Mocco Genius - Mar Gaya (Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 июн 2024
- Music by Mocco Genius performing ''Mar Gaya" (c) 2024 Imagination Sound
All Profile link Click here: linktr.ee/moccogenius
Listen to Mocco Genius on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/moccogenius
Apple Music: / mocco-genius
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / moccogenius
Spotify:open.spotify.com/artist/0qR7J...
Deezer:www.deezer.com/us/artist/4998...
Connect with Mocco Genius on Social Media:
Instagram: / moccogenius
Facebook: / moccogenius
Twitter: / moccogenius_
©2024 Imagination Sound.All rights reserved.
#MoccoGenius #margaya Видеоклипы
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri 🎧❤️
Ngoma yangu pendwa 2024 Aya mayatima wamapenzi km mm gongeni lake 👉👉
Kaka mocco, nisiwe muongo huu mwaka hamna nyimbo km hii ww ni bonge la artist unaejua kubadil radha yan bac ni jina 2seme lkn hii ngoma ilitakiwa kuwa 1 on trending 2siwe waongo kaka mpk nacomment namaanisha huwa sicomment ovyo jaman mpen mkono mocco .....🙏🙏🙏
Umeachwa lin kaka😂
@@AziziSalehe😂😂😂 ukorof TU kuoga aaaah
Nilikuwa nakuchukulia poa sana kwenye music 🎶 sorry kaka. 🙌🙌🙌
Hakika kwa bongo fleva Tanzania ndo inasonga mbele kimataifa❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bongo fleva manake ni fleva za bongo km cjakosea
Kama umeikubali nyimbo kama mimi gonga like kwenye comnt hii tujuane
Nice
Umetishaaaaaa sana mwambaaaaaa
Kazi nzuri kaka kuanzia LEO mm fan wako
Mocco genius anajua mpaka anakera,naomba kiba aifanyie challenge ❤
Kihindi kidogo ngoma kali broo
Mocco ajawai kuniangusha twende kazi likes mara2 mb2❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Fundi sema unge ifanyia remx na kiba nyimbo kali sana
Angefanya remix na shreya goshal. International is the way.
Kama umerudia zaidi ya mara mbilii huuu wimbo tujuane hapaa
Mocco genius kila ngoma ya moto 🔥🔥👑 lazima ukalisheeee
Ushaa nena
Genius ni mmoja tu bongo hii..Ngoma kali Mocco@Music in Blood
Mocco mtu asikuambie haujui…!!! Natamani ungemshirikisha Shreeya Goshal verse 2. India yote ingekukubali. Much love bro from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
Uyuu anaimba vizuri kuliko wasanii wa kubwa tz,
😮
Chuma kwa moko nipeni like zangu hapa❤️❤️❤️❤️❤️🎉
Mocco Genius
Genius mocco
Gonga likes kma na ww Genius##
hii ngoma kali sana,hapa ulikaa ukaandika kw ufund wa hali ya juu
ungemshirikisha mbosso ingeenda snaaa, ngoma kali
Dah, mocco unanipa mawazo ya kuanza kukufatilia, kichupa🔥🔥👏
Uyu jamaa anajua sana
Moto wa mocco sio kitoto
Mwenye mziki wake fundi kabisa
Ngoma Kali sana
Ngoma kali sana sema round hii rmx ufanye na yammy maana anachembe chembe za in🇮🇳
Ngoma yangu ya mwaka hii hapa kutoka Kwa Moco, hizo zingine gawaneni
Nimeludia zaid ya mal tatu hiii nyimbo broo umetisha sana
Bahilam wanawake awaogopi moto 🔥🔥nasisi wanaume tiwapeleke moto🔥🔥🔥😱😱
Uko kwenye safari nzuri kijana mwenzangu❤❤❤❤
Good music ❤❤❤❤i really love it
Unajua 🙌🙌👐 mpaka unakela all in all good music
Ngoma kali sana ira ungeua angekwemo mkuu alikiba mzee wa yooo
Tushawachoka hao
Huyu mwamba mkalii 🔥🔥
Kaka unajua sana mungu kakubariki by Musa 🎶
Icho kihindi tutaweza kukalili kwel ila uko vzur 🎉🎉
WaBongo sijui kama kuna kitu wanachoshindwa
Wow bro mocco genius hii nimekubali one love bloody from USA 🇺🇸
very emotional,my 1st emotiomal song this year ever.kama unakubal like
Stick with King Kiba u will be on fire 🔥🔥
hiki kidude nikitam bna mocco u got love from Kenyan 🇰🇪bwoy @da cruiz
Uyu ndio alikua ataki kuimba waka mlazomisha Anza kuimba ila mocco sasa izi ngoma tungezipata wapi tz🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Noma sana ngoma kali hapa collabo na @yammi
Tamu Sana❤
Hatari big tune feeling it from 254msa kenya mocco genius mwenyewe
Unajua sana 🔥📌
Dah ngoma kal
Chukuwa mauwa yako 🔥🔥🔥🫡🫡 unajuwa kaka 🫂🫂
Mziki mkali sana hu kweli we niginius🎉🎉🎉
Moko unajua mpka basii tenaaa nime kuadd kwenye list za wasanii wanao konga moyo wangu❤❤❤
hiii ni talent kubwa sana aiseh moco ww ni genius kweli
AAAAAAH MOUJAA 👆 njoo Kwa comment tu, support MOOOOCCO
Hii inakuja vizuri bro🤝🌺🌿, endelesha hivi-hivi, utofauti upo
Hakika huyu ni fundi.nipee likes za mocco
Duuuh umefanifany niludie ngoma mala kumi
Oy broo ngoma Kali
Kaka sikupingi nakupa hekima Yako👏👏👏👏
Hii ngoma kali mwaka 2024 Kwa wale waliopitia changamoto kwenye mahusiano polen jmn hii ngoma itawaliwaza😂
Huyu jamaa Dah!!!!! 😮😮😮😮 Kunamda siamini kama ni yeye asee bonge la nyimbo yani
Mocco fundi asikuambie mtu ndio maana yuajiita genius
Jamaa anajua sanaaa
noma sana mdogo wangu kazi nzuri
Nimekubali kaka ni noma sana 🎉 hili goma Kali sana
Jamaa anafit sana ktk bongo fleva
Mocco we fund sanaa🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaah moujaa..una kipaji sana mzee
Jamaa anajua sanaaa😮❤
Nakubali kaka unaweza hadi unakela❤❤❤
Mooco
Ni mmoja tu❤🎉
Unajua sn ila jitolee kabla kuachia kaz zako ztafika mbal sn
Mocco hii ngoma ni kalii
Huyu mocco ni hatar sana yan
Duh mbosso jipange kaka muuone mtoto uyo
Ushauri promote huu wimbo vibaya sana kaka, ongea na management vizuri utafika mbali
Nyimbo inanihusu mwanzo mwisho shenziiii
Daaaah kali sana
Daaaah una balaaaa Mwambaaaa
Nakubali combination ya lua
Hii ngoma Kali sana mzee yani unajua sana 🔥🔥🔥🔥
Huyu mocco ana mambo ya hundustan aaah athante
tuondoke nayoooo👽🎶✅
ngoma kali team mzk mzr
Remix Yammy ataweza sana Mocco
Noma Sana🙌🙌
Mocco u r so talented brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌞 hii mar gaya sio poa
Bhailam kainjoy sana❤❤❤😂😂😂
Hapa xx mocco umenikosha maana mda sana mm najua ww ni chuo cha mziki maana unazalisha mziki mzuri nilitarajia nawe utupe mziki mzuri kama huh excited ❤❤❤❤❤❤❤
Wimbo wa taifa toka kwa mfalme🇨🇩🇨🇩
Kubabake Goma langu limetoka🎉
🔥🔥🔥 by BMO
Mocco karibu mjini
Bro umeua sana, hii imeenda 🎉🎉🎉🎉
doooh❤ alooo linajua bhna ili jmaaa💥
Mocco Yani Aka kanyimbo sijui kakutungia nani au ulifikilia nn Yani Uindi ndani
Mocco Genius is always outstanding wonderful young artist
🔥🔥kitaa kimekukubali kaka
Ila mocco tangu aanze kuimba hajawah kuboa. Ngoma zake zote kar
mocco is trying to show dem artist whos boss...keep it up mamen
Akitoka Jay Melody,uyu Ndio Msanii Wangu wa Pili Kipenzi 💗💗💗💗🔥🔥🔥
Mwamba anajua...
Kali sana