Sheikh kishki naomba umuhuhusie Mwijaku mmb mawili km utaipata hii comment yng, kwnz aache kwenda kule ktk kipindi ch Mr. right kuhalalisha ZINAA, pili aache kujipatia kipato kupitia mmb ya KAMARI (BET). Allah atusameh na atuongoze sote na kw rehma zake akatuingize ktk pepo yake inshaallah 🤲
Sheikh kishk Allah ampe Baraka nying nampenda Kwa ajili ya Allah huyu shekh akiona jambo baya lazm akemee na ana hikma sana ni kitu cha kujivunia sisi waislam kuwa nae
Mashaallaah muelekeze sheikh wangu ili atubie hakika ya ALLAAH husamehe madhambi yote hata sisi tunakosea na tuna tubia ALLAAH akubali toba zetu Inshaaallaah AMIN
Allah akulipe kheri in shaa Allah Ila hpo wakisha na ilo kundi la konde gang nakuomba Sheikh Nurdin Kishki wapge daghawa wte wamrudie Mola wao mlezi alieumba mbingu na ardhi in shaa Allah 🤲
MashaAllah vzr sana na mm nakuomba sheikh wety mnasihi mwijaku anvalishe mkewe stara anatembea kichwa wazi na masuruali, na kujionesha kwa sana wallahi Allah atuongoze na atupe mwisho mwema sote,
Mashallah mashallah nurdin kishik,, mtaalam wetuu wa dunia,, tunakuelewa vzr snaaaaaaa mtaalam wetuu,,,wew ndo kiigzo chema katika mashekh wote ,, wajifnze mengi kwakoo,, mtaalam wetuu wa dunia tunakuelewa vzr snaaaaaaa
Haronaiz kafanya vibaya ata linganiwa inshallah kwauwezo wa allah ila sasa kuna ili ombilangu tu shekhe kishki huwa nampenda kwakweli angeniowa kwauwezo wa Allah 🙏🙏🙏😢😢😢😢😢from burund😢😢😢
Maashaa Allah hivi ndivyo inavyotakiwa ki dini umuete au umfuate mukae mumuelimishe kwenye kosa lirekebishwe sio kumuapiza na kuoayukwa kwenye majukwaa kwa kumdhalilisha hata mitume walitumwa waende wakawafundishe na kuwaelimisha na kutubia kwenye makosa ikiwa atakataa na kufanya kibri hapo ndo wajib ushafanyika anaachiwa mwenyewe Allah subhanna Wataala nini afanye kumuachia aendelee kukufuru au kumtia mitihani ili aone makosa yake ili aone njia ya kutubu Allah akufanyieni wepesi 🙏🏻
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa kuliona hilo sio jambo dogo lazma Allah akupe huruma yake wengi wao wanajua mtu akikosea anahukumiwa anajisahau hata yeye ni mkosefu mfano sheikh sure kipindi anamuhukumu hamor kwa kuchora tatuu ni kharamu na yeye mwenyewe kichwani kanyoa panki ni haramu vilevile hiyo ndio changamoto
Kitu unacho kifanya sheikh.. ni kitu kizuri.. BarakaAllah.. Japo ujaribu kulingania hawa watu.. Kwa sababu.. yan.. Hakki lillah, kazi zote anazozifanya Harmonize ni Haraam tupu hapo.. kupromote kamari, kufanya Mziki, na sio mziki tu wa kawaida.., miziki yenye maudhui ya matusi na zinaa.. Kwahiyo Sheikh Jaribu kulingania haya mambo.. InshaAllah.. Ameen
Mashaallah kishik we ni Bora ila mpe elimu shekh sule jinsi ya kutumiya busara hii Sasa ND maana ya msomi na so yule anaye zungumza bila kujali kipi aseme allah akulinde
Namuomba Allah amuongoze harmonie sababu kwenye hii dunia hta uwe na pesa vp km haumjui Allah ni sawa na bure utaongea vitu bila kufikiri najua kaongea maneno sababu hamjui mola wake vizuri Allah atamuongoza in shaa ALLAH nimegundua kitu familia nyingi za kitanzania wengi tunatoka familia maskini tunakuwa tukiona wazazi waki hustle na hii dunia tunapewa pressure nyingi za kutafta pesa kuliko kumjua mola wetu kabla ya kuanza kumtafuta Abdullah ni lazima tumjue kwanza Allah kabla ya kumjua mja wake sheikh nurdin انا نحن نحبك اكثر في لله الله عزوجل يحفذك
Shekhe kishki naomba uje unioe tafadhar nipo tayar ata kua mke wa4 wallah mungu shahdi naomba kila siku kwa mung anipe mme bora ambae atanitunza kwa mising ya dini jamn mfikishien ujumbe wangu mh.shekh kishki
katka mashekhe wooote waliongelea inshu ya harmonaise nimependa shekhe nurdin bila kumlaumu kaamuwa nora anuite umefanya hekma kubwa sana ALLAH akuzidishie uwezo wa kuelewa ba kuchuja mambi bila kuanza maneno
Salam alykum warahmatullah wabarakat, upande wangu sina uhakika kama mwijaku pia ni mtu sahihi kushirikishwa katika hili, Tafadhali tusiyaonee aibu mabaya ya mtu kwa sabab ya nafasi yake au wadhifa wake, NB: tusijikurubishe na madhwalimu ambao wanaielewa njia iliyonyooka lakin bado wanafuata njia potofu.. Kuwen makini mashekh na huu uma wa sasa kwa sababu mtajikuta kuwa watumwa kwao.. Inshallah Mungu atufanyie Tawfiq, salaam
mashaallah sheikh kishk ulifanya vizr kumwalika umwelezee huyo ndio uislam na Allah anapenda hivyo Inshaallah yawe mazungumzo ya aman na Allah amuongoze kwenye njia ya haki ya uislam asalaam aleykum
QURAN (EWE MUHAMMAD WAAMBIE WAJA WANGU WASIKATE TAMAA NA REHMA YA MWENYEZI MUNGU HAKIKA ALLAH HUSAMWHE MAKOSA YOTE)ALLAH ATAMPA HIDAYA TUSIWE WAKALI WAKUMKATIA TAMAA
Ya akhi Kishky. Nafurai kwahaya. Sisi ni umma bora kwa ku amrishana mema na kukatazana maovu. What you did is devine. It's up to him now. If he wants to change for the better or remain in is world of fantasy. Itamjia siku 😢😢😢 Ya laitani kuntu turaba 😢
Jambo zuri sana sheikh kumuita ili kumuelimisha na sio kumkufurisha kwa maneno ya kufru aliyo yasema ilhali bado ana sema yeye ni muiislaam itabaki amesema maneno ya kufru lkn hatuwezi kumkufurisha
Unafiki wa hawa maSheihk, mbona Afande sele ajaitishwa bali kafaniyiwa Duwa na akauwawa Lakini Harmonize wanamuogopa saabu wanajuwa kwamba urozi wawo hauwezi kutumika kwake
Kwa kuwa ni msani tena anafanya KAZI ya shetani mlishindwa kuwakemeya mapema na mko nawo sana sijui kitu kidogo mnapokea kwao iko uci iko nawanawake kila aina namengene eti.mtoto wa sheikh
Muna jisumbua mashekh vijana wakiwa maarufu hufanya wachotaka minaona mupapoteza muda munge liombea taifatu hao watajua wenyewe maana kesho utasikia jingine kuliko hilo
Ivi awa mashekh wetu Hana kazi zakufanya mfasi wa shetani wanamlingania nini kama Wana uwezo mkatazeni.kupiga mziki kinyume nahapo mnamwagia maji BATA.mgongoni kaka diamond sanava misaraba anatowammicango kanisani anaimba na rozi mhandi.mamsifia eti kajenga msikiti kigoma KAZI bure kabla hajatubia ni khasara tupu
Maa shaa Allah.Sheikh kishki umetumia Busara la hali ya juu . Allah akuhifadhi daima Duniani na Akhera Aaamin
Sheikh kishki naomba umuhuhusie Mwijaku mmb mawili km utaipata hii comment yng, kwnz aache kwenda kule ktk kipindi ch Mr. right kuhalalisha ZINAA, pili aache kujipatia kipato kupitia mmb ya KAMARI (BET). Allah atusameh na atuongoze sote na kw rehma zake akatuingize ktk pepo yake inshaallah 🤲
Allahumma Aamiin,
Na anabeti sana na mwenzake babalevo kamari kwake imekua kawaida sana
Nampenda uyu sheikh hana baya hakurupuki
Allahuma aamin
Allah karusu kamali na kushika wanawake ndo ulijali katika uwislam mfn mwislamu kumshika Mtu matako ni Sunna usipende ukumu soma
Sheikh kishk Allah ampe Baraka nying nampenda Kwa ajili ya Allah huyu shekh akiona jambo baya lazm akemee na ana hikma sana ni kitu cha kujivunia sisi waislam kuwa nae
Mashaallaah muelekeze sheikh wangu ili atubie hakika ya ALLAAH husamehe madhambi yote hata sisi tunakosea na tuna tubia ALLAAH akubali toba zetu Inshaaallaah AMIN
Mwijaku kwenye kwenye maswala ya dini yupo Vizuri ila Uchawa mwingi😭
MashaAllah Sheikh ALLAH Akubariki 🤲💚💚
Allah akulipe kheri in shaa Allah
Ila hpo wakisha na ilo kundi la konde gang nakuomba Sheikh Nurdin Kishki wapge daghawa wte wamrudie Mola wao mlezi alieumba mbingu na ardhi in shaa Allah 🤲
Nampenda huyu baba. Yeye anakufundisha sio.kuhukumu mwenye kuhukumu.ji.mungu tu ila.waja tunakosea kuhukumu mtu anapokosea nimkufundishwa kwanza
Mashaallah Allah akujalie kila la kheri Sheikh wetu..Twakupenda kwa ajili ya Allah
Insha Allah yaarabi
Amiin
Sheikh wangu kitambo uko na uturivu yaani wewe baba pepo yako ipo kwa mungu nakupenda sana
MashaAllah vzr sana na mm nakuomba sheikh wety mnasihi mwijaku anvalishe mkewe stara anatembea kichwa wazi na masuruali, na kujionesha kwa sana wallahi Allah atuongoze na atupe mwisho mwema sote,
Ameena
Maashaallaah sheikh wetu tunakupongeza mpo kwaajili yakutuelimisha muhusie kijana ameteleza tu🙏🙏
Inshaalah heri Allah atufanyie wepesi nurdin kishki nakukubali sana unahekma sana na mwinjaku mtu wa maana kabisa
MASHAA ALLAH shukrain sn shekh wetu kwa hekma uliyo ifanya ALLAH BARQI koo nzima ya kishki online TV
Amiin amiin amiin
Inshallah
Nampenda mwijaku hana kibur mashallah
Mashallah mashallah nurdin kishik,, mtaalam wetuu wa dunia,, tunakuelewa vzr snaaaaaaa mtaalam wetuu,,,wew ndo kiigzo chema katika mashekh wote ,, wajifnze mengi kwakoo,, mtaalam wetuu wa dunia tunakuelewa vzr snaaaaaaa
Angalia sana Ndugu yangu Mapenzi hayo yawe kwa ajili ya Allah! Usije kuwa chawa hata akikosea ukashindwa kuyaona hayo Makosa
Assalam alaykum warahmatulullahi wabarkatu, tupo pamoja tokea Lubumbashi Wantashi
Haronaiz kafanya vibaya ata linganiwa inshallah kwauwezo wa allah ila sasa kuna ili ombilangu tu shekhe kishki huwa nampenda kwakweli angeniowa kwauwezo wa Allah 🙏🙏🙏😢😢😢😢😢from burund😢😢😢
Maashaa Allah hivi ndivyo inavyotakiwa ki dini umuete au umfuate mukae mumuelimishe kwenye kosa lirekebishwe sio kumuapiza na kuoayukwa kwenye majukwaa kwa kumdhalilisha hata mitume walitumwa waende wakawafundishe na kuwaelimisha na kutubia kwenye makosa ikiwa atakataa na kufanya kibri hapo ndo wajib ushafanyika anaachiwa mwenyewe Allah subhanna Wataala nini afanye kumuachia aendelee kukufuru au kumtia mitihani ili aone makosa yake ili aone njia ya kutubu Allah akufanyieni wepesi 🙏🏻
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa kuliona hilo sio jambo dogo lazma Allah akupe huruma yake wengi wao wanajua mtu akikosea anahukumiwa anajisahau hata yeye ni mkosefu
mfano sheikh sure kipindi anamuhukumu hamor kwa kuchora tatuu ni kharamu na yeye mwenyewe kichwani kanyoa panki ni haramu vilevile hiyo ndio changamoto
Sheikh kishk
Allah akubariki na akuhifadhi
Wafikishie ujumbe siku ya siku wasiseme masheikh hawajatukumbusha
Kitu unacho kifanya sheikh.. ni kitu kizuri.. BarakaAllah.. Japo ujaribu kulingania hawa watu.. Kwa sababu.. yan.. Hakki lillah, kazi zote anazozifanya Harmonize ni Haraam tupu hapo.. kupromote kamari, kufanya Mziki, na sio mziki tu wa kawaida.., miziki yenye maudhui ya matusi na zinaa.. Kwahiyo Sheikh Jaribu kulingania haya mambo.. InshaAllah.. Ameen
ALLAH azidi kukupa hekma shehe Kishki katika hili
Allahumma Aaameen
Mashaallah kishik we ni Bora ila mpe elimu shekh sule jinsi ya kutumiya busara hii Sasa ND maana ya msomi na so yule anaye zungumza bila kujali kipi aseme allah akulinde
Alhamdulillah mwijaku wewe una yako lakini unajitambua pili usishiriki sherehe yazina tatu pambania kipato chako kwanjia ya Allah 😢
Namuomba Allah amuongoze harmonie sababu kwenye hii dunia hta uwe na pesa vp km haumjui Allah ni sawa na bure utaongea vitu bila kufikiri najua kaongea maneno sababu hamjui mola wake vizuri Allah atamuongoza in shaa ALLAH nimegundua kitu familia nyingi za kitanzania wengi tunatoka familia maskini tunakuwa tukiona wazazi waki hustle na hii dunia tunapewa pressure nyingi za kutafta pesa kuliko kumjua mola wetu kabla ya kuanza kumtafuta Abdullah ni lazima tumjue kwanza Allah kabla ya kumjua mja wake sheikh nurdin انا نحن نحبك اكثر في لله الله عزوجل يحفذك
❤shekh kishki mungu akupe firdaus insha Allah
MashaAllah sheikh uzidi kututunza biidhinllah mungu akujaze kher hapa na kesho mbele ya mungu InshaAllah
Shekh kishk mwambie mwijaku kuhusu mikopo ya riba
Shekhe kishki naomba uje unioe tafadhar nipo tayar ata kua mke wa4 wallah mungu shahdi naomba kila siku kwa mung anipe mme bora ambae atanitunza kwa mising ya dini jamn mfikishien ujumbe wangu mh.shekh kishki
Hata mimi natamani km wewe
Maa shaa Allah.Nataraji ujumbe umefika, Ila nikuombee dadangu.upate Mume mwema.
Maashaallah mm nampenda sana uyu shekhe Allah amlinde 🎉🎉
Aamin thumma Aamin thumma
Harmonize Mzee Popo 🦇...ni laana Kwa Taifa yetu Tanzania... Uchawi utamuponza🙏🙏🙏🙏🙏
insha'Allah afike acdharau viongozi wa dini dunia ni mapito
Maa Shaa Allah Allah Akulipe KHEIR Nyingi
Mashaallah Shekh kishki
mashaAllah sheikh kishaky umefanya wajibu unaotakiwa hasa katika dini yetu ya kiislam
katka mashekhe wooote waliongelea inshu ya harmonaise nimependa shekhe nurdin bila kumlaumu kaamuwa nora anuite umefanya hekma kubwa sana ALLAH akuzidishie uwezo wa kuelewa ba kuchuja mambi bila kuanza maneno
MASHALLAH 😮
Salam alykum warahmatullah wabarakat, upande wangu sina uhakika kama mwijaku pia ni mtu sahihi kushirikishwa katika hili, Tafadhali tusiyaonee aibu mabaya ya mtu kwa sabab ya nafasi yake au wadhifa wake,
NB: tusijikurubishe na madhwalimu ambao wanaielewa njia iliyonyooka lakin bado wanafuata njia potofu..
Kuwen makini mashekh na huu uma wa sasa kwa sababu mtajikuta kuwa watumwa kwao..
Inshallah Mungu atufanyie Tawfiq, salaam
Ubarikiwe sana sheikh, uwo ndo uongozi,mwite mtoto na umufundishe madili mema na si kumukandamiza kidini, mora azidi kukulinda, inshallaaaaaaaaah
Nimefurahi sana allah akuzidishie shekh.
Mashaallah Leo Shekh. Wetu Kawa mpole Leo🥰🥰ila mwijaku Kwan una wahi wap mbona unaongea haraka sana😂😂😂
😅😅😅 nilijua mimi tu ndio kanichanganya
Anakimbia maswali ya mbano
Eeh leo Mwijaku ana haraka, anaenda kwa harmonies 😂
Nakwamby he
Bdo walezi wapi katika dini mashaallah
Shekh kishik nampenda sana anajua nn maana ya busara na so sule Allah akulinde kishik kipenz cha watu
Allah akulipe kishik
Mashaallah 🎉🎉
Masha Allah ❤❤
MashaAllah ❤❤❤
mashaallah sheikh kishk ulifanya vizr kumwalika umwelezee huyo ndio uislam na Allah anapenda hivyo Inshaallah yawe mazungumzo ya aman na Allah amuongoze kwenye njia ya haki ya uislam asalaam aleykum
Safi sana sheikh kishik umefny maamuz ya busara sana shut up on me sheikh wng Mungu akubariki zaidi...
Maashaa Allah 💖
Malim ukisha kumuita harmonize please muite na manara anaichezea sanaa dinii mpumbavu yulee
😂😂😂😂😂😂wewe unaniacha nacheka mpaka sheikh ataona siko serious
Wewe ni ndugu yangu au majina tu yanafanana?@@chumchum1526
Kweli kabisa kusoma Quran kama wanasoma kaswida
😅😅😅😅😅😅pumbavu zake
Mashara Allah ❤❤🎉🎉
Allah ampe umri mrefu sheikh wetu
Bismillah mashaallah
QURAN (EWE MUHAMMAD WAAMBIE WAJA WANGU WASIKATE TAMAA NA REHMA YA MWENYEZI MUNGU HAKIKA ALLAH HUSAMWHE MAKOSA YOTE)ALLAH ATAMPA HIDAYA TUSIWE WAKALI WAKUMKATIA TAMAA
Alhaji daaah Hivi Mundu anapenda muziki na mambo ya hánasa ili tuone hija yang imeenda vzr ni mâbadiliko ya lifestyle ya kupenda hanasa
❤❤❤ mashallah
Ya akhi Kishky. Nafurai kwahaya.
Sisi ni umma bora kwa ku amrishana mema na kukatazana maovu.
What you did is devine. It's up to him now. If he wants to change for the better or remain in is world of fantasy.
Itamjia siku 😢😢😢
Ya laitani kuntu turaba 😢
Maashaallah anafurahi san mwinjaku ila huyo msani nae hajitambui
Ashauriwe juu ya kuweka vipini na herini pia inshaallah
Mashaallah shekhe wetu
Akija muambie aachane na wanawake wa kikristo ndio wanampotosha atafute muislam aowe
Lazima, Amunaz huo afike kuwito Yako Cheikhs tumefwata Live tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO, hafike hasua. Macha Allah.
Mwijaku mshenzi sana hahahhaha ajui kama yuko na sheikh
😂😂😂
Sheikh unafanya jambo kubwa sana. Allah SW Atakulipa malipo makubwa !
Mashaallah
Jambo zuri sana sheikh kumuita ili kumuelimisha na sio kumkufurisha kwa maneno ya kufru aliyo yasema ilhali bado ana sema yeye ni muiislaam itabaki amesema maneno ya kufru lkn hatuwezi kumkufurisha
Jambo zuri
Masha-Allah ❤❤❤❤
🔥
Mashallah❤
Msipo mkubali Kristo
Mtaenda kumsaidia shetani adhabu yake
Sheikh Kishk Mwenyezi Mungu akuzidishie,,,haufanyi kama wafanyavyo mashekh wengine,,,,,,,,
Mungu akuongoze,,akujaalie mwisho mwema
Mashallah
MashaAllah
maa shaa Allah
Swala zuur sana sheikh wetu sisi ila sujui kama nakosea sheikh nisamehewe naomba waitwe hata kaka zake mzee Yusuf na afande sele wawe pamoja kumradhi
Mashaallah Mashaallah
Kishki mtu wa Maaana sana kapoa
Unattubutu kumfananiza mungu muumba wa vyote na mwanamke maana umemtia viuongo a 3:54
Ivo uislam ndo unafaa, aitwe ambiww atubu akikataa Sasa hapo asilaumu watu
uyo mwijaku aache kamari
Ila bina damu mnapenda kuyakuza mambo
Assalm alykm warahmma tullwah wabarakatu
Shaikh akija Muite na Sheikh Sule Mumpe nyote wasia Assalamualaykum warahmatullah wabarakatuh
Harmonize alikuwa awafate mashekhe sio kuitwa
Acha bidaa
Hamonaizi kakosea ukweli Tena Sana kwenye dhambi m/ngu alisamehi nikumshirikisha mungu, hawez kusamehe, Lakin hatuna hukumu yakumuhukum kumlaan ispokua kuongea nae kwanasaha mzuri, hata firauni alipojiita mungu alilinganiwa kwakauli layni hivo yaani,.
Usifosi mungu wa amo awe wako hiyo mijitu Ina mungu wao mtumie akir kufikiri mamb
Naam na tunataka tuone je kweli alikuja na ulimuhusiya nin
@Sheikh Nurdeen Muhammad Al-Ahdaly muusie sana huyo jamaa (Mwijaku) aache RIYA,
Aache RIYA,
Aache RIYA.
Assalm aalaikum
SHEIKH KISHKI YUPO SAWA. HIVYO NDIVYO INAVYOTAKIWA
Unafiki wa hawa maSheihk, mbona Afande sele ajaitishwa bali kafaniyiwa Duwa na akauwawa
Lakini Harmonize wanamuogopa saabu wanajuwa kwamba urozi wawo hauwezi kutumika kwake
Mwambie aache riya
Kwa kuwa ni msani tena anafanya KAZI ya shetani mlishindwa kuwakemeya mapema na mko nawo sana sijui kitu kidogo mnapokea kwao iko uci iko nawanawake kila aina namengene eti.mtoto wa sheikh
Hamonaizi alifanyaje
Uyo mwjaku izo kauli alizo ongea harmonize angeongea diamond uungeenda kumuombea mxamaha
Naomba sheikh tuwape usia pia mushrik
Akifika bakolaa kwanza baadae mazungunzo
Muna jisumbua mashekh vijana wakiwa maarufu hufanya wachotaka minaona mupapoteza muda munge liombea taifatu hao watajua wenyewe maana kesho utasikia jingine kuliko hilo
Kiskh naye ni msanii tu
Ivi awa mashekh wetu Hana kazi zakufanya mfasi wa shetani wanamlingania nini kama Wana uwezo mkatazeni.kupiga mziki kinyume nahapo mnamwagia maji BATA.mgongoni kaka diamond sanava misaraba anatowammicango kanisani anaimba na rozi mhandi.mamsifia eti kajenga msikiti kigoma KAZI bure kabla hajatubia ni khasara tupu
😭😭😭😭😭
😢