makontena ya copa kayatoa congo kupitisha bongo yamepungua 😁😁😁 kawakweli oooh watanzania ni watu waiolala tu wajinga tu mi namtaman ajaribu kuingiza hata sisimiz kwrnye mpaka wa tz tuone anavyofutwa
Asante sana brother sasa maneno gani wakina Mwakilembe ati Mwalim na kina Mwadagasia waongo sana wajinga wanadanganya sana wavitaji wabangi labda Kamina mwadagasia apana mwakilembe
Ndio wenyewe wanapigania haki yao ila wa Tzd wengi wamejawa na upumbavu kujenga chuki na kuichukia Rwanda bila kujua chanzo cha M23 watu wote wanao ichukia Rwanda kisa M23 mutalipia hili kwa chuki zenu za kipuuzi mutukome Rwanda na mutuache kabsa ns Maisha yetu
@@Mutako-ig1ik We Kenge Vipi? kwanini Wanyamulenge ni Royal kwa Kagame badala ya Congo. Nyie ni watu wa hovyo ndio Maana mmewamaliza Wahutu wa Rwanda na mnaiba Mali za Congo kupeleka Rwanda
Asante Baba wa Taifa! This time I’m beyond proud of being a Munyamulenge. When these white people came to divide Africa banyamulenge tulikuwa huko Congo hata kabla ya wakoloni , so that makes us Congolese..😍 Just like kuna wa Maasai in Kenya and Tanzania, kalenjin in Uganda and Kenya , wajaluo Kenya na Uganda hivyo ndivyo tumejipata Congo, hawa wa Congolese wengine hawatupendi kwa Sababu tunaongea Kinyarwanda. Ila Mungu kama anatupenda inatosha siku moja Justice will be served, sielewi mtu akiniambia eti mimi si Congolese na my GREAT Great grandparents wamezaliwa huko Congo yaani my 7 or more Generations are from there, please Africans learn your history don’t be deceived! Asante.
Siyo kweli kaka wewe siyo mkongomani ndomana unakubali upuuzi uwo anao hongea Nyerere, kumbuka toka zamani za ukoloni Congo DRC ina makabila zaidi 450 na kwenye makabila ayo yote hakuna KABILA linalo tambulika BANYAMULENGE DRC Congo halipo Naomba wende google tafuta makabila ya Congo autopata kuona banyamulenge ,kwanza uyo NYERERE ajuwi chochote kuusu Congo japokuwa alikuwa raisi , kumbukuni Neno MULENGE ni MLIMA Wawa FULIRU uko UVIRA , kumbukeni , wakati wazungu walianza kutamani Mali ya DRC Congo wataipataje ivyo walitafuta watu ambao watakao mtowa MOBUTU madarakani, ivyo waliona siyo kesi tumchukuwe KAGAME kWa sababu yeye ndo yupo karibu sana na RDC CONGO pia madini ayo tuta yapata kiuraisi sana , ivyo kagame akaitwa na njisi alivyo mjinga akakubali pia kagame aka wambia MABEBERU KWAMBA , Naomba watafute watu wengine ila wawe ni MARAISI pia , akaitwa iyo NYERERE wenu Museveni pia pamoja na 🇧🇮 , lakini baadaye wakesema tumwondowe MUBUTU madarakani kwa sababu eti ana watesa wakongo , ivyo wakasema tumtafute mtu atakaye kuwa raisi alafu tumpe mkataka Ndio waka FIKIRIA wote kagame , Nyerere na museveni , hapo Burundi aka jihondowa akasema hataki mambo kama ayotena ndipo NYERERE akesema ebu jaribu kumwita KABILA MZEE , kipindi icho kabila mzee yupo DAR Tanzania 🇹🇿 ana fanya biashara ya zaabu, alipo itwa aka ambiwa kila kitu na Rwanda ila jitolea kutowa wana jeshi wake kwenda Congo kumpinduwa KABILA MZEE, ila Nyerere aligoma akasema Hapana Mimi nitakuwa hapa kusapoti silaa na siyo kutowa jeshi , ndipo jeshi la Rwanda lilipo fika wakaanza vita mwaka 1996 lakini walipingwa kama NYOKA aliye pingwa sokoni kisha apo Kabila aka kimbilia tena TZ IVYO waka jiweka tena Swa kabila aka rundi mara ya pili ndipo alipo shinda na kuwa raisi , kabila mzee alipo ingia madarakani tu mwezi moja Rwanda 🇷🇼 na Uganda 🇺🇬 waka mtumia barua na kuwambia sasa tunaomba ufanye kile tulicho kwambia tumesha kuweka kwenye madarakani tuna HOMBA CHETU , ndipo KABILA MZEE aka Goma na kusema makubaliano Yale mliyo nipa kwanza Mimi si kuwa RAISI PIA Mimi nilikwa raiya tu wakawaida yapo kuwa nilikuwa mwana siasa ila sina mamlaka ya kufanya ivyo , ila naomba msumbiri nipeleke pendekezo ili BUNGENI ili wana INCHI waamuwe wenyewe , wakikubali basi Mimi nita saini ila walikataa basi sitoweza kufanya ivyo kwa sababu KATIBA hairuusu, ndipo walimuuwa Kabila mzee , pia kumbukeni kabila mzee alipo Pingwa na kukimbilia tz ndipo Ali achana na ayo ambao , lakini alitowa silaa kwa kwabila , na silaa izo zilikuwa ziko tipa njia ya RELI kwenda kigoma alafu zina kwenda mpaka zina vuswa kwenye ziwa tanganyika na kufika TARAFANI FIZI, kama kuna mtu ana taka kufahamu kuusu vita izi ya M23 aje nita mwambia kila kitu .ila tambuweni DRC Congo hakuna kabila linaloitwa Banyamulenge halipo . Kama unataka kufahamu ilikuwa mpaka waka jiita wanyamulenge.kwanza tabuweni wakati wa vita walikuwa hawapendi kuitwa banyamulenge walikuwa na penda kuitwa WANA MULENGE 😂😂😂😂.
Kwani nyie na Nyerere mnajuwa history ya Congo kuwazidi wakongo wenyewe? Acheni upumbavu. Halijawafikia tu, nani aliwaambia kwamba Congo 🇨🇩 kulikuwa na kabila la wanyamulenge baada ya uhuru wa Congo? Neno BANYAMULENGE lilibuniwa miaka ya 80 baada ya uhuru tu. Wale ni wakimbizi wa Rwanda waliyokimbia machafuko ya Rwanda mwaka wa 59
Ssa Shida Iko Wapi Kma Walikuja Congo miaka Ya 1959 Leo hii Amuawataki Mnawataka kuwapeleka wapi hili hali wameowana na kuzaa na Waconngo Tena Wameishi hpo zaid Ya Miaka 60 ssa Kisha Uwafukuze kitu Ambacho Ata wewe ungekuwa Banyamulenge Usinge kubali Mbona Kenya Wamewapa Wapemba Wa Tanzanian Uraia wa Nchii Iyoo Kutokana Kwa Kukaa Hpo Miaka Na miaka Na kupa na hii Wachaga Wanao Ishii Ndani Ya Mpaka Kenya Mpka wa Taita tafeta Ambao Wameishi Hapo Karine 5 Sasa wameishi Na Wakaomba Rais Wa Kenya Ruto Wawatambue Kma Raia Wa Kenya Na Rais Ruto Amekubali Na Akasema Atawapatia Vitambulisho Vya Uraia wa Kenya Na ni Juzi Tu Sio Mbali mwezi huu wa kwaza Ukumbuke hao ni wachaga wa kutoka TANZANIA . Ila Nyinyi Wakongo Ni Wabinafsi Ssa MtaendeleaKuwa Wakimbizi Adi Pale Mtakapo Watambua Banyabulengee kuwa ni Raia Wa Congo hpo vita Vitakuwa Vimeisha @@KalutaKitungano
@@KalutaKitunganosana sana iyi sns imejaa ujinga Fulani ivi yani yeye ajatowa ata habari moja kutoka kwa wa congo wenyew yeye ni oh Mara pro lumumba Mara ili lizee Lao lilikula pesa ya Israel ili lumuangushe shujah wa wafrica Idi amini Mara comedian wa Uganda Kwanini asitafuti wakongo wa kivu north na south makabila mengi tu kama washi, wandande, wa hindu , wa rega, wa bembe, wa vira etc wene udongo wao waulizwe ?
@kingdomlifestylesvids5003stop the nonsense, ww huwez disrespect baba wa Taifa letu kipuuzi, those are your problems.... if your leaders were smart enough Leo hii msikuwepo kwenye hiyo situation, Tanzania inapakana na nchi nyingi tu na kwenye kila mpk lazima kutakuwa na watu wa kabila moja kwenye nchi mbili tofauti..... mfano maasai, kuria, haya,makonde, yao, machinga.... hizi ni tribes ambazo zipo Tanzania lakin pia kenya, uganda, Mozambique.... lakin huwezi sikia Tanzania wanawaambia wakuria au maasai warudi kenya, au makonde, yao na machinga warudi Mozambique..... sababu waliowawekea hiyo mnayoita borders hawakujali kama wazigawa jamii katika mataifa mawili tofauti....
@@ebinssports5377 ni baba wa taifa lenu na sio letu uwezi kuiweka africa kukaa chini ya kivuli cha Uyo Nyerere wenu kwa wa tz Nyerere ajawai kukosea lakini uku kwetu congo kakosea na uwo Ndo ukweli Nyerere is traitor
Nyerere alikua mtu na nusu alikua ana maono ya mbali sana kuufuta ukabila na dini pamoja na uhuru wa kuabudu si jambo rahisi hii mipango wazungu waliotuachia ndio sababu ya kubaguana Kila siku🙌🙌
Acha ulimbukeni ndugu kama haki ipo mahakama kafungue kesi kule alafu pia sisi ni wa Tz Amani nijambo muhimu leo tz makabila zaid yw 120 na tuko na aman unajua ni kwann? Heshimu walio kuwekea misingi acha mihemko ,leo congo wanapigana unajua nini chanzo ukabila pia ni sababu kila mmoja anajivutia kwake so lazima uthamn amani uliyo nayo@@melanialeonard4031
@@melanialeonard4031sawa bwana. Ila hapa Tanzania nashukuru mungu waislam kwa wakristo kwa wapagani tunaishi kwa amani bila shida wala kuwazana hata kwa mbali. Vivyo hivyo kwa makabila yetu 120, tunaishi bila kuwazana kabisa. Na yani hata wageni wakitoka kenya, uganda au shm yyte ile sijawahi ona wakibaguliwa au kutengwa na tunaishi nao bila wasi wasi wwte ule. Au ni uongo Watanzania🇹🇿 wenzangu na mliowahi kufika huku Tanzania🇹🇿. Ila unakuta nchi za jirani tu hapa tukiwa kwao si sisi watanzania tu bali hata waafriika wengine wataka kupina nani bora cjui nimekupita nini, ninachoshukuru mungu sisi hizo hatuna. Na ndiyo maana wahindi wana mabiashara huku na wamefanikiwa ila tunaishi nao kwa upendo na amani, wasomali vivyo hivyo wapo huku wengi na wala hatuna shida nao, hata ndugu zetu warundi hapa kigoma wapo wengi na sisi tunashirikiana nao hata kwa kule malawi na msumbiji tumekuwa tukishirikiana nao vyema kwa moyo wote. Afrika ni moja Tupendane, Tujaliane , Tuheshimiane. Na hakuna mtu aliyebora kumzidi mwenzake, wote ni sawa na tutapita. Kila mmoja wetu anathamani. Na hapo Congo hatupo kwa ajili ya kupimana nguvu au kutest wanajeshi wetu, bali tupo kwa ajili ya kutoa tu ushirikiano, si kwamba hao wanajeshi wetu hawana kazi za kufanya huku nyumbani lahashaa ni kwamba unaona jirani yako anahitaji msaada huwezi kaa unamcheka ilihali una uwezo wa kumsaidia. Na si kwamba Tanzania ni Matajiri kiasi hicho hapana. Ni upendo tu wa dhati na watanzania hatujisikii poa kwa kinachoendelea hapo Congo, na kama sisi raia hatujui nani yupo sawa na nani hayupo sawa ila tunachowaombea hawa waafrika wenzetu ndugu zetu ni huu mgogoro umalizike haraka iwezekanavyo ili waweze kutulia na kuishi kwa amani kama binadamu wengine, Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿 Mungu Ibariki Afrika 🌍
Yule jamaa wanae mwita muasi siyo kweli jamaa anapenda inch yake na wanakerwa na yanayo endelea congo mabeberu wanatumia vibaya Mali za congo wanaiba madini nk
@@omondiowino7875Sio kweli. UN na mashirika ya Ulaya Kwa kushirikiana na chaneli za habari kama BBC,DW, CNN n.k ndio wanaeneza hiyo propaganda waliyowaaminisha watu siku zote ilhali wao ndio wachochezi wakubwa wa vita vya Congo kupitia uchonganishi ili waendelee kuiba Mali ya Congo. Rwanda hapo anapakaziwa tu, na watajipa uhalali wakupigana na Kagame wamtoe Madarakani kama ilivyokua Kwa Gadafi, na wakimuua Kagame Hali ya amani itazidi kuwa mbaya maeneo hayo, AMINI ITAKUSAIDIA (Hapa wazungu ndio tatizo no Moja) na Kagame ameweza kuwadhiti ndio maana wanamchafua.
Asante Mungu sikumoja utaeshusha banyamulenge wote na tutarejea kwetu wanyamulenge congo kwetuu natuta pata huuru siku moja🙏🏾 kirasiku mwende kwenu Rwanda wapi na nawapi na Rwanda? Ni way we are Congolese forever ♾️ 😢❤
East Afrika ilikua imeandaliwa kwa ajili ya kutawaliwa na Tusi Empire kwa hiyo Nyerere lazima awatetee ndugu zake Watusi wenzie,..lakini Banyamulenge sio wakazi Asilia wa Nchi ya Kongo hao waliingia ndani ya Kongo kipindi cha vita ya Rwanda wenyewe kwa wenyewe Enzi zile za kainamaha na Varumayuu
Tatizo nihawo banyamulenge wenyewe kuji baguwa awakutaka kuwa pamoja nawa congo yani wana saidiya rwanda kuipora congo kisa niwatu wamoja ndomana kongo ai waamini
The new speed of SNS and news coverage is amazing! Huge fan of these updates. More hard conversations to come about Africa's development and global integration. Big fan of DJ Smaa and Brother Sky! You guys go above and beyond. We appreciate it! 🙏🏾
Thank you brother
@@mageebwire922 to much speed with bias information he doesn’t want to get true from Congolese people but is all about foreigners opinion fuck sns and the whole team (it’s time for my fella Congolese to boycott this fuckin channel)
Even me brother... I appreciate them so much for what they feed us daily
Daaaaaaaah! Uyu Baba n balaa Sana! Mwenyezimungu ampumzishe kw Amani.
@@nasibuomary7981 da nimsemakweri . Tena msemakweri ni mpenzi wa mungu
mwalimu mwalimu mzee kifimbo
Asante nyerere mfano mzuri kuhusu wa masai wako tanzania na kenya
I’m proud of being Munyamulenge
I'm not a munyamulenge but I accept that you and I are congolese 🇨🇩🙏🏾
You’re right
Rwandaise
Mulenge Drc Africa ❤❤❤
Swali langu ni ili, kinyarwanda na kinyamulenge kina utofauti ??
Nyerere alikuwa kichwa sana🎉🎉❤
Mwalimu alijitahidi kutuheshimisha vilivyo
Hakika❤
Zidumu fikra za Mwalimu Nyerere, zidumu fikra za kumkomboa Mwafrika kutoka kwenye fikra za kikoloni na ukoloni Mamboleoo
Hakika
Nyerere alikuwa na hekima na busara ya hali ya juu sana, ni moja viongozi wanapaswa kuenziwa sana
hakika❤
I will share this video kwa wandungu zangu zote i am Munyamulenge 😂i love it 😍
@@jeanneandfrancislifestyle1518 munyamulenge is a wrong therm to call yourself mulenge ama minembwe ni fizi territory ya kingdoms Za wa mbembe automatically there’s no king of so called munyamulenge mura abanyarwanda mwaje kuba muri congo nk’imbuzi ababembe bara akira no kubafata neza uno munsi ngo mura bacongomani ukuri kuzoja abona gusa …
@kingdomlifestylesvids5003wewe hujui history wewe ondoa ukabila utakuja kuelewa
😂😂😂
Kwauelewa wangu wanyamulenge ni wanyarwanda ambao mababuzao waliishi congo tangu zamani, kwahio makao au inch yao ni congo, maana wazazi wao walizaliwa congo. Mufano ni huku Marekani, hawa weusi wazamani wanaitwa "Black or African American" hata hawajawahi fica African. So Wanyamulenge wana haki ya kuishi Congo.
Nyie siyo wacongo hapo huyo mzee amewazubaisha tu
Yani SKY unajua kazi 👌 Nyerere amemaliza utata 💪💪💪💪
No😊
Mimi ni mkongo, nakubaliana na maneno ya mwalimu Nyerere kuhusu Wanyamulenge. Wanyamulenge ni ndugu zetu, na tungependa hiyo vita iishe na tuendeleeze nchi pamoja. We are all Congolese ❤🇨🇩🙏🏽
Vita siya ndugu zetu wanyamulenge bali ni vita ya Rwanda na DRC, Rwanda ina chafua jina ya ndugu zetu wanyamulenge bure kwa masilahi ya Paul kagame
DRC aina shida na munyamulenge, Bali M23 ambao ni waasi ambao wamekuja kuvamiya kwa faida ya Rwanda na wazungu, maana sisi myaka yote tumeishi na wanyamulenge hata shule tumesoma nao, Kuna utofauti mkubwa kati ya wanyamulenge na waasi wa M23
Wewe umezaliwa kambini na aujuwi history yoyote ya congo kwaiyo unahaki ya kusema ivo shame on you
Kaskile wewe mwenyewe ni mnyarwanda
Uko munyarwana kabisa. Nani alikwambia munyamulengi ni mu Congo? Mpumbafu wee
Mungu alitujalia sana kutupa hichi kichwa
Julius Kambarage Nyerere is the father of African independence and Osagyefo Kwame Nkrumah is the father of Pan-Africanism, much respect to these legends
😭😭😭😭 DOCTOR NYERERE KUMBE ULIKUWA UNATUTETEA IVI WANYAMULENGE ? TULIKUWA LABDA HATUJAZALIWA😭 WE LOVE YOU PAPA❤ inanifaa nipende tena wa Tanzania ❤ Rest in peace Hero❤ SKY Thank you big brother for this information you don't know how much it is important for us😭🙏 All nations SAVE MULENGE PLEASE 😭🙏
Shobo hatutaki kaeni kwenu wehu kabisa
@@user-ep2iq3vd9yTukotayali kupiganiya hakiye mpaka kufa M23 force🫡💪Tunakuja Bukavu
BABA WETU WA TAIFA SIO DOCTOR USIMBARIBIE JINA BWANA SEMA MWALIMU JULIUS KAMBALAGE NA NYERERE ALIPAMBANIA MATAIFA MENGI TU
Baada ya kufatilia vzr sakata hili sasa nawaelewa M23 na nawaunga mkono,,, it's a fight for survival to them,,,
Wanyamlenge siyo watusi, M23 ni watusi. Wanyamlenge wanaishi vema kongo hawana shida
Absolutely
@@MrTmanUM23 ni wanyamulenge na wanyamulenge ni congoman
I said that to 😢
Kweli Baba wataifa ni Zahabu sana TZ❤❤❤. SNS asante sana kwa kazi kubwa mnayo fanya. Hili jambo ni gumu Kweli .
Aksante sana, I wanted this wonderful documentary of this legendary icon ,African hero and another documentary from Tabo Mbeki has same contents,thank you
Yan nyerere bado anaendelea kusuruisha migogoro ya nchi za Africa.. Respect ❤❤ R.I.P😢
Mungu tuludishie laisi wetu kama uyuu tuna teswa sana
" Turudishie"
"Rais"
😊
Banyamulenge ❤❤❤ M23 Eastern Congo
Kama watu watashindwa kuelewa kuhusu iki kitu n basi tena.🤝
Shida n Rwanda kuingilia huo mgogoro tena kwa njia ya mtutu ingekuwa kuingilia kwa lengo la kuwaweka chini pande zote na kueleza km hvyo sawa ila yeye anawaunga mkono kwa bunduki unahis hata ungekuwa wewe ungemuelewa
Ni sawa na Tz ule mgogoro wa Masai kuamishwa kutoka kwenye mbuga kwenda Handeni wangegoma alafu Kenya aanze kuwapa wamasai silaha wapigane na serikali wewe ungewapenda wakenya lazima ungewachukia lakin kama Kenya angekuja na mpango wa kutaka pande zote zikae chini waangalie chakufanya ungemuelewa sasa hicho ndiyo Kagame anachokosea baada aje na namna nzuri ila yeye anakuja na program yakuisaidia bhanyamulenge kwa kuwapa silaha
@@ce-08Mimi Kwa mtazamo wangu naona Rwanda hausiki kinachofanya watu waiseme Rwanda ni Kwa sababu kagame ni mtusi na wanaopigana huko ni watusi
@BenjaminNickson anahusika kwasababu majeshi ya Rwanda kwanini yaingie Kongo yanafanywa nini au wewe mara ya mwisho umesikia lin waasi toka Kongo wameipiga Rwanda kusema wameenda kuwatafuta hii ni moja yasababu kuwa wanawasaidia na majeshi ya Rwanda yanakuwa nyuma ya M23 kwenye mij wanayopgana
@BenjaminNickson Kunachannel nying Huwa wanarusha Taarifa toka Rwanda,Burundi na Congo nying za kfrench lakin kwa Tz angalia channel ya Radio one Arusha RUclips huwa wanaonyesha wanatasfr kinachozungumzwa
Munyamulenge tujuane hapa
Tupo apa
The same applies to Luo of Kenya.and.Tanzania as well as Uganda🎉🎉
Huyu Baba kweli Mungu alikuwa amemwandaa kwa Africa nzima alikuwa kwa kipekee toka kwa Mungu please listen to him very carefully Baba wa Taifa ❤❤ then for those with best wishes for Africa there is something to learn❤ you will always be remembered Daddy❤🙏 pray for Peace in Jesus Name
DJ SMA unajua na unajua Tena iam very interested in politics especially with facts as you do # more appreciation
DJ smaa's impact
Mwalimu Julia's kambarage Nyerere
Wanaonewa sana, wanawapa majina mabaya kwamba ni wavamizi , but ni watu wanaopigania ardhi yao.
Wao walikuwepo hapo kabla ya mipaka ya nchi kuwekwa.
Sasahivi wanafukuzwa na uongozi wa kongo ,wakishilikiana na mataifa ya wazungu.
Nani aliyetuloga sisi waafrica jamani kufukia hatua yakukataana sisi kwa sisi.
Na ndio maana viongozi wa kongo hawataki kukaa chini walete suluhisho.
Kwasababu inaonekana kunaushilikiano na mataifa ya nje.
Ili waendelee kuiba,
Mungu atujalie kutatua huu mzozo
Swadakta❤❤❤❤❤❤
Thank you Baba
Napenda sns ungesambaza iyi habali kua Tanzania social media kujua ukweli kuhusu History ya M23 banyamurenge ! We are proud being Rwandan 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Wa nyamulenge sio kabila la kongo Nenda kwenu Rwanda 🇷🇼 😅
👌👌👌👌kabisa angekuwepo labda uyu utata ungemalizika ❤❤Free banyamulenge.kagame akisema ivi hawaamini
Kagame na wanyamlenge ni mbali mbali wale ni wa Congo asili labda kama kuna watu wanataka kupitia wao kujinufaisha humo mbona Mabotu aliishi nao vizuri na kwanini sasa iwe vita tutafute tatizo lilizojificha
Elimu ya nyerere aikuwa ya darasani he was genius
Kweli kabisa🎉 huyu mzee alikuwa anajua sana
Kaka uwongo uyu kwa tambuwa walio Mtowa mobutu madarakani uyu mzee yumu
Punguza saut kaka@@Onge-shabani1994
Ali kuwa na tetea ndungu zake
@ 🤣🤣🤣Ndiyo
Ukweri huo,baba wa africa
Sns nimekupenda kupitiliza unajua kabisa tena una fatiria sana histoire
Kwani we hii historia ulikuwa hauijui ndy mnagundua leo
Hapa sasa wasiojua historia ndo wanajua kua Banyamulenge sio wanyarwanda ila asili yao ni Congo Asante hayati nyerere
Hili swala la makabila kuwa pande zote mbili tuliokulia mipakani tunaelewa vzr pole sana bhanyamulenge
Wanateswa sana wanyamulenge,Yani kutokamukowa kwenda mwengine razima watowenkombe nzima kamasio hivyo wanawauwanakuwaranyama mbichi, daah congo please waigeniwenzenu wa Tanzania mutaishi Kwa amani
Tumekuja kutesekea Kwa inchi jirani juu tulifukuzwa kwetu ati turudi Rwanda tukifika Rwanda ati nyinyi ni wacongo kama mimi nimekaa Kenya myaka Saba juu ya uongozi mbaya ya kwetu but tunalaumu government si raia.
Good waambie huenda watasikia maana wanyamulenge hunyanyaswa saana.mungu Akubaliki
@@uweraclotilde8837 wewe wewe Drc Congo hakuna kabila linaloitwa banyamulenge halipo , DRC Congo ina makabila 450 ukitafuta kwenye hayo makabila hautohona banyamulenge ndani 🤣🤣🤣
@@Onge-shabani1994Kwasababu wanajizima data, na kama hawawataki basi wakate mji wa Goma uwe wa Rwanda tuone kama wanaweza
@@Onge-shabani1994hongera sana ndungu, uyo Nyerere kwanza alikuwa ndungu yaho mtusi ata kosa kutatea ndungu zake.
Ata wahongea vipi sisi wakongomani tuna juwa Kongo akuna kabila la wanyamulenge, wasema wasi seme Mkongomani yeyote yule mahali popote pale alipo ana lijuwa ilo kwamba, hao mnaho waita wanyamulenge ni wageni kotoka Rwanda yani wakimbizi. Amu wezi badirisha historia yetu ya Kongo ata iweje tupo macho na nyinyi
@@Onge-shabani1994pia afrika hakuna kabila anachokizungumza mwalimu ni kutetea uafrika Wala sio kabila furani mkiendelea na hayo mawazo mtapigana mpaka yesu ataporudi
@ kwa nini aseme banyamulenge ni wakongomani ? Toka wakati ukoloni ulipo ingia Kongo na kuchukuwa madaraka ya inchi mpaka leo Congo DRC hakuna kabila banyamulenge, Congo kuna makabila 450 ila kwenye ayo makabila hakuna kabila banyamulenge, usi fikiriye kwamba kutotambulika banyamulenge kikatiba labda nikuwabanguwa Hapana, hata wakati wa ukoloni hawakutambuwa banyamulenge, pia kumbuka MULUNGE NI MULIMA INAYO PATIKANA UKO KIVU YA KUSINI TARAFANI UVIRA , ambayo ni Mulima ya BAFULIRU
Kaka naomba no yako niliwambia juzi nikatukanwa sana
Mwalimu Nyerere mungu ampokea mahali pema peponi
Alikuwa mkweli sana tena mwenye busara
Nyerere,wew ni baba yetu wa taifa!
Hapa sasa naanza kuamin mgogoro wa DRC ni wao wenyewe ndio chanzo... Rwanda wanaisingizia....
Kbsa
Rwanda anawasaidia ndugu zake watusi ndio hao banyamulenge
Big brain
I'm munyamulenge and I'm proud of ❤
🤔
Raha sana tena aliogea English aiseee 😢hii inakuwa wazi san9😢R I P BABA NYERERE, kama siyeye na uhuru tungepata wapi 😢
Mzee wetu Mwalimu mungu amtunze peponi, alikuwa na kipaji cha mwenyezi mungu
Peponii!!!!????
@@ommymehmed8880Unahoji we ndiyo Mungu mpaka uwe n uhakika wa sehemu alipo sio kila kitu lazima u comment
Huu mgogoro unataka kuwa kama wa Israelnna Palestina , na kama hawawataki basi wakate mji wa Goma uwe wa Rwanda ili waungane na ndugu zao wa Rwanda tuone kama wanaweza
Wanyamulenge wana makao yao Congo na tunaishi nao, Bali M23 siyo wanyamulenge na wala Wanyamulenge hawako involved hata kidogo kwenye hili swala mahana wao ni wakongomani Bali M23 ni waasi wa Rwanda ambao wanaungwa mkono na wazungu kwa mazumuni ya kupora madini Congo kwa njiya haramu
Hahahahaha
Mwalimu Nyerere amemaliza utata ulionitatiza kwa muda mrefu kama historia iko hivyo basi hekima inapaswa kutumika kutatua suala hili
We are okay because there is no segragation.Its due to colonialism effect who divided us Life continues we are one.🎉
Ok tuseme sasa hata mwaza ,kigoma ni Burundi
Sio kweli iyo. Banyamulenge nibaamihaji mu Congo. Sisi jo tunajuwa ukweli wote📌
Nyamanze wewe mtoto
Wakubwa wakisema unyamweze maana hujabaleghe na uelewe
Njoo na hoja ya kupinga anachokisema ni Nyerere
@@BenjaminNickson kesho wale warundi wenye wanaishi kigoma watasema niwa tz muwagawiye inchi utakubali? Kama aujuwe kitu nyamaza.
Uyo Nyerere kazaliwa Congo?
Wewe umezaliwa juzi nitafute nikupee history wewe wajua hakuna congo hii ni majina wamewekwa na wakoloni na wakija wametupata tukitawala Africa Kwa Karne nyingi tu Sasa wewe kitu umekosa nikujua history ya afrika na falme zake wewe unajua falme zote za Africa wanzilish ni hao hima wewe unajua hima wanapatikana karib afrika yote
Ndy maana kila siku nipo pamoja na M23,Wanayo haki ya kupigania ardhi yao
Wapewe nchiyao ya kiivu mjimkuuwao iwe ni goma Rwanda itawaachasalama 😁😁😁😁 kagame anambinu nyingisana za kufanyabiashara ya madini
Kagame aligombana na tainzania kisa et dili za makontena ya copa kayatoa congo kupitisha bongo yamepungua 😁😁😁 kawakweli oooh watanzania ni watu waiolala tu wajinga tu mi namtaman ajaribu kuingiza hata sisimiz kwrnye mpaka wa tz tuone anavyofutwa
Huyu baba mungu ambaliki mpaka leo tunaishi zanzibar na nimtu wa mbeya kwa sababu ya muungano
Asante sana brother sasa maneno gani wakina Mwakilembe ati Mwalim na kina Mwadagasia waongo sana wajinga wanadanganya sana wavitaji wabangi labda Kamina mwadagasia apana mwakilembe
M k J Nyerere hapo anatetea ndugu zake watusi, hasingeweza kusema ukweli tofauti na kuwasapoti.
Kwani M23 ndo haohao banyamulenge?
Ndyo
Wote ni watusi
Ndio niwao nawanateteya wenzao wanaoteswa huko
Ndio wenyewe wanapigania haki yao ila wa Tzd wengi wamejawa na upumbavu kujenga chuki na kuichukia Rwanda bila kujua chanzo cha M23 watu wote wanao ichukia Rwanda kisa M23 mutalipia hili kwa chuki zenu za kipuuzi mutukome Rwanda na mutuache kabsa ns Maisha yetu
@@Mutako-ig1ik We Kenge Vipi? kwanini Wanyamulenge ni Royal kwa Kagame badala ya Congo. Nyie ni watu wa hovyo ndio Maana mmewamaliza Wahutu wa Rwanda na mnaiba Mali za Congo kupeleka Rwanda
Asante Baba wa Taifa! This time I’m beyond proud of being a Munyamulenge. When these white people came to divide Africa banyamulenge tulikuwa huko Congo hata kabla ya wakoloni , so that makes us Congolese..😍 Just like kuna wa Maasai in Kenya and Tanzania, kalenjin in Uganda and Kenya , wajaluo Kenya na Uganda hivyo ndivyo tumejipata Congo, hawa wa Congolese wengine hawatupendi kwa Sababu tunaongea Kinyarwanda. Ila Mungu kama anatupenda inatosha siku moja Justice will be served, sielewi mtu akiniambia eti mimi si Congolese na my GREAT Great grandparents wamezaliwa huko Congo yaani my 7 or more Generations are from there, please Africans learn your history don’t be deceived! Asante.
Ukweli wa kina.
This is right
NYERERE NA MAGUFURI HAWA WALIKUWA VYUMA HASWA MUNGU HAWALEZE MAHALI PEMA PEPONI 😢😢SISI WOOTE NI WAFRICA 🇹🇿❤️🇨🇩
@@Shadia544 bora bangufuli Nyerere alikuwa njinga sema tu watanzania mumekuja kufunguka macho hapa kwenye miaka 1966 🤣🤣🤣
@@Onge-shabani1994ujinga wake nn??
Nyerere kweli alikuwa kichwa na sio huyo mama mukaa uchi
The first 😅
Siyo kweli kaka wewe siyo mkongomani ndomana unakubali upuuzi uwo anao hongea Nyerere, kumbuka toka zamani za ukoloni Congo DRC ina makabila zaidi 450 na kwenye makabila ayo yote hakuna KABILA linalo tambulika BANYAMULENGE DRC Congo halipo Naomba wende google tafuta makabila ya Congo autopata kuona banyamulenge ,kwanza uyo NYERERE ajuwi chochote kuusu Congo japokuwa alikuwa raisi , kumbukuni Neno MULENGE ni MLIMA Wawa FULIRU uko UVIRA , kumbukeni , wakati wazungu walianza kutamani Mali ya DRC Congo wataipataje ivyo walitafuta watu ambao watakao mtowa MOBUTU madarakani, ivyo waliona siyo kesi tumchukuwe KAGAME kWa sababu yeye ndo yupo karibu sana na RDC CONGO pia madini ayo tuta yapata kiuraisi sana , ivyo kagame akaitwa na njisi alivyo mjinga akakubali pia kagame aka wambia MABEBERU KWAMBA , Naomba watafute watu wengine ila wawe ni MARAISI pia , akaitwa iyo NYERERE wenu Museveni pia pamoja na 🇧🇮 , lakini baadaye wakesema tumwondowe MUBUTU madarakani kwa sababu eti ana watesa wakongo , ivyo wakasema tumtafute mtu atakaye kuwa raisi alafu tumpe mkataka Ndio waka FIKIRIA wote kagame , Nyerere na museveni , hapo Burundi aka jihondowa akasema hataki mambo kama ayotena ndipo NYERERE akesema ebu jaribu kumwita KABILA MZEE , kipindi icho kabila mzee yupo DAR Tanzania 🇹🇿 ana fanya biashara ya zaabu, alipo itwa aka ambiwa kila kitu na Rwanda ila jitolea kutowa wana jeshi wake kwenda Congo kumpinduwa KABILA MZEE, ila Nyerere aligoma akasema Hapana Mimi nitakuwa hapa kusapoti silaa na siyo kutowa jeshi , ndipo jeshi la Rwanda lilipo fika wakaanza vita mwaka 1996 lakini walipingwa kama NYOKA aliye pingwa sokoni kisha apo Kabila aka kimbilia tena TZ IVYO waka jiweka tena Swa kabila aka rundi mara ya pili ndipo alipo shinda na kuwa raisi , kabila mzee alipo ingia madarakani tu mwezi moja Rwanda 🇷🇼 na Uganda 🇺🇬 waka mtumia barua na kuwambia sasa tunaomba ufanye kile tulicho kwambia tumesha kuweka kwenye madarakani tuna HOMBA CHETU , ndipo KABILA MZEE aka Goma na kusema makubaliano Yale mliyo nipa kwanza Mimi si kuwa RAISI PIA Mimi nilikwa raiya tu wakawaida yapo kuwa nilikuwa mwana siasa ila sina mamlaka ya kufanya ivyo , ila naomba msumbiri nipeleke pendekezo ili BUNGENI ili wana INCHI waamuwe wenyewe , wakikubali basi Mimi nita saini ila walikataa basi sitoweza kufanya ivyo kwa sababu KATIBA hairuusu, ndipo walimuuwa Kabila mzee , pia kumbukeni kabila mzee alipo Pingwa na kukimbilia tz ndipo Ali achana na ayo ambao , lakini alitowa silaa kwa kwabila , na silaa izo zilikuwa ziko tipa njia ya RELI kwenda kigoma alafu zina kwenda mpaka zina vuswa kwenye ziwa tanganyika na kufika TARAFANI FIZI, kama kuna mtu ana taka kufahamu kuusu vita izi ya M23 aje nita mwambia kila kitu .ila tambuweni DRC Congo hakuna kabila linaloitwa Banyamulenge halipo . Kama unataka kufahamu ilikuwa mpaka waka jiita wanyamulenge.kwanza tabuweni wakati wa vita walikuwa hawapendi kuitwa banyamulenge walikuwa na penda kuitwa WANA MULENGE 😂😂😂😂.
Nadhani mambo yameeleweka vizuri
Mtumiyeni MPINA IYO ANYETAFUTA WAKUU WAJESHI WAITWE WANGENI SOMENI VITABU
Kama serikali ya Kongo ingesuluhisha huu mgogoro mapema Kagame asingeutumia kuwaumiza. Lakini sasa hivi Kagame atautumia kuwaumiza
Very true ❤
The leader
tungekuwa na viongozi 10 kama mwalimu nyerere hapa africa tusingepata tabu zote afrika
Kweli kabisa
Nyerere alicho hongea sio kweli
Huu ndio ukweli ambao viongozi wa Congo hawataki kuusikia
Kwani nyie na Nyerere mnajuwa history ya Congo kuwazidi wakongo wenyewe?
Acheni upumbavu.
Halijawafikia tu, nani aliwaambia kwamba Congo 🇨🇩 kulikuwa na kabila la wanyamulenge baada ya uhuru wa Congo?
Neno BANYAMULENGE lilibuniwa miaka ya 80 baada ya uhuru tu. Wale ni wakimbizi wa Rwanda waliyokimbia machafuko ya Rwanda mwaka wa 59
Ssa Shida Iko Wapi Kma Walikuja Congo miaka Ya 1959 Leo hii Amuawataki Mnawataka kuwapeleka wapi hili hali wameowana na kuzaa na Waconngo Tena Wameishi hpo zaid Ya Miaka 60 ssa Kisha Uwafukuze kitu Ambacho Ata wewe ungekuwa Banyamulenge Usinge kubali Mbona Kenya Wamewapa Wapemba Wa Tanzanian Uraia wa Nchii Iyoo Kutokana Kwa Kukaa Hpo Miaka Na miaka Na kupa na hii Wachaga Wanao Ishii Ndani Ya Mpaka Kenya Mpka wa Taita tafeta Ambao Wameishi Hapo Karine 5 Sasa wameishi Na Wakaomba Rais Wa Kenya Ruto Wawatambue Kma Raia Wa Kenya Na Rais Ruto Amekubali Na Akasema Atawapatia Vitambulisho Vya Uraia wa Kenya Na ni Juzi Tu Sio Mbali mwezi huu wa kwaza Ukumbuke hao ni wachaga wa kutoka TANZANIA . Ila Nyinyi Wakongo Ni Wabinafsi Ssa MtaendeleaKuwa Wakimbizi Adi Pale Mtakapo Watambua Banyabulengee kuwa ni Raia Wa Congo hpo vita Vitakuwa Vimeisha @@KalutaKitungano
@@KalutaKitunganosana sana iyi sns imejaa ujinga Fulani ivi yani yeye ajatowa ata habari moja kutoka kwa wa congo wenyew yeye ni oh Mara pro lumumba Mara ili lizee Lao lilikula pesa ya Israel ili lumuangushe shujah wa wafrica Idi amini Mara comedian wa Uganda Kwanini asitafuti wakongo wa kivu north na south makabila mengi tu kama washi, wandande, wa hindu , wa rega, wa bembe, wa vira etc wene udongo wao waulizwe ?
@kingdomlifestylesvids5003stop the nonsense, ww huwez disrespect baba wa Taifa letu kipuuzi, those are your problems.... if your leaders were smart enough Leo hii msikuwepo kwenye hiyo situation, Tanzania inapakana na nchi nyingi tu na kwenye kila mpk lazima kutakuwa na watu wa kabila moja kwenye nchi mbili tofauti..... mfano maasai, kuria, haya,makonde, yao, machinga.... hizi ni tribes ambazo zipo Tanzania lakin pia kenya, uganda, Mozambique.... lakin huwezi sikia Tanzania wanawaambia wakuria au maasai warudi kenya, au makonde, yao na machinga warudi Mozambique..... sababu waliowawekea hiyo mnayoita borders hawakujali kama wazigawa jamii katika mataifa mawili tofauti....
@@ebinssports5377 ni baba wa taifa lenu na sio letu uwezi kuiweka africa kukaa chini ya kivuli cha Uyo Nyerere wenu kwa wa tz Nyerere ajawai kukosea lakini uku kwetu congo kakosea na uwo Ndo ukweli Nyerere is traitor
Yaaan 23 wapo sahihi sana
@@yollah kwalipi ?
Hakuna anae wafukuza congo ila tu wanataka wamsaidie Kagame kuaua opposition ya Rwanda inaoishi congo
M23 ni majizi ya Kagame ndio Maana anayasaidia
Marais wote wamepita mbona Congo 🇨🇩 aina mabadiliko zaidi ya family zao zinakuwa mabilionea tyu jaman
Well said mzee
Nyerere alikua mtu na nusu alikua ana maono ya mbali sana kuufuta ukabila na dini pamoja na uhuru wa kuabudu si jambo rahisi hii mipango wazungu waliotuachia ndio sababu ya kubaguana Kila siku🙌🙌
Alikuwa na maono Tanzania siyo sehemu zingine
Maono gani sasa ya kuwafanya watanzania wawe wanyonge kwenye haki zao na
Acha ulimbukeni ndugu kama haki ipo mahakama kafungue kesi kule alafu pia sisi ni wa Tz Amani nijambo muhimu leo tz makabila zaid yw 120 na tuko na aman unajua ni kwann? Heshimu walio kuwekea misingi acha mihemko ,leo congo wanapigana unajua nini chanzo ukabila pia ni sababu kila mmoja anajivutia kwake so lazima uthamn amani uliyo nayo@@melanialeonard4031
@@melanialeonard4031sawa bwana. Ila hapa Tanzania nashukuru mungu waislam kwa wakristo kwa wapagani tunaishi kwa amani bila shida wala kuwazana hata kwa mbali. Vivyo hivyo kwa makabila yetu 120, tunaishi bila kuwazana kabisa. Na yani hata wageni wakitoka kenya, uganda au shm yyte ile sijawahi ona wakibaguliwa au kutengwa na tunaishi nao bila wasi wasi wwte ule. Au ni uongo Watanzania🇹🇿 wenzangu na mliowahi kufika huku Tanzania🇹🇿. Ila unakuta nchi za jirani tu hapa tukiwa kwao si sisi watanzania tu bali hata waafriika wengine wataka kupina nani bora cjui nimekupita nini, ninachoshukuru mungu sisi hizo hatuna. Na ndiyo maana wahindi wana mabiashara huku na wamefanikiwa ila tunaishi nao kwa upendo na amani, wasomali vivyo hivyo wapo huku wengi na wala hatuna shida nao, hata ndugu zetu warundi hapa kigoma wapo wengi na sisi tunashirikiana nao hata kwa kule malawi na msumbiji tumekuwa tukishirikiana nao vyema kwa moyo wote. Afrika ni moja Tupendane, Tujaliane , Tuheshimiane. Na hakuna mtu aliyebora kumzidi mwenzake, wote ni sawa na tutapita. Kila mmoja wetu anathamani. Na hapo Congo hatupo kwa ajili ya kupimana nguvu au kutest wanajeshi wetu, bali tupo kwa ajili ya kutoa tu ushirikiano, si kwamba hao wanajeshi wetu hawana kazi za kufanya huku nyumbani lahashaa ni kwamba unaona jirani yako anahitaji msaada huwezi kaa unamcheka ilihali una uwezo wa kumsaidia. Na si kwamba Tanzania ni Matajiri kiasi hicho hapana. Ni upendo tu wa dhati na watanzania hatujisikii poa kwa kinachoendelea hapo Congo, na kama sisi raia hatujui nani yupo sawa na nani hayupo sawa ila tunachowaombea hawa waafrika wenzetu ndugu zetu ni huu mgogoro umalizike haraka iwezekanavyo ili waweze kutulia na kuishi kwa amani kama binadamu wengine,
Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿 Mungu Ibariki Afrika 🌍
Alie tuaribia Congo ,uyu mzee mtusi anasenea nduguzake
On part went to uk , Uganda where more then millions became Ugandans
They belong to Congo period....
ili jambo ukiacha mihemumko M23 wako sahihi 100% ila watoto waliozaliwa 90+ ukiwasikiliza wanachambua utahisi Kagame ndio mwenye shida
Hizo hotuba za M23 ni kama hotuba tu ya mwizi anaye jaribu kuji tetea mahakamani coz wanyamulenge wanaishi Congo na wako kimya kabisa na tunaishi nao
Kuna tofauti kubwa kati ya M23 na wanyamulenge
Yule jamaa wanae mwita muasi siyo kweli jamaa anapenda inch yake na wanakerwa na yanayo endelea congo mabeberu wanatumia vibaya Mali za congo wanaiba madini nk
wale jamaa nao wanatoa madini na kuuza kupitia Rwanda
@@omondiowino7875Sio kweli. UN na mashirika ya Ulaya Kwa kushirikiana na chaneli za habari kama BBC,DW, CNN n.k ndio wanaeneza hiyo propaganda waliyowaaminisha watu siku zote ilhali wao ndio wachochezi wakubwa wa vita vya Congo kupitia uchonganishi ili waendelee kuiba Mali ya Congo. Rwanda hapo anapakaziwa tu, na watajipa uhalali wakupigana na Kagame wamtoe Madarakani kama ilivyokua Kwa Gadafi, na wakimuua Kagame Hali ya amani itazidi kuwa mbaya maeneo hayo, AMINI ITAKUSAIDIA (Hapa wazungu ndio tatizo no Moja) na Kagame ameweza kuwadhiti ndio maana wanamchafua.
Kweli kabisa
Hii noma
Comment ça
Kipindi hicho nikiwa na umri wa miaka mitatu nilimsikia akiongea kupitia radio Tanzania 😂😂😂
Hakika Mungu alimjaalia Maarifa Makubwa sana huyu Mzee.
Uyo mzee moja wa jinga namba moja africa anaongea pumba tu
Mm uwa nawashangaa baaz ya watu kumlinganisha mgufuri na nyerere nyerere msimlinganishe na awo waongo wenu wa kung'ata na kupuliza
Asante Mungu sikumoja utaeshusha banyamulenge wote na tutarejea kwetu wanyamulenge congo kwetuu natuta pata huuru siku moja🙏🏾 kirasiku mwende kwenu Rwanda wapi na nawapi na Rwanda? Ni way we are Congolese forever ♾️ 😢❤
😂😂😂mulizaliwa tu uyo Nyerere muongo
@@kapamathethe5378 asante sina chakujibu zaidi ya kusema wa nyamulenge bazali ba Congolese.
aisee sky upo vizur
itakuwa M23 ni WAKONGO RWANDAN❤❤❤❤❤ wakae waelewane
les Rwandais à Leandro Congo à quelle époque
In the name of the President 🎉🎉
Nimewapenda sana jameni kutupa ukweli
Mwadisha wa habali hiyi video Nakuhimba umutumiye Mawulidi kitenge na haji manala bahelewe vizuli
Wata nielewa
Nyerere alikuwa kichwa sana, sio kama kikwete. Jamani wanyamulenge muwape amani kwani iko wazi kabisa kuwa ni wa congoman
A true Pan Africanist. RIP Nyerere
Mzee kaongea ukweli shida ni mipaka wakati huo watu walikuwa wanajiendea tu
Nyerere the genius
East Afrika ilikua imeandaliwa kwa ajili ya kutawaliwa na Tusi Empire kwa hiyo Nyerere lazima awatetee ndugu zake Watusi wenzie,..lakini Banyamulenge sio wakazi Asilia wa Nchi ya Kongo hao waliingia ndani ya Kongo kipindi cha vita ya Rwanda wenyewe kwa wenyewe Enzi zile za kainamaha na Varumayuu
Toka juzi nimekukumbuka baba wa Taifa ungekuwepo kila kitu kingekuwa sawa mana ulikuwa unajua vitu. Vingi. Ktk Africa yetu .Pumzika kwa Amani
Tanzania ni Asili Ya Amani na Mpatanishi
Baba wa Afrika
Yes true 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👌🏻👌🏻👌🏻😅😅
Tatizo nihawo banyamulenge wenyewe kuji baguwa awakutaka kuwa pamoja nawa congo yani wana saidiya rwanda kuipora congo kisa niwatu wamoja ndomana kongo ai waamini
Kweli kabis a
huu ndio ukweli Watu hawataki kuusema Once a Tutsi always a Tutsi na kwao ni Rwanda japo hata Rwanda waliiba kwa Wahutu na kuwaua
@@HomeboyTZ19 hivi wahutu ni asilimia ngapi kwa sasa pale Rwanda???
Mimi sijaelewa. Mbona kagame anasema tz wana interest congo, wanamlinda rais