Mocco Genius - Mar Gaya (Lyrics Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2024
  • Music by Mocco Genius performing ''Mar Gaya" (c) 2024 Imagination Sound
    All Profile link Click here: linktr.ee/moccogenius
    Listen to Mocco Genius on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/moccogenius
    Apple Music: / mocco-genius
    Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
    RUclips: / moccogenius
    Spotify:open.spotify.com/artist/0qR7J...
    Deezer:www.deezer.com/us/artist/4998...
    Connect with Mocco Genius on Social Media:
    Instagram: / moccogenius
    Facebook: / moccogenius
    Twitter: / moccogenius_
    ©2024 Imagination Sound.All rights reserved.
    #MoccoGenius #margaya
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 774

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 11 дней назад +60

    Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri 🎧❤️

  • @festonoma
    @festonoma 10 дней назад +20

    Ngoma yangu pendwa 2024 Aya mayatima wamapenzi km mm gongeni lake 👉👉

  • @user-ol2ep8fp8h
    @user-ol2ep8fp8h 10 дней назад +27

    Kaka mocco, nisiwe muongo huu mwaka hamna nyimbo km hii ww ni bonge la artist unaejua kubadil radha yan bac ni jina 2seme lkn hii ngoma ilitakiwa kuwa 1 on trending 2siwe waongo kaka mpk nacomment namaanisha huwa sicomment ovyo jaman mpen mkono mocco .....🙏🙏🙏

    • @AziziSalehe
      @AziziSalehe 8 дней назад

      Umeachwa lin kaka😂

    • @Heisbilluh
      @Heisbilluh 7 дней назад

      ​@@AziziSalehe😂😂😂 ukorof TU kuoga aaaah

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz 6 дней назад +17

    Nilikuwa nakuchukulia poa sana kwenye music 🎶 sorry kaka. 🙌🙌🙌

  • @MFLC-
    @MFLC- 11 дней назад +38

    Hakika kwa bongo fleva Tanzania ndo inasonga mbele kimataifa❤❤❤❤❤❤

    • @directorkali5245
      @directorkali5245 11 дней назад

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mohcreative
      @mohcreative 9 дней назад

      Bongo fleva manake ni fleva za bongo km cjakosea

  • @kisapionlineinfochanel720
    @kisapionlineinfochanel720 11 дней назад +58

    Kama umeikubali nyimbo kama mimi gonga like kwenye comnt hii tujuane

  • @Chida
    @Chida 11 дней назад +25

    Umetishaaaaaa sana mwambaaaaaa

  • @Mkubya
    @Mkubya 3 дня назад +3

    Kazi nzuri kaka kuanzia LEO mm fan wako

  • @Majaliwa-lr5sh
    @Majaliwa-lr5sh 9 дней назад +5

    Mocco genius anajua mpaka anakera,naomba kiba aifanyie challenge ❤

  • @YCBSALOON-ev4wk
    @YCBSALOON-ev4wk 11 дней назад +18

    Kihindi kidogo ngoma kali broo

  • @KashboyDeogratius442
    @KashboyDeogratius442 9 дней назад +8

    Mocco ajawai kuniangusha twende kazi likes mara2 mb2❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @benardsimtowe1719
    @benardsimtowe1719 8 дней назад +16

    Fundi sema unge ifanyia remx na kiba nyimbo kali sana

    • @Tcher90
      @Tcher90 4 дня назад

      Angefanya remix na shreya goshal. International is the way.

  • @erivannytz5342
    @erivannytz5342 7 дней назад +7

    Kama umerudia zaidi ya mara mbilii huuu wimbo tujuane hapaa

  • @dr_donye
    @dr_donye 11 дней назад +16

    Mocco genius kila ngoma ya moto 🔥🔥👑 lazima ukalisheeee

  • @bernardamandus4122
    @bernardamandus4122 5 дней назад +2

    Genius ni mmoja tu bongo hii..Ngoma kali Mocco@Music in Blood

  • @Tcher90
    @Tcher90 4 дня назад +2

    Mocco mtu asikuambie haujui…!!! Natamani ungemshirikisha Shreeya Goshal verse 2. India yote ingekukubali. Much love bro from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.

  • @witnaofficial
    @witnaofficial 8 дней назад +7

    Uyuu anaimba vizuri kuliko wasanii wa kubwa tz,

  • @BlackvoiceOg
    @BlackvoiceOg 9 дней назад +6

    Chuma kwa moko nipeni like zangu hapa❤️❤️❤️❤️❤️🎉

  • @mukrimkhamis678
    @mukrimkhamis678 4 дня назад +2

    Mocco Genius
    Genius mocco
    Gonga likes kma na ww Genius##

  • @akidakidinilo9616
    @akidakidinilo9616 2 дня назад +1

    hii ngoma kali sana,hapa ulikaa ukaandika kw ufund wa hali ya juu

  • @majaliwasidi1293
    @majaliwasidi1293 11 дней назад +6

    ungemshirikisha mbosso ingeenda snaaa, ngoma kali

  • @alexelieza8802
    @alexelieza8802 11 дней назад +8

    Dah, mocco unanipa mawazo ya kuanza kukufatilia, kichupa🔥🔥👏

  • @AziziAlly-xc6nm
    @AziziAlly-xc6nm 9 дней назад +2

    Uyu jamaa anajua sana

  • @user-zx2ny5fw4h
    @user-zx2ny5fw4h 10 дней назад +2

    Moto wa mocco sio kitoto

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 10 дней назад +3

    Mwenye mziki wake fundi kabisa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 9 дней назад +2

    Ngoma Kali sana

  • @kibudimpoz
    @kibudimpoz 11 дней назад +6

    Ngoma kali sana sema round hii rmx ufanye na yammy maana anachembe chembe za in🇮🇳

  • @nanadimpozy7730
    @nanadimpozy7730 10 дней назад +3

    Ngoma yangu ya mwaka hii hapa kutoka Kwa Moco, hizo zingine gawaneni

  • @frankmanyelezi215
    @frankmanyelezi215 8 дней назад +3

    Nimeludia zaid ya mal tatu hiii nyimbo broo umetisha sana

  • @JejemingaMinga
    @JejemingaMinga 11 дней назад +5

    Bahilam wanawake awaogopi moto 🔥🔥nasisi wanaume tiwapeleke moto🔥🔥🔥😱😱

  • @johnpetro1069
    @johnpetro1069 10 дней назад +3

    Uko kwenye safari nzuri kijana mwenzangu❤❤❤❤
    Good music ❤❤❤❤i really love it

  • @YahyaAthumani-y3e
    @YahyaAthumani-y3e 5 дней назад

    Unajua 🙌🙌👐 mpaka unakela all in all good music

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 11 дней назад +6

    Ngoma kali sana ira ungeua angekwemo mkuu alikiba mzee wa yooo

  • @sapiinesh1211
    @sapiinesh1211 9 дней назад +1

    Huyu mwamba mkalii 🔥🔥

  • @MTone-ql5nn
    @MTone-ql5nn 11 дней назад +2

    Kaka unajua sana mungu kakubariki by Musa 🎶

  • @scoladelicious987
    @scoladelicious987 11 дней назад +8

    Icho kihindi tutaweza kukalili kwel ila uko vzur 🎉🎉

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 9 дней назад +2

    WaBongo sijui kama kuna kitu wanachoshindwa

  • @Peterpinchez-rm9fb
    @Peterpinchez-rm9fb 9 дней назад +1

    Wow bro mocco genius hii nimekubali one love bloody from USA 🇺🇸

  • @konimaster5868
    @konimaster5868 6 дней назад +2

    very emotional,my 1st emotiomal song this year ever.kama unakubal like

  • @dcruiz7485
    @dcruiz7485 10 дней назад +1

    Stick with King Kiba u will be on fire 🔥🔥
    hiki kidude nikitam bna mocco u got love from Kenyan 🇰🇪bwoy @da cruiz

  • @Directorshadeah
    @Directorshadeah 11 дней назад +2

    Uyu ndio alikua ataki kuimba waka mlazomisha Anza kuimba ila mocco sasa izi ngoma tungezipata wapi tz🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @twalibabubakar-vv5ys
    @twalibabubakar-vv5ys 5 дней назад

    Noma sana ngoma kali hapa collabo na @yammi

  • @Jk_rules_
    @Jk_rules_ 10 дней назад +3

    Tamu Sana❤

  • @gabrielchilango1927
    @gabrielchilango1927 11 дней назад +2

    Hatari big tune feeling it from 254msa kenya mocco genius mwenyewe

  • @chidi_don
    @chidi_don 11 дней назад +3

    Unajua sana 🔥📌

  • @user-zf3ng6ue1x
    @user-zf3ng6ue1x День назад +1

    Dah ngoma kal

  • @KevinKevin-w6q
    @KevinKevin-w6q 10 дней назад +3

    Chukuwa mauwa yako 🔥🔥🔥🫡🫡 unajuwa kaka 🫂🫂

  • @user-xy6yf4kz2i
    @user-xy6yf4kz2i 10 дней назад +1

    Mziki mkali sana hu kweli we niginius🎉🎉🎉

  • @bashlayzer8447
    @bashlayzer8447 11 дней назад +3

    Moko unajua mpka basii tenaaa nime kuadd kwenye list za wasanii wanao konga moyo wangu❤❤❤

  • @Rama-gu9df
    @Rama-gu9df 7 дней назад

    hiii ni talent kubwa sana aiseh moco ww ni genius kweli

  • @frankgerard715
    @frankgerard715 11 дней назад +4

    AAAAAAH MOUJAA 👆 njoo Kwa comment tu, support MOOOOCCO

  • @emmanuelngendakumana3361
    @emmanuelngendakumana3361 7 дней назад

    Hii inakuja vizuri bro🤝🌺🌿, endelesha hivi-hivi, utofauti upo

  • @morganmachairi2090
    @morganmachairi2090 2 дня назад

    Hakika huyu ni fundi.nipee likes za mocco

  • @kevoo_Tz
    @kevoo_Tz 10 дней назад +2

    Duuuh umefanifany niludie ngoma mala kumi

  • @YCBSALOON-ev4wk
    @YCBSALOON-ev4wk 11 дней назад +4

    Oy broo ngoma Kali

  • @JussoVaizer-nu3ev
    @JussoVaizer-nu3ev 6 дней назад

    Kaka sikupingi nakupa hekima Yako👏👏👏👏

  • @mussamontellijr2802
    @mussamontellijr2802 2 дня назад

    Hii ngoma kali mwaka 2024 Kwa wale waliopitia changamoto kwenye mahusiano polen jmn hii ngoma itawaliwaza😂

  • @Peterngalula-xo1el
    @Peterngalula-xo1el 8 дней назад +1

    Huyu jamaa Dah!!!!! 😮😮😮😮 Kunamda siamini kama ni yeye asee bonge la nyimbo yani

  • @matano-nr5dg
    @matano-nr5dg 10 дней назад

    Mocco fundi asikuambie mtu ndio maana yuajiita genius

  • @SamuelMpanda-y1k
    @SamuelMpanda-y1k 9 дней назад +1

    Jamaa anajua sanaaa

  • @dexterrockbeats7871
    @dexterrockbeats7871 11 дней назад +3

    noma sana mdogo wangu kazi nzuri

  • @officialmalando
    @officialmalando 8 дней назад +1

    Nimekubali kaka ni noma sana 🎉 hili goma Kali sana

  • @SuleimanSalim-ql3ny
    @SuleimanSalim-ql3ny 8 дней назад

    Jamaa anafit sana ktk bongo fleva

  • @Officialmodel_001
    @Officialmodel_001 10 дней назад

    Mocco we fund sanaa🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abdizboss127
    @abdizboss127 6 дней назад

    Aaah moujaa..una kipaji sana mzee

  • @SamuelMpanda-y1k
    @SamuelMpanda-y1k 9 дней назад

    Jamaa anajua sanaaa😮❤

  • @mayco7778
    @mayco7778 10 дней назад

    Nakubali kaka unaweza hadi unakela❤❤❤

  • @Suleiman99
    @Suleiman99 10 дней назад

    Mooco
    Ni mmoja tu❤🎉

  • @user-sz2uc3hd9q
    @user-sz2uc3hd9q 6 дней назад +1

    Unajua sn ila jitolee kabla kuachia kaz zako ztafika mbal sn

  • @theblackempireog460
    @theblackempireog460 10 дней назад

    Mocco hii ngoma ni kalii

  • @EnockErnest-y6q
    @EnockErnest-y6q 10 дней назад

    Huyu mocco ni hatar sana yan

  • @mohamedyrashidy-rh4bz
    @mohamedyrashidy-rh4bz 11 дней назад

    Duh mbosso jipange kaka muuone mtoto uyo

  • @Mkubya
    @Mkubya 3 дня назад

    Ushauri promote huu wimbo vibaya sana kaka, ongea na management vizuri utafika mbali

  • @EnockErnest-y6q
    @EnockErnest-y6q 10 дней назад

    Nyimbo inanihusu mwanzo mwisho shenziiii

  • @SelestineLoya
    @SelestineLoya 10 дней назад +1

    Daaaah kali sana

  • @edwardkasmiri5460
    @edwardkasmiri5460 10 дней назад

    Daaaah una balaaaa Mwambaaaa

  • @ngabungabrain6574
    @ngabungabrain6574 11 дней назад

    Nakubali combination ya lua

  • @chidi_don
    @chidi_don 11 дней назад +1

    Hii ngoma Kali sana mzee yani unajua sana 🔥🔥🔥🔥

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 11 дней назад

    Huyu mocco ana mambo ya hundustan aaah athante

  • @fittyvickersbrand5146
    @fittyvickersbrand5146 11 дней назад

    tuondoke nayoooo👽🎶✅

  • @athumanmwambe3726
    @athumanmwambe3726 7 дней назад

    ngoma kali team mzk mzr

  • @khizzer_jr
    @khizzer_jr 11 дней назад

    Remix Yammy ataweza sana Mocco

  • @HabibuRajabu-sw8ij
    @HabibuRajabu-sw8ij 11 дней назад

    Noma Sana🙌🙌

  • @KelvinRemmy-hu8vn
    @KelvinRemmy-hu8vn 11 дней назад +1

    Mocco u r so talented brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌞 hii mar gaya sio poa

  • @phicol254
    @phicol254 54 минуты назад

    Bhailam kainjoy sana❤❤❤😂😂😂

  • @UpendovicobaUpoendovicoba
    @UpendovicobaUpoendovicoba 10 дней назад

    Hapa xx mocco umenikosha maana mda sana mm najua ww ni chuo cha mziki maana unazalisha mziki mzuri nilitarajia nawe utupe mziki mzuri kama huh excited ❤❤❤❤❤❤❤

  • @PeterDanson-ps9iq
    @PeterDanson-ps9iq 6 дней назад +1

    Wimbo wa taifa toka kwa mfalme🇨🇩🇨🇩

  • @brianthoya4849
    @brianthoya4849 10 дней назад

    Kubabake Goma langu limetoka🎉

  • @lugusi143
    @lugusi143 10 дней назад +1

    🔥🔥🔥 by BMO

  • @BarakaAllen
    @BarakaAllen 8 дней назад

    Mocco karibu mjini

  • @Sham829
    @Sham829 11 дней назад +1

    Bro umeua sana, hii imeenda 🎉🎉🎉🎉

  • @anuaralmas8620
    @anuaralmas8620 11 дней назад +1

    doooh❤ alooo linajua bhna ili jmaaa💥

  • @kpplumbing7
    @kpplumbing7 8 дней назад

    Mocco Yani Aka kanyimbo sijui kakutungia nani au ulifikilia nn Yani Uindi ndani

  • @suleimanchinyimu5379
    @suleimanchinyimu5379 6 дней назад

    Mocco Genius is always outstanding wonderful young artist

  • @user-ms2si6qr2c
    @user-ms2si6qr2c 10 дней назад

    🔥🔥kitaa kimekukubali kaka

  • @Raj-gs2oj
    @Raj-gs2oj 10 дней назад

    Ila mocco tangu aanze kuimba hajawah kuboa. Ngoma zake zote kar

  • @DainaNgonda
    @DainaNgonda 7 дней назад

    mocco is trying to show dem artist whos boss...keep it up mamen

  • @chagaboy2532
    @chagaboy2532 9 дней назад

    Akitoka Jay Melody,uyu Ndio Msanii Wangu wa Pili Kipenzi 💗💗💗💗🔥🔥🔥

  • @azizanasibu5388
    @azizanasibu5388 6 дней назад

    Mwamba anajua...

  • @wiseboymsafi3965
    @wiseboymsafi3965 10 дней назад

    Kali sana