People have some respect kuwa mzee is not a crime any human being atazeeka tu labda ufe so leave her alone she's beautiful and healthy keep it up Kajala ❤you
I think she's been disrespected because of her lifestyle and behavior does not go with her age , whow can a mother and daughter be prostituting together it's very embarrassing .
Hajazeeka hata kidogo, Mimi najuwa wazee wanafananaje. Wazeee Wana miaka 70 na sio 40. Yani kajala ana miaka mingine 40 ya kuishi. Tatizo la watu wanapenda watu wawe na tabia zao wao. Mungu anampenda hivyo hivyo ulivyo hiyo inatosha.
Haya maisha huwa sio Sawa ukishakuwa na mwanamke au mwanaume ukiachana nae sio vizr kutangza mabaya ya MTU ambae mmetumiana wote kwahy sio pouwa nimtazamo wangu tu lakini🤸🤸🏃
Ifike mahali tuwaheshimu wanaume waliowahi kutuvua chupi. Ipo faida ya kukaa kimya jmn...kwann ushindane na mwanaume aliyefanikiwa mpk kukuvua chupi....❤
Mimi naamini kajala ua a good mamy still, hata ufanyeje mamy is mamy to her daughter na naamini Paula she will be better than u now why wameface challenge, after solving hiyo challenge watakuwa better than other women, belive this Paula is good women .
Ila harmonize kamu trendisha Kajala tofauti na mwanzo na ndo ilivo Paula Kwa Rayvany Paula alikuw hajulikan kabsa ila wakijulikana wanawasahau walio wakuza majina
Sasa hapa waandishi mnaharibu. Mmeitwa kutangaza biashara ya pedi Kwa ajili ya mabinti zetu, lakini mmehama Kwa kutaka kujua maisha ya kajala, hakuna journalism hapa
Huyu ni suoer woman, haitaji ndoa kuishi maisha yake. Kupanga ni kuchagua, uzuri yeye ana mind maisha yake. Mzeee mzeee Ana uzee gani wazee wana miaka 70 na sio 40
Wacha YESU arudi haraka social media imeharibu wengi juu naona kila mtu anaringa na kujipendekeza kwa watu na kujiona wa maana kuliko wengine,Mungu okoa watu wako😢😢
Ilaa tuseme tyuu ukwel kajala anajutia kuachana na konde coz alikuwa anauwezo wakupata pesa yamatumiz Bila kuhangaikia na alikuwa na MTU mwenye nguvu anayeweza kumfikisha hata kilelen😂 hata kama Hakuwa na mapenz nae ili kama alikuwa ana mjali it's the best things ss wanawake mwanaume akiwa ana kipato na anakujali it's all about Swala la sex na vingine Ni extra
Nyie hao wanatufanya wamama then wanawafata watoto wetu WASHA TAA hili ni funzo dogo tu ulimwengu ujifunze,,,magari na pesa unalia je utu wetu wamama wa kitanzania kutudharirisha kwa kulala na mama na mwana unafaaa???Igeni kupitia ma superstar wenu then mkome uasherati
Tatizo nililo liona hapo ni kuto jitambua ama kutotambua ni wakati gani uongee nn am kuongelea nn kwa wakati upi, yupo kwenye tangazo ama mahojiano ya pedi howcome hizo vitu zingine,,, hakupaswa kuvijibia alikuwa sahihi.
Heeeee kawa mzeee hivyo lo asee hujaacha kubleed mbona umezeeka hivyo umejaliwa nini uturuki hio na mnuko tu maana hio barabara wamepita wengi sana ,poo puuu pweee
Wanawake wazee muache mahisiano ya kimapwnzi Na watoto rika ya watoto wenu. MUNGU alimuumba mwanaume kwenza hivyo Ni vyema mwanaume awe mkubwa Kwa mke.
Duh kama alimsaidia baba yako mzazi ndugu pungunza kmsema🙌🙌
🎉yes of course aliwahi ❤❤❤nimeipenda hiyo😂😂
People have some respect kuwa mzee is not a crime any human being atazeeka tu labda ufe so leave her alone she's beautiful and healthy keep it up Kajala ❤you
I think she's been disrespected because of her lifestyle and behavior does not go with her age , whow can a mother and daughter be prostituting together it's very embarrassing .
Hajazeeka hata kidogo, Mimi najuwa wazee wanafananaje. Wazeee Wana miaka 70 na sio 40. Yani kajala ana miaka mingine 40 ya kuishi. Tatizo la watu wanapenda watu wawe na tabia zao wao. Mungu anampenda hivyo hivyo ulivyo hiyo inatosha.
sasa miaka 40 ni mzeee🙄🙄🙄?
@@vanessastafford6426 thank you
Ni kwel kbx 🥰
Ila Kajala mzuri Mashaallah ❤
kajala sio mwanamke mzuri unajua anaweza kuficha mambo aliyoyafanya
Haya maisha huwa sio Sawa ukishakuwa na mwanamke au mwanaume ukiachana nae sio vizr kutangza mabaya ya MTU ambae mmetumiana wote kwahy sio pouwa nimtazamo wangu tu lakini🤸🤸🏃
Ushamba tu wawasumbua hawa
Sio vizuri kusema mtu vibaya na ukiangalia umesaidiwa nae vitu vingi ndo ushamba huo
Hawana maadili hao ni wahuni watupu wazinifu wakubwa hao
Kweli kajala age goo!😂 Check shingo lilivomsimama alitukomazia konde wetu😢
@@redemptervictor5006 mlevi mkubwa huyo badala atafute wa kumuoa akaacha uhuni amrudie mola wake. Mpka mwanae anazini tu bila ndoa
Mwanamke nikiongoz ❤nimependa majibu yako
Kumbe hamo anamfatilia kajala alijuaje kama hatumii range
Uko sawa mama... Imejibu kiutu uzima sana,, nakupenda
nilichopenda dada hajaharibu sana hali ya hewa, anawaza na kesho pia. amekua
Umejib vzur sana dada
😂😂😂yes of course aliwahi 😂😂❤ nimeipenda hiyo
Hapa daa k...ulikpnda kiasi...mapenzi yanauma
Kiboko ya Harmonize ❤️❤️❤️❤️
Kajala kapunguwa
Kajala kweli kashazeka picha nyingi zinaboreshwa lakini Leo ndo nimeona kashazeka
sasa kwani ukijaliwa kuishi miaka mingi unataka umri ushuke omba Mungu na wewe uishi miaka mingi tuone kama utazeeka au utarud utotoni
@@ikouwasi7644 nikushauri unyamaza kuliko kuongea sawa?
Kipi cha ajabu sasa
Hivi mna nini wewe hapo ulipo una miaka mingapi na mwakan utakuwa na miaka mingapi???
@@mwitaagness455 mwaka huu niko na moja mwaka ujao nitabaki na kipande
Watu badala kuuliza Mambo ya Luna Sanitary wanauliza maswali tofauti na walichoitiwa Hii Nchi Ñgumu Sana
Ww ndo hujaelewa kabla ya press alisema nitazungumza yooote Kwahy shida Iko wapi
Ni kwaajili ya kubust hiyo habari ya Luna
Ifike mahali tuwaheshimu wanaume waliowahi kutuvua chupi. Ipo faida ya kukaa kimya jmn...kwann ushindane na mwanaume aliyefanikiwa mpk kukuvua chupi....❤
@QueenLyimo chukua maua yako🙌🙌🙌🙌🤣🤣
totoo unaakili sana
Ukwel Toka moyon nitumie namba yako nikutumie Hela ya soda
Queenlyimo nitumie namba yako nikutumie vocha
Asanteniiiii kwa mauaaa...na chodaaaa
Kwaiyo kila kitu hamo alisema ni kweli basi sioni haja ya kumzungumzia vibaya kuweni na shukrani😅
Mimi naamini kajala ua a good mamy still, hata ufanyeje mamy is mamy to her daughter na naamini Paula she will be better than u now why wameface challenge, after solving hiyo challenge watakuwa better than other women, belive this Paula is good women .
Kajala there a women who understand u, ua a good mamy.
Kajitahid lakin hajajibu vibaya hivyo harmonize anaweza asilewe, ila akilewa leo jmn...tutaenjoy😅😅
Waandishi Apoo mpoo kwa Ajir ya Luna pads ayoo masuala ya Kondee ilibidi baadae nje na hapoo Aaaah mada nzima imehamia kwa konde na sio Tangazo husika
Dada anatesek vibaya mno 😂😂😂😂😂😂 Dunia hii inazunguka
Kajala mbona analikunja lisula sanaaaa khaaaa 😂😂😂😂
Anampenda Harmonize anjikaza tu masikini wewe sikia jibu la mwisho yes of course aliwahi 😂😂😂
@MagrethThobias-fm8bm hahahhaha yes ofcoz aliwqh hahaq
Namuonea hurumaaaa huyu Dada anajikazaa tuuu
Kama anataka kulia ivi😂
kazeeka
Sema kakonda kichizi😂😂😂😂😂
Kakonda kweli
sanaaa
Kabla ya hamo alikua anafaamika so kwel kwanza mm ni memfaam kwasabab ya konde
Smart move Luna…using trendy gossip to promote the product 👌
KAJALA❤
Shingo inaonesha ni mkubwa na sura pia mnatudanganya anaonekana mdogo ila kumbe zile filter 😂😂 ...
Na kwel hapa kawa mzeee
Mlitaka abaki 20 kila siku, na kila siku masherehekea new years, bila mama ako kuzeeka wewe usingekuwepo,
Serious huyu Ni mzee nimependa vile kijana alikula kifaranga...
mbona hata wewe mzee
Nakupenda
Maswali yamekuwa too personal sio lengo la press kabisa😂😂😂
My dear najua kwenye maisha kila moja anapambana kivyake lkn acha na maneno ya walimwengu angalia heshima yako na life yako
Ila kajara mzuri tumbo flat shep kiuno yuko vizuri kuliko sie wenye umri mdogo tuache wivu mzuri hapo ajavaa wigi kanyoa tu
Alaf kumilik range sii ushamba bali nimafaanikio naaa kingine aache unafki mwenye sifaa yake mpe
Fanya ulewe harmo utoboe
Hizo Luna ped ni nzuri sana
Ila harmonize kamu trendisha Kajala tofauti na mwanzo na ndo ilivo Paula Kwa Rayvany Paula alikuw hajulikan kabsa ila wakijulikana wanawasahau walio wakuza majina
Acha uongo nyie ndo mmezaliwa mwaka 2000 kajala kaanza kujulikana kitambo kabla hata huyo hamo wenu hajazaliwa
Vido vidox nakukubali sana
Wazinifu wakubwa nyote nyie hata hamuogopi mungu mmeyafanya mauchafu mengi tu kwakweli mrejeeni mungu wenu kwa kuyatupia mmeyafanya
Hongera yako wew msafi
@@MagdalenaMathias-lw5bh al hamdulillah nashukuru mola njoo Zanzibar wakusilimishe na upate mafunzo upate yajua mazuri na mabaya
Hivi kwanini waandishi wetu mnapenda umbeya sana,hongereeni ubalozi wake
Wateja wao wanapenda hvyo
Sasa hapa waandishi mnaharibu. Mmeitwa kutangaza biashara ya pedi Kwa ajili ya mabinti zetu, lakini mmehama Kwa kutaka kujua maisha ya kajala, hakuna journalism hapa
Kabisa
Proud of you mama P❤❤❤
Huyu ni suoer woman, haitaji ndoa kuishi maisha yake. Kupanga ni kuchagua, uzuri yeye ana mind maisha yake. Mzeee mzeee Ana uzee gani wazee wana miaka 70 na sio 40
Wamkome mwanamke wawenyewe miaka 40 ati Mzee sasa sijui wazazi wao watawaitaje
Mim napambana na BABA YANGU ANIPE URITH NIJARIBU GAME KWA KAJALA TUONE
Angekaa kimya angepungukiwa nini
Sema frida kaanza kuzeeka
Kajala kwel umekua mm nimeipenda speech yako sio vizur kuongelea mambo ya chumban uko vizur
Yuho ni mjinga sana kajala
Mmakonde kazinguwa sana
Hawa nap tumewachoka Kila sehem wao TU
To be honest tanzanian journalist please go to the point and ask a revelant question don't jump the bushes you should not attack and asking personal
mi nashangaa mtu amekuja presser ya pads inageuzwa kuwa story za kuachwa...these guys need to revisit media ethics
Mzee huyo
Wabongo amuwezi kutobowa tatizo mko wasenge
Wacha YESU arudi haraka social media imeharibu wengi juu naona kila mtu anaringa na kujipendekeza kwa watu na kujiona wa maana kuliko wengine,Mungu okoa watu wako😢😢
Jaman kajala uzeee uwooo
We ni kunguru hufugiki Kajala
Badala ya kuongelea pedi mmekomaa na maisha ya watu
Tbh with her facial expression she didn't like the question and she got a serious rage about his ex and yada yada..Anywho 😅
Dah filter shikamoo 😂
Ilaa tuseme tyuu ukwel kajala anajutia kuachana na konde coz alikuwa anauwezo wakupata pesa yamatumiz Bila kuhangaikia na alikuwa na MTU mwenye nguvu anayeweza kumfikisha hata kilelen😂 hata kama Hakuwa na mapenz nae ili kama alikuwa ana mjali it's the best things ss wanawake mwanaume akiwa ana kipato na anakujali it's all about Swala la sex na vingine Ni extra
Kweli ukikosa akili unabaki utatumia matako kuwaza wewe umetumia matako kuwaza ujinga
Munatuchosha kajala n harmo
Ukimuangalia vizuri Kajala utagundua kweli anafanana na age yake japo anapambana kuji-sichanisha😁😁
Umezeeka Ila unalazimisha
Mmmh me sikuamin nasubiri jeshi alewe atuambie ukweli😅
Nyie hao wanatufanya wamama then wanawafata watoto wetu WASHA TAA hili ni funzo dogo tu ulimwengu ujifunze,,,magari na pesa unalia je utu wetu wamama wa kitanzania kutudharirisha kwa kulala na mama na mwana unafaaa???Igeni kupitia ma superstar wenu then mkome uasherati
Wakwanza like
Kumekucha Kumekucha 😅😅😅😅
Aise,ameita waandishi wa habari ehh
Bibi sasa
Tatizo nililo liona hapo ni kuto jitambua ama kutotambua ni wakati gani uongee nn am kuongelea nn kwa wakati upi, yupo kwenye tangazo ama mahojiano ya pedi howcome hizo vitu zingine,,, hakupaswa kuvijibia alikuwa sahihi.
Hayo ya kutrend hajaja mjini ya Nini sasa,kwani umri wako na Harmonize mnalingana,we sikibibi long time ago
Heeeee kawa mzeee hivyo lo asee hujaacha kubleed mbona umezeeka hivyo umejaliwa nini uturuki hio na mnuko tu maana hio barabara wamepita wengi sana ,poo puuu pweee
Sijajua alitaka athaminiwe vipi kumbe, kama ni kuchepuka, zile kaz za wasanii lazma ukubali yote. As long as alkua anakuthamini
Ok lakini Hamo ndie Alie mrudisha kajala mjini nabila Hamo Paula Leo hii asingejulikana shukurani muhimu nduguzangu
Wewe au
Umezeeka mama sura na shingo kwisha habar huna lolote
Mwanamke kutafuta siyo kutafutiwa.
Napenda anavomjibu yule Kenge maneno alioyaongea tu no adding up some cooked stories
Ukumbuke kajala na mwanae ndio walianza acha kuropoka tu km huna meno ya mbele mbuzi ww
Kuusu iloo nikwel sisi wazee wa cuba. Tukishampenda demu atuangalii tuna poteza nn bali tunaangalia tunaingiza nn ivo password nikwel😊😊
Wanawake wazee muache mahisiano ya kimapwnzi Na watoto rika ya watoto wenu. MUNGU alimuumba mwanaume kwenza hivyo Ni vyema mwanaume awe mkubwa Kwa mke.
SIPENDI WATU WANAVOONGELEA UZEE AS IF NI KITU CHA AJABU SANA. HIVI NYIE HAMNA WAZAZI? AU NYIE HAMTOKUJA KUZEEKA? YAANI WABONGO KWA WIVU BHANA.
Yaan, utasikia flan mzee, utafikir yy alitoka shambani, wkt ana wazaz, ana dada, ana kaka, ana watoto wanakua, mapuuz
Ila Makonde kadi ya bank ni yako mwenyewe au mke wako sasa unamtuma kila mtu unategemea nin lazima wakulize😅
SURA ISHAGOMA,,,NYIE WA MAKAMERA NYIE 😀😀
Dah umaarufu ni mzigo
Nitawanga mkono
Dah leo ndo unaonekan age imeenda mgoz inashuka
Vile mishipa ya shingo inatoka huyu Yuko over 47 yrs....
Ila c alipotea kabla ya konde kumfufua
❤❤❤❤❤❤❤
Wanawake wamekosa haya kabisa siku hizi.
pesa hizi Mtihani.
Kakonda kweli
Huyu mwanamke ako over 45years ni makeup imekupunguza miaka but ukiwa minus makeup wewe ni shosho.
we ni mkenya kama mwanaume umeendika hivi lzm wewe choko 😂
@@ikouwasi7644 maanisha nn
@@ikouwasi7644 ukweli usemwe
Acheni ungese kwan akiwa over 45, wewe hutafika huko, ebu jaribuni kujua siku hazigandi
Wewe ni dada😂😂😂
Wanawake hawahitaji kuringa, mmesikia kuhusu pedi hapo?
Waandishi mic zenu hazisikiki
Kwa Nini anajibu hayo maswali? Mdhamini naye hayuko serious. Interview haihusiani na Luna pads
Mwamba akilewa tu kaisha😂
Hawa waandishi hata hawajui kuuzwa kwa bandari aseee
Kajala jaman kibibi nyie kwakwel tubu tuuuuu lakin anavyojifanya bado bint wa miaka 19😮😮😮
Kuna watu mnakazi kweli 😮