B2k Mnyama feat. Vanillah - Oweeeh (Lyrics Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2024
  • ‪@B2KMnyama‬ feat. ‪@vanillahtz‬ - Oweeeh!
    Watch now Lyric Music Video by B2K featuring Vanillah performing OWEE (Official Music Video), The music Video was shot in Dar es Salaam, Director creator.
    ©2024 B2K.All rights reserved.
    #B2K #Vanillah #Owee
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1 тыс.

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  5 дней назад +69

    oyaaaa imerudiiii bwanaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @weradiatelight_
      @weradiatelight_ 5 дней назад +4

      And M here already 4 mins baada ya KURUDI M ENJOYING MYSELF WITH THIS BANGER

    • @B2KMnyama
      @B2KMnyama  5 дней назад +2

      @@weradiatelight_enjoy

    • @NdichiboyTz-iz4bd
      @NdichiboyTz-iz4bd 5 дней назад +2

      Apo sawa

    • @azzleboy
      @azzleboy 5 дней назад +2

      Dah hii vita sasa

    • @neaboy4032
      @neaboy4032 5 дней назад +3

      Washamba tu wanamichezo ya kijingaa sanaaa afu hawatuweziii ata kuandikaa. Mungu alicho kipanga uwa akipanguliwi apo juu ni kwetu mda ukifika umefikaa 🙏👐

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  8 дней назад +318

    Hello habari naombeni sapota yenu kubwa kwa ku share ku like na ku coment mziki mzuri umfikie kila mtu❤❤❤

    • @EliasBamikwa
      @EliasBamikwa 8 дней назад +13

      Umemaliza bro weeeeee mkali saaaana spaana ka uwa saaaaaaana

    • @neaboy4032
      @neaboy4032 8 дней назад +10

      Limeisha hilooo tuachie sisi wew ushamaliza acha tucheze sisi ngomaa iendeee 👐

    • @daudkinyunyu9989
      @daudkinyunyu9989 8 дней назад +9

      Mnyama Og..
      Hujawai kosea kabx
      Umepoaaa...🔥🔥🔥🇹🇿

    • @dr_donye
      @dr_donye 8 дней назад +7

      Tupo nawe pia Tupo na Vanillah 🔧 mpaka kieleweke🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪🌟

    • @daudkinyunyu9989
      @daudkinyunyu9989 8 дней назад +7

      Aisee,.Broh Mnyama mtu mbadi...🎧
      Apewe ulinzi wazili wa ulinzi mtusikieeee ukoo.. 🇹🇿🇹🇿

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 4 дня назад +7

    Vanilla kumbe unajua nilikuwa nakudharau mwanzon ila we jamaa unajua mziki kipaji kikubwa sana🎉

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  7 дней назад +59

    nipeni like zangu za usk😊😊😊

    • @kadegeasilitv-zt9bv
      @kadegeasilitv-zt9bv 6 дней назад +1

      ❤❤❤❤

    • @shedrackmyamba
      @shedrackmyamba 3 дня назад

      Kaka B2K all in all mmeuaaa B2K unajuaa sanaaa your more intelligent

    • @shedrackmyamba
      @shedrackmyamba 3 дня назад

      Kaka B2K all in all mmeuaaa B2K unajuaa sanaaa your more intelligent nice song wimbo mzurii

    • @jameskiiru6879
      @jameskiiru6879 14 часов назад

      kabisa utazipata likes #254❤

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 7 дней назад +23

    Ivi watu wa mbeyaa iringa mpo kama mpo naitaji like 200. Unaakili wewe utakae like afu sikulipi chochote. Like ziwe nyingi Ili wajue B2k ni mnyamaaa

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 8 дней назад +76

    Kama unaona kwa jicho la mbali vanillah kukuwa King kiba wa uko mbele gonga like apa

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 8 дней назад +56

    Kama una mkubali vanillah na homba like zangu❤❤❤❤ kutoka Zambia❤❤❤❤❤

  • @Espiboy2
    @Espiboy2 8 дней назад +83

    Alie urudia huu wimbo mala mbili mbili gonga like

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 4 дня назад +4

    Goma la kwenda B2k ft Vanilla Fire

  • @Berenaldo77
    @Berenaldo77 3 дня назад +3

    Bonge moja la kazi
    Brother MUNGU ABARIKI KAZI YA MIKONO YAKO...

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  7 дней назад +87

    Asanteni kwa mapokezi makubwa ya kazi yetu tunawapenda sanaa like na ku comment

    • @allenonesmomwebembezi6248
      @allenonesmomwebembezi6248 7 дней назад +2

      Mnyamaaaaa

    • @B2KMnyama
      @B2KMnyama  7 дней назад +1

      oyaaaaaa

    • @berthasanga5726
      @berthasanga5726 7 дней назад +2

      Ngoma kali sana jaman🥰😍😍

    • @neaboy4032
      @neaboy4032 7 дней назад +1

      Usiwaze sisi atuwezi kukufikisha mbingun tu ila tunaweza kukufikisha kazi zako kwa jamiiiii na jamiii ikakuelewaaaa 🙏

    • @sevelinMlawa
      @sevelinMlawa 7 дней назад +1

      Usiwaze Kaka Mimi ndo yule nlokufukuziaga na bodaboda nkataka kukusalimia naitwa seve boy tz nipo RUclips

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  5 дней назад +45

    Jaman watu wana tufanyia roho mbaya wameitoa saut kwenye video yetu tuko tunapambania sauti irudi inshallah

    • @AyubunicoMwitumba
      @AyubunicoMwitumba 5 дней назад +1

      Duuuuu sasa kwann wafanye ivi

    • @AyubunicoMwitumba
      @AyubunicoMwitumba 5 дней назад +1

      Aliyepewa kapewa tu figisu azisaidii

    • @exclusvetztv9011
      @exclusvetztv9011 5 дней назад +1

      ..............................................atari sanaa kaka pambana maana wananchi wanalalAMIKA NINI TATITIZO AUDIO HAMNA KWENYE VIDEO

    • @kinggibe928
      @kinggibe928 5 дней назад +1

      @b2kmnyama usiwaze kak

    • @flavoostarbeatboy
      @flavoostarbeatboy 5 дней назад +1

      ChuMa imewakaa

  • @shimadosun
    @shimadosun 3 дня назад +4

    Mnyama mkali Tz Ngoma kubwa sana kaka Mauwa yako kujia kenya #shimado ❤❤❤ be bless sana my lovely brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sydneymgawe7779
    @sydneymgawe7779 7 дней назад +3

    vanillah kaangushwa na producer next time tafuteni sehemu nzuri pakufanyia mastering, all in all we enjoy goodmusic

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 8 дней назад +46

    Wa CONGO MPO WAPI JAMANI MUWE NA HEKIMA YA KUNIPA MAUWA YANGU 🎉
    Mnipe like zangu APA 😢

  • @kismatinational8270
    @kismatinational8270 3 дня назад +2

    Umu vyuma vimeumana ,, b2k kaka sikunyingine ukitaka kumshilikisha uyo spana uyo uyo spana , mwambie aanze yeye sholiako mwenyewe usije ukaturaum ukasema atujakwambia

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 8 дней назад +53

    Kama unamkubali B2k gonga like za kutoshaaaaaaaaaaaaaa

  • @Lufuta33.
    @Lufuta33. 8 дней назад +4

    uhakika

  • @user-ml2mj1uw8v
    @user-ml2mj1uw8v 23 часа назад +1

    Siku hizi Silii mapenzi ,siku mkiniona nalia mjue nawalilia walio tangulia kwa mungu😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @dida_official
    @dida_official 6 дней назад +2

    Hii nyimbo umefanya nimelike , nimeshare nimecomment na leoleo nimesubscribe. Kazi nzuri sana hongera @b2c

  • @bashiteentertainment3298
    @bashiteentertainment3298 7 дней назад +3

    Mnyamaaaaaaa hii tunatamba nayo kwenye mapenzi yetu na wale walokubali kutupa miyo nakutuweka moyoni pia

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 7 дней назад +13

    Naitaji like 100 za watu wa makambakoo maana niliyo wasemaa moyoni wakatoka wakanipanda kichwani 🥱

  • @HairuMchawi
    @HairuMchawi 5 дней назад +2

    Oweeee ningoma kali sana alafu nyie mkiwa pamoja mnafanya balaa sanaa yan daaah

  • @fadhilisanga3679
    @fadhilisanga3679 6 дней назад +2

    Tunakutakia kila la heri kwenye kazi yako wimbo mzuri

  • @jumabondo2085
    @jumabondo2085 7 дней назад +6

    hili ngoma ni kali muda ote nalisikiliza halichoshi wala haliboi ❤❤❤

  • @user-rk2mh9dp2k
    @user-rk2mh9dp2k 8 дней назад +3

    Vanilla uwe unamuweka mwanzo

  • @justneromano1247
    @justneromano1247 8 дней назад +2

    Weweeeeeee

  • @mtatirodonia8463
    @mtatirodonia8463 4 дня назад +2

    Bonge la ngoma full unyama saluti kwa mashujaa wote inshalll

  • @paschalagapit874
    @paschalagapit874 6 дней назад +3

    Huyu Vanilla ni hatariiiiiiii

  • @yuleboygaddafifather6900
    @yuleboygaddafifather6900 8 дней назад +3

    Hm boy@b2k unajua sanaaa

  • @Izoodaddy
    @Izoodaddy 8 дней назад +2

    Vanillah anajua nyie angalia mistari yake tu ime tulia🎉kinoma

  • @drew_oma
    @drew_oma 7 дней назад +2

    vanillah unajua nn kaka una hatari unapiga sana mishono

  • @osiahstimah
    @osiahstimah 8 дней назад +3

    Mnajua tufanyaje sasa zaidi ya kureview tuuu❤❤❤

  • @HotaeTz
    @HotaeTz 7 дней назад +6

    Kama unakubali.B2k nimsanii.anaye juwakuyeza na Hisia za mashabiki gonga LikeHP❤

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 8 дней назад +2

    Vanilaaaaaaaaaaaaa mnyama nyie

  • @user-do3oc9vk5t
    @user-do3oc9vk5t 5 дней назад +2

    Dah nchi ngumu hii wametoa had saut keep pushing broo ludishen saut

  • @saluuhans
    @saluuhans 8 дней назад +3

    Hii chemistry ni noma sana 🙌🔥🔥🔥🔥🔥 #B2K tumpe maua yake 🌺💐🌺🥀 #Vanilla is fire 🙌🙌

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 8 дней назад +3

    Vanilla is 🔥🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  6 дней назад +2

    oyaaa wanangu hamna bayaaa

  • @kapeamohamed6374
    @kapeamohamed6374 7 дней назад +2

    Ngoma yangu pendwa. Na spans ameuwaaaaa noma

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy 8 дней назад +3

    Hii pacha always inatoa mziki mzuri👏👏👏👏

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 8 дней назад +5

    Spana

  • @SimeonKahuko-o6i
    @SimeonKahuko-o6i 8 дней назад +3

    B2k.unaenea.sana.uko.namba.wane.simba.mtoto

  • @jacksondamian4347
    @jacksondamian4347 6 дней назад +2

    Nyie ni wanoma sana vanillah anaandika sana

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 8 дней назад +23

    Nimeludiaa mara 19 kuangaliaaa
    Nimegundua mziki mzurii unaitaji kusapotiwa na watu makiniii ebu twende tuipeleke namba 1 on trending

    • @starbea7742
      @starbea7742 8 дней назад +1

      tuondokeee tia makoment share sanaa

    • @neaboy4032
      @neaboy4032 8 дней назад

      @@starbea7742 mapemaa tu

  • @jaymoyilmaz9680
    @jaymoyilmaz9680 8 дней назад +21

    Vanilla umetisha kakangu,,,
    Nakuomba usipoe tafadhali kuwa n muendelezo wakutoa nyimbo kila mara ❤

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 6 дней назад +2

    Vanillah sio mtu wa kawaida huyuu khaaaa

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 7 дней назад +2

    Nakubali kijana mwenzangu

  • @gasparmtama7183
    @gasparmtama7183 6 дней назад +3

    kaz nzur sana b2k man from mk 👍 👍 👍

  • @OmbeniMnemele
    @OmbeniMnemele 8 дней назад +5

    B2k b2k b2k b2k b2k b2k b2k b2k mnyaaaaaaaaaaaaamaaaaaa unajua unachokifanya kaka mwamba wa kusini

  • @musazengo1448
    @musazengo1448 8 дней назад +2

    Ngoma Kali sana

  • @joshuamolleli3471
    @joshuamolleli3471 8 дней назад +2

    Vanillah mnyama sanaaaaaa

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 8 дней назад +5

    Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri 🎧❤️

  • @deoslucasNkoko
    @deoslucasNkoko 4 дня назад +4

    Nakubar naomba like zen nimekuwa wamwisho

  • @DaudiMwampashi-ux8so
    @DaudiMwampashi-ux8so 3 дня назад +2

    Vanilla unajuwa sana na iyo sauti safi sana

  • @DiiLegembo
    @DiiLegembo 8 дней назад +35

    Tuondoke nalo Goma kali naomba like zanguu kwa b2k

  • @ReubenMdashi-vs5mh
    @ReubenMdashi-vs5mh 8 дней назад +3

    B2K huyu anakufunika sana jitahidi ubadilka kuimba ukiwa na huyu jamaa, unampa credit sana 🎉🎉🎉

  • @dr_donye
    @dr_donye 8 дней назад +13

    Huyu vanillah 🔧 ni nyokoo ananyoosha kinoma✍️🔥🔥🔥🔥👑

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow 5 дней назад +3

    Goma wametoa sauti kweri

  • @IssahNyamle
    @IssahNyamle 8 дней назад +5

    Dubwana

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 8 дней назад +5

    Tuko tua poo wangu mwenyewe aa uu sindio 💯🔥💯💯💪💪💪💪💪💪💪

  • @Rdjjimmyselector
    @Rdjjimmyselector 6 дней назад +7

    Wadau wa kusikiliza mziki mzuri shuka na like Kama zote🔥

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v 8 дней назад +2

    Vanilla we nimuandishi bora kweli ❤

  • @bjayvocal1890
    @bjayvocal1890 8 дней назад +2

    Noumaa sana

  • @TamimuKinanila
    @TamimuKinanila 8 дней назад +8

    Vanillah uyu Jama fund sana

  • @B2KMnyama
    @B2KMnyama  7 дней назад +10

    tuko pazuriii wanangu

  • @prospermango6526
    @prospermango6526 4 дня назад +1

    Hii Ngoma niliidaka leo..pindi natoka Ubungo hadi Chanika naisikiliza hiyo tuu...Ligoma wajomba❤

  • @edinazarumbe1248
    @edinazarumbe1248 6 дней назад +2

    Vanilla mtu na nusuuuu❤❤❤

  • @ManceJ-yc4dd
    @ManceJ-yc4dd 8 дней назад +3

    Kari mkuu

  • @mosessimiyu6954
    @mosessimiyu6954 8 дней назад +52

    Vanilla jameni huimba na feeling yote,, like yake ❤❤❤

  • @yusuphmkomwa3427
    @yusuphmkomwa3427 8 дней назад +5

    Bonge la ngoma hili b2k wewe ninomaaaa. Unajua mpaka ufunikwe inaitaji uwezo kweli kweli daaa umemfunika vanillaa kinomaaaa

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 7 дней назад +10

    Naitaji like za watu wa njombe 100

  • @Mwanasconcho_
    @Mwanasconcho_ 8 дней назад +6

    Nipo hapa kwa ajili ya verse ya vanillah mwamba anajua kuyaandika mapenzi sio poa❤❤❤❤ 🔥

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba7 8 дней назад +6

    Vanillah umeshindikana sasa 🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 8 дней назад +4

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @user-cn9zd4ke8b
    @user-cn9zd4ke8b 3 дня назад +2

    vanillah ana lana 🥳🤔👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @official_kingnabiryOg
    @official_kingnabiryOg 8 дней назад +6

    Ila Vanillah mungu akuweke sana maana unajua adi unajisaau kaka 🎉🎉🎉❣️❣️❣️

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 8 дней назад +3

    Ngoma kubwa sana 🎉🎉🎉

  • @frankgerard715
    @frankgerard715 8 дней назад +7

    NA HIVI NIKO NA BIGI BIGI 📯 owe owe oyaaaaa!!

  • @janvierramazani2189
    @janvierramazani2189 8 дней назад +5

    Ime enda iyo my brother

  • @ramamuhsin743
    @ramamuhsin743 8 дней назад +7

    Daah Vanilla nakubali sana sina neno mzee

  • @NoreenySisa
    @NoreenySisa 8 дней назад +7

    Dah,,,,, unyamaaaaaa huui b2k na vanilla wakikutana ni unyama tu be proud brothers

  • @sihabamwacheo1314
    @sihabamwacheo1314 5 дней назад +1

    Nyimbo zote lkn hapa unyama mwingi sn❤❤❤ kwakwal🎉🎉

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 8 дней назад +7

    TEAM KIBA AND KINGS MUSIC 👑👉

  • @Jmbuilder-ly6wp
    @Jmbuilder-ly6wp 8 дней назад +5

    Bonge ngoma wanao jua wamekutana

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 9 дней назад +34

    Nimekua wakwanza naomba like zangu

  • @MaryAnn-e8k
    @MaryAnn-e8k 3 дня назад +1

    vanilla mauwa yoko upewe👑🙌🙌

  • @mudziniafricatv
    @mudziniafricatv 8 дней назад +2

    Vanilla kaua sana Wallah...ukweli usemwe❤❤Big love from kenya...mombasa

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v 8 дней назад +5

    Vanilla umendika maneno mazuru tena ya utofauti sana❤ congratulations

  • @HamisiChipotele-fl8xo
    @HamisiChipotele-fl8xo 8 дней назад +7

    Ebaneeee... Bonge la ngoma.. si tuko na demonstration 🇰🇪🇰🇪 lakini tunaenjoy mziki nzuri kutoka Kwa jirani yetu 🇹🇿.

  • @albomsafi9183
    @albomsafi9183 8 дней назад +2

    Hii combination ni hatari I love their chemistry beautiful song🎉❤

  • @itangakubuntuErick-ps6jz
    @itangakubuntuErick-ps6jz 9 дней назад +28

    Wakwanza Mimi like zangu hapa kwanguu

    • @neaboy4032
      @neaboy4032 8 дней назад +1

      Njoo juu pale u like mm ndo wakwanzaa 😂

  • @SaideAliSangomes-cc7sj
    @SaideAliSangomes-cc7sj 8 дней назад +15

    Tunao mkubali Spana🔧 wekeni nguvu mpya APA basi new song b2key end 🔧 kings music lebel...💥💥💥

  • @ivantompoo3420
    @ivantompoo3420 8 дней назад +1

    Nyie wawili noma kwel

  • @nyemowanyotanjemaudm4360
    @nyemowanyotanjemaudm4360 8 дней назад +4

    Saf sana jamaa kwa kaz nzul szan Kama kunasku ulitao nyimbo mbovu.

  • @HarunaFundii-lw1zr
    @HarunaFundii-lw1zr 7 дней назад +4

    Guys mumeua shida moja nikiwambieni tuuuh mlikosea kwasababu
    Mapenzi ya menivurugaaa...
    Yani ungejuwa naniye basi ningeruka nayooo Sana mwaka huu

  • @Lokimasterkevin
    @Lokimasterkevin 8 дней назад +6

    Kenya on behalf ya GEN Z twawapenda

  • @bushobokaadolphe553
    @bushobokaadolphe553 8 дней назад +2

    Munajuwa sana 💝💝💝💪💪💪

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 8 дней назад +5

    Spana Kapiga Tena🔥🔥🔥

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 8 дней назад +5

    🎉🎉🎉