DIVA "Mange NILIMZALILISHA ALIJUA TUMEACHA na MUME WANGU"/"Anaandika HABARI za UONGO/MAWIFI CHANZO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Комментарии • 72

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Год назад +12

    maskini huyo Mwanaume wa perfume ameharibiwa biashara.

  • @beatricemassoy6349
    @beatricemassoy6349 Год назад +22

    Aiseeeeee kama mwendo ni huo wa kupewa kazi ww unaenda kujieleza mambo yako binafsi my dear utakosa hata kwingine huyo kaka anataman kulia jmn,,zungumzia habar ya pafyumu dyadyaaaa chineekeeee🙆‍♀️

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Год назад +6

    Huyu mkaka mwenye perfumes anaonekana amesha kereka hapo. Ila la jinc hapo.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Lazima akerwe mwanamke mjinga sana huyu

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Год назад

      ​@@leokamil6284😂😂😂 bila kumpigia huyo mganga wake nisingesikiliza hiyo habari za pafyum

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Год назад +12

    Yan Diva anampenda huyo mganga kitu kdgo akiulizwa ngoja nimpigie😂😂😂😂

    • @Thebaddest255
      @Thebaddest255 Год назад +1

      Yaani karibia interview Kama tatu anampigia huyo mganga wake 😂😂 alafu hata anaoneka si mkweli anasema tu😢

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Год назад

      KAROGWA nukta

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Год назад +8

    DIVA AKILI ZAKE ZA MTOTO,NA HUYO ABDIRIZAKH, KESHA MJUA UPEO WA AKILI YAKE,ANAENDA NAYE KAMA ALIVYO.

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 Год назад +11

    Diva this is very unprofessional kuongelea your personal life na mganga wako bora utolewe uo ambassador

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Год назад +5

    Hujamzalilisha acha uongo ulipigwa nakitu kizito

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z Год назад +7

    Mwanaume sio ndugu yako,weka akiba ya maneno

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад +3

    Daaah Mungu akupe akili dada yangu mmmh😢😢

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +5

    Hayo unayosema yanahusiana je na hiyo perfume. Kaka chukua perfume zako ukatafute ambassador mwengine hui ujinga hebu cancel katafute nyu mwengine na media nyengine. Kama uliona umefanyiwa kitu wrong nenda na kizungu chako mara useme accent ya kizungu mara huyo unasema kizaramu sijapenda ovyooo kama çhuzi la magozi. Huna issue kakojoe ukalale.

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 Год назад +4

    Diva usiseme ukamaliza kua na kaba koo,ndoa si rahisi kama unavyofikiria,ubabe,udiva uweke mbali afu maisha yako binafsi kuyaanika hadharani utashangaa,usimkanie mwenye vidole vitano,maliza mambo yako nyumbni chumbani,afu hao waambie hapo uko kazini si kusimulia mambo binafsi mpka alokupa kazi ameboeka.

  • @AzaShamba
    @AzaShamba Год назад +4

    Wewe diva, hapo uko KAZIn. Sio mambo ya person isue. KENGE ww😂😂. Abdul mwenyewe yule niko pale. Kwan kuapia msafu kwa wanaume kitu cha kawaida kuapia. Mume umemfumania anakataa. Yan ww utatumikaa sana, omba mungu upate vtoto hata viwil

    • @LindaMbilinyi-p8s
      @LindaMbilinyi-p8s Год назад +2

      Ana akil hyu??Kwan mwanaume kuapia na msahafu ndo nn??

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z Год назад +4

    Yan huyu mdomo komaaaa kujalia yetu macho

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +3

    Jinga kubwa zima sasa kilichokuita hapo ni hicho?kingereza cha ujinga mtupu

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +2

    Diva nakupenda ila shida kuchanganya ma file hapo Abdul kahusikaje ukipewa kazi fanya kazi waandishi wapo wanapenda sana umbea hilo tangazo tungetazama tuu bora ipo sura yako haina haja kutumia nguvu kuna watu wanahc hawakupendi ila wasipoona chochote kwako huumia ni ushauri tuu

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +2

    Kaka umekosa soko hapo hamna kitu katafute sehemu nyengine. Watu huku nje wanamponda huyo Diva na perfume zake. Kakojoeni mkalale hajuna biashara na kama nasema uongo mtanikumbuka

  • @RamaAbdul-d5n
    @RamaAbdul-d5n Год назад +6

    Very very very sorry Faboloos... 😢... Lengo kuu la Conference ni inshu ya Ambassador wa Perfumes so hayo personal issues inahusika vp na Perfumes??? So so sad

  • @leahzuu6468
    @leahzuu6468 Год назад +7

    Bora ungemchukuwa gigy money mpuuzi uyu biashara ya watu umezingua huna unachojua ww Diva

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Год назад +13

    Jueni kazi zenu. Mnapewa ubalozi badala ya kuongea kuhusu product mnaongea upuuzi wa diva binafsi. Kwani kalipwa kuongelea mambo yake binafsi au kutangaza perfume. Upumbav . The guy next to diva yuko bored

    • @RamaAbdul-d5n
      @RamaAbdul-d5n Год назад

      Yaan very Unprofessional kabisa.. Pole sana Fabolous Perfumes

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s Год назад +2

    Jnn hyu dada mwil tembo akil kisoda,me niliwah mfumania mume wang na akakataa na biblia akashika😂😂😂😂😂😂hao ndo wanaume,sasa unaridhika et mume wako kashika mstaafu looh pole,weka akiba ya maneno nakwambia hyo washa taa ipo siku utasema zima taa😅😅😅😅😅tupo hapa tutakukumbusha

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +1

    Ukimuona mtu amekaa na anatingisha mguu ujuwe mtu ana stress na huyu kijana toka alipoanza Diva kuongea habari ya mumewe anatingisha miguu unaona kichwa kinavocheza😂😂😂

  • @SavanahGemimah
    @SavanahGemimah Год назад

    Kingereza cha mchongo kapata mume WA mchongo sheikh ukwanju karogwa kweli

  • @aminaalphana2185
    @aminaalphana2185 Год назад +1

    Yani hili jimama nilahovyo sana hebu mwangalie na jisura lake kama makali shenziiii type 😏😏😏😏

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 Год назад +1

    Hastahiki ubalozi huyu anahalibu kazi za watu mbwa huyu kwanza sijapenda mshenzi huyu lione kwanza kama limwehu tu

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +2

    Na hisi huyu kaka anamfikiria gigy au masha love.hata kama kina gigy na masha wanajichetuwa akili lakini kwenye biashara wapo serious..mtu kaletwa kikazi mambo ya family ya nahusu wapi??kama anataka kuongea mambo ya family angefanya interview nyingine😂😂

  • @khadijambarouk2983
    @khadijambarouk2983 Год назад

    Maskini fabulous anatamani asitishe huo mkataba

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s Год назад +2

    Yaan namuona kbssa hyu kaka jins anavyojisikia vibaya maskin!!dah yaan badala ys kutangaza biashara unatangaza mahusiano yko mmh😂😂😂😂😂pole kaka mwarabu huna ambasada hapo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Год назад

      😂😂😂 kafanya tu vizuri tu mimi nisingesikiliza hiyo habari ya pafyum

    • @LindaMbilinyi-p8s
      @LindaMbilinyi-p8s Год назад +1

      😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Год назад +5

    Taa siwashi😂😂😂

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Год назад +1

    😅kaka wa watu anatamani kumzimia maiki😅

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Год назад +1

    We diva Acha ubabaifu tangaza biashara ya watu umbwa we

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Год назад

    Unaongeya no sence,Yani unasikiya raya kubaki unaulizwa maitapo,iyo fasi wange mupa Gygy money

  • @winnieamanya665
    @winnieamanya665 Год назад +2

    Keep on winning girl ...we love you 💕

  • @adelinakimaro8198
    @adelinakimaro8198 Год назад +2

    I feel so broken for the owner wa hizo perfume masikiniiii....yaani mtu ana brand products afu anakuja kuuliza jina hapo mbele ya camera ...yaaani you can see his dissapoinment kwa hyo body language yake ya kutikisika ni vile ana smile for the camera...next time kabla ya kuchagua ambassador heri umfanyie uchunguzi kama ana qualify usiweke tu mtu kisa jina ..afu aje aseme atii 80%ujamaa nyoko nyoko kwani ulilazimishwa unakuja kutamba ujinga hapo ....yaaanii ingekua conference yangu zoezi lingebadilika shwainiii

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi8945 Год назад

    Kupatwa kwa ndoa. Sijui ni ushamba wa mapenzi...akili ndogo kama ubongo wa samaki.

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад

    Duuh diva nimekucheka hujiwezi kwa mganga wako afu unatamba eti a´m diva

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Год назад +2

    The way uli muanika mume wako ni aibusana, ila mgana hajakuongea vibaya kwenye media sasa mmerudiyana and u can't clean up his name anymore, wanawake can be very emotionally childish.

    • @nurdinmkwachu28
      @nurdinmkwachu28 Год назад

      Ila yeye alisema TU kuwa anamto vizuri akaishia hapo

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    Na ndoa ni ww na Abdul kuna mambo sio lazima kuongea public nandy ni maarufu yy na mume wake ila wao hurangaza upendo tuu wafikiri hawagombani ila mabaya yao huishia ndani ndoa ukiweka kila kitu nje itakushinda mapenzi

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад +1

    Nimejua kwa nini mme wake anampiga anaongea nini sasa baada ya kutangaza biashara ya mtu anaongea mambo yake binafusi anamzalilisha mme wake, sasa hivi ndo atanyanyasa zaidi na viboko 😢

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    Kumbe ndio hili lililokufanya ututovukiye adabi

  • @Hermajestypurityjr
    @Hermajestypurityjr Год назад

    Pole sana fabulously

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 Год назад

    Huyo mumeo kwa kukana mambo ,hata kipindi kile amekuowa alikana kama hana wake wangine wiwili ,diva kuwa makini na huyo mumeo amekukatalia tu kwasababu na huyo mke aliemuowa hapendi drama wameongea wakakubaliana mwanaune amkane ili drama zisiendelei

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Год назад +7

    Kwani ukikataa kuongerea ndoa yako una pungukiwa nini ata unao watangazia biashara awajielewi fanya kazi ndoa kutwa mtandaoni ujiga huo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Год назад

      Yaani asingemwongelea huyo mganga wake mi nisingesikiliza pafyum

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Год назад +1

    Duhhhhh Tanzania bwana hiii so unprofessional usenge mtuhu maisha yako binafsi hapo kwenye biashara ya mtu inaumiza nini? Usenge tu msijitie

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Год назад +7

    yani hili li diva ni lijinga na manywele yake ya katani. yani ni 0 brain kabisa

  • @Hermajestypurityjr
    @Hermajestypurityjr Год назад

    Ila diva

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Год назад +1

    Sasa umeitwa kutangaza kazi za mtu au kujielezea mapenzi yako yani we ni matako sana

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 Год назад

    Hamna ata maana ya huu u ubalozi

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад

    Unavyodanya wadada watakupindua ili tuu kujua abdul kafanya nn kwako hadi umepagawa ndio tulivyo kua makini usitoe cord zako za upendo hapo tayari kuna watu wavunja nazi ili wampate abdul wako

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Год назад

    Kaka wa watu anajuta kukufahamu😅

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Год назад

    Nimeingia kwa sababu ya ndoa yake na mganga wake bila hivyo nisingeingia 😂😂😂 mimi na pafyum wapi na wapi 😂 lakini mwarabu wa watu kaingia cha kike 😂😂😂😂😂 huyo ndo diva sasa haelewi chochote kwa mganga wake

  • @shamsajumatzdqvhealv6227
    @shamsajumatzdqvhealv6227 Год назад

    👍

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +4

    Shoga heka heka ya shekh ya wiki 1 tuu kakonda 😂

  • @sulekhaabdul468
    @sulekhaabdul468 Год назад

    Hey uko na advatace kazi aw peoplem yako so rong

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Год назад

    We umbwa unatuboa unatupa asira yni utazania sisindio tunaiyo biashara umeharibu umbwa ww pumbavu zako