CHECHE ZA AHMED ALLY/RATIBA YA TIMU IPOJE?/MECHI YA KIRAFIKI /TIMU INAONDOKA LINI KWENDA LIBYA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App Store - apps.apple.com...
    📱 Play Store - play.google.co...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC RUclips Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

Комментарии • 142

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 10 дней назад +81

    jaman wenzangu wana simba kabla ya yote tuombee timu yetu maana tuna madui ambayo wao kazi yao kufelisha simba mungu ibariki chama letu 🎉🎉❤ ❤

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 10 дней назад

      AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE..!
      ruclips.net/video/TfoMGMw13zU/видео.html
      BAGAMOYO.
      Afande Mstaafu aliyeatuma wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake, Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa.
      Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST.
      Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili.
      Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.

    • @hawasafiki522
      @hawasafiki522 10 дней назад +1

      Kabisa

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 10 дней назад +3

      Kwa Jirani madeni yametamalaki wanahangaika na tungule

    • @KadabraSeif
      @KadabraSeif 10 дней назад +2

      ❤❤Kweli kaka hongera kwa kulielekez ilo🎉🎉

    • @kuholakalani2472
      @kuholakalani2472 10 дней назад +1

      Amina ni kweli kabisa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 10 дней назад +19

    ❤❤❤❤🦁🦁🦁 Mungu yupo InshAllah atatulindia wapambanaji wetu dhidi ya maadui zetu 🙏🙏

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 10 дней назад +25

    Simba nguvu moja Mungu naomba uibariki Simba sports club 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @KINGBUSENENE
    @KINGBUSENENE 10 дней назад +21

    Eeee mwenyez Mungu, ibariki simba sport club

  • @jestonmwaisaka
    @jestonmwaisaka 10 дней назад +24

    Tunashauri saana wachezaji wetu pass za kurudii nyuma zitokee mara chache vinginevyo ni kupoteza muda wa magoli tunayohitaji na pia huonyesha uoga Fulani pasi ziende nafasi wazi ,pembeni na mbele !! Simba nguvu Moja aluta contnure!!!!!!!!

  • @ZainaKayoka
    @ZainaKayoka 10 дней назад +10

    Mungu iba liki simba yetu 🙏🙏🙏nguvu moja

  • @Davmuko1986
    @Davmuko1986 10 дней назад +8

    Kama umeona alichokifanya Debra Fernandez kwa coach basi gonga like hapa

  • @stevejohn-j8x
    @stevejohn-j8x 10 дней назад +5

    Wana Simba tuiombeen Simba
    Yetu bila kukata tamaa 😮 Simba nguvu moja❤

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 10 дней назад +12

    Mungu Yu mwema atulindie wachezaji wetu tunawapenda wote wachezaji wetu

  • @user-zs3wr4bc3t
    @user-zs3wr4bc3t 10 дней назад +7

    My team love more simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 10 дней назад +20

    ❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @anordraymond717
    @anordraymond717 10 дней назад +8

    Eeh mungu bariki team yangu simba sports club 🙏🙏🙏

  • @KisaMwakamele
    @KisaMwakamele 10 дней назад +5

    Tunaipenda sana TIMU YETU SIMBA SPORT MUNGU AZIDISHE HEKIMA

  • @user-ge8xx9rn7e
    @user-ge8xx9rn7e 10 дней назад +4

    Simba yangu naipenda sana Mungu ibariki Simba yangu💪💪💪

  • @jaizamwaipopo175
    @jaizamwaipopo175 10 дней назад +4

    Simba ni kubwa sana Mungu bariki Simba

  • @abramonlinetv6935
    @abramonlinetv6935 9 дней назад +2

    Deborah wa kumpiga tobo kocha kweli sijapenda kabisa 🫂

  • @MussaPm
    @MussaPm 10 дней назад +18

    Ubaya ubwela sipingi kuna watu simba watakuja kuiyona kama spein au real Madrid bado mda mchache 2 kilicho baki nikocha kutuliza akili kusa huku

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 10 дней назад +7

    Sahizi simba tutafunga na kuomba hakuna mganga atakae tuweza ,,,maana wale wachawi wanapambana sana kutufelisha

  • @KhamisAlawi-n1k
    @KhamisAlawi-n1k 8 дней назад

    Kila la kheri timu pendwa nchini Tanzania Simba spot kilab, nguvumojaaa❤❤❤

  • @djfoxfoxthedj65
    @djfoxfoxthedj65 10 дней назад +1

    Big team 🔥🔥🔥 wachezaji wanaupendo na kochi vizri sana ❤❤❤

  • @mrizzybakola9829
    @mrizzybakola9829 10 дней назад +9

    Nguvu Moja#

  • @mgendihdellicy6210
    @mgendihdellicy6210 10 дней назад +2

    Simba hii ipo professionally sana...

  • @mashakasilyvestermakaro
    @mashakasilyvestermakaro 10 дней назад +8

    Nan kaona Debora akimpiga tobo Coacher: Fadlu??😂😂 4:05

  • @ChandekamashikuMarco
    @ChandekamashikuMarco 10 дней назад +2

    MUNGU isaidie club yetu imalize msimu hivi hvi 🙏

  • @lilianmlowe9154
    @lilianmlowe9154 10 дней назад +2

    Mashabiki wa simba wawe wanaombea uongozi na wachezaji na bechi lake la ufundi

  • @tonnyjazz6103
    @tonnyjazz6103 10 дней назад +2

    Viongozi wasikivu wa Simba mfatilieni Beaty Lakweiry. MVP Mauritania

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf 10 дней назад +6

    Semaji la Cuf Safi sana. SEMAJI NA TOBI naomba mfanye jitihada kubwa Ahoua ajue lugha mbili English na Kiswahili tunakosa mazuri mengi Sana kutoka kwa huyo mchezaji.

  • @Haland-i2l
    @Haland-i2l 6 дней назад

    l love simbaaaa ubaya ubwelaàa

  • @jafethpeter5706
    @jafethpeter5706 10 дней назад +2

    Nakubali chama langu🦁🦁🦁🦁🦁

  • @silencekiller9651
    @silencekiller9651 10 дней назад +7

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 9 дней назад

    Naipenda timu yangu ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FootballHighlights-zv5bc
    @FootballHighlights-zv5bc 10 дней назад +3

    Walioona tobo alilopigwa kocha na Deborah, gonga like😅

    • @seikhan5115
      @seikhan5115 9 дней назад

      Kwel kaka tobo bna sekunde ya 46 😅😅😅😅nmecheka kinoma

  • @SlemanYahya-c8b
    @SlemanYahya-c8b 10 дней назад

    Nalipenda chama langu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ImuKibene
    @ImuKibene 10 дней назад +1

    Halaaaa simba

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 10 дней назад +1

    simbaa ❤ mnyama

  • @DuduHamisi
    @DuduHamisi 10 дней назад +4

    Kwa hiyo haotokuwa live?

  • @ChenzaChenza-n4v
    @ChenzaChenza-n4v 9 дней назад

    Simba nguvu moja❤❤❤

  • @HashimYusuf-t5e
    @HashimYusuf-t5e 10 дней назад +1

    ❤❤❤❤

  • @AnjelaMatiya
    @AnjelaMatiya 9 дней назад

    Mungu naomba ushindi kwa simba

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 10 дней назад +8

    Nawasikilizia zimebaki sekunde.

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 10 дней назад

      Zimebakia sekunde tu ukashushe kizigo ndio tabia ya Mavi hiyo hayaji kila wakati yana kuja kwa msimu jiandae ukakishushe kizigo.

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 10 дней назад

      @@MrishoMindu-zq7mz kumbe ndo yako yako hivyo...pole Naenda kapime.

  • @SharifaMmadi
    @SharifaMmadi 8 дней назад

    Wana ximba wenzang tumpongez xanaa kocha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @RizikiSimwenda
    @RizikiSimwenda 2 дня назад

    Simba oyeee

  • @Setefhano
    @Setefhano 10 дней назад

    Mungu ubarikiwe sana Simba 🎉🎉🎉

  • @user-mg2gi2ze2o
    @user-mg2gi2ze2o 10 дней назад +1

    Sawaaaa

  • @JohnMohamed-j5f
    @JohnMohamed-j5f 10 дней назад +1

    Kosi la ubaya ubwela mwaka huu tutaelewana tu kama semaji la caf kwamba kama hawashituki tutawashitua tu ma watashituka ubaya ubwela

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 10 дней назад +1

    Ivi wanasimba wenzangu huyu mchome tumemshindwa kweli anaendelea kuizalilisha tim yetu huku amevaa jezi yetu

    • @EdwardMayega
      @EdwardMayega 10 дней назад

      Nikushauri kitu.huyo hatakiwi kujibiwa tukifanya hivyo tutampa umaarufu nachoshukulu timu inafanya vizuri ❤

    • @ArnoldJoely
      @ArnoldJoely 9 дней назад

      Uyoo msenge simpendi nikimuona siku Taifa msimuamuliye

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 10 дней назад

    Asante kwa tahalifa ila kubwa kuliko KATAA UTEKAJI NI KITU SERIOUS NA WATU WANAPOTEA KIJANA ZINDUKA

  • @PakatJames
    @PakatJames 10 дней назад

    Simba nguvu moja and going forward to the Caf confederation cup competitions we have a fantastic technical bench so far but things to remember is that. A Winning backline is the winning team and the winning forwardline is the losing backline and losing backline is the losing team.

  • @ZilaboAmbonisye
    @ZilaboAmbonisye 10 дней назад

    🦁 Nguvu Moja🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @rungweamenye6661
    @rungweamenye6661 9 дней назад

    Simba nguvu moja

  • @SmilingLeopard-xq3pw
    @SmilingLeopard-xq3pw 10 дней назад

    Amina

  • @mussakijazi
    @mussakijazi 10 дней назад +1

    Ila Debra nimchokozi alitaka ampige mwalimu tobo Ili acheke😅😅😅😅

  • @nilmadaudi9358
    @nilmadaudi9358 9 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤🦁🦁

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 10 дней назад +1

    Kama MTA kumbuka Kwa waliyo kua wanasoma meseji zangu nilipiga sana kelele kuwa ambia viongozi juu ya yanga wanavyo waloga wachezaji wa simba Ili waonekane wabovu na mwisho wao kuwa chukua Sasa narudia viongozi kiweni MAKINI na uwanja wa KMC ikiwezekana tafuteni uwanja mwingine hata mikoani zaidi ya hapo tuta ambulia kivuna mabua na kuonekana wachezaji wabovu

  • @JastineMwenda
    @JastineMwenda 10 дней назад +1

    Tuombe uwanja wa bunju uwai kukamilika miaka ijayo tuchezee kwenye kiwanja chetu

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani 9 дней назад

    Simbaaaà ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JohnMohamed-j5f
    @JohnMohamed-j5f 10 дней назад +1

    Wapo Tena tunawajuwa ila kila atua Dua wanasimba wezangu

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws 10 дней назад

    Naipenda timu yangu Chama letu. Pasi zisiwe nyingi za back pass. Pia ili kujiweka kwenye nafasi njema,magoli tuyafunge mengi. Magoli mengi ni Kinga!

  • @zachariawambura338
    @zachariawambura338 10 дней назад +2

    🦁🦁🙏

  • @benardmiyekelo9307
    @benardmiyekelo9307 10 дней назад +1

    Simba nguvu moj

  • @isayatimoth1867
    @isayatimoth1867 10 дней назад

    Mungu tulindie wachezaji wote pamoja na bench la ufund

  • @juliusibakuza1989
    @juliusibakuza1989 9 дней назад

    Nguvu moja

  • @MohamedHango-r5k
    @MohamedHango-r5k 10 дней назад +4

    Kwani wao hawataki? Hahahahaha

  • @chiefgorotto347
    @chiefgorotto347 10 дней назад

    Nguvu moja ✊

  • @user-xw8ox3hf8o
    @user-xw8ox3hf8o 10 дней назад

    Sisi wana Simba hatuna hawo wana Yanga, wapotovu wa maadili ya kisiasa na kijamii, majangili na wezi wa fedha toka serikali kuu.

  • @Setefhano
    @Setefhano 10 дней назад

    Ngufu moja 🎉❤

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 8 дней назад

    Kwsni ile ya Al Hilal ratiba ya timu zs taifa ilikufa??? Mnatuonea tusimuone Debora kweli

  • @ShabaniAlly-oz9te
    @ShabaniAlly-oz9te 10 дней назад

    🎉🎉🎉🎉 semaji

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 10 дней назад

    Ubaya Ubwela ❤❤ tunaomba mechi nyingine ya kimataifa ili kujipima tena, Jkt ni ndogo kwa kweli.

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 10 дней назад

    Nalia na mabeki wa simba wanatakiwa wawe makini sana wakipanda juu wanatakiwa warudi haraka wanajisahau sana

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws 10 дней назад

    Lakini tuwe makini na mechi za kirafiki za ndani,nao wanasaka points ili kujiweka sawa au kinyang'nyilo cha ubingwa ligi yetu ya hapa ndani Tz. Wasituumizie wachezaji WETU wapendwa.

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 10 дней назад +1

    Kama mbele yani

  • @issamadora669
    @issamadora669 8 дней назад +1

    Kocha ndio hatuna

  • @eltonmuhulo3837
    @eltonmuhulo3837 10 дней назад +3

    🔴⚪️
    🟥⬜️🙌

  • @SharifaMmadi
    @SharifaMmadi 8 дней назад

    Kwel kabixa unach xema maiko maadui was timu ya cmba wap weng.
    Wanacimb wot 🙏🙏🙏 wachezaj wot wawe imar na Allah awap nguv na uxhind.

  • @jackvanleopard5834
    @jackvanleopard5834 9 дней назад

    Nimependa alichokifany Fernandes kwa kocha😅

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 8 дней назад

    Waongeze speed wanapofanya mashambulizi

  • @user-pe3qj2sn6n
    @user-pe3qj2sn6n 10 дней назад

    Muda wa kuwaombea sin alafu naogop kumwmbia mungu kitu ambch akiwez kutokea ukizingatia sahv usk nae amelala

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga 9 дней назад

    Pia tunashauri timu icheze kwa speed wachezaji ni vijana hakuna mzee hapo.

  • @user-xw8ox3hf8o
    @user-xw8ox3hf8o 10 дней назад

    Simba muwe wakweli.
    Makosa mengi sana tumeyaona kwenye michezo iliyopita, ambayo timu yetu ya Simba ilicheza na wenzetu, majirani na marafiki wetu toka nchi jirani, zifahamikavyo kama APR toka EAC-Rwanda, watani wetu Yanga na majirani zetu toka mji huu wa Dar es salaam, Al-Hilal ya Sudan.
    Ni kweli kuwa kikosi chetu cha Simba Sc ni kikosi kipya kabisa, lakini Simba tafadhali sana endeleeni kujifunza kutoka Jeshi la Ulinzi Tanzania (TDF).
    Mwambieni Mwalimu kuwa, muda wa majaribio umeisha.
    Mwalimu sasa anatakiwa kuwa na kikosi cha kwanza na kikosi cha pili. Haturuhusu majaribio tena.
    Mwalimu anatakiwa kufahamu kuwa huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 75, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 15.
    Huyu mchezaji anatakiwa kucheza kucheza tu dakika 80, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 10 tu.
    Huyu mchezaji anatakiwa kucheza kucheza tu dakika 95, na huyu mchezaji anatakiwa kucheza dakika 5 tu.
    Sisi tunapenda sana kuendeleza vipaji vya vijana wengi sana hapa nchi Tanazania, lakini ukweli unabaki palepaleni kuwa malengo ya Simba Sc ni makubwa. Hata hawo vijana wazuri na wakubwa sana kama Jean Beleke, Fred Michael Koublan, Pa Omar Jobe walishindwa kuwatoa hawo wapinzani wetu wakubwa wa karne, Al-Ahly toka nchini Egypt.
    Acheni kabisa mambo hayo ya kujaribu-jaribu, ili kufahamu kuwa ni mchezaji gani kijana sana ataweza kuitoa Al-Ahly ya Cairo kwenye mashindano.
    Malengo yetu kama timu ni siyo kuona kuwa mchezaji gani anatoka nchi gani na anacheza nafasi gani mchezoni, bali kuhakikisha kuwa tunafikia malengo yeto, kama yalivyowekwa na uongozi wa Simba Sc.
    SIMBA NGUVU MOJA

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 9 дней назад

    Jicho la mwalimu kwa ngoma 😅

  • @japhacefredrick-jn7tp
    @japhacefredrick-jn7tp 8 дней назад

    Mechi inaonyeshwa au

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 10 дней назад

    Uwepo wa mzee magori ktk uongoz nimeona kituuuu

  • @kimfernandes1678
    @kimfernandes1678 10 дней назад

    12:56

  • @RizikiSimwenda
    @RizikiSimwenda 2 дня назад

    Ivi maneno unapata wapi baba angu

  • @naseebkhalmandro1905
    @naseebkhalmandro1905 9 дней назад

    Hiv nani kamuona deborah alichomfanyia kocha wake 😂

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 10 дней назад

    Kochaa kapgwa doba na debora

  • @user-mg2gi2ze2o
    @user-mg2gi2ze2o 10 дней назад

    Kila tunachoanza kurujuani mbele hawatuwezi wanga hao😂😂😂😂😂

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 10 дней назад

    Kwenye tv mutaonesha?

  • @Zaynabahmed-ey4zu
    @Zaynabahmed-ey4zu 10 дней назад

    Kwani yanga walifata nn kmc? Wakati uwanjawao ni chamazi

  • @francisjuly5761
    @francisjuly5761 10 дней назад

    Ahoua kapona?!

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 10 дней назад

    Waongeze spidi

  • @ChenzaChenza-n4v
    @ChenzaChenza-n4v 9 дней назад

    Tunaomba mpra wa kas vijana .Simba ni vijana tu wazee wameondoka mbn

  • @jumacharles6643
    @jumacharles6643 10 дней назад

    Kila raheri na fanaka timu yetu pendwa

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 10 дней назад

    😂

  • @SamsonSimba-k4l
    @SamsonSimba-k4l 10 дней назад

    🦁🤍🤍🤍🤍❤️❤️❤️❤️❤️💪💪🙏🙏

  • @danielgeorge5793
    @danielgeorge5793 10 дней назад +3

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @RizikiSimwenda
    @RizikiSimwenda 2 дня назад

    Simba oyeee

  • @SharifaMmadi
    @SharifaMmadi 8 дней назад

    Wana ximba wenzang tumpongez xanaa kocha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @dottokona207
    @dottokona207 9 дней назад

    Simba nguvu moja