KUNA SIRI GANI? HILI NI FUMBO
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.co...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
RUclips : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/...
Brother Rolinga, Mzee Mwinyi kwenye miaka aliyonayo hata akifa atakuwa anapumzika , wanafamilia wakihuzunika ni hali ya kawaida tu ya kibinadamu, lakini kwa umri aliotunukiwa mzee wetu mpaka sasa wanafamilia hata likitokea lakutokea watapaswa kusherehekea zawadi umri mrefu aliwapatia Mungu kupitia Mzee Ruksa.
Barikiwa, neema zaidi kwako.
Analijua hilo ndio maana anasema ameoneshwa,vichwa mchunga wapande imani ikitokea😂😂😂😂
Kaka msiba wowote unauma kwa wafiwa ....ila kama hujafiwa wewe sema kapumzika
Ulimwengu wa roho unanguvu nyingi sana sema wanaojaji hawajui.mtume wa mungu je unaundugu wwte bukoba?
Huyu jamaa sijui anatumia uchawi wa nchi gani au naijeria??😂
Ukisikia Mtu ansema huko mbele siendelei,yanatosha ukute labda nayeye hajui,
Anajua, ila anaogopa kusema, hata yesu alikimbia pale alipotaka kupigwa mawe, ije kua mtume mdogo kama huyu.
@@martinisadru😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌 nimekuelewa kka
Ndg zangu watu hawahitaji mambo ya hizo orodha za watawala wa nchi .
Wanataka kusikia Yesu anawasaidiaje na matatizo waliyonayo .
Watumishi wengi wakishapata tu MAFANIKIO basi wanaliacha kusudi .
Simtetei na wala sio mshirika wake ila kuna kitu naomba uelewe, Kusudi kuu Ni injili ihubiriwe lakini ndani yake kila mtu ameitwa tofauti na mwingine kufikisha kusudi kuu, thats why kuna huduma kuu tano zote hukenga kusudi moja kutimia,, zaidi ya hayo kila mtu ana karama yake hatufanani, hata sare za shule fulani nitofauti na ingine, japo zote lengo kuu ni kupata elimu. Kuna mambo mengi zaidi ya kuyajua kuhusu Mungu, so usihukumu kwa haraka hivyo
Huyu jamaa simfahamu huyo mtumish, lakin najaribu tu kuwaza saut, sasa kwanini kitabu cha wafalme kiliandikwa ktk biblia?!
Ulishaenda kanisani kwake ukaona haubili anayowausu waumni wake na maisha Yao? Yeye kama ni Prophet atawaambia kile Mungu alichomuonyesha na wakati huohuo atahubili na kufundisha neno. Unajua Ibadan zake zina masaa mangapi?
2 wathesalonike 2:1-12 jamani emu tumuombe MUNGU atupe ROHO MTAKATIFU na ufahamu pia,sabu imekuwa tamthilia episodi ya ya kwanza tunasubiria ya pili(UNABII)
NABII anatakiwa aseme so afiche jambo inamaana,YEREMIA 15:19
mungu awe yupo nawe milele
Kubuke wanakataa himani zakweri yesu wana amini eti mutumemuhamad mwarabu koko
Sadaka zinawaaibisha watu aisee
Jamaa liongo kweli yani, 😂
Kadanganya nn?
Au ht humfuatilii mambo
Maana kuna ambayo yashatimia ,Wiki 2 zilizopita
Yes indeed Daddy
Ambo aya yanapatika kwenye taasisi ya ukiristo tu
Audhubillah huyo mungu wenu yuko tofauti mnamuona nyie tu sisi hatujawahi muona wallahi Ww muongo😂😂😂😂😂😂😂
Wanadamu wanapaswa kulinda ufalme wao kwa kufuata ufalme wao
HAKUNA ANAEJUA MAMBO YA GHAIBU ISIPOKUWA MUUMBA MBINGU NA ARDHI TU HAO MALAIKA HAWAJUI CHOCHOTE IWE WEWE UPO JUU KULIKO MALAIKA UKIYAKUBALI HAYA NI SALAMA YAKO UKIYAPINGA JIANDAE KUVAA PEMPAS KABLA YA SIKU 21= AMIIN
dini zote ni upuuzi tuu... cheki sasa hili katuni la kiroho... et misukosuko itatokea... wakati dunia ipo ktk misukosuko tangu covid -19.
Watu kama huyu bwana ni.hatari. Hakuna cha nabii hapo mtaliwa Hadi mkome
Uongo mtupu manabii walishapita na wamesha tumikia wametuachia vitabu sasa wewe na bii gani au kuna mtu unamtumikia maana mambo ya kuabudu hakuna siasa kwa hiyo umetumwa?? Hapa kuna jambo.
Kuna kitu awamu ya sita hiyo mikono unaashiria nn
😂😂😂gari linapinduliwa
Mungu atusaidie
Mimi ni muislam lkn huyu Rev namkubali ila waislam hutabiribmpaka miaka atakayokufa mtubkwa umri gani dishangai na ninachokijua ndani ya ccm kwa sasa utabiri wa mama ni sawa kabisa she knows na ndo maana teuzi zake za ndani ya chama kwa sasa hawasikilizi wale watu tena amesha gundua mikakati yao vizuri tusiseme mengi lkn hongera sana Rev
Hata Kwa jpm alitabiri kabla ya tukio.🙏🙏🙏
AMOSI 3
7 HAKIKA BWANA MUNGU HATAFANYA NENO LO LOTE, BILA KUWAFUNULIA WATUMISHI WAKE MANABII SIRI YAKE.
AMEN❤❤❤
Mwaka 2024/2025 Ni miaka ya chaguzi mbalimbali Tanzania hivyo chama kikubwa Kama CCM misukosuko nijambo la kawaida kabisa. Musimtie Mama hofu mwacheni achape Kazi.
Imani yako imekuponya enenda zako usitende dhambi tena mungu anazungumza na waliyo wake sasa hama huamini shauli yako
Watuwengi wanasema mengi kusu Manabii wa Mungu kitu ambacho sio sahihi,
Kazi ya nabii ni kufikisha ujumbe baada ya kufikisha ujumbe au kutoa unabii huwa kuna maelekezo yanayofwata, na maelekezo huwa n kwaajili ya wahusika waliotolewa unabii , ivyo basi wasipo fwata maelekezo pengine kutakua na badiliko au lisiwepo,
Kumbukeni habari ya yona
Alitumwa kweemda ninawi kuwaambia watu watubu mana wasipo tubu wataangamizwa walipotubu hawakuangamizwa,
Ivyo kueni makini sana msijikwae
Mchungaji utaishia kuwadanganya kondoo wako tu kama ni kweli tupe taarifa na wale waliokufa wanahali gani?😂😂😂
HAKUNA UNABII UTAKAOTOKA KWA MUNGU USIWE NA MAJIBU NA HAKUNA UJUMBE MUNGU ATAUSHUSHA KWA NABII WAKE HALAFU UWE NUSU ETI NABII ANASEMA MENGINE SIONGEI MAANA YAKE SIO SAUTI YA MUNGU ILIYOMPA UNABII NA UNABII HUWA UNAKUJA KWA MAMBO YAJAYO ILI YAFANYIWE MAREKEBISHO PALE PANAPOHITAJIKA
Kweli mtumishi mungu haji bila kuonyesha njia
Sio kweli unabii unakuja ili palekebishwe, kuna nabii zikija lazima litokee, pia hekima ni muhimu sana unapopewa unabii toka kwa Mungu, sio kila nabii unaiongea hadhalani.
mnasomaga bibilia? nabii Isaya alipeleka ujumbe kwa Ezekia kwamba atakufa hakupewa jibu lingine na alipotoa ujumbe aliondoka. Ezekia akaomba akamlilia Mungu Mungu akamponya
cha ajabu ni nini apoo! yeye kapewa Ujumbe wahusika wakisikia waombe
Tusibeze maneno ya wachundaji,tumuweke Mungu wetu kwenye kila hatu tupingayo,Yarabii,tusamehe na utulinde Walinde viongozi wetu na nchi yatu,Afrika, na dunia yote Amen.
Na yesu alituonyesha ishara izo tu basi bila kutupa mwanga mbele kunanini alitupa mikono ivyo tu basi? naamini Mungu yupo ila ilo ndo Swali langu tu
Ludini nyuma nyuma tena nyuma alitabili shehe yahaya
Umri wa kiongozi wa pili ni mkubwa sana, hivyo ni sawa tu kupumzika😊
Kuna wimbo wa muimba injiri mmoja unaimbwa wajinga ndio waliowao alafu wanaitikia wajinga ndio waliwao ........ And so on and so forth 😂😂😂😂😂😂😂😂
In god i trust not human
The only nabii president ambaye alitumwa na Mungu ni Magufuli. Nabii ahana heshima kwaho…love and respect from Congo🇨🇩
"KWAO" siyo "KWAHO"
Amina
@@emmanuelnhyamamanwele1697😂😂😂😂😂
Kifo kipo kwa kila mtu wakati tu ndio tumetofautiana acheni uwongo mnacheza na saikolojia za watu
Unaongea point ila tumia Lugha nzuri na ya heshima kama msemaji u need to be composed and wise
Hawa ndio manabii wa ungo wapo wengi Sana ila yote ya hayo ni njaa tu ndani ya bibilia imeandikwa watakuja manabii wa ungo na haijaandika kutokea tena manabii wengne sasa sijui Huyu anafata bibilia gani na hao wanaomfata wanafata bibilia gani
Manabii wapo,angalia kwenye kamusi maana ya neno nabii
We baki tu na unabii wa uwongo.. You should have a discernment spirit to guide you whelther you are in the right or wrong direction. Mungu akusaidie sana na uwe makini unapo toa comment. Jeremiah 1:5
Biblia gani ilisema hapakuwa na manabii tena, haiaandikwa Kama vijana watatabili na wazee wataota ndoto? Si mtaalamu wa biblia kihivyo lakini nilishawahi kukuana na Hilo neno acha uongo
huyu jamaa ni nabii kweliii
Naona Rais mwingine wa kikatiba 2025 kinabii.... Mungu atusaidie
Kwakweli
Kwa umri alionao huyo wa awamu ya pili anaombewa Nini kama ni miaka ya kuishi kavuka hata Ile tuliyopewa na Mungu Sasa munataka Aishi milele? Wapo watoto yatima na wajane na masikini hao ndo waombewe sio mtu ana tisini na Kenda munamuombea Nini kama ana zambi atubu Kwa Mungu Ili apumnzike. Salaama
😂😂😂 hili jamaa janja sana kinaenda na upepo, saa 7mchana jua litakuwa kali wakati kila mtu anajua kuwa muda huo jua huwa kal
Hakuna nabii karne hii so sad manabii wa uongo ndo wamejaa
Kwenge fake kuna genuine pia, Kama uamini ni juu yako na sio lazima uamini.
Sipati haleluya TV kwa azam naomba msaada
This is man of God, nadhani wamesha tangza mzee Mwinyi ni mgonjwa....tuheshmu na kutii saut ya Mungu
Yes, halafu inaonekana hii mambo ya lowasa ndo yamefanya kuwe kimya!
Subiri wazike tutapata habari
When God servant speak forth the wise listen
Chochote apandacho mtu ndicho atavuna Acha mungu awashughulikie kabisa awam ya nne na ya sita wanatutesa Sana watanzania inawezekana walishiliki kumuondoa magufuri duniani yaani hata siwaombei
Hekima ya binadam mbele za mungu ni upumbavu
Hivi lini mtapata akili hata kidogo kufa ni lazima mnadanganywa yaani nyie kila kitu sawa kwani huwa mna nini kichwani?
Mbona Mambo yote umeonyeshwa ni mabaya kwani haujaoneshwa mazuri au hakuna mazuri kabisa 😅
😂
HUYO WA AWAMU YA NNE MWACHE APOTEZE FAHAMU. ILI APUNGUZE MIPANGO MIBAYA ANAYOIPANGAPANGA.
Mhmhmhm jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila matapeli hawa😂😂😂
Matapel wakati unabii umetimia awamu ya pili ameshafarik
@@simondogtrainer7498huyu jamaa ni hatari cn hakoseikosei huyu mama 2025 hatobaki
Awamu ya 4 ni 🔥🔥🔥🔥. Kwa mwamba atapoteza kumbukumbu 😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Huyu jamaa sijui anatumia uchawi wa nchi gani au naijeria??😂
Tatizo la kiafya sio utabiri, wapo kwenye muda wa mwisho wa uzee. Wanaishi miaka ya neema changamoto za kiafya ni kawaida. Kuhusu misukosuko kwa Samia ni kawaida pia maana mabadiliko hayaji kirahisi, huu sio utabiri ni mambo tu yapo wazi yanaonekana
Kweli
Kwakuwa unampenda Sanaa au,niwewe sasa unayesema ivo.. we mwache mungu afanya yake bwana weee,!
kuna mabo hayatakiwi kuendelea ili makusudi ya mungu yapate kutimia
Mimi kuna maombi mazito nafanya na kila alichoongea ni kama kwelii. Nilisikitika sana baada ya Rais Magufuli kutuacha. Nilisikitika sana. HAYATI RAIS MAGUFULI angeipeleka Tanzania Mbali sana aisee..
Ila maombi siachii. Lazima malipo ni hapahapa Duniani. Mtu ataikimbia...
Ystawashinda IshaAllah"
@@rayyahinay-hp7jf mbona sijakuelewa?
Biblia inakataa dini unayo husiana na siasa
Ww uwe wa kwanza kufa
Hapo nimeelewa kitu mungu anataka atubadilishie kiongozi wa ich 2025
Mungu ibaliki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
Ninyi watu ni wasomi ila hamna akili bogaz kbsa
Na iwe hivyo in Jesus name
e@@hafidhwajina6718acha iwe
Ee mwenyezi MUNGU kwakua umenipa masikio na macho acha nisikilize ukuu wako na kuuna utabiri wako
Huyu awmu ya sita aondoke tu mapema maana hatumtaki kabisa
Kweli kabisa
Acha waende kwendaaaaaa
Huyu bibi kizee Asepeee tuu hakuna anacho kifanya zaid ya kutukandamiza watanganyika
Huyo mungu wako niyupi,moto unakusubili wewe nabii wauongo huwezikua nabii ukaacha kuhubili amli 10 za mungu ukatabili eti siasa unadhambiwewe tubu unapoteza watu wamungu wasio soma biblia
Huyu nae muongo alionyeshwa rais MAGU mbona akuomba kama mtumishi wa MUNGU .MUNGU anapokuonyesha jambo ukiwa oama mtumishi wa MUNGU unapaswa kuomba na kuzuiya mjona akuomba mpaka MAGU RAIS. WETU KIPENZI AKAFARIKI
Rolinga huw nakufatilia San kwa maono yako huwa nayaunga mkono toka uliposema kuhusu magufuli watu hawakuamin na uliomba tufunge kwa muda wa wiki mbili tumuombee magufuli lakin watanxania hatukufany hivo na ukishika bendera ya tz na yakatikea ,mgogor wa Kenya nao ukauombea ukaisha kwa hili Sina budi kuungana nawe kuwaombea Hawa viongoz maan Hadi sas awamu ya pili yuko kalazwa hospitl
Umekosa Cha kuhubiri wewe
Huyu na kama anabet tu, unamtabiriaje mauti mtu mwenye miaka zaidi ya 90? Yaan unabeti mechi kwny dk za nyongeza? Tupumzishe ndugu nabii
Upindua mikono tafsiri yake ni mapinduzi
mapepo ya utambuzi.. makanisa sasa wanapiga lamli... eti awamu ya 2.... amejua mzee anazaidi ya 90 amezeeeka... anataka apitie hilo... tabilia nduguzako vifo waokoke kabla
si mzee Mwinyi keshajizeekea jamani alaf kwann watu wengine wanapata magonjwa wanakufa ila viongozi tudhani kana kwamba wasife?? We are all humans and death is part of us all...mtumishi Mungu akufunulie siri zake za ufalme maana wengine wanamsingizia Mungu
Hawa manabii kama waganga wa kienyeji Tu wanaenda Na upepo Mzee Hassan umri umeenda maradhi ya uzee yanamwandama akienda muda umefika utabiri miyeyusho ukienda Kwa mganga wa kienyeji akikuuliza umeoa ukamjibu ujaoa umesha MPa jibu la matatizo yako atakwambia acha zinaa utafanikiwa
Ndugu zangu ni bora ukanyamaza kuliko kuandika utumbo heri utumie wahuni wenzio text mungu endelea kumtumia mtumishi wako na mpe moyo wa Iman
Hapo kwenye vitendo au basi.... Nimekuelewa 😂😂
Hapo ni -------- muramura ndani ya CCM 🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Umeelewa nini .jibu kma umekamatwa na watu wasiojulikana 😄😄😄😄😄😄
What God planned will happen, God wants to rule the world from Tanzania. Isaiah 19. What was planned was opted and will be.
Vita Urussi na Ukraine bado inaendelea. Na ulitutabiria ingekwisha ndani ya miezi minne. Sasa ni mwaka mmoja tokea utabiri. Kulikoni?
Shida sio unabii Kama shida n maelekezo yanayofwata baada ya unabii Kama watu hawakuyafuata maelekezo basi hakuna mabadiliko
Hassan si uende msikitini unafanya nini humu... mnajaaga makanisani mpaka tunakosa sit bado na huku mnatufuata umeitwa ?😄
😅😅
@@jesuspower2390
Mimi nasikitika sana wewe ambae unataka kufa Kwa sababu ya kufikiri kila MTU Ni wa kumkosoa ...Ni Sawa na kuweka kidole kwenye mashine ya kusaga na kukoboa
Ni Mtumishi Wa MUNGU hajajituma
Wakiristo nao hawakomi kudanganywa makanisani sijui wakoje! mbona waislam mambo hayo ya kufunikwa akili hivi hayapo?
Kwani nako kuna Mungu?
Nani atafunulia kwani alhla nae ni mungu munamuabudu shetani ndo maana akuna ufunuo wowote mungu aliagiza atanena na watu wake kwanye maono na kwenye ndoto uyu wakwenu sio mungu ndo maaana yupo kimya hata mtume wenu alisema hatayeye ajui aendako lakini yesu alisema nakwenda kuwaandalia makao nilipo nanyi muwepo
Utapeli na ujinga mtupu. Hawa wanaojifanya kutabiri na kuponya wakiugua wanaenda hata kwa sangoma.
2025. SIO HUYO KUNAPINDUAPINDUA. ni mwinginne ila CCM hukohuko.
Mimi ni muislamu ila nakubali utabiri wako maana naona unayo tabiri yanatokea
HUYO BORA APOTEZE KUMBUKUMBU.MAANA ANAIYUMBISHA NCHI YETU.
😂😂😂😂
Una mwanasheria kka 😅😅😅😅😅😅😅
NI KWELI.
KUNA SIRI.
Siku za mwanadamu kutokana na maandiko zimehesabiwa, hakuna kuongezeka wala kupungua! Siku na saa ikifika hakuna wa kuzuia. Sasa hii ya siku hizi ya kupambana kuvunja roho ya mauti ni vipi? Kwahiyo siku zinaweza kuongezwa kwa maombi na sala. Ile kauli ya siku za mwanadamu zimehesabiwa ni za kufariji wafiwa ???
Kasome Biblia yako vizuri. Unaweza kuongeza au kupunguza siku zako (zile zilizoandikwa na kuamriwa) wewe mwenyewe!
We ni loongo
Huwezi kumuamini nabii mpaka MUNGU akujaaliye roho ya kinabii ndani yako..ndiyo utamwamini nabii
Nikama vile ili uuamini uongo ni lazima roho ya uongo ikae ndani yako
Kilichotamkwa kimetamkwa na tuliojaaliwa kusikia tumesikia..
Kwamba ni cha kweli au si cha kweli, muda utatuambia...
Ulipotolewa unabii wa kifo cha Jpm walikuwepo wapingaji wakapinga kwa maneno ya dharau, yalipotimia tu haohao wakageuka na kulaumu eti kama ulijua kifo kitatokea mbona hukumuombea asife...yaani watz ni buree kabisa.
Wanafamilia mumeambiwa muombe, sasa zembeeni mulie kilio cha kusaga meno
MUNGU ambariki nabii wake
Hawa natapeli wana shida sana mzee anakaribia miaka mia unatabiri nini JK ana zaidi ya miaka 70 unatabiri nini
Sasa hii jmn maono gani hy Mwinyi anaumwa sn muda mref,,,, shenz type 😢
Uongo mpunguze,sio kujifanya watabiri ilhali mnaona kwa macho
Nimejua hapo, atapindiliwa asipoo mtii Munguu😅😅😅
UPUUZI MTUPU:
Usaniii mmmh
😂😂😂❤🎉😢😢😮
Rest In Peace Mzee Mwinyi
Aachie ngazi tu amkabidhi Majaliwa
Namtabiri ajaye ni christian, ila akijaa anko Majaliwa nimotoooo😅😅
Hatoachia, na anamaliza urithi wake na kumi juu tunampa.
Mmmh imeendana kwkwl
Kwan ukiomba ndo hufi😂😂😂 wemwenyewe utakufa
Acha kudanganya watu ww mpuuzi ww nabii gani hujui idadi ya nywele zako kichwani ziko ngap ukajue mipango ya mungu mbwa ww
Hakuna jipya chini ya jua, watu kama nyie hamtaisha Hadi kiama, utakufa wewe, atainuka mwengine kama wewe, na hata wewe! Upon kama wale, walowasema mitume kwa chuki, na hutajitambua, kwa kua upon kifungoni.
Muongo mkuu wwe danganya wasosoma maandiko wwe tafta ugari ule
Wacha wafe wanatuuza Kwa Wazungu mbwa Hawa
Onanyoka wariva pangana wamemuua mwenzao
Kujipa majukumu yamungu mashetani nyie
Tena hao mbwa wenzio umewakusanya na kuwaaminisha
Imeisha hiyoooooooo basi
Mmmmm kila mtu lazima afe
Mtumishi acha kutisha wanadam ukiona kitu omba kimya kimya kifo pia Ni mpango was Mungu,Yan ukiongea hivo watu wanakuwa wanahofu
Kwaiyo hapo anatisha
Huyu jamaaa alitabiri kifo cha Magufuli
Hivi kwa nini Tanzania tunaandamwa sana na majanga,je mungu ametuchukia Tanzania,Kama taifa tumite mungu
Kwa upande wa awamu ya 6 kuna vitu ilivikataa vya awam ya 5 mungu ni wa haki