PROPHET MALISA - "MAFUTA YA UPAKO HAYANA TATIZO, MUNGU ANAPONYA / NABII NI MTU SIO MALAIKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 39

  • @priscajoseph1695
    @priscajoseph1695 9 месяцев назад +1

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa majibu mazuri yenye mafundisho ndani yake,nimekukubari Baba.

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад +2

    Wewe sio nabii wa Mungu KUZIMU imekutuma

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Acheni kuwatukana watumishi wamungu manaa nimbaya sanaa😢😢😢

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Mbayaa zahidi wew unayee mtukanaa ujijui unavifungoo vingapi umefungwaa njoo uombewee mapepo ya kutokee

  • @josephinediu3876
    @josephinediu3876 9 месяцев назад

    Amen 🙏 prophet

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 Год назад +2

    Powerful Powerful

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 Год назад +3

    Beat ya ukichaaukichaa hivi...inavuruga Prophetic code of music

  • @HalfanMsangi-r9h
    @HalfanMsangi-r9h Месяц назад

    Hisi toshee klia malisa mwenyewee sishidaa zakee wew tukanaa ukimalinzaa utalala manaujui utendalo

  • @antoniakunambi5882
    @antoniakunambi5882 Год назад +1

    Powerful

  • @mahadiMkwanda
    @mahadiMkwanda 6 месяцев назад

    Run as

  • @johnchadalaga2089
    @johnchadalaga2089 11 месяцев назад

    Utukufu Kwa JEHOVA MUNGU katika hilo

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +2

    Kweli baba unapelekaga watu hospital mpaka bima unawakatiaga Mungu akulinde

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Год назад +1

    Yaani Mtangazaji nabii Malisa amenigusa sana alivojifanya chizi jamani watumishi wengine waliongea kwa dharau sana. Niliwapenda Mtumishi aliyevaa suti nyeusi na kijana alivaa shati ya pinki alikuwa na 4000 lkn alitoa 2000 akampa Mungu awabariki watumishi hawa yule baba anabembeleza unywe juisi jamani narudia tena Mungu awabariki watumishi hawa.

  • @joycembelwa5325
    @joycembelwa5325 Год назад +1

    Mue mnatoa huo mziki hatusiki vizuri

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima Год назад

    Muamini ambaye hana muda wa kwenda ibadani huyo hana ushirika na Mungu wake,bali kamuweka Mungu kama kitu cha ziada na anaamini asichokijua!!

    • @isaacmerengo7293
      @isaacmerengo7293 Год назад +2

      Ibada hufanyika moyoni mwa mtu na si lazima ukajionyeshe mbele za watu, Biblia inasema mutawatambua kwa matendo yao""" "" "Matendo na si Kwenda kanisani" ""

    • @ElizabethLaizer-h5i
      @ElizabethLaizer-h5i Месяц назад

      ​@@isaacmerengo7293amri ya tatu pia inasema my kumbule siku ya bwana kuitakasa.
      Vilevile walipoketi wawili, watatu Mungu yupo katikati yao

  • @LawiAmani
    @LawiAmani Год назад +3

    Beat inatiya kelele

    • @MansoolJani
      @MansoolJani Год назад

      Mhh wewe hatari Sana mungu akutie nguvi

    • @benignatairo4722
      @benignatairo4722 Год назад

      Zima hiyo beat...mtumishi hasikikii..

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima Год назад

    Hilo swali alilouliza baba mzungu linalohusu mch kuitwa baba malisa amejibu kwa Kona.

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima Год назад +1

    Mmh jamaa huyu hivi ni kweli kuhusu ndoa za india hua hawaachani? Na pia sio kitu kizuri wazazi kuingilia sana mahusiano ya watoto zaidi wazazi kazi yao kumjenga mtoto kabla hajaona au kuolewa ili ajue kuchagua mwenyewe kipi ni kipi!swala la kuoana matajiri kwa matajiri au maskin kwa maskin ni ubaguzi huo kitu ambacho Kristo alikuja kukiondoa

    • @judithwaida3016
      @judithwaida3016 Год назад

      tafuta pesa ili Mungu akupe unachostahili😊

    • @jamesmwakitalima
      @jamesmwakitalima Год назад

      @@judithwaida3016 adam alikua na pesa gani?na hizo pesa unapewa na nani huo ni uongo kua ukiwa na pesa ndo unapata unachostahili, yawezekana wengi huzani wanavyo wanachostahili kwa macho ya kawaida na kumbe ni masikini mbele ya Mungu kama wangelijua wanachostahili ni nini msinge kua na kiburi cha kuchagua

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 Год назад +3

    Huo unabii mnapewaga na nan?? Kuweni makini na manabii wa uongoo

    • @shirrangimedia4570
      @shirrangimedia4570 Год назад

      Nawewe unapata wapi naninani aanakupa maswari hayo ukikataa kua sahv hakuna manabiii wewe hutakiwi kusali Dini yoyote

    • @engribertinnocent7536
      @engribertinnocent7536 Год назад

      @@shirrangimedia4570 manabii hawa hawa wenye njaa ??😀😀😀

  • @importancetv3196
    @importancetv3196 Год назад

    Huu ni prophet

  • @mahadiMkwanda
    @mahadiMkwanda 6 месяцев назад

    Race beenbeen

  • @J.M.C.255
    @J.M.C.255 Год назад

    Mbona mmemuweka picha ya mwamposa kwani huyo mtumishi Ana nini? Mwamposa popote ulipo ulindwe na mungu maana

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima Год назад

    Mwambie malisa atupe hilo fungu lililosema malaika wameumbwa kwa nature ya hivyo vitu

    • @zionembassytv5672
      @zionembassytv5672 Год назад

      SoMo Kubwa sana mkuu,malaika na tabia zake..na maandko yapo

    • @jamesmwakitalima
      @jamesmwakitalima Год назад +1

      Shida yangu ni andiko sio kua nakataa

    • @shirrangimedia4570
      @shirrangimedia4570 Год назад

      Kwaniwewe hujui kwamba kunamapepo ya alidhini namajin naangani swaligani hilo

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 Год назад

      Umeuliza swali zuri Hawa matapeli wa injili

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Sasa beat zanini wakati kunamgeni sasa tusikilize mziki au