HARMONIZE ATOA MACHOZI BAADA YA KUSOMEWA DUA YA ATARI NA DR SULLE JE ATAKUFA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 153

  • @user-yv8ls6wd4w
    @user-yv8ls6wd4w 16 дней назад +8

    Docter sule upo juu wa mstari Allah atuwekee sheikh wetu kwa hakika tunajivunia kuwa na sheik mfono wako unaakili ya ajabu

  • @habogorimanaathumani6125
    @habogorimanaathumani6125 17 дней назад +8

    Suley endelea kazi Allah akuzidishie elimu zaidi .

  • @aminandurya
    @aminandurya 16 дней назад +10

    Allah thabarqAllah akuzidishie kauli njema InshaAllah ❤

  • @djarudihabimana3571
    @djarudihabimana3571 14 дней назад +5

    Docter sulle, kicwa. Mungu amupe kira anacohitaji amin

  • @MaddybeatekJabil
    @MaddybeatekJabil 12 дней назад +1

    Dr sule Allah akup maisha mazur archer na Dunia inshallah harmonaiz afunzwe kbx

  • @user-ue4fu9oo7s
    @user-ue4fu9oo7s 14 дней назад +3

    Huyo haminaiz atapata shida saaana hapa duniani Mungu hamuoni kama ingelikua raisi angelisha omba msamaha
    Fanya kazi dokta sule Mungu atakulipa ishaalla

  • @user-kk8zj1rf5k
    @user-kk8zj1rf5k 15 дней назад +3

    Dr Sulle may Allah grant you jannat firdaus lnshaAllah

  • @RamadhanSelemani-on1yb
    @RamadhanSelemani-on1yb 15 дней назад +5

    Allah akujalie Dr.sule

  • @AaWe-ze9ho
    @AaWe-ze9ho 15 дней назад +4

    Mashaallah allah akuthibitish dkt sule hkk unakumbusha

  • @JustinTutuki
    @JustinTutuki 13 дней назад +2

    Mweyez mungu akulinde dk sule

  • @user-sf3ys8rm5s
    @user-sf3ys8rm5s 16 дней назад +5

    Sema shehe sule uwondio wajibu wk mungu atakupa wepesi na mingine yakitokezea utayasema

    • @eddymaphy
      @eddymaphy 14 дней назад

      Aamin yarabbil'alamin

  • @Manjalino
    @Manjalino 16 дней назад +6

    Aisee dokta haemonize ni sisimizi tu kwako

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 14 дней назад +3

    Allahumma aamyn 🙏🙏

  • @issanabiswa3393
    @issanabiswa3393 17 дней назад +15

    Huyo anaesema DR SULLE anamzungumzia Harmonize ili awe maarufu au kutafta kiki mwenyezi mungu amsamehe na amzidishie Sheikh SULLE azidi kutuongoza katika njia iliyo nyooka🤲

    • @amosicommedy6917
      @amosicommedy6917 16 дней назад +1

      Kwa harmonize hayuko hapo dar kwann asimfate sura gan kwenye Quran inasema msilamu akikosea asemwe mitandaoni

    • @user-ow7hw1oy2g
      @user-ow7hw1oy2g 15 дней назад +1

      W chizi kwani Dr sulle alimsemanga harmonize sikuzanyuma kabla ajaongea ili la kusema mw/mungu wenda atakuwa mwanamke, mpaka w useme anatafuta kiki

    • @user-ko6lg9tw6w
      @user-ko6lg9tw6w 15 дней назад

      Mjinga t huyo aloongey hvo hajielew

    • @issanabiswa3393
      @issanabiswa3393 15 дней назад

      @@user-ow7hw1oy2g Kuna vitu vingi vya kurithi maishani,ujinga,ujeuri,hekima na vinginevyo...jiulize ulirithi kipi,kuelewa pia sio rahisi kwa mtu mwenye upungufu wa kufikiria🤔🤔🤔

    • @bellahally2852
      @bellahally2852 14 дней назад

      ​@@amosicommedy69171qq1

  • @WardaWarda-gi2wn
    @WardaWarda-gi2wn 14 дней назад +1

    Masha Allah, Jazakallahul khayr ❤

  • @BibongeMuhozya
    @BibongeMuhozya 12 дней назад

    Allah akuongoze shekhe wetu na utupe darasa pale tunapoteleza

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m 15 дней назад +8

    Doctore Sule ni maharufu zaidi ya harmonize. Haipingwi

  • @RamadhanShaban-ov8uk
    @RamadhanShaban-ov8uk 15 дней назад +6

    Mungu akupe nguvu uzidi kuupigania uislamu shekh inshaalah

  • @emmanuelsanga9765
    @emmanuelsanga9765 8 дней назад

    Mungu akuzidishie amin

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 14 дней назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh wetu🤲🤲🤲

  • @HouseofCravings-HOC
    @HouseofCravings-HOC 20 часов назад

    Sincerely speaking God should not compare with anything else on Earth let God to God money should not drive us at all.i understand swahili even though am typing from other countries .

  • @rashidiminani1983
    @rashidiminani1983 7 дней назад

    docta sule ukosahih❤

  • @hafidhaliali9419
    @hafidhaliali9419 14 дней назад +3

    dr sule macho yangu yanaon kama umekata panki alafu unasema msemaji wa dini ya kiislam dah innaaa lillah wainnaa ilaihi rajiuun

    • @EmmyMuha
      @EmmyMuha 14 дней назад

      Haijalishi imani ya mtu tu

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w 15 дней назад +6

    Mungu akupe umr mrefuuu wenyeher na Baraka kwako Doctor sule tunakupenda Kwa ajli y ALLAH

  • @MwanaishaMtavassy
    @MwanaishaMtavassy 13 дней назад

    Huyo juma siwajuzi tu hajui chochote masikini, Sulle rafiki yangu Allah akuongoze

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 14 дней назад +2

    Kwani wewe shekhe ni mungu

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko6403 15 дней назад +7

    Dr Sule Allah akupe kila heri tunakupenda sana karibu kwetu Rwanda kwa mzee wetu Raisi wetu Kagame mpendwa 🎉

    • @IbrahimuLiinje
      @IbrahimuLiinje 12 дней назад

      Dokta sule ongera yako mana upo ktk kunyosha maelezo bila kupindisha pindisha

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 16 дней назад +2

    Tafauti ya Popularity ya MSANII na MUHADHIRI wa dini. Wasanii hutumia njia nyingi kutafuta umaarufu bila kujali hata Mungu. Bahati ya Harmonise kama Muisilamu amepata mtu asiye jali umaarufu wowote akampa naswaha ya lile alilosema kama hakujuwa ni kosa sasa ameeleweshwa kama ni kosa. Kama amesoma dini basi atafahamu amepata naswaha na mzazi wake pia ataweza kumueleza mwanae amekosa. KAMA MUISILAMU DR SULE AMEJITOKEZA WAZI KUMPA NASWAHA WENGINE WALIWANYAMAZIA WASANII TZ SABABU WAZI WAMEPITA MIPAKA YA MUNGU KWA MTAZAMO WA DINI YA KIISLAMU

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 14 дней назад +2

    Hawa watu hulingia huchawi na ushirikina Tu .
    Dini kwao NI kivuli cha kufanyia uganga .
    Mungu hawezi kuwa na machawa.na huwezi msaidia Mungu kuhukumu waja wake ninyi mmemuhukumu harmonize na kumtishia kumfanyia dua mbaya.
    Mungu Mwenye sifa njema hawezi kusikia dua za ubaya Kwa mja wake

    • @semhineshauri3410
      @semhineshauri3410 13 дней назад

      Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?

    • @semhineshauri3410
      @semhineshauri3410 13 дней назад

      Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 12 дней назад

      Wacha ujinga wewe, sisi waislamu tuna wivu na Mungu wetu.

  • @user-kb4dk7zo1l
    @user-kb4dk7zo1l 12 дней назад

    Mwenyez mungu akuweke dr sulle

  • @FabianTebeka
    @FabianTebeka 13 дней назад

    MWENYEZI MUNGU akupe nguvu sheikh wetu Dr sule nakukubali sana kwa kutetea dini yetu na ALLAH akupe maisha marefu na mazuri lakini Dr naona kama umenyoa panki au macho yangu Dr sule ila mm nitakukubali kwa kutetea dini yetu Amin 😅

  • @user-xh3id9il6k
    @user-xh3id9il6k 16 дней назад

    DkT sule upo vizur kwa majibu yako .nakupenda sana unajibu vizur naomba namba yako km hutojali

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 17 дней назад +3

    Sure ni kichwa na anajua.

  • @Ismailmtp888
    @Ismailmtp888 16 дней назад +1

    Hakika waislamu wote ni ndugu

  • @ramadhanwilbard8196
    @ramadhanwilbard8196 13 дней назад

    Umaarufu katika dini huu ndiye umaarufu nzuri daudi kuliko sehemu yoyote!

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 12 дней назад

    Dr nakukubali tangu enzi za ujana wetu .

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 12 дней назад

    Huyo kijana ajiangalie sana ikiwa hatotubia kwa M/Mungu ajue kuzikwa kwake itakuwa shida kwake

  • @user-gn2rq8sf7t
    @user-gn2rq8sf7t 16 дней назад +1

    SULE ❤ HARMONIZE TUKIMUOMBEA DUA ATA SIKU HAKATISHI ANAKUFA

  • @sadikimgaza6777
    @sadikimgaza6777 12 дней назад

    Anae sema Dr sule anatafuta kiki siyo mwislam

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f 14 дней назад

    Allah akuhifadh inshallah Dr sule

  • @user-dd7uv7yl1r
    @user-dd7uv7yl1r 14 дней назад

    Mashaallah safi Dr

  • @munic6686
    @munic6686 16 дней назад

    Dct upo sahihi sana

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 16 дней назад

    Tupo pamoja doctor sule

  • @AidahAlen
    @AidahAlen 15 дней назад

    Dr sule pambana shekh

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 16 дней назад

    DORIA INAYOFANYWA KTK NAFSI ZA WATU NA KUWEKA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU NI BORA ZAIDI KULIKO DORIA ZINAZOFANYWA NA BUNDUKI KATIKA MITAA❤❤😂😂 SAFI DR SULE MIMI MKRISTO LAKINI NNAKUELEWA SANA UNA AKILI NA UELEWA MWINGI SANA❤❤

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c 16 дней назад

    doktar sule tekeleza kz yako make siku ya mwisho kila mungu atamuliza kila atamuuliza karama aliyompa ameitumiaje na kila mmoja ni mchunga mungu atamuliza alicho kichunga chapa kz mm niko nyuma yako

  • @amosicommedy6917
    @amosicommedy6917 16 дней назад +3

    Dr sulle utamtangulia harmonize mtoto kakosea badala umfate umuelimishe unashauka mitandaoni who are you by the way muhaziri my foot hujui uislamu muelimishe kijana kakosea acha kutoa hukumu 😂

    • @iddyjm2560
      @iddyjm2560 11 дней назад

      Hapn sis cyo wachaw ilah 2namueshim San mwenye zi mung yey ndy kila ki2 kwet uwez kumtukan mung alaf ukafurahia utakuw ni mjing San muogop San mung yey ndy kila ki2 na il na mshukur doctor sule kwa ku2pa elim ya kumuogop mung na azid kufany hivy il 2elimike mfate yey utapat elimu ya kutosh

  • @user-jh7is5do2f
    @user-jh7is5do2f 12 дней назад

    Mashaalah

  • @SatmaAlly
    @SatmaAlly День назад

    🎉🎉🎉🎉🎉vzr

  • @ShantoiShantoisinekikasimu
    @ShantoiShantoisinekikasimu 15 дней назад

    🎉🎉 mtwara tunakujua vyema kabisa tunamshangaa huyu. Lana kazipata wap

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 16 дней назад

    Dr Sule nakuaminia sn,hasa wakati ule ukampa jambajamba mdandia dini kwa mbele lenyewe na lile lidandia dini lingine hayanaga mahubiri xaidi ya kuongelea waKristo.Mwampopo na lile lingine hayawexi msogekea Sule,Sule jeshi kubwa,Sikia madini hayo.

  • @Maerys-xm8xt
    @Maerys-xm8xt 12 дней назад

    Dr sule unaongeya point,wanaokuponda wasubiri malipo kwa Allah.

  • @Josephmalack
    @Josephmalack 12 дней назад

    binadamu niwanafiki 2 hiyo ni kiki konde achana nae

  • @KobaAbbas
    @KobaAbbas 15 дней назад

    Ndicho kijua jamani HAMO.ametumwa naSHETAN kumtukuza mungu

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 13 дней назад

    Docta suley wanyooshe kabisaaa wanajirusha akili na hawajasoma dini vizuri wape makavu live hauna njaaq sheih wangu

  • @himnakhatib1050
    @himnakhatib1050 13 дней назад

    Jamani walimu mda mwengine tuwe wazi uyo konde hata km hajatamka hiyo kauli basi hana uislam iv jaman uislm ni vitendo ama jina.asa yule ana vitendo gani .yule ni kefir bwana moja kwa moja.

  • @shameemahmed1130
    @shameemahmed1130 13 дней назад

    DR SULEE ni maarufu dunia mzima sio eti kwa tanzania tu na kila mmoja ana muheshimu huyu sheikh Dr Sulee

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 17 дней назад

    Huyo mtangazaji ame kosea kusema wakilisto at kuna dhambi zisizo sameheka sokweli kila dhambi ina sameheka

  • @MuzirAmisseSalimo
    @MuzirAmisseSalimo 13 дней назад

    tunakushukuru mzee

  • @saidihamadi6110
    @saidihamadi6110 12 дней назад

    Ustadh gani yule Ustadh mchongo anaemtetea yule kijana anae mkufuru Allah, huyo kijana anatakiwa kusoma dini kwanza halafu halafu ndio ajuwe Allah ni mwanamke au ni mwanaume

  • @fabienuwimana9559
    @fabienuwimana9559 15 дней назад

    Kweli kabisa

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 14 дней назад

    Mashallah

  • @godshanthomas3297
    @godshanthomas3297 16 дней назад

    Kwenda huko ww ndio unampigania mungu

  • @jumanayopa
    @jumanayopa 16 дней назад

    Yaani harmo kapata elim ya kuunga unga ndiyo inampa kibri.sasa anasema hata yy baba yake shehe inamaana baba yake ndyo kamtuma amtukane mungu .acha ujinga harmo

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 15 дней назад

    Nahuyo baba ake bona hatumjuwi kama ni shekhe mashekhe tunawajuwa huyu jama nimshezi naanakiburi nahicho kiburi chake ndicho kitakacho mpoza namukitaka msitake munao mteteya huyo jamaa hana ndin anaabundu viuno vya kutengeneza

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 15 дней назад

    Hawa ndio wanaowadhalilisha wanawake wakati

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 10 дней назад

    Mjomba usikubali hela zake ikiwa wewe ni mumin wa sasa hela zake sio za halali afadhali usavaiv hivyo na maisha yako lakini ule chahalali chako mwenyewe muhogo dagaa na ugali vizuri utavipata peponi hakuna kufa huko

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 15 дней назад

    Me naona mnampa nasaha sana na kufanya mahojiano sana kwanini mnamchelewesha ngombe wakat kashafika kichinjion?

  • @ibramakaveli1022
    @ibramakaveli1022 14 дней назад +2

    Sheikh sule harmonize kakufuru kasema kuwa anaona kuwa Allah ni mwanamke harmonize ni freemason ndio sababu kakufuru.ikiwa mtume Mohamed mwenyewe hakumuona Allah yy nani aseme kuwa Allah ni mwanamke.Allah atampa la umpa InshaAllah

  • @allyduniakhamis22
    @allyduniakhamis22 16 дней назад

    Docter sule ni maaruf kabla ya huy kafir homonize mungu akuunze sheikh wetu

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u 17 дней назад

    Safi sana dr, yule dudu baya ni lijizi tu kama majizi wengine na siku ya kifo chake atakwenda motoni kwanza tu anamshirikisha nabii Issa kua ni mkristo na hiyo ni kosa, kama dudu baya hajasilimu basi ni kuni ya motoni.

    • @sultanaswaleh7813
      @sultanaswaleh7813 17 дней назад +1

      DR SULE . FANYA KAZI YA ALLAH !, WAFUUZIE HAO WANAFIK. MIMI NAKUFWATILIA SANA . FROM🇰🇪 ALLAH ! AKUHFADHWI 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️💕💕💕

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 10 дней назад

    Sulle hanashida na umafufu

  • @user-mt3wr9mx7c
    @user-mt3wr9mx7c 14 дней назад

    Big up sule waelekeze harmonize tumpige kunuti duh mtoto bangi sio mchicha😂😂😂😂😂

  • @henryfaraji1527
    @henryfaraji1527 14 дней назад

    Binadamu kama binadamu wengine weee uko biashara sio dini boya tu wewe uko kazi sio dini

  • @domingosjohnraissemaikomai7930
    @domingosjohnraissemaikomai7930 16 дней назад

    Auna akili

  • @hassanimatenga-du2ct
    @hassanimatenga-du2ct 16 дней назад

    Wewe acha ujinga mtangazaji hakuna dhambi kubwa wala ndogo mkristo yupi aliyekwambia dhambi ni dhambi huku ni ileile

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 15 дней назад

    Hata hayo maswali ni ya mtu jahili zuzu jinga

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 15 дней назад

    domo lake ninaweza kumdhalilisha mtu

  • @AbuuSalmini
    @AbuuSalmini 16 дней назад

    Unaeleza kwaufasaha kabisa

  • @user-xn3sg8rh3m
    @user-xn3sg8rh3m 13 дней назад

    Wewe

  • @JaneDaimon
    @JaneDaimon 4 дня назад

    Muacheni basi

  • @AllyAbdi-jm3et
    @AllyAbdi-jm3et 16 дней назад

    shekh wewe usiache kutusio vijana

  • @JacksonYesu
    @JacksonYesu 15 дней назад

    Unajiitapa

  • @JacksonYesu
    @JacksonYesu 15 дней назад

    Hana lolote huyo hamonize anawasiliana na mataifa wewe unamshambulia mtoto mdgo kubwa ziro

  • @sembuchemahiya4201
    @sembuchemahiya4201 15 дней назад

    Muongelee harmonize ujulikane

  • @hakizimanatatuhakizimana6186
    @hakizimanatatuhakizimana6186 14 дней назад

    Hamonaizi nilikuwa nampenda lakini namchukiya sasa ajili ya mambo yake smpendi kabisa Allah amuongoze na amsamehe izo ni bangi

    • @eddymaphy
      @eddymaphy 14 дней назад

      Hayo ndio matatizo ya kuanza starehe ukubwani ,ndio yanafikisha mtu kufanya mambo kinyume na dini

  • @GladnessMassawe-iz7nk
    @GladnessMassawe-iz7nk 14 дней назад

    Wewe unatakiwa umuweke sawa siyo kulitole macho ata mwenye simungu ajawapa ukumu ya nyie kutoa ukumu mtoto akinyea mkono awaukati unausuuza hii dini na hiii dini siyo yamtu mmoja yakwetu sote atukatai nyie ndo mwenye maanulaka kiduni ila ukumu anatoa mungu

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u 17 дней назад

    We Dr ki kweli kweli kwani unajua pasipo ubabaishaji

  • @user-sf3ys8rm5s
    @user-sf3ys8rm5s 16 дней назад +1

    Uyo sio shehe bali ni msemaji tu nahuyo ndio wale wale mashetani

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 14 дней назад

      Sheikh kwa kiswahili mzee
      Hata wewe hujui maana ya Sheikh

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 12 дней назад

      Nyie makafiri mbona mna nongwa na mashehe wakikemea uovu? Maana naona mko mbele Sana kumtetea ujinga ?shida yenu Nini?

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 15 дней назад

    eti mitume yote wangalikua km wewe tungalifikawap

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 15 дней назад +1

    huyu jamaa nisheher aula mtu wamitandao Anataka Sombrero radhi yeye ninani anatoa Lana yeye Nani wewe siokiongozi wadini wewe kiongozi wakuwafanya watu duazalana acha kujiona wewe mkamilifu

    • @EmmyMuha
      @EmmyMuha 14 дней назад

      Hajasema km mkamilifu anatufundisha anaongea ukweli hajakosea apo haimo shetani

    • @EmmyMuha
      @EmmyMuha 14 дней назад

      Anatakiwa atubie nakipini chake km ng'ombe wa maonyesho

  • @user-pg2pe6ye4i
    @user-pg2pe6ye4i 3 дня назад

    Uyu sule si chochote dogo harmonize usilie akuna kitakacho kukuta wewe sule ata atume jini wake kkkkk

  • @MfaumeKadaga
    @MfaumeKadaga 13 дней назад

    hunalolot naizodua haziwezi mfikia kwasababu hajakuzudia unacho waza ww shekhe ubwabwa

    • @semhineshauri3410
      @semhineshauri3410 13 дней назад

      Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj 14 дней назад

    Wewe ni mungu uhukumu mtu??sisi wote wenye dhambi,usihukumu mtu Allah tuu wa kuhukumu

    • @FatumaBasho
      @FatumaBasho 12 дней назад

      Wewe hujakubali kuwa huyo MTU wenu alikufuru allah. Wewe sio mzima wa akili

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 14 дней назад

    Huyu mwandishi sijui anatokea taasisi gani maswali ya kipuuzi sana anamuuliza Dr Sule baadala ya maswali ya msingi, Hamonizi amekufuru na Dr Sule ameshapambanua sana kwenye mahojiano mbali mbali, inaonekana Tz waandishi wamekosa kazi za kufanya Dr. Sule kuna clips nyingi ameshatoa ufafanuzi halafu anatoka mtu tena anaenda uliza upuuzi ule ule, kwanini waandishi hawaendi kwa hamonize kumuhoji kama amerudi kwa Mungu na kuleta shahada upya?

  • @fransiskajohn7117
    @fransiskajohn7117 16 дней назад

    Sule hunalolote hamonaze ametoa mfano sio kama nikweli

    • @jaffaralimakame1533
      @jaffaralimakame1533 16 дней назад

      WEWE MBWA KAFIRI HUWEZI KUWEKA MFANO WA KUFURU KWA MUNGU

    • @kazezaageneral1830
      @kazezaageneral1830 13 дней назад

      Wewe Francis hivi mwanadamu unafikaa hatua kumtoa Mola mfano ,je wewe mzima?

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm 13 дней назад

      Makafiri kama haya ndio yanayo mvmbisha huyu ngulue hamonaiz

  • @SitiSiti-mg5po
    @SitiSiti-mg5po 16 дней назад

    😂😂😂😂

  • @yusufabdikadir4260
    @yusufabdikadir4260 15 дней назад

    Huyu hamo ni kafiir kama hawo makafir wengine hiwo munkar pekeyake tuu anawo ufanya wa muziki ni munkar Sawa huyu mwanzo tuu alikua kafiif tayari achana na hayo matamko ya Sasa ule munkar tuu unakupeleka motoni achana hi kufuur alio ifanya huyu hamo ni kafir

  • @user-xn3sg8rh3m
    @user-xn3sg8rh3m 13 дней назад

    Nyie wengine komenti zenu za kijinga akili hamna hamonaiz nimtu wakufahamisha nyie vp aekezwa Kesho atoa nyimbo mwanamke ni nimtu na nusu au nimungu mwengine halafu watetea apo

  • @Kibabe2024
    @Kibabe2024 15 дней назад

    Sasa wewe ule ulipewa mamlaka ninani unaewapalana watu kwaza toast ka Familia yako unawajua wanachokifanya acha njaa yamitandao unakipaka dini sio yako niyetusote Aombe msamaha kwanani wakati wewe tayari mtoanala wewe

    • @user-qz8dq3wu5y
      @user-qz8dq3wu5y 14 дней назад

      Wew acha kujitia wewe kumsema shekh wetu kuma wewe