Single FATHER is lost after his Only GIRL started to CHANGE//BabaOlivia Ep 07

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #BabaOlivia ama #gabozigamba ana anza safari ya kihisia ya baba mpendwa anayejikuta akichanganyikiwa na kupotea wakati binti yake pekee anapokomaa na kubadirika. Shuhudia wakati halisi na wa kweli anapojitahidi kuelewa mabadiliko katika uhusiano wao na kujifunza jinsi ya kukabiliana na sura hii mpya katika maisha yao.
    Kutoka kwa siku za utotoni zisizo na hekaheka,ugumu na pirika za ujana, Mpaka kwenye maisha mapya yenye mtazamo na hisia mpya, Episode hii ina angazia uzuri wa upendo usio na masharti wa baba pamoja changamoto za kulea mtoto wa kike. Jiunge nasi kwa hadithi ya kugusa na inayoweza kueleweka kwa kila mzazi na mtoto.
    Tazama jinsi baba anavyotafuta ushauri, kufanya makosa, na hatimaye kukua pamoja na binti yake, akigundua kwamba uhusiano wao unazidi kuwa na nguvu kupitia kuelewa na kukubali. Usikose mfululizo huu wa hisia ambao utakufanya uone thamani zaidi ya safari ya uzazi.
    ......................................................................................................
    In this heartfelt episode of Baba Olivia Series, we dive into the emotional journey of a loving father who finds himself confused and lost as his only daughter blossoms into maturity. Witness the raw and honest moments as he grapples with the changes in their relationship and learns to navigate this new chapter in both their lives.
    From the innocent days of childhood to the complexities of adolescence, this episode beautifully captures the essence of a father's unconditional love and the challenges of letting go. Join us for a touching and relatable story that resonates with every parent and child.
    Watch as the father seeks advice, makes mistakes, and ultimately grows alongside his daughter, discovering that the bond they share only strengthens through understanding and acceptance. Don't miss this emotional rollercoaster that will leave you with a deeper appreciation for the journey of parenthood.
    Don't forget to like, comment, and subscribe for more! 💪👧❤️
    For business:
    mwakajumbafilms@gmail.com
    / henrymwakajumba
    #BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation

Комментарии • 953

  • @PatrickMua
    @PatrickMua 3 месяца назад +252

    Ila mwalimu ni mrmbo sana nipeni likes kumi jameni kwa kumsifia mwalimu

    • @bongetimwa4948
      @bongetimwa4948 3 месяца назад +8

      Wacha like hata mahari tunaku support

    • @UmiMarya
      @UmiMarya 3 месяца назад

      @@bongetimwa4948 😂😂😂

    • @MwanashaSuleiman
      @MwanashaSuleiman 3 месяца назад

      ​@@bongetimwa4948😂😂😂😂😂

    • @johnkamira2236
      @johnkamira2236 2 месяца назад +1

      Yes she’s pretty beautiful

    • @KineBoe-f9f
      @KineBoe-f9f 2 месяца назад

      Upati k2

  • @raymondzachariah-xr4ys
    @raymondzachariah-xr4ys 3 месяца назад +149

    Jaman wanaotamani Baba Olivia Amuoe mwalimu wa Olivia weka makipa mengimengi hapa

  • @OmariAbedi
    @OmariAbedi 3 месяца назад +106

    Kwa ambao wanatamani kumjuwa mama olivia gonga likes nyingi ❤❤❤

    • @mlimatvchannel4896
      @mlimatvchannel4896 3 месяца назад

      nataka nimjue

    • @Bonykarupat
      @Bonykarupat 2 месяца назад

      Mmi hapa nakuwatch nikiwa mombasa Kenya 🇰🇪

    • @JohnTitho
      @JohnTitho 2 месяца назад

      Mwalim mwalim mwalim becaful...

  • @UmiMarya
    @UmiMarya 3 месяца назад +92

    Kazi mzuri sn wanaotaka maalimu na baba Olivia wawe pamoja wagonge like nyingi apa

  • @zuberally9351
    @zuberally9351 3 месяца назад +53

    Tunao mkubali Olivia gonga like

  • @StibaMaiko
    @StibaMaiko 2 месяца назад +23

    By Mr love hii tamthilia jaman ina maudhui mazuri wanaokubali gonga like

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 3 месяца назад +30

    Igiza ya huyu mtoto kama lulu Michael wa zamani

  • @Allankibweja
    @Allankibweja 3 месяца назад +79

    Kwa ambao wanatamani itoke yoteee kwa pamojaaa naomba tujuane kwa like tafadhali🥹

    • @estherpaul3864
      @estherpaul3864 3 месяца назад

      Hata tukijuani haiwezekani😢

    • @rilianwillium
      @rilianwillium 3 месяца назад +1

      Io mara kwa wiki wanatukatili sana jmn at least iwe siku 3 tusipate tabu kuunganisha matukio 😂

    • @mlimatvchannel4896
      @mlimatvchannel4896 3 месяца назад

      hahahahahahahahaha ...kwelii itoke full

    • @mlimatvchannel4896
      @mlimatvchannel4896 3 месяца назад

      mambo mengi wasitupe headache 😏😏

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune5294 3 месяца назад +36

    Tuzo ya Olivia.........🎉🎉🎉🏆🏆🏅🏅

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 3 месяца назад +42

    Njooni huku olivia amekuwa vigelegele 🎉🎉🎉🎉

  • @AsherSaydd-bo7zi
    @AsherSaydd-bo7zi 3 месяца назад +42

    Yani gabo umu ka act km baba yangu❤❤❤ Allah mlinde baba yangu❤

  • @marwajoseph1493
    @marwajoseph1493 2 месяца назад +4

    Aseeee mm sina cha kusema zaidi ni moja ya bonge la tamthilia asee mmetisha ina maudhui fulank hivi

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 3 месяца назад +41

    Hii movie napenda sana ila mnachelewa sana🎉🎉

    • @Habibuyahya
      @Habibuyahya Месяц назад

      Wengine ndo twaiona leo aty😊

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 3 месяца назад +55

    Taem Strong mkowapi sijaona comment zenu 😢

  • @ndayisengaamissi6102
    @ndayisengaamissi6102 3 месяца назад +29

    Yaani toka nizaliwe ndo napata Kuona Movie kali yenye maadil mazuri na mafunzo yenye kutafakarika kama hii❤❤❤Allah awawekeeni na awape nguvu na maarifa zaidi ili muendelee kutupa vitu adhwim ❤❤nawapendeni kwa ajili ya Allah

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Месяц назад +2

    Michezo mibaya hutakiwi kucheza baba olivia kastaki hohohoh mambo ya madang dang

  • @ClausSawala-dn9bd
    @ClausSawala-dn9bd Месяц назад +5

    Kwanini unaniita Mwalimu "Kwan nmewahi kukufundisha" what a statement 🌹🌹🫂🫂

  • @Erastusbaba
    @Erastusbaba 3 месяца назад +18

    Episode Moja kwa Wiki ni Ukatili, Acheni kutukatili Jamani.... Ikiwezekana Mwe mnaweka Kila siku!

  • @officialdon1922
    @officialdon1922 3 месяца назад +24

    Actually nilikuwa sifatilii movie zakibongo Ila iyi kuna siku nilijichanganya kuichek daah yani kila ikitoka nawai kuichek movie inaakili sijuwi it Aisha je Iła big up kwa yeyot alie shiriki natumain amto tudisappointe

    • @037corgj7
      @037corgj7 3 месяца назад +1

      Nilijua niko mwenyewe

    • @goodluckmoshi5544
      @goodluckmoshi5544 2 месяца назад +1

      Daah me ndonimekamatwa leo😂😂 yaan ep mpk ep

  • @Millicent-u6q
    @Millicent-u6q 3 месяца назад +18

    Kuna wale wenye tulifika hiyo hali na hatukukua na mtu wakutuelekeza . Ilibidi tutumie elimu ya darasani kujikimu

    • @emmanuelkato2375
      @emmanuelkato2375 2 месяца назад

      hongerni sana hakika mliyashinda yote.....

    • @redemptervictor5006
      @redemptervictor5006 2 месяца назад

      Mara nivae pedi bila kutoa karatasi yake ya juu😂😂😂no Mara waaaah! Ushachafuka😢😢😢

    • @SophiaWaise
      @SophiaWaise Месяц назад

      Daaaa ilikua ni kitu kigum kweli​@@redemptervictor5006

  • @modestking8764
    @modestking8764 3 месяца назад +12

    hapo ndo utajua ualimu ni kipaj mwamba kaandaaa na somo na michoro juu namna sasa kueleza 😂😂 kubal tu umletee Olivia mama Kwanza Janet kachoka kuitwa mwalimu

  • @ContentOmbreSky-ir6kl
    @ContentOmbreSky-ir6kl 2 месяца назад +2

    Jamani mwenzenu nano gewa na Baba Olivia kwaswala lakumuelimisha mwanae 😀🥰🥰🥰

  • @brodeoofficiel
    @brodeoofficiel 3 месяца назад +30

    My peaple from Rwanda Burundi naomba like zenu kama tupo apa pamoja kwa Baba olivia ❤❤🇧🇮🇧🇮🇷🇼🇷🇼❤❤

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 3 месяца назад +26

    Leo nimesaau kuomba like

  • @BenbossMunezero
    @BenbossMunezero 3 месяца назад +13

    Baba Olivia tunamupongeza sana sisi tuko Burundi Rugombo tunamufatiliya sana❤✌

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 3 месяца назад +25

    Mapenzi ya uyu jamaa ni makali kweli tunatakiwa tuwe ivi wanaume

  • @Dontatv255
    @Dontatv255 3 месяца назад +10

    Kazi nzuri sana ❤

  • @DevotaKazingoma
    @DevotaKazingoma 2 месяца назад +2

    Movie nzurii sana inamafunzo balaa

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 месяца назад +12

    Baba na mtt leo nimecheka km mjinga😂😂😂.nani anaamini anaeandika barua ni J ?.Baba Olivia muoe mwalimu mwanao atapata furaha sana

    • @anisiatabu2768
      @anisiatabu2768 3 месяца назад +1

      Hahahaha ata mm nimeshituka nahis n j nd anaandika zile barua

    • @DinahNish-bm9sr
      @DinahNish-bm9sr 3 месяца назад +3

      James linampenda olivia😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 месяца назад +1

      @@DinahNish-bm9sr umeona alafu anasema katumwa

    • @ancykimario4824
      @ancykimario4824 3 месяца назад

      😂😂

    • @NeemaStephen-oe4ww
      @NeemaStephen-oe4ww 3 месяца назад

      @@DinahNish-bm9sr 😂😂😂eti linampenda 🙌🙌

  • @elizabethyohana9808
    @elizabethyohana9808 3 месяца назад +14

    Tanzania naombeni likes zenu❤

  • @perajiampipi4473
    @perajiampipi4473 3 месяца назад +11

    Namcheka katibu😅😅😂 mbn Kawa mpole ghafla 😂

  • @justinog3105
    @justinog3105 3 месяца назад +11

    Mi nimeona maoni yetu mnaenda kuyafanyia kazi because very soon tutaona Gabo na mwarimu wakiishi pamoja ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @AbuuUnais
      @AbuuUnais 2 месяца назад

      Usifungue cord brow acha WATU wapate utam taratiibu

  • @KhairathLwoga
    @KhairathLwoga 3 месяца назад +7

    Baba Olivia muoe madam
    Madam mwenywe anakuelewa ila anaona Soo kukuanza 😂

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 3 месяца назад +51

    🧭🤳 Nimewahi leo kutoka Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 PEMBA CariaCo ❤️❤️🧿 lazima tuwe na haki sawa kwa sis sote

    • @Neema-m6s
      @Neema-m6s 3 месяца назад +2

      Maua yako 🎉

    • @mrlegend7641
      @mrlegend7641 3 месяца назад +3

      Me too I'm from Mozambique Cabo Delgado, Nangade.

    • @ukhtymwana40
      @ukhtymwana40 3 месяца назад +4

      Kumbe Msumbiji kuna pemba pia 😅😅

    • @OmarAssira
      @OmarAssira 3 месяца назад

      Ndio msumbiji tunao Pemba pia😂😂😂❤❤❤​@@ukhtymwana40

    • @OmarAssira
      @OmarAssira 3 месяца назад +3

      Não á estresse

  • @Paschlmarco
    @Paschlmarco 3 месяца назад +13

    kamoment furn hiv..
    Ety,,Kwanini unaniita mwalimu, kwani nishawahi kukufundisha ww🤗😁

  • @ZakiaLilai
    @ZakiaLilai 3 месяца назад +10

    Mwalimu wa Olivia namtazama kwa jicho tofauti kabisa. Huyu mama ni mzuri sana

  • @Voxmediatz
    @Voxmediatz 3 месяца назад +15

    Set Designer apewe Maua yake 🔥🔥🔥

  • @bettykihwele7713
    @bettykihwele7713 3 месяца назад +13

    Namtazama baba Olivia, natafakari na wababa wengine kwneye Jamie, mbona kama kuna upungufu wa upendo kwa watoto 😢😢

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +10

    Arthur amuoe madamu wa Olivia please

  • @OfficialDanny-p7w
    @OfficialDanny-p7w 3 месяца назад +3

    😅😅😅😅😅 duuh gabo bwana. Eti mamb ya madang,i dang,I..........😅😅😅

  • @joseymhina5025
    @joseymhina5025 3 месяца назад +11

    mko vizuriii jamaniiiii safiiiii, ila katibu ana jeuriii😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @MartinKhizzer-bi4gw
      @MartinKhizzer-bi4gw 3 месяца назад

      Katibu nimemkubali kawa chamba kijiji kizima ..😂😂 mzee naye hakumuacha kijiji si cha baba ako😁

    • @Ramlat-lv7uf
      @Ramlat-lv7uf Месяц назад

      😂😂😂😂 kanichekesha sana

  • @MwalwakaMwalwakaJr-pq7yi
    @MwalwakaMwalwakaJr-pq7yi 3 месяца назад

    Olivia anakitu nahisi anapita njia uliopita gambo mpaka hapo ulipofikia

  • @ShedrackBishaza-qd4vq
    @ShedrackBishaza-qd4vq 3 месяца назад +18

    Kazi nzur sana hiii mpaka naona raha ya bongo movies 🎉🎉🎉🎉

  • @AloniMdenye
    @AloniMdenye 2 месяца назад +2

    Unajua mwalimu n mrembo sana au nyie mnaonaje😂

  • @givenessemmanuel3463
    @givenessemmanuel3463 3 месяца назад +12

    When will baba Olivia and teacher fall in love 😂I can’t wait

  • @SalmaRandu
    @SalmaRandu 2 месяца назад +1

    Aaa jamani nawapongeza sana baba Olivia na mwalimu i am watching from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwakaathuman5637
    @mwakaathuman5637 3 месяца назад +5

    Baba Olivia hata mm namwambia mwalimu Janet ni mzuri piga ndoa ya mkeka😂😂😂

  • @DivinefrancoiseIngabire-ok1mc
    @DivinefrancoiseIngabire-ok1mc 3 месяца назад +2

    Olivia hataki kuwa mtu mzima😂😂😂

  • @UNKNOWN-np7qp
    @UNKNOWN-np7qp 3 месяца назад +5

    Ila olivia anaonekana muongeaji even kwenye real life

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 3 месяца назад

      Umeonaaa eeh😅😅

  • @IreneMsacky
    @IreneMsacky 3 месяца назад +17

    James anaongea vizuri nyie,, wanaomkubali tumpe likes🎉✨🎉❤️❤️

  • @MiriamShani
    @MiriamShani 3 месяца назад +7

    Oliva umenifanya mpk nimeliaaa😢

  • @ZawadiLuhebula-he5vt
    @ZawadiLuhebula-he5vt 3 месяца назад +1

    Ongera zako bro unafanya kazi kwakutufunz jisi yakuwa baba bora kwa wanao . Naomb katik season inayo Kuja umuowe madem ili mamb yakehe saw kbs

  • @sbaam5890
    @sbaam5890 3 месяца назад +5

    Olivia kwa umri wake na uhusika aliouvaa 🙌🙌🙌 kipaji kikubwa Sanaa kutoka kwake...... TUKITUNZE KIPAJI HIKI NA AENDELEE KUPATA NAFAS ZAID NA ZAID

  • @ZaidiShabani-q6y
    @ZaidiShabani-q6y 3 месяца назад +2

    Mwalim mbona umewaacha wanafunzi wanaondoka ikiwa oliva analia ulipaswa kuuliza kama mwalim hapo Nini kinaendelea sio kusubir baadae Wala wakati mwingine

    • @olivanooraladin5436
      @olivanooraladin5436 3 месяца назад +1

      We zimo kweli bila ashughulikie inshu ya Olivia kwanza we unataka ahangaike na mwanafunzi ambao kesho Yupo nao pia

    • @ZaidiShabani-q6y
      @ZaidiShabani-q6y 3 месяца назад

      @@olivanooraladin5436 hazimo kwamfano niww unakita mtt wako wakike kunavijana wawili wapo nae alafu yeye analia Tena vijana wanakuonesha mashaka mashaka ushindwe kuuliza kwamfano wangekua wamemchoma kisu au kumbaka kwaiyo mngeanza kazi mpya yakuwatafuta nakutafuta ushahidi ikiwa umewakuta ila sikulaumu ww mwanamke

  • @LugyPlan
    @LugyPlan 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂 we ni mzur bhana elewa

  • @NextLevel-fg5ph
    @NextLevel-fg5ph 2 месяца назад +1

    Uyu mtoto Olivia anajua hadi Ana kera mpaka gabo haoni ndani dogo yupo vizuri saaaanaa

  • @JonathanRichard-sh9zk
    @JonathanRichard-sh9zk 3 месяца назад +5

    Mwamba unajua ndoo maana mm bongo hii napeda kuangalia movie 🎥 zako kaka tuzo zote zako mwamba

  • @josephelemash
    @josephelemash 3 месяца назад +13

    Ila atakama inashele mnafudisha vizurii. Kabisa. 🎉🎉🎉 Alf kingine Baba Olivia jiogezee kWa Mwalimu.

    • @fatumahossein754
      @fatumahossein754 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @ancykimario4824
      @ancykimario4824 3 месяца назад +1

      Una macho wew 😂😂😂

    • @josephelemash
      @josephelemash 3 месяца назад

      @@ancykimario4824 kwafile naona Mwalimu anamuitaji Babake Olivia.

    • @VILLAMEDIA254
      @VILLAMEDIA254 3 месяца назад +1

      Ameshaanza , hatua kwa hatua🤣🤣🤣

    • @josephelemash
      @josephelemash 3 месяца назад

      @@VILLAMEDIA254 Yah. Atie bidii. Maana Mwalimu. Achampenda.

  • @JanethSanga-lv8pv
    @JanethSanga-lv8pv 3 месяца назад +5

    Kiukweli iih tamthilia Olivia ndo kanifanya niifatile nimekapenda bure❤❤

  • @SixTechlmt
    @SixTechlmt 3 месяца назад +18

    Niko tayari mjengoni, nipeni likes za kutosha

  • @iddibaruani5615
    @iddibaruani5615 3 месяца назад +6

    baba olivia unazingua kwani huwezi kushusha voko. kondoo kashaelewa bado kuchinjwa tu

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 месяца назад

      Watu mna maneno 😂😂😂😂😂

  • @MWENDA2020
    @MWENDA2020 3 месяца назад +6

    Athar, Janeth and Olivia you are so amazing dear actors, this series is so nice full of moral, you can watch together as family, what i want to tell you our dearest friends just release even two episodes per week 🥰🥰.
    all in all mr.GABO since Bado natafuta up to day you are to Hot🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 may god blessings be up on you.
    SUGESTION FOR THE TITLE OFTHE SERIES MAY BE "A PEFECT SINGLE FATHER"🔥

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  3 месяца назад

      Asante sana, Shukran kwa kufuatilia!🙏🏾

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 3 месяца назад +3

    Athur kausha usije kufanya chochote kwa uyu mwalimu
    M namalengo nae

  • @Jahra2023-gm1qp
    @Jahra2023-gm1qp 3 месяца назад +5

    Gabo amuoe mwl

  • @mrkimlee7121
    @mrkimlee7121 3 месяца назад +12

    Huyu ticha ananipa nyege kinyama aiseee 😢

    • @FelixMassawe
      @FelixMassawe 3 месяца назад +2

      Umalaya tuu kuoga hakhaaaa 🤣🤣🤣🤣

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 3 месяца назад +2

      Hunizidi mimi

    • @margarethmlaki8348
      @margarethmlaki8348 3 месяца назад +3

      @@FelixMassawe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 niachani jamani sijawahi kucoment chochote ila leo imenibidi

    • @eliaogesa1824
      @eliaogesa1824 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂 una pepo la ngono

    • @AbdalahSadiki
      @AbdalahSadiki 3 месяца назад

      Unanyege za paka

  • @HOMEPRINTING-k4w
    @HOMEPRINTING-k4w 3 месяца назад +5

    For sure Olivia anajua saana kucheza na kamera maana anakuwa kama vile hamna kamera mbele yake very reallife

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 3 месяца назад +5

    Baba olive funguka jmn 🤣

  • @AtupeleMwakalinga
    @AtupeleMwakalinga 3 месяца назад +3

    Wekenia ata mara mbili per week jamaniii😢

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 3 месяца назад +10

    Wa 5 ❤ team strong piteni hapa tutiane moyo

    • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
      @ZuleykhaIsmail-rc5ly 3 месяца назад

      Kweli kutiana moyo kwa maisha ya hivi viumbe 😂😂😂

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 месяца назад +4

    Nzur sna jmn nipenda Olivia na baba ake 😅😅❤ hongereni waigizaj na waandaj kaz nzur sna ila mwalim si uwe tu mama Olivia 😅🎉

  • @dr.topmanyotasundayrutasho5205
    @dr.topmanyotasundayrutasho5205 Месяц назад +3

    Nice movie. Baba Olivia you act wonderfully.

  • @abelremmy9223
    @abelremmy9223 3 месяца назад +4

    Mimi ninaamini hii kazi wakiitangaza zaidi itapata watazamaji dabali ya dabali kazi nzuri kwa waandaaji

  • @DalmondLaurent
    @DalmondLaurent 2 месяца назад +4

    Ila mwalimu ni mrembo kweli anajua kurimbua pokea maua yako mwalimu ❤❤❤

  • @RobertLaizer-tk8ym
    @RobertLaizer-tk8ym 2 месяца назад +2

    Mwalimu nimempenda sana ❤❤❤

  • @LameckMwansa-bb7fj
    @LameckMwansa-bb7fj 3 месяца назад +4

    Bonge la movie 🎬 yani 😢du gabo zigamba unajua kaka 👏👏

  • @jasphonejoseph2107
    @jasphonejoseph2107 3 месяца назад +8

    Olivia is a wonderkid congratulations to her,Gabo zigamba,kama kunakitu unatakiwa ukifahamu wewe ni mmoja ya waigizaji Bora kuwai kutokea katika uso huu wa Dunia mwenyezi mungu asimame na wewe siku zote za maisha yako... Legend Gabo Zigamba

  • @HassanSafari-uy9ih
    @HassanSafari-uy9ih 2 месяца назад +3

    IYI SINEMA NI ZAIDI YA EDUCATION YA MZAZI KWA MWANAYE GABO NOW YOU ARE THE BEST IN EAST AFRICA WHEN A SEE YOU I REMEMBER MY FAVORITE ACTOR KANUMBA 😓

  • @elishabrand9625
    @elishabrand9625 3 месяца назад +13

    Like zikiwa Nyingi naweka nyingine chap. like coment hii

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 3 месяца назад +4

    THIS MOVIE🙌🙌🙌NETFLIX NEED KIND OF THIS

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 3 месяца назад +4

    Mwalimu janet ni pisi nyie,kama hamjaona hcho kigauni wew sio lijali

  • @AmeRashid
    @AmeRashid 3 месяца назад +3

    Dah walah mnatisha good story inasisimua na inavutia sana❤

  • @monysanga7516
    @monysanga7516 3 месяца назад +1

    Haya baba Olivia kazi iendelee
    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @g.m166
    @g.m166 3 месяца назад +5

    Best series forever. anae bisha na abishe

  • @revocatuskahabi7395
    @revocatuskahabi7395 3 месяца назад +4

    jaman si itoke yote aseee maana sio kwa Utamu wa story hii alooo🎉

  • @mrwandamrwanda3751
    @mrwandamrwanda3751 3 месяца назад +1

    Mpo vizuri jmn

  • @fatumafadhili4701
    @fatumafadhili4701 3 месяца назад +8

    Gabo is such a good father, every woman dream to get this kinda man jaman😢

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 3 месяца назад +4

    Mwalim na Baba Olivia wot wameingia katika penz Bado kufunguka tu

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @abbydanny8721
    @abbydanny8721 3 месяца назад +4

    Haf baba Olivia wanapendan na mwalim janet

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 3 месяца назад +5

    Hii tamthilia naipenda Sana daa natamani iwe kila siku

  • @Mobilegames807
    @Mobilegames807 3 месяца назад +7

    The past 4 years nilkua naangalia movie na TV shows kutoka mbele ila Iii movie imefanya nirudi nyumbani 💯

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 3 месяца назад +6

    Baba Olivia si useme tu🤣🤣

  • @AbduliRamadhani-is8db
    @AbduliRamadhani-is8db 3 месяца назад +5

    Sijachelewa sanaaaa heshima kwako gabo mungu akulinde

  • @dalkenmalonje100
    @dalkenmalonje100 3 месяца назад +4

    Poxaaaaa filamu hi nimeipenda sana. Boy from moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Mueda

  • @evasstafford2033
    @evasstafford2033 3 месяца назад +3

    Naisubiri episode 8 kwa hamu kubwa aisee.
    It gives a lesson kwakweli nice job.
    Muhimu tuu mama Olivia ajulikane kama hayupo basi madame Janeth awe wife kabisa aisee

  • @reginamichael-eh8yy
    @reginamichael-eh8yy 3 месяца назад +1

    Nimpend olivia 💖 jamn

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 3 месяца назад +3

    Hongeren sana jamani Mungu awaongoze ❤❤

  • @ElishahMwaisaka
    @ElishahMwaisaka 3 месяца назад +1

    Daah mechekewa sana leo ila olivia give up 🎉🎉 then plz make it. Two days per week plz mr@henry. Help us in this situation 😢😢 and then add time if two weeks fails add at least to 40 mints or even 50 mints plz plz

  • @AishFadh
    @AishFadh 3 месяца назад +4

    Movie nzr mpk raha jmn ❤❤❤ hizi ndio zinafaa ziwekwe kwenye Azam na Dstv

  • @Dimpocomedy
    @Dimpocomedy 2 месяца назад +1

    Safi sana tasnia inakuwa kwa vipaji kama hiv

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 3 месяца назад +4

    Hii hali ya Olivia inanikumbusha mm nilipatwa nipo kwenye daladala halafu nilivaa skirt nyeupe Subhana Allah 😢 ilikua kizaa zaa

    • @henrymwakajumba
      @henrymwakajumba  3 месяца назад +2

      Pole tuambia ulifanya nini kujisitiri?

    • @ingabireshakira9631
      @ingabireshakira9631 3 месяца назад +2

      @@henrymwakajumba em nenda uko😏 kalete muendelezo kwnz ndo uje na maswali yako

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 3 месяца назад

      @@henrymwakajumba kwa muda huo nilikua sijui sababu mara ya kwanza kidogo tuu ilitoka na kuacha doa niliposhuka kuelekea kwa dada yangu mdogo nilikua naenda kuchukua vifaa vya shule kwa ajili ya kujiunga na form one nilipofika ndio aligundua na kuniambia nikambishia na nilikua mkali sana 🤣😔 akaniacha kampigia dada mkubwa simu maana ndio nilikua nakaa nae niliporudi nae akaniuliza ukali ni ule ule maana siku hiyo nilitakiwa nisafiri kwenda kijijini kwenda kusoma ndipo wazazi wangu walipo mpaka nilipofika nyumbani mama nae kumbe anataarifa tiyar nae nilimbishia kisha mama alikagua nguo niliokua nimevaa na akagundua baadae ndio alinielekeza namna ya kujistiri.Namuomba Allah azidi kulipamba qabri lake mama yangu 😭nour ala nour na amsamehe makosa yake Allahumma Aamiyn

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 3 месяца назад

      @@ingabireshakira9631 kwan muendelezo wewe hujui ni ijumaa hadi ijumaa au unajizima data

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 3 месяца назад

      Yalinikuta nikiwa shule wee nililia mimi😂😂😂😂😂😂 mpka amani ikaisha