Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 273

  • @esheymohammed4406
    @esheymohammed4406 Год назад +51

    Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
    Sababu naziamin Rehema zake Karina
    Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
    Wangap tupo August 2023

  • @khadijamohamed925
    @khadijamohamed925 21 день назад +8

    2025.. Nimekinai umaskini wangu ndio maana nanawiri mwili aangu.. Kweli kupata na kukosa in jaala lake mungu

  • @swabrinanabila3578
    @swabrinanabila3578 3 месяца назад +14

    Yani hii week yote hii nyimbo iko kinywani mwangu nikasema leo acha niipekue RUclips🥰❤ ila maneno yake ndio ninayopitia Alhamdulillah basi inanipa nguvu sanaa nilkua nikiiskiza nikipitia mama zangu wadogo nikiwa na umri wa miaka kama kumi ila hadi leo ni nyimbo number one kwa wale ambao wanapambana na hali ya umaskini ❤❤❤❤❤❤

  • @gladdyswakesho954
    @gladdyswakesho954 Год назад +23

    Nyimbo Zuri Sana Wakutia Moyo Kimaisha. Shukrani Mamaa Mwenyewe Mungu Akujalie Kheri. ❤❤❤

  • @husnaabdallah4714
    @husnaabdallah4714 10 месяцев назад +19

    Nyimbo nzuri sana ina manemo mazuri na sauti nzuri ya Bi Mwanahawa. Nimetoka kuangalia interview ya Bi Mwanahawa na Zamaradi TV nikakumbuka nyimbo zake

  • @shillingiomar6902
    @shillingiomar6902 11 месяцев назад +73

    2024 hata Mimi mama sitachoka kusubiri mpaka riziki zangu zishuke na wala sitaenda ugangani ALLAHUAKBAR

  • @khadijanyevu5866
    @khadijanyevu5866 2 месяца назад +10

    Wako wapi wale bado twaiskiza hii nyimbo mpaka leo hii Nov 2024

  • @ThushShroff
    @ThushShroff Год назад +29

    Its 2024 am still listening to this master piece😘❤🌹

  • @DottoMatume
    @DottoMatume 9 месяцев назад +17

    2024 ❤ Bado nausikiliza nashukulu mungu nausikiliza Tena na nauona mpya huu wimboo❤❤❤❤🎉

  • @SophiaKigombola
    @SophiaKigombola Год назад +16

    Mashallah, wimbo mzuri, mashairi mazuri ya kutia moyo, wallah ukiuckiza unapata nguvu ya kusonga mbele, unagusa hisia haswa. Mama asante kwa huu wimbo. Sauti tamu.

  • @MwanahawaIdd-lp5be
    @MwanahawaIdd-lp5be 5 месяцев назад +8

    Kiukweli uno wimbo ulimgusa mama yangu akanizaa na kuniita somo yangu Mungu akurahamu mama yangu 😢😢

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Год назад +19

    Mama mwenye heshima yake na nyimbo zake.Hy alikuwa anaelimisha kupitia nyimbo zake.Kwa kweli hy ndio alitakiwa kupewa cheo cha Malkia wa Taarab Tanzania

    • @RamadhanKhamisi-k9b
      @RamadhanKhamisi-k9b Год назад +2

      Naungana na wewe %100

    • @ashurafarhan8335
      @ashurafarhan8335 4 месяца назад +1

      Nkweli huyu ndie snaefaa kabisa kwanza ametulia

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 4 месяца назад

      ​@@RamadhanKhamisi-k9bjee khadija kopa

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 4 месяца назад +2

      ​@@RamadhanKhamisi-k9bmwanahawa ally na Saba salum 2 peke wenye wanaimba nyimbo za kiheshima

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 4 месяца назад

      ​@@ashurafarhan8335wa pili saba salum muchacho

  • @titusmasika6727
    @titusmasika6727 Год назад +52

    2023 na bado nauskiza wimbo huuu.naupenda sanaa kweli hakuna mtimilifu sote viumbe wa Mungu na mimi ipo siku nitaganyiwa na mimi fungu langu

  • @borismagwila5004
    @borismagwila5004 3 месяца назад +4

    Wasanii kama huyu ilibidi wawe matajiri lakini bahati haikuwa yao ila vipaji wanavyo na sauti maa sha Allah

  • @BahatiMohammed-q1n
    @BahatiMohammed-q1n Год назад +9

    Mwanahawa maamaa wa busara nampenda sanaa na nyimbo zake zanikosha

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Год назад +10

    Hizi ndio nyimbo sasa ♥️♥️

  • @JanethSaloon
    @JanethSaloon 4 месяца назад +5

    Umeumbwa! Nimeumbwa! Hakuna mtimilifu sote ni waja wa MUNGU 🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +7

    Nimekinahi umasikini wangu........ipo sikuuuù nitapata langu funguuu🎶🎶🎶🥰🥰🔥🔥🔥

  • @dorcaskimati547
    @dorcaskimati547 4 месяца назад +10

    Ni 2024 na nasikiliza ♥️

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy 4 месяца назад +4

    Japo mm maskini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema 2024

  • @nadiafahad3926
    @nadiafahad3926 Месяц назад +1

    Nasikiliza 😊 nikiwa ndani ya 🇴🇲 Allah atujaalie tuage 2024 kwa salama 😊❤❤❤❤ nyimbo tamuu sn

  • @zaburhassan6815
    @zaburhassan6815 3 месяца назад +3

    Mama aliipenda sana huu wimbo 😢 fly high queen 🕊️❤️

  • @abdulyiddy358
    @abdulyiddy358 9 месяцев назад +8

    Yake mola mitihani nitapasi naamini 2024

  • @wardasalim562
    @wardasalim562 Год назад +4

    Alhmdulillah m.mungu muwezaaa habaguiiii😢😢

  • @Aisha-q3c
    @Aisha-q3c Месяц назад +2

    Naapa sintozalilika nikauza utu wangu natangaza hazarani nimekinai na umaskini japo mm maskini nimeumbwa umeumbwa hakuna mtimilifu😊❤

  • @mohdalliy656
    @mohdalliy656 4 месяца назад +2

    Bado 2024 nipo nausikilza huu wimbo naupnda sna @MWANAHAWA ALI❤❤Umaskini wangu haunipi tahayuri

  • @athmanbakari9992
    @athmanbakari9992 2 месяца назад +1

    Nakupenda sana Mamaetu Allah akujaalie afya na umri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @WardaSaidy-cd8gb
    @WardaSaidy-cd8gb 3 месяца назад +4

    2024 na still ndo nyimbo yangu pendwaa

  • @ZainabuFondo
    @ZainabuFondo 10 месяцев назад +10

    nyimbo nzuri ya kutia moyo

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 9 месяцев назад +6

    R.I.P mama anga ,alikua anaupenda sana huu wimbo 😢

  • @saumukiduma
    @saumukiduma Год назад +3

    Naupenda sana huu wimbo❤❤❤❤san

  • @MpateIsmail
    @MpateIsmail Год назад +2

    Izi ndo nyimbo sasa sio tx mpenzi doctar wangu zamani ni matusi matupu ndani ya ujumbe

  • @BabaQayllah-w8z
    @BabaQayllah-w8z 10 месяцев назад +5

    Best song ever in the taarabu MusiC

  • @AsmasaidiTitu
    @AsmasaidiTitu 2 месяца назад +1

    Hii nyimbo ndio kwanza toka tz kufika Kenya naishikia miaka hioo

  • @mrsjaffar5704
    @mrsjaffar5704 2 года назад +15

    Mshallha naipenda hii nyimbo

    • @sandukuladhahabu
      @sandukuladhahabu  Год назад +2

      moja kati ya nyimbo bora za mwanahawa ali

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 4 месяца назад

      ​@@sandukuladhahabutupe video clip please 🙏🙏🙏🙏😢😢

  • @mayassaally5219
    @mayassaally5219 Месяц назад +1

    Nyimbo hii itaishi mileleee....nzuri sanaaaa

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Год назад +6

    Whenever I listen to this song lazima nipate huzuni kwa nafsi. Such a unique. Ahsante Mwanahawa Ally.

    • @Bigbossman-e1h
      @Bigbossman-e1h Год назад +1

      "Wala hajamkosea yule mja akosae....."namimi nikisikia hii verse nazidi kuamini Mungu

    • @cosmashinju1197
      @cosmashinju1197 4 месяца назад

      huyu mama anasauti ya dhahabu maana akiwa anaimba anauwezo mkubwa wa kuchezea sauti yake

  • @zawadigodson
    @zawadigodson Год назад +2

    Mashallah❤yani Sina lakusema hapo myimbo inamafunzo❤❤❤ Sana

  • @AliMmanga-ir9dk
    @AliMmanga-ir9dk Год назад +3

    Huu wimbo unanipa hop kwenye ndowa yagu.kwellyy mtihani ❤❤❤❤ song

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz Год назад +3

    Kiukweli nyimbo hii naipenda sana na huwa inaniliza sana sijui ame waza nini mungu ambariki

  • @TatuWenge
    @TatuWenge 3 месяца назад +3

    Japo mimi masikini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima

  • @ericmusyoki9144
    @ericmusyoki9144 Год назад +3

    Huu wimbo naupenda sana t sana, tena unamashahiri mengi

  • @lawrencejamesernest
    @lawrencejamesernest Год назад +4

    ❤❤❤walah mpk chozi lanitoka nimemkumbuka marehemu dada yangu alikuwa anaupenda

  • @MaryamIbu-l1d
    @MaryamIbu-l1d Год назад +2

    Umeonge kwel kuuza utu sio mafnikio bali mungu ndiye😂 mtoa riziki 🎉❤

  • @swabrinanabila3578
    @swabrinanabila3578 3 месяца назад +1

    Nimekinai umaskini wangu.... ipo siku nitapata langu fungu🥰❤🙏

  • @salumusalumu8376
    @salumusalumu8376 Год назад +4

    Kiukweli mama taarabu zako hazichuji nazipenda mimi nazisikiliza na mke wangu mama mwana ndani ya kisalawe daaa

  • @AshaShabanFettyNdeluwe
    @AshaShabanFettyNdeluwe 11 месяцев назад +2

    Napenda mpka kwenye dam ❤❤❤❤🎉

  • @mariambaraka3339
    @mariambaraka3339 Год назад +24

    Hizi ni nyimbo ambazo hazizeeki kila wakat iko ktk chati

  • @bintikhamisi
    @bintikhamisi Год назад +2

    Yake mola mitihan nitapasi naamin siinyongi roho yng Inshaallah mola muenza atanipa lng fungu😊

  • @FatmaMohamedy-u1t
    @FatmaMohamedy-u1t 7 дней назад

    Alhamdulilah nimekumbuka bali sana mama yangu kipenzi

  • @MboniOberdMtweve
    @MboniOberdMtweve 2 месяца назад +7

    2024 tulioskiliza ote mkuje

  • @rashidsaidi-p5o
    @rashidsaidi-p5o 28 дней назад +1

    Tupooooh kwaujazo mwingii tyu

  • @IsmailBabala
    @IsmailBabala Год назад +3

    Shairi nzuri Pia ni funzo kwa waja

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 Год назад +21

    2024 na bado inavutia masikioni

  • @Aisha-c4g4w
    @Aisha-c4g4w 7 дней назад

    Maua Yako maaa, nimeipenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aliyasaid21
    @aliyasaid21 11 месяцев назад +1

    Mashaallh nime penda ni ukweli mtupu

  • @SaidSalim-iz5ku
    @SaidSalim-iz5ku 18 дней назад

    Nsha allah Mola muweza atanipa langu fungu

  • @leonardbenjamin3592
    @leonardbenjamin3592 Месяц назад

    Allah azidi kukupa umri mrefu mama etu mwana hela

  • @NuruKasim-nz1fc
    @NuruKasim-nz1fc Год назад +4

    Kwa masaibu ninayo pitia nikisikiza hizo nyimbo hunifariji

  • @maskuzmedia
    @maskuzmedia Год назад +23

    2023 Tupo 🔥

  • @henrymutabari
    @henrymutabari 8 месяцев назад +1

    Mwana Ali napenda nyimbo zake kwaza huu wa nimekinai umaskini wangu❤ from 🇰🇪

  • @kingahmed5442
    @kingahmed5442 2 года назад +33

    2023 where are you guys

  • @jamilasaidy-mk1yt
    @jamilasaidy-mk1yt Год назад +7

    Naipenda hii nyimbo mpaka Leo❤️♥️❤️

  • @MwanahamisiKayuga
    @MwanahamisiKayuga 7 месяцев назад

    Haushi hamu huu wimbo, ya Allah tuzidishie subra, tuweze kuivuka mitihani yarabby🤲

  • @caashoramadaan
    @caashoramadaan Год назад +2

    Naupenda wimbo wa umaskini sausikiliza mbaka leo umepangwa ukapangika maneno na sauti ilopowa

  • @saumuhamadi-wo7st
    @saumuhamadi-wo7st Год назад +1

    Mashallah yani sina lakusema hap nyimbo inamafunzo sana

  • @LuckyJanja
    @LuckyJanja Год назад +1

    Achana tu na hii nyimbo ata kama nimelala nikisikia nagutuka Asante sana mwanahawa

  • @ZulfatRamadhani
    @ZulfatRamadhani 3 месяца назад +2

    Maneno ya busara kabisaaaaa

  • @AliAbdulaIddi
    @AliAbdulaIddi 3 месяца назад +1

    Kweli umasiki wng kinai kupata au kosa yyt 😊

  • @HidayaKiloo
    @HidayaKiloo 5 месяцев назад

    Da nihatar sana yan unapata maudhui saf kabsa Wimbo mtamu sana ❤❤❤

  • @davidmaelo6615
    @davidmaelo6615 11 месяцев назад +3

    @2024, Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
    Sababu naziamin Rehema zake Karina
    Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
    Tungo kama hizi hazikupatikana rahisi pasipo na waalimu kama mma. Shairi limeenda shule na limekoma.

    • @SummymaddyMaddy
      @SummymaddyMaddy 4 месяца назад

      Rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema ❤❤❤

  • @mnandamchirikutv5399
    @mnandamchirikutv5399 Год назад +1

    Jaman kuna nyimbo ya zamani ilikua inaitwa shoga nilikuamin imeimbwa sijui na bend gan sijui yemen stars

  • @HawaYusuf-ik1ps
    @HawaYusuf-ik1ps Год назад +3

    Nyieee wimbo haushi utamu aiseeeey❤❤❤

    • @Bigbossman-e1h
      @Bigbossman-e1h Год назад

      Santaaa kwa kuujua utamu wee Mombasa ndio mwanzo nyimbo hii haitwishi hamu

  • @mwanashaabdulkadir
    @mwanashaabdulkadir 6 месяцев назад +1

    Yake mola mtihani nita pasi namimi ❤😊

  • @umarmataka1857
    @umarmataka1857 Год назад +9

    the song that taught me kiswahili

  • @fartunhibaq296
    @fartunhibaq296 29 дней назад

    Nasikiliza nikiwa Kisiwa cha Ayo yaani Kismaayo Somalia 2025 ❤

  • @lucykimaru4171
    @lucykimaru4171 Год назад +4

    Hum wimbo wanikumbusha mengi ❤

  • @RidhiwaniKoja
    @RidhiwaniKoja Год назад +2

    Imetulia ww wanazipiga tukumbukie nakumbuka ikweta mtoni kwazizi ari

  • @0719-d8z
    @0719-d8z Месяц назад

    AN ALL-TIME MASTERPIECE:. ART AT ITS BEST

  • @bausonameeeenmunguninimuwe8900
    @bausonameeeenmunguninimuwe8900 Год назад +2

    Wimbo huu unanikumbusha mbali sana tujuane 2023

  • @MwanahamisAjali
    @MwanahamisAjali Год назад +1

    Hizi ndio nyimbo❤❤❤❤ kwanza zinamafunzo

  • @Hasna-og2tg
    @Hasna-og2tg 4 месяца назад

    Kwakweli mashahallah ❤❤❤❤makiniii 🎉🎉🎉🎉

  • @FrolaWillium-dx8pl
    @FrolaWillium-dx8pl Год назад +1

    Hata mimi unanikuna sana naipenda sana hii nyimbo

  • @BakariIbrahim-pv9mi
    @BakariIbrahim-pv9mi Год назад +1

    Dahh zamani nakumbuka enzi hizo wengine tuliokuwa pamoja sasaivi hawapo 😂😂😂😂

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 Год назад +5

    Hauishi utamu huu wimbo 😍

  • @KhadijaRamadhan-y8g
    @KhadijaRamadhan-y8g 4 месяца назад

    Ukiiskiliza kwa makini machoz lazima yatoke🥹🥹❤️🙏🏽

  • @Mariam-ey3dr
    @Mariam-ey3dr 8 месяцев назад

    MaashaAllah nyimbo zako nzuri Wala sio za mafumbo

  • @Bahati-x1v
    @Bahati-x1v 4 месяца назад +2

    Vya kale dhahabu hizi ndo zilikua taarabu

  • @AllyMuhunzi-t3r
    @AllyMuhunzi-t3r Год назад +4

    Mwimbaji wangu bora wa muda wote wa taarabu

  • @zainabjuma1359
    @zainabjuma1359 Год назад +3

    Wow ni nzur kwa kweli ❤️😘

  • @AsiammsuMsury
    @AsiammsuMsury 7 месяцев назад

    Hata mimi sitachoka unanilumbusha mbali sana maisha yangu na mama yangu maisha yetu

  • @MaimunaMohamed-b1n
    @MaimunaMohamed-b1n Год назад +1

    Wimbo bando naupenda sana

  • @HappyHappynesskileo
    @HappyHappynesskileo 5 месяцев назад +8

    2024 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒘𝒊𝒎𝒃𝒐 𝒖𝒏𝒂𝒕𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒔𝒂𝒇𝒊 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂

  • @ShenazAbdalla
    @ShenazAbdalla 7 месяцев назад +1

    It's rey nice this song ,it has truetness no matter how old it is.

  • @RavianakandidoNzuga
    @RavianakandidoNzuga 2 месяца назад

    Naamin kupata na kukusa ni jalaa yake mungu 🙏🙏

  • @Aisha-w7f2p
    @Aisha-w7f2p 11 месяцев назад +1

    Nyimbo ndio kama hizi hata,ukiwa nastres,inaisha

  • @swaumuugata4166
    @swaumuugata4166 Месяц назад +1

    2024 nipo nausikiliza

  • @SwalhaZira
    @SwalhaZira 4 месяца назад

    Allah atupe na sisi furaha

  • @RahmaShariff-t3k
    @RahmaShariff-t3k 3 месяца назад

    Yaani mistari inatukumbusha kuwa Rizki anatoa Mungu. Usilazimishe kwa nguvu mwisho wake kwa P.didi😅😅

  • @NeemaKaifa
    @NeemaKaifa 8 месяцев назад +1

    2024 bado nasikiliza 🔥🔥🔥old is Gold