Комментарии •

  • @gloryr9497
    @gloryr9497 2 года назад +34

    Huyu bwana harusi kiherehere sana Sasa kamlipa Mc wa Nini kweli bongo Kuna vijimambo🤔🤔

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 2 года назад +28

    Huyu mwanamke,she is black beauty ❤️❤️❤️

  • @jlosomi776
    @jlosomi776 2 года назад +21

    Jamani wangekuwa wanafanya kufuru hvyo Kwa kusaidiya yatima ingekuwa jambo LA maana sana

    • @marcompesa9073
      @marcompesa9073 2 года назад +2

      Mungu anawaona ngoja tuwaache ila yatima,wajane,wazee, masikini wa rika zote na walemavu wanaishi kwa shida mno

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 2 года назад +1

      Pesa za masharti

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 2 года назад +18

    Tuliiwaambia hawatuezii kipesa ata kiuchawii😂😂

  • @gabrieljr1422
    @gabrieljr1422 2 года назад +59

    Bwana harusi kageuka MC jaman sasa garab alifata nn huko 😀😀😀

  • @ikentertainment3145
    @ikentertainment3145 2 года назад +8

    Profesa jay wasn’t suppose to be in that room with full of jerks

  • @alvinmwendwa8356
    @alvinmwendwa8356 2 года назад +10

    Chawa wetu,, Mama levo ,,ananyemelea pesa ,, aty bosi wangu diamond ,, mshenzi kweli

    • @Kingtiger98
      @Kingtiger98 2 года назад

      J9. ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 2 года назад +3

    Awesome anajua kucheza na mastar kiakili hongera sana

    • @liliansingenda7492
      @liliansingenda7492 2 года назад

      oh mond sjui nini mishabiki mandazi hiyo angekua fup ungeskia sifaujinga kibao ila mondi kidume kutoka kupewa mizengwe yakutupiwa miyai stejin namijtu yaclous mpaka leo umekuwa zaid yao wanamtumia fup nakulialia ila hawataweza sisi tunakuelewa mzee baba usbweteke wapelekee moto

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 месяцев назад

    Daimond mashaallah,naomba nisaidie kumlipia mwng ada ya mwaka million 3 ,nahagaika kuitafuta

  • @ayubukhamis8673
    @ayubukhamis8673 2 года назад +9

    Danh kwaiyo ktk watu wote walioko hapo hakuna mtu mwenye ela kumzid mond.maan bwan harusi anavyo jikomba duh.mke wake sijui anajiskiaje.

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 года назад +7

    Zaman ukiwa Kalibu na mtemi mtemi akifa unazikwa nae ww ukiwa mzima unafukiwa ndobaba levo

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 года назад +4

    Huyo ndo Msanii Big Platnumz 💎💎🔥 Sema pesa zake zinatesa vijana wanaotoka familia za kimaskini sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад +21

    Watu wana pesa jaman daah 😢😢

    • @Kingtiger98
      @Kingtiger98 2 года назад +1

      Hi. ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 2 года назад +1

    Mke mrembo mashallah jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤👌

  • @MBGolden
    @MBGolden 2 года назад

    Asante kwa kupiga nimbo yangu 🙏🏾🙏🏾

  • @Zuulito
    @Zuulito 2 года назад +15

    Watu wana pesa jamani, mimi nahaha ada😥

    • @kwanzamwisho2708
      @kwanzamwisho2708 2 года назад

      Kubali yaishe, kuna mengi nyuma ya pazia. ujui hizo hela zinakujaje

    • @johnsonmbwana1405
      @johnsonmbwana1405 2 года назад +1

      Ucjar wakati wetu upo tupambane

  • @shamsiadamu780
    @shamsiadamu780 2 года назад +49

    Akili ya hawa watu ni kuwatamanisha wengine kwa kujionesha ufahari wao wa kifedha sio jambo zuri fedha sio kipimo cha maisha mazuri ila ni sehemu ndogo tu ya maisha Kwan maisha yana mambo mengi

  • @zaizaitwaha6633
    @zaizaitwaha6633 2 года назад +8

    Hii sio harusi ni sehemu ya kuwachambia wengine tu

  • @mariamissa2828
    @mariamissa2828 2 года назад +7

    C Bora hata angevaa suti yako , hiyo suti kama muhudinu wa ndege .harusi ya watu mnaanza kujinadi majugu

  • @neemawilliam8415
    @neemawilliam8415 2 года назад +3

    GaraB pole my dear yaan sidhan Kama umewah kufanya kazi yenye machawa mengiii hv wakakunyima Uhuru wa kazi yako!!!!! Yaaan umepigwa na kitu kizito kichwan halooo

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +1

    Mzee mwenzangu profer J ajionea nyotanyota tu kama mie dada ake 🙄😆😆.

  • @KillionMakinda
    @KillionMakinda 2 года назад +5

    Bwana Harusi tamaa mingi. Tangu lini tena kageuka MC? Jifunze adabu bwana

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 2 года назад +8

    Mungu akubariki diamond❤️💋

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 года назад +4

    Au kamwolea Diamond maana pesa nyingi mtu akutunze hivyo ahhhh ndio maana wanamtegeshea mimba anapesa ajui azifanyie nin 😁😜😜😁😁

  • @happinessmsila1896
    @happinessmsila1896 2 года назад +24

    Chawa amepewa kazi ya kushika fimbo

    • @theresiakaseno3163
      @theresiakaseno3163 2 года назад

      Jmn yn🤣

    • @ashuraumari1322
      @ashuraumari1322 2 года назад

      Ujaangalia vizuli fimbo kaiyacha ilopo kaa iyo yake baba Levo ludia tena kuangalia utagungua kitu ya mondi inan, gaa kama fedha

  • @magnusraphael2229
    @magnusraphael2229 2 года назад +52

    Hii ni kufuru naomba kujua kama watoto yatima, na wajane mtaweza kuwafanyia hivi ni wakat wa kuwakumbuka wenye dhiki na taabu na wenye magonjwa.

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 2 года назад +3

      Wanapenda misifa na kujionyesha na mashindano

    • @itsjonahfather7941
      @itsjonahfather7941 2 года назад +23

      Ndugu yangu maswala ya pesa huwez kumlazimishaa mtu afanyiee nini, Tafuta na ww pesa ufanyee unachowezaa kama kusaidia au hapana, USIMPANGIE MTU MATUMIZI

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 2 года назад +5

      Ukifanya wewe inatosha

    • @mao9622
      @mao9622 2 года назад +5

      Hela zake matumizi upange wewe

    • @shellaking6185
      @shellaking6185 2 года назад +1

      Diamond anapenda sifa hyo ni sifa tuh.

  • @roseukanda6015
    @roseukanda6015 2 года назад +1

    Diamond uwo ndiyo uhutu kabisa mungu akubariki

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 2 года назад

    🔥🔥

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 2 года назад +4

    Wealth should be shared with the need and the poor! We should not use our wealth that God has given to us extravagantly. Poor people and orphans are dying out their because of hunger and lack of shelter,brothers. Spend your wealth for charity and not for fun. Remember the days that you had nothing,bro! You prayed to God to give you less that what you own today. Now that you have more than what you had prayed for,try to show your humanity by supporting the poor and not those who are able. Unless your wealth is from the devil,bro. You will be questioned for all stupid things that you are doing now! Take it from me,bro.

    • @kagirasta1476
      @kagirasta1476 2 года назад

      Very True

    • @Phoenix_TechAnalyst
      @Phoenix_TechAnalyst 2 года назад +1

      I think this so negative. You are not in a position to dictate the spending of someone, unless you’re tripping bro.

  • @mutwirithirinja2457
    @mutwirithirinja2457 2 года назад

    Tz mtatuonyesha mambo 🥰

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed4763 2 года назад +14

    Kama MTU hujawahi kwenda Kwa mganga basi usimwite mwenzio mchawi maana wote ni washirikina.yule ambaye hajawahi kwenda basi ndie aongee,

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 года назад

      kabisa mn unajuaje km mchawi km hujenda kumchawiya jamani diamond wa2 wanampiga vita yule harmonize hakustahili kusema vile lkn washauri wake wabaya

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 2 года назад +4

    Baba levo umekuwa chawa mpka unaboaa

  • @catherineamos7087
    @catherineamos7087 2 года назад +1

    Duuuuuh!!! Hii Harusi nikuchambana kwanza halafu ubwabwa 🤣🤣🤣🤣

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 2 года назад +2

    PESA SI KITU JAMAN. TUNAZIACHA HAPA DUNIAN. TUREKEBISHE NA MUNGU MAISHA YETU JAMAN

  • @angelbarnabas7075
    @angelbarnabas7075 2 года назад +3

    Jamani aristote ana vituko sogezeni camera 📸🤣🤣🤣

    • @jp1780
      @jp1780 2 года назад

      Kwasababu wajinga wangelisema yalikuwa fake kwaiyo alifanya vizuri

  • @yeyemardin9119
    @yeyemardin9119 2 года назад

    Nc

  • @omarkalita5340
    @omarkalita5340 2 года назад +1

    Mmmmh kama alimzawadia kiwanja wapi hati miliki hapo kuna mchezo mana wbc kwa uongo ni namba 1

  • @elielekelele3582
    @elielekelele3582 2 года назад

    🔥✌️

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад

    Ela zaenda kwenye w2 wenye ela...duuh

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

    Mmmmmmmm, tutafute pesa Jaman!!! Maan mc 3 had baba levo

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 года назад +3

    Huyo ndo Msanii wengine wabana makoo tuu ila njaa zinawaua..Big Simba 🦁💪🙌🙌

  • @ibrahimyussuf3079
    @ibrahimyussuf3079 2 года назад +2

    Mimi pia nawa chawa wa diamond sio Kwa pesa hizo

  • @jeremiahpaul9345
    @jeremiahpaul9345 2 года назад

    Chawa baba levo

  • @neemaballati7526
    @neemaballati7526 2 года назад +1

    Ila kuna vijembe hatarii

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 2 года назад +9

    Bwana harus kageuka MC...🤣🤣🤣🤣

    • @rizikikhalid5119
      @rizikikhalid5119 2 года назад +2

      Uyo mama levo kama kipofu na iyo fimbo

    • @hamisahodari9229
      @hamisahodari9229 2 года назад +2

      @@rizikikhalid5119 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaaaan

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 2 года назад +7

    Million 80 bana acheni kupunguza bana

  • @shukurulymo9882
    @shukurulymo9882 2 года назад

    👃 saivi kawa bodigadi jamani wew ela

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 2 года назад +2

    Chawa ukijitunza kama aristote, lokole na Baba levo we nizaidi ya boss wako maana anavyokuthamini hadi anajisahau yeye.

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 2 года назад

    😲😲😲😲

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 года назад +2

    Kila mtu na Chawa wakee jamaniii🤣🤣🤣

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 2 года назад

    Baba levo chawa wa maana sana

  • @ashurachariomar1701
    @ashurachariomar1701 2 года назад +1

    Wasiompenda diamond bure yao mm nampenda bureee

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 года назад

      kabisa mie ndo usiseme nampenda sana haswaa na mwanangu pia anampenda haswa na hayuko Tz

  • @mariamissa2828
    @mariamissa2828 2 года назад +3

    Ungekakimya ingependza Ili watu wakushereheshe

  • @fatmatwalib8179
    @fatmatwalib8179 2 года назад

    Baba Levo haaa upunguze mda mwengn

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 2 года назад +3

    🔥🔥🔥❤️❤️❤️🦁🦁

  • @judytabby2777
    @judytabby2777 2 года назад +1

    Bwana harusi kiereere kaa nini

  • @rukiarashid3669
    @rukiarashid3669 2 года назад

    Kwani mwenye suti ya orange kaitwa?

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 2 года назад +9

    Anataka acheze na akili zetu...Tz wake up sa huyu bwana harusi au Mc 😅😅😅....ongelea maisha yako wewe utaishi vp na mkeo we wamsifia mtu Ahahahahah kaz kwel kwel

  • @trumptz6821
    @trumptz6821 2 года назад +2

    Respect allystote

  • @anthonysemiono3579
    @anthonysemiono3579 2 года назад

    Alistoteeeeeee😆😆😆😆

  • @Werema3760
    @Werema3760 2 года назад +4

    Million 80! Uku 30 tushike lip Simba kama simba

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад +1

      Kiwanja cha million hamsini na million thalathini cash

  • @sabinambega2599
    @sabinambega2599 2 года назад

    Baba levo chawa au bordgurd

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 2 года назад +5

    Acheni mambo ya kuabudu sanamu mwabuduni Mungu aliye hai

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 2 года назад +2

    Anapesa ama anataka kufunika kombee kujishauwa tuuu

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 года назад

    Bodyguard wa mond kazi unayo

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 2 года назад

    Mbona tu Mach mane anataka kumwaga moto atulii sehem moja mwijaku na ye yumo tu

  • @neemaballati7526
    @neemaballati7526 2 года назад +5

    Ila mwijaku anakera jmn D wangu mungu akuweke baba

    • @Kingtiger98
      @Kingtiger98 2 года назад

      Y7. ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html

    • @nersonjoseph5369
      @nersonjoseph5369 2 года назад

      Mzee wa kunyoosha maneno

    • @allamki2661
      @allamki2661 2 года назад

      Ni kutaka tu sifa...watu wamsifu....angempa..jeki bila mtu kujuwa

  • @remmysbrand
    @remmysbrand 2 года назад +5

    Huyu jamaa ni tajiri ila mshamba..... Matajiri wa Kibongo kwa kujitutumua bwana!

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 2 года назад

    Macha kama machawa😅😅😅😅😅

  • @halush175
    @halush175 2 года назад +1

    30 na mwenyewe wasafi wameandika 80m

  • @nekashash2190
    @nekashash2190 2 года назад

    Huyo mwijaku mbona km hajakaribishwa hapo 😂
    Mbona hana point 😂😂
    Hivi alialikw kweli?

  • @zenj1986
    @zenj1986 2 года назад +5

    Acheni ushamba kuvaa miwani nyeusi usiku🤔🤔🤔🤔🤔

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 2 года назад

    Zawadi co mpk uonyeshe mbele kadamnasi kwamb una hela cku zikiwaishia mtaficha wapi sura zenu

  • @fatmaabdul1407
    @fatmaabdul1407 2 года назад +6

    Full mipasho mweeh!! Kila mmoja na chawa wake na majigambo yake kazi ipo!!

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 2 года назад

    Daah watu na pesa zaoo

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 2 года назад

    Sherehe ya mashoga

  • @unicesaimon9459
    @unicesaimon9459 2 года назад

    Haaaaaah mondi ndo nn Sasa nilipenda Sana meanamke

  • @mbeguclassic3387
    @mbeguclassic3387 2 года назад +8

    🤣🤣🤣🤣 hapo mama levo anatamani aolewe na yeye atunzwe 🤣🤣🤣

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +2

    Mhm kazi ipoo watazamaji tumepgwa na kitu kizito kichwan

  • @pendotemba3614
    @pendotemba3614 2 года назад

    Yani kuwa chawa ni kaziii jamni unateseka unatetemeka kwa mtu mwenye khaa,yani baba levo anateseka mbayaa

  • @sumecute2513
    @sumecute2513 2 года назад +7

    Jmn,mondi unakosea,mbn hiyo pesa yote usimnunulie babako nyumba,we unawazawadi marafiki hata kama sio babako lkn alikulea maskini nzee Abdul

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +5

      Usimpangie wa usimuingilie mtu kwenye maisha yake, siri za ndani na whatever transpired toka akiwa mtoto hakuna ajuaye the whole story.
      Kuhumu binadamu ni kazi ya Mungu peke yake.

    • @sumecute2513
      @sumecute2513 2 года назад +1

      @@unclepwechnov1381 🙌sijaingilia maisha ya mtu wala sijampanhia mtu hayo maoni tu

    • @abubakarkassimmwinyimwinyi6382
      @abubakarkassimmwinyimwinyi6382 2 года назад +4

      Wewe ushamnunulia Baba baikeli? Hayakuhusu

    • @dcgcnyanza8877
      @dcgcnyanza8877 2 года назад +1

      Mond ana misifa kweli anashindwa kutengeneza mazngra ya mzee abdul,

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +5

      Kuna watu wamegeuka wasemaji wa 'mzee' Abdul bila kujua undani wa maisha yao, wengi ni haters wa Diamond ambao feelings zake means nothing to them.
      Kila mja ana machungu moyoni mwake na kusamehe aliyopitia ni hiyari wala si lazima.

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 года назад

    Hyo chawa pro max sasa baba levo

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori9387 2 года назад

    👏👏👏👏👏

  • @othumanikamilagwa1129
    @othumanikamilagwa1129 2 года назад

    Huyo chawa au bodigadi bichwa kubwa hata haoni noma.....?

  • @darklovely6877
    @darklovely6877 2 года назад

    I don't believe D gave him money just like that🤑🤑🤑please ppl you all need to wake up is business!!!! 😪😜

  • @lucasdaudi827
    @lucasdaudi827 2 года назад

    😅😅😃👍

  • @lovenessedward5478
    @lovenessedward5478 2 года назад +3

    Ovyoo kabisa eti "Diamond this! Diamond that" Kma machoko unamuongeleaje mwanaume mwenzio hivyo kweli chawa ni bimdogo

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 2 года назад

    Bwana harusi mbea hatari🤣🤣

  • @faidahalisi592
    @faidahalisi592 2 года назад

    Lakini diamond una mbwembwe

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 2 года назад

    Maisha yaria mabaya sana

  • @davidpaschal5363
    @davidpaschal5363 2 года назад

    D anapenda SFA xn

  • @yeyemardin9119
    @yeyemardin9119 2 года назад

    Kigoma mnatusaau

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 года назад +5

    Apeleke ulimbuken wake huko huyo sadala Hana lolote,nikuminya wasanii ndo anajua na kuja kuonyesha ufahali kwenye harusi..

  • @nekashash2190
    @nekashash2190 2 года назад

    Apo bwana harus ni yupi 😂😂

  • @maryamsadik3411
    @maryamsadik3411 2 года назад

    Watachana tu

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 2 года назад +1

    Hii ilikua rambirambi sio harusi make sio kwa upuuzi huu umegeuka ombaomba kwenye harusi, pia pole Mc make hii ilikus kigodoro

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад +1

    Siku ya machawa😜

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 2 года назад +1

    Kikubwa uzima na amani unaweza pata pesa ndefu lakini mm kapuru nikakuzidi amani 😂

  • @ethiopidemakaveli6644
    @ethiopidemakaveli6644 2 года назад +1

    Kusoma ni vizuri rafiki zangu.ujinga mubaya na kulelewa namamako tu si vizuri .domo sadala ni mujinga, mchafu, shoga na mushamba.harmonize kamukondesha hakili

    • @stevemwakisimba5986
      @stevemwakisimba5986 2 года назад +2

      We mkundu acha ujinga wako mbona baba yako mama yako hawajasoma na bado wakakuleta wewe ambae hata vidudu hujasoma achana na diamond atsendelea kupakatwa

    • @jimmybusiliye588
      @jimmybusiliye588 2 года назад

      Mpe nawe huo mkundu akufile

  • @stellamsangi4281
    @stellamsangi4281 2 года назад +1

    Aristotee wewe umekuwa MC? Unaongea hadi kichefuchefu Yaani