PETER MSIGWA AUWASHA MOTO MZITO IRINGA, "MAMLAKA HAYATOKI KWA WANANCHI, TUNATAKA KATIBA MPYA"
HTML-код
- Опубликовано: 1 май 2024
- #TANZANIA: Peter Msigwa auwasha moto mzito Iringa, aivaa Serikali ya CCM kwa kutoheshimu Katiba adai wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na wenye nchi, "mamlaka hayatoki kwa Wananchi, wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na Wananchi, tunataka KatibaMpya"
Msigwa upo vizuri, na cdm wapo sawa sana
Iringa ndio sumu ya CCM nime wakubali sana....
Watu wa chama changu makini sana sikia nondo anka Heche - Hon Msigwa...
Minga boy ccm hawaezi kupata watu wenye akili kama wachama changu cha cdm yaani hao ni big brain
👍👍
Akili kubwa hii ..duuh mungu nimwema ipo siku utakuwa waziri wa Mali ya asili utawatendea haki mpka Wanamaker najua...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mkubwa Kwa muda huuu
Uko vinzuri sana hata Mimi nilikuwa mlale jkt tulilazimishiwa makadi ya ccm hovioo kabisa kabisa
True!
Good
Hana alama magufuli, alipenda kwenda peke yake ndio maana hakufika mbali angeenda na wenzake angefika mbali na angeacha alama kubwa. Magufuli alifeli ndio maana mungu na wanaccm wenzake waliyafupisha maisha yake. HANA ALAMA
laiti ccm wangepata angalau mtu mmoja katiaka hawa watu wa chadema wenye akili kama msingwa, john heche, tundulisu, mbowe, mwabukusi, na wengine kama hawa basi ccm ingefika mbali sana hivi ni vichwa kweli kweli, mungu awape umri mrefu muzidi kuipigania Tanzania
Siyo kwamba ccm hawana watu wenye akili, wapo lakini watasemea wapi? Huwezi kuikosoa ccm ukiwa ndani ya ccn ukabaki salama nilazima wakupoteze.
Msigwa ulichofeli kusema baba wataifa wa 2 jpm ndomaana Wana iringa wanakushaangaa magufuli atabaki naubora wake magufuli ameacha alama kwa Tanzania tutamkumbuka daima
Unaonaje kama ungemuomba MUNGU ili amfufue MAGUFULI??????
@@ezekielkiduge8730Au amuondoe na yeye wakaungane na shujaa wake.