Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Kweli yakale dhahabu

Комментарии • 205

  • @esheymohammed4406
    @esheymohammed4406 Год назад +29

    Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
    Sababu naziamin Rehema zake Karina
    Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
    Wangap tupo August 2023

  • @ThushShroff
    @ThushShroff 8 месяцев назад +17

    Its 2024 am still listening to this master piece😘❤🌹

  • @DottoMatume
    @DottoMatume 4 месяца назад +15

    2024 ❤ Bado nausikiliza nashukulu mungu nausikiliza Tena na nauona mpya huu wimboo❤❤❤❤🎉

  • @HappyHappynesskileo
    @HappyHappynesskileo Месяц назад +4

    2024 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒘𝒊𝒎𝒃𝒐 𝒖𝒏𝒂𝒕𝒂𝒎𝒃𝒂 𝒔𝒂𝒇𝒊 𝒌𝒂𝒃𝒊𝒔𝒂

  • @mariambaraka3339
    @mariambaraka3339 Год назад +19

    Hizi ni nyimbo ambazo hazizeeki kila wakat iko ktk chati

  • @kingahmed5442
    @kingahmed5442 Год назад +28

    2023 where are you guys

  • @shillingiomar6902
    @shillingiomar6902 7 месяцев назад +32

    2024 hata Mimi mama sitachoka kusubiri mpaka riziki zangu zishuke na wala sitaenda ugangani ALLAHUAKBAR

  • @gladdyswakesho954
    @gladdyswakesho954 Год назад +15

    Nyimbo Zuri Sana Wakutia Moyo Kimaisha. Shukrani Mamaa Mwenyewe Mungu Akujalie Kheri. ❤❤❤

  • @husnaabdallah4714
    @husnaabdallah4714 6 месяцев назад +15

    Nyimbo nzuri sana ina manemo mazuri na sauti nzuri ya Bi Mwanahawa. Nimetoka kuangalia interview ya Bi Mwanahawa na Zamaradi TV nikakumbuka nyimbo zake

  • @SophiaKigombola
    @SophiaKigombola Год назад +13

    Mashallah, wimbo mzuri, mashairi mazuri ya kutia moyo, wallah ukiuckiza unapata nguvu ya kusonga mbele, unagusa hisia haswa. Mama asante kwa huu wimbo. Sauti tamu.

  • @maskuzmedia
    @maskuzmedia Год назад +19

    2023 Tupo 🔥

  • @ThushShroff
    @ThushShroff 8 месяцев назад +2

    Its 2024 am still listening to this master piece😘❤🌹

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 8 месяцев назад +15

    2024 na bado inavutia masikioni

  • @abdulyiddy358
    @abdulyiddy358 5 месяцев назад +6

    Yake mola mitihani nitapasi naamini 2024

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +5

    Nimekinahi umasikini wangu........ipo sikuuuù nitapata langu funguuu🎶🎶🎶🥰🥰🔥🔥🔥

  • @BahatiMohammed-q1n
    @BahatiMohammed-q1n 9 месяцев назад +5

    Mwanahawa maamaa wa busara nampenda sanaa na nyimbo zake zanikosha

  • @ZainabuFondo
    @ZainabuFondo 6 месяцев назад +6

    nyimbo nzuri ya kutia moyo

  • @NuruKasim-nz1fc
    @NuruKasim-nz1fc 11 месяцев назад +3

    Kwa masaibu ninayo pitia nikisikiza hizo nyimbo hunifariji

  • @umarmataka1857
    @umarmataka1857 Год назад +8

    the song that taught me kiswahili

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 5 месяцев назад +3

    R.I.P mama anga ,alikua anaupenda sana huu wimbo 😢

  • @mrsjaffar5704
    @mrsjaffar5704 Год назад +12

    Mshallha naipenda hii nyimbo

    • @sandukuladhahabu
      @sandukuladhahabu  Год назад +2

      moja kati ya nyimbo bora za mwanahawa ali

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 12 часов назад

      ​@@sandukuladhahabutupe video clip please 🙏🙏🙏🙏😢😢

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Год назад +7

    Whenever I listen to this song lazima nipate huzuni kwa nafsi. Such a unique. Ahsante Mwanahawa Ally.

    • @Bigbossman-e1h
      @Bigbossman-e1h Год назад +1

      "Wala hajamkosea yule mja akosae....."namimi nikisikia hii verse nazidi kuamini Mungu

    • @cosmashinju1197
      @cosmashinju1197 2 дня назад

      huyu mama anasauti ya dhahabu maana akiwa anaimba anauwezo mkubwa wa kuchezea sauti yake

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Год назад +7

    Hizi ndio nyimbo sasa ♥️♥️

  • @titusmasika6727
    @titusmasika6727 Год назад +49

    2023 na bado nauskiza wimbo huuu.naupenda sanaa kweli hakuna mtimilifu sote viumbe wa Mungu na mimi ipo siku nitaganyiwa na mimi fungu langu

  • @mohdalliy656
    @mohdalliy656 25 дней назад +1

    Bado 2024 nipo nausikilza huu wimbo naupnda sna @MWANAHAWA ALI❤❤Umaskini wangu haunipi tahayuri

  • @shabslab9986
    @shabslab9986 2 месяца назад +1

    7/12/2024 full handas na hi taarab

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Год назад +12

    Mama mwenye heshima yake na nyimbo zake.Hy alikuwa anaelimisha kupitia nyimbo zake.Kwa kweli hy ndio alitakiwa kupewa cheo cha Malkia wa Taarab Tanzania

    • @RamadhanKhamisi-k9b
      @RamadhanKhamisi-k9b 10 месяцев назад +1

      Naungana na wewe %100

    • @ashurafarhan8335
      @ashurafarhan8335 8 дней назад

      Nkweli huyu ndie snaefaa kabisa kwanza ametulia

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 12 часов назад

      ​@@RamadhanKhamisi-k9bjee khadija kopa

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 12 часов назад

      ​@@RamadhanKhamisi-k9bmwanahawa ally na Saba salum 2 peke wenye wanaimba nyimbo za kiheshima

    • @MwinyiSalim-d4j
      @MwinyiSalim-d4j 12 часов назад

      ​@@ashurafarhan8335wa pili saba salum muchacho

  • @salumusalumu8376
    @salumusalumu8376 Год назад +4

    Kiukweli mama taarabu zako hazichuji nazipenda mimi nazisikiliza na mke wangu mama mwana ndani ya kisalawe daaa

  • @MwanahawaIdd-lp5be
    @MwanahawaIdd-lp5be Месяц назад +2

    Kiukweli uno wimbo ulimgusa mama yangu akanizaa na kuniita somo yangu Mungu akurahamu mama yangu 😢😢

  • @JanethSaloon
    @JanethSaloon День назад +1

    Umeumbwa! Nimeumbwa! Hakuna mtimilifu sote ni waja wa MUNGU 🙏🙏

  • @ShenazAbdalla
    @ShenazAbdalla 3 месяца назад +1

    It's rey nice this song ,it has truetness no matter how old it is.

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy День назад +1

    Japo mm maskini katu sijiweki nyuma sababu naziamini rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema 2024

  • @MaryamIbu-l1d
    @MaryamIbu-l1d 9 месяцев назад +2

    Umeonge kwel kuuza utu sio mafnikio bali mungu ndiye😂 mtoa riziki 🎉❤

  • @ericmusyoki9144
    @ericmusyoki9144 11 месяцев назад +3

    Huu wimbo naupenda sana t sana, tena unamashahiri mengi

  • @BabaQayllah-w8z
    @BabaQayllah-w8z 6 месяцев назад +2

    Best song ever in the taarabu MusiC

  • @wardasalim562
    @wardasalim562 8 месяцев назад +2

    Alhmdulillah m.mungu muwezaaa habaguiiii😢😢

  • @AliMmanga-ir9dk
    @AliMmanga-ir9dk Год назад +2

    Huu wimbo unanipa hop kwenye ndowa yagu.kwellyy mtihani ❤❤❤❤ song

  • @HappyHappynesskileo
    @HappyHappynesskileo Месяц назад +1

    𝒖𝒎𝒂𝒔𝒊𝒌𝒊𝒏𝒊 𝒘𝒂𝒏𝒈𝒖❤❤❤❤❤

  • @BakariIbrahim-pv9mi
    @BakariIbrahim-pv9mi Год назад +1

    Dahh zamani nakumbuka enzi hizo wengine tuliokuwa pamoja sasaivi hawapo 😂😂😂😂

  • @Bahati-x1v
    @Bahati-x1v 3 дня назад +1

    Vya kale dhahabu hizi ndo zilikua taarabu

  • @reubenkiptoo4837
    @reubenkiptoo4837 5 месяцев назад +1

    Nasikiliza 2024 april live from mtongwe barracks

  • @teddymhagama611
    @teddymhagama611 Год назад +5

    Hauishi utamu huu wimbo 😍

  • @mnandamchirikutv5399
    @mnandamchirikutv5399 9 месяцев назад +1

    Jaman kuna nyimbo ya zamani ilikua inaitwa shoga nilikuamin imeimbwa sijui na bend gan sijui yemen stars

  • @Aisha-w7f2p
    @Aisha-w7f2p 7 месяцев назад +1

    Abadan

  • @SubiraMziray
    @SubiraMziray 5 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @RidhiwaniKoja
    @RidhiwaniKoja 9 месяцев назад +1

    Imetulia ww wanazipiga tukumbukie nakumbuka ikweta mtoni kwazizi ari

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 8 месяцев назад +2

    Naupenda sana huu wimbo❤❤❤❤san

  • @davidmaelo6615
    @davidmaelo6615 7 месяцев назад +1

    @2024, Japo Mimi MASIKINI Katu sijiweki nyuma
    Sababu naziamin Rehema zake Karina
    Ipo siku nitawini mtanyamaza kusema
    Tungo kama hizi hazikupatikana rahisi pasipo na waalimu kama mma. Shairi limeenda shule na limekoma.

    • @SummymaddyMaddy
      @SummymaddyMaddy День назад

      Rehema zake karima ipo siku nitawin mutanyamaza kusema nitamegewa na mm zilizo njema rehema ❤❤❤

  • @HatibuShebila-h2s
    @HatibuShebila-h2s 10 месяцев назад +2

    Ina mafundisho

  • @lucykimaru4171
    @lucykimaru4171 Год назад +3

    Hum wimbo wanikumbusha mengi ❤

  • @Aisha-w7f2p
    @Aisha-w7f2p 7 месяцев назад +1

    Nyimbo ndio kama hizi hata,ukiwa nastres,inaisha

  • @henrymutabari
    @henrymutabari 4 месяца назад +1

    Mwana Ali napenda nyimbo zake kwaza huu wa nimekinai umaskini wangu❤ from 🇰🇪

  • @ShazadDominic
    @ShazadDominic 6 месяцев назад +1

    Good,good.

  • @rehemaignas258
    @rehemaignas258 Год назад +4

    J tree

    • @SylviaMassawe
      @SylviaMassawe Год назад +2

      Nakupenda sana huu wimbo jamani kunakipindi nilichekwa sasa Mungu kanishushia Nuru

  • @dorcaskimati547
    @dorcaskimati547 3 дня назад +1

    Ni 2024 na nasikiliza ♥️

  • @caashoramadaan
    @caashoramadaan 10 месяцев назад +1

    Naupenda wimbo wa umaskini sausikiliza mbaka leo umepangwa ukapangika maneno na sauti ilopowa

  • @Aisha-w7f2p
    @Aisha-w7f2p 7 месяцев назад +1

    Nyimbo imetulia haina mambo mengi naa ina ilimu pia

  • @zawadigodson
    @zawadigodson 8 месяцев назад +1

    Mashallah❤yani Sina lakusema hapo myimbo inamafunzo❤❤❤ Sana

  • @AllyMuhunzi-t3r
    @AllyMuhunzi-t3r Год назад +3

    Mwimbaji wangu bora wa muda wote wa taarabu

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 8 месяцев назад +1

    #hii nyimbo naikubali mpk naumwa na sitoifuta kamwe

  • @MpateIsmail
    @MpateIsmail 9 месяцев назад +1

    Izi ndo nyimbo sasa sio tx mpenzi doctar wangu zamani ni matusi matupu ndani ya ujumbe

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 Месяц назад

    13/08/2024 master piece

  • @bintikhamisi
    @bintikhamisi Год назад +1

    Yake mola mitihan nitapasi naamin siinyongi roho yng Inshaallah mola muenza atanipa lng fungu😊

  • @sofiahamisimwamimi3683
    @sofiahamisimwamimi3683 Год назад +2

    Kila siku nasikiliza nasisinywi

  • @IsmailBabala
    @IsmailBabala Год назад +2

    Shairi nzuri Pia ni funzo kwa waja

  • @MrsMurjan
    @MrsMurjan 5 месяцев назад +1

    Umesema mama nikweli

  • @alikiloko1974
    @alikiloko1974 Год назад +2

    Bure mkinikebehi ni ya mola takadiri

  • @jamilasaidy-mk1yt
    @jamilasaidy-mk1yt Год назад +6

    Naipenda hii nyimbo mpaka Leo❤️♥️❤️

  • @bableesalu8707
    @bableesalu8707 Год назад +1

    Umasikini hauniduru wala haunipi joto daah hatar

  • @mansakankan650
    @mansakankan650 Год назад +2

    2023 bado nasikiliza ahsante mama

  • @motoe1073
    @motoe1073 Год назад +4

    Mashallaah

  • @Sharff-ou1hx
    @Sharff-ou1hx 2 месяца назад

    mama unajuwa kupiga rudi mzigoni mashabiki tupo

  • @MusafiriHamis-k2q
    @MusafiriHamis-k2q 7 месяцев назад +1

    Nyimbo ziliimbwa jamani

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Год назад +4

    radha asilia

  • @bausonameeeenmunguninimuwe8900
    @bausonameeeenmunguninimuwe8900 9 месяцев назад +1

    Wimbo huu unanikumbusha mbali sana tujuane 2023

  • @Naima-g1n
    @Naima-g1n 5 месяцев назад +1

    2030 bado tuko hapa jamani nyimbo tamu hii

  • @aliyasaid21
    @aliyasaid21 7 месяцев назад +1

    Mashaallh nime penda ni ukweli mtupu

  • @tamashaharuna9345
    @tamashaharuna9345 2 месяца назад

    Oooyoòo sintodhalilika nikauza utu wangu

  • @BlankaManyemba
    @BlankaManyemba 9 дней назад

    Hta mm sitochoka kusubil maana ridhik mafungu Saba yangu tu

  • @falialawelole565
    @falialawelole565 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @zainabjuma1359
    @zainabjuma1359 Год назад +3

    Wow ni nzur kwa kweli ❤️😘

  • @abdullahiibrahim5609
    @abdullahiibrahim5609 8 месяцев назад +1

    2024

  • @abdallakingumba7020
    @abdallakingumba7020 Год назад +2

    Inankumbusha mbali sana

  • @MwanaidiSaguti
    @MwanaidiSaguti 29 дней назад

    Umasikini haunidhuru wala haunipi joto😢

  • @JakiPius
    @JakiPius 9 месяцев назад +1

    Nakupenda sana mama

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz Год назад +3

    Kiukweli nyimbo hii naipenda sana na huwa inaniliza sana sijui ame waza nini mungu ambariki

  • @LuckyJanja
    @LuckyJanja Год назад +1

    Achana tu na hii nyimbo ata kama nimelala nikisikia nagutuka Asante sana mwanahawa

  • @MaimunaMohamed-b1n
    @MaimunaMohamed-b1n 9 месяцев назад +1

    Wimbo bando naupenda sana

  • @khadijaAlly-w5v
    @khadijaAlly-w5v 9 месяцев назад +1

    Kwel kabisa

  • @AshaShabanFettyNdeluwe
    @AshaShabanFettyNdeluwe 7 месяцев назад +1

    Napenda mpka kwenye dam ❤❤❤❤🎉

  • @KhadijaRamadhan-y8g
    @KhadijaRamadhan-y8g 3 дня назад

    Ukiiskiliza kwa makini machoz lazima yatoke🥹🥹❤️🙏🏽

  • @saumuhamadi-wo7st
    @saumuhamadi-wo7st Год назад +1

    Mashallah yani sina lakusema hap nyimbo inamafunzo sana

  • @FrolaWillium-dx8pl
    @FrolaWillium-dx8pl Год назад +1

    Hata mimi unanikuna sana naipenda sana hii nyimbo

  • @jamjam8734
    @jamjam8734 6 месяцев назад +1

    2024 ❤❤

  • @MpateIsmail
    @MpateIsmail 9 месяцев назад +1

    Mashaallah dada yetu

  • @FauJack
    @FauJack 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @RamadhaniHussein-d7q
    @RamadhaniHussein-d7q 2 месяца назад

    Ata ukiwa na familia yako unaskilizia.

  • @AngeliJoseph-es9hi
    @AngeliJoseph-es9hi Год назад +2

    2023🥰🥰

  • @JinaMakame-vq8mq
    @JinaMakame-vq8mq 3 месяца назад

    Mama,sichoki mpaka kieleweke mama

  • @SharifaZahabu
    @SharifaZahabu 5 месяцев назад

    24naminikupata
    Nakukosa nihiyal yake MUNGU waoooooo natangazahazaln nimekinah umackn wang