WITO MZITO WA SHEIKH KISHK KWA HARMONIZE / MWIJAKU AWA MTU KATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024

Комментарии • 223

  • @omarmwabege
    @omarmwabege 26 дней назад +3

    Maa shaa Allah.Sheikh kishki umetumia Busara la hali ya juu . Allah akuhifadhi daima Duniani na Akhera Aaamin

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Месяц назад +138

    Sheikh kishki naomba umuhuhusie Mwijaku mmb mawili km utaipata hii comment yng, kwnz aache kwenda kule ktk kipindi ch Mr. right kuhalalisha ZINAA, pili aache kujipatia kipato kupitia mmb ya KAMARI (BET). Allah atusameh na atuongoze sote na kw rehma zake akatuingize ktk pepo yake inshaallah 🤲

    • @LuqmanAndrew-nu9rx
      @LuqmanAndrew-nu9rx Месяц назад +3

      Allahumma Aamiin,

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube Месяц назад +3

      Na anabeti sana na mwenzake babalevo kamari kwake imekua kawaida sana

    • @farahali6041
      @farahali6041 Месяц назад +4

      Nampenda uyu sheikh hana baya hakurupuki

    • @husseinhamis1428
      @husseinhamis1428 29 дней назад +2

      Allahuma aamin

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 29 дней назад

      Allah karusu kamali na kushika wanawake ndo ulijali katika uwislam mfn mwislamu kumshika Mtu matako ni Sunna usipende ukumu soma

  • @feisalmhina7146
    @feisalmhina7146 29 дней назад +9

    Sheikh kishk Allah ampe Baraka nying nampenda Kwa ajili ya Allah huyu shekh akiona jambo baya lazm akemee na ana hikma sana ni kitu cha kujivunia sisi waislam kuwa nae

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 Месяц назад +20

    Mashaallaah muelekeze sheikh wangu ili atubie hakika ya ALLAAH husamehe madhambi yote hata sisi tunakosea na tuna tubia ALLAAH akubali toba zetu Inshaaallaah AMIN

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 29 дней назад +4

    Mwijaku kwenye kwenye maswala ya dini yupo Vizuri ila Uchawa mwingi😭
    MashaAllah Sheikh ALLAH Akubariki 🤲💚💚

  • @khamisroro4589
    @khamisroro4589 29 дней назад +3

    Allah akulipe kheri in shaa Allah
    Ila hpo wakisha na ilo kundi la konde gang nakuomba Sheikh Nurdin Kishki wapge daghawa wte wamrudie Mola wao mlezi alieumba mbingu na ardhi in shaa Allah 🤲

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b 29 дней назад +3

    Nampenda huyu baba. Yeye anakufundisha sio.kuhukumu mwenye kuhukumu.ji.mungu tu ila.waja tunakosea kuhukumu mtu anapokosea nimkufundishwa kwanza

  • @ggv866
    @ggv866 Месяц назад +15

    Mashaallah Allah akujalie kila la kheri Sheikh wetu..Twakupenda kwa ajili ya Allah

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 29 дней назад +2

    Sheikh wangu kitambo uko na uturivu yaani wewe baba pepo yako ipo kwa mungu nakupenda sana

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 29 дней назад +6

    MashaAllah vzr sana na mm nakuomba sheikh wety mnasihi mwijaku anvalishe mkewe stara anatembea kichwa wazi na masuruali, na kujionesha kwa sana wallahi Allah atuongoze na atupe mwisho mwema sote,

  • @MwichandeMuyugu
    @MwichandeMuyugu 28 дней назад

    Maashaallaah sheikh wetu tunakupongeza mpo kwaajili yakutuelimisha muhusie kijana ameteleza tu🙏🙏

  • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
    @HASHIMMAKUNGUHAMDANI 28 дней назад

    Inshaalah heri Allah atufanyie wepesi nurdin kishki nakukubali sana unahekma sana na mwinjaku mtu wa maana kabisa

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Месяц назад +7

    MASHAA ALLAH shukrain sn shekh wetu kwa hekma uliyo ifanya ALLAH BARQI koo nzima ya kishki online TV

  • @sameraakhf5605
    @sameraakhf5605 Месяц назад +12

    Nampenda mwijaku hana kibur mashallah

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Месяц назад +3

    Mashallah mashallah nurdin kishik,, mtaalam wetuu wa dunia,, tunakuelewa vzr snaaaaaaa mtaalam wetuu,,,wew ndo kiigzo chema katika mashekh wote ,, wajifnze mengi kwakoo,, mtaalam wetuu wa dunia tunakuelewa vzr snaaaaaaa

    • @Jimmie_D12
      @Jimmie_D12 29 дней назад

      Angalia sana Ndugu yangu Mapenzi hayo yawe kwa ajili ya Allah! Usije kuwa chawa hata akikosea ukashindwa kuyaona hayo Makosa

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z Месяц назад +10

    Assalam alaykum warahmatulullahi wabarkatu, tupo pamoja tokea Lubumbashi Wantashi

  • @ammylov7527
    @ammylov7527 29 дней назад +1

    Haronaiz kafanya vibaya ata linganiwa inshallah kwauwezo wa allah ila sasa kuna ili ombilangu tu shekhe kishki huwa nampenda kwakweli angeniowa kwauwezo wa Allah 🙏🙏🙏😢😢😢😢😢from burund😢😢😢

  • @user-yx3ic8zy9e
    @user-yx3ic8zy9e 29 дней назад +4

    Maashaa Allah hivi ndivyo inavyotakiwa ki dini umuete au umfuate mukae mumuelimishe kwenye kosa lirekebishwe sio kumuapiza na kuoayukwa kwenye majukwaa kwa kumdhalilisha hata mitume walitumwa waende wakawafundishe na kuwaelimisha na kutubia kwenye makosa ikiwa atakataa na kufanya kibri hapo ndo wajib ushafanyika anaachiwa mwenyewe Allah subhanna Wataala nini afanye kumuachia aendelee kukufuru au kumtia mitihani ili aone makosa yake ili aone njia ya kutubu Allah akufanyieni wepesi 🙏🏻

    • @user-mx5wq2wl7n
      @user-mx5wq2wl7n 29 дней назад

      Allah akupe umri mrefu wenye manufaa kuliona hilo sio jambo dogo lazma Allah akupe huruma yake wengi wao wanajua mtu akikosea anahukumiwa anajisahau hata yeye ni mkosefu
      mfano sheikh sure kipindi anamuhukumu hamor kwa kuchora tatuu ni kharamu na yeye mwenyewe kichwani kanyoa panki ni haramu vilevile hiyo ndio changamoto

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 25 дней назад

    Sheikh kishk
    Allah akubariki na akuhifadhi
    Wafikishie ujumbe siku ya siku wasiseme masheikh hawajatukumbusha

  • @othmankhalfan9675
    @othmankhalfan9675 29 дней назад +3

    Kitu unacho kifanya sheikh.. ni kitu kizuri.. BarakaAllah.. Japo ujaribu kulingania hawa watu.. Kwa sababu.. yan.. Hakki lillah, kazi zote anazozifanya Harmonize ni Haraam tupu hapo.. kupromote kamari, kufanya Mziki, na sio mziki tu wa kawaida.., miziki yenye maudhui ya matusi na zinaa.. Kwahiyo Sheikh Jaribu kulingania haya mambo.. InshaAllah.. Ameen

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Месяц назад +5

    ALLAH azidi kukupa hekma shehe Kishki katika hili

  • @zuhuraMangapi
    @zuhuraMangapi 28 дней назад

    Mashaallah kishik we ni Bora ila mpe elimu shekh sule jinsi ya kutumiya busara hii Sasa ND maana ya msomi na so yule anaye zungumza bila kujali kipi aseme allah akulinde

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 29 дней назад +1

    Alhamdulillah mwijaku wewe una yako lakini unajitambua pili usishiriki sherehe yazina tatu pambania kipato chako kwanjia ya Allah 😢

  • @samysam8196
    @samysam8196 25 дней назад

    Namuomba Allah amuongoze harmonie sababu kwenye hii dunia hta uwe na pesa vp km haumjui Allah ni sawa na bure utaongea vitu bila kufikiri najua kaongea maneno sababu hamjui mola wake vizuri Allah atamuongoza in shaa ALLAH nimegundua kitu familia nyingi za kitanzania wengi tunatoka familia maskini tunakuwa tukiona wazazi waki hustle na hii dunia tunapewa pressure nyingi za kutafta pesa kuliko kumjua mola wetu kabla ya kuanza kumtafuta Abdullah ni lazima tumjue kwanza Allah kabla ya kumjua mja wake sheikh nurdin انا نحن نحبك اكثر في لله الله عزوجل يحفذك

  • @RamadhaniShabani-nc5ve
    @RamadhaniShabani-nc5ve 28 дней назад

    ❤shekh kishki mungu akupe firdaus insha Allah

  • @user-bi4sf4uy9l
    @user-bi4sf4uy9l 28 дней назад

    MashaAllah sheikh uzidi kututunza biidhinllah mungu akujaze kher hapa na kesho mbele ya mungu InshaAllah

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 Месяц назад +9

    Shekh kishk mwambie mwijaku kuhusu mikopo ya riba

  • @JamaliZidadu-jd1nl
    @JamaliZidadu-jd1nl 27 дней назад

    Shekhe kishki naomba uje unioe tafadhar nipo tayar ata kua mke wa4 wallah mungu shahdi naomba kila siku kwa mung anipe mme bora ambae atanitunza kwa mising ya dini jamn mfikishien ujumbe wangu mh.shekh kishki

    • @KhadjaLagogo
      @KhadjaLagogo 27 дней назад

      Hata mimi natamani km wewe

    • @omarmwabege
      @omarmwabege 26 дней назад

      Maa shaa Allah.Nataraji ujumbe umefika, Ila nikuombee dadangu.upate Mume mwema.

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 29 дней назад +1

    Maashaallah mm nampenda sana uyu shekhe Allah amlinde 🎉🎉

  • @SimonBaraka-yv2cx
    @SimonBaraka-yv2cx 29 дней назад +1

    Harmonize Mzee Popo 🦇...ni laana Kwa Taifa yetu Tanzania... Uchawi utamuponza🙏🙏🙏🙏🙏

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 29 дней назад +1

    insha'Allah afike acdharau viongozi wa dini dunia ni mapito

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 27 дней назад

    Maa Shaa Allah Allah Akulipe KHEIR Nyingi

  • @abdillahmachemba5597
    @abdillahmachemba5597 Месяц назад +3

    Mashaallah Shekh kishki

  • @dellydully
    @dellydully 26 дней назад

    mashaAllah sheikh kishaky umefanya wajibu unaotakiwa hasa katika dini yetu ya kiislam

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 29 дней назад

    katka mashekhe wooote waliongelea inshu ya harmonaise nimependa shekhe nurdin bila kumlaumu kaamuwa nora anuite umefanya hekma kubwa sana ALLAH akuzidishie uwezo wa kuelewa ba kuchuja mambi bila kuanza maneno

  • @user-yo2ku6ww4w
    @user-yo2ku6ww4w 21 день назад

    MASHALLAH 😮

  • @abdulsuleiman1796
    @abdulsuleiman1796 28 дней назад

    Salam alykum warahmatullah wabarakat, upande wangu sina uhakika kama mwijaku pia ni mtu sahihi kushirikishwa katika hili, Tafadhali tusiyaonee aibu mabaya ya mtu kwa sabab ya nafasi yake au wadhifa wake,
    NB: tusijikurubishe na madhwalimu ambao wanaielewa njia iliyonyooka lakin bado wanafuata njia potofu..
    Kuwen makini mashekh na huu uma wa sasa kwa sababu mtajikuta kuwa watumwa kwao..
    Inshallah Mungu atufanyie Tawfiq, salaam

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 27 дней назад

    Ubarikiwe sana sheikh, uwo ndo uongozi,mwite mtoto na umufundishe madili mema na si kumukandamiza kidini, mora azidi kukulinda, inshallaaaaaaaaah

    • @lilfizzo.tz010
      @lilfizzo.tz010 27 дней назад

      Nimefurahi sana allah akuzidishie shekh.

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Месяц назад +8

    Mashaallah Leo Shekh. Wetu Kawa mpole Leo🥰🥰ila mwijaku Kwan una wahi wap mbona unaongea haraka sana😂😂😂

  • @user-cp5kt4jf8e
    @user-cp5kt4jf8e 26 дней назад

    Bdo walezi wapi katika dini mashaallah

  • @zuhuraMangapi
    @zuhuraMangapi 28 дней назад

    Shekh kishik nampenda sana anajua nn maana ya busara na so sule Allah akulinde kishik kipenz cha watu

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Месяц назад +1

    Allah akulipe kishik

  • @user-rh2nj5hw4t
    @user-rh2nj5hw4t Месяц назад +4

    Mashaallah 🎉🎉

  • @user-jf7dd7uk9i
    @user-jf7dd7uk9i 27 дней назад

    Masha Allah ❤❤

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Месяц назад +4

    MashaAllah ❤❤❤

  • @user-xx9qt6ym6v
    @user-xx9qt6ym6v 27 дней назад

    mashaallah sheikh kishk ulifanya vizr kumwalika umwelezee huyo ndio uislam na Allah anapenda hivyo Inshaallah yawe mazungumzo ya aman na Allah amuongoze kwenye njia ya haki ya uislam asalaam aleykum

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z Месяц назад +3

    Safi sana sheikh kishik umefny maamuz ya busara sana shut up on me sheikh wng Mungu akubariki zaidi...

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Месяц назад +4

    Maashaa Allah 💖

  • @latayclassic1524
    @latayclassic1524 Месяц назад +14

    Malim ukisha kumuita harmonize please muite na manara anaichezea sanaa dinii mpumbavu yulee

    • @chumchum1526
      @chumchum1526 Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂😂wewe unaniacha nacheka mpaka sheikh ataona siko serious

    • @zainabchumu8559
      @zainabchumu8559 Месяц назад

      Wewe ni ndugu yangu au majina tu yanafanana?​@@chumchum1526

    • @mchilohasna7190
      @mchilohasna7190 29 дней назад +1

      Kweli kabisa kusoma Quran kama wanasoma kaswida

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 29 дней назад

      😅😅😅😅😅😅pumbavu zake

  • @johnbavawala6580
    @johnbavawala6580 24 дня назад

    Mashara Allah ❤❤🎉🎉

  • @JamilahySingaa-cw9xx
    @JamilahySingaa-cw9xx 28 дней назад

    Allah ampe umri mrefu sheikh wetu

  • @user-bk2de8ov6c
    @user-bk2de8ov6c Месяц назад +2

    Bismillah mashaallah

  • @binseif2216
    @binseif2216 Месяц назад +2

    QURAN (EWE MUHAMMAD WAAMBIE WAJA WANGU WASIKATE TAMAA NA REHMA YA MWENYEZI MUNGU HAKIKA ALLAH HUSAMWHE MAKOSA YOTE)ALLAH ATAMPA HIDAYA TUSIWE WAKALI WAKUMKATIA TAMAA

  • @user-tg5ru7cb9b
    @user-tg5ru7cb9b 27 дней назад

    Alhaji daaah Hivi Mundu anapenda muziki na mambo ya hánasa ili tuone hija yang imeenda vzr ni mâbadiliko ya lifestyle ya kupenda hanasa

  • @aishajuma6706
    @aishajuma6706 27 дней назад

    ❤❤❤ mashallah

  • @alisalim5103
    @alisalim5103 27 дней назад

    Ya akhi Kishky. Nafurai kwahaya.
    Sisi ni umma bora kwa ku amrishana mema na kukatazana maovu.
    What you did is devine. It's up to him now. If he wants to change for the better or remain in is world of fantasy.
    Itamjia siku 😢😢😢
    Ya laitani kuntu turaba 😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 29 дней назад

    Maashaallah anafurahi san mwinjaku ila huyo msani nae hajitambui

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 28 дней назад

    Ashauriwe juu ya kuweka vipini na herini pia inshaallah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 29 дней назад

    Mashaallah shekhe wetu

  • @jumamtwana815
    @jumamtwana815 29 дней назад +3

    Akija muambie aachane na wanawake wa kikristo ndio wanampotosha atafute muislam aowe

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z Месяц назад +7

    Lazima, Amunaz huo afike kuwito Yako Cheikhs tumefwata Live tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO, hafike hasua. Macha Allah.

  • @HasaniJuma-ew2kw
    @HasaniJuma-ew2kw Месяц назад +6

    Mwijaku mshenzi sana hahahhaha ajui kama yuko na sheikh

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 29 дней назад +1

    Sheikh unafanya jambo kubwa sana. Allah SW Atakulipa malipo makubwa !

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 28 дней назад

    Mashaallah

  • @fatmaally7241
    @fatmaally7241 29 дней назад

    Jambo zuri sana sheikh kumuita ili kumuelimisha na sio kumkufurisha kwa maneno ya kufru aliyo yasema ilhali bado ana sema yeye ni muiislaam itabaki amesema maneno ya kufru lkn hatuwezi kumkufurisha

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 28 дней назад

    Jambo zuri

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 28 дней назад

    Masha-Allah ❤❤❤❤

  • @Allikanangwa
    @Allikanangwa Месяц назад +4

    🔥

  • @user-ps6yd7lq9n
    @user-ps6yd7lq9n Месяц назад

    Mashallah❤

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 28 дней назад

    Msipo mkubali Kristo
    Mtaenda kumsaidia shetani adhabu yake

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo Месяц назад +5

    Sheikh Kishk Mwenyezi Mungu akuzidishie,,,haufanyi kama wafanyavyo mashekh wengine,,,,,,,,
    Mungu akuongoze,,akujaalie mwisho mwema

  • @user-iv8nb7wt3f
    @user-iv8nb7wt3f Месяц назад +1

    MashaAllah

  • @Nuru_ya_sunnah.official_TZ
    @Nuru_ya_sunnah.official_TZ Месяц назад +1

    maa shaa Allah

  • @shamamamalisa6513
    @shamamamalisa6513 29 дней назад

    Swala zuur sana sheikh wetu sisi ila sujui kama nakosea sheikh nisamehewe naomba waitwe hata kaka zake mzee Yusuf na afande sele wawe pamoja kumradhi

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 29 дней назад

    Mashaallah Mashaallah

  • @aliabdulrahman1202
    @aliabdulrahman1202 28 дней назад

    Kishki mtu wa Maaana sana kapoa

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 26 дней назад

    Unattubutu kumfananiza mungu muumba wa vyote na mwanamke maana umemtia viuongo a 3:54

  • @Habiba-tq8jm
    @Habiba-tq8jm 29 дней назад +2

    Ivo uislam ndo unafaa, aitwe ambiww atubu akikataa Sasa hapo asilaumu watu

  • @user-zz3ek5ny6k
    @user-zz3ek5ny6k Месяц назад

    uyo mwijaku aache kamari

  • @JalijiMlenge
    @JalijiMlenge 29 дней назад

    Ila bina damu mnapenda kuyakuza mambo

  • @Fahad-ew4fn
    @Fahad-ew4fn 27 дней назад

    Assalm alykm warahmma tullwah wabarakatu

  • @Mapesa01
    @Mapesa01 29 дней назад

    Shaikh akija Muite na Sheikh Sule Mumpe nyote wasia Assalamualaykum warahmatullah wabarakatuh

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Месяц назад +4

    Harmonize alikuwa awafate mashekhe sio kuitwa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Месяц назад

      Acha bidaa

  • @TpPt-do5vg
    @TpPt-do5vg Месяц назад +5

    Hamonaizi kakosea ukweli Tena Sana kwenye dhambi m/ngu alisamehi nikumshirikisha mungu, hawez kusamehe, Lakin hatuna hukumu yakumuhukum kumlaan ispokua kuongea nae kwanasaha mzuri, hata firauni alipojiita mungu alilinganiwa kwakauli layni hivo yaani,.

    • @NashyChriss
      @NashyChriss 29 дней назад

      Usifosi mungu wa amo awe wako hiyo mijitu Ina mungu wao mtumie akir kufikiri mamb

  • @zuwenaabdallah2059
    @zuwenaabdallah2059 27 дней назад

    Naam na tunataka tuone je kweli alikuja na ulimuhusiya nin

  • @amiripolwe985
    @amiripolwe985 28 дней назад

    @Sheikh Nurdeen Muhammad Al-Ahdaly muusie sana huyo jamaa (Mwijaku) aache RIYA,
    Aache RIYA,
    Aache RIYA.

  • @NassorUrembo
    @NassorUrembo 26 дней назад

    Assalm aalaikum

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 28 дней назад

    SHEIKH KISHKI YUPO SAWA. HIVYO NDIVYO INAVYOTAKIWA

  • @jasumsultannghanya2453
    @jasumsultannghanya2453 29 дней назад

    Unafiki wa hawa maSheihk, mbona Afande sele ajaitishwa bali kafaniyiwa Duwa na akauwawa
    Lakini Harmonize wanamuogopa saabu wanajuwa kwamba urozi wawo hauwezi kutumika kwake

  • @user-wz7ms6iq3t
    @user-wz7ms6iq3t Месяц назад +1

    Mwambie aache riya

  • @salumkagame509
    @salumkagame509 29 дней назад

    Kwa kuwa ni msani tena anafanya KAZI ya shetani mlishindwa kuwakemeya mapema na mko nawo sana sijui kitu kidogo mnapokea kwao iko uci iko nawanawake kila aina namengene eti.mtoto wa sheikh

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 29 дней назад

    Hamonaizi alifanyaje

  • @KassimIsmail-od7jr
    @KassimIsmail-od7jr 29 дней назад

    Uyo mwjaku izo kauli alizo ongea harmonize angeongea diamond uungeenda kumuombea mxamaha

  • @nassor8819
    @nassor8819 29 дней назад

    Naomba sheikh tuwape usia pia mushrik

  • @rashidkapile
    @rashidkapile 29 дней назад

    Akifika bakolaa kwanza baadae mazungunzo

  • @BabaNasri-rj4qo
    @BabaNasri-rj4qo 29 дней назад

    Muna jisumbua mashekh vijana wakiwa maarufu hufanya wachotaka minaona mupapoteza muda munge liombea taifatu hao watajua wenyewe maana kesho utasikia jingine kuliko hilo

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene Месяц назад +1

    Kiskh naye ni msanii tu

  • @salumkagame509
    @salumkagame509 29 дней назад

    Ivi awa mashekh wetu Hana kazi zakufanya mfasi wa shetani wanamlingania nini kama Wana uwezo mkatazeni.kupiga mziki kinyume nahapo mnamwagia maji BATA.mgongoni kaka diamond sanava misaraba anatowammicango kanisani anaimba na rozi mhandi.mamsifia eti kajenga msikiti kigoma KAZI bure kabla hajatubia ni khasara tupu

  • @JumaKivuko
    @JumaKivuko 28 дней назад

    😭😭😭😭😭

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l 28 дней назад

    😢