Kusah - Fundi ( Official Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2024
- #Kusah #Fundi
(C) Slide Digital
Kusah Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kusah
Written & Performed by Kusah
Follow Kusah on:
/ _kusah_
twitter.com_Kusah_
/ officialkusah
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
THANK YOU FOR YOUR ENDLESS SUPPORT LET’S CHAT 😊❤️
Oa bro kusah umetisha kaka
Kaka kawimbo ni katamu adi nakanywea chai bila kitafunoo
Umeweza bro ,live from kenya
❤❤❤❤❤❤❤❤Mimi nakukubali kazi zako nzuri
🔥🔥🔥🔥🙌kubwa sana
Wakwanza leo nipen like zangu
Hi n motoo wapii likes zanguu🎉🎉🎉🎉
My favorite artist in Love songs❤🎉
Mwamba Wa Upigaji Mwingi Huna Bayaaaa✌🔥🔥🔥✌✌
Mwanangu ila kazi hii kubwa sana mwanangu duuh umetisha
Fundi tajiri nakusubili songea. Boss wangu
We jamaa ni underated artist , we ni fundi
Brother huna kazi bovuuu nakukubaliii Miaka yoteeeeeeeeee🎉
Kuna maufundi mengi humu..
Inahitaji uwe na jicho la pekee kugundua
NakukubaLiii sn❤
Ulichokifanya mwana na upendo sana nakubali xna❤
Daaah inauma sana goma kali kama hili alijaingia trend dah
We jamaa mziki unaujua, hii ngoma niliisikiliza siku itatoka clouds kwenye XXL,
Aisee imenikamata kinomaa,
Well done Broo❤
Upewe maua Yako kusah aisee so ❤❤❤❤❤
Wow this song is on fire 🔥🔥🔥 wapi like za kusah
Fundi juu ya fund
Nyimbo nzuri sana 👊
we ni fundi wa kuimba 💪
1 of the best musician in this continent, blessed with rhyms,writing, melody and beat selection big shout out to you my brother
Na tena nimependa tena
These melodies ni noma sana kama watu hawajagundua big up sanaa🔥🔥
Fundi wa misemo kusaaahhh
Jamani msinyime likes sauti nzuri ya kusah inakusa moyo
My family good music is here🎉🎉🎉🎉
Aaah!! Kusah wee umekuja na fund Tena ama ww ni hatar ❤
Ni kusah tena ❤❤❤❤favorite all the time🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
The way you are singing it, nasema "ok"🙌💯
When it comes on Love songs ❤ jua ni Kusah teenaah🎉
Moto 🔥🔥sana kusah👊👊💪💪
Umetisha kusah
Mwamba umeua
Mwamba anaimba sana
Duuu!!! Dude kweli hili
Fundi kama fundi
Tusiopenda amapiano hi ndy mizik yetu sis. My favorate song❤
Huyo mmama jamani si bora hata ungemchukua mama nono, kama kazeeka au macho yangu😂😂
Na bro sii unapenda wamama😂😂😂
Mybe hao ndio Wana support talanta😂😂
Ukweri
😂😂ndio wazuri
Na kusah tena🔥🔥🎙️
Bonge la Ngoma 🌹🌹🌹
Creativity ⭐❤💯dope
Hili jamaa linaimba aisee
Haahaa hii nyimbo tamu Kama umeikubal sema❤🎉
Kusah you talented brother blessed ever
video queen kazeeka uwe unatafta wakueleweka ww
Mybe hao ndio Wana support talanta😂😂
Song utapoteza hayo tu
Mali adimu sana🙌🙌🙌
vizuri kaka
👐👐👐👐👏 kazi nzuri
Kush good music
Mshangazi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bonge la song mzee
Hatariiii
Osie baba
keep it up ❤❤
Umeusa Sana kusah unajua 🔧🔨⚒️🚐🚐 daah na bonge la kiatu furani ivi lakifund 👊👊👊
Aweeee🎉🎉🎉
Kusah heeeehh ...diamond platinumz kando ..kusaaah
Sema video queen Ni JIMAMA la mbanga😂
Kusah🔥🔥
Ngoma kalii👍
Kusah umenifurahisha sana kwenye ××l kuwe wewe huachi mwanamke kwa kukufanyia vituko. Uko sahihi utafika mbali😂😂😂❤❤❤
Ur the best always 💓
Fantastic ❤🎉congrats Big bro
Love this song🔥🔥🔥
kusah mtu mbad
📌📌📌As a KenyanTanzania I really love 😍 Kusah songs much to ❤❤❤❤
Huyu jamaa ni fundi kama hii nyimbo
❤❤❤❤
KAKA UNAJUA SANA KWENYE HIZI VOCAL ZA MAPENZI 💔❤🎉 UMETISHA SANA🎉🎉🎉🎉🙏🏻👏🏻👏🏻
Bongo fleva is back
Achana na Bella king of Melody,,,kusa king of mashangaz,,ngoma Kali Sana bro video vixing katisha😂😂😂😂😂
😂😂.... Sugar Mummy's wajuwa kuleya!!!..
@@allyjama3552 itabidi na mm ntafute lishangaz😂😂😂😂
kusah tena❤❤❤
Nimependa tenaa🎉🎉❤
❤❤ kali ❤❤❤❤❤
Wakenya wapo kwenye maandamano we huo mda umepata wapi wa kuangalia video
😢😢😢😢😢
Hujawaji Kosea ndugu yangu toka unaanza game u growing up kila siku #fundi kwel
Kusah tena🎉
Kenyans 🇰🇪🇰🇪 are alway ready to support 🔥🔥🔥
Tu support wakenya wetu pia tusi sahau
Ila vixen bana age go
🎙️🔥🔥🔥🔥🔥✊🏿✊🏿
Kweli wewe ni fundi kusah
🔥🔥🔥
Big up broo
Nitafute
Goma limetulia watu wapendane sai
Your videos is always fantastic 👌🏽
Safi kaka big up sana kwa watoto wa bumbuli
Unyamaaa
🔥🔥
Saluti💪
🙌💯🔥
KAZI IMETULIA KAKA BLESSING SANA bro
Kaka kwa mapenzi ni ww na jay tu bongo hii😏😏😏
Fundi kusah🔥🔥🔥🔥🔥
Naona unaende kuwa legend wa huuziki mzuri Sasa
💯💯✔️
Kuna kitu hamkijui kuhusu huyu kusah ngoja niwaambieni…see more…
Hii ime fly sana big KUSAH DR.CONGO tuna ku support naku share kila kitu 🔥🔥🔥🔥🌎🌍🌏👑🇨🇩🤝🏼🇹🇿
Im manny TILLER and musician artist from DR.CONGO goma TOWN it's a pleasure to be meeted 💥💥💫
Unyama❤
Fundi kama ilivyo fundi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
On 🔥 📛
Umetisha sana mwanangu.