Nyimbo nzuri sana ina manemo mazuri na sauti nzuri ya Bi Mwanahawa. Nimetoka kuangalia interview ya Bi Mwanahawa na Zamaradi TV nikakumbuka nyimbo zake
Mashallah, wimbo mzuri, mashairi mazuri ya kutia moyo, wallah ukiuckiza unapata nguvu ya kusonga mbele, unagusa hisia haswa. Mama asante kwa huu wimbo. Sauti tamu.
Mama mwenye heshima yake na nyimbo zake.Hy alikuwa anaelimisha kupitia nyimbo zake.Kwa kweli hy ndio alitakiwa kupewa cheo cha Malkia wa Taarab Tanzania
@2024, Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma Sababu naziamin Rehema zake Karina Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema Tungo kama hizi hazikupatikana rahisi pasipo na waalimu kama mma. Shairi limeenda shule na limekoma.
Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
Sababu naziamin Rehema zake Karina
Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
Wangap tupo August 2023
Its 2024 am still listening to this master piece😘❤🌹
2024 ❤ Bado nausikiliza nashukulu mungu nausikiliza Tena na nauona mpya huu wimboo❤❤❤❤🎉
2024 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒘𝒊𝒎𝒃𝒐 𝒖𝒏𝒂𝒕𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒔𝒂𝒇𝒊 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂
Hizi ni nyimbo ambazo hazizeeki kila wakat iko ktk chati
2023 where are you guys
Tuko apa 2023
2024 hata Mimi mama sitachoka kusubiri mpaka riziki zangu zishuke na wala sitaenda ugangani ALLAHUAKBAR
❤❤❤❤2024 tupo pamoja
❤❤❤
❤❤❤
Nyimbo Zuri Sana Wakutia Moyo Kimaisha. Shukrani Mamaa Mwenyewe Mungu Akujalie Kheri. ❤❤❤
My mum yuaitwa Wakesho🤲🏾😇
Wow Somo Yangu Sio 😊. MashaAllah...🥳🥳🥳💃💃💃
@@gladdyswakesho954 yesss ✨😚
@@bakaromarofficial 😢 it be ok 🎉tyytic goo uu uuiç in
Nyimbo nzuri sana ina manemo mazuri na sauti nzuri ya Bi Mwanahawa. Nimetoka kuangalia interview ya Bi Mwanahawa na Zamaradi TV nikakumbuka nyimbo zake
Mashallah, wimbo mzuri, mashairi mazuri ya kutia moyo, wallah ukiuckiza unapata nguvu ya kusonga mbele, unagusa hisia haswa. Mama asante kwa huu wimbo. Sauti tamu.
2023 Tupo 🔥
Tupo tena kwa Sanaa 👍🏿👍🏿👍🏿❤️❤️❤️🇰🇪
🇹🇿
Its 2024 am still listening to this master piece😘❤🌹
2024 na bado inavutia masikioni
Yake mola mitihani nitapasi naamini 2024
Nimekinahi umasikini wangu........ipo sikuuuù nitapata langu funguuu🎶🎶🎶🥰🥰🔥🔥🔥
Mwanahawa maamaa wa busara nampenda sanaa na nyimbo zake zanikosha
nyimbo nzuri ya kutia moyo
Kwa masaibu ninayo pitia nikisikiza hizo nyimbo hunifariji
the song that taught me kiswahili
R.I.P mama anga ,alikua anaupenda sana huu wimbo 😢
Mshallha naipenda hii nyimbo
moja kati ya nyimbo bora za mwanahawa ali
@@sandukuladhahabutupe video clip please 🙏🙏🙏🙏😢😢
Whenever I listen to this song lazima nipate huzuni kwa nafsi. Such a unique. Ahsante Mwanahawa Ally.
"Wala hajamkosea yule mja akosae....."namimi nikisikia hii verse nazidi kuamini Mungu
huyu mama anasauti ya dhahabu maana akiwa anaimba anauwezo mkubwa wa kuchezea sauti yake
Hizi ndio nyimbo sasa ♥️♥️
2023 na bado nauskiza wimbo huuu.naupenda sanaa kweli hakuna mtimilifu sote viumbe wa Mungu na mimi ipo siku nitaganyiwa na mimi fungu langu
Tusikate tamaa ipo siku
@@hashunjauriah2776puifiu.
Http moo
@@hashunjauriah2776
P0
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mm zaidi
Bado 2024 nipo nausikilza huu wimbo naupnda sna @MWANAHAWA ALI❤❤Umaskini wangu haunipi tahayuri
7/12/2024 full handas na hi taarab
Mama mwenye heshima yake na nyimbo zake.Hy alikuwa anaelimisha kupitia nyimbo zake.Kwa kweli hy ndio alitakiwa kupewa cheo cha Malkia wa Taarab Tanzania
Naungana na wewe %100
Nkweli huyu ndie snaefaa kabisa kwanza ametulia
@@RamadhanKhamisi-k9bjee khadija kopa
@@RamadhanKhamisi-k9bmwanahawa ally na Saba salum 2 peke wenye wanaimba nyimbo za kiheshima
@@ashurafarhan8335wa pili saba salum muchacho
Kiukweli mama taarabu zako hazichuji nazipenda mimi nazisikiliza na mke wangu mama mwana ndani ya kisalawe daaa
Kiukweli uno wimbo ulimgusa mama yangu akanizaa na kuniita somo yangu Mungu akurahamu mama yangu 😢😢
Umeumbwa! Nimeumbwa! Hakuna mtimilifu sote ni waja wa MUNGU 🙏🙏
It's rey nice this song ,it has truetness no matter how old it is.
❤
Japo mm maskini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema 2024
Umeonge kwel kuuza utu sio mafnikio bali mungu ndiye😂 mtoa riziki 🎉❤
Huu wimbo naupenda sana t sana, tena unamashahiri mengi
Best song ever in the taarabu MusiC
Alhmdulillah m.mungu muwezaaa habaguiiii😢😢
Huu wimbo unanipa hop kwenye ndowa yagu.kwellyy mtihani ❤❤❤❤ song
𝒖𝒎𝒂𝒔𝒊𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒘𝒂𝒏𝒈𝒖❤❤❤❤❤
Dahh zamani nakumbuka enzi hizo wengine tuliokuwa pamoja sasaivi hawapo 😂😂😂😂
Vya kale dhahabu hizi ndo zilikua taarabu
Nasikiliza 2024 april live from mtongwe barracks
Hauishi utamu huu wimbo 😍
Kabisaaa ❤
Jaman kuna nyimbo ya zamani ilikua inaitwa shoga nilikuamin imeimbwa sijui na bend gan sijui yemen stars
Abadan
❤❤
Imetulia ww wanazipiga tukumbukie nakumbuka ikweta mtoni kwazizi ari
Naupenda sana huu wimbo❤❤❤❤san
@2024, Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
Sababu naziamin Rehema zake Karina
Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
Tungo kama hizi hazikupatikana rahisi pasipo na waalimu kama mma. Shairi limeenda shule na limekoma.
Rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema ❤❤❤
Ina mafundisho
Hum wimbo wanikumbusha mengi ❤
Me too
Nyimbo ndio kama hizi hata,ukiwa nastres,inaisha
Mwana Ali napenda nyimbo zake kwaza huu wa nimekinai umaskini wangu❤ from 🇰🇪
Good,good.
J tree
Nakupenda sana huu wimbo jamani kunakipindi nilichekwa sasa Mungu kanishushia Nuru
Ni 2024 na nasikiliza ♥️
Naupenda wimbo wa umaskini sausikiliza mbaka leo umepangwa ukapangika maneno na sauti ilopowa
Nyimbo imetulia haina mambo mengi naa ina ilimu pia
Mashallah❤yani Sina lakusema hapo myimbo inamafunzo❤❤❤ Sana
Mwimbaji wangu bora wa muda wote wa taarabu
Kweli
#hii nyimbo naikubali mpk naumwa na sitoifuta kamwe
Izi ndo nyimbo sasa sio tx mpenzi doctar wangu zamani ni matusi matupu ndani ya ujumbe
13/08/2024 master piece
Yake mola mitihan nitapasi naamin siinyongi roho yng Inshaallah mola muenza atanipa lng fungu😊
Kila siku nasikiliza nasisinywi
Shairi nzuri Pia ni funzo kwa waja
Umesema mama nikweli
Bure mkinikebehi ni ya mola takadiri
Naipenda hii nyimbo mpaka Leo❤️♥️❤️
Umasikini hauniduru wala haunipi joto daah hatar
2023 bado nasikiliza ahsante mama
Tupoooo
Mashallaah
mama unajuwa kupiga rudi mzigoni mashabiki tupo
Nyimbo ziliimbwa jamani
radha asilia
kweli
@@sandukuladhahabuvideo clip yake please 🙏🙏🙏
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana tujuane 2023
2030 bado tuko hapa jamani nyimbo tamu hii
Mashaallh nime penda ni ukweli mtupu
Oooyoòo sintodhalilika nikauza utu wangu
Hta mm sitochoka kusubil maana ridhik mafungu Saba yangu tu
❤❤❤
Wow ni nzur kwa kweli ❤️😘
Nyimbo yangu pendwaaa
2024
Inankumbusha mbali sana
Umasikini haunidhuru wala haunipi joto😢
Nakupenda sana mama
Kiukweli nyimbo hii naipenda sana na huwa inaniliza sana sijui ame waza nini mungu ambariki
Achana tu na hii nyimbo ata kama nimelala nikisikia nagutuka Asante sana mwanahawa
Wimbo bando naupenda sana
Kwel kabisa
Napenda mpka kwenye dam ❤❤❤❤🎉
Ukiiskiliza kwa makini machoz lazima yatoke🥹🥹❤️🙏🏽
Mashallah yani sina lakusema hap nyimbo inamafunzo sana
Hata mimi unanikuna sana naipenda sana hii nyimbo
2024 ❤❤
Mashaallah dada yetu
❤❤❤
Ata ukiwa na familia yako unaskilizia.
2023🥰🥰
Mama,sichoki mpaka kieleweke mama
24naminikupata
Nakukosa nihiyal yake MUNGU waoooooo natangazahazaln nimekinah umackn wang