CHECHE ZA AHMED ALLY/RATIBA YA TIMU IPOJE?/MECHI YA KIRAFIKI /TIMU INAONDOKA LINI KWENDA LIBYA?
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
jaman wenzangu wana simba kabla ya yote tuombee timu yetu maana tuna madui ambayo wao kazi yao kufelisha simba mungu ibariki chama letu 🎉🎉❤ ❤
AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE..!
ruclips.net/video/TfoMGMw13zU/видео.html
BAGAMOYO.
Afande Mstaafu aliyeatuma wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake, Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa.
Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST.
Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili.
Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.
Kabisa
Kwa Jirani madeni yametamalaki wanahangaika na tungule
❤❤Kweli kaka hongera kwa kulielekez ilo🎉🎉
Amina ni kweli kabisa
❤❤❤❤🦁🦁🦁 Mungu yupo InshAllah atatulindia wapambanaji wetu dhidi ya maadui zetu 🙏🙏
Simba nguvu moja Mungu naomba uibariki Simba sports club 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Eeee mwenyez Mungu, ibariki simba sport club
Amiin
Amina
Tunashauri saana wachezaji wetu pass za kurudii nyuma zitokee mara chache vinginevyo ni kupoteza muda wa magoli tunayohitaji na pia huonyesha uoga Fulani pasi ziende nafasi wazi ,pembeni na mbele !! Simba nguvu Moja aluta contnure!!!!!!!!
Solidarity forever
Mungu iba liki simba yetu 🙏🙏🙏nguvu moja
Kama umeona alichokifanya Debra Fernandez kwa coach basi gonga like hapa
Wana Simba tuiombeen Simba
Yetu bila kukata tamaa 😮 Simba nguvu moja❤
Mungu Yu mwema atulindie wachezaji wetu tunawapenda wote wachezaji wetu
My team love more simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eeh mungu bariki team yangu simba sports club 🙏🙏🙏
Tunaipenda sana TIMU YETU SIMBA SPORT MUNGU AZIDISHE HEKIMA
Simba yangu naipenda sana Mungu ibariki Simba yangu💪💪💪
Simba ni kubwa sana Mungu bariki Simba
Deborah wa kumpiga tobo kocha kweli sijapenda kabisa 🫂
Ubaya ubwela sipingi kuna watu simba watakuja kuiyona kama spein au real Madrid bado mda mchache 2 kilicho baki nikocha kutuliza akili kusa huku
Unaota
kweli ndugu time tuu
Kweli kbc ndug ubaya ubwela msimu huu kitawak
Sahizi simba tutafunga na kuomba hakuna mganga atakae tuweza ,,,maana wale wachawi wanapambana sana kutufelisha
Umeona ee?
Kila la kheri timu pendwa nchini Tanzania Simba spot kilab, nguvumojaaa❤❤❤
Big team 🔥🔥🔥 wachezaji wanaupendo na kochi vizri sana ❤❤❤
Nguvu Moja#
Simba hii ipo professionally sana...
Nan kaona Debora akimpiga tobo Coacher: Fadlu??😂😂 4:05
😃😂😂
Noma😂
MUNGU isaidie club yetu imalize msimu hivi hvi 🙏
Mashabiki wa simba wawe wanaombea uongozi na wachezaji na bechi lake la ufundi
Viongozi wasikivu wa Simba mfatilieni Beaty Lakweiry. MVP Mauritania
Kabla nyuma mwiko hawajatuwahi
Semaji la Cuf Safi sana. SEMAJI NA TOBI naomba mfanye jitihada kubwa Ahoua ajue lugha mbili English na Kiswahili tunakosa mazuri mengi Sana kutoka kwa huyo mchezaji.
l love simbaaaa ubaya ubwelaàa
Nakubali chama langu🦁🦁🦁🦁🦁
🦁🦁🦁🦁🦁
simbaaaaaa nguvu moyaaaaa
simbaaaaaa nguvu moyaaaaa
Naipenda timu yangu ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Walioona tobo alilopigwa kocha na Deborah, gonga like😅
Kwel kaka tobo bna sekunde ya 46 😅😅😅😅nmecheka kinoma
Nalipenda chama langu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Halaaaa simba
simbaa ❤ mnyama
Kwa hiyo haotokuwa live?
Simba nguvu moja❤❤❤
❤❤❤❤
Mungu naomba ushindi kwa simba
Nawasikilizia zimebaki sekunde.
Zimebakia sekunde tu ukashushe kizigo ndio tabia ya Mavi hiyo hayaji kila wakati yana kuja kwa msimu jiandae ukakishushe kizigo.
@@MrishoMindu-zq7mz kumbe ndo yako yako hivyo...pole Naenda kapime.
Wana ximba wenzang tumpongez xanaa kocha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Simba oyeee
Mungu ubarikiwe sana Simba 🎉🎉🎉
Sawaaaa
Kosi la ubaya ubwela mwaka huu tutaelewana tu kama semaji la caf kwamba kama hawashituki tutawashitua tu ma watashituka ubaya ubwela
Ivi wanasimba wenzangu huyu mchome tumemshindwa kweli anaendelea kuizalilisha tim yetu huku amevaa jezi yetu
Nikushauri kitu.huyo hatakiwi kujibiwa tukifanya hivyo tutampa umaarufu nachoshukulu timu inafanya vizuri ❤
Uyoo msenge simpendi nikimuona siku Taifa msimuamuliye
Asante kwa tahalifa ila kubwa kuliko KATAA UTEKAJI NI KITU SERIOUS NA WATU WANAPOTEA KIJANA ZINDUKA
Simba nguvu moja and going forward to the Caf confederation cup competitions we have a fantastic technical bench so far but things to remember is that. A Winning backline is the winning team and the winning forwardline is the losing backline and losing backline is the losing team.
🦁 Nguvu Moja🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Simba nguvu moja
Amina
Ila Debra nimchokozi alitaka ampige mwalimu tobo Ili acheke😅😅😅😅
❤❤❤❤❤❤🦁🦁
Kama MTA kumbuka Kwa waliyo kua wanasoma meseji zangu nilipiga sana kelele kuwa ambia viongozi juu ya yanga wanavyo waloga wachezaji wa simba Ili waonekane wabovu na mwisho wao kuwa chukua Sasa narudia viongozi kiweni MAKINI na uwanja wa KMC ikiwezekana tafuteni uwanja mwingine hata mikoani zaidi ya hapo tuta ambulia kivuna mabua na kuonekana wachezaji wabovu
Tuombe uwanja wa bunju uwai kukamilika miaka ijayo tuchezee kwenye kiwanja chetu
Simbaaaà ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wapo Tena tunawajuwa ila kila atua Dua wanasimba wezangu
Naipenda timu yangu Chama letu. Pasi zisiwe nyingi za back pass. Pia ili kujiweka kwenye nafasi njema,magoli tuyafunge mengi. Magoli mengi ni Kinga!
🦁🦁🙏
Simba nguvu moj
Mungu tulindie wachezaji wote pamoja na bench la ufund
Nguvu moja
Kwani wao hawataki? Hahahahaha
Nguvu moja ✊
Sisi wana Simba hatuna hawo wana Yanga, wapotovu wa maadili ya kisiasa na kijamii, majangili na wezi wa fedha toka serikali kuu.
Ngufu moja 🎉❤
Kwsni ile ya Al Hilal ratiba ya timu zs taifa ilikufa??? Mnatuonea tusimuone Debora kweli
🎉🎉🎉🎉 semaji
Ubaya Ubwela ❤❤ tunaomba mechi nyingine ya kimataifa ili kujipima tena, Jkt ni ndogo kwa kweli.
Nalia na mabeki wa simba wanatakiwa wawe makini sana wakipanda juu wanatakiwa warudi haraka wanajisahau sana
Lakini tuwe makini na mechi za kirafiki za ndani,nao wanasaka points ili kujiweka sawa au kinyang'nyilo cha ubingwa ligi yetu ya hapa ndani Tz. Wasituumizie wachezaji WETU wapendwa.
Kama mbele yani
Kocha ndio hatuna
🔴⚪️
🟥⬜️🙌
Kwel kabixa unach xema maiko maadui was timu ya cmba wap weng.
Wanacimb wot 🙏🙏🙏 wachezaj wot wawe imar na Allah awap nguv na uxhind.
Nimependa alichokifany Fernandes kwa kocha😅
Waongeze speed wanapofanya mashambulizi
Muda wa kuwaombea sin alafu naogop kumwmbia mungu kitu ambch akiwez kutokea ukizingatia sahv usk nae amelala
Pia tunashauri timu icheze kwa speed wachezaji ni vijana hakuna mzee hapo.
Simba muwe wakweli.
Makosa mengi sana tumeyaona kwenye michezo iliyopita, ambayo timu yetu ya Simba ilicheza na wenzetu, majirani na marafiki wetu toka nchi jirani, zifahamikavyo kama APR toka EAC-Rwanda, watani wetu Yanga na majirani zetu toka mji huu wa Dar es salaam, Al-Hilal ya Sudan.
Ni kweli kuwa kikosi chetu cha Simba Sc ni kikosi kipya kabisa, lakini Simba tafadhali sana endeleeni kujifunza kutoka Jeshi la Ulinzi Tanzania (TDF).
Mwambieni Mwalimu kuwa, muda wa majaribio umeisha.
Mwalimu sasa anatakiwa kuwa na kikosi cha kwanza na kikosi cha pili. Haturuhusu majaribio tena.
Mwalimu anatakiwa kufahamu kuwa huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 75, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 15.
Huyu mchezaji anatakiwa kucheza kucheza tu dakika 80, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 10 tu.
Huyu mchezaji anatakiwa kucheza kucheza tu dakika 95, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 5 tu.
Sisi tunapenda sana kuendeleza vipaji vya vijana wengi sana hapa nchi Tanazania, lakini ukweli unabaki palepaleni kuwa malengo ya Simba Sc ni makubwa. Hata hawo vijana wazuri na wakubwa sana kama Jean Beleke, Fred Michael Koublan, Pa Omar Jobe walishindwa kuwatoa hawo wapinzani wetu wakubwa wa karne, Al-Ahly toka nchini Egypt.
Acheni kabisa mambo hayo ya kujaribu-jaribu, ili kufahamu kuwa ni mchezaji gani kijana sana ataweza kuitoa Al-Ahly ya Cairo kwenye mashindano.
Malengo yetu kama timu ni siyo kuona kuwa mchezaji gani anatoka nchi gani na anacheza nafasi gani mchezoni, bali kuhakikisha kuwa tunafikia malengo yeto, kama yalivyowekwa na uongozi wa Simba Sc.
SIMBA NGUVU MOJA
Jicho la mwalimu kwa ngoma 😅
Mechi inaonyeshwa au
Uwepo wa mzee magori ktk uongoz nimeona kituuuu
12:56
Ivi maneno unapata wapi baba angu
Hiv nani kamuona deborah alichomfanyia kocha wake 😂
Kochaa kapgwa doba na debora
Kila tunachoanza kurujuani mbele hawatuwezi wanga hao😂😂😂😂😂
Kwenye tv mutaonesha?
Kwani yanga walifata nn kmc? Wakati uwanjawao ni chamazi
Ahoua kapona?!
Waongeze spidi
Tunaomba mpra wa kas vijana .Simba ni vijana tu wazee wameondoka mbn
Kila raheri na fanaka timu yetu pendwa
😂
🦁🤍🤍🤍🤍❤️❤️❤️❤️❤️💪💪🙏🙏
🦁🦁🦁🦁🦁
Simba oyeee
Wana ximba wenzang tumpongez xanaa kocha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Simba nguvu moja