Huyo haminaiz atapata shida saaana hapa duniani Mungu hamuoni kama ingelikua raisi angelisha omba msamaha Fanya kazi dokta sule Mungu atakulipa ishaalla
Huyo anaesema DR SULLE anamzungumzia Harmonize ili awe maarufu au kutafta kiki mwenyezi mungu amsamehe na amzidishie Sheikh SULLE azidi kutuongoza katika njia iliyo nyooka🤲
@@user-ow7hw1oy2g Kuna vitu vingi vya kurithi maishani,ujinga,ujeuri,hekima na vinginevyo...jiulize ulirithi kipi,kuelewa pia sio rahisi kwa mtu mwenye upungufu wa kufikiria🤔🤔🤔
Sincerely speaking God should not compare with anything else on Earth let God to God money should not drive us at all.i understand swahili even though am typing from other countries .
Tafauti ya Popularity ya MSANII na MUHADHIRI wa dini. Wasanii hutumia njia nyingi kutafuta umaarufu bila kujali hata Mungu. Bahati ya Harmonise kama Muisilamu amepata mtu asiye jali umaarufu wowote akampa naswaha ya lile alilosema kama hakujuwa ni kosa sasa ameeleweshwa kama ni kosa. Kama amesoma dini basi atafahamu amepata naswaha na mzazi wake pia ataweza kumueleza mwanae amekosa. KAMA MUISILAMU DR SULE AMEJITOKEZA WAZI KUMPA NASWAHA WENGINE WALIWANYAMAZIA WASANII TZ SABABU WAZI WAMEPITA MIPAKA YA MUNGU KWA MTAZAMO WA DINI YA KIISLAMU
Hawa watu hulingia huchawi na ushirikina Tu . Dini kwao NI kivuli cha kufanyia uganga . Mungu hawezi kuwa na machawa.na huwezi msaidia Mungu kuhukumu waja wake ninyi mmemuhukumu harmonize na kumtishia kumfanyia dua mbaya. Mungu Mwenye sifa njema hawezi kusikia dua za ubaya Kwa mja wake
MWENYEZI MUNGU akupe nguvu sheikh wetu Dr sule nakukubali sana kwa kutetea dini yetu na ALLAH akupe maisha marefu na mazuri lakini Dr naona kama umenyoa panki au macho yangu Dr sule ila mm nitakukubali kwa kutetea dini yetu Amin 😅
DORIA INAYOFANYWA KTK NAFSI ZA WATU NA KUWEKA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU NI BORA ZAIDI KULIKO DORIA ZINAZOFANYWA NA BUNDUKI KATIKA MITAA❤❤😂😂 SAFI DR SULE MIMI MKRISTO LAKINI NNAKUELEWA SANA UNA AKILI NA UELEWA MWINGI SANA❤❤
doktar sule tekeleza kz yako make siku ya mwisho kila mungu atamuliza kila atamuuliza karama aliyompa ameitumiaje na kila mmoja ni mchunga mungu atamuliza alicho kichunga chapa kz mm niko nyuma yako
Dr sulle utamtangulia harmonize mtoto kakosea badala umfate umuelimishe unashauka mitandaoni who are you by the way muhaziri my foot hujui uislamu muelimishe kijana kakosea acha kutoa hukumu 😂
Hapn sis cyo wachaw ilah 2namueshim San mwenye zi mung yey ndy kila ki2 kwet uwez kumtukan mung alaf ukafurahia utakuw ni mjing San muogop San mung yey ndy kila ki2 na il na mshukur doctor sule kwa ku2pa elim ya kumuogop mung na azid kufany hivy il 2elimike mfate yey utapat elimu ya kutosh
Dr Sule nakuaminia sn,hasa wakati ule ukampa jambajamba mdandia dini kwa mbele lenyewe na lile lidandia dini lingine hayanaga mahubiri xaidi ya kuongelea waKristo.Mwampopo na lile lingine hayawexi msogekea Sule,Sule jeshi kubwa,Sikia madini hayo.
Jamani walimu mda mwengine tuwe wazi uyo konde hata km hajatamka hiyo kauli basi hana uislam iv jaman uislm ni vitendo ama jina.asa yule ana vitendo gani .yule ni kefir bwana moja kwa moja.
Ustadh gani yule Ustadh mchongo anaemtetea yule kijana anae mkufuru Allah, huyo kijana anatakiwa kusoma dini kwanza halafu halafu ndio ajuwe Allah ni mwanamke au ni mwanaume
Yaani harmo kapata elim ya kuunga unga ndiyo inampa kibri.sasa anasema hata yy baba yake shehe inamaana baba yake ndyo kamtuma amtukane mungu .acha ujinga harmo
Nahuyo baba ake bona hatumjuwi kama ni shekhe mashekhe tunawajuwa huyu jama nimshezi naanakiburi nahicho kiburi chake ndicho kitakacho mpoza namukitaka msitake munao mteteya huyo jamaa hana ndin anaabundu viuno vya kutengeneza
Mjomba usikubali hela zake ikiwa wewe ni mumin wa sasa hela zake sio za halali afadhali usavaiv hivyo na maisha yako lakini ule chahalali chako mwenyewe muhogo dagaa na ugali vizuri utavipata peponi hakuna kufa huko
Sheikh sule harmonize kakufuru kasema kuwa anaona kuwa Allah ni mwanamke harmonize ni freemason ndio sababu kakufuru.ikiwa mtume Mohamed mwenyewe hakumuona Allah yy nani aseme kuwa Allah ni mwanamke.Allah atampa la umpa InshaAllah
Safi sana dr, yule dudu baya ni lijizi tu kama majizi wengine na siku ya kifo chake atakwenda motoni kwanza tu anamshirikisha nabii Issa kua ni mkristo na hiyo ni kosa, kama dudu baya hajasilimu basi ni kuni ya motoni.
Wewe unatakiwa umuweke sawa siyo kulitole macho ata mwenye simungu ajawapa ukumu ya nyie kutoa ukumu mtoto akinyea mkono awaukati unausuuza hii dini na hiii dini siyo yamtu mmoja yakwetu sote atukatai nyie ndo mwenye maanulaka kiduni ila ukumu anatoa mungu
Huyu mwandishi sijui anatokea taasisi gani maswali ya kipuuzi sana anamuuliza Dr Sule baadala ya maswali ya msingi, Hamonizi amekufuru na Dr Sule ameshapambanua sana kwenye mahojiano mbali mbali, inaonekana Tz waandishi wamekosa kazi za kufanya Dr. Sule kuna clips nyingi ameshatoa ufafanuzi halafu anatoka mtu tena anaenda uliza upuuzi ule ule, kwanini waandishi hawaendi kwa hamonize kumuhoji kama amerudi kwa Mungu na kuleta shahada upya?
Huyu hamo ni kafiir kama hawo makafir wengine hiwo munkar pekeyake tuu anawo ufanya wa muziki ni munkar Sawa huyu mwanzo tuu alikua kafiif tayari achana na hayo matamko ya Sasa ule munkar tuu unakupeleka motoni achana hi kufuur alio ifanya huyu hamo ni kafir
Nyie wengine komenti zenu za kijinga akili hamna hamonaiz nimtu wakufahamisha nyie vp aekezwa Kesho atoa nyimbo mwanamke ni nimtu na nusu au nimungu mwengine halafu watetea apo
Docter sule upo juu wa mstari Allah atuwekee sheikh wetu kwa hakika tunajivunia kuwa na sheik mfono wako unaakili ya ajabu
Suley endelea kazi Allah akuzidishie elimu zaidi .
Allah thabarqAllah akuzidishie kauli njema InshaAllah ❤
Aamin
Docter sulle, kicwa. Mungu amupe kira anacohitaji amin
Dr sule Allah akup maisha mazur archer na Dunia inshallah harmonaiz afunzwe kbx
Huyo haminaiz atapata shida saaana hapa duniani Mungu hamuoni kama ingelikua raisi angelisha omba msamaha
Fanya kazi dokta sule Mungu atakulipa ishaalla
Dr Sulle may Allah grant you jannat firdaus lnshaAllah
Allah akujalie Dr.sule
Aamin
Mashaallah allah akuthibitish dkt sule hkk unakumbusha
Mweyez mungu akulinde dk sule
Sema shehe sule uwondio wajibu wk mungu atakupa wepesi na mingine yakitokezea utayasema
Aamin yarabbil'alamin
Aisee dokta haemonize ni sisimizi tu kwako
Allahumma aamyn 🙏🙏
Huyo anaesema DR SULLE anamzungumzia Harmonize ili awe maarufu au kutafta kiki mwenyezi mungu amsamehe na amzidishie Sheikh SULLE azidi kutuongoza katika njia iliyo nyooka🤲
Kwa harmonize hayuko hapo dar kwann asimfate sura gan kwenye Quran inasema msilamu akikosea asemwe mitandaoni
W chizi kwani Dr sulle alimsemanga harmonize sikuzanyuma kabla ajaongea ili la kusema mw/mungu wenda atakuwa mwanamke, mpaka w useme anatafuta kiki
Mjinga t huyo aloongey hvo hajielew
@@user-ow7hw1oy2g Kuna vitu vingi vya kurithi maishani,ujinga,ujeuri,hekima na vinginevyo...jiulize ulirithi kipi,kuelewa pia sio rahisi kwa mtu mwenye upungufu wa kufikiria🤔🤔🤔
@@amosicommedy69171qq1
Masha Allah, Jazakallahul khayr ❤
Allah akuongoze shekhe wetu na utupe darasa pale tunapoteleza
Doctore Sule ni maharufu zaidi ya harmonize. Haipingwi
Mungu akupe nguvu uzidi kuupigania uislamu shekh inshaalah
Mungu akuzidishie amin
Allah akuhifadhi sheikh wetu🤲🤲🤲
Sincerely speaking God should not compare with anything else on Earth let God to God money should not drive us at all.i understand swahili even though am typing from other countries .
docta sule ukosahih❤
dr sule macho yangu yanaon kama umekata panki alafu unasema msemaji wa dini ya kiislam dah innaaa lillah wainnaa ilaihi rajiuun
Haijalishi imani ya mtu tu
Mungu akupe umr mrefuuu wenyeher na Baraka kwako Doctor sule tunakupenda Kwa ajli y ALLAH
Aamiiin♥️♥️♥️
Allahumma Amina
Huyo juma siwajuzi tu hajui chochote masikini, Sulle rafiki yangu Allah akuongoze
Kwani wewe shekhe ni mungu
Dr Sule Allah akupe kila heri tunakupenda sana karibu kwetu Rwanda kwa mzee wetu Raisi wetu Kagame mpendwa 🎉
Dokta sule ongera yako mana upo ktk kunyosha maelezo bila kupindisha pindisha
Tafauti ya Popularity ya MSANII na MUHADHIRI wa dini. Wasanii hutumia njia nyingi kutafuta umaarufu bila kujali hata Mungu. Bahati ya Harmonise kama Muisilamu amepata mtu asiye jali umaarufu wowote akampa naswaha ya lile alilosema kama hakujuwa ni kosa sasa ameeleweshwa kama ni kosa. Kama amesoma dini basi atafahamu amepata naswaha na mzazi wake pia ataweza kumueleza mwanae amekosa. KAMA MUISILAMU DR SULE AMEJITOKEZA WAZI KUMPA NASWAHA WENGINE WALIWANYAMAZIA WASANII TZ SABABU WAZI WAMEPITA MIPAKA YA MUNGU KWA MTAZAMO WA DINI YA KIISLAMU
Hawa watu hulingia huchawi na ushirikina Tu .
Dini kwao NI kivuli cha kufanyia uganga .
Mungu hawezi kuwa na machawa.na huwezi msaidia Mungu kuhukumu waja wake ninyi mmemuhukumu harmonize na kumtishia kumfanyia dua mbaya.
Mungu Mwenye sifa njema hawezi kusikia dua za ubaya Kwa mja wake
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
Wacha ujinga wewe, sisi waislamu tuna wivu na Mungu wetu.
Mwenyez mungu akuweke dr sulle
MWENYEZI MUNGU akupe nguvu sheikh wetu Dr sule nakukubali sana kwa kutetea dini yetu na ALLAH akupe maisha marefu na mazuri lakini Dr naona kama umenyoa panki au macho yangu Dr sule ila mm nitakukubali kwa kutetea dini yetu Amin 😅
Ata mm nimeiyona hiyo ya kiduku
DkT sule upo vizur kwa majibu yako .nakupenda sana unajibu vizur naomba namba yako km hutojali
Sure ni kichwa na anajua.
Hakika waislamu wote ni ndugu
Umaarufu katika dini huu ndiye umaarufu nzuri daudi kuliko sehemu yoyote!
Dr nakukubali tangu enzi za ujana wetu .
Huyo kijana ajiangalie sana ikiwa hatotubia kwa M/Mungu ajue kuzikwa kwake itakuwa shida kwake
SULE ❤ HARMONIZE TUKIMUOMBEA DUA ATA SIKU HAKATISHI ANAKUFA
Wachawi nyinyi
Anae sema Dr sule anatafuta kiki siyo mwislam
Allah akuhifadh inshallah Dr sule
Aamin
Mashaallah safi Dr
Dct upo sahihi sana
Tupo pamoja doctor sule
Dr sule pambana shekh
DORIA INAYOFANYWA KTK NAFSI ZA WATU NA KUWEKA MAHUSIANO MAZURI NA MUNGU NI BORA ZAIDI KULIKO DORIA ZINAZOFANYWA NA BUNDUKI KATIKA MITAA❤❤😂😂 SAFI DR SULE MIMI MKRISTO LAKINI NNAKUELEWA SANA UNA AKILI NA UELEWA MWINGI SANA❤❤
doktar sule tekeleza kz yako make siku ya mwisho kila mungu atamuliza kila atamuuliza karama aliyompa ameitumiaje na kila mmoja ni mchunga mungu atamuliza alicho kichunga chapa kz mm niko nyuma yako
Dr sulle utamtangulia harmonize mtoto kakosea badala umfate umuelimishe unashauka mitandaoni who are you by the way muhaziri my foot hujui uislamu muelimishe kijana kakosea acha kutoa hukumu 😂
Hapn sis cyo wachaw ilah 2namueshim San mwenye zi mung yey ndy kila ki2 kwet uwez kumtukan mung alaf ukafurahia utakuw ni mjing San muogop San mung yey ndy kila ki2 na il na mshukur doctor sule kwa ku2pa elim ya kumuogop mung na azid kufany hivy il 2elimike mfate yey utapat elimu ya kutosh
Mashaalah
🎉🎉🎉🎉🎉vzr
🎉🎉 mtwara tunakujua vyema kabisa tunamshangaa huyu. Lana kazipata wap
Dr Sule nakuaminia sn,hasa wakati ule ukampa jambajamba mdandia dini kwa mbele lenyewe na lile lidandia dini lingine hayanaga mahubiri xaidi ya kuongelea waKristo.Mwampopo na lile lingine hayawexi msogekea Sule,Sule jeshi kubwa,Sikia madini hayo.
Dr sule unaongeya point,wanaokuponda wasubiri malipo kwa Allah.
binadamu niwanafiki 2 hiyo ni kiki konde achana nae
Ndicho kijua jamani HAMO.ametumwa naSHETAN kumtukuza mungu
Docta suley wanyooshe kabisaaa wanajirusha akili na hawajasoma dini vizuri wape makavu live hauna njaaq sheih wangu
Jamani walimu mda mwengine tuwe wazi uyo konde hata km hajatamka hiyo kauli basi hana uislam iv jaman uislm ni vitendo ama jina.asa yule ana vitendo gani .yule ni kefir bwana moja kwa moja.
DR SULEE ni maarufu dunia mzima sio eti kwa tanzania tu na kila mmoja ana muheshimu huyu sheikh Dr Sulee
Huyo mtangazaji ame kosea kusema wakilisto at kuna dhambi zisizo sameheka sokweli kila dhambi ina sameheka
tunakushukuru mzee
Ustadh gani yule Ustadh mchongo anaemtetea yule kijana anae mkufuru Allah, huyo kijana anatakiwa kusoma dini kwanza halafu halafu ndio ajuwe Allah ni mwanamke au ni mwanaume
Kweli kabisa
Mashallah
Kwenda huko ww ndio unampigania mungu
Yaani harmo kapata elim ya kuunga unga ndiyo inampa kibri.sasa anasema hata yy baba yake shehe inamaana baba yake ndyo kamtuma amtukane mungu .acha ujinga harmo
Nahuyo baba ake bona hatumjuwi kama ni shekhe mashekhe tunawajuwa huyu jama nimshezi naanakiburi nahicho kiburi chake ndicho kitakacho mpoza namukitaka msitake munao mteteya huyo jamaa hana ndin anaabundu viuno vya kutengeneza
Hawa ndio wanaowadhalilisha wanawake wakati
Mjomba usikubali hela zake ikiwa wewe ni mumin wa sasa hela zake sio za halali afadhali usavaiv hivyo na maisha yako lakini ule chahalali chako mwenyewe muhogo dagaa na ugali vizuri utavipata peponi hakuna kufa huko
Me naona mnampa nasaha sana na kufanya mahojiano sana kwanini mnamchelewesha ngombe wakat kashafika kichinjion?
Sheikh sule harmonize kakufuru kasema kuwa anaona kuwa Allah ni mwanamke harmonize ni freemason ndio sababu kakufuru.ikiwa mtume Mohamed mwenyewe hakumuona Allah yy nani aseme kuwa Allah ni mwanamke.Allah atampa la umpa InshaAllah
Docter sule ni maaruf kabla ya huy kafir homonize mungu akuunze sheikh wetu
Safi sana dr, yule dudu baya ni lijizi tu kama majizi wengine na siku ya kifo chake atakwenda motoni kwanza tu anamshirikisha nabii Issa kua ni mkristo na hiyo ni kosa, kama dudu baya hajasilimu basi ni kuni ya motoni.
DR SULE . FANYA KAZI YA ALLAH !, WAFUUZIE HAO WANAFIK. MIMI NAKUFWATILIA SANA . FROM🇰🇪 ALLAH ! AKUHFADHWI 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️💕💕💕
Sulle hanashida na umafufu
Big up sule waelekeze harmonize tumpige kunuti duh mtoto bangi sio mchicha😂😂😂😂😂
😂😂😂
Binadamu kama binadamu wengine weee uko biashara sio dini boya tu wewe uko kazi sio dini
Auna akili
Wewe acha ujinga mtangazaji hakuna dhambi kubwa wala ndogo mkristo yupi aliyekwambia dhambi ni dhambi huku ni ileile
Hata hayo maswali ni ya mtu jahili zuzu jinga
domo lake ninaweza kumdhalilisha mtu
Unaeleza kwaufasaha kabisa
Wewe
Muacheni basi
shekh wewe usiache kutusio vijana
Unajiitapa
Hana lolote huyo hamonize anawasiliana na mataifa wewe unamshambulia mtoto mdgo kubwa ziro
Muongelee harmonize ujulikane
Inalilahiwainaillaih lajiuni
Hamonaizi nilikuwa nampenda lakini namchukiya sasa ajili ya mambo yake smpendi kabisa Allah amuongoze na amsamehe izo ni bangi
Hayo ndio matatizo ya kuanza starehe ukubwani ,ndio yanafikisha mtu kufanya mambo kinyume na dini
Wewe unatakiwa umuweke sawa siyo kulitole macho ata mwenye simungu ajawapa ukumu ya nyie kutoa ukumu mtoto akinyea mkono awaukati unausuuza hii dini na hiii dini siyo yamtu mmoja yakwetu sote atukatai nyie ndo mwenye maanulaka kiduni ila ukumu anatoa mungu
We Dr ki kweli kweli kwani unajua pasipo ubabaishaji
W kichaa Dr sulle atafute kiki ya nn
Uyo sio shehe bali ni msemaji tu nahuyo ndio wale wale mashetani
Sheikh kwa kiswahili mzee
Hata wewe hujui maana ya Sheikh
Nyie makafiri mbona mna nongwa na mashehe wakikemea uovu? Maana naona mko mbele Sana kumtetea ujinga ?shida yenu Nini?
eti mitume yote wangalikua km wewe tungalifikawap
huyu jamaa nisheher aula mtu wamitandao Anataka Sombrero radhi yeye ninani anatoa Lana yeye Nani wewe siokiongozi wadini wewe kiongozi wakuwafanya watu duazalana acha kujiona wewe mkamilifu
Hajasema km mkamilifu anatufundisha anaongea ukweli hajakosea apo haimo shetani
Anatakiwa atubie nakipini chake km ng'ombe wa maonyesho
Uyu sule si chochote dogo harmonize usilie akuna kitakacho kukuta wewe sule ata atume jini wake kkkkk
hunalolot naizodua haziwezi mfikia kwasababu hajakuzudia unacho waza ww shekhe ubwabwa
Kweli mzee baba masheke njaa tu wanafki na wachawi anatoa hukumu yéyé Nani?
Wewe ni mungu uhukumu mtu??sisi wote wenye dhambi,usihukumu mtu Allah tuu wa kuhukumu
Wewe hujakubali kuwa huyo MTU wenu alikufuru allah. Wewe sio mzima wa akili
Huyu mwandishi sijui anatokea taasisi gani maswali ya kipuuzi sana anamuuliza Dr Sule baadala ya maswali ya msingi, Hamonizi amekufuru na Dr Sule ameshapambanua sana kwenye mahojiano mbali mbali, inaonekana Tz waandishi wamekosa kazi za kufanya Dr. Sule kuna clips nyingi ameshatoa ufafanuzi halafu anatoka mtu tena anaenda uliza upuuzi ule ule, kwanini waandishi hawaendi kwa hamonize kumuhoji kama amerudi kwa Mungu na kuleta shahada upya?
Sule hunalolote hamonaze ametoa mfano sio kama nikweli
WEWE MBWA KAFIRI HUWEZI KUWEKA MFANO WA KUFURU KWA MUNGU
Wewe Francis hivi mwanadamu unafikaa hatua kumtoa Mola mfano ,je wewe mzima?
Makafiri kama haya ndio yanayo mvmbisha huyu ngulue hamonaiz
😂😂😂😂
Huyu hamo ni kafiir kama hawo makafir wengine hiwo munkar pekeyake tuu anawo ufanya wa muziki ni munkar Sawa huyu mwanzo tuu alikua kafiif tayari achana na hayo matamko ya Sasa ule munkar tuu unakupeleka motoni achana hi kufuur alio ifanya huyu hamo ni kafir
Nyie wengine komenti zenu za kijinga akili hamna hamonaiz nimtu wakufahamisha nyie vp aekezwa Kesho atoa nyimbo mwanamke ni nimtu na nusu au nimungu mwengine halafu watetea apo
Sasa wewe ule ulipewa mamlaka ninani unaewapalana watu kwaza toast ka Familia yako unawajua wanachokifanya acha njaa yamitandao unakipaka dini sio yako niyetusote Aombe msamaha kwanani wakati wewe tayari mtoanala wewe
Wew acha kujitia wewe kumsema shekh wetu kuma wewe