Duuuh!!! Nakukubali kwa voice.akupendaye lazma akushauri,ushauri wangu ni huyu: tengenza mziki wakisasa msani mwenye maono hawez kufanya mziki uleule watangu alipoaanza mpaka sasa, nikisema mziki wakisasa ni kwamba mashabiki zako tunataka kukusikia unaimba mziki wakisasa,alafu kikubwa zaidi ni ubadilishe mashahiri ,siyo kila siku wew wakuimba kuachwa kuimba masikitisho tu,imba kufuraiya mapenzi utaona gisigani utavyokua mkubwa zaidi kuliko unavyio fikiria,mimi ni dj,club huwez kupiga mziki wamasikitiko eti watu wafurahiy sana,nikama u.akua umeharibu mudi.changa mashahiri upatikane kweny kufurahia pia na zakusikisha na za ushauri wa maisha,ila nina imani hakuna mashabiki wengi upandi wakusikitisha.
My story... uyu nfo mse alifanya nkaanza kuimba....lakini vile nliskia siachan nawe nkabambika...ad leo i love music...here in kenya.......bila huyu jamaa ngekua footballer
Huyu,ilibidi akutane na richi mavoko wazungumze,wawe kitu kimoja, baada ya hapo,watengeneze lebo moja,yenye nguvu, ambayo haijawahi kutokea,hapo kabla, baada ya hapo,watakuwa hawashikiki,wala wasikatishwe tamaa, na maneno ya watu,et mziki upo, mlengo fulani, huo ni uwongo,mziki hauna mwenyewe.
Jimmy from newala ..baraka yuko poa kimzic ..ila anakaa xana hajatoa wimbo kwahiyo anatupunguza kas ya upendo.....hivyo Leo kajipanga basi asirudishe nyumba hisia zake ...ili tuwe pamoja zaidi
Goma Kali sana, umeimba Kwa hisia sana😥
Mimi wa kwanza toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za baraka the price kama unamkubali gonga like hapa zote zake❤❤❤❤❤ good bye
Umerudia mara mbili gonga like hapo twende 🤷🤷📢📢💔
Kaka mm nakutambua sana...
Mm mziki wako naukubali sana...
Oyah jamaa ee kama unamkubali huyu mwamba piga like hapa..Aone na ajue tunamkubali....❤❤❤
I really this guy much love bro sweet love bread❤❤❤❤
Mimi ndio wa kwanza nyie acheni mambo yenu😂😂
Msanii bora kuwai kutokea Tanzania, Bongo fleva ipo mikono salama
Sowez sema chochote kwahuyu mnyama ndo maana nafanya haikifanyacho toka chali hd sasa salut my brother
Nyimbo Mbovu nenda king ukafundishwe mzik
Kama unamkubali Mungu nipe like, but congratulations black king
Mimi huyu Sijawahi pata hata like jaman kama una mukubali barakah The prince 🎉🎉
Kwaiyo ukizipata utazipeleka wp sasa 🙄🙄🙄🙄🙄
Tupo
@@Jofuboy😅
@@Jofuboynashangaa😂😂
Aya tukupe ngapi mkuu😅
Kazi nzuri kijana nimekuzawadia kolabo na mimi nipo tayari unishirikishe
Fundi sindohuu sema siwasukuma hatukubali kupelekeshwa,huw Tuko wakweli na misimamo dharau hatukubali,Labda ndo kinatufelishaga hatasijui
Duuuh!!! Nakukubali kwa voice.akupendaye lazma akushauri,ushauri wangu ni huyu: tengenza mziki wakisasa msani mwenye maono hawez kufanya mziki uleule watangu alipoaanza mpaka sasa, nikisema mziki wakisasa ni kwamba mashabiki zako tunataka kukusikia unaimba mziki wakisasa,alafu kikubwa zaidi ni ubadilishe mashahiri ,siyo kila siku wew wakuimba kuachwa kuimba masikitisho tu,imba kufuraiya mapenzi utaona gisigani utavyokua mkubwa zaidi kuliko unavyio fikiria,mimi ni dj,club huwez kupiga mziki wamasikitiko eti watu wafurahiy sana,nikama u.akua umeharibu mudi.changa mashahiri upatikane kweny kufurahia pia na zakusikisha na za ushauri wa maisha,ila nina imani hakuna mashabiki wengi upandi wakusikitisha.
Huyu ndie baraka da prince tulie mzowea 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Amazing Baraka the price kwangu mm msukuma mwenzangu siwezi kumtupa mwana anajua kucheze na hisia za watu the future of the my life
Nampenda sana hy kaka Jamn Sijawahi acha kumpenda hakika napenda sana Nyimbo zake Pia Hio Rang ndio inanimaliz
Baraka unajua acha kiburi bado nakuona kwenye music mbali.keep moving
Nilicho gundua bora sabuni kuliko 😂😂😂❤❤❤ Peace of mind 💯💯✌️
Hii ndo real bongo flavour
Njooo usafin babu unajua mwanangu sana mm nakukubali sana ila kama inawezekana wcb for life
daaaaa bola Kaka umelejea nakukubal kinoma noma noma Sana wewe ndy ticha
Bonge lA ngomA sio Utan 💣🩸
Unajua mwamba Sema wanakuroga sana kakaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
home boy kwangu we ndo msanii Bora luo boy
Naishi marekani afu mimi nishabiki wa harmonize ila leo nimegundua kumbe mziki muzuri upo 🔥🔥🔥
My story... uyu nfo mse alifanya nkaanza kuimba....lakini vile nliskia siachan nawe nkabambika...ad leo i love music...here in kenya.......bila huyu jamaa ngekua footballer
Nakubali sana bro mwanza mwanza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Barakah unaweza kaka bado tunakukubali tukikukosa hewani tunasikiliza hata za zamani alimradi tusikipoteze kaka💪
Unajua Sana wala hujawahi feli toka enzi hizoo🔥🔥🔥
hatimae kipenz Chang karud kazni, nakukubal sana jaman piga Kaz kakaa me nakubal sana 🤜🤜🤜
Nice song umepotea sana
Bana uyu mwamba yko vizuri tokea zamani
Heavy daddy Baraka
Huyu,ilibidi akutane na richi mavoko wazungumze,wawe kitu kimoja, baada ya hapo,watengeneze lebo moja,yenye nguvu, ambayo haijawahi kutokea,hapo kabla, baada ya hapo,watakuwa hawashikiki,wala wasikatishwe tamaa, na maneno ya watu,et mziki upo, mlengo fulani, huo ni uwongo,mziki hauna mwenyewe.
Huyu ndo Baraka tunaye mtaka, bonge la hit🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bonge la ngoma, hakuna matusi sijui chomeka chomoa, binua, ingiza n.k
Nomaaa Sana Prinz😍🇹🇿
Huyu hupotea kwa muda mrefu Sana Ila akiachilia wimbo moja inawakilisha ishirini.
Natamani nifanye kz na brother
Jaman anajua kuimba sema tatzo nyota tu ila jamaa ni🔥🔥
oll the best huyu jamaa anajua sana sana zaidi ya sana
Broo unajua sana sema wanajifanya kama awakuoni wala kukusikia ila endelea kupambana watakubali tu
Taaaalent iko lakini ❤ support kidoogooo jaaameniii
Home Boy umajua buana🙌🙌🙌
Jamaa kama Michael Ross 🇺🇬 .....Baraka d prince... welcome again🎶🎶
Jimmy from newala ..baraka yuko poa kimzic ..ila anakaa xana hajatoa wimbo kwahiyo anatupunguza kas ya upendo.....hivyo Leo kajipanga basi asirudishe nyumba hisia zake ...ili tuwe pamoja zaidi
Ngoma kali sana bongo flava ndiyo mziki mtam
Nic song 🎧🎙️ ❤❤nakubali sn muzeh ,🇧🇮🇧🇮🇧🇮
tufike no. 1 trending jamni🔥🔥🔥
Unajua Sana kakayangu 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaaaah ila barakah nyieeeee ataniuwa mm lik jamani basi
Baraka urikua wp wanao mpaka tumeamia konde gang twarud baba good job
Ngoma Qarii sema daaahh namuona TOUCH UMOO
Uyuu mwamba ni hatariiiiiii ❤
Chuma. 💥💥💥
Kaka Baracka hili bonge la Bunger 🎉🎉🎉
We msenge unajuaga sana , tatzo waganga unaenda wanakuibia tu..... Hebu njoo huku nikupe mganga mjomba tutembee
Baraka hua nakuerewa sanaaa ❤🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥good bye
Sema linajua ili jamaa😂😂💥💥💥💥
Baraka Kenya Tunakupenda jamaa Usiache mziki
Dah nilikua nakumic Baraka,,, why upo kimya sana.
Since day 1 ni fund mwamba more respect mziki mzuri upo 🙏
Baraka kiukweli wewe ni msanii mkubwa Sana hapa Tanzania and all over the world 🌎🌎🌎🌎🌎🌎
Corus angesimama omy dimpoz ingewakaaa
Hakuna kama yeye bongo big up bro
Kasauti kako ka puani ila huwa ni balaa hasa ukiwaga unalilalamikia penzi, nakukubali sana Mwambaaaaaa
Project kali inatengenezwa planners like baraka the prince its sustainable project yan kali sana
Like kwa Wakenya na Watanzania..... tulimmiss saana Barakah The Prince
My biggest artist in Tz hawakuwez japokua kwa kiaz kimoja kimoja kwa mwaka
Me sjawah kukupinga kaka, unaijua saaan❤
Yupo vizuri sana kijana wa ziwa
Sijawai skia nyimbo nzuri kama hii😢❤
Baraka ulikuwa umeenda wapi mpenzi 🥰🥰🥰 much love from 254❤
Ngoma Kali
Hatimae song la mwaka limetoka
Crown prince ✓ big up kaka🎉🎉
🙏 good song Angusha moja na Otile..tunakumisi sana uku kenya
King 👑 is coming back # makali wa wakali 💪💪💪❣️💙❤️
Kalime tu
One on one from the kitchen 🎉🎉🎉
Dahhh wew baraka n makali Sana WA bongo Ila bac game hii nazan ina uchawi bhn
Song la kwenda ujawai niangusha big artist🔥🔥🔥💥
Sawah sawaa Mzee wa MOYO,,
Uhakuka unajua blood comeback
Nakubal uneua mzee kazi ya moto
Ni fire 🔥 mambo ni fire
Ume ticha sana brother🎉
Your very talented bro hata ukae mda mrefu bila kutoa wimbo unarudi hit song 🔥🎉
Naumia rohoo..... Good bye🎶🎶🎶🎶
I swear I had missed Baraka so much thanks for this Kenya we love you can I get even 20 likes😢
Iko ❤kwako 🤴 songs ziukua na vibe 🔥🔥 kali sana
ahsante black man🔥🔥🔥🔥
Huyu ndio @Baraka Da Prince tunae mfahamu 👏👏👏
Unajua had unaboa❤❤❤
Kaka umetisha sana Goma Kali kinoma an 🔥🔥🔥 Nakubaliiiii
Usichoke pambana kaka❤❤❤❤❤❤
Baraka rudi kwenye game
Ndo da prince mwenyewe huyu sasa
🙌🙌🙌💯💯🌏🌍🌎 Hii imeenda
Daaah baraka love song killer 🙌🙌