HARMONIZE AIBUKA KUJITETEA JUU YA KAULI YAKE, MWIJAKU AMCHANA "UMEMKOSEA MUNGU, TUBU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024

Комментарии • 689

  • @ANITHAPATRICK-jk9yq
    @ANITHAPATRICK-jk9yq 21 день назад +1

    Subhanallah wew harmonize allah anakuona jamaaan, allah hafananishwi na kitu chochote , usiseme vitunkamw hauna elimnavyo waislam wenye hasira kali watakutoa roho wew, usimfananishe kifikra wala kwa mawazo ,achandharau fuata ushaur wa wa mwijaku, allah akufungue akilinyako hiyo ,ili ujue ulichokifany n kit kibay

  • @ghanimaalabri5783
    @ghanimaalabri5783 Месяц назад +22

    INNALILLAH WAINA ILAYHI RAJIU
    AMEFIK PABAYA SANA😭

  • @FAR-HAT
    @FAR-HAT 28 дней назад +2

    Allahu akbar . Allah atupe mwisho mwem tufe na lailaha ilallah mohmmd rwasulullh .

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Месяц назад +24

    Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah atamuongoza InshaAllah. Mitihani

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir Месяц назад +16

    Astaghafiluu LLAH, mwijaku kaka ushauri wangu kwako kaa mbali na huyu jamaa, pesa zinamchanganya kiufupi ameshatoka ktk uislamu, mungu ktk vitabu vyote amesema yeye hana mfano na yeyòte au chochote, madawa ya kulevyaa na pesa na umaarufu mwìngi amefikia kumkufuru mun gu, hapo sasa anatafuta vita na mungu, kiufupi amemtukana mungu, Astaghafiru LLAH

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Mwinjaku huwa anazungumza kijaziba na facts zake hazina mashiko

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад +1

      Nurubinjubeir na wewe unamdharau Mungu unamwandika kwa herufi ndogo!

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Mungu hana mfano mbona tunamwita Mungu Baba kama hafanani na chochote?

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Konde hajamtukana Mungu hayo ni mawazo yake tu kayaleta kwetu tuyachambue na siyo tumnyamazishe!

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 29 дней назад

      ​@@user-tl5xf7bq3kkwa hio ni baba maana huyu mwenzio anasema ni mwanamke jee tukufuate wewe au yeye

  • @user-um1vp8to2u
    @user-um1vp8to2u Месяц назад +3

    Laana za mwenyezimungu zikushukie hapa duniani na kesho akhera .mbele ya mahakama ya Allah utalikuta hili.
    Hicho ni kibri.hasbiallah.hasbiallah hasbiallah

  • @user-lg9ws2er5n
    @user-lg9ws2er5n Месяц назад +18

    Kwanzia Leo harmonize Mimi sio shabiki wako tena

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 Месяц назад +1

      Kwahio Mungu wa kwenye bibilia ni jinsia Gani wakati ninyi mnasema kua ni Baba, Bwana, mfalme, .......nini maana ya Baba....? Yesu alikua jinsia gani?
      Alikwenda kwa Baba yake na kukaa upande wa kulia kwa Baba yake. Nini maana ya Baba ?

    • @Nuru_ya_sunnah.official_TZ
      @Nuru_ya_sunnah.official_TZ Месяц назад

      maa shaa Allah

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 28 дней назад

      😂😂😂😂😂😂 huo ni uongo akitoa nyimbo utasikia wakwanza naombeni like 😂😂😂😂

    • @SalmaMaliki-kl3cj
      @SalmaMaliki-kl3cj 11 дней назад

      Ndio shida ya kumpenda kiumbe kuliko aliekiumba huoni anabadilika kama kinyonga lakin mungu hawi kama hamoniz

    • @SalmaMaliki-kl3cj
      @SalmaMaliki-kl3cj 11 дней назад

      Kama mungu nimwanamke kwann aambiwe mwanaume nimsimamiz was wanawake yan ww

  • @user-qj3ye2co9t
    @user-qj3ye2co9t Месяц назад +8

    Yaa rabbi tujaalie mwisho mwema

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Месяц назад +14

    Astakhafirulah Astakhafirulah Astakhafirulah. Alafu litoto la Shekhe AllahuAkabaar. lLIMEKANAZANA IN NORMAL ×20

  • @hirafaboubacar9315
    @hirafaboubacar9315 24 дня назад

    Inna Lilah wa Inaa ilayhi rajiun 🙏 Jamaa kashafika kudadisi uumbaji wa mungu. Acha kuforce kumzungumzia mungu Kwa mtazamo wako.

  • @rwandanhustlers6490
    @rwandanhustlers6490 Месяц назад +19

    Huyu harmonize havuti bangi munamudanganyia.huu ni unga sio bangi.

  • @user-ni6qv2zn2q
    @user-ni6qv2zn2q Месяц назад +11

    Tatizo mmakonde anajichubua sana

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir Месяц назад +17

    Diamond na mafanyikio yote Alison nayo hajawahi kuropoka hivi, hakika diamond Ana ability sana, na huyu hamo ni limbukeni wa.mafanikiò,

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 Месяц назад +5

    Mwijaku, harmonize bangi imezidi, hawajielewi

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g 29 дней назад +2

    Hamonaizi . Allah atakupa mtihani ebu jirudishe kwa allah

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 27 дней назад

    MashaAllah mwijaku asante kwakupigania Dini ya haki

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p Месяц назад +8

    hmo koma ukome kabisa kumfananisha mungu na mwanadam tena mwanamke

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir Месяц назад +8

    Mm nilìkuwa stability wake ila kwa kufuru hii tena mwijaku anajaribu kumrekebisha ila yeye bado anatetea ujinga wake, mm sio shabìki wake tena kuanzia leo,

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Tupo mashabiki zake we Nuru ondoka utupotelee hata kuona hatutaki

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Mwinjaku nani ni chawa tu

  • @DumbweSudi
    @DumbweSudi 26 дней назад +1

    Hili toto jinga sanaaa Mungu atamzalilisha kabla hajaondoka hapa duniani, Hata kama hakuna asiekosea ktk hii dunia ila isifikie wakati ukavuka mipaka mpaka kumfananisha Mungu na mwanamke 😢😢😢😢😢

  • @Saleh-on3ot
    @Saleh-on3ot Месяц назад +11

    Ila huyu harmonize ni mzm kwl lkn au huyu nd yule msanii wa tanzania alietabiriwa na yul pastor anakaribia kufa

  • @Arkhamz_95
    @Arkhamz_95 Месяц назад +9

    SubhanaAllah Quran 4:140 jawabu tosha

    • @Nuru_ya_sunnah.official_TZ
      @Nuru_ya_sunnah.official_TZ Месяц назад

      kabisa al akhy

    • @mossestv
      @mossestv Месяц назад

      Aya hiyo ya Qur'an inasema: "Na yeye aliye hubiri uwongo asio mwenye kujua, (anawajibika) kwa Mwenyezi Mungu, Mtukufu, Mwenye kusifiwa."

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 Месяц назад

      @mossestv Quran gan umetumia kuangalia hiyo na tafsiri y sheikh gan?

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Quran 4:140 hapo inasemaje? Tuambie tuelewe!

    • @Arkhamz_95
      @Arkhamz_95 29 дней назад

      @@user-tl5xf7bq3k msomaji wa Quran yoyot anaelew nlichokiandika

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 25 дней назад

    Huna elimu ya dini wala elimu yeyote sasa kwanamke anakwenda hedhi kwahiyo nae mungu anakwenda hedh Astghfuru ALLAH, WEWE ULIFAA UKATWE KICHWA

  • @TWAHAAlly-bl7tq
    @TWAHAAlly-bl7tq 29 дней назад

    Mungu akusamehee

  • @YousraSalim-wd4nf
    @YousraSalim-wd4nf Месяц назад +2

    Allah akulipe mwijaku 🤲

  • @Lassana755
    @Lassana755 Месяц назад +7

    bange ya huyu kijana kali sana. Mungu amsaidie vipesa vyake vinamchanganya

  • @user-mt3wr9mx7c
    @user-mt3wr9mx7c 27 дней назад

    Inalilah me kweli nimuhuni lakn siwezi sema mungu nimwanamke harmonize nichoko ulaniwe kwenyekazi zako 😩😩😢👉

  • @hassanyunus4634
    @hassanyunus4634 Месяц назад +10

    Ameniudhi kweli kweli, sijui kafikiria nini huyu hamo, Hana ilmu ya dini

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад +8

    Huyu kijana aombe radhi

  • @funnytiktokclips854
    @funnytiktokclips854 18 дней назад

    Fight for equality but there no time Man and Woman gonna be equal.

  • @rashid3562
    @rashid3562 29 дней назад

    Hongera mwijaku

  • @NyamkechaTv
    @NyamkechaTv Месяц назад +1

    Inshallah mola pekee ndio mwenye kuhukumu kijana kashiba mungu wetu watu kam hawa hawana maana yoyte katika dunia hii

  • @user-mt5ng1nt2k
    @user-mt5ng1nt2k 25 дней назад

    braza harmo kiufupi ww tubu mweleeke mwenyezi mungu upige magoti uombe msamaha na kama ulikuwa watafuta kiki baba umefeli pakubwa za ya shobo

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z 27 дней назад

    Swala ni "Imani"
    Kuna watu wengine wanaabudu ngombe, wengine hawaamini mungu eg scientists

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 25 дней назад

    Mwanamke ni kumbe bora je nae mungu ni kiumbe , acheni kufuru ALLAH AKUPENI PUMZI NA KULA NA KUSHIBA BAAE MUNAKUJA KUMKUFURU MUNGU,

  • @batulimlangwa2920
    @batulimlangwa2920 Месяц назад +7

    Harmonize point zako sio strong.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 29 дней назад

      Weka zako strong azione ajifunze😅😅

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Месяц назад +8

    msimlaumu mwanangu konde kule frimason ndio wanamuaminisha ivo haja kosea

    • @ramadhaniomary9241
      @ramadhaniomary9241 28 дней назад

      Hii ndiyo ukweli mafree mason ukifikia mahala na daraja Fulani lazima ufarakane na mungu

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 Месяц назад +8

    Hivi kwani vya kuongea vimeisha hadi kumfananisha mungu na wanadamu? Jamani dah tumeisha haki

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 28 дней назад

    Wimbo hakusema mwanamke ni Mungu Mungu amesema mwanamke ni Mungu wa pili lakini ukisoma vitabu wazazi ni Mungu wa pili

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond4797 Месяц назад +1

    Umemdharau saaana Mungu dogo. Huruma pole saaana duh 😢😢😢😢😢 amekufuru kabisa ayiiii. Umefananisha Mungu na kiumbe dhaifu

  • @user-qu6kq5jb5x
    @user-qu6kq5jb5x 28 дней назад

    Dah sema mwanangu konde umezingua sana aisee

  • @MkomboziLucifer
    @MkomboziLucifer Месяц назад +1

    Umeongea vizuri @harmonize dini nyingi zina mfumo dume,ndomaana manabii wote wanaume,na waliokuwa wafuasi wakuu ni wanaume ndo walioandika vitabu vyote.
    Nimehuzinishwa na mwijaku anaedai kwamba mwanamke hawezi kujiongoza na wakati rais wako anaekuongoza ni mwanamke😂😂.pia hata yatima wengi waliobaki na Mama ndo waliolelewa vyema kuliko walobaki na baba.
    Mwanamke udhaifu wake sio wa kiroho na kiali bali ni kimwili.ila kiroho wanawake ndo wengi misikitini na makanisani,
    Wanawake ndo wenye sense kubwa kiakili hata mwijaku kama uko na mtoto wa kike na wakiume angalia nani yupo responsible nyumbani kwa kulea wadogo zake kuliko mtoto wa kiume.
    Mungu hafananishwi na kitu chochote ila kuliko kumuita Baba bora umuite Mama maana wanawake japo ndo wengi ila jela ndo wachache inamaanisha nini kiroho kiimani wao ndo watiifu baada ya watoto.
    Ila kwakuwa mfumo wetu ni dume ndomaana wanawake wametukanwa sana iwe kwenye uislam au ukristo wanaitwa nyoka wanaitwa wasaliti ila kiuhalisia wanaume ndo wanaosaliti sana kuliko wanawake na ndo watukutu sana kuliko wanawake.
    Yote haya ni kwakuwa wanaume ndo waliandika vitabu hivi na ndo manabii....kwahiyo lazma wangeongea vibaya wanawake ila wanawake wangeandika vitabu au aya flani basi wangeongelea ushetani wa wanaume.
    Mungu sio mtu ni roho na roho haina jinsia maana jinsia ni kiungo cha mwili.sasa Mungu sio mtu wala hananishwi na mtu bali wanawake ndo waaminifu kwa Mungu kuliko wanaume.nandomaana kwenye jeshi la kimwili kama JKT wanaume ndo wengi ila kwenye jeshi la kiroho makanisani misikitini wanawake ndo wengi.

    • @harsonmshery5985
      @harsonmshery5985 Месяц назад +2

      Mfumo dume ndio umeiharibu dunia kwa sasa changamoto kubwa ipo kwenye dini za watu ambazo zipo kumkandamiza jamii harmo yupo sawa kwa mtazamo wake sema watu wengi wamepotoka sana kutokana na mafundisho waliopata dunia hii.ukitumia akili binafsi utamuewa harmo

    • @MkomboziLucifer
      @MkomboziLucifer Месяц назад

      @@harsonmshery5985 kweli bro yaani Imani inawafanya watu wasihoji.aamini tu

  • @user-vi7wj5ti8o
    @user-vi7wj5ti8o Месяц назад

    ww harmonize fala sana mungu akuongoze ww hunafananisha mungu na mwana mke mwana mke mdhaifu sn ma jua kubemba miba ni mipango ya mungu mwana mke au mwana mme umekufuru

  • @user-oq9xc8ci7t
    @user-oq9xc8ci7t Месяц назад +3

    Huyu harmonize ni kafiri tu umaarufu ndio unamsumbua siku akifa ndio atajua mungu ni mwanamke au la huyu ni mshamba tu Basi amuite mama yake mungu

  • @user-qd4yq1qd7z
    @user-qd4yq1qd7z 28 дней назад +2

    anashangaa mwanaume kuongoza wanawake wanne wakati mfalme suleiman au solomoni alioa wanawakw zaidi ya mia moja😮

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l Месяц назад +4

    NAMBEZAGA MWIJAKU KICHWA BUYU ILA HUYU HARMO NDIO MBUMBUMBUU

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Konde ana mawazo mapana ya kufikirika, Mwinjaku ni porojo tupu

  • @user-ck1vs1yc3h
    @user-ck1vs1yc3h Месяц назад

    Ina lillahi waina ilaih lajuuni yani harmonize ndo amefikia uku😭😭😭

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 28 дней назад

    Kadri siku zinavyosonga ndivyo tunavyojaribu kuushusha uanaume wetu,mwanaume kapewa daraja kubwa sana na Mungu,rudini kwenye maandiko matakatifu,hamonaize umekengeuka

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd Месяц назад +2

    Huyu jamaa tayari ameshaharibikiwa...anaongea kama kwamba ni mlevi au mtu aliyechanganyikiwa

  • @josephusekwelas9743
    @josephusekwelas9743 Месяц назад +7

    Harmonize mama yake muchawi na hamo ni shoga sasa

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 25 дней назад

    HASBIYA ALLAH WANEEMA LWAKIL

  • @shabzismail2747
    @shabzismail2747 Месяц назад +2

    Harmonize ashakuwa kafiri ..

  • @rashid3562
    @rashid3562 29 дней назад +1

    Yaaani ile kufikiria tu wazo la kumfananisha mungu ushatoka ktk imani ya kiislamu zamn ww una uwezo gan wa kufikiria mmbo ya mungu wakt hata hujui dini yako

  • @angle3600
    @angle3600 Месяц назад +1

    Hino kauli ya kumfananisha Mungu,na mwanamke sio nzuri.

  • @kulthumbintmsuwakollo838
    @kulthumbintmsuwakollo838 Месяц назад +1

    Yan huyu ni mpumbavu na nusu hana elimu ya dini mm ni mwanamke lkn huwez kumtetea mwanamke kwakumkashifu alietuumba hamo umalaya na ulimbuken wa wanawake ndio umemfanya afikie huku hata firaun hajawah tamka uliyoyatamka alaf mungu ni mungu na mama ni mama ndiomana tumeambiwa baada ya mungu ni wazaz wawil na ktk wazaz wawil wa kwanza ni mama utasemaje mwanamke hana thaman acha upuz na akil zako za kishoga mtoto wa kiume umejichubua umetoboa pua unajiona mwanamke ndiomana unajifanya unatetea wanawake

  • @rayamohammed339
    @rayamohammed339 Месяц назад

    Hamonize Ni mshamba Sana acha kupagawa na maisha ya dunia kuna kifo

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад +6

    Mbaka apo ndugu sio Muislam maana maneno ya mwinjaku utubu na utoe shahada kabisa maana katika uislamu ili uamini Mungu ni lazima uamin kua Mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa na hajafanana na ktu chochote kile

    • @user-tl5xf7bq3k
      @user-tl5xf7bq3k 29 дней назад

      Mbona tunamwita baba wa ulimwengu wote? Mungu ni mwanamume!

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 29 дней назад

      @@user-tl5xf7bq3k sie waislam hatuna pgo izo ndgu baba wa ulimwengu labda upande wa pili uko

    • @iranezerejeibrahim832
      @iranezerejeibrahim832 29 дней назад

      Wanaomwita baba niwakristo sio waislamu

    • @ashamaulid8721
      @ashamaulid8721 29 дней назад

      Mungu hafananishi na ki2 chochote hana jins hata hyo anaesema mungu baba pia anakosea

    • @user-if8yf6wx6l
      @user-if8yf6wx6l 28 дней назад

      Emng hii dunia inampeleka wp huyuuu mambo gan kwanz hayaa yaraabi tunusuruu

  • @user-pr4xn8tf9l
    @user-pr4xn8tf9l Месяц назад +1

    Mwijaku wewe una hofu ya Mungu,
    Lakini huyo harmonize kalewa bangi,
    Kuanzia leo siangalii nyimbo zake zote,
    Hata kama utampigia debe kiasi gani,
    Hadi atubu mbele ya Mungu.

  • @muhammadanwary8500
    @muhammadanwary8500 26 дней назад

    Mwanamme mmoja ni sawa na wanawake 2 vitabu vimesema upande wa mashahidi wakiwa wanaume wawili kwenye kesi basi akiwa mwanamme mmoja basi kuwe na wanawake 2

  • @zahorokombo6881
    @zahorokombo6881 26 дней назад

    Starehe za dunia Ni kitu kibaya sana, Allah atupe mwisho mwema

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 29 дней назад

    Rajab tubia kwa Allah .umekesea sana

  • @HaruniPhilimoni-fw7gi
    @HaruniPhilimoni-fw7gi Месяц назад

    Kumbe harmonize mjinga kweli

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Месяц назад +5

    Hamo watakuuua wanawake ivi ww nistar ila wanawake wanakutesa sanaaa😂😂😂 bona mimi sio star ila mwanamke namuona wakawaida acha ushamba au mapenzi umeyajulia ukubwani sio mungu yuko nanyi

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn Месяц назад +2

    Wakristo wanasema MUNGU mwanaume (YESU) Sasa katokea mmakonde Harmonize anasema MUNGU mwanamke, halafu kwa haya yote yanayotokea bado Kuna mtu anakwambia UISLAMU sio dini ya haki. Inalillah Waina ilayh rajuun

  • @doctorwamapaatz6571
    @doctorwamapaatz6571 29 дней назад +2

    Isaya 40:28
    [28]
    Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.

  • @SulimaKhamis
    @SulimaKhamis Месяц назад

    Unazungua harmonize mpumbavu wew

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Месяц назад +3

    Kafanya reserch mbovu kabisa kila akijitetea ndo anazidi kukufuru

  • @tatukingi2543
    @tatukingi2543 Месяц назад +1

    Yaan alicho kiongea hamo ni zuzu wa hali ya juu huyu moja anyamaze tu SubhanaAllah

  • @majaliwamusa9411
    @majaliwamusa9411 29 дней назад +1

    Huyujamaa mchunguzeni inawezekana karogwa amakavuta bangi nyingi sana

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Месяц назад +2

    LEO NIMETHIBITISHA HARMONIZE NI TAHIRA,YAANI HAMO NI HAMNAZO

  • @user-mt3wr9mx7c
    @user-mt3wr9mx7c 27 дней назад

    Kumbe ili jinga kweli unathubutu kumgananisha mungu nabinadamu

  • @NoraKedir
    @NoraKedir 29 дней назад +1

    Wewe kama ni harimonaizi 😢😢allah akuongoze

  • @AgustinoMwinuka-ug1sc
    @AgustinoMwinuka-ug1sc 28 дней назад +1

    nahis hana akili huyu

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj 26 дней назад

    Sisi twampenda hamo maana sisi wote wenye dhambi,ila muhukumu mwenyenzi mungu pekee

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 Месяц назад +1

    Alah amuongeze maana hajielewi. Mimi nimwanamke lakini sikuungi mkono kwa hilo. Kwani ufahamu mtume wetu muhamed SAW alituona wanawake wengi sana moto. Na mwanamke ni dhaifu. Hawezi kua juu kuliko mwanamme. Ndio tukaambiwa wanawake tulioolewa pepo yetu ipo chini ya nyoyo ya mume wake. Na mwanamme pepo yake ipo chini ya nyayo ya mama.

  • @angle3600
    @angle3600 Месяц назад +1

    Mii naona hawa wawili ni njama yao,kila saa mnaingia live mkimtusi Mungu hayani endeleeni

  • @directorhuruma
    @directorhuruma 27 дней назад

    Kwl mwijaku

  • @user-hc2hl6sn7o
    @user-hc2hl6sn7o 26 дней назад +1

    😳IviHuyu Harmo Anamatatizo Kumbe Sasa Kama Mwanamke Anamahusiano Ya kalibu na MUNGU Je Kuna Mitume Wakike!?,
    Naona sasa nyie mnataka kutuletea umarekani wa kumtukana mungu ili mfanikishe yenu ivi mumekosa kiki ahahah jamn!😢😂😂

  • @halimarahma7450
    @halimarahma7450 29 дней назад +2

    Hujui quran maana mwanamke katoka kwenye ubavu wa mwanaume na ndomaana mwanamke ni dhaifu

  • @baswirundaga4892
    @baswirundaga4892 26 дней назад

    Innalilah wainna ilaih rajiuun.,..sub-hanallah

  • @zulfajuma8394
    @zulfajuma8394 27 дней назад

    Astaghafirullah lillah laadhim, Rajab umechopa mipaka, tubu na umumbe sana mungu akusameh

  • @mariathashim1367
    @mariathashim1367 24 дня назад

    Innalillah wainnailayh Raj un
    Ila Mwijaku upovizur sana

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 Месяц назад

    Harmonize kamzid wisdom mwijaku,,

  • @Phonefix-do9pz
    @Phonefix-do9pz 29 дней назад

    Duh kumbuka mungu hafananishwi na chochote

  • @abdimarandu9871
    @abdimarandu9871 Месяц назад

    Kwa maneno Yako na sura Yako inavyo onekana Hauna marinda ushajaribiwa

  • @JAMESSADIKI-jq5rv
    @JAMESSADIKI-jq5rv Месяц назад

    Yani harmonize ni mfuasi washetani ana mwabudu seviranusi ambaye ni mungu wakike wa kishetwani

  • @user-fb5kx5km6t
    @user-fb5kx5km6t 29 дней назад +1

    Hamonazi nina wasi wasi una mimba ya panya c bure ww maan c kwa kufika hiv maan mungu hafananishw na mtu wala kit duh allah hatakusamehe

  • @dktmitimingitabora
    @dktmitimingitabora 27 дней назад

    Allah atamlaani miaka yake yoteeee na kufa kwake kote naakifa hato hoza kama filauni

  • @Musanasibungombo3808
    @Musanasibungombo3808 Месяц назад

    Samahani aki mm najihisi nitoe vp vingi lkn....harmonize umekuwa mwehu,,,,hujui kitu kuhusu dini....

  • @DangerRecord.s
    @DangerRecord.s Месяц назад +1

    Mungu atalifanyia kaz ila chunga ulimi wako pia acha kula unga wenzio wanakula ugari

  • @smmjtv3167
    @smmjtv3167 29 дней назад +1

    Huyu jamaa niovyo kweli wallahy ushamba wa wanawake ni mbaya sana

  • @user-vu6pd7pg9e
    @user-vu6pd7pg9e 29 дней назад +1

    Nimekuelew hamo wachach sn watakuelew Mungu akutangulie

  • @neykweyamba2429
    @neykweyamba2429 Месяц назад +1

    Asighafurullah Allah Akibaru SubhanAllah😭😭😭😭😭😭

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Месяц назад +2

    Kama mwanamke ana maana kwake mbona anabadilisha wake kama shati mbona hatulii na mke mmoja…MNAFIKI huyu🇰🇪🇰🇪

  • @rahimhemed3370
    @rahimhemed3370 26 дней назад

    Daaah kwer shibe mbaya

  • @user-zz2sn2et4t
    @user-zz2sn2et4t Месяц назад +2

    Huwanakukubari Sana hamonaizi hapo umeniboha baraa hunahakiri hata kidogo

  • @zamzamhoti864
    @zamzamhoti864 28 дней назад

    Shetan alimwahid mungu atatafuta wafuasi wa kwenda nao moton na atawadanganya wanadamu ili wakachomwe wte xo hamornize kashadanganywa na shetan na kaaminishwa ivo asipotubu kapotea ataenda kujib mbele ya mola wake na moto unamhusu kam asipotubu kakufuru mnoo

  • @user-wn8ul7gp2b
    @user-wn8ul7gp2b Месяц назад

    Mungu ni Roho so am somewhere thinking kama roho inajinsia

  • @nurubinjubeir
    @nurubinjubeir Месяц назад +2

    Na anachofanya hamo ni kama alicho fanya afande sele kumtukana mungu, na wote hawa wanatumia bangi,

  • @rahimhemed3370
    @rahimhemed3370 26 дней назад

    Bas leo tunakupa sifa kaka
    WEWE N KAMA PAULA KWAKILA KITU

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond4797 Месяц назад

    Brother harmonize wanaokuhukumu na kukutamkia maneno bamaya hawafanyi vizuri ni mawazo yako. Ila kifupi hapo umekosea dogo. Huo unaoongea ni ujinga. Wewe unawezaje kumfananisha mungu na mwanamke unafaaa vibokoooo