UTAPENDA WOLPER ALIVYOTAMBULISHA FAMILIA YAKE USIKU WA HARUSI YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 ноя 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    UTAPENDA WOLPER ALIVYOTAMBULISHA FAMILIA YAKE USIKU WA HARUSI YAO
    #Bonatv #Exclusive
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 94

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Год назад +16

    Hongera Dada kwa kuheshimu jamii kwa mavazi umejisitiri Mungu akubariki mnoo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Год назад +6

    Mama katabasamu hadi nimelia WAZAZI wake wapole hadi basi 💯💯

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад +9

    UMEPENDEZA GAUNI YAKO YA HESHIMA KWELI WW DIZAINI NAKUKUBALI WOLPER NA LICHI

  • @ruqqyahimam6617
    @ruqqyahimam6617 Год назад +5

    Nimependa utambulisho wako Jack hadi raha ❤

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +4

    Mashallah Wolper umejiheshimixha

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +6

    Kapendez sana jack pia watu wengi sana hadi raha

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +4

    hongera sana jack Mungu akutangulie kwenye ndoa yenu mmependeza mno

  • @ladymzana4511
    @ladymzana4511 Год назад +7

    Utajua tu Jackleen Wolper amezoea Camera na amezoea kuongea mbele za watu kutokana na kazi yake ya uigizaji bongo movie, hongera sana umechangamka na umetambulisha ndugu zako vizuri sana, ikawe ndoa ya kheir Amminna inshallah

  • @masika.zubeda.430
    @masika.zubeda.430 Год назад +6

    Wolper you never disappoint ur dress was on point keep shinning mami

  • @monamtoo2646
    @monamtoo2646 Год назад +1

    Nimependa vazi lako la stara Dada hongera sana

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Год назад +25

    Wolper katika nguo zote hii ndio imekupendezaa

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Год назад +1

    Niongee tu ukweli harusi ya Wolper imebamba! Cwezi ifananisha na mtu yeyote!

  • @jacklinemwaleleka6052
    @jacklinemwaleleka6052 Год назад +1

    Nimekupenda umeonesha nidham kubwa

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +10

    Katika nguo. Zote hii ndio. Nzur mno

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Год назад

    Ongera sana opaa

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад +4

    Hongeren jmn mungu awe na nyie ktk maisha yenu ya ndoa

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +2

    Hongereni saaana saaaana

  • @jacquelinejackson8295
    @jacquelinejackson8295 Год назад +3

    Hongera saana kipenz wengne tupo tu hapa tunawivu natupo ma single

  • @sikudhanicharles3933
    @sikudhanicharles3933 Год назад +3

    Kwani weupe ulipata wapi😂😂😂😂

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Год назад +1

    Kumbe_Una_ndugu_mnavyo_vaa_uchi_utasema_hamna_familia_sasa_umekuwa_mke_wa_Mtu_mrudie_sana_Mungu

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Год назад

      Siku hizi Jacqueline amechange sana ukilinganisha na wenzie

  • @merrymafole5180
    @merrymafole5180 Год назад

    Hongera sna wolper na rich wolper km ni mama kija....

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Год назад

    Umepndza Jacklin wolper..na Mmeo

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Год назад +1

    Mmependeza jmn

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Год назад +1

    Hiyi harusi imenifurahisha ilikuwa about family sio about ma stars

  • @magdalenamoffat4835
    @magdalenamoffat4835 Год назад +2

    Imependeza tumekubali

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    Bi harusi kavaa nguo ya heshima kapendeza lkn ongea yke ya KIHUNI

  • @mohammedhusssein8734
    @mohammedhusssein8734 Год назад +1

    Umependeza mno

  • @veronikasilayo1455
    @veronikasilayo1455 Год назад

    Pendaeza sana dada

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад +4

    Bwana harusi mitindo anaangalia juu tu na miwani yake utadhani haoni vile. Hongera kwa kukua.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +3

    Rich miwani ya nini sasa?

  • @lavuulovenes1682
    @lavuulovenes1682 Год назад

    Mmh mama.wee uko.mreembo niaje ongera sana

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 Год назад

    Ila Wolper 😀😀

  • @winfridantandu2870
    @winfridantandu2870 Год назад

    Jack kapendeza hadi raha

  • @winnieamina9932
    @winnieamina9932 Год назад +2

    Bibi harusi wa zamani wana aibu mbele za watu ila bibi harusi wa siku hizi wanapewa microphone kabisa weeee

    • @tinajoe5487
      @tinajoe5487 Год назад

      Hata zamani harusi zilifanyiwa nyumbani au darasani siku hizi kumbi zimejaa JIFUNZE KUBADILIKA.

    • @lucynelsonmungure1719
      @lucynelsonmungure1719 Год назад

      Technology inaenda kasi sana

  • @jamil1547
    @jamil1547 Год назад +5

    Haitajiki MC hapo

  • @brilliantcarlish6621
    @brilliantcarlish6621 Год назад

    Umependeza dada angu nkpnd saan

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Год назад +3

    Bi harusi uwe mpole au umeonja kidogo

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Год назад +3

    Huyu Richi ndiyo kaolewa manake anbuluzwa tu yeye toka shuguli ianze hatujaoona familia yake wala kusikia wanajitambulisha mmm🫢haya yetu macho na masikio

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Год назад +1

    Bi harusi unaongea kama nini yaan hata Mc umemfunika

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Год назад +5

    Yaani ma bi harusi siku hizi wanaongea mno Jamani kama ndio MC.

  • @zena6203
    @zena6203 Год назад +2

    Piga kelele wamamapy usifananishwe nakiroboto chochote jaki nijaki nahakuna jaki mwengine wewewe who is nandy nandy harusi yake sura imenenepeana puwa kubwa mashavu hayo sura imepoza kama ftari yamagimbi tumbo huko tumakalio tumechongoka kama vile tumebandikwa uturuki alafu mnapimanisha nawolper angali mtoto kanyoka mrefu anambambamba nyooooo

    • @Mohamed-uz8id
      @Mohamed-uz8id Год назад

      khaaa shkamoo wewe

    • @zena6203
      @zena6203 Год назад

      @@Mohamed-uz8id 😄😄😄😄wanamchamba sana mama py jameni achanimteteye

  • @mwanaidiabdallah7311
    @mwanaidiabdallah7311 Год назад

    Hom sweet hom

  • @saraphinasalila9202
    @saraphinasalila9202 Год назад

    Kumbe upo peke ako jack ndio maan unaupend

  • @aminaibrahim6811
    @aminaibrahim6811 Год назад

    Mbona Rich bayaaa☹️☹️

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Год назад +10

    Toka nimeanza kufatilia hii arusi sijaona ndugu wa Richi mitindo hata sijawasikia kuogea🫢

  • @The7101987
    @The7101987 Год назад +1

    Sasa Jack hiyo rangi kaipata wapi?

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 Год назад

    Alice cjakuona mamdogo

  • @hidayaally7059
    @hidayaally7059 Год назад +1

    Bibi harusi anaongea kama muhuni vile

  • @wardw3022
    @wardw3022 Год назад +3

    Worper kavaa jamani

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Год назад

      Iii Sina cha KU comments kaweza vya kutosha nguo ZAKE nzuri

  • @ericafransis6663
    @ericafransis6663 Год назад +8

    Aaaah harus ya nand ilikua nzur Zaid hii kwanza imepoa hawa walichopendeza ni kuvaa tu kiheshima lkn lkn kwa upande wa sherehe imekua boad sana hlf bi Harus anaongea sana

    • @saumusaid7825
      @saumusaid7825 Год назад +9

      Kwan shida Iko wapi ulichangia ACHA roho ya kwa nn 😒

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Год назад +6

      ANAONGEA NI lazima wivu TU MUNGU KAJALIA FAMILI NYINGI LAZIMA AONGEE MINGI NANDI HAKUONGEA ALIKUA MJA MZITO YY SIO MJA MZITO

    • @petronilamark5177
      @petronilamark5177 Год назад +5

      Mwache aongee ni siku yake haijirudii dear

    • @tinajoe5487
      @tinajoe5487 Год назад +4

      Kwani wapo kwenye mashindano

    • @linnamlay3643
      @linnamlay3643 Год назад +3

      Tuna uprof ktk kutathmini hii harusi imependeza sana kwanza ameifanya kiheshima hakuweka makashkash ya ustaa amependa iwe harusi ya watu mana yeye nae ni mtu wa watu.

  • @samailasalim3587
    @samailasalim3587 Год назад +1

    Sasa wazaz weus ule weupe kautoa wap

    • @zamdayusuph858
      @zamdayusuph858 Год назад

      Et? Ndo swali langu hilo, inekuajee

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Год назад

      Jamni angalia nayy picha ya miaka yanyuma alafu utajua kafanya nn

    • @tinashebaibe1429
      @tinashebaibe1429 Год назад

      Mafuta Tanzania mastar wote ni weusi

    • @dianaprojest320
      @dianaprojest320 Год назад +1

      Inawezekana kwenye ukoo hiyo rangi ipo, sio lazma Wazaz wawe weupe Ndo mtoto awe mweupe, angekua mweusi Hata mwanae p asingetoka mweupe

    • @mariamselemani1366
      @mariamselemani1366 Год назад

      @@m.mmarckus6298 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад

    Jaki hongera but sauti inatetema mbona