UTAPENDA WOLPER ALIVYOTAMBULISHA FAMILIA YAKE USIKU WA HARUSI YAO
HTML-код
- Опубликовано: 18 ноя 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
UTAPENDA WOLPER ALIVYOTAMBULISHA FAMILIA YAKE USIKU WA HARUSI YAO
#Bonatv #Exclusive Развлечения
Hongera Dada kwa kuheshimu jamii kwa mavazi umejisitiri Mungu akubariki mnoo
Mama katabasamu hadi nimelia WAZAZI wake wapole hadi basi 💯💯
UMEPENDEZA GAUNI YAKO YA HESHIMA KWELI WW DIZAINI NAKUKUBALI WOLPER NA LICHI
Nimependa utambulisho wako Jack hadi raha ❤
Mashallah Wolper umejiheshimixha
Kapendez sana jack pia watu wengi sana hadi raha
hongera sana jack Mungu akutangulie kwenye ndoa yenu mmependeza mno
Utajua tu Jackleen Wolper amezoea Camera na amezoea kuongea mbele za watu kutokana na kazi yake ya uigizaji bongo movie, hongera sana umechangamka na umetambulisha ndugu zako vizuri sana, ikawe ndoa ya kheir Amminna inshallah
Wolper you never disappoint ur dress was on point keep shinning mami
Nimependa vazi lako la stara Dada hongera sana
Wolper katika nguo zote hii ndio imekupendezaa
Mnapenda nguo za kubana
Sanaaa kuliko zte
😍🥰🥰🥰🥰🥰
Niongee tu ukweli harusi ya Wolper imebamba! Cwezi ifananisha na mtu yeyote!
Nimekupenda umeonesha nidham kubwa
Katika nguo. Zote hii ndio. Nzur mno
Ongera sana opaa
Hongeren jmn mungu awe na nyie ktk maisha yenu ya ndoa
Ameen
Hongereni saaana saaaana
Hongera saana kipenz wengne tupo tu hapa tunawivu natupo ma single
Ahahah
Kwani weupe ulipata wapi😂😂😂😂
Kumbe_Una_ndugu_mnavyo_vaa_uchi_utasema_hamna_familia_sasa_umekuwa_mke_wa_Mtu_mrudie_sana_Mungu
Siku hizi Jacqueline amechange sana ukilinganisha na wenzie
Hongera sna wolper na rich wolper km ni mama kija....
Ni mama kichanga
Umepndza Jacklin wolper..na Mmeo
Mmependeza jmn
Hiyi harusi imenifurahisha ilikuwa about family sio about ma stars
Imependeza tumekubali
Bi harusi kavaa nguo ya heshima kapendeza lkn ongea yke ya KIHUNI
Umependeza mno
Pendaeza sana dada
Bwana harusi mitindo anaangalia juu tu na miwani yake utadhani haoni vile. Hongera kwa kukua.
Nimecheka jee
Hahaaaaa
Hahahaha
Rich miwani ya nini sasa?
Mmh mama.wee uko.mreembo niaje ongera sana
Ila Wolper 😀😀
Jack kapendeza hadi raha
Bibi harusi wa zamani wana aibu mbele za watu ila bibi harusi wa siku hizi wanapewa microphone kabisa weeee
Hata zamani harusi zilifanyiwa nyumbani au darasani siku hizi kumbi zimejaa JIFUNZE KUBADILIKA.
Technology inaenda kasi sana
Haitajiki MC hapo
🤣🤣🤣
Umependeza dada angu nkpnd saan
Bi harusi uwe mpole au umeonja kidogo
Yaaani huo utamburisho mbavu sna
😂😂😂
Huyu Richi ndiyo kaolewa manake anbuluzwa tu yeye toka shuguli ianze hatujaoona familia yake wala kusikia wanajitambulisha mmm🫢haya yetu macho na masikio
Bi harusi unaongea kama nini yaan hata Mc umemfunika
Yaani ma bi harusi siku hizi wanaongea mno Jamani kama ndio MC.
yan wanaongea sana
Piga kelele wamamapy usifananishwe nakiroboto chochote jaki nijaki nahakuna jaki mwengine wewewe who is nandy nandy harusi yake sura imenenepeana puwa kubwa mashavu hayo sura imepoza kama ftari yamagimbi tumbo huko tumakalio tumechongoka kama vile tumebandikwa uturuki alafu mnapimanisha nawolper angali mtoto kanyoka mrefu anambambamba nyooooo
khaaa shkamoo wewe
@@Mohamed-uz8id 😄😄😄😄wanamchamba sana mama py jameni achanimteteye
Hom sweet hom
Kumbe upo peke ako jack ndio maan unaupend
Mbona Rich bayaaa☹️☹️
Toka nimeanza kufatilia hii arusi sijaona ndugu wa Richi mitindo hata sijawasikia kuogea🫢
Hapo sasa
Mbna wapo
Mbna wamezungumza we ulikuwa wap
Unawajua?
Sasa Jack hiyo rangi kaipata wapi?
Nimemuona shangaz Hapo nimweupe sana
Alice cjakuona mamdogo
Bibi harusi anaongea kama muhuni vile
Worper kavaa jamani
Iii Sina cha KU comments kaweza vya kutosha nguo ZAKE nzuri
Aaaah harus ya nand ilikua nzur Zaid hii kwanza imepoa hawa walichopendeza ni kuvaa tu kiheshima lkn lkn kwa upande wa sherehe imekua boad sana hlf bi Harus anaongea sana
Kwan shida Iko wapi ulichangia ACHA roho ya kwa nn 😒
ANAONGEA NI lazima wivu TU MUNGU KAJALIA FAMILI NYINGI LAZIMA AONGEE MINGI NANDI HAKUONGEA ALIKUA MJA MZITO YY SIO MJA MZITO
Mwache aongee ni siku yake haijirudii dear
Kwani wapo kwenye mashindano
Tuna uprof ktk kutathmini hii harusi imependeza sana kwanza ameifanya kiheshima hakuweka makashkash ya ustaa amependa iwe harusi ya watu mana yeye nae ni mtu wa watu.
Sasa wazaz weus ule weupe kautoa wap
Et? Ndo swali langu hilo, inekuajee
Jamni angalia nayy picha ya miaka yanyuma alafu utajua kafanya nn
Mafuta Tanzania mastar wote ni weusi
Inawezekana kwenye ukoo hiyo rangi ipo, sio lazma Wazaz wawe weupe Ndo mtoto awe mweupe, angekua mweusi Hata mwanae p asingetoka mweupe
@@m.mmarckus6298 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaki hongera but sauti inatetema mbona