Girl learn through HARD way from her dad how to run business//BabaOlivia Episode 06
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- #ENGLISH CAPTION AVAILABLE #Gabozigamba, anayejulikana kwa upendo kama Baba Olivia, anamfundisha binti yake Olivia sanaa ya kuendesha biashara yenye mafanikio. Tazama jinsi anavyoshiriki masomo muhimu, vidokezo vya kiutendaji, na uzoefu halisi wa maisha ili kumsaidia Olivia kuendesha ulimwengu wa ujasiriamali. Kuanzia kuanzisha duka hadi kusimamia fedha, mwongozo wa Gabozigamba ni ushahidi wa nguvu ya msaada na hekima ya wazazi.
…………………………………………….
#Gabozigamba, lovingly known as Baba Olivia, mentors his daughter Olivia in the art of running a successful business. Watch as he shares invaluable lessons, practical tips, and real-world experiences to help Olivia navigate the entrepreneurial landscape. From setting up shop to managing finances, Gabozigamba's guidance is a testament to the power of parental support and wisdom.
Don't forget to like, comment, and subscribe for more! 💪👧❤️
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram:  / henrymwakajumba
#BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation
The chemistry between father and daughter is beyond acting❤
Absolutely ❤️
wacongo tunawasapoti sana tuu nivile tu amjui gabo zigamba mad respect
Asante sana ❤️🙏🏾🙏🏾
Sinime sahau kama leo Ijumaa lakini wa 18 team strong nawakilisha Oman 🎉🎉🎉
Nawakilisha 974 🇶🇦
Tupo pamoja mpka hubz zituuue team hamam😂😂😂
🤣🤣🤣mafi mushkil
Mpk ni mefeel happy tuko pamoja
@@MiriamShani karibu saham nipo
Jamani tukiwa wawazi kabisa hii series ya BABA OLIVIA ni nzuri sana 🔥
Kama tunavyoeka subra hadi tumeletewa episode ya 6 ya tamthilia yetu nzuri yenye mafunzo mazuri...basi naomba sote tuwe na subra vile vile kwenye maombi yetu kutaka kujibiwa..nawatakia siku njema na ndugu waislamu ijumaa karim inshallah❤🙏
Sawa sawa
Inshaallah
Viazi kwenye kuuza ilibidii awe na chakufungia kama gazeti au mfuko, pia asishike kwa mkono atumie uma kumpa mtu.kuzingatia Usafi wa mikono.
Amejufunza hapo! Asante 🙏🏾🙏🏾
Napenda baba Olivia anavyo ishi na mwanawe in shaa Allah mwenyez mungu anijali mume atakae ishi na watoto wake kama ivi
Amiin thuma Amiin
Nakubali
Kila kipande muwe mnaweka namba ili tuvielewe
❤
HI
Gonga like za kutosha na kama mnataka iwe inaachiwa kila siku ,gonga like za kutosha Hapa
Kwanwew ndounaiachia
@@timebakar kama hauniamini Basi wewe waalike watu wa like za kutosha hapo
We ndo director
Olivia shujaa nipeni laik zangu japo nimechelewa
Olivia bonge la actress , 💥💥💥🥂💥 God amsimamie industry isimvuruge mbeleni🥂🥂🥂🥂💪
Olivia mamaaa nakupenda walah❤❤❤❤❤ muheshimu sana dady❤
Nampenda sana Olivia jamani asa akiongea dah nafulai sana
Aisee nimekaa nikajua km mm wa kwnza oman team tunawakilisha
Hivi Siwezi Uziwa hii move nimalize kuangalia,,,,Hii best movie mwaka huu
Tupo Omani 🎉🎉tunawaona Tanzania yetu❤❤❤
❤❤❤❤
Naa yulee dude mchoyoo Sanaa yeye kagaiwa chakulaa tenaa wenziwe hata kuwagaiya ndizii Moja kashindwaa
😂
😂😂😂ndo kwanza ujuwe leo
Yule bahili hata wa fadhila
ndio ushangae,hata kutoa ndizi moja ampe olivia😢😢kyaa
😂😂 ndo waja walivo
Background ya music iko juu kiasi wakat Olivia na Gabo wakiongea. But for sure i do appreciate watching this❤much love
Thank youu!
Yaaan uyu mama tina uwa anasura ya comed kabisa
Ni comedian huyo Katarina karatu
😂😂😂
Wew ACHA TU Yan najikuta nacheka tu wameuwA
Hiv like mnazoziomba munazifanyia nn nipen bac na mim
Familia ya Luca wananichekesha sana wanajazana kwa baba olivia😂😂😂😂
Hii movie Kali Sana siku zote Gabo ni mwamba Sana 🔥
Sauti ya olivia naipenda😊
Hi familia ya luka jamani
hiiiii 😂😂😂😂
Gonga like basi jamani, from Mozambique ❤
🧭🤳 😂😂😂🇲🇿 imefanyaj kwani??
Team strong apa uko p
Baraka zimfikie mwanamke mzaa chema alomzaa olivia she is very bright ❤
Olivia nampenda sana❤ ila Lucas na Katarina akili hawana😂😂😂
Wow my lovely movie❤❤❤
Best ever filamu mr gabo ur the number one actor in tz for real
A big fan from Kenya. You are one of the best actors that I have known for so long.
Niliishi maisha ya olivia na babaake kasoro tu jinsia yangu daah kweli movi imechezwa.
Napenda sana jinsi hizi family mbili znavyoishi💐💐
Greatest sina cha kusema daaah
yaani tanzania nzima baada ya kanumba nilikuwa sijawai kusukia ama kuona mtu anayeweza kutunga story nzuri yenye kuvutia kama huyu jama pia wasani wake wako vizuri kwa kweli nimependezwa saana love from Australia for more nitawajulisha kwa zawaidi kuu ahsante❤
Asante ubarikiwe ❤️❤️🙏🏾
I really need to see Olivia 😅
Huu jama Tanzania yote sijaona Actor zahidi yake.anajuwa kuigiza sana.Love from Burundi 🇧🇮 😍 ❤
Olivia nakupenda n babako,mnajua pk mna jua tena ❤🎉
Next plz
Friday👍🏽😘
From Kenya ❤kibaba jirani aezi achia jirani ndizi
😂😂😂jemsi anataka kufanya vya wakubwa kwa Oliva 😂😂
KAZI nzuri yenye mafunzo mazuri,,much love from kenya
Mimi napenda sana kazi za jirani yangu gabozigamba
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Mambo mambo nikiwakilisha south africa ❤❤❤
Nakubali sana
Nimependa sana movie za huyuu mwambaa
Kenya watching and love it
Good movie 😍😍😍😍😍 back ground music zingeku za kiswahili ingekuwa viema sana , though bado Iko sawa ,
🙏🏾🙏🏾
Lkin ni tuwimbo tuzur tu aunasisimua vp unajua jina lake haka kawimbo
@@AthumaniAlly-t7x kabisa nazipendaa
@@AthumaniAlly-t7x let's grow together 🥰🔥🔥🔥🔥🔥
DJEMBE JAMMING WITH BOMBO LEGÜERO FROM ARGENTINA TEAMruclips.net/video/-0iAGBLSTZw/видео.htmlsi=4-1IuH-ErCSx15LT
creativity is in you brother
Mbona huwa mnachelewesha kutuma huu mchezo
Nmeipenda jmn nawakilisha kutoka oman
Asante sana,Salamu kwa watu wa Oman 🇴🇲❤️❤️
Jiran apenda kudowea Kwa watu sasa kapatkn n biashara 😊
😂😂😂
Baba Olivia wakati anaongea na mama Tina alikuwa haja chonga ndevu matina alivyo muuzi tu. Baba Olivia alivyo ingia ndani tunaonyeshwa kachonga ndevu jaman daaaah 😄😄😄✍️
Huu ni mchezo wa kuigiza hauwezi kuwa real kwa Kila kitu.
Lakini pia , maandalizi kwa maana ya muda wa kukutana location,kupitiwa kwa Editor, muingiliano wa ratiba za waigizaji.
All in all Zigamba kajitahidi sana, pia enjoy mchezo ndugu yangu usiwe serious sana
Jaman wanawake musome mume anapokewa ndiz zinaishia mikononi
Babu kubwa, tupo pamoja
Uyu mtoto ana kipaji kama cha jenipher kanumba na patrik namuona akiwa super ⭐wa badae ongera Gabo🎉🎉🎉
❤️
Jamani muwe mnaachia hata siku mbili kwa wiki
zigambo wakupe mauwa Yako🎉
Napenda maisha ya olivia na baba ake ❤❤
❤️❤️
Studi tuwa 😂😂😂 "study tour" hongera babake Olivia ❤
Hawa majirani wa Baba Olivia family ya luca😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanatuua mbavu yan hamn episode tuschek
Nice mrembo
Good vibe🎉
Kinachonifurahisha dakika ni za kutosha haijalishi muda mrefu wa kupost, sio unakaa muda mrefu halafu unapost clip ya dakika 8,❤❤❤
Asanteee❤️❤️❤️❤️
Tupo pamoja gabo namb one
Jamani mnakaa sana kutuletea
mlete mwalimu.bana we mzee
wanafaa kuish pamoja
Sema Baba Olivia Anapenda kula kwa Jirani
Hakika Mumeigiza maisha yangu kasoro tu kuabudu sijaona labda mwandishi alikwepa kuonyesha tofauti za kidini katika kuzingatia maadili ya malezi. Cha muhimu ni malezi bora na upendo wa kweli ktk maisha.
Wala hujakosea! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Malezi ya upande mmoja yana watesa sana watoto mama akimlea mtoto anamficha mwanae asimjue baba ,Baba nae kadhalika hii sio sawa mtoto anahaki ya kujua mama yuko wapi na Baba yuko wapi
nakubali❤❤❤
Waooooh nace❤
Thanks for liking
Kuna siri kubwa kuhusiana na MAMA olivia❤
Unadhani kutakua na siri gani?😉😉
@@henrymwakajumbaalimuumiza gabo moyo vibaya sana
Nakupenda bure olivia🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
Good work ❤❤
Baba Olivia
❤❤❤❤❤
😢😢la furaha hii kitu nimekubali
Jamani nimechelewa like please
Nimeipenda hiyo jilan wamekula vyote
Good namkubali sana gabo
Kazi nzuri❤
Asante🙏🏾
🇹🇿🇹🇿🇹🇿☝️🔥🔥
Haka kanyimbo kanaitwaje jamni naombeni mmitajie tahfadhar eeeeey😊😊😊😊😊😊
Kwan huyu Olivia alikuwa haoni camera yaani kama ndio anaishi Ivo kumbe ni movie alooo 🎉🎉🎉🎉
Mama Tina unanifurahisha ❤❤❤❤
Nanyi mnaosema mpo woman ,mozambik nk Ni qatanzania na Kam qatanzania bc kwel kumb mnaifuatilia asaiv Ni kipande Cha sita cndy jamn ,wadau wa baba olivia
Naomba ukoseason zambele bbaoliv asilet mwanamke maan uyo mwanamke akimtesa olive nitali nakaoneauluma
Good 2peyaku minana 18
I love the music❤ na Lucas family 😂
Thank you 🥰🥰
Daaaah Mungu saidia nikipata mke tulee mtoto wetu pamoja mtoto anahitaji upendo wa wazazi wote wawili 😢😢😢😢😢😢😢
Kabisa na wala hujakosea! ❤️❤️❤️
Jemsi ndo aliyeandika barua jmn😂😂
Wanaosemaga wao ni team Korean vip na hii mnaona mbayaaa ??? Imenikamata sanaaa kiukwelii
Viazi zitam mpaka wame sahau kweda shamba😂😂😂😂❤❤🎉🎉🇰🇪
tamu sanaaaaaaa
Hata km nimechelewa lkn nipo❤❤❤
Duh Gabo na Kulwa Kikumba wanajua sana
Saaana 👏🏽👏🏽
Waigizaji wanapaswa kumuiga huyu Mwamba hanaga movie mbovu,,,,Kama usha wahi angalia Zouzuba Like hapa
Good
Angalau iwe mara 2 kwa week juma 5 na ijumaa itapendeza
Hiyo familia ya kina tina imekuwa kama mabongo zozo
Wanajua kupangilia movies