PETER MSIGWA AUWASHA MOTO MZITO IRINGA, "MAMLAKA HAYATOKI KWA WANANCHI, TUNATAKA KATIBA MPYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • #TANZANIA: Peter Msigwa auwasha moto mzito Iringa, aivaa Serikali ya CCM kwa kutoheshimu Katiba adai wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na wenye nchi, "mamlaka hayatoki kwa Wananchi, wateule wa Rais ndio wenye nguvu kuliko waliochaguliwa na Wananchi, tunataka KatibaMpya"

Комментарии • 16

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 23 дня назад +3

    Msigwa upo vizuri, na cdm wapo sawa sana

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 23 дня назад +4

    Iringa ndio sumu ya CCM nime wakubali sana....

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 23 дня назад +4

    Watu wa chama changu makini sana sikia nondo anka Heche - Hon Msigwa...

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 23 дня назад +2

    Minga boy ccm hawaezi kupata watu wenye akili kama wachama changu cha cdm yaani hao ni big brain

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 22 дня назад

    👍👍

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 23 дня назад +1

    Akili kubwa hii ..duuh mungu nimwema ipo siku utakuwa waziri wa Mali ya asili utawatendea haki mpka Wanamaker najua...

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 23 дня назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mkubwa Kwa muda huuu

  • @venancemsendo7346
    @venancemsendo7346 20 дней назад

    Uko vinzuri sana hata Mimi nilikuwa mlale jkt tulilazimishiwa makadi ya ccm hovioo kabisa kabisa

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 23 дня назад

    True!

  • @osoyarabuor4920
    @osoyarabuor4920 23 дня назад

    Good

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 23 дня назад

    Hana alama magufuli, alipenda kwenda peke yake ndio maana hakufika mbali angeenda na wenzake angefika mbali na angeacha alama kubwa. Magufuli alifeli ndio maana mungu na wanaccm wenzake waliyafupisha maisha yake. HANA ALAMA

  • @MingaBoy-xr4bw
    @MingaBoy-xr4bw 23 дня назад +1

    laiti ccm wangepata angalau mtu mmoja katiaka hawa watu wa chadema wenye akili kama msingwa, john heche, tundulisu, mbowe, mwabukusi, na wengine kama hawa basi ccm ingefika mbali sana hivi ni vichwa kweli kweli, mungu awape umri mrefu muzidi kuipigania Tanzania

    • @longinolaurenttolotolo1946
      @longinolaurenttolotolo1946 22 дня назад

      Siyo kwamba ccm hawana watu wenye akili, wapo lakini watasemea wapi? Huwezi kuikosoa ccm ukiwa ndani ya ccn ukabaki salama nilazima wakupoteze.

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 23 дня назад

    Msigwa ulichofeli kusema baba wataifa wa 2 jpm ndomaana Wana iringa wanakushaangaa magufuli atabaki naubora wake magufuli ameacha alama kwa Tanzania tutamkumbuka daima

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 23 дня назад

      Unaonaje kama ungemuomba MUNGU ili amfufue MAGUFULI??????

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 22 дня назад

      ​@@ezekielkiduge8730Au amuondoe na yeye wakaungane na shujaa wake.