Dharau zimezidi sasa, hahaaa haaaa mpk, Una usiri gani wewe! Kila ck unapost mambo ya familia yako,, mpk chumbani ndio umefundwa hivyo!? Jiangalie alf mkirogwa mnasumbua wachungaji.
Wanazaa zaidi ya hamsini inategemea afya yake uzazi. Nyie msiokula health food ndio mnakoma kuzaa mapema watu wanazaa hadi 60yrs old. Mnakula chips kuku wa sindano unadhani utazaa ukiwa na miaka 55.
Huy mma p tang aolew amekuw na dharau ya kuwakashif wezak siy poa mma p
Matured wolper🏅 amnaa mchagaa mjinga ata mmoja 😂🤌
Huyu Mama anauliza maswali ya ovyo Sana,wolper anasema anamsapoti kajala,yeye anasema ndogo ya kajala ni ndogo big up wolper
Tena huyu ndo usiseme bora kajala watoto wamekuwa watoto cjui nani ajaitwa mama
Mimi nacho fahamu ni kwamba hawa waigizaji miaka yao siku zote huaga haipandi inabaki pale tu au ishuke
Yupo vzr huyu dada amekuwa kiukweli
Hakusema baya mbona ila waandishi tu wanaandika kiugombanishi
We ongelea yko tu ata ww umefanya machafu mengi sana na yapo pia
@@Majer-wf6np hapo sasa mana ckuiz anajifanya yy hajawah kukosea nakujifanya alilelewa kimaadili sana
Ana lolote anajua tumesaau machafu yake
Kwel aache kujiona ni mwema sana
@@hemedyawadhi2935kwenda uko I can’t put Wolper on list of them woman who blabla too much Wolper ni mtu anae jieshimu siku zote
Ni kweli
Acha kelele mbona majibu yako hayako sawz
Acha uongo una uchafu mwingi na mitandao haifutiki jee itakuwaje kwako😊😊😊😊
Weka mungu mbelw
Kichwa cha habari na maelezo yake tofaut......nyie ng'ombe muwe makini na taaarifa zenu na heshima ya mtu....pumbavu
Huyo ndo gambe
Loshoroo itakuwapo?
Eeeh jaman mstirini tena inatosha
Fanya mazoez plz umenenepa sn
❤❤❤❤
Mbona kwenye ex kabaa😅😅😅😅na bado yupo nae wote wapo china😮😮😅😅
Dharau zimezidi sasa, hahaaa haaaa mpk, Una usiri gani wewe! Kila ck unapost mambo ya familia yako,, mpk chumbani ndio umefundwa hivyo!? Jiangalie alf mkirogwa mnasumbua wachungaji.
Akili kubwa
Wolper mdogo sio mkubwa
Ww nae lione nyokoo tu pumbavu zako nahilo komwe lako mpuzi ww shezi zako😋😋
Wee muandishi mchanganyishi
Miaka 40 wakati saizi una miaka zaidi 40 sema ukifikisha 50
Sasa ukifika 40 si ni una 38 wewe ndani ya miaka miwili utaweza yaan anavyosema nikifikisha 40 utadhani yupo early 30+😅😅😅😅
Miaka miwili ni mengi kwenye uhai
Hahaha nimeamka
😂😂😂😂
😝😝😝😝😝😝😝😝
Soma English BUREEEEEE utatoboa ingia Official Teacher kasome
Ahahahaha yan awez kabisa bora aongee kiswahil
Wolper ni tapeli tena wa ulofa
Sana yaan huyo dada sitomsahau mengine tunakaa kimya tu
Mchaga huyo
Unamiaka zaid bhana kama 47 hapo
Angekua miaka 47 hangeweza kupata watoto pengine 38
Watu wanazaa na 50 we wawapi
Wanazaa zaidi ya hamsini inategemea afya yake uzazi. Nyie msiokula health food ndio mnakoma kuzaa mapema watu wanazaa hadi 60yrs old. Mnakula chips kuku wa sindano unadhani utazaa ukiwa na miaka 55.
Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa