Barakah The Prince - Good Bye (Official Video)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 751

  • @owennicholous9706
    @owennicholous9706 10 месяцев назад +4

    Goma Kali sana, umeimba Kwa hisia sana😥

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH 10 месяцев назад +55

    Mimi wa kwanza toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za baraka the price kama unamkubali gonga like hapa zote zake❤❤❤❤❤ good bye

  • @yustinkivamba4721
    @yustinkivamba4721 10 месяцев назад +11

    Umerudia mara mbili gonga like hapo twende 🤷🤷📢📢💔

  • @belovedruwako5181
    @belovedruwako5181 10 месяцев назад +112

    Kaka mm nakutambua sana...
    Mm mziki wako naukubali sana...
    Oyah jamaa ee kama unamkubali huyu mwamba piga like hapa..Aone na ajue tunamkubali....❤❤❤

    • @mercymarion8479
      @mercymarion8479 6 месяцев назад

      I really this guy much love bro sweet love bread❤❤❤❤

  • @rogathjmrema2221
    @rogathjmrema2221 10 месяцев назад +3

    Mimi ndio wa kwanza nyie acheni mambo yenu😂😂

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 10 месяцев назад +2

    Msanii bora kuwai kutokea Tanzania, Bongo fleva ipo mikono salama

  • @sameery277
    @sameery277 10 месяцев назад +3

    Sowez sema chochote kwahuyu mnyama ndo maana nafanya haikifanyacho toka chali hd sasa salut my brother

  • @esseesse2348
    @esseesse2348 10 месяцев назад

    Nyimbo Mbovu nenda king ukafundishwe mzik

  • @Ndenza
    @Ndenza 10 месяцев назад +3

    Kama unamkubali Mungu nipe like, but congratulations black king

  • @nelsongabriel6324
    @nelsongabriel6324 10 месяцев назад +259

    Mimi huyu Sijawahi pata hata like jaman kama una mukubali barakah The prince 🎉🎉

    • @Jofuboy
      @Jofuboy 10 месяцев назад +8

      Kwaiyo ukizipata utazipeleka wp sasa 🙄🙄🙄🙄🙄

    • @SamMalaxy-gf2xn
      @SamMalaxy-gf2xn 10 месяцев назад +3

      Tupo

    • @nelsongabriel6324
      @nelsongabriel6324 10 месяцев назад +1

      ​@@Jofuboy😅

    • @kinyamal8201
      @kinyamal8201 10 месяцев назад +1

      ​@@Jofuboynashangaa😂😂

    • @MrTwoRocks
      @MrTwoRocks 10 месяцев назад +3

      Aya tukupe ngapi mkuu😅

  • @mpmsanii817
    @mpmsanii817 10 месяцев назад +11

    Kazi nzuri kijana nimekuzawadia kolabo na mimi nipo tayari unishirikishe

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 10 месяцев назад +3

    Fundi sindohuu sema siwasukuma hatukubali kupelekeshwa,huw Tuko wakweli na misimamo dharau hatukubali,Labda ndo kinatufelishaga hatasijui

  • @djcloubuke
    @djcloubuke 10 месяцев назад +16

    Duuuh!!! Nakukubali kwa voice.akupendaye lazma akushauri,ushauri wangu ni huyu: tengenza mziki wakisasa msani mwenye maono hawez kufanya mziki uleule watangu alipoaanza mpaka sasa, nikisema mziki wakisasa ni kwamba mashabiki zako tunataka kukusikia unaimba mziki wakisasa,alafu kikubwa zaidi ni ubadilishe mashahiri ,siyo kila siku wew wakuimba kuachwa kuimba masikitisho tu,imba kufuraiya mapenzi utaona gisigani utavyokua mkubwa zaidi kuliko unavyio fikiria,mimi ni dj,club huwez kupiga mziki wamasikitiko eti watu wafurahiy sana,nikama u.akua umeharibu mudi.changa mashahiri upatikane kweny kufurahia pia na zakusikisha na za ushauri wa maisha,ila nina imani hakuna mashabiki wengi upandi wakusikitisha.

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM 9 месяцев назад

    Huyu ndie baraka da prince tulie mzowea 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌

  • @ramadhaninassoro4624
    @ramadhaninassoro4624 10 месяцев назад

    Amazing Baraka the price kwangu mm msukuma mwenzangu siwezi kumtupa mwana anajua kucheze na hisia za watu the future of the my life

  • @HukkiyOthuman
    @HukkiyOthuman 8 месяцев назад

    Nampenda sana hy kaka Jamn Sijawahi acha kumpenda hakika napenda sana Nyimbo zake Pia Hio Rang ndio inanimaliz

  • @jamesmachibya6532
    @jamesmachibya6532 10 месяцев назад

    Baraka unajua acha kiburi bado nakuona kwenye music mbali.keep moving

  • @anabankhamis7951
    @anabankhamis7951 10 месяцев назад

    Nilicho gundua bora sabuni kuliko 😂😂😂❤❤❤ Peace of mind 💯💯✌️

  • @ndomimc
    @ndomimc 10 месяцев назад +1

    Hii ndo real bongo flavour

  • @husseinmbaruku4427
    @husseinmbaruku4427 10 месяцев назад

    Njooo usafin babu unajua mwanangu sana mm nakukubali sana ila kama inawezekana wcb for life

  • @HellyHellyHelly
    @HellyHellyHelly 10 месяцев назад

    daaaaa bola Kaka umelejea nakukubal kinoma noma noma Sana wewe ndy ticha

  • @poolboypoolboymanstrong8570
    @poolboypoolboymanstrong8570 10 месяцев назад +2

    Bonge lA ngomA sio Utan 💣🩸

  • @mrpoulmidia7516
    @mrpoulmidia7516 10 месяцев назад +2

    Unajua mwamba Sema wanakuroga sana kakaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 10 месяцев назад

    home boy kwangu we ndo msanii Bora luo boy

  • @Orgenemizzyy
    @Orgenemizzyy 10 месяцев назад

    Naishi marekani afu mimi nishabiki wa harmonize ila leo nimegundua kumbe mziki muzuri upo 🔥🔥🔥

  • @bambili1227
    @bambili1227 10 месяцев назад +4

    My story... uyu nfo mse alifanya nkaanza kuimba....lakini vile nliskia siachan nawe nkabambika...ad leo i love music...here in kenya.......bila huyu jamaa ngekua footballer

  • @Iamolaba
    @Iamolaba 10 месяцев назад +2

    Nakubali sana bro mwanza mwanza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 10 месяцев назад

    Barakah unaweza kaka bado tunakukubali tukikukosa hewani tunasikiliza hata za zamani alimradi tusikipoteze kaka💪

  • @stevenjoshua5866
    @stevenjoshua5866 10 месяцев назад

    Unajua Sana wala hujawahi feli toka enzi hizoo🔥🔥🔥

  • @jenniferpatrick8582
    @jenniferpatrick8582 10 месяцев назад

    hatimae kipenz Chang karud kazni, nakukubal sana jaman piga Kaz kakaa me nakubal sana 🤜🤜🤜

  • @BarakaSenior
    @BarakaSenior 10 месяцев назад +1

    Nice song umepotea sana

  • @kvochidemasterborn282
    @kvochidemasterborn282 10 месяцев назад +2

    Bana uyu mwamba yko vizuri tokea zamani

  • @gwamakajasson
    @gwamakajasson 9 месяцев назад

    Heavy daddy Baraka

  • @currencynetwork3064
    @currencynetwork3064 10 месяцев назад +2

    Huyu,ilibidi akutane na richi mavoko wazungumze,wawe kitu kimoja, baada ya hapo,watengeneze lebo moja,yenye nguvu, ambayo haijawahi kutokea,hapo kabla, baada ya hapo,watakuwa hawashikiki,wala wasikatishwe tamaa, na maneno ya watu,et mziki upo, mlengo fulani, huo ni uwongo,mziki hauna mwenyewe.

  • @jeankyesakatembo5791
    @jeankyesakatembo5791 10 месяцев назад +2

    Huyu ndo Baraka tunaye mtaka, bonge la hit🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ernestkilaryo1015
    @ernestkilaryo1015 10 месяцев назад

    Bonge la ngoma, hakuna matusi sijui chomeka chomoa, binua, ingiza n.k

  • @laxmajor
    @laxmajor 10 месяцев назад +2

    Nomaaa Sana Prinz😍🇹🇿

  • @josphatibrahim4136
    @josphatibrahim4136 10 месяцев назад

    Huyu hupotea kwa muda mrefu Sana Ila akiachilia wimbo moja inawakilisha ishirini.

  • @sameery277
    @sameery277 10 месяцев назад +1

    Natamani nifanye kz na brother

  • @Obedy-er8ih
    @Obedy-er8ih 9 месяцев назад

    Jaman anajua kuimba sema tatzo nyota tu ila jamaa ni🔥🔥

  • @BrownHuncho-jt6oi
    @BrownHuncho-jt6oi 10 месяцев назад

    oll the best huyu jamaa anajua sana sana zaidi ya sana

  • @saimonaidan9362
    @saimonaidan9362 8 месяцев назад +1

    Broo unajua sana sema wanajifanya kama awakuoni wala kukusikia ila endelea kupambana watakubali tu

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 10 месяцев назад

    Taaaalent iko lakini ❤ support kidoogooo jaaameniii

  • @kalokoziyusuph4135
    @kalokoziyusuph4135 5 месяцев назад

    Home Boy umajua buana🙌🙌🙌

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 10 месяцев назад +1

    Jamaa kama Michael Ross 🇺🇬 .....Baraka d prince... welcome again🎶🎶

  • @JamaliJimmy
    @JamaliJimmy 7 месяцев назад

    Jimmy from newala ..baraka yuko poa kimzic ..ila anakaa xana hajatoa wimbo kwahiyo anatupunguza kas ya upendo.....hivyo Leo kajipanga basi asirudishe nyumba hisia zake ...ili tuwe pamoja zaidi

  • @Dadytamal
    @Dadytamal 10 месяцев назад

    Ngoma kali sana bongo flava ndiyo mziki mtam

  • @cedrickNSHIMIRIMANA-cu4jx
    @cedrickNSHIMIRIMANA-cu4jx 10 месяцев назад +2

    Nic song 🎧🎙️ ❤❤nakubali sn muzeh ,🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @rogathjmrema2221
    @rogathjmrema2221 10 месяцев назад

    tufike no. 1 trending jamni🔥🔥🔥

  • @princemesha9611
    @princemesha9611 10 месяцев назад

    Unajua Sana kakayangu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jaburantaofficial
    @jaburantaofficial 10 месяцев назад

    Daaaaaah ila barakah nyieeeee ataniuwa mm lik jamani basi

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 10 месяцев назад

    Baraka urikua wp wanao mpaka tumeamia konde gang twarud baba good job

  • @dasmileofficial9702
    @dasmileofficial9702 10 месяцев назад

    Ngoma Qarii sema daaahh namuona TOUCH UMOO

  • @macvoice9220
    @macvoice9220 6 месяцев назад

    Uyuu mwamba ni hatariiiiiii ❤

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 10 месяцев назад +1

    Chuma. 💥💥💥

  • @Best_tz
    @Best_tz 10 месяцев назад +1

    Kaka Baracka hili bonge la Bunger 🎉🎉🎉

  • @GeorgeMichael13
    @GeorgeMichael13 10 месяцев назад +1

    We msenge unajuaga sana , tatzo waganga unaenda wanakuibia tu..... Hebu njoo huku nikupe mganga mjomba tutembee

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 месяцев назад +5

    Baraka hua nakuerewa sanaaa ❤🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥good bye

  • @abdulilahseleman3231
    @abdulilahseleman3231 10 месяцев назад

    Sema linajua ili jamaa😂😂💥💥💥💥

  • @JohncenaSilverTV
    @JohncenaSilverTV 8 месяцев назад +1

    Baraka Kenya Tunakupenda jamaa Usiache mziki

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 10 месяцев назад

    Dah nilikua nakumic Baraka,,, why upo kimya sana.

  • @ALVINESOKA
    @ALVINESOKA 10 месяцев назад

    Since day 1 ni fund mwamba more respect mziki mzuri upo 🙏

  • @innocentjames118
    @innocentjames118 10 месяцев назад +1

    Baraka kiukweli wewe ni msanii mkubwa Sana hapa Tanzania and all over the world 🌎🌎🌎🌎🌎🌎

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 10 месяцев назад

    Corus angesimama omy dimpoz ingewakaaa

  • @pedebway
    @pedebway 10 месяцев назад

    Hakuna kama yeye bongo big up bro

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 10 месяцев назад

    Kasauti kako ka puani ila huwa ni balaa hasa ukiwaga unalilalamikia penzi, nakukubali sana Mwambaaaaaa

  • @allyaseid3000
    @allyaseid3000 10 месяцев назад

    Project kali inatengenezwa planners like baraka the prince its sustainable project yan kali sana

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 10 месяцев назад

    Like kwa Wakenya na Watanzania..... tulimmiss saana Barakah The Prince

  • @NAITWATMJ
    @NAITWATMJ 10 месяцев назад +1

    My biggest artist in Tz hawakuwez japokua kwa kiaz kimoja kimoja kwa mwaka

  • @Bambii101
    @Bambii101 9 месяцев назад

    Me sjawah kukupinga kaka, unaijua saaan❤

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 9 месяцев назад

    Yupo vizuri sana kijana wa ziwa

  • @VictorNamiba
    @VictorNamiba 10 месяцев назад

    Sijawai skia nyimbo nzuri kama hii😢❤

  • @mimohjoan
    @mimohjoan 10 месяцев назад

    Baraka ulikuwa umeenda wapi mpenzi 🥰🥰🥰 much love from 254❤

  • @brianmassawe6800
    @brianmassawe6800 10 месяцев назад +1

    Ngoma Kali

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 10 месяцев назад +1

    Hatimae song la mwaka limetoka

  • @alevanytz3472
    @alevanytz3472 10 месяцев назад +1

    Crown prince ✓ big up kaka🎉🎉

  • @tewmorawkay5111
    @tewmorawkay5111 10 месяцев назад

    🙏 good song Angusha moja na Otile..tunakumisi sana uku kenya

  • @JumaJula-oh8vk
    @JumaJula-oh8vk 10 месяцев назад +9

    King 👑 is coming back # makali wa wakali 💪💪💪❣️💙❤️

  • @ngwavi2886
    @ngwavi2886 10 месяцев назад

    Kalime tu

  • @bonfaceomondi6442
    @bonfaceomondi6442 10 месяцев назад +1

    One on one from the kitchen 🎉🎉🎉

  • @JosephIsanzu-g1r
    @JosephIsanzu-g1r 10 месяцев назад

    Dahhh wew baraka n makali Sana WA bongo Ila bac game hii nazan ina uchawi bhn

  • @HusseinMrisho-kb4ex
    @HusseinMrisho-kb4ex 10 месяцев назад +10

    Song la kwenda ujawai niangusha big artist🔥🔥🔥💥

  • @rahimuchilinga2660
    @rahimuchilinga2660 10 месяцев назад

    Sawah sawaa Mzee wa MOYO,,

  • @AmLegembo
    @AmLegembo 3 месяца назад

    Uhakuka unajua blood comeback

  • @DavivaNce-hn8jx
    @DavivaNce-hn8jx 10 месяцев назад

    Nakubal uneua mzee kazi ya moto

  • @immathebway
    @immathebway 10 месяцев назад +1

    Ni fire 🔥 mambo ni fire

  • @SaideAssane-b1r
    @SaideAssane-b1r 10 месяцев назад

    Ume ticha sana brother🎉

  • @peterathanasy6765
    @peterathanasy6765 10 месяцев назад +11

    Your very talented bro hata ukae mda mrefu bila kutoa wimbo unarudi hit song 🔥🎉

  • @onesmofrank2416
    @onesmofrank2416 10 месяцев назад +1

    Naumia rohoo..... Good bye🎶🎶🎶🎶

  • @Monica-254
    @Monica-254 10 месяцев назад +19

    I swear I had missed Baraka so much thanks for this Kenya we love you can I get even 20 likes😢

  • @brendahvusha5257
    @brendahvusha5257 10 месяцев назад

    Iko ❤kwako 🤴 songs ziukua na vibe 🔥🔥 kali sana

  • @syliviabaruti4660
    @syliviabaruti4660 9 месяцев назад

    ahsante black man🔥🔥🔥🔥

  • @mychaljoseph6720
    @mychaljoseph6720 10 месяцев назад

    Huyu ndio @Baraka Da Prince tunae mfahamu 👏👏👏

  • @lisakessy1795
    @lisakessy1795 10 месяцев назад +2

    Unajua had unaboa❤❤❤

  • @Balogetv
    @Balogetv 10 месяцев назад

    Kaka umetisha sana Goma Kali kinoma an 🔥🔥🔥 Nakubaliiiii

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj 10 месяцев назад

    Usichoke pambana kaka❤❤❤❤❤❤

  • @officialzebaq
    @officialzebaq 10 месяцев назад

    Baraka rudi kwenye game

  • @graceemmanuel7592
    @graceemmanuel7592 10 месяцев назад

    Ndo da prince mwenyewe huyu sasa

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 7 месяцев назад

    🙌🙌🙌💯💯🌏🌍🌎 Hii imeenda

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 9 месяцев назад

    Daaah baraka love song killer 🙌🙌