Subhanallah wew harmonize allah anakuona jamaaan, allah hafananishwi na kitu chochote , usiseme vitunkamw hauna elimnavyo waislam wenye hasira kali watakutoa roho wew, usimfananishe kifikra wala kwa mawazo ,achandharau fuata ushaur wa wa mwijaku, allah akufungue akilinyako hiyo ,ili ujue ulichokifany n kit kibay
Astaghafiluu LLAH, mwijaku kaka ushauri wangu kwako kaa mbali na huyu jamaa, pesa zinamchanganya kiufupi ameshatoka ktk uislamu, mungu ktk vitabu vyote amesema yeye hana mfano na yeyòte au chochote, madawa ya kulevyaa na pesa na umaarufu mwìngi amefikia kumkufuru mun gu, hapo sasa anatafuta vita na mungu, kiufupi amemtukana mungu, Astaghafiru LLAH
Laana za mwenyezimungu zikushukie hapa duniani na kesho akhera .mbele ya mahakama ya Allah utalikuta hili. Hicho ni kibri.hasbiallah.hasbiallah hasbiallah
Kwahio Mungu wa kwenye bibilia ni jinsia Gani wakati ninyi mnasema kua ni Baba, Bwana, mfalme, .......nini maana ya Baba....? Yesu alikua jinsia gani? Alikwenda kwa Baba yake na kukaa upande wa kulia kwa Baba yake. Nini maana ya Baba ?
Mm nilìkuwa stability wake ila kwa kufuru hii tena mwijaku anajaribu kumrekebisha ila yeye bado anatetea ujinga wake, mm sio shabìki wake tena kuanzia leo,
Hili toto jinga sanaaa Mungu atamzalilisha kabla hajaondoka hapa duniani, Hata kama hakuna asiekosea ktk hii dunia ila isifikie wakati ukavuka mipaka mpaka kumfananisha Mungu na mwanamke 😢😢😢😢😢
Umeongea vizuri @harmonize dini nyingi zina mfumo dume,ndomaana manabii wote wanaume,na waliokuwa wafuasi wakuu ni wanaume ndo walioandika vitabu vyote. Nimehuzinishwa na mwijaku anaedai kwamba mwanamke hawezi kujiongoza na wakati rais wako anaekuongoza ni mwanamke😂😂.pia hata yatima wengi waliobaki na Mama ndo waliolelewa vyema kuliko walobaki na baba. Mwanamke udhaifu wake sio wa kiroho na kiali bali ni kimwili.ila kiroho wanawake ndo wengi misikitini na makanisani, Wanawake ndo wenye sense kubwa kiakili hata mwijaku kama uko na mtoto wa kike na wakiume angalia nani yupo responsible nyumbani kwa kulea wadogo zake kuliko mtoto wa kiume. Mungu hafananishwi na kitu chochote ila kuliko kumuita Baba bora umuite Mama maana wanawake japo ndo wengi ila jela ndo wachache inamaanisha nini kiroho kiimani wao ndo watiifu baada ya watoto. Ila kwakuwa mfumo wetu ni dume ndomaana wanawake wametukanwa sana iwe kwenye uislam au ukristo wanaitwa nyoka wanaitwa wasaliti ila kiuhalisia wanaume ndo wanaosaliti sana kuliko wanawake na ndo watukutu sana kuliko wanawake. Yote haya ni kwakuwa wanaume ndo waliandika vitabu hivi na ndo manabii....kwahiyo lazma wangeongea vibaya wanawake ila wanawake wangeandika vitabu au aya flani basi wangeongelea ushetani wa wanaume. Mungu sio mtu ni roho na roho haina jinsia maana jinsia ni kiungo cha mwili.sasa Mungu sio mtu wala hananishwi na mtu bali wanawake ndo waaminifu kwa Mungu kuliko wanaume.nandomaana kwenye jeshi la kimwili kama JKT wanaume ndo wengi ila kwenye jeshi la kiroho makanisani misikitini wanawake ndo wengi.
Mfumo dume ndio umeiharibu dunia kwa sasa changamoto kubwa ipo kwenye dini za watu ambazo zipo kumkandamiza jamii harmo yupo sawa kwa mtazamo wake sema watu wengi wamepotoka sana kutokana na mafundisho waliopata dunia hii.ukitumia akili binafsi utamuewa harmo
ww harmonize fala sana mungu akuongoze ww hunafananisha mungu na mwana mke mwana mke mdhaifu sn ma jua kubemba miba ni mipango ya mungu mwana mke au mwana mme umekufuru
Kadri siku zinavyosonga ndivyo tunavyojaribu kuushusha uanaume wetu,mwanaume kapewa daraja kubwa sana na Mungu,rudini kwenye maandiko matakatifu,hamonaize umekengeuka
Yaaani ile kufikiria tu wazo la kumfananisha mungu ushatoka ktk imani ya kiislamu zamn ww una uwezo gan wa kufikiria mmbo ya mungu wakt hata hujui dini yako
Yan huyu ni mpumbavu na nusu hana elimu ya dini mm ni mwanamke lkn huwez kumtetea mwanamke kwakumkashifu alietuumba hamo umalaya na ulimbuken wa wanawake ndio umemfanya afikie huku hata firaun hajawah tamka uliyoyatamka alaf mungu ni mungu na mama ni mama ndiomana tumeambiwa baada ya mungu ni wazaz wawil na ktk wazaz wawil wa kwanza ni mama utasemaje mwanamke hana thaman acha upuz na akil zako za kishoga mtoto wa kiume umejichubua umetoboa pua unajiona mwanamke ndiomana unajifanya unatetea wanawake
Mbaka apo ndugu sio Muislam maana maneno ya mwinjaku utubu na utoe shahada kabisa maana katika uislamu ili uamini Mungu ni lazima uamin kua Mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa na hajafanana na ktu chochote kile
Mwijaku wewe una hofu ya Mungu, Lakini huyo harmonize kalewa bangi, Kuanzia leo siangalii nyimbo zake zote, Hata kama utampigia debe kiasi gani, Hadi atubu mbele ya Mungu.
Mwanamme mmoja ni sawa na wanawake 2 vitabu vimesema upande wa mashahidi wakiwa wanaume wawili kwenye kesi basi akiwa mwanamme mmoja basi kuwe na wanawake 2
Hamo watakuuua wanawake ivi ww nistar ila wanawake wanakutesa sanaaa😂😂😂 bona mimi sio star ila mwanamke namuona wakawaida acha ushamba au mapenzi umeyajulia ukubwani sio mungu yuko nanyi
Wakristo wanasema MUNGU mwanaume (YESU) Sasa katokea mmakonde Harmonize anasema MUNGU mwanamke, halafu kwa haya yote yanayotokea bado Kuna mtu anakwambia UISLAMU sio dini ya haki. Inalillah Waina ilayh rajuun
Alah amuongeze maana hajielewi. Mimi nimwanamke lakini sikuungi mkono kwa hilo. Kwani ufahamu mtume wetu muhamed SAW alituona wanawake wengi sana moto. Na mwanamke ni dhaifu. Hawezi kua juu kuliko mwanamme. Ndio tukaambiwa wanawake tulioolewa pepo yetu ipo chini ya nyoyo ya mume wake. Na mwanamme pepo yake ipo chini ya nyayo ya mama.
😳IviHuyu Harmo Anamatatizo Kumbe Sasa Kama Mwanamke Anamahusiano Ya kalibu na MUNGU Je Kuna Mitume Wakike!?, Naona sasa nyie mnataka kutuletea umarekani wa kumtukana mungu ili mfanikishe yenu ivi mumekosa kiki ahahah jamn!😢😂😂
Shetan alimwahid mungu atatafuta wafuasi wa kwenda nao moton na atawadanganya wanadamu ili wakachomwe wte xo hamornize kashadanganywa na shetan na kaaminishwa ivo asipotubu kapotea ataenda kujib mbele ya mola wake na moto unamhusu kam asipotubu kakufuru mnoo
Brother harmonize wanaokuhukumu na kukutamkia maneno bamaya hawafanyi vizuri ni mawazo yako. Ila kifupi hapo umekosea dogo. Huo unaoongea ni ujinga. Wewe unawezaje kumfananisha mungu na mwanamke unafaaa vibokoooo
Subhanallah wew harmonize allah anakuona jamaaan, allah hafananishwi na kitu chochote , usiseme vitunkamw hauna elimnavyo waislam wenye hasira kali watakutoa roho wew, usimfananishe kifikra wala kwa mawazo ,achandharau fuata ushaur wa wa mwijaku, allah akufungue akilinyako hiyo ,ili ujue ulichokifany n kit kibay
INNALILLAH WAINA ILAYHI RAJIU
AMEFIK PABAYA SANA😭
Allahu akbar . Allah atupe mwisho mwem tufe na lailaha ilallah mohmmd rwasulullh .
Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah atamuongoza InshaAllah. Mitihani
Astaghafiluu LLAH, mwijaku kaka ushauri wangu kwako kaa mbali na huyu jamaa, pesa zinamchanganya kiufupi ameshatoka ktk uislamu, mungu ktk vitabu vyote amesema yeye hana mfano na yeyòte au chochote, madawa ya kulevyaa na pesa na umaarufu mwìngi amefikia kumkufuru mun gu, hapo sasa anatafuta vita na mungu, kiufupi amemtukana mungu, Astaghafiru LLAH
Mwinjaku huwa anazungumza kijaziba na facts zake hazina mashiko
Nurubinjubeir na wewe unamdharau Mungu unamwandika kwa herufi ndogo!
Mungu hana mfano mbona tunamwita Mungu Baba kama hafanani na chochote?
Konde hajamtukana Mungu hayo ni mawazo yake tu kayaleta kwetu tuyachambue na siyo tumnyamazishe!
@@user-tl5xf7bq3kkwa hio ni baba maana huyu mwenzio anasema ni mwanamke jee tukufuate wewe au yeye
Laana za mwenyezimungu zikushukie hapa duniani na kesho akhera .mbele ya mahakama ya Allah utalikuta hili.
Hicho ni kibri.hasbiallah.hasbiallah hasbiallah
Kwanzia Leo harmonize Mimi sio shabiki wako tena
Kwahio Mungu wa kwenye bibilia ni jinsia Gani wakati ninyi mnasema kua ni Baba, Bwana, mfalme, .......nini maana ya Baba....? Yesu alikua jinsia gani?
Alikwenda kwa Baba yake na kukaa upande wa kulia kwa Baba yake. Nini maana ya Baba ?
maa shaa Allah
😂😂😂😂😂😂 huo ni uongo akitoa nyimbo utasikia wakwanza naombeni like 😂😂😂😂
Ndio shida ya kumpenda kiumbe kuliko aliekiumba huoni anabadilika kama kinyonga lakin mungu hawi kama hamoniz
Kama mungu nimwanamke kwann aambiwe mwanaume nimsimamiz was wanawake yan ww
Yaa rabbi tujaalie mwisho mwema
Astakhafirulah Astakhafirulah Astakhafirulah. Alafu litoto la Shekhe AllahuAkabaar. lLIMEKANAZANA IN NORMAL ×20
Inna Lilah wa Inaa ilayhi rajiun 🙏 Jamaa kashafika kudadisi uumbaji wa mungu. Acha kuforce kumzungumzia mungu Kwa mtazamo wako.
Huyu harmonize havuti bangi munamudanganyia.huu ni unga sio bangi.
😅😅😅😅
Ha haha haha ha
NAHISI NI UNGAAA
Yani uyuuuu ni mjinga aanaaa
Anavuta na huyo demu mpya anamchanganya
Tatizo mmakonde anajichubua sana
Diamond na mafanyikio yote Alison nayo hajawahi kuropoka hivi, hakika diamond Ana ability sana, na huyu hamo ni limbukeni wa.mafanikiò,
Mwijaku, harmonize bangi imezidi, hawajielewi
Hamonaizi . Allah atakupa mtihani ebu jirudishe kwa allah
MashaAllah mwijaku asante kwakupigania Dini ya haki
hmo koma ukome kabisa kumfananisha mungu na mwanadam tena mwanamke
Mm nilìkuwa stability wake ila kwa kufuru hii tena mwijaku anajaribu kumrekebisha ila yeye bado anatetea ujinga wake, mm sio shabìki wake tena kuanzia leo,
Tupo mashabiki zake we Nuru ondoka utupotelee hata kuona hatutaki
Mwinjaku nani ni chawa tu
Hili toto jinga sanaaa Mungu atamzalilisha kabla hajaondoka hapa duniani, Hata kama hakuna asiekosea ktk hii dunia ila isifikie wakati ukavuka mipaka mpaka kumfananisha Mungu na mwanamke 😢😢😢😢😢
Ila huyu harmonize ni mzm kwl lkn au huyu nd yule msanii wa tanzania alietabiriwa na yul pastor anakaribia kufa
Haha ha haha ha
Hahaha
SubhanaAllah Quran 4:140 jawabu tosha
kabisa al akhy
Aya hiyo ya Qur'an inasema: "Na yeye aliye hubiri uwongo asio mwenye kujua, (anawajibika) kwa Mwenyezi Mungu, Mtukufu, Mwenye kusifiwa."
@mossestv Quran gan umetumia kuangalia hiyo na tafsiri y sheikh gan?
Quran 4:140 hapo inasemaje? Tuambie tuelewe!
@@user-tl5xf7bq3k msomaji wa Quran yoyot anaelew nlichokiandika
Huna elimu ya dini wala elimu yeyote sasa kwanamke anakwenda hedhi kwahiyo nae mungu anakwenda hedh Astghfuru ALLAH, WEWE ULIFAA UKATWE KICHWA
Mungu akusamehee
Allah akulipe mwijaku 🤲
bange ya huyu kijana kali sana. Mungu amsaidie vipesa vyake vinamchanganya
iluminat ijawai acha Mt salama
❤
Inalilah me kweli nimuhuni lakn siwezi sema mungu nimwanamke harmonize nichoko ulaniwe kwenyekazi zako 😩😩😢👉
Ameniudhi kweli kweli, sijui kafikiria nini huyu hamo, Hana ilmu ya dini
Huyu kijana aombe radhi
Fight for equality but there no time Man and Woman gonna be equal.
Hongera mwijaku
Inshallah mola pekee ndio mwenye kuhukumu kijana kashiba mungu wetu watu kam hawa hawana maana yoyte katika dunia hii
braza harmo kiufupi ww tubu mweleeke mwenyezi mungu upige magoti uombe msamaha na kama ulikuwa watafuta kiki baba umefeli pakubwa za ya shobo
Swala ni "Imani"
Kuna watu wengine wanaabudu ngombe, wengine hawaamini mungu eg scientists
Mwanamke ni kumbe bora je nae mungu ni kiumbe , acheni kufuru ALLAH AKUPENI PUMZI NA KULA NA KUSHIBA BAAE MUNAKUJA KUMKUFURU MUNGU,
Harmonize point zako sio strong.
Weka zako strong azione ajifunze😅😅
msimlaumu mwanangu konde kule frimason ndio wanamuaminisha ivo haja kosea
Hii ndiyo ukweli mafree mason ukifikia mahala na daraja Fulani lazima ufarakane na mungu
Hivi kwani vya kuongea vimeisha hadi kumfananisha mungu na wanadamu? Jamani dah tumeisha haki
Toooubaaa mng mwenyew subhanallaah
Wimbo hakusema mwanamke ni Mungu Mungu amesema mwanamke ni Mungu wa pili lakini ukisoma vitabu wazazi ni Mungu wa pili
Umemdharau saaana Mungu dogo. Huruma pole saaana duh 😢😢😢😢😢 amekufuru kabisa ayiiii. Umefananisha Mungu na kiumbe dhaifu
Dah sema mwanangu konde umezingua sana aisee
Umeongea vizuri @harmonize dini nyingi zina mfumo dume,ndomaana manabii wote wanaume,na waliokuwa wafuasi wakuu ni wanaume ndo walioandika vitabu vyote.
Nimehuzinishwa na mwijaku anaedai kwamba mwanamke hawezi kujiongoza na wakati rais wako anaekuongoza ni mwanamke😂😂.pia hata yatima wengi waliobaki na Mama ndo waliolelewa vyema kuliko walobaki na baba.
Mwanamke udhaifu wake sio wa kiroho na kiali bali ni kimwili.ila kiroho wanawake ndo wengi misikitini na makanisani,
Wanawake ndo wenye sense kubwa kiakili hata mwijaku kama uko na mtoto wa kike na wakiume angalia nani yupo responsible nyumbani kwa kulea wadogo zake kuliko mtoto wa kiume.
Mungu hafananishwi na kitu chochote ila kuliko kumuita Baba bora umuite Mama maana wanawake japo ndo wengi ila jela ndo wachache inamaanisha nini kiroho kiimani wao ndo watiifu baada ya watoto.
Ila kwakuwa mfumo wetu ni dume ndomaana wanawake wametukanwa sana iwe kwenye uislam au ukristo wanaitwa nyoka wanaitwa wasaliti ila kiuhalisia wanaume ndo wanaosaliti sana kuliko wanawake na ndo watukutu sana kuliko wanawake.
Yote haya ni kwakuwa wanaume ndo waliandika vitabu hivi na ndo manabii....kwahiyo lazma wangeongea vibaya wanawake ila wanawake wangeandika vitabu au aya flani basi wangeongelea ushetani wa wanaume.
Mungu sio mtu ni roho na roho haina jinsia maana jinsia ni kiungo cha mwili.sasa Mungu sio mtu wala hananishwi na mtu bali wanawake ndo waaminifu kwa Mungu kuliko wanaume.nandomaana kwenye jeshi la kimwili kama JKT wanaume ndo wengi ila kwenye jeshi la kiroho makanisani misikitini wanawake ndo wengi.
Mfumo dume ndio umeiharibu dunia kwa sasa changamoto kubwa ipo kwenye dini za watu ambazo zipo kumkandamiza jamii harmo yupo sawa kwa mtazamo wake sema watu wengi wamepotoka sana kutokana na mafundisho waliopata dunia hii.ukitumia akili binafsi utamuewa harmo
@@harsonmshery5985 kweli bro yaani Imani inawafanya watu wasihoji.aamini tu
ww harmonize fala sana mungu akuongoze ww hunafananisha mungu na mwana mke mwana mke mdhaifu sn ma jua kubemba miba ni mipango ya mungu mwana mke au mwana mme umekufuru
Huyu harmonize ni kafiri tu umaarufu ndio unamsumbua siku akifa ndio atajua mungu ni mwanamke au la huyu ni mshamba tu Basi amuite mama yake mungu
anashangaa mwanaume kuongoza wanawake wanne wakati mfalme suleiman au solomoni alioa wanawakw zaidi ya mia moja😮
NAMBEZAGA MWIJAKU KICHWA BUYU ILA HUYU HARMO NDIO MBUMBUMBUU
Konde ana mawazo mapana ya kufikirika, Mwinjaku ni porojo tupu
Ina lillahi waina ilaih lajuuni yani harmonize ndo amefikia uku😭😭😭
Kadri siku zinavyosonga ndivyo tunavyojaribu kuushusha uanaume wetu,mwanaume kapewa daraja kubwa sana na Mungu,rudini kwenye maandiko matakatifu,hamonaize umekengeuka
Huyu jamaa tayari ameshaharibikiwa...anaongea kama kwamba ni mlevi au mtu aliyechanganyikiwa
Harmonize mama yake muchawi na hamo ni shoga sasa
HASBIYA ALLAH WANEEMA LWAKIL
Harmonize ashakuwa kafiri ..
Yaaani ile kufikiria tu wazo la kumfananisha mungu ushatoka ktk imani ya kiislamu zamn ww una uwezo gan wa kufikiria mmbo ya mungu wakt hata hujui dini yako
Hino kauli ya kumfananisha Mungu,na mwanamke sio nzuri.
Yan huyu ni mpumbavu na nusu hana elimu ya dini mm ni mwanamke lkn huwez kumtetea mwanamke kwakumkashifu alietuumba hamo umalaya na ulimbuken wa wanawake ndio umemfanya afikie huku hata firaun hajawah tamka uliyoyatamka alaf mungu ni mungu na mama ni mama ndiomana tumeambiwa baada ya mungu ni wazaz wawil na ktk wazaz wawil wa kwanza ni mama utasemaje mwanamke hana thaman acha upuz na akil zako za kishoga mtoto wa kiume umejichubua umetoboa pua unajiona mwanamke ndiomana unajifanya unatetea wanawake
Hamonize Ni mshamba Sana acha kupagawa na maisha ya dunia kuna kifo
Mbaka apo ndugu sio Muislam maana maneno ya mwinjaku utubu na utoe shahada kabisa maana katika uislamu ili uamini Mungu ni lazima uamin kua Mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa na hajafanana na ktu chochote kile
Mbona tunamwita baba wa ulimwengu wote? Mungu ni mwanamume!
@@user-tl5xf7bq3k sie waislam hatuna pgo izo ndgu baba wa ulimwengu labda upande wa pili uko
Wanaomwita baba niwakristo sio waislamu
Mungu hafananishi na ki2 chochote hana jins hata hyo anaesema mungu baba pia anakosea
Emng hii dunia inampeleka wp huyuuu mambo gan kwanz hayaa yaraabi tunusuruu
Mwijaku wewe una hofu ya Mungu,
Lakini huyo harmonize kalewa bangi,
Kuanzia leo siangalii nyimbo zake zote,
Hata kama utampigia debe kiasi gani,
Hadi atubu mbele ya Mungu.
Mwanamme mmoja ni sawa na wanawake 2 vitabu vimesema upande wa mashahidi wakiwa wanaume wawili kwenye kesi basi akiwa mwanamme mmoja basi kuwe na wanawake 2
Starehe za dunia Ni kitu kibaya sana, Allah atupe mwisho mwema
Rajab tubia kwa Allah .umekesea sana
Kumbe harmonize mjinga kweli
Hamo watakuuua wanawake ivi ww nistar ila wanawake wanakutesa sanaaa😂😂😂 bona mimi sio star ila mwanamke namuona wakawaida acha ushamba au mapenzi umeyajulia ukubwani sio mungu yuko nanyi
❤
Wakristo wanasema MUNGU mwanaume (YESU) Sasa katokea mmakonde Harmonize anasema MUNGU mwanamke, halafu kwa haya yote yanayotokea bado Kuna mtu anakwambia UISLAMU sio dini ya haki. Inalillah Waina ilayh rajuun
Isaya 40:28
[28]
Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.
Unazungua harmonize mpumbavu wew
Kafanya reserch mbovu kabisa kila akijitetea ndo anazidi kukufuru
Yaan alicho kiongea hamo ni zuzu wa hali ya juu huyu moja anyamaze tu SubhanaAllah
Huyujamaa mchunguzeni inawezekana karogwa amakavuta bangi nyingi sana
LEO NIMETHIBITISHA HARMONIZE NI TAHIRA,YAANI HAMO NI HAMNAZO
Kumbe ili jinga kweli unathubutu kumgananisha mungu nabinadamu
Wewe kama ni harimonaizi 😢😢allah akuongoze
nahis hana akili huyu
Sisi twampenda hamo maana sisi wote wenye dhambi,ila muhukumu mwenyenzi mungu pekee
Alah amuongeze maana hajielewi. Mimi nimwanamke lakini sikuungi mkono kwa hilo. Kwani ufahamu mtume wetu muhamed SAW alituona wanawake wengi sana moto. Na mwanamke ni dhaifu. Hawezi kua juu kuliko mwanamme. Ndio tukaambiwa wanawake tulioolewa pepo yetu ipo chini ya nyoyo ya mume wake. Na mwanamme pepo yake ipo chini ya nyayo ya mama.
Mii naona hawa wawili ni njama yao,kila saa mnaingia live mkimtusi Mungu hayani endeleeni
Kwl mwijaku
😳IviHuyu Harmo Anamatatizo Kumbe Sasa Kama Mwanamke Anamahusiano Ya kalibu na MUNGU Je Kuna Mitume Wakike!?,
Naona sasa nyie mnataka kutuletea umarekani wa kumtukana mungu ili mfanikishe yenu ivi mumekosa kiki ahahah jamn!😢😂😂
Hujui quran maana mwanamke katoka kwenye ubavu wa mwanaume na ndomaana mwanamke ni dhaifu
Innalilah wainna ilaih rajiuun.,..sub-hanallah
Astaghafirullah lillah laadhim, Rajab umechopa mipaka, tubu na umumbe sana mungu akusameh
Innalillah wainnailayh Raj un
Ila Mwijaku upovizur sana
Harmonize kamzid wisdom mwijaku,,
Duh kumbuka mungu hafananishwi na chochote
Kwa maneno Yako na sura Yako inavyo onekana Hauna marinda ushajaribiwa
Yani harmonize ni mfuasi washetani ana mwabudu seviranusi ambaye ni mungu wakike wa kishetwani
Hamonazi nina wasi wasi una mimba ya panya c bure ww maan c kwa kufika hiv maan mungu hafananishw na mtu wala kit duh allah hatakusamehe
Allah atamlaani miaka yake yoteeee na kufa kwake kote naakifa hato hoza kama filauni
Samahani aki mm najihisi nitoe vp vingi lkn....harmonize umekuwa mwehu,,,,hujui kitu kuhusu dini....
Mungu atalifanyia kaz ila chunga ulimi wako pia acha kula unga wenzio wanakula ugari
Huyu jamaa niovyo kweli wallahy ushamba wa wanawake ni mbaya sana
Nimekuelew hamo wachach sn watakuelew Mungu akutangulie
Asighafurullah Allah Akibaru SubhanAllah😭😭😭😭😭😭
Kama mwanamke ana maana kwake mbona anabadilisha wake kama shati mbona hatulii na mke mmoja…MNAFIKI huyu🇰🇪🇰🇪
Anawapenda waanawake kaumbiwa awe nao
Daaah kwer shibe mbaya
Huwanakukubari Sana hamonaizi hapo umeniboha baraa hunahakiri hata kidogo
Shetan alimwahid mungu atatafuta wafuasi wa kwenda nao moton na atawadanganya wanadamu ili wakachomwe wte xo hamornize kashadanganywa na shetan na kaaminishwa ivo asipotubu kapotea ataenda kujib mbele ya mola wake na moto unamhusu kam asipotubu kakufuru mnoo
Mungu ni Roho so am somewhere thinking kama roho inajinsia
Na anachofanya hamo ni kama alicho fanya afande sele kumtukana mungu, na wote hawa wanatumia bangi,
Bas leo tunakupa sifa kaka
WEWE N KAMA PAULA KWAKILA KITU
Brother harmonize wanaokuhukumu na kukutamkia maneno bamaya hawafanyi vizuri ni mawazo yako. Ila kifupi hapo umekosea dogo. Huo unaoongea ni ujinga. Wewe unawezaje kumfananisha mungu na mwanamke unafaaa vibokoooo