B2k Mnyama feat. Vanillah - Oweeeh (Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2024
- @B2KMnyama feat. @vanillahtz - Oweeeh!
Watch now Lyric Music Video by B2K featuring Vanillah performing OWEE (Official Music Video), The music Video was shot in Dar es Salaam, Director creator.
©2024 B2K.All rights reserved.
#B2K #Vanillah #Owee Видеоклипы
oyaaaa imerudiiii bwanaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
And M here already 4 mins baada ya KURUDI M ENJOYING MYSELF WITH THIS BANGER
@@weradiatelight_enjoy
Apo sawa
Dah hii vita sasa
Washamba tu wanamichezo ya kijingaa sanaaa afu hawatuweziii ata kuandikaa. Mungu alicho kipanga uwa akipanguliwi apo juu ni kwetu mda ukifika umefikaa 🙏👐
Hello habari naombeni sapota yenu kubwa kwa ku share ku like na ku coment mziki mzuri umfikie kila mtu❤❤❤
Umemaliza bro weeeeee mkali saaaana spaana ka uwa saaaaaaana
Limeisha hilooo tuachie sisi wew ushamaliza acha tucheze sisi ngomaa iendeee 👐
Mnyama Og..
Hujawai kosea kabx
Umepoaaa...🔥🔥🔥🇹🇿
Tupo nawe pia Tupo na Vanillah 🔧 mpaka kieleweke🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪🌟
Aisee,.Broh Mnyama mtu mbadi...🎧
Apewe ulinzi wazili wa ulinzi mtusikieeee ukoo.. 🇹🇿🇹🇿
Vanilla kumbe unajua nilikuwa nakudharau mwanzon ila we jamaa unajua mziki kipaji kikubwa sana🎉
nipeni like zangu za usk😊😊😊
❤❤❤❤
Kaka B2K all in all mmeuaaa B2K unajuaa sanaaa your more intelligent
Kaka B2K all in all mmeuaaa B2K unajuaa sanaaa your more intelligent nice song wimbo mzurii
kabisa utazipata likes #254❤
Ivi watu wa mbeyaa iringa mpo kama mpo naitaji like 200. Unaakili wewe utakae like afu sikulipi chochote. Like ziwe nyingi Ili wajue B2k ni mnyamaaa
Kama unaona kwa jicho la mbali vanillah kukuwa King kiba wa uko mbele gonga like apa
🎉🎉🎉🎉
Anajua sana asa
😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Kama una mkubali vanillah na homba like zangu❤❤❤❤ kutoka Zambia❤❤❤❤❤
Makini sana…sapoti yako muhimu sana
boss
Alie urudia huu wimbo mala mbili mbili gonga like
Noma
Nakubali kaka nguvu moja 🤝🤝🤝
Goma la kwenda B2k ft Vanilla Fire
Bonge moja la kazi
Brother MUNGU ABARIKI KAZI YA MIKONO YAKO...
Asanteni kwa mapokezi makubwa ya kazi yetu tunawapenda sanaa like na ku comment
Mnyamaaaaa
oyaaaaaa
Ngoma kali sana jaman🥰😍😍
Usiwaze sisi atuwezi kukufikisha mbingun tu ila tunaweza kukufikisha kazi zako kwa jamiiiii na jamiii ikakuelewaaaa 🙏
Usiwaze Kaka Mimi ndo yule nlokufukuziaga na bodaboda nkataka kukusalimia naitwa seve boy tz nipo RUclips
Jaman watu wana tufanyia roho mbaya wameitoa saut kwenye video yetu tuko tunapambania sauti irudi inshallah
Duuuuu sasa kwann wafanye ivi
Aliyepewa kapewa tu figisu azisaidii
..............................................atari sanaa kaka pambana maana wananchi wanalalAMIKA NINI TATITIZO AUDIO HAMNA KWENYE VIDEO
@b2kmnyama usiwaze kak
ChuMa imewakaa
Mnyama mkali Tz Ngoma kubwa sana kaka Mauwa yako kujia kenya #shimado ❤❤❤ be bless sana my lovely brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
vanillah kaangushwa na producer next time tafuteni sehemu nzuri pakufanyia mastering, all in all we enjoy goodmusic
Wa CONGO MPO WAPI JAMANI MUWE NA HEKIMA YA KUNIPA MAUWA YANGU 🎉
Mnipe like zangu APA 😢
😂😂😂
Tupo pamoja 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Makini sana…sapoti yako muhimu sana
❤❤❤
Tuko fasi hii ya ng'ambo tombokaa bandugu
Umu vyuma vimeumana ,, b2k kaka sikunyingine ukitaka kumshilikisha uyo spana uyo uyo spana , mwambie aanze yeye sholiako mwenyewe usije ukaturaum ukasema atujakwambia
Kama unamkubali B2k gonga like za kutoshaaaaaaaaaaaaaa
Tisha
Always i love him🙌
uhakika
Siku hizi Silii mapenzi ,siku mkiniona nalia mjue nawalilia walio tangulia kwa mungu😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii nyimbo umefanya nimelike , nimeshare nimecomment na leoleo nimesubscribe. Kazi nzuri sana hongera @b2c
Mnyamaaaaaaa hii tunatamba nayo kwenye mapenzi yetu na wale walokubali kutupa miyo nakutuweka moyoni pia
Naitaji like 100 za watu wa makambakoo maana niliyo wasemaa moyoni wakatoka wakanipanda kichwani 🥱
Oweeee ningoma kali sana alafu nyie mkiwa pamoja mnafanya balaa sanaa yan daaah
Tunakutakia kila la heri kwenye kazi yako wimbo mzuri
hili ngoma ni kali muda ote nalisikiliza halichoshi wala haliboi ❤❤❤
Vanilla uwe unamuweka mwanzo
Weweeeeeee
Bonge la ngoma full unyama saluti kwa mashujaa wote inshalll
Huyu Vanilla ni hatariiiiiiii
Hm boy@b2k unajua sanaaa
Vanillah anajua nyie angalia mistari yake tu ime tulia🎉kinoma
vanillah unajua nn kaka una hatari unapiga sana mishono
Mnajua tufanyaje sasa zaidi ya kureview tuuu❤❤❤
Kama unakubali.B2k nimsanii.anaye juwakuyeza na Hisia za mashabiki gonga LikeHP❤
Vanilaaaaaaaaaaaaa mnyama nyie
Dah nchi ngumu hii wametoa had saut keep pushing broo ludishen saut
Hii chemistry ni noma sana 🙌🔥🔥🔥🔥🔥 #B2K tumpe maua yake 🌺💐🌺🥀 #Vanilla is fire 🙌🙌
Vanilla is 🔥🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
oyaaa wanangu hamna bayaaa
Ngoma yangu pendwa. Na spans ameuwaaaaa noma
Hii pacha always inatoa mziki mzuri👏👏👏👏
Spana
B2k.unaenea.sana.uko.namba.wane.simba.mtoto
Nyie ni wanoma sana vanillah anaandika sana
Nimeludiaa mara 19 kuangaliaaa
Nimegundua mziki mzurii unaitaji kusapotiwa na watu makiniii ebu twende tuipeleke namba 1 on trending
tuondokeee tia makoment share sanaa
@@starbea7742 mapemaa tu
Vanilla umetisha kakangu,,,
Nakuomba usipoe tafadhali kuwa n muendelezo wakutoa nyimbo kila mara ❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vanilla kashilikishwa na B2k
Vanillah sio mtu wa kawaida huyuu khaaaa
Nakubali kijana mwenzangu
kaz nzur sana b2k man from mk 👍 👍 👍
B2k b2k b2k b2k b2k b2k b2k b2k mnyaaaaaaaaaaaaamaaaaaa unajua unachokifanya kaka mwamba wa kusini
Ngoma Kali sana
Vanillah mnyama sanaaaaaa
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri 🎧❤️
Mtu wa maana kbs😇
Nakubar naomba like zen nimekuwa wamwisho
Vanilla unajuwa sana na iyo sauti safi sana
Tuondoke nalo Goma kali naomba like zanguu kwa b2k
🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
B2K huyu anakufunika sana jitahidi ubadilka kuimba ukiwa na huyu jamaa, unampa credit sana 🎉🎉🎉
Maelekezo 🎉
Huyu vanillah 🔧 ni nyokoo ananyoosha kinoma✍️🔥🔥🔥🔥👑
🔥💥💥💥
Goma wametoa sauti kweri
Dubwana
Tuko tua poo wangu mwenyewe aa uu sindio 💯🔥💯💯💪💪💪💪💪💪💪
Wadau wa kusikiliza mziki mzuri shuka na like Kama zote🔥
Vanilla we nimuandishi bora kweli ❤
Noumaa sana
Vanillah uyu Jama fund sana
tuko pazuriii wanangu
Nakubari sana
Nimependa sana hii nyimbo ❤❤❤❤❤❤❤😊
Hii Ngoma niliidaka leo..pindi natoka Ubungo hadi Chanika naisikiliza hiyo tuu...Ligoma wajomba❤
Vanilla mtu na nusuuuu❤❤❤
Kari mkuu
Vanilla jameni huimba na feeling yote,, like yake ❤❤❤
🎉🎉🎉
Actually
Bonge la ngoma hili b2k wewe ninomaaaa. Unajua mpaka ufunikwe inaitaji uwezo kweli kweli daaa umemfunika vanillaa kinomaaaa
Naitaji like za watu wa njombe 100
Nipo hapa kwa ajili ya verse ya vanillah mwamba anajua kuyaandika mapenzi sio poa❤❤❤❤ 🔥
Vanillah umeshindikana sasa 🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ajengeweee sanamu
Atengweeee
Congratulations 🎉🎉🎉🎉
vanillah ana lana 🥳🤔👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Ila Vanillah mungu akuweke sana maana unajua adi unajisaau kaka 🎉🎉🎉❣️❣️❣️
Ngoma kubwa sana 🎉🎉🎉
NA HIVI NIKO NA BIGI BIGI 📯 owe owe oyaaaaa!!
Ime enda iyo my brother
B2k mnyama on🔥🔥
Daah Vanilla nakubali sana sina neno mzee
Dah,,,,, unyamaaaaaa huui b2k na vanilla wakikutana ni unyama tu be proud brothers
Nyimbo zote lkn hapa unyama mwingi sn❤❤❤ kwakwal🎉🎉
TEAM KIBA AND KINGS MUSIC 👑👉
Bonge ngoma wanao jua wamekutana
Watu wanakwenda kuumia
Nimekua wakwanza naomba like zangu
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Like tu kuoga Aaah😂 jokes tu
sawa sawa
vanilla mauwa yoko upewe👑🙌🙌
Vanilla kaua sana Wallah...ukweli usemwe❤❤Big love from kenya...mombasa
Vanilla umendika maneno mazuru tena ya utofauti sana❤ congratulations
Ebaneeee... Bonge la ngoma.. si tuko na demonstration 🇰🇪🇰🇪 lakini tunaenjoy mziki nzuri kutoka Kwa jirani yetu 🇹🇿.
Hii combination ni hatari I love their chemistry beautiful song🎉❤
Wakwanza Mimi like zangu hapa kwanguu
Njoo juu pale u like mm ndo wakwanzaa 😂
Tunao mkubali Spana🔧 wekeni nguvu mpya APA basi new song b2key end 🔧 kings music lebel...💥💥💥
😮😮😮😮😮
Nyie wawili noma kwel
Saf sana jamaa kwa kaz nzul szan Kama kunasku ulitao nyimbo mbovu.
Guys mumeua shida moja nikiwambieni tuuuh mlikosea kwasababu
Mapenzi ya menivurugaaa...
Yani ungejuwa naniye basi ningeruka nayooo Sana mwaka huu
Kenya on behalf ya GEN Z twawapenda
Munajuwa sana 💝💝💝💪💪💪
Spana Kapiga Tena🔥🔥🔥
🎉🎉🎉